HOTELI YA BILIONEA MREMA ARUSHA ILIYOUZWA, VITU VYA NDANI VYAPIGWA MNADA "INAVUNJWA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 139
@ndukulusudikucho_4 ай бұрын
R.I.P Boss wangu Mr Mrema, dah dunia tunapita saaana, nimejifunza mengi, hasa mbinu yake ya kufanya kazi usiku kucha na kulala mchana kutwa.
@mgayamgaya
4 ай бұрын
😀😀😀😀usiku watu wakilala ndo muda mzur wa kutafta pesa maana hamna msongamano
@leylascherer31114 ай бұрын
Ihave good memories Impala ❤ you will be missed 😢
@user-tt7cu2et1x4 ай бұрын
Jqmni😢😢😢😢 aisee kuna binadamu wanapenda wenzao wakishindwa kimaisha wallah
@hassanmwallimu57674 ай бұрын
Huyu jamaa majibu yake tu ni mshenzi kabisa
@NowelaRaymond-zq4ys4 ай бұрын
Hivi uchafu unaweza ukauzwaa, matumizi mabaya ya lugha. Tutumie lugha vizuri hapa Duniani sio petu , tu wapitaji tu jamani.
@zaynabkarama178
4 ай бұрын
Huyu ni jambazi la siku nyingi atajua lugha saa ngapi mjinga sana huyu
@Muuzambuzi
4 ай бұрын
Yani dar
@elibarikmafie74904 ай бұрын
huyo jamaa ana dharau sana utadhani ataishi milele mjinga sana pua inaangalia chini
@user-vc5it8uo6q4 ай бұрын
Uyo aliye ita uchafu alaniwe atakuwa masikini sio muda
@mokeya
4 ай бұрын
Bado hujatembea . Hayo sy maneno yake ndo mabos wenye pesa zao huwa wanasema hv mwenyew ni shuhuda wa hayo . Tena hotel zingn huwa wanavigawa bure kabisa wanaita uchafu maana anataka kuweka vyake vipya
@nth35124 ай бұрын
Duh, MASHA ALLAH, kuna watu wanaela, yani mtu ananunua dude la mabilioni na hana shida nalo, anabomoa anaweka lake.
@user-ts6mk3um2r4 ай бұрын
Huyu nae ushuzy mtupu tuonyeshe kwako nyau wewe
@mwitaagness4554 ай бұрын
Mbona huyu anaehojiwa anajibu kwa dharau hivi, yaan km alikuwa na bifu na marehemu.. 😭😭😭
@barikilangoy4737
4 ай бұрын
Mara mbwa anakua mkali kuliko mwenye mbwa hapo ana kiburi kama yeye ndio amenunua
@mgayamgaya
4 ай бұрын
@@barikilangoy4737ni kawaida ya madalali wa arusha ,ukimkabidhi kazi anajiona yeye ndo tajir
@johnphilipo6760
4 ай бұрын
Yamaa Fala sana et kuuzwa uchafu uliopo ndani "nikakasirika ghafla"
@wisperfect5320
4 ай бұрын
Nashangaa eti uchafu pumbafu zake
@user-ks7zc6kd7u
4 ай бұрын
Hana akili na hana chochote ndiyo maana anaongea upuuzi
@njiaya68334 ай бұрын
TAFUTA MALI INAYODUMU TOKA KWA BWANA MUNGU ZINGINE NI ZA MDA TU. USISUMBUKIE YALIYOANZIA DUNIANI BILA KUWA NA MUUNGANIKO WA MBINGUNI NI HASARA TUPU.NADHANI MMENIELEWA
@rosehaule67654 ай бұрын
Tena vuq hiyo rosari aisee nimejisikia kukasirika tu..na majibu yko
@evamlay89974 ай бұрын
kama ni uchafu simtupe pumbavu wewe kwahiyo unaona sisi tuna nunua uchafu
@josephk904 ай бұрын
Dah! Ila kifo😢😢😢
@edisonmaliva17194 ай бұрын
Kwa hadhi ya nyota ngapi m sijui😂😂😂😂😂😂
@joharimtango49864 ай бұрын
