CHID BENZ HAJAWAI KUONGEA HAYA! Ruge, Sio Marehemu, Bado yupo!

Ойын-сауық

Utamjua Chid Benz kuanzia anaingia kwenye game, maisha aliyopitia hadi leo 'WATU WALIKUWA WANAJUA MIMI NAKUFA' Humu ndani kuna story zote kuhusu Ruge, Babu Tale, Diamond, Alikiba, Joh Makini, Rayvanny, Madawa, Madee, MB Dog, Fid Q, Mwana FA, AY nk
Chid humu ndani kaongea UKWELI MTUPU.
Susbcribe channel hii, LilOmmyTV, Comment, Like na Share video hii kwenye Groups zako za WhatsApp
#LilOmmy #ChidBenz #Podcast
AV Media Studios
(c) 2021

Пікірлер: 224

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic26772 жыл бұрын

    Great interview 🔥🔥🔥

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard48722 жыл бұрын

    Ukimuhoji chid jiandae kuwa msikilizaji zaidi kuliko kuuliza maswali! 😃😃😃 Jamaa mwongeaji huyu! But Yuko vizuri! Very smart!

  • @feysalhamis5277

    @feysalhamis5277

    2 жыл бұрын

    Kweliii

  • @johnbusansa1502
    @johnbusansa15022 жыл бұрын

    Hichi kichwa si cha kuuliza maswali Mepesi.. Watu hawamuelewi Rashid(ChidBenz) anajua nini anafanya siku zote 🔥🔥🔥🙌🙏

  • @godsson5954
    @godsson59542 жыл бұрын

    Hii akaunt ulitakiwa uindeleze kpnd kile ndo umeingia tu wasafi maana moto wako umepungua ulivyoenda tu wasafi na kuikacha hii chanel.U deserve better champ.much respect KING🏅

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni11352 жыл бұрын

    Nadhani hyo sio sigara ni aina ya dozi ya kuacha ngada ...all in all nampenda Sana chid

  • @iddylunda6069
    @iddylunda60692 жыл бұрын

    Whether you like or not, beenz is the best and he is always doing big

  • @sazrz9686

    @sazrz9686

    2 жыл бұрын

    Big up brother chid✊🏿✊🏿✊🏿

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    2 жыл бұрын

    Kabisa, lets support his new album as well Wa2wangu👍

  • @alliymohamedalliy6524

    @alliymohamedalliy6524

    Жыл бұрын

    @@LilOmmyTV sorry, wacha Raiya watumie hizi 2 x na nyenginezo, ila wewe Inapaswa uwe really Text, hizi 2...hazileti picha nzuri kama mtangazaji, ingawa najua una eleweka ila unakupunguzia CV🙏

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын

    Chidiiii Beeeeeennzzzzzz ILALAAA MABEGAAAANNNN errrr dayyyy all dayy

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo57712 жыл бұрын

    Chid huyu jamaa ni genius anakumbuka vitu vingi balaa aseee kaua sana

  • @mwiruhabibu2060
    @mwiruhabibu20602 жыл бұрын

    Mikamwamba present chid benz intro 🔥🔥🔥Mashallah Misele rip banza stone bhanah#much respects marco chali Popopisha enzi ya lamar🔥🔥🔥🔥🔥 Popopopisha

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde482 жыл бұрын

    sasa ommy hivi umekua mweupe boss !!! kweli maisha yanaenda kasi sana 😆😆💪💪💪👏👏

  • @Hashdough
    @Hashdough2 жыл бұрын

    The Intro Is On FIREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hilarymark7583
    @hilarymark75832 жыл бұрын

    Chid Benz ni miongoni mwa watu talented duniani

  • @benjaminsemwenda3152
    @benjaminsemwenda31522 жыл бұрын

    Chid Benz Ndo Maana Halisi Ya Super Star Yani Hata Akae Miaka 10 Bila Ngoma ILa Akirudi Kwenye Game Bado Jamii Inampa Ushirikiano, Msaani Pekee Ambae Hatumii Kiki ILa Bado Anatrend Mjini, Msanii Pekee Mwenye Akili Nyingi Kuliko Wasanii Wengine Japo Jamii Inamchukulia Pouwa, Hajawahi Kuboa Katika Interview Zake Yani Presenter Unaweza Kujikuta Umekaa Kimya Una Kazi Ya Kuitikia Maana Mwamba Anaongea Mwanzo Mwisho, Big Up Big Broow Chid Benz Chuma...

