KIDUM KIBIDO APEWA UNABII PAMOJA NA MILIONI 20 - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 104
Kindumu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪
Napenda nionane na mtumishi huyu wa Yesu
legends Kudumu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 🎙🔥🔥🔥
Kidumu mu Burundi wetu Hongera kwa kukutana n profet da!!!!kidumu barikiwa san n songambele Profet asante sana
Mungu akulinde nabii mkuu GeorDavie na akupe maisha marefu Sanaa ww ni wapekee Sanaa baba ww umetumwa na mungu kweli kweli naitwa william mathayo nipo der salam
Mungu akubariki Mtumishi Kidumu .... Wanadamu tuna tembea na historia mbaya ya mtu ... Wakati wokovu ni swala la sekunde la mtu na Mungu.... Ole wenu mnaojiona mmesimama angalieni msianguke...
Kwa kweli mungu atusamehe kwa kuhukumu watumishi utasikia nabii kafanya vibaya mbona wewe hufanyi vizuri tujifunze msituchanganyebana
Baba shikamoo mimi nipo der salam kupitia unabii wako nimejikuta nampenda mungu
KIDUM Is the King of Live Music in East Africa
Mungu akubariki sana mtumishi Nabii
Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu BWANA nabii sikupingi kwa kuwa karibiana waimbaji hawa
Hakuna utakatifu hapo mnafanya mzaga na mungu...from kenya
@DavidKasina-kg5nk
3 ай бұрын
Nani aliroga wakenya juu wengi farisayo shindwe
Baba nasi Rwanda tunakuhitaji. Karibu!
Du,hii Kali kinomanoma!!umetisha mze wang Mungu awe na we maana wapo weny kinyongo.ww endelea na Mungu hatokuacha kwa kile alichokupangia kabla hujazaliwa.God bless U, Amen!!!!!!
Kidumu the best live singer in East Africa
Nimefurahi sana hili jambo
Ok
🎉tunampendasana kidumu kibido
Asante sana mungu akubariki❤❤❤❤
Mbona anaimba nyimbo za yesu acheni kujaji muwe mnaangaliaa mwanzo mwisho muache ubabai
Amin
Uhezagirwe Kidum mwana wa mama. Baba Ubarikiwe Sana my Father Senior Prophet GeorDavie. GITEGA BURUNDI
Kidumu with band equaz to💥💥💥💥💥
Asante san NABII MKUU Dr GeorDavie kwa kushik mkono kimaendeleo bila kujali ni wakabila gani ao wa inchi gani🙏🙏 KIDUMU KIBIDO KIBUGANIZO wa kwetu Burundi bujumbura 🇧🇮
@SabinusMhagama-tk3rz
Жыл бұрын
BABA WEWE NINABII WAKWANZA KATIKA ULIMWENGU UMETIMIZA KILE ALICHO SEMA YESU .MTAFANYA ZAIDI YAHAYA NINAYO YAFANYA MIMI
Eeeeemen Haleluia kwa kumsifu Mungu
Savi sana
Hallelujah
Nasikitika sana na wewe kitumu wa burundian 🇧🇮 kweli mungu akuongoze hivi umefikilia kweli hizo pesa zote zina heli mungu akusaidiye
@maryandason1815
Жыл бұрын
😂😂😂Zina her kwake tatzo watu hawajui unapewa pesa unauza nafs yko kwa shetan watu hawatak kuomba kuutafuta uso wa MUNGU Zaid ya kuombewa ombewa n kubeba vicvyobebeka.unauza nyota y thaman unapewa pesa ya cku kazaa😢
Awesome
So cool my preference artist
Halleluya
🙏🙏
Bb nabii mkuu nami naomba mtaji nifanye biashara nateseka ila naona unavyosaidia watu nisaidie na Mimi mwanao
Una nguvu ya kupata bando tazama mambo yasiyokuhusu acha Kuna kosa gan hapo nenda mbinguni kama hutaki kuona ya duniani
Hongera sana mtumishi kwani Mungu wote ni wake na ndiyo maana akasema tuache magugu na ngano viote kwa pamoja,naimani kabisa hukumu si juu yetu nabii mkuu wewe ni baba na mlezi
@cliffdenis144
Жыл бұрын
Nabii aliyepotoka anakadhana kuuleta udunia ndani ya kanisa la kristo ni aibu ata kusema huyu ni nabii kwa Sasa sijui imekuwaje adi amekuja kupotoka kiasi hichi
@saimoniboniphace
Жыл бұрын
Tuta wajuaje? Kwamatendo yao live inaonekana giza gizani ila hatuwezi kuku hukumu yesu mwenyekuhukum anakuja
🔥🔥Hii unaipata Ngurumo ya Upako pekee 🥰💃
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Karibu kwa Yesu
Safiiiiiiiiii
UTUKUFU KWA MUNGU KWA NABII MKUU
Ivi nyie mnajua sanaa biblia kuliko yenyewe acheni ushamba wa kiroho mwacheni uyu baba
🇧🇮🇧🇮
Nimefamu kuelewa nabii ni vingumu sana siku za nabii Elijah alitumwa kwa mama mjane tena sio myahudi nabii hosea aliambiwa akaoe kahaba so sihukumu nabii Geodavie igawa sikubaliani na waibaji wa kidunia kwenye madhabahu ya MUNGU ni maombi yangu mapenzi ya YESU CHRISTO YATIMIE 🙏🙏
@cliffdenis144
Жыл бұрын
Hakuna Cha kujiuliza apo kwa kweli alianza vizuri ila Sasa amepotoka ameiacha njia kabisa Giza na Nuru havina shirika hatuweza Sema eti labda Kuna maono Mungu kampa iyo sio kweli Mungu achangamani na uchafu wa Dunia hii.....atubu arejee Yesu ni wa msamaha kwa watu wote
@eliudnjenga9385
Жыл бұрын
@@cliffdenis144 ni kweli kabisa nilifikuliri hawa waibaji wa dunia wanakuja kuokoka ila kupiga nyimbo zao pale duu si imani tena kenya tunafuatilia sana mahubiri yake ila tumefadhaika sana
Amen
Kati Yesu alie letewa mafuta na kahaba na akampaka na akambusu... Na Nabil mkuu anae anae waita wasanii madhabahuni nani mkosaji kwako????? Jifunze kumjua Mungu haya madogo hayatawasumbua...
