KIDUM KIBIDO APEWA UNABII PAMOJA NA MILIONI 20 - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 104

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Жыл бұрын

    Kindumu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪

  • @NiyongereProspere
    @NiyongereProspere2 ай бұрын

    Napenda nionane na mtumishi huyu wa Yesu

  • @fridolinhabonimana4854
    @fridolinhabonimana48546 ай бұрын

    legends Kudumu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 🎙🔥🔥🔥

  • @carindor9825
    @carindor9825 Жыл бұрын

    Kidumu mu Burundi wetu Hongera kwa kukutana n profet da!!!!kidumu barikiwa san n songambele Profet asante sana

  • @user-jh9wf2sf1d
    @user-jh9wf2sf1d7 ай бұрын

    Mungu akulinde nabii mkuu GeorDavie na akupe maisha marefu Sanaa ww ni wapekee Sanaa baba ww umetumwa na mungu kweli kweli naitwa william mathayo nipo der salam

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi Kidumu .... Wanadamu tuna tembea na historia mbaya ya mtu ... Wakati wokovu ni swala la sekunde la mtu na Mungu.... Ole wenu mnaojiona mmesimama angalieni msianguke...

  • @glaury9938
    @glaury9938 Жыл бұрын

    Kwa kweli mungu atusamehe kwa kuhukumu watumishi utasikia nabii kafanya vibaya mbona wewe hufanyi vizuri tujifunze msituchanganyebana

  • @user-jh9wf2sf1d
    @user-jh9wf2sf1d7 ай бұрын

    Baba shikamoo mimi nipo der salam kupitia unabii wako nimejikuta nampenda mungu

  • @tresormadelin1992
    @tresormadelin1992 Жыл бұрын

    KIDUM Is the King of Live Music in East Africa

  • @user-cb5ou3uv7x
    @user-cb5ou3uv7x3 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi Nabii

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Жыл бұрын

    Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu BWANA nabii sikupingi kwa kuwa karibiana waimbaji hawa

  • @collinsmercy3971
    @collinsmercy3971 Жыл бұрын

    Hakuna utakatifu hapo mnafanya mzaga na mungu...from kenya

  • @DavidKasina-kg5nk

    @DavidKasina-kg5nk

    3 ай бұрын

    Nani aliroga wakenya juu wengi farisayo shindwe

  • @user-oo4vi4hz1g
    @user-oo4vi4hz1g Жыл бұрын

    Baba nasi Rwanda tunakuhitaji. Karibu!

  • @EvaristoMatiya-hh5ez
    @EvaristoMatiya-hh5ez Жыл бұрын

    Du,hii Kali kinomanoma!!umetisha mze wang Mungu awe na we maana wapo weny kinyongo.ww endelea na Mungu hatokuacha kwa kile alichokupangia kabla hujazaliwa.God bless U, Amen!!!!!!

  • @iribaryurukundo5612
    @iribaryurukundo5612 Жыл бұрын

    Kidumu the best live singer in East Africa

  • @g.karathaofficial666
    @g.karathaofficial666 Жыл бұрын

    Nimefurahi sana hili jambo

  • @kidumkibido257
    @kidumkibido257 Жыл бұрын

    Ok

  • @kanyangearakaza4677
    @kanyangearakaza4677 Жыл бұрын

    🎉tunampendasana kidumu kibido

  • @Jombawayuser-ps2vp4nh7u
    @Jombawayuser-ps2vp4nh7u7 ай бұрын

    Asante sana mungu akubariki❤❤❤❤

  • @devithadaniel5423
    @devithadaniel5423 Жыл бұрын

    Mbona anaimba nyimbo za yesu acheni kujaji muwe mnaangaliaa mwanzo mwisho muache ubabai

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Жыл бұрын

    Amin

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Жыл бұрын

    Uhezagirwe Kidum mwana wa mama. Baba Ubarikiwe Sana my Father Senior Prophet GeorDavie. GITEGA BURUNDI

  • @nathangeor
    @nathangeor Жыл бұрын

    Kidumu with band equaz to💥💥💥💥💥

  • @manirambonaemeryhasta3739
    @manirambonaemeryhasta3739 Жыл бұрын

    Asante san NABII MKUU Dr GeorDavie kwa kushik mkono kimaendeleo bila kujali ni wakabila gani ao wa inchi gani🙏🙏 KIDUMU KIBIDO KIBUGANIZO wa kwetu Burundi bujumbura 🇧🇮

  • @SabinusMhagama-tk3rz

    @SabinusMhagama-tk3rz

    Жыл бұрын

    BABA WEWE NINABII WAKWANZA KATIKA ULIMWENGU UMETIMIZA KILE ALICHO SEMA YESU .MTAFANYA ZAIDI YAHAYA NINAYO YAFANYA MIMI

  • @janetkaingu7038
    @janetkaingu7038 Жыл бұрын

    Eeeeemen Haleluia kwa kumsifu Mungu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Savi sana