Hivi serikali haiwezi kuingilia suala hili ili kuokoa uchumi wa kitalii?! Hiyo Hotel nzuri ya kisasa haiwezi kujengwa sehemu nyingine? Dah! Tanganyika yangu .😢😢
@edwardlesian9318
4 ай бұрын
alienunua anataka kuvunja upande moja na kujenga upya sema tu anehojiwa anajibu kindezi tu
@hanifamziray2774 ай бұрын
Jamani ilikuw nzuri sn nilifanya kz hapo muda sn apumxike kwa aman
@Muuzambuzi
4 ай бұрын
Vp ngurudoto urifanyi pia
@michezotanzaniatv4 ай бұрын
Shabiby kainunua Impala anaivunja anajenga upya hela kitu nyingine
@dorcaskidoti249
4 ай бұрын
❤❤❤ hongeraa kwake si yule tajiri wa mabati SHABIBY
@valentineshembilu1256
4 ай бұрын
Dah hivi ni shabiby ,jamaa ameingia kwa kasi kwenye biashara ya hotel,ana morena hotel na royal village dodoma ,morogoro ana morena pia,dar ameinunua travertine hoteĺ magomeni sasa inaitwa royal village
@richytarimo46564 ай бұрын
Sasa mtu kanunua hotel af anataka kubomoa kujenga mpya,,,,, yeye anaona uchafu kwake, sawa na mtu ananunua nyumba then anabomoa anajenga nyumba ya kisasa
@alicehaule13064 ай бұрын
Basi kama ni uchafu mngetoa nje muache anaetaka ajichukulie kama ni uchafu unauzia watu yakazigani mxieeew
@ahadizabiblia58254 ай бұрын
Watoto wanagombea mali, iliuzwa kulipa madeni ya kampuni, kilichobaki wagawane, kila mtu apite njia yake 😅
@fhugghi41094 ай бұрын
Jaman mbn hiyo hotel ni nzuri 2😢😢
@aclassservices22454 ай бұрын
nimewahi kulala hii hotel 2006 ilikuwa Best hotel in Arusha. Kweli mtu akifa na mali yake inakufa.
Watoto wake wamepishana kauli, kila mtu anataka mali
@brandsmedia48614 ай бұрын
sawa tunakuja
@YusuphMarcOgaga2 ай бұрын
Sasa kama vingine ametoa hataki kuuza utalalamika kwamba mbona hauzi zote😂😂😂
@emmalyanga37264 ай бұрын
Morena shabiby tajiri kawafikia wa Kaskazini
@opportunities27674 ай бұрын
Duniani kila kitu kina mwisho😢 Tulikia tunapita apo nje kuna ulinzi wa hali ya juu
@leahsamwel19314 ай бұрын
Iki kimbwa cha boss kinadharau sana..... Mwanaume kuwa na dharau za waziwazi uo ni umama😏😏😏😏😏😏
@ubuntubantu2404
4 ай бұрын
Dharau ipi kaonesha? Una kisirani cha nini? Mimba?
@jskconceptscreativity1575
4 ай бұрын
Lea Samwel
@judyngowi391
4 ай бұрын
Mama yako ndio ama dharau?
@user-th3lj1sl2o4 ай бұрын
Huyu jamaa sio mtu.ni mnyama namuombea agongwe hata na Gari.mtu gani Hana loho mbaya kiasi hivyo
@josephatilunde93294 ай бұрын
Anadharau sana anaita mali ni uchafu, hafai hata kujiita Mkurugenzi!
@gracegeorge4848
4 ай бұрын
Labda mkurugenzi wa nyoko
@dintazdintaz73114 ай бұрын
Mtu akifa na mali zake zinamfata aisee
@saverampangwa5731
4 ай бұрын
Zaburi 49:16-17 16. " usiogope mtu atakapopata utajiri, nafahari ya nyumba yake itakapozidi. 17." Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata." Tumtumikie MUNGU kwa kuwaheshimu wengine, na kuwasaidia wenye uhitaji ili tukapokufa tuishi na bwana YESU milele. Duniani ss sote ni wasafiri.
