CHIDI BENZ: JUX SIO MSANII / WANAMUUA ALI KIBA KUSUDI / WEUSI KILA KITU WAO TU / NANDY SIO MZURI
Ойын-сауық
PRO24 is a company founded in 2008,with the combination of multi talented Deejays from Tanzania playing the Best mixes from Africa and around the world.| MIXTAPES | HIP HOP| | R&B| | CRUNK| | REGGAE| | DANCEHALL| | HOUSE| | KWAITO| | NIGERIA| BONGO FLEVA| | GENGE| AND EVERYTHING YOU LOVE..|MORE INFO @ WWW.PRO24DJS.COM| @PRO24DJS
Пікірлер: 1 200
Yaan kama unamkubali huyu mwamba acha majungu gonga Like yako hapa aisee mimi binafsi namkubali Sana chid benz Chuma ☝☝☝
Kama unaamini mungu sio mwanadamu weka like yako kapona jamaa
Ni izi madawa tu ase ila chidi ni mtu kzuri sana na anaongea kwa kujiamini sana mi namwomba Mungu amsaidie zaidi awe vizuri mm hapa sitaki like zenu kabisa
Chidi ana sauti ya microphone.. Chidi apewe kazi ya utangazaji,kazi ya redio anaweza. Alaf watu wanapenda kumsikiza. Hivi Tanzania,, mmekiona hicho?.. Gonga like,,kama unakubaliana nami..
YUWAPI YULE MPUMBAVU WA SAUTI YA VIROBA ANAJIITA DUDU BAYA AANGALI CHUMA AKITOA CHECHE PUMZI KAMA ZOTE .GOOD CHIDI
@lulanjamd3886
5 жыл бұрын
Jamaa anaweza sana
@furahaanaongeapointxanampe2585
5 жыл бұрын
Safiiiii
@africanmandetraveler2847
5 жыл бұрын
Dudu baya mi simuelewi kabisa na kuchuana na mwanahip hop kama chiddy bado sana
@timothmwakakusyu4563
5 жыл бұрын
Stifanic Dzuya hiki kifaa noma sana, sasa chidi ndo konk master afu dudu Mrs konki
@samuelpaul9212
5 жыл бұрын
Stifanic Dzuya kwan yule dudubaya ana rap? Yule mbana pua tu
Duuhh aise kama umemkubali chid kwa ushauri wake kwa P Makonda gonga 👍
@jacksoncharles721
5 жыл бұрын
Chuma nomasana
@muharamseleman1976
5 жыл бұрын
Bab kubwa
@rashidmkangala3024
5 жыл бұрын
Namkubali Sana huyu jamaa anakitu flan Sana.
@tzviral7342
5 жыл бұрын
Afu wakigonga Like inakusaidia nini? PUMBAVU kweli
Chidiiiiiiiiiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 asee uyu jamaaaa mwamba pumzi ka yoteee
Kama umekubali uyu ndio chumaa gonga like apa
Kama umeamini kwamba chid ana wachana love gonga like
@omarymaliwa1092
5 жыл бұрын
Salim Yusuph chidi niahatali sana
@mageuzijumamakungwa4778
5 жыл бұрын
Chidy uko na akili sana mungu ni Mwema. ..zidi kumuomba mungu ipo siku watajua
@tzviral7342
5 жыл бұрын
Wote mnaomba Likes, hivi hua zinawasaidia nini? PUMBAVU kweli
Uyu jamaa watu wanamuona boya mjinga ila kaa ukijua huyu jamaa ana kipaji na kufafanua kitu kwa akili zaidi na yuko sawa ila haya anayoyafanya ni bora kwa usalama wake chidi benzi namkubali sana...
