CHID BENZ HAJAWAI KUONGEA HAYA! Ruge, Sio Marehemu, Bado yupo!
Ойын-сауық
Utamjua Chid Benz kuanzia anaingia kwenye game, maisha aliyopitia hadi leo 'WATU WALIKUWA WANAJUA MIMI NAKUFA' Humu ndani kuna story zote kuhusu Ruge, Babu Tale, Diamond, Alikiba, Joh Makini, Rayvanny, Madawa, Madee, MB Dog, Fid Q, Mwana FA, AY nk
Chid humu ndani kaongea UKWELI MTUPU.
Susbcribe channel hii, LilOmmyTV, Comment, Like na Share video hii kwenye Groups zako za WhatsApp
#LilOmmy #ChidBenz #Podcast
AV Media Studios
(c) 2021
Пікірлер: 224
Great interview 🔥🔥🔥
Ukimuhoji chid jiandae kuwa msikilizaji zaidi kuliko kuuliza maswali! 😃😃😃 Jamaa mwongeaji huyu! But Yuko vizuri! Very smart!
@feysalhamis5277
2 жыл бұрын
Kweliii
Hichi kichwa si cha kuuliza maswali Mepesi.. Watu hawamuelewi Rashid(ChidBenz) anajua nini anafanya siku zote 🔥🔥🔥🙌🙏
Hii akaunt ulitakiwa uindeleze kpnd kile ndo umeingia tu wasafi maana moto wako umepungua ulivyoenda tu wasafi na kuikacha hii chanel.U deserve better champ.much respect KING🏅
Nadhani hyo sio sigara ni aina ya dozi ya kuacha ngada ...all in all nampenda Sana chid
Whether you like or not, beenz is the best and he is always doing big
@sazrz9686
2 жыл бұрын
Big up brother chid✊🏿✊🏿✊🏿
@LilOmmyTV
2 жыл бұрын
Kabisa, lets support his new album as well Wa2wangu👍
@alliymohamedalliy6524
Жыл бұрын
@@LilOmmyTV sorry, wacha Raiya watumie hizi 2 x na nyenginezo, ila wewe Inapaswa uwe really Text, hizi 2...hazileti picha nzuri kama mtangazaji, ingawa najua una eleweka ila unakupunguzia CV🙏
Chidiiii Beeeeeennzzzzzz ILALAAA MABEGAAAANNNN errrr dayyyy all dayy
Chid huyu jamaa ni genius anakumbuka vitu vingi balaa aseee kaua sana
Mikamwamba present chid benz intro 🔥🔥🔥Mashallah Misele rip banza stone bhanah#much respects marco chali Popopisha enzi ya lamar🔥🔥🔥🔥🔥 Popopopisha
sasa ommy hivi umekua mweupe boss !!! kweli maisha yanaenda kasi sana 😆😆💪💪💪👏👏
The Intro Is On FIREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chid Benz ni miongoni mwa watu talented duniani
Chid Benz Ndo Maana Halisi Ya Super Star Yani Hata Akae Miaka 10 Bila Ngoma ILa Akirudi Kwenye Game Bado Jamii Inampa Ushirikiano, Msaani Pekee Ambae Hatumii Kiki ILa Bado Anatrend Mjini, Msanii Pekee Mwenye Akili Nyingi Kuliko Wasanii Wengine Japo Jamii Inamchukulia Pouwa, Hajawahi Kuboa Katika Interview Zake Yani Presenter Unaweza Kujikuta Umekaa Kimya Una Kazi Ya Kuitikia Maana Mwamba Anaongea Mwanzo Mwisho, Big Up Big Broow Chid Benz Chuma...