  • @ivanpeter4945
    @ivanpeter4945 Жыл бұрын

    Hallelujah

  • @nananailla7723
    @nananailla7723 Жыл бұрын

    Nasikitika sana na wewe kitumu wa burundian 🇧🇮 kweli mungu akuongoze hivi umefikilia kweli hizo pesa zote zina heli mungu akusaidiye

  • @maryandason1815

    @maryandason1815

    Жыл бұрын

    😂😂😂Zina her kwake tatzo watu hawajui unapewa pesa unauza nafs yko kwa shetan watu hawatak kuomba kuutafuta uso wa MUNGU Zaid ya kuombewa ombewa n kubeba vicvyobebeka.unauza nyota y thaman unapewa pesa ya cku kazaa😢

  • @barakaphilip2015
    @barakaphilip2015 Жыл бұрын

    Awesome

  • @nsengiyumvapierre9343
    @nsengiyumvapierre9343 Жыл бұрын

    So cool my preference artist

  • @ElizabethMtambo-pv2ql
    @ElizabethMtambo-pv2ql Жыл бұрын

    Halleluya

  • @teddyjohn7054
    @teddyjohn7054 Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @sabinalaulian-yg1ud
    @sabinalaulian-yg1ud Жыл бұрын

    Bb nabii mkuu nami naomba mtaji nifanye biashara nateseka ila naona unavyosaidia watu nisaidie na Mimi mwanao

  • @nabiimdogotv8686
    @nabiimdogotv868610 ай бұрын

    Una nguvu ya kupata bando tazama mambo yasiyokuhusu acha Kuna kosa gan hapo nenda mbinguni kama hutaki kuona ya duniani

  • @anascholasticandagiwe6977
    @anascholasticandagiwe6977 Жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi kwani Mungu wote ni wake na ndiyo maana akasema tuache magugu na ngano viote kwa pamoja,naimani kabisa hukumu si juu yetu nabii mkuu wewe ni baba na mlezi

  • @cliffdenis144

    @cliffdenis144

    Жыл бұрын

    Nabii aliyepotoka anakadhana kuuleta udunia ndani ya kanisa la kristo ni aibu ata kusema huyu ni nabii kwa Sasa sijui imekuwaje adi amekuja kupotoka kiasi hichi

  • @saimoniboniphace

    @saimoniboniphace

    Жыл бұрын

    Tuta wajuaje? Kwamatendo yao live inaonekana giza gizani ila hatuwezi kuku hukumu yesu mwenyekuhukum anakuja

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Жыл бұрын

    🔥🔥Hii unaipata Ngurumo ya Upako pekee 🥰💃

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Karibu kwa Yesu

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Жыл бұрын

    Safiiiiiiiiii

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 Жыл бұрын

    UTUKUFU KWA MUNGU KWA NABII MKUU

  • @nabiimdogotv8686
    @nabiimdogotv868610 ай бұрын

    Ivi nyie mnajua sanaa biblia kuliko yenyewe acheni ushamba wa kiroho mwacheni uyu baba

  • @princemshindi
    @princemshindi Жыл бұрын

    🇧🇮🇧🇮

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 Жыл бұрын

    Nimefamu kuelewa nabii ni vingumu sana siku za nabii Elijah alitumwa kwa mama mjane tena sio myahudi nabii hosea aliambiwa akaoe kahaba so sihukumu nabii Geodavie igawa sikubaliani na waibaji wa kidunia kwenye madhabahu ya MUNGU ni maombi yangu mapenzi ya YESU CHRISTO YATIMIE 🙏🙏

  • @cliffdenis144

    @cliffdenis144

    Жыл бұрын

    Hakuna Cha kujiuliza apo kwa kweli alianza vizuri ila Sasa amepotoka ameiacha njia kabisa Giza na Nuru havina shirika hatuweza Sema eti labda Kuna maono Mungu kampa iyo sio kweli Mungu achangamani na uchafu wa Dunia hii.....atubu arejee Yesu ni wa msamaha kwa watu wote

  • @eliudnjenga9385

    @eliudnjenga9385

    Жыл бұрын

    @@cliffdenis144 ni kweli kabisa nilifikuliri hawa waibaji wa dunia wanakuja kuokoka ila kupiga nyimbo zao pale duu si imani tena kenya tunafuatilia sana mahubiri yake ila tumefadhaika sana

  • @nurumollel5988
    @nurumollel5988 Жыл бұрын

    Amen

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Жыл бұрын

    Kati Yesu alie letewa mafuta na kahaba na akampaka na akambusu... Na Nabil mkuu anae anae waita wasanii madhabahuni nani mkosaji kwako????? Jifunze kumjua Mungu haya madogo hayatawasumbua...