@michaelkessy5740
5 жыл бұрын
Kipaji.....ata Mimi nimekiona kipaji chake
@bmmovieclips533
5 жыл бұрын
Kwakwel jamaa yuko vzur kichwani tuu
@fariduvyaboze9110
5 жыл бұрын
Salah Kassim sure
Sio kwa michano iyo chid benz ...👌. Chuma konk yaan ni 🔥🔥🔥🔥
Big up chidbenzino. Peace and love..I and I
HUYU mtu ni zawadi kutoka kwa Mungu isipokuwa kuna watu wanaujua uwezo wake kwamba ni balaa lakini wanadiliki kumdidimiza. Anaongea fact sana nilitumai angejipendelea au kufurahia fulsa hii cha ajabu Ameruka. ..... Noma sana Kama unaamini chid anauwezo mkubwa kifikra tupia coment yako hapa
Mfalme atabaki kuwa mfalme 👑
Chid ana pumzi,hiyo flow ....mapafu ya farasi....!!! Nouma sana....Big up Chid Benz...
Good brother you're the best rapper
Narudia Kusema Chidd ndio msanii pekee wa Hip-hop Bongo anaweza kumkalisha yule jamaa wa Kenya Khaligraph....!!! Mtafutieni Collabo na yule jamaa alaf mtaamini ninachomaanisha!!!! Huyu jamaa ni talented sana
@stevewanga957
5 жыл бұрын
Usimfananishe chidi na Kali graph.... Yule mkenya yuko juu
@shabannyamsalika8959
5 жыл бұрын
Hujakosea
@josspyne5330
5 жыл бұрын
Kaligraph jones ana air tym ya kutosha chid kapotea kutokana na drug addiction ila akipewa air tym kaligraph hana pumzi kumzid chid
@hezborn
5 жыл бұрын
Don’t compare Chid with Khali😂😂 Khaligraph ni 🔥 🔥
@AnalystTosh
5 жыл бұрын
Hiyo Freestyle ya Chidi noma.... Hiyo Collabo ya Khali inafaa..
Chid jaman Like zote apa kwa child kama unaamini ataludi kwenye ubola wake
@abrahmansalum7038
5 жыл бұрын
Child noma xanaa
@nickalreadyknows
5 жыл бұрын
Jamaa yuko fresh sana
@twalbigipson9556
5 жыл бұрын
Sio ubola...ubora
@mengooswadi4670
5 жыл бұрын
Abas Mwakifwamba 😂😂😂😂😂😂
@salumhilal4794
5 жыл бұрын
Ubora upi Chidi benz there is nothing anaweza kufanya kwa sasa yote kamaliza inatakiwa wamzingatie maana he iz only living Hip hop legend alive
Chid nimesoma naye secondary school... mbali na hip hop jamaa alikuwa mkali pia kwenye basketball. Nacheki hii programme mpaka nahisi kulia. Msela ana kipaji kikubwa saaaaaana
******* unapomsogeza rafiki, watu ndio wanapata mda wa kumtumia wakuangamize **** hatari xana. 👍👍
Mm huwa napenda sana interview za Chid 😂😂🔥🔥🔥
@wistondavdi1590
5 жыл бұрын
Hustler Hustler saf sana
@unjuubiunuki8665
5 жыл бұрын
Kumbe chid benz daah unga tu umemuaribu bonge la kichwa
Kumamae Chuma kimerud mamae chid no one like you
Kama unaamini chidi bado yuko on fire gonga like Kweli chidi ni nyoko
chidi nakubali sana kwangu n mkali kwa freestyle.uwe na afya njema
Km unakubal huyu ndo 2pac wa tz like zenu 💪 nakukubal #kingkong
@charsmwaimu2598
5 жыл бұрын
Arafa Zakir
@robertdaud9894
5 жыл бұрын
Kwa kias fulan
@nolanraphael8502
5 жыл бұрын
Chidiiiii
@gambonmgaya1286
5 жыл бұрын
Huyu chid ni so
@japharysety5602
5 жыл бұрын
Broo 2pac afananishwi
Genius Chid Benz, Most Complete Hip Hop Artist in East Africa and without a doubt amongst top 5 best african Rappers, ila tatizo media ni za watu na wao wana watu wao ambao sio kina Chid Benz wenye Authenticity Talent
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Uyu mkuda nimesomaha nae secondary scol sjui alipotelea wapi kabla hajamaliza.nashangaa hewani anarusha vyombo hatari. Tulichenza nae sana basket ball kinyama sana yani.ni defencer moja mkali sana kwene basketball.