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida23692 жыл бұрын

    Hivi Chiddy kajisahau kama ana sigara mdomoni 😂😂😂alafu anaweza kuongea na sigara yake mdomoni

  • @burihabwaramadhan6162

    @burihabwaramadhan6162

    Жыл бұрын

    Hivi sigara kagongelea na Nini aise🤣😂

  • @tituskituli5520
    @tituskituli55202 жыл бұрын

    kuna nyimbo ya siku nyingi sana Chid aliimba na matonya inaitwa "usinipe lawama".....goma kali sana.....now is the right time to do the remix...itabamba sana

  • @straightkonect1613
    @straightkonect16132 жыл бұрын

    Chidi kaa kwa room skiliza ngoma ya DAR ESALAM STAND UP then tupe kitu ka hicho uone miujiza mi nakuamini sana

  • @costathegreat8261
    @costathegreat82612 жыл бұрын

    Muda mwingine najiuliza una uzuli wa namna gani na nashindwa pata jibu ukiwepo wendo chanzo Cha kunipoza nafs yang Napo pata majalibu

  • @kyeliamametumba5260

    @kyeliamametumba5260

    2 жыл бұрын

    Inaitwaje

  • @thestonetown3302
    @thestonetown33022 жыл бұрын

    We chid weee una hatare sanacaf lil ommy hamumtendei haki chid inabdi interview zenu mumlipe pesa nyingi sana...

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick93802 жыл бұрын

    Chid tunajua watumia hiyooo misigara but mpaka kwa interview ya nin my bro change bhna

  • @wistonesawe

    @wistonesawe

    2 жыл бұрын

    Could be a marketing scheme for views or clout .plus anaishi life yake we nani ku judge

  • @damasmshingo3500

    @damasmshingo3500

    Жыл бұрын

    We demu mehu sigara ya chid inakuhusu nn mwambie basha wako nae avute.

  • @Nuel_Storm
    @Nuel_Storm2 жыл бұрын

    Guys huyu chid ni mtu mwenye IQ 1000 anavyoongea nafeel sana, he's real.

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler28472 жыл бұрын

    Lil Ommy ni Goat ndani ya East Africa kwenye maswala ya burudani .Salute sana Mr.

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    2 жыл бұрын

    Appreciate👊

  • @queenandchill91
    @queenandchill912 жыл бұрын

    I love him... ❤❤❤🙌🏽

  • @msovietymsoviety3646
    @msovietymsoviety36462 жыл бұрын

    Video ipo clear sana, big up lil Ommy 🔥🔥

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    2 жыл бұрын

    Pamoja sana, Enjoy

  • @barakamosses1111
    @barakamosses11112 жыл бұрын

    Namkubaligi sana kaka mkubwaa Chid

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus21772 жыл бұрын

    Interview za chiz hazijawahi kunipitia bila ya kusikiliza

  • @hotwavemedia6628
    @hotwavemedia66282 жыл бұрын

    Lil for me you're the best mc have ever met you have tought me so much in interviewing to enzi hizo

  • @mosesshikuzi7089
    @mosesshikuzi70892 жыл бұрын

    sigala haidondok 😂😂😂

  • @frankmueni8576
    @frankmueni85762 жыл бұрын

    Chid is the legend de icon....the greatest rapper ever in East africa

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions57122 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni bonge la rapper, tatizo tz hatumkubar mtu mpk atoweke,huyu jamaa ni chuma sana...

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba76122 жыл бұрын

    Binafsi namkubali sana benzino anajua mnoooo oooooo napataje albam yake nipo chuga

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga67492 жыл бұрын

    Namuelewaga sana huyu mwamba sijui kama kuna mtu anamuelewa kama mimi🤣

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga48052 жыл бұрын

    Daaah nimemuelewa mwishoniii brain kubwa

  • @alibinali_
    @alibinali_2 жыл бұрын

    Chid we do mchizi wangu 🐐👑🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eishstoner6692
    @eishstoner66922 жыл бұрын

    Sema lil ommy chidi anakukubali sanaa

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove43902 жыл бұрын

    Interview za Chid hua ni funny na kali🔥🤣🤣

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    2 жыл бұрын

    Maswali kidogo tu majibu kibao 😂😂

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @jacquilinenoah949

    @jacquilinenoah949

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @emmanuelphilipo

    @emmanuelphilipo

    Жыл бұрын

    ​@@jacquilinenoah949 ❤.

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan12722 жыл бұрын

    Our ilala king chuuuuummaaaa🔥🔥🔥

  • @razaqkilua1837
    @razaqkilua18372 жыл бұрын

    Sasa brother chidy sigara ya nn hapo..bora ungevuta tujue unavuta lkn sigara huvuti nn maana yake..nakuja kugundua wenzetu wanatuzid kwasababu v2 vya vinaendaga kiuhalisia sana. Kam kutakua na pombe basi watakunyw kam n sigara au bang watavuta..sasa hyo yako n nn?! By de way nakukubal sana nymbo zako

  • @thestonetown3302
    @thestonetown33022 жыл бұрын

    Kafanya na mzee yusufu tarabu itakua amapiano😅😅😅

  • @sadickrajabu8980
    @sadickrajabu8980 Жыл бұрын

    Napenda interview za chid Benz kuna vitu unajifunza

  • @BacktoPhiladelphiaministry
    @BacktoPhiladelphiaministry2 жыл бұрын

    Sigara mdomoni mwanzo mwisho...de legend imself.....