@cliffdenis144
Жыл бұрын
Kwaiyo unataka kusema Yesu alifurahia maisha ya ukahaba aliyokuwa anaishi yule dada ...hivi wakristo wa miaka hii mna shida gani dada yule alikuja kwa Yesu kwa lengo la kutubu na kuacha njia mbaya Hawa wasanii wakidunia wanakuja apo kuimba udunia wanapongezwa na kushangiliwa duuuuu Bado unadhubutu kusema ni sawa kweli tubuni tubuni ndugu zangu Yesu anakaribia kurudi tubuni Giza na Nuru havina shirika tubuni jaman
Hata mavazi ni ya heshima
mwanadamu anapo kula nakushiba anamsahau MUNGU nakuona kila alifanyalo limfurahishayo moyo wake nisawa nakugeuza nyumba yamungu ni ukumbi wadisko
🇰🇪🇰🇪🙏🙏📖
Burundi is one in music live
@jimmycliffmoses3271
Жыл бұрын
Ntiyoshikira vichou love 🤣
Yan huyu ndo ameamua kuonyesha ushetani wake wazwaz
Mmmmmmmmmh uyoo mdada Sasa kanisan bwana
Karibu kwako nabii mkubwa tuna kusalimu,Sisi tuko mkongo démocratique République.tuna kufata APA.
Mungu hawezi nunua walio wakee kwa pesa.hahahahaaaaaa
Kidum sio mu Kenya ni muburundi makazi yake ndo yapo Kenya
Mmmmmmmmmh 😢😢😢😢😢😢😢
Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu
Unapata wapi ujasiri wa kupiga nyimbo za kidunia kwenye madhabahu ya Mungu kama wewe kweli unatokana na KRISTO YESU ALIYE HAI.
@marcellysumaye341
Жыл бұрын
Tafuta hela wew ndo unayejua sana madhabahu ya bwana hapa duniani!
@bahatimushi2003
Жыл бұрын
Yesu pia alikaa nao hawo ambao umewaona awafai
@ELLYJ24
Жыл бұрын
@@bahatimushi2003 Ndyo maana wahubiri wengi hawaoni ajabu hata kukaa na mashoga ukiuliza eti yesu alikaa na wenye dhambi
@lazmeck4754
Жыл бұрын
Ndugu yangu ni mapokeo yako kutokana na ulivyo fundishwa hizo ni fikra zako kongwa
@rehemajoel7094
Жыл бұрын
MADHABAHU IMEJAA NGUVU ZA MUNGU HAKUNA SHETANI WALA VIBARAKA VYAKE ATASOGELEA HAPO MZEE!!
Nabbi mudogo njo Nani?
Kutoka 254 tunawapenda sana warokole tz ila kidum tena jukwaani si huyu ni muibaji dance jamani hapo sikubaliani kabisa nimefuatilia nabii sana mbona anapromote sana wanamziki na wachekeshaji wa kidunia si harmonize alikuwa hapo zote tulifikili anakuja kuokoka afuatie diamond sihukumu ila kimimi natilia shaka huyu nabii kiukweli why promote the kingdom of darkness si tz inajulikana kwa waibaji walokole wengi tu sana wapo wapi wapewe mamilioni wahubiri YESU WA NAZARETH
@danielworshiper6002
Жыл бұрын
Muamin Mungu Na uamin anambadirisha yeyote
@cliffdenis144
Жыл бұрын
Uko sahihi kaka nasikitika uyu nabii alianza vizuri Sasa amepotoka kabisa Hadi wakina 20 per aliwalika na wakaimba
@pascalmsegea4563
Жыл бұрын
Ameimba nini? Upo nyuma sana ya wakati
@ofsatravella8463
Жыл бұрын
Huyu. Ni mpinga kilisto
Kanisa la wasani 👀
Ashaaasemaaa ni jukwaaa sio madhabahu so badooo Dula makabila tu hapoo
@DeboraNgura
Жыл бұрын
😂😂😂😂umewaza mbalii
Mmh ila ndugu zetu nyie..
Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu
@user-cb5ou3uv7x
3 ай бұрын
Ni atar ana touch nouma