@dullahmdido9522
5 жыл бұрын
Daaah chid amenifanya nigundue kwamba watz ni waoga sana kusema ukwel ila yeye kasema
@terrykenzo
5 жыл бұрын
fact
From Nairobi enough love n respect to chidi chuma1
Chid Benz mkalisana Kamanawew hunamkubali chid gonga like hapa
Mungu mkubwa mwili umeanza kurudi kama umeona kama mimi acha like hapa
@kingkala9843
5 жыл бұрын
Makin sana
@stevensteven2319
5 жыл бұрын
Sony boy Tz yap
Binadam wabaya kwakwel daaah @officialalikiba mungu akuepushe🙏
Respect for chidbenzema👏👏👏👏👏👏
Brother umeongea point Sana Leo mungu akuongoze vizuri juu ya sanaa yako na mambo mengine ktk maisha yako yote
Wallah chid anahakili sana kuliko tunavyo mchukulia jaman
@atanasjisonge2538
5 жыл бұрын
Sagara Tv %100 chiz namkubali sana
RC Makonda kapewa ushauri mkubwa sana ambao hata angekaa na wazee wa busara asingeweza kuupata ....big up chid kumbe ushajua kwamba watu wanataka kupaishwa badala ya kufanya kazi ionekane
Chidiiiiiiiiiii weeeeeeeee baba una pumziiiiii,msanii wangu bora wa hip hop muda woooote!!Bado Mapenzi Yangu Kwako Matekeeeeeetekeeee
R, i, p Latino nation, Mtoto wa nyumbani, chid nimekusoma sana kwanini Wasaniii hawathaminiwi, akiwa anapotea, utasikia madawa yule hivi kweriiiiii,,,,,,
Daaaah bro Chidy ww unaakili nyingi sana aisee.....
🇰🇪 I like Chidi Benz
Kweri Chidi wewe ni mkariiiiii nakukubari kwa freyyy stailll noma sana 100%100
Chidi Benz ni bonge la msanii. Nimemfatilia ni rapa hatari sana Africa ila acha tu.Hiki ni kichwa
Baada ya Ngwea, chid ndiyo king wa freestyle
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Miltone Musumbah 254 jamaa no master freestyles
@mwamvitashaban3178
5 жыл бұрын
safi chid, akili ipo nimekuelewa
Yaani this guy can rap bila kutapatapa wala kusita, namkubali Chid100%
@omaryjuma1755
5 жыл бұрын
chid interview zake usipokua makin huambui kitu
Chidy rap godfather🙌
wanabong"oaa na unauuuuuwaaa/..... Mamamamamamaaaaaaaaaaaake! ma true soldier is Baack
Huyu jamaa moto I say kma unakubali npe like
Broo akili mingi Sana mungu akulinde na kila baya juu yako
@mdoefernandes5442
5 жыл бұрын
chumaaaaa
Sitaki muziki na wala nishaacha kushabikia... LAKINI HUYU CHID NI ZAIDI YA MWANAMUZIKI... NI MWANAFALSAFA MKUBWA SANA... ANAFIKIRI KABLA YA KUFIKIRI..... AMENISTUA NA AINA YAKE YA HISA YA AKILI ALIYONAYO... NI KUBWA SANA.... MUNGU AMSAIDIE KWA YOTE. AMEN.
Kama unaamini kua tz hakuna mwana hip hop kama chid benz gonga like
Chidi EAST african legend ...nakukubali sana mm kutoka kenya.
Chiddy is genius...na ipi siku ata rudi na watu hawto amini kama ni chidy
@kinumatheboy2208
5 жыл бұрын
Sanaa broo
@timothmwakakusyu4563
5 жыл бұрын
jamal abdi kweli kabisa huyu jamaa mkali kuliko maelezo yaani kipawa halisi cha hiphop
@hassansaid89
5 жыл бұрын
Timoth Mwakakusyu kurud kwenye Game atarud ila hawez kua na promo kama zaman huyu keshayumba
@timothmwakakusyu4563
5 жыл бұрын
Hassan Said ofcoz nakubaliana naww kwny promo mkuu, Ila kama atabadilika mazima na akaamua kurudi kwa nguvu zote atatoboa na inahitaji kazi ya ziada
@jamalidris885
5 жыл бұрын
@@hassansaid89 hakuna kisicho wezekana mungu aki taka
MashaAllah Big bro Chidi,bongo hatawai tokea mwenzako
Nakuonea huruma chidi benzi... Unavaa chuma kwenye pua.. Pole !! Pole !! Nawapa pole wote mnaomsapoti kwenda jehanum.