@sabinaonline65754 ай бұрын
Watu wa Kenya na Lugumbashi waje kubomoa na kuuza nyumba Tansania hii kweli hali????
@dkalbertoanyasime93574 ай бұрын
Kweli tusilinge na pesa tuta acha tunacho lingia halafu badae wataita uchafu ulio achwa na marehemu
@ndigwakoaston2553
4 ай бұрын
😮😮
@modricseif10184 ай бұрын
Uchafuuliokua ndani😢
@edsonnelson44644 ай бұрын
Mrema yupi Lyatonga au mwingine
@mwitaagness455
4 ай бұрын
Nooo... Hii ni Ars, mrema wa Impala Hotel
@JlmwinukaOnlineTv4 ай бұрын
Jl mwinuka online tv
@leonardjackson2694 ай бұрын
Eti uchafu ulioko ndan watu bana
@aloycesamba998
4 ай бұрын
Ni mjinga sana
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Huyu Mwamba Mjeuri hatari
@nicksonnewton15404 ай бұрын
asee hii hotel 5 star asee inauma asee
@valentineshembilu1256
4 ай бұрын
Haikua na hadhi ya five star
@stanchi1384 ай бұрын
Jeuri ya pesa du,,,inavunjwa,,,duuiih
@allenmwambuch36894 ай бұрын
Maden tena😅😅😅😅😂
@hildajoel54 ай бұрын
Nilishawahi kufanya kazi hpa jaman so sad😢😢😢😢😢
@ntopangonyani6964
4 ай бұрын
Ndivyo hivyo tena mtu akifa na kila kitu hufa, Marehem Faustine Mrem alifanya kazi kubwa kujenga haya maeneo Impala na Naula spring hotel lakini sasa kila kitu kinapotea.
@hildajoel5
4 ай бұрын
@@ntopangonyani6964 yaani mwenyewe huko aliko kama anaona nasikitika. Nguvu zake zote zimepotea bure
@jakobongwara30384 ай бұрын
Aaaaaa selikali inanufaika zoote kodizawananchi Sasa kwanini mszikwe nahizo Mali mungu kiboko ya mataperi
@ahadizabiblia58254 ай бұрын
Mwandishi hajui kuhoji
@ArafaSaidi-dg7ii3 ай бұрын
1:14 1:14 1:16
@IMANWILLIAM-bl2ui4 ай бұрын
Ahmed shabiby ndo anabomoa na kujenga hotel nyingne ya morena
@judyngowi391
4 ай бұрын
Shabby ndio kanunua hii?
@IMANWILLIAM-bl2ui
4 ай бұрын
@@judyngowi391 c umesikia jamaa anasema kampuni ya morena hotel ndo imenunua hapo, Morena hotel ni ya shabiby mzee
@judyngowi391
4 ай бұрын
Ooh kumbe? Sikuwa najua Morena ni ya Shabiby! Hao ndio wawekezaji wenye akili waliobaki nchi hii! Tatizo la Mrema aliendekeza makonyagi mpaka yakaharibu Figo akiwa mdogo tuu
@IMANWILLIAM-bl2ui
4 ай бұрын
@@judyngowi391 kwel kabisa warabu sio wenzetu kabisa
@frankdismack77604 ай бұрын
Ipo sehemu gan
@user-zr9sj8sf3w4 ай бұрын
Fala kwl ww na ujitambuhi kbsa tafut chako na ww uone kam ni uchafu bwege ww
@user-ks7zc6kd7u4 ай бұрын
Yeye ndiyo mchafu alikuwa jambazi huyo nashangaa anatopoka hovyo
@frankvianey24384 ай бұрын
Uchafu??huyu jamaa kweli kichwan hamna kitu
@stanchi1384 ай бұрын
3:50
@gladistaemanueliy63364 ай бұрын
Ubwa wewe kama ni uchafi c mtupe naomba mungu mshinndwe kumalizia muishiwe
@user-ur7pw9ek6s
4 ай бұрын
Nimeshangaa eti uchafu alafu uchafu huo wanaupiga mnada nani atanunua uchafu? Wapeleke dampo😂😂😂.