  • @edgarnandonde48

    @edgarnandonde48

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @chardtalent8191
    @chardtalent81912 жыл бұрын

    🤣🤣🤣Aliyesikia Naweza Tomb....nje kite ila kwako siwez kujaribu LIKE APA

  • @rabsontryphon9254

    @rabsontryphon9254

    2 жыл бұрын

    Naweza Tamba kote ila kwako sithubutu siwezi hata kujaribu, boya ww

  • @rabsontryphon9254

    @rabsontryphon9254

    2 жыл бұрын

    Unawaza ukufala kichwan mwako

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo3072 жыл бұрын

    The mvp tambwe umetisha 🔥🔥🔥🏹

  • @sullymurs6687
    @sullymurs66872 жыл бұрын

    I never get tired of this interview

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana97912 жыл бұрын

    Chid wewe ni 🔥🔥🔥🔥

  • @hamzaomary1212
    @hamzaomary12122 жыл бұрын

    Iyo fegi kama inagundi

  • @chenyakwihela1637
    @chenyakwihela16372 жыл бұрын

    Chid Benz nakuelewa sana ila nyimbo zako za saivi unazingua ma yoyoyooo heheeeee braaa braaa sijuwi ndio manini andka kama zamani naamini unakitu kikubwa sana kichwani wewe

  • @razakrazak5840
    @razakrazak58402 жыл бұрын

    Oh Yeah/Stuffs like that. Bado sana ngeli

  • @johnnygitosh
    @johnnygitosh Жыл бұрын

    Chid Benz alikuja Show akiwa makero mbaya Sana 😅😂..🇰🇪

  • @ayubumdolo259
    @ayubumdolo2592 жыл бұрын

    Big up brother chid

  • @athumansaid796
    @athumansaid7962 жыл бұрын

    Safii broo nakuelewa saanaa

  • @kisogoclassic5329
    @kisogoclassic53292 жыл бұрын

    Dopeeeee

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv93222 жыл бұрын

    Nimecheka kabla sijafungua hii video 🤣

  • @cyrilkimkimath8014
    @cyrilkimkimath80142 жыл бұрын

    Huyu chidbenz alipwe na kila baada ya lisaa

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma80022 жыл бұрын

    Love chidi benz

  • @user-cf2tq1mt2k
    @user-cf2tq1mt2k7 ай бұрын

    Mpigeni tuff hyu mwamba jaman anaweza

  • @derickjuma4251
    @derickjuma42512 жыл бұрын

    Uuuuuuw 🔥💥🔥🔥

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28082 жыл бұрын

    Nakubali sanaas

  • @JumaMwachindiri-ut3qi
    @JumaMwachindiri-ut3qi2 ай бұрын

    Kwani fegi chidy umepaka gundi 😂😂😂😂Ila nakuelewa sana

  • @OG_The_King
    @OG_The_King2 жыл бұрын

    Chid your are the best all times

  • @radjabusaidi2161
    @radjabusaidi21612 жыл бұрын

    mpa leo namkubali mfalme wa hip hop chidibenze.

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi87922 жыл бұрын

    DU? MUNGU INGILIA KATI JUU YA AFYA YA KIJANA HUYU NA AKILI YA KIJANA HUYU BADO TAIFA LINAMTEGEMEA SANA TENA SANA ULIMPA AKILI NYINGI WEW MWENYEW MUNGU WEWE NDIE ULIYE MUUMBA INGILIA KATI PEPO MCHAFU ANAYEMWANDAMA AKASHINDWE KWANI WEWE NDIE TABIBU MKUU KULIKO MATABIBU WOTE. ASANTE

  • @chrissmwangosi8601
    @chrissmwangosi86012 жыл бұрын

    Hongera sana Liliomy

  • @brain_ujazo
    @brain_ujazo2 жыл бұрын

    Noma noma sanaaa

  • @richadmhagama9162
    @richadmhagama91622 жыл бұрын

    chid 🔥🔥🔥🔥

  • @christopherchacha7944
    @christopherchacha79442 жыл бұрын

    No one like chid Benz, shout out to lilly ommy (MVP)

  • @aderickfrank4611
    @aderickfrank46112 жыл бұрын

    Huku ndio nilikuwa nakutaka Ommy big Sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @aderickfrank4611