Huyu jamaa yuko sawa kabisa bongo music kuna vituko visivyo elezeka vifo vya ajabu vijana wadogo..vijana wamejiunga na vikundi vibaya
@aloyceiluminata3650
5 жыл бұрын
Freemason si umalizie tuu au unaogopa mzee baba?
@nickalreadyknows
5 жыл бұрын
aloyce iluminata 😂😂😂
@yasintalyimo2960
5 жыл бұрын
ngoma za kisadawe
Chidi ni one of my best guys ambao ki mziki na heshimu anawashida wengi ni venye tu hawapendi kuskia hiyo ukweli na huwa inawauma
@FujoohTV
5 жыл бұрын
Sisi tumekuali
Wooooyee chidi kama wamuaminia chidi kama 50 cent hawakuwezi chidi urongo tu mtupu
Chumaaaa nimebakiwa na ww tu sasa baada ya ngwair na zilla.... Daaah endelea kuimarisha afya Kk tupo pamojaaaa
King Chidi , , You the one and only Chidi I Know ... love from 254
Dooooo huyu jamaaa ANAAKILI sana naanajua nininianaongea. Tenasana.
Nakukubali sana ndugu chidybenz kingkong chuma 👇 👍
BIG LOVE FROM NAIROBI, KENYA. CHIDI BENZ
"at the end of the day wasanii tunataka hela.. Kwahiyo yeye afocus sana kwetu apambane na mambo mengine "
jamaa ana akili sanaaa anapaswa kuitwa legend
Daaaa hapo mwishooo umetoa bonge LA ujumbe.Teeena unaweza kuwanyoosha baadhi ya viongozi na watu wengine
huyu mtu angekua karatasi ningeipachika kwenye kurasa za biblia asipotee wala asipatwe na tatizo lolote... Huwa najikuta namhurumia sana He's Genius
Kila tangazo wao wao wao wao waaah huyu jamaa kiboko daah
@kenedynjole9659
5 жыл бұрын
Lugwe Lalo
@sijaboyabdallah5226
5 жыл бұрын
Ni unga huo
ila kweli jux hajui kuimba live ndio kbss hlf ndo clouds inaua wasanii wakubwa kwa kuwakuza watu wasiostahili
Mungu muweke Ali Kiba wetu eeeeh Mungu wangu nitalia sana eeeh Mungu mpiganie Ali Kiba
Wasije wakakumaliza Chidie B wetu kwa kuongea ukweli.Aki may the Lord JESUS CHRIST protect you my Big Bro.Ilove u soo much Bro Chidie😍🤝.
Kenyan but had to listen to chid this guy has ideas for survival... Mistari noma
@danieljusto665
5 жыл бұрын
Benziii a k a chumaaaaa
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Atali tupu
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Chid beng beng.a.k fire....Love familiaaaaaaa.hahahaaaa
@obi_trice2549
5 жыл бұрын
Sana.... Nakubali
@hashimumgessa5273
5 жыл бұрын
Kama unaakili timamu huyu jamaa amesem kitu has kwa serikali yetu ila kama kawaid tutamchukulia poa tu
I nvr stop believing at this guy... I lways compare him with DmX their genius na wamepitia mitian but wana pita..