@user-dt6us3wd7c4 ай бұрын
Mgonjwa
@felixhaule70714 ай бұрын
Kanunua Morena means Shabiby,ok
@joshmaths6736
4 ай бұрын
Yaaah
@kennethbenjamin2754 ай бұрын
Familia,watoto wameshindwa kuirudisha Hotel hyo
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Familia zenyew hiz za magomvi Mungu atusaidie tu.
@judyngowi391
4 ай бұрын
Tatizo jamaa alikuwa na wake wengi na watoto kibao
@juliusndule40164 ай бұрын
Wachaga mapenzi yenu kwenye utajiri yanamaliza utu wenu asee
@gloryr94974 ай бұрын
Hivi huo uchafu hapo usoni mwake arusha hakuna saloon
@yazidijumanne51954 ай бұрын
Marehemu hufa na chake pigana upate chako
@barakamatovu4277
4 ай бұрын
Kweli kbs ndugu yangu
@mustafanassoro-zv8fc4 ай бұрын
Hyo jamaaa anajidai anasimamia mnada anapenda umpe Hela kidogo azuie kitu kizuri
@bushbabytz4 ай бұрын
huyu ni msenge ana dharau na hana hela yeyote....
@georgenkanawa7156
4 ай бұрын
hela anayo
@bushbabytz
4 ай бұрын
@@georgenkanawa7156 najua mpaka alikopanga...awadanganye ninyi tu sio mimi
@georgenkanawa7156
4 ай бұрын
@@bushbabytz Anakaa Kinondoni Mzee, Mimi namfahamu na nishafanyanae kazi. Ni mtu POA✓
@Jonnibo4 ай бұрын
Maisha ni ubatili mtupu😮
@user-lq2bx9ox5b4 ай бұрын
Kwa uchafu unauzwa
@RenaldaZeramula4 ай бұрын
Mrema yupi
@judyngowi391
4 ай бұрын
Lyatonga
@emmalyanga3726
4 ай бұрын
Ulikuwa hujazaliwa
@user-bl4sy5ei1k4 ай бұрын
Mwanaume ukipata hela chonde chonde usimbato hovyo hovyo na usizae na baa medi maana nguvu zako zote ulizotumia kutafuta hela itakuwa bure.
@josephk90
4 ай бұрын
Funguka kidogo
@judyngowi391
4 ай бұрын
Kumbe alizaa na mabaamedi? Unajua nimewaza sana kweli angezaa na watu wa maana labda wangekomboa hizo mali! Alikuwa anzaa na wahudumu wa hotel wale wazuri wazuri! Mmojawapo ni dada mmoja tulisoma nae alikuwa mzuri kweli! Nikasikia alizaa na jamaa!
@hassanmwallimu57674 ай бұрын
Huyu msenge nini uchafu ndio nini
@annamussa1854 ай бұрын
Kwahiyo sikuizi uchafu unauzwa kumbe
@user-ii6gs2jg4g
4 ай бұрын
Ndio ndugu. Je makopo si uchafu huo😂😂😂😂
@zainabwage4658
4 ай бұрын
Alaf awasemi 😂😂😂
@esthergasper4815
4 ай бұрын
Ameonyesha dharau mbaya sanaaaaaaaaaaa, sijui mwenye navyo angekuwepi apo maneno pia yangemfyatuka kama hv kweli!! Inaumizaa
@nicholausmasese6337
4 ай бұрын
NA MUUZA UCHAFU SI KAJITAJA!
@rofinkitali37654 ай бұрын
Morena ya mbunge wa ...wapi.
