CHIDI BENZ :NISHAWAI KUMPIGA DUDU BAYA/ KASSIM MGANGA X TUNDA MAN SIO / MATONYA MSHIRIKINA SANA ...
Ойын-сауық
PRO24 is a company founded in 2008,with the combination of multi talented Deejays from Tanzania playing the Best mixes from Africa and around the world.| MIXTAPES | HIP HOP| | R&B| | CRUNK| | REGGAE| | DANCEHALL| | HOUSE| | KWAITO| | NIGERIA| BONGO FLEVA| | GENGE| AND EVERYTHING YOU LOVE..|MORE INFO @ WWW.PRO24DJS.COM| @PRO24DJS
Пікірлер: 205
Jaribu kuwa na swali fupi ili upate maelezo marefu. Gonga like kama umeufeel huu msemo.
@swaleheali7167
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 huyu ndio chuma
@livingstonemaarifabatawe9829
2 жыл бұрын
😅😅😅
That female presenter has a bright future.
Hata kizungu imetulia kwako kama legend uko juu 💕 💞 tu sana chiddi benz nimekukubali bro
Nikiwa na stress nazitoa kwa kumsikiliza Chidi Benz au Mwijaku 😝😝😁😁🤣🤣
Jarikuwa na swali fupi ili upate maelezi marefu😁😁😁uyu Ni chidy benz
Kitendo cha watangazaj kumpa airtime ya kutosha kujielezea safi sana mana km design anatoa madonge rohoni ambayo pia inasaidia yy kupata relief ya moyo!!!!!
@mussamsella8560
5 жыл бұрын
Very true ... Uko sahihi sana
@thebroski9763
5 жыл бұрын
True say unapoongea ndio unatapika uchafu wote
@swaleheali7167
5 жыл бұрын
Nimependa sana caption yako
Nakubali kwamba chid ni kipaji kikubwa siku zote !!!
CHID BENZ yuko open Kama alivyo GIGY MANEY 😁😁
Uyo mshkaji sijui mtangazaji wakiume tafadhali mwambieni atafute kazi nyingine hapo hapamfai kwasababu hayupo kiprofesional yaani yeye kila kitu anasaport apo chid anasema matonya alikuwa mchaw* yeye anasema yaaa jee siku mkiwa mnamuhoji matonya nini kitatokea !!! tell him to change uyo dada yupo gud yupo vizur sana ila jamaa kazingua mtangazaji hautakiw kuwa upande wowote wa team
Hahaha jaribu kuwa na swali fupi upate maelezo marefu😄😄
nmeipenda hii. "jaribu kuwa na swali fupi ili upate maelezo marefu"
Mapengo mengine yanazibika, Ila pengo la chid benz Halizibiki mileleeeeee. Nitaendelea kukupenda mileleeeee
chid ww kwaiyo diamond alikuwa anaogopa kutwajwa katika list ya mashoga nandmn kampushi dudubaya ii kali nimefrhi balaa
Nyimbo zinazoashiria matusi kwa kweli sio kitu kizuri mie mmojawapo mwanangu akiimba naumia sana na anakuwa hajui maana yake
Tunaskilza interview au mziki tuchague kimoja👍
BEST HIP HOP ARTIST IN TZ NO MATTER WHAT.
huyu jamaa ananichekeshaga sana big up broo i like
Ebwana mtu akiwa anahojiwa hizo background sound ziwe chini kifogo tusikilize
Calypsoo kaanzia huku kumbe
Jaman interview nzuri ila beat inaboa ipo juu San zaidi ya sauti mzee chid jaribun kupunguza saut ya beat iwe chin Sana tusikilize madin ya chid benzi bhana
Jaribu Kua Na Swala Fupi ili Upate Majibu Marefu...!!😂😂
@lilliandavid3212
5 жыл бұрын
Haz Kiss 😂😂😂
@livingstonemaarifabatawe9829
2 жыл бұрын
😅😅😅
mbona fujo sanaaaa nyie punguzen mzik apo bit kubwa kuriko kumsikia chumaaaa apo ✊
namkubali sana chid
Chidy uko real 👌👍🏾
chidi wew ni chuma daima
My E.A Tupac..from 254 yo my #1 Black ninja.