Hivi Chiddy kajisahau kama ana sigara mdomoni 😂😂😂alafu anaweza kuongea na sigara yake mdomoni
@burihabwaramadhan6162
Жыл бұрын
Hivi sigara kagongelea na Nini aise🤣😂
kuna nyimbo ya siku nyingi sana Chid aliimba na matonya inaitwa "usinipe lawama".....goma kali sana.....now is the right time to do the remix...itabamba sana
Chidi kaa kwa room skiliza ngoma ya DAR ESALAM STAND UP then tupe kitu ka hicho uone miujiza mi nakuamini sana
Muda mwingine najiuliza una uzuli wa namna gani na nashindwa pata jibu ukiwepo wendo chanzo Cha kunipoza nafs yang Napo pata majalibu
@kyeliamametumba5260
2 жыл бұрын
Inaitwaje
We chid weee una hatare sanacaf lil ommy hamumtendei haki chid inabdi interview zenu mumlipe pesa nyingi sana...
Chid tunajua watumia hiyooo misigara but mpaka kwa interview ya nin my bro change bhna
@wistonesawe
2 жыл бұрын
Could be a marketing scheme for views or clout .plus anaishi life yake we nani ku judge
@damasmshingo3500
Жыл бұрын
We demu mehu sigara ya chid inakuhusu nn mwambie basha wako nae avute.
Guys huyu chid ni mtu mwenye IQ 1000 anavyoongea nafeel sana, he's real.
Lil Ommy ni Goat ndani ya East Africa kwenye maswala ya burudani .Salute sana Mr.
@LilOmmyTV
2 жыл бұрын
Appreciate👊
I love him... ❤❤❤🙌🏽
Video ipo clear sana, big up lil Ommy 🔥🔥
@LilOmmyTV
2 жыл бұрын
Pamoja sana, Enjoy
Namkubaligi sana kaka mkubwaa Chid
Interview za chiz hazijawahi kunipitia bila ya kusikiliza
Lil for me you're the best mc have ever met you have tought me so much in interviewing to enzi hizo
sigala haidondok 😂😂😂
Chid is the legend de icon....the greatest rapper ever in East africa
Huyu jamaa ni bonge la rapper, tatizo tz hatumkubar mtu mpk atoweke,huyu jamaa ni chuma sana...
Binafsi namkubali sana benzino anajua mnoooo oooooo napataje albam yake nipo chuga
Namuelewaga sana huyu mwamba sijui kama kuna mtu anamuelewa kama mimi🤣
Daaah nimemuelewa mwishoniii brain kubwa
Chid we do mchizi wangu 🐐👑🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sema lil ommy chidi anakukubali sanaa
Interview za Chid hua ni funny na kali🔥🤣🤣
@noxlosingida2369
2 жыл бұрын
Maswali kidogo tu majibu kibao 😂😂
@salomewandya7257
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@emmanuelphilipo
Жыл бұрын
@@jacquilinenoah949 ❤.
Our ilala king chuuuuummaaaa🔥🔥🔥
Sasa brother chidy sigara ya nn hapo..bora ungevuta tujue unavuta lkn sigara huvuti nn maana yake..nakuja kugundua wenzetu wanatuzid kwasababu v2 vya vinaendaga kiuhalisia sana. Kam kutakua na pombe basi watakunyw kam n sigara au bang watavuta..sasa hyo yako n nn?! By de way nakukubal sana nymbo zako
Kafanya na mzee yusufu tarabu itakua amapiano😅😅😅
Napenda interview za chid Benz kuna vitu unajifunza
Sigara mdomoni mwanzo mwisho...de legend imself.....