  • @cliffdenis144

    @cliffdenis144

    Жыл бұрын

    Kwaiyo unataka kusema Yesu alifurahia maisha ya ukahaba aliyokuwa anaishi yule dada ...hivi wakristo wa miaka hii mna shida gani dada yule alikuja kwa Yesu kwa lengo la kutubu na kuacha njia mbaya Hawa wasanii wakidunia wanakuja apo kuimba udunia wanapongezwa na kushangiliwa duuuuu Bado unadhubutu kusema ni sawa kweli tubuni tubuni ndugu zangu Yesu anakaribia kurudi tubuni Giza na Nuru havina shirika tubuni jaman

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Жыл бұрын

    Hata mavazi ni ya heshima

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Жыл бұрын

    mwanadamu anapo kula nakushiba anamsahau MUNGU nakuona kila alifanyalo limfurahishayo moyo wake nisawa nakugeuza nyumba yamungu ni ukumbi wadisko

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 Жыл бұрын

    🇰🇪🇰🇪🙏🙏📖

  • @akimanakarime5437
    @akimanakarime5437 Жыл бұрын

    Burundi is one in music live

  • @jimmycliffmoses3271

    @jimmycliffmoses3271

    Жыл бұрын

    Ntiyoshikira vichou love 🤣

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын

    Yan huyu ndo ameamua kuonyesha ushetani wake wazwaz

  • @imakubari6786
    @imakubari6786 Жыл бұрын

    Mmmmmmmmmh uyoo mdada Sasa kanisan bwana

  • @DjemsBonane
    @DjemsBonane10 ай бұрын

    Karibu kwako nabii mkubwa tuna kusalimu,Sisi tuko mkongo démocratique République.tuna kufata APA.

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 Жыл бұрын

    Mungu hawezi nunua walio wakee kwa pesa.hahahahaaaaaa

  • @msteveg2181
    @msteveg2181 Жыл бұрын

    Kidum sio mu Kenya ni muburundi makazi yake ndo yapo Kenya

  • @imakubari6786
    @imakubari6786 Жыл бұрын

    Mmmmmmmmmh 😢😢😢😢😢😢😢

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 Жыл бұрын

    Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu

  • @emmanuelshukiah1236
    @emmanuelshukiah1236 Жыл бұрын

    Unapata wapi ujasiri wa kupiga nyimbo za kidunia kwenye madhabahu ya Mungu kama wewe kweli unatokana na KRISTO YESU ALIYE HAI.

  • @marcellysumaye341

    @marcellysumaye341

    Жыл бұрын

    Tafuta hela wew ndo unayejua sana madhabahu ya bwana hapa duniani!

  • @bahatimushi2003

    @bahatimushi2003

    Жыл бұрын

    Yesu pia alikaa nao hawo ambao umewaona awafai

  • @ELLYJ24

    @ELLYJ24

    Жыл бұрын

    ​@@bahatimushi2003 Ndyo maana wahubiri wengi hawaoni ajabu hata kukaa na mashoga ukiuliza eti yesu alikaa na wenye dhambi

  • @lazmeck4754

    @lazmeck4754

    Жыл бұрын

    Ndugu yangu ni mapokeo yako kutokana na ulivyo fundishwa hizo ni fikra zako kongwa

  • @rehemajoel7094

    @rehemajoel7094

    Жыл бұрын

    MADHABAHU IMEJAA NGUVU ZA MUNGU HAKUNA SHETANI WALA VIBARAKA VYAKE ATASOGELEA HAPO MZEE!!

  • @nicholaakonkwa9911
    @nicholaakonkwa9911 Жыл бұрын

    Nabbi mudogo njo Nani?

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 Жыл бұрын

    Kutoka 254 tunawapenda sana warokole tz ila kidum tena jukwaani si huyu ni muibaji dance jamani hapo sikubaliani kabisa nimefuatilia nabii sana mbona anapromote sana wanamziki na wachekeshaji wa kidunia si harmonize alikuwa hapo zote tulifikili anakuja kuokoka afuatie diamond sihukumu ila kimimi natilia shaka huyu nabii kiukweli why promote the kingdom of darkness si tz inajulikana kwa waibaji walokole wengi tu sana wapo wapi wapewe mamilioni wahubiri YESU WA NAZARETH

  • @danielworshiper6002

    @danielworshiper6002

    Жыл бұрын

    Muamin Mungu Na uamin anambadirisha yeyote

  • @cliffdenis144

    @cliffdenis144

    Жыл бұрын

    Uko sahihi kaka nasikitika uyu nabii alianza vizuri Sasa amepotoka kabisa Hadi wakina 20 per aliwalika na wakaimba

  • @pascalmsegea4563

    @pascalmsegea4563

    Жыл бұрын

    Ameimba nini? Upo nyuma sana ya wakati

  • @ofsatravella8463

    @ofsatravella8463

    Жыл бұрын

    Huyu. Ni mpinga kilisto

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 Жыл бұрын

    Kanisa la wasani 👀

  • @reubennnko6270
    @reubennnko6270 Жыл бұрын

    Ashaaasemaaa ni jukwaaa sio madhabahu so badooo Dula makabila tu hapoo

  • @DeboraNgura

    @DeboraNgura

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂umewaza mbalii

  • @yousupjabri7304
    @yousupjabri7304 Жыл бұрын

    Mmh ila ndugu zetu nyie..

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 Жыл бұрын

    Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu

  • @user-cb5ou3uv7x

    @user-cb5ou3uv7x

    3 ай бұрын

    Ni atar ana touch nouma

Келесі