Chid Beenz awapa neno Diamond, Alikiba, ‘hadi niwaombe ndo mnisupport?’ Afunguka wasanii kutopendana
BOFYA LINK HII KUTAZAMA PART TWO YA INTERVIEW NA CHID BEENZ - • CHID BEENZ aupigia sal...
Bofya link hii kutazama video ya Blood ya #ChidBeenz - • Chid Beenz - Blood (Of...
Bofya link hii kumfollow Chid Beenz Instagram - / official_chidibeenz
Пікірлер: 259
This guy is Genius,May Allah Bless and Protect him Always Ameen
Dah bro sky we ni mnoma sn yani nakuangalia unavofanya interview umetulia unauliza maswali ki profetional huna haraka yani dah nakukubali sn kaka
🇬🇧mimi huyo brother namkubali sana mtoto wa ilala mashallah mwimbo wangu ni gharama za maumivu
Uyu jamaa yupo vizuri sana .basi tu angepata mtu wakumshika mkono ili arudi kwenye game anaweza..please msaidie jamaa
Binafsi mm ningelikuwa ninauwezo flani wamambo yakiuchumi bas ningempa hata jumba lakifahari na gari la thamani sana ilakwaku niwakawaida ntazidi kusapoti harakati za mziki wa Cheedbenz kwa nafas yangu. Ni mtu anajua sana tabia za watu anaifanya nao sanaa hii na nimkweli sana.Safi sana Chidbenz unauwezo wakipekee sana
This wasn't an interview, it was brother Sky giving an ear to his brother. Chid is very honest mpaka nimemuelewa . Lakini yote maisha, na maisha yenyewe hayana jemedari
Mm ndo wakwanza hapa Gonga like twende Sawa
This Guy love everything of him love from Lyon France 🇫🇷
Huyu brother yuko conscious sana,Big up Iron man Chid Benz
Alooooh aisee nimejifunza kitu kikubwa mnoo hapa, Asante sana Brother Chid🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu jamaa sijui kma anajua yey ni genius yani anaongea point2 afu ka2lia kinoma 🤔💯❤❤
Bonge moja la interview big up my brother sky bundala na M.MUNGU Akuajalie uweze kufanya mazur zaid AMIIN
Dully Syke is a very Humble and Support all Artist.. its true... and is holding without Dramas
Wooooow Chid ameongeya point sana♥️♥️♥️.
Iko rahisi lakini watu hawajataka kuwa deep. Chid Benz is so genius, got much love and respect to you bro.
Bonge la interview leo wakubwa wamekutana, Aseee chidi ndio mana watoto wakikuhoji wanafeli kwasababu unajua mambo makubwa sana ambayo watangazaji wa sasa hawa watoto wadogo hawaelewi kitu chochote
😂😂Hii entevew imenipa raha mana nampenda huyu kaka na anavyoongea ndo kabisaaa😅😅swali 1 majibu 100 zinga LA mjadala LA watu 2, anco sky Kawa skayna 🤣🤣🤣 Me na wapenda tu
Chidii tulia basi bro mambo itakua poa but with time and patience bora no worries and panicking 🇰🇪
Before nilikua simuelewi kabisaa, yaani kumbe ana message nzuru kumbe. Big up Bro 🙌🏾
😭😭naumia sana wasiomuelewa Rasheed SeriousGenius like you G...