@edgarnandonde48
2 жыл бұрын
😆😆😆😆
🤣🤣🤣Aliyesikia Naweza Tomb....nje kite ila kwako siwez kujaribu LIKE APA
@rabsontryphon9254
2 жыл бұрын
Naweza Tamba kote ila kwako sithubutu siwezi hata kujaribu, boya ww
@rabsontryphon9254
2 жыл бұрын
Unawaza ukufala kichwan mwako
The mvp tambwe umetisha 🔥🔥🔥🏹
I never get tired of this interview
Chid wewe ni 🔥🔥🔥🔥
Iyo fegi kama inagundi
Chid Benz nakuelewa sana ila nyimbo zako za saivi unazingua ma yoyoyooo heheeeee braaa braaa sijuwi ndio manini andka kama zamani naamini unakitu kikubwa sana kichwani wewe
Oh Yeah/Stuffs like that. Bado sana ngeli
Chid Benz alikuja Show akiwa makero mbaya Sana 😅😂..🇰🇪
Big up brother chid
Safii broo nakuelewa saanaa
Dopeeeee
Nimecheka kabla sijafungua hii video 🤣
Huyu chidbenz alipwe na kila baada ya lisaa
Love chidi benz
Mpigeni tuff hyu mwamba jaman anaweza
Uuuuuuw 🔥💥🔥🔥
Nakubali sanaas
Kwani fegi chidy umepaka gundi 😂😂😂😂Ila nakuelewa sana
Chid your are the best all times
mpa leo namkubali mfalme wa hip hop chidibenze.
DU? MUNGU INGILIA KATI JUU YA AFYA YA KIJANA HUYU NA AKILI YA KIJANA HUYU BADO TAIFA LINAMTEGEMEA SANA TENA SANA ULIMPA AKILI NYINGI WEW MWENYEW MUNGU WEWE NDIE ULIYE MUUMBA INGILIA KATI PEPO MCHAFU ANAYEMWANDAMA AKASHINDWE KWANI WEWE NDIE TABIBU MKUU KULIKO MATABIBU WOTE. ASANTE
Hongera sana Liliomy
Noma noma sanaaa
chid 🔥🔥🔥🔥
No one like chid Benz, shout out to lilly ommy (MVP)
Huku ndio nilikuwa nakutaka Ommy big Sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@aderickfrank4611
2 жыл бұрын
Tatizo ni hyo sigarete chid unamazuri mengi Ila mabaya umeandamana nayo,,,,
Good presenter + Good MC
Mnyama sana omy
Good enterview
Umetisha mzeee
Iyo ngoma mm chid naijua wakat ndio huu video kota za ilala
🔥 🔥 🔥 sana ila unakipaji kingine unacho kuongea na sigara mdomoni muda wote huo😅😅😅
Me macho kwenye sigara inadondoka saangapi 😂😂😂
Great 🌟
I like
Bado tunakuitaji bro unakipajikikubwa.nyimbo kama Tell me way,marshallah na zingine nahisi muziki mzuri wa bongo.
Kizaz Sana Kaka %100
Ase huyu jamaa sauti kama Mungu alimpendea WALai
Chichichichichidy Beeenz☺️🎤✅
Woza🔥
Nakuaminiiiiii iiii wewe ndio dawa ya kunitbu ........😍
Tatizo full style zilezile badilika bhana ww unaweza n unaladha nying bora uweunachan ata zile vers upo na nonini
Sauti yake Tu. Uyumwamba. 🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Lil we Ni mnyama sana
Smart brain chidyyy
HIYO SIGARA IMEGANDISHWA NA GUNDI AU😂😂😂
@noxlosingida2369
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣umewaza kama mimi maana haidondoki jamani
@rashidilibuka3333
2 жыл бұрын
Itakuw supa gruu
Chid Benz unga umekushambulia Sana kak
Hyo intro its dope brother 💪
@LilOmmyTV
2 жыл бұрын
Appreciate 👊
@abdallasaid5593
2 жыл бұрын
Nko Kuwait lakini hakuna content yko inanipita bro
@aloycesambuta9937
2 жыл бұрын
Balaa mnoo
Nakubaliiii
Kubwa Sana hiii
Ebhana huyu chid🙌🙌🙌🙌
Chidi ,🔥🔥🔥🔥🔥🏃🏃
💥💥💥💥💥
Chid anaongea points tu
Huyu mwamba ameshindikana Anabwabwaja na sigara mdomono halafu haidondok😂
Hyo nyimbo hpo mbon kama umeimba matuc😃
We jamaa ni kinega sana me nilkumaind toka umekua chawa wa boss wako.
Surely chid hio sigara haiyanguki🤣🤣🤣
Chid chid chid....!!!