@salmameshack4502
4 ай бұрын
Mbunge shabiby
@hamadsheni8997
4 ай бұрын
Hapa anaitwa saidi.au satco@@salmameshack4502
@MujuniKamugisha
4 ай бұрын
Shabiby uyo anaela kisenge
@PrinceHendry-hp8vv
4 ай бұрын
Shabib
@PaulinaSemindu-ob3de
4 ай бұрын
Morena c IPO Morogoro msamvu stend
@davidlyimo80794 ай бұрын
We una usonji wa mtindio wa 🧠 una madharau yalipitilizaa wakati hapa Dunian unaviachaaa....Shame upon yuh😡
@denismaleo4064 ай бұрын
Jamaa majibu yake dah!. Eti uchafuu
@glorymanga36504 ай бұрын
Takoooo tu nyoooo dharau mbayaa utakufaaa tu na wew🤬
Пікірлер: 139
R.I.P Boss wangu Mr Mrema, dah dunia tunapita saaana, nimejifunza mengi, hasa mbinu yake ya kufanya kazi usiku kucha na kulala mchana kutwa.
@mgayamgaya
4 ай бұрын
😀😀😀😀usiku watu wakilala ndo muda mzur wa kutafta pesa maana hamna msongamano
Ihave good memories Impala ❤ you will be missed 😢
Jqmni😢😢😢😢 aisee kuna binadamu wanapenda wenzao wakishindwa kimaisha wallah
Huyu jamaa majibu yake tu ni mshenzi kabisa
Hivi uchafu unaweza ukauzwaa, matumizi mabaya ya lugha. Tutumie lugha vizuri hapa Duniani sio petu , tu wapitaji tu jamani.
@zaynabkarama178
4 ай бұрын
Huyu ni jambazi la siku nyingi atajua lugha saa ngapi mjinga sana huyu
@Muuzambuzi
4 ай бұрын
Yani dar
huyo jamaa ana dharau sana utadhani ataishi milele mjinga sana pua inaangalia chini
Uyo aliye ita uchafu alaniwe atakuwa masikini sio muda
@mokeya
4 ай бұрын
Bado hujatembea . Hayo sy maneno yake ndo mabos wenye pesa zao huwa wanasema hv mwenyew ni shuhuda wa hayo . Tena hotel zingn huwa wanavigawa bure kabisa wanaita uchafu maana anataka kuweka vyake vipya
Duh, MASHA ALLAH, kuna watu wanaela, yani mtu ananunua dude la mabilioni na hana shida nalo, anabomoa anaweka lake.
Huyu nae ushuzy mtupu tuonyeshe kwako nyau wewe
Mbona huyu anaehojiwa anajibu kwa dharau hivi, yaan km alikuwa na bifu na marehemu.. 😭😭😭
@barikilangoy4737
4 ай бұрын
Mara mbwa anakua mkali kuliko mwenye mbwa hapo ana kiburi kama yeye ndio amenunua
@mgayamgaya
4 ай бұрын
@@barikilangoy4737ni kawaida ya madalali wa arusha ,ukimkabidhi kazi anajiona yeye ndo tajir
@johnphilipo6760
4 ай бұрын
Yamaa Fala sana et kuuzwa uchafu uliopo ndani "nikakasirika ghafla"
@wisperfect5320
4 ай бұрын
Nashangaa eti uchafu pumbafu zake
@user-ks7zc6kd7u
4 ай бұрын
Hana akili na hana chochote ndiyo maana anaongea upuuzi
TAFUTA MALI INAYODUMU TOKA KWA BWANA MUNGU ZINGINE NI ZA MDA TU. USISUMBUKIE YALIYOANZIA DUNIANI BILA KUWA NA MUUNGANIKO WA MBINGUNI NI HASARA TUPU.NADHANI MMENIELEWA
Tena vuq hiyo rosari aisee nimejisikia kukasirika tu..na majibu yko
kama ni uchafu simtupe pumbavu wewe kwahiyo unaona sisi tuna nunua uchafu
Dah! Ila kifo😢😢😢
Kwa hadhi ya nyota ngapi m sijui😂😂😂😂😂😂