Chidy mungu akujalie mwisho mwema🙏🙏🙏😭😭😭😭kweli uliwasaidia mchngo wko unajulikana🙏🙏😭😭
Chidi I love 💕 your wisdom and talent .big up bro 😎
Huyu jamaa nachompendea sio mnafki na hana aibu km wasanii wengine
This guy guys he is very intelligent and wide minded
Allah ampe maisha marefu chidi anajuwa kujibu vizuri namkubali
Tenda wema 🚶♀️🚶♀️🚶♀️Mungu atakulipa Chid
I like #chid coz huaga hapeani nafasi host kuongea😂👍swali moja replies to wide explanation but mostly i like your explanation Chid you always right bro Big up frm 2five4 Mombasa 🇰🇪
Nilichogundua Chid Benz yuko mbele zaid ya watanzania au wasikilizaji wake Yaani Rap yake na mashair yako advanced sana zaid ya tulivozoeshwa na rapperz wengine Ndomaana tunaona atumuelewi, ameelezea ngoma ndo naelewa vizuuri na ku enioy
@aggreymsemwa1249
3 жыл бұрын
Kabisa
Chidi namskiza tangu nipo primary school He is a legend big love from doha qatar show kubwa show ya kizaz kweli
@aliy3303
3 жыл бұрын
welcome to mesaimeer
@misapinamiswi5751
3 жыл бұрын
@@aliy3303 kudos
Daaaa sm sijazima ikiita mama 🙆🙆🙆sema daaa God bless you #chidBeenz#WCB#DW
hiyo show ya diamond naikumbuka vzr sana bro chid,ilikuwa fiesta 2010 diamond alikuwa ana perform nyimbo yake ya moyo wangu kipindi kile watu wakaanza kumrushia chupa za maji jukwaani,na hicho ndo kisa cha fiesta kutoletwa arusha kutoka 2010 hadi 2017 ndo wakaanza kuleta tena
@johnsengo1183
3 жыл бұрын
Ilikuwa 2012
Chid unaakili sana kuanguka kwako usihesabu maana umeshajifunza now is your time GOD bless you.
Genius Genius Genius
Chidi yote unayoongea that's the fact wacha bongo hata Kenya uku hakun love artist wanaosaidiana ni wale wale Tu so chidi wapende wasipend tuko na ww kingkong 👊👊
@buanaquendaabdalaabdala8260
3 жыл бұрын
sasa kamba kenya hakun love na bongo hinatakia iwe ivio
Ukubwa wa chid nimeuona kweny dar es salaam standup ngoma haijawahi chuja salute xn
This guy is very intelligent mony
Napenda saut ya chid ever namkubali since day one unajua Sana alafu we mbayaaaa Sana kwenye bongo fleva
Dahh pole sana broo chd
Chid sio mtu wa kawaida aiseeee hatarii sana huyu jamaaa
Akili kubwa😘🔥
CHID NI MTU MAKINI SANA NA ANA UPEO/UWELEWA MKUBWA SANA
Hajawahi kunichosha hata siku moja inshort nazikubaligi Sana interview za chid benz chuma
@estherjustine5266
3 жыл бұрын
Sipendagi kucoment ila leo nimecoment na sijui nicoment nini huyu jamaa sio powa jamani ni mtu na nusu
The truth sets u free,much love Kingkong
Ukifanya interview na chuma uwe vizuri kichwan na usiwe na stress 😀😀
Jamaniiiiiiiiii Chidibezz usijali Diamond mbele ya kamera anapenda kujifanya mwema ila katuaribia saana mziki tangia aingie kwenye msic anataka kuwa yeye tu wengine awafai na kweli wanakuogopa wanajua moto wako walivyokuwa wanakuja magorofani
@winfridadominancy3492
3 жыл бұрын
Mpuuzi
@kaburaakbar4838
3 жыл бұрын
Unaongea ujinga tu
@selemankipoto5173
3 жыл бұрын
Kumbe we ni falaaa point gani hy
@user-nq5bl7kc1p
3 жыл бұрын
Kwhyo anazuia watu wasiingie studio
@andrewjulius3951
3 жыл бұрын
Salute kwa swali lako nimelipenda
Brother Chid is back
Well said Chid. Uko honest 🪒
Prof Chid Beenz
Interview kubwa sana hii nimependa sana Brother Chid anavyofunguka
Chidi Genius 💪🏿
Yani umeingia kwenye hisia zangu kaka Rashidi mara nyingi watu wa ivyo ni sisi we nye nyota ya KAA Uwaga tunapendaga kuongea na tukiongea utuache tuongee tu
Chidy.. saluteee mingiii Broo
LEGEND 💯💯🌍
Bro chid ni genius!