That's my hero
To be honesty chid yuko real mpaka raha, alafu uyu mdada anaijua kazi yake sanaaa naweza sema kwangu ni the best female Presenter, mjanja na anatoa nafasi nzuri ya msanii kuongea, toka naanza kumjua child hii ndio best interview kwangu, nimejua vingi sana hapa, Bang mnairudisha kwenye ushindani Wa kibihashara Tbc. And bay the way nimeona kopo la maji ya hill hawa watu awaoni kama ni idea ya kuleta udhamini hapo hahahah big up pro 24djs mi ni shabikiwenu sanaaa
@mdachiog5211
5 жыл бұрын
True kabisa
ChidGenious That's hip hop Hip Hop Its All About Being Real "U know U Ain't Real If U Ain't Live What You Rap"IN ONE THE INCREDIBLE VOICE
Mtangazaji mmi ni mama wa chid benz sipendi aulizwe maneno hayo akuna mengine sio mara kwa mara msipende kumuuliza ya nyuma matatizo yake kama mie mama mzazi sipendi jamani
Listen to the content before you post.... Background inaudhi
Chidi Benz nakuvulia kofia na salute juu - wewe ndio msanii wa pekee usotaka Kiki, sio mnafiki wa maneno kitu kizuri kwako ni honesty na ku stay original
kama umesikia chidi benz akimwambia nipe nafasi kidogo akimwambia mtangazaj wa kiume
Namukubali xna huyu jamaa anapoint kiniumaaa
Big up chidi tunakuomba achana na madawa rudisha lafamilia
Chid ni kichwaa
I say chidi nakusalute mzazi...umetisha kinyama, u r my mentor
Chuma nichuma dunia mapito mkuu kila japo uja nauondoka
Leta ngoma babu tumemic vitu vya ki konk....CHUMA💪
Raha sana jamani 👌👍🏾
One of the best rapper of all time,one of the best interviews from him. I'm so sad to see him down seriously he don't deserve to be like he is now. Lord have mercy for him, hopefully he will be at the top someday. Chid, you are so smart guy. Your interviews never bored i really appreciate you bro
Chid benz you are ginius
MAOJIANO MATAM TATIZO MAFUPI SANA JAMANI CHIDY ANATOA MADINI YA HATARI
@hilarymungure8590
5 жыл бұрын
Naenjoy sana chidyy nkichokaa mwijuka nkichoka lisuu mid night😄😄😄😄
Matonya mchawi🙋🙋🙋🙋🙋
Genius chidy Benz
Huyu jamaa toka alivyomuongeleaga dudubaya kipindi kile yupo kifua wazi nikaamini kabisa huo unga wake hata mimi anipe nijibusti kidogo. Maana sio kwa akili hizi...😂
@juliaslengai3323
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mtafte akugawie
@livingstonemaarifabatawe9829
2 жыл бұрын
😅😅😅
Sounds track ipo juuu Sana ATA maneno mengine huskii vizur
Mnazngua sauti la beat linakera kisenge yani hata sisikii ki2
Kweli chid nakubali harakat toa ngoma mpya
Lafamilia for life🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chid G.O.A.T 🙌🏾
Nataka kusikia mazungumzo.uwo mziki unachafua mahojiano
Kwel kabisa diamond aliogopwa kutajwa na dudu baya
Chidi you are real bro 254
Dah "jaribu kuwa na swali fupi ili upate maelezo marefu" chid vooom
U did a lot Chid Benz kama hawakushukuru Basi tena.
Chuma Mwenyewe ndiyo huyu, ilala familia hood.
Aisehhh mim nampenda sana chid Benz
Mtangazaji punguza wenge
Chidi katema sana madini leo
chid iyo mewani siyo kabisa chuma aiko poa
Jamani ninampenda sana Chiddy. Yaani anaongea vitu vya ukweli na haki mbele za Mungu. Huyu kaka Mungu ampe tuuuuuu baraka zake na amuepushe na matatizo ya hii dunia. Ninatamani kukutana nae siku moja. Ata ninywe nae soda tuu, na tupige story mbili, tatu INSHAALLAH....🙏😊
Toa jiwe babaaa
huyo mtangazaji wakiume anaboa
Huyo presenter wa kiume ajifunze kunyamaza na kumwachia nafasi anayemhoji sio kuwa anamalizia maneno kama yeye sio presenter anakuwa kama anajihoji. ila huyu dada she is perfect
@vinny.morales
5 жыл бұрын
Sure! Huyu presenter wa kiume hajielewi kabisa.
Duuuuuh!!! Bonge la Interview mwisho Chidi umeongea Mawe sanaaaa Aiseeeee nomaaaaah!
Kusema kweli chidi upendezi na kipini cha pua .....🙃🙃🙃 naangalia pua usishangae😏😏😏😏
PUNGUZA SAUTI YA MUZIKI ILI TUWEZE KU-CONCENTRATE KWA KILE ANACHO SEMA.
Bonge la interview na chid benz kaongea point sana
Aisee chid una akili nyingi sana
Jamaa anajuaa uyuu aseee
Kumbe mond aliogopa kutajwa xio kwani nae chokooo
CHUMAAAAAA
Chi ... chi.. chi... chizi maarifa chidi benz...
Yaaan huyu mtangazaji wa kiume anasapoti tuu yy hajui kazi yake
one day naamin tutafanya ngoma poa sana Mimi na wewe
Heege chidi katapika ukweli wote..
Nakuelewa chidy
Chidi is a genius ...Chidi is wise ..wiser than all the tz artist
Am inlove with ya english chid..
Hiki chuma chenyewe sana,yani tunaaminishwa tu uongo kupitia mapungufu yake,ila jamaa ni hatar Sana.
I HAV MET CHIDI BENZ IN 2009 TEMBO CLUB MOMBASA.
Watangazaji kama wanamuogopa hivi chid wanacheza na saikolojia yake
beat inazngua...
muwe mnabalance hizo beat zenu tusikie sauti vizur
@balozibalozi5257
5 жыл бұрын
johnson mfinanga aisehhh wengine tuko bar tunasikiliza ni kelele Tupo sounds ziwa chini Na chid kawapa airtime kanifanya ni subscribe
Best interview ever
Beat iko juuu
😂😂😂😂 am done
Nafatilia sana interview zako
Watangazaji mnazingua
superstar
I like the last part...
This video is annoying a lot you cant hear the artist just because the background music is high than the voices of the people talking
THE GOAT🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
salut bro chidi.ww Ni zaidi ya zaidi.
Unajua bro
yan sitamani hata iishe dah
Mwendelezo tunaomba
Nimekuelewa sana interview nzima
Hahaaa jaribu kuwa na swali fupi ili upate maelezo marefu🗣
@mbagochallange3882
5 жыл бұрын
Hahaha nilicheka sana 😁😁😁😁
@Blackie_blackie9327
5 жыл бұрын
@@mbagochallange3882 hahaah
@nasraabdallah90
5 жыл бұрын
blackie n hahhhahh chid ni soo