Hivi serikali haiwezi kuingilia suala hili ili kuokoa uchumi wa kitalii?! Hiyo Hotel nzuri ya kisasa haiwezi kujengwa sehemu nyingine? Dah! Tanganyika yangu .😢😢
@edwardlesian9318
4 ай бұрын
alienunua anataka kuvunja upande moja na kujenga upya sema tu anehojiwa anajibu kindezi tu
Jamani ilikuw nzuri sn nilifanya kz hapo muda sn apumxike kwa aman
@Muuzambuzi
4 ай бұрын
Vp ngurudoto urifanyi pia
Shabiby kainunua Impala anaivunja anajenga upya hela kitu nyingine
@dorcaskidoti249
4 ай бұрын
❤❤❤ hongeraa kwake si yule tajiri wa mabati SHABIBY
@valentineshembilu1256
4 ай бұрын
Dah hivi ni shabiby ,jamaa ameingia kwa kasi kwenye biashara ya hotel,ana morena hotel na royal village dodoma ,morogoro ana morena pia,dar ameinunua travertine hoteĺ magomeni sasa inaitwa royal village
Sasa mtu kanunua hotel af anataka kubomoa kujenga mpya,,,,, yeye anaona uchafu kwake, sawa na mtu ananunua nyumba then anabomoa anajenga nyumba ya kisasa
Basi kama ni uchafu mngetoa nje muache anaetaka ajichukulie kama ni uchafu unauzia watu yakazigani mxieeew
Watoto wanagombea mali, iliuzwa kulipa madeni ya kampuni, kilichobaki wagawane, kila mtu apite njia yake 😅
Jaman mbn hiyo hotel ni nzuri 2😢😢
nimewahi kulala hii hotel 2006 ilikuwa Best hotel in Arusha. Kweli mtu akifa na mali yake inakufa.
@melanialeonard4031
4 ай бұрын
Vitu vingi siyo vya haki mwisho ndo kama hivi
@frankkessy1260
4 ай бұрын
@@melanialeonard4031 hayati hakuwandaa warithi/wasimamizi vizuri
@ahadizabiblia5825
4 ай бұрын
Watoto wake wamepishana kauli, kila mtu anataka mali
sawa tunakuja
Sasa kama vingine ametoa hataki kuuza utalalamika kwamba mbona hauzi zote😂😂😂
Morena shabiby tajiri kawafikia wa Kaskazini
Duniani kila kitu kina mwisho😢 Tulikia tunapita apo nje kuna ulinzi wa hali ya juu
Iki kimbwa cha boss kinadharau sana..... Mwanaume kuwa na dharau za waziwazi uo ni umama😏😏😏😏😏😏
@ubuntubantu2404
4 ай бұрын
Dharau ipi kaonesha? Una kisirani cha nini? Mimba?
@jskconceptscreativity1575
4 ай бұрын
Lea Samwel
@judyngowi391
4 ай бұрын
Mama yako ndio ama dharau?
Huyu jamaa sio mtu.ni mnyama namuombea agongwe hata na Gari.mtu gani Hana loho mbaya kiasi hivyo
Anadharau sana anaita mali ni uchafu, hafai hata kujiita Mkurugenzi!
@gracegeorge4848
4 ай бұрын
Labda mkurugenzi wa nyoko
Mtu akifa na mali zake zinamfata aisee
@saverampangwa5731
4 ай бұрын
Zaburi 49:16-17 16. " usiogope mtu atakapopata utajiri, nafahari ya nyumba yake itakapozidi. 17." Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata." Tumtumikie MUNGU kwa kuwaheshimu wengine, na kuwasaidia wenye uhitaji ili tukapokufa tuishi na bwana YESU milele. Duniani ss sote ni wasafiri.
Watu wa Kenya na Lugumbashi waje kubomoa na kuuza nyumba Tansania hii kweli hali????