@kennethedgar923
5 жыл бұрын
Nakuunga mkono
daaaah bro we unajua saaaaana KING KONG KING....👑👑👑
Chid benz wewe unajua ila hayo madawa sijuwi kama watu hawajakuchezea mchezo kwani kwa staili zako ungekuwa hatari bigap wewe king muziki
daa mchiz mwishoni kaongea point sana
Ebwanaaa uyuuuu jamaaa mzimaaa😉😉😉😃😃aumwi anaongea point najua viongozi wanaandikaaa yuko vizuriii
uko poa sana chid mungu akupe unacho hitaj
Chidy kaanza na Utumbo ila kamaliza Utamu sanaaaaaa... MAKONDA astick na mambo ya msingi ya kijamii aachane na visivyomhusu. Kuna taasisi na wizara za kushughulikia hayo mambo.
Hongera sana chid kaka umeongea jambo la maana kwa hiyo bashite ajielewe kabisa afanye vitu vya maana aweke vitu vya maana
@tasenirockrhymes7970
5 жыл бұрын
Dazuu nmekupenda
@cornelyakatangwa489
5 жыл бұрын
Fact kuongea chid
Punchy,crazy rapper... dangerous freestyler!!!!
Ama kwa hakika mm sisubir mpaka ufe ndo nikusifie, ukiacha mapito na mabaya yanayovuma, ww chid una mengi mazur yanayofichwa na vinywa vya wenye mawazo ya kukutokomeza, Uwezo wako wa kurap na aina ya rap hakuna wa kukufananisha nao, hv ni kwann tunaua vizur na kufufua visivyo na ubora? FOREVER U WILL BE MY BEST RAPPER, I like you music style STAY STRONG CHID🙏👏
Jamaa yupo real sana ...amewaeleza watu ya kweli kazi ni kwao kuzingatia
Chid bado ni mwanahiphop asilia ila achane na madawatu kiukweli tumemmisi sn masikioni mwetu kuhusu hoja ya makonda chidi ameongea pwent sn yupo sahihi
Daah huyu jamaa muacheni tu aitwe #Chuma #kingKONG
wanikumbusha mbali sana chid
Chidi anaongea point hata akipingwa alafu bado ni king ana pumzi za nyangumi alafu beat zinakimbiaaa yaaani wewe vipi anachanaaaa 🔥🔥🔥 unachange beat na bado anaflow tu bila sita sita. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa midundo za hip hop zinamuogopa saana💪💪💪💪😂😂😂
@elinessclarence8585
5 жыл бұрын
Woyoooo noma much love sana
@justinambrose3577
5 жыл бұрын
This is genius
@denismrutu9655
5 жыл бұрын
Dkens Mo Pain yaa
Sina maneno mengi, nimeamua kulike tu
Na wewe jaman rud kweny fan jaman chidi washabik bado tunakuitaji banaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥woyooooooooooo
Ilalaaaaaaaaaaaaaah.. mimi hata ukila unga ukila mchele ukila maharagee mi sijali mi tupo pa1 tuu.
Nakukubali chid ,ila nipen no za chid jaman
@halidkuchile4132
5 жыл бұрын
okl
@goodboi9821
5 жыл бұрын
Ukizipata nicheki
@husseinmagari3245
5 жыл бұрын
Mfaume Ramadhani
@cornelyakatangwa489
5 жыл бұрын
Kuna interview alifanya naharini huko alitaja namba zake
@shortfundi3702
5 жыл бұрын
Noma
ku rap ni ngumu bigup chid heeeee hatari ayo mambo yote🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤
Mzee Baba unajuwa kabisa kabisa ww mwalim mkuu
Oyoooooooo chidiii Benz ndio huyo sasa ninaemjua
HahahahahHDooo nimecheka sana haya magufuli umeisikia habarihio chunga usinje ukaenda nyia debe huko alikotaja.
Kama unatamani Chid angekua mkuu Wa Mkoa wetu gonga like.
@ochienglazzarrus8648
5 жыл бұрын
Chid Benz niwa ukweliii
Sina hakika kama kuna anaegusa hzii flooo jamana anaungana nama gonga like
moto umewaka tena. karibu broo
My blood, always I do smile when I see u with good health.
Wow this guy is very smart and talented 😍😍😍
Huyu jamaa ukimsikiliza utajua km anamacho ya kuangalia mbali. Big up brother #chidybenzi
Mi naamini siku moja heshima yako itarud chumaaaaa. Mungu yupo