Chid ni soo Chid genius Huwez muelewa kama we ni failures
Mwalimu Chidi Benz, nakukubali kinoma
Mimi nimeshawishika na maneno ya Cbenz kuioitia uzoefu Wa maisha. KUWA MAKINI ,CHUKUWA TAHADHARI.
Big up Chid Benz....unajua sana kaka
Chidi babu kubwaa babu kubwa talent sana
Good wasani wa bongo wamezidi kuwa na roho mbaya
Hiyo ya kumkimbiza kibaka kimya kimya😅😅😅🔥🙌🏿
@aminathaabubakarmasoud565
3 жыл бұрын
It's so funny 😂😂😂😂
Fanya kazi bro pia endlea kuomba saport utatoka Tu kaka
Hapa from DRC/Lubumbashi
Chidy Benz uko vzr unaongea sana pwenty DJ DJ kinyori from south Africa cep town
@simulizinasauti aseee nimemsiliza chid Hadi machozi yamenitoka asee
Nakubali san intarviou zako bro chidi
Absolutely
Real talk hongera sky
Chidy beeeenz nakukubali sana
Nakukubalie sana kaka na hunakumbuka ilala Mtaa wa kilosa hulikuwa hukipata lazima huniitee mama mkwe maan nina mtoto wa kike🙏🙏
Jamaa ana akil sanaaa hyuu mungu kampa nguvu kwenye kichwa dah mpka rahaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥nawakubali wanangu sana
Chidy Benz uko vzr brother unae mfanyia interview benzino uko xawa una palala umetulia
From kenya
Cheed the magic voice yuko pw sana
We sky ndio unampatia chid...unamuachia uwanja ajimwage anavyotaka na sisi ndio tunamfaidi
Skyner 😀 love from Belgium 🇧🇪 #LaFamilia💯
@usanifumaandishi7519
3 жыл бұрын
Nyinyi sio watu wazuri mlitufundishia Lissu wetu ushoga
he is a king
SNS big up broo
Much respect chidi
Halafu brother Kuna mtandao mmoja unapiga ngoma za chid kwenye ring zao wakati cm inaita wafatilie asee nao hao Ni wezi kama hawamlipi
CHIDI kaza mwamba achana na wanafki hao, usiombe chochote kutoka kwao, waombe mashabiki ndio waliwaweka hata hao unaowaomba msaada waeleweke. Fight like a lion mzee usihitaji msaada wa fisi wanakula kwanza wao
Ila chid unaongeaga ukweli love hamn kabisa kwakua ushawajua ww songa mbele wabaki midomo wazi
Itakuwa kama umeng'oa kiraka kwenye jeans ya bishoo tena bishoo matata... laiti ungejua... ungetambua... sababu niwew nanyeshewa na mvua... sababu niwew nachomeka na jua..... dah! Chid Benz fire my best rapper ever...
🔥🔥🔥🔥
Chid yet still good man heshima kwako kaka
Child very nice
Jamaaa Lina akiri sana hili alafu Sela original saruut for topic bab kubwa
Dah nakubali sana kaka chid
Namkubali sana huyu jamaa
Togo ni master
Wale wa kwanza kuview
Yaaani Leo ni siku yangu kila apload niko wa kwanza
Nakukubali toka moyoni chumaaaa
Chid benz👌
Chidi is bar all the time
Hii ndio mana ya ku turn on notifications post, wa kwanza kbs
@josephk90
3 жыл бұрын
Mko wangap sasa mbona mpo wengi kila mtu wa kwanza😆
Genius
Nakupenda sana chidy
Chidi ajuwa sana hna nizamu ya aibu,kama wasaniii wengine