Kweli tusilinge na pesa tuta acha tunacho lingia halafu badae wataita uchafu ulio achwa na marehemu
@ndigwakoaston2553
4 ай бұрын
😮😮
Uchafuuliokua ndani😢
Mrema yupi Lyatonga au mwingine
@mwitaagness455
4 ай бұрын
Nooo... Hii ni Ars, mrema wa Impala Hotel
Jl mwinuka online tv
Eti uchafu ulioko ndan watu bana
@aloycesamba998
4 ай бұрын
Ni mjinga sana
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Huyu Mwamba Mjeuri hatari
asee hii hotel 5 star asee inauma asee
@valentineshembilu1256
4 ай бұрын
Haikua na hadhi ya five star
Jeuri ya pesa du,,,inavunjwa,,,duuiih
Maden tena😅😅😅😅😂
Nilishawahi kufanya kazi hpa jaman so sad😢😢😢😢😢
@ntopangonyani6964
4 ай бұрын
Ndivyo hivyo tena mtu akifa na kila kitu hufa, Marehem Faustine Mrem alifanya kazi kubwa kujenga haya maeneo Impala na Naula spring hotel lakini sasa kila kitu kinapotea.
@hildajoel5
4 ай бұрын
@@ntopangonyani6964 yaani mwenyewe huko aliko kama anaona nasikitika. Nguvu zake zote zimepotea bure
Aaaaaa selikali inanufaika zoote kodizawananchi Sasa kwanini mszikwe nahizo Mali mungu kiboko ya mataperi
Mwandishi hajui kuhoji
1:14 1:14 1:16
Ahmed shabiby ndo anabomoa na kujenga hotel nyingne ya morena
@judyngowi391
4 ай бұрын
Shabby ndio kanunua hii?
@IMANWILLIAM-bl2ui
4 ай бұрын
@@judyngowi391 c umesikia jamaa anasema kampuni ya morena hotel ndo imenunua hapo, Morena hotel ni ya shabiby mzee
@judyngowi391
4 ай бұрын
Ooh kumbe? Sikuwa najua Morena ni ya Shabiby! Hao ndio wawekezaji wenye akili waliobaki nchi hii! Tatizo la Mrema aliendekeza makonyagi mpaka yakaharibu Figo akiwa mdogo tuu
@IMANWILLIAM-bl2ui
4 ай бұрын
@@judyngowi391 kwel kabisa warabu sio wenzetu kabisa
Ipo sehemu gan
Fala kwl ww na ujitambuhi kbsa tafut chako na ww uone kam ni uchafu bwege ww
Yeye ndiyo mchafu alikuwa jambazi huyo nashangaa anatopoka hovyo
Uchafu??huyu jamaa kweli kichwan hamna kitu
3:50
Ubwa wewe kama ni uchafi c mtupe naomba mungu mshinndwe kumalizia muishiwe
@user-ur7pw9ek6s
4 ай бұрын
Nimeshangaa eti uchafu alafu uchafu huo wanaupiga mnada nani atanunua uchafu? Wapeleke dampo😂😂😂.
Mgonjwa
Kanunua Morena means Shabiby,ok
@joshmaths6736
4 ай бұрын
Yaaah
Familia,watoto wameshindwa kuirudisha Hotel hyo
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Familia zenyew hiz za magomvi Mungu atusaidie tu.
@judyngowi391
4 ай бұрын
Tatizo jamaa alikuwa na wake wengi na watoto kibao
Wachaga mapenzi yenu kwenye utajiri yanamaliza utu wenu asee
Hivi huo uchafu hapo usoni mwake arusha hakuna saloon
Marehemu hufa na chake pigana upate chako
@barakamatovu4277
4 ай бұрын
Kweli kbs ndugu yangu
Hyo jamaaa anajidai anasimamia mnada anapenda umpe Hela kidogo azuie kitu kizuri
huyu ni msenge ana dharau na hana hela yeyote....