    @aderickfrank4611

    2 жыл бұрын

    Tatizo ni hyo sigarete chid unamazuri mengi Ila mabaya umeandamana nayo,,,,

  • @lazaro94
    @lazaro942 жыл бұрын

    Good presenter + Good MC

  • @khamismdunga6517
    @khamismdunga65172 жыл бұрын

    Mnyama sana omy

  • @dicksonnyilelwa5704
    @dicksonnyilelwa57042 жыл бұрын

    Good enterview

  • @raymondmtecko9197
    @raymondmtecko91972 жыл бұрын

    Umetisha mzeee

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya99242 жыл бұрын

    Iyo ngoma mm chid naijua wakat ndio huu video kota za ilala

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Жыл бұрын

    🔥 🔥 🔥 sana ila unakipaji kingine unacho kuongea na sigara mdomoni muda wote huo😅😅😅

  • @user-vc2qy9tf1s
    @user-vc2qy9tf1s7 ай бұрын

    Me macho kwenye sigara inadondoka saangapi 😂😂😂

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Жыл бұрын

    Great 🌟

  • @graysonsamwel7417
    @graysonsamwel74172 жыл бұрын

    I like

  • @francismboma6839
    @francismboma68392 жыл бұрын

    Bado tunakuitaji bro unakipajikikubwa.nyimbo kama Tell me way,marshallah na zingine nahisi muziki mzuri wa bongo.

  • @user-dv6zf7yc2f
    @user-dv6zf7yc2f Жыл бұрын

    Kizaz Sana Kaka %100

  • @makejaffar8119
    @makejaffar81192 жыл бұрын

    Ase huyu jamaa sauti kama Mungu alimpendea WALai

  • @rajumrecords9660
    @rajumrecords96602 жыл бұрын

    Chichichichichidy Beeenz☺️🎤✅

  • @geoffraymongella6096
    @geoffraymongella60962 жыл бұрын

    Woza🔥

  • @rahmahamis7067
    @rahmahamis7067 Жыл бұрын

    Nakuaminiiiiii iiii wewe ndio dawa ya kunitbu ........😍

  • @allycomm1553
    @allycomm15532 жыл бұрын

    Tatizo full style zilezile badilika bhana ww unaweza n unaladha nying bora uweunachan ata zile vers upo na nonini

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes Жыл бұрын

    Sauti yake Tu. Uyumwamba. 🔥🔥

  • @arnoafrican7619
    @arnoafrican76192 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @festomtewele4
    @festomtewele42 жыл бұрын

    Lil we Ni mnyama sana

  • @abdulazizjuma2743
    @abdulazizjuma27432 жыл бұрын

    Smart brain chidyyy

  • @kulwarichard4849
    @kulwarichard48492 жыл бұрын

    HIYO SIGARA IMEGANDISHWA NA GUNDI AU😂😂😂

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣umewaza kama mimi maana haidondoki jamani

  • @rashidilibuka3333

    @rashidilibuka3333

    2 жыл бұрын

    Itakuw supa gruu

  • @twalbuabdallh8209
    @twalbuabdallh82092 жыл бұрын

    Chid Benz unga umekushambulia Sana kak

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid55932 жыл бұрын

    Hyo intro its dope brother 💪

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    2 жыл бұрын

    Appreciate 👊

  • @abdallasaid5593

    @abdallasaid5593

    2 жыл бұрын

    Nko Kuwait lakini hakuna content yko inanipita bro

  • @aloycesambuta9937

    @aloycesambuta9937

    2 жыл бұрын

    Balaa mnoo

  • @farajiwanted8257
    @farajiwanted82572 жыл бұрын

    Nakubaliiii

  • @ibrahamis8795
    @ibrahamis87952 жыл бұрын

    Kubwa Sana hiii

  • @omarymdoe5836
    @omarymdoe58362 жыл бұрын

    Ebhana huyu chid🙌🙌🙌🙌

  • @billnassnenga6926
    @billnassnenga69262 жыл бұрын

    Chidi ,🔥🔥🔥🔥🔥🏃🏃

  • @franchescofredrick652
    @franchescofredrick6522 жыл бұрын

    💥💥💥💥💥

  • @attainer-jr7494
    @attainer-jr74942 жыл бұрын

    Chid anaongea points tu

  • @ombenimilinga3638
    @ombenimilinga36385 ай бұрын

    Huyu mwamba ameshindikana Anabwabwaja na sigara mdomono halafu haidondok😂

  • @emmanueldastan8410
    @emmanueldastan84102 жыл бұрын

    Hyo nyimbo hpo mbon kama umeimba matuc😃

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats2 жыл бұрын

    We jamaa ni kinega sana me nilkumaind toka umekua chawa wa boss wako.

  • @storyboymusic5572
    @storyboymusic5572 Жыл бұрын

    Surely chid hio sigara haiyanguki🤣🤣🤣

  • @slimsan3859
    @slimsan38592 жыл бұрын

    Chid chid chid....!!!

Келесі