@georgenkanawa7156
4 ай бұрын
hela anayo
@bushbabytz
4 ай бұрын
@@georgenkanawa7156 najua mpaka alikopanga...awadanganye ninyi tu sio mimi
@georgenkanawa7156
4 ай бұрын
@@bushbabytz Anakaa Kinondoni Mzee, Mimi namfahamu na nishafanyanae kazi. Ni mtu POA✓
Maisha ni ubatili mtupu😮
Kwa uchafu unauzwa
Mrema yupi
@judyngowi391
4 ай бұрын
Lyatonga
@emmalyanga3726
4 ай бұрын
Ulikuwa hujazaliwa
Mwanaume ukipata hela chonde chonde usimbato hovyo hovyo na usizae na baa medi maana nguvu zako zote ulizotumia kutafuta hela itakuwa bure.
@josephk90
4 ай бұрын
Funguka kidogo
@judyngowi391
4 ай бұрын
Kumbe alizaa na mabaamedi? Unajua nimewaza sana kweli angezaa na watu wa maana labda wangekomboa hizo mali! Alikuwa anzaa na wahudumu wa hotel wale wazuri wazuri! Mmojawapo ni dada mmoja tulisoma nae alikuwa mzuri kweli! Nikasikia alizaa na jamaa!
Huyu msenge nini uchafu ndio nini
Kwahiyo sikuizi uchafu unauzwa kumbe
@user-ii6gs2jg4g
4 ай бұрын
Ndio ndugu. Je makopo si uchafu huo😂😂😂😂
@zainabwage4658
4 ай бұрын
Alaf awasemi 😂😂😂
@esthergasper4815
4 ай бұрын
Ameonyesha dharau mbaya sanaaaaaaaaaaa, sijui mwenye navyo angekuwepi apo maneno pia yangemfyatuka kama hv kweli!! Inaumizaa
@nicholausmasese6337
4 ай бұрын
NA MUUZA UCHAFU SI KAJITAJA!
Morena ya mbunge wa ...wapi.
@salmameshack4502
4 ай бұрын
Mbunge shabiby
@hamadsheni8997
4 ай бұрын
Hapa anaitwa saidi.au satco@@salmameshack4502
@MujuniKamugisha
4 ай бұрын
Shabiby uyo anaela kisenge
@PrinceHendry-hp8vv
4 ай бұрын
Shabib
@PaulinaSemindu-ob3de
4 ай бұрын
Morena c IPO Morogoro msamvu stend
We una usonji wa mtindio wa 🧠 una madharau yalipitilizaa wakati hapa Dunian unaviachaaa....Shame upon yuh😡
Jamaa majibu yake dah!. Eti uchafuu
Takoooo tu nyoooo dharau mbayaa utakufaaa tu na wew🤬
Uchafu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uchafu😂😂
@yukundapeter8200
4 ай бұрын
Prisca kumbe nawe umeckia uchafu.Tumuone kwake anapolala.
@user-dt6us3wd7c
4 ай бұрын
Mgonjhwa
@user-ur7pw9ek6s
4 ай бұрын
@@user-dt6us3wd7camakweli mgonjwa alisikia wapi uchafu unapigwa mnada? Asili ya uchafu ni dampo ndo mahala pake😂😂😂.
Kwanini unauza uchafu
Jamani nimefanya fild hapo
Jamaa hana zalau wala nini, ni misemo ya mbele iyo,,misemo yakawaida kabisa,, ukiwa ugaibuni ndo tunavyoongea hivyo, sio kama zalau jamani,
@ikokijuma-zv7wd
4 ай бұрын
😂
@mwitaagness455
4 ай бұрын
Mbona ughaibuni🖐
@judyngowi391
4 ай бұрын
Ughaibuni wanauza uchafu
@sarahmselle8562
4 ай бұрын
Kweli n lugha ya ugaibuni😅😅😅
@shedrackpallangyo4004
4 ай бұрын
Kama ni uchafu si ukatupwe