NIKKI MBISHI ; AMEMCHANA CHIDI BEENZ KUHUSU KULALAMIKIA WATU | OTILE BROWN SIMJUI | WAKENYA HAWAJUI

Спорт

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 75

  • @geffects1141
    @geffects11414 ай бұрын

    Huyu jamaa anaweza kuwa hata Presenter🎉🎉🎉 Unjuuuu think about it man ❤

  • @Ym_classic_tz
    @Ym_classic_tz4 ай бұрын

    😂😂Uyu msenge genius manina🙌🙌🙌

  • @benjaminkambona7783
    @benjaminkambona77834 ай бұрын

    Freestyle 🔥🔥🔥

  • @hassanjongo3445
    @hassanjongo34454 ай бұрын

    respect mmbishi❤

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87674 ай бұрын

    Huyu jamaa bado fundi mpaka leo kwa Freestyle

  • @tamiymkongo5045
    @tamiymkongo50454 ай бұрын

    Unjuu the king of freestyle 🙌🤣

  • @user-fy5im4nw4q
    @user-fy5im4nw4q4 ай бұрын

    Ni mtu mwenye uwezo wa kujibu na anaejua vitu vng sana yani respect unju

  • @kennethbenjamin275

    @kennethbenjamin275

    3 ай бұрын

    Shule ipo,na watu wa hiphop akili kubwa,wanasoma vitabu

  • @joashambogo3464
    @joashambogo34644 ай бұрын

    Akili nyingi sana

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto4 ай бұрын

    Unju unasauti ya kua presenter sana niaje upande huo unuq

  • @atenionesmo_A10

    @atenionesmo_A10

    4 ай бұрын

    umeona mbaki sana

  • @user-cr6px2wk6x

    @user-cr6px2wk6x

    4 ай бұрын

    Oya muacheni huku huku kwenye hip-hop tu enjoy naye

  • @mzuzukaka
    @mzuzukaka4 ай бұрын

    Napanda ngazi masikini tajiri anashuka chini uamini niulize mm mgodi umeisha madiniii

  • @modekaijames

    @modekaijames

    4 ай бұрын

    Nini mnataka mazee mafans hawakujibu zamani walijibu rhymes Leo imebaki aibu

  • @atenionesmo_A10
    @atenionesmo_A104 ай бұрын

    ukiwa unamuhoji nikki mbishi itabid uwemakin sanaaa

  • @mussarashid2216
    @mussarashid22164 ай бұрын

    Hili jamaa ana UPEO mkubwa kama wakima Napoleon Bornapate 111,Prince Metternich na wengineo ambao walipewa nafasi na DUNIA ikawajua wao ni nani.....RESPECT sanaaaa UNJUUUU

  • @ikramalmas7039

    @ikramalmas7039

    3 ай бұрын

    Weeee mzeee umemsema Napoleon umenikumbusha European history fala wewe

  • @mussarashid2216

    @mussarashid2216

    3 ай бұрын

    @@ikramalmas7039 Ndo watu kama hawa aiseeeee si unajua Historia zao wale watu

  • @abushiridachie6865

    @abushiridachie6865

    3 ай бұрын

    Ana upeo wa kina nani?????

  • @geffects1141
    @geffects11414 ай бұрын

    Unjuuuuuuu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @negredorapha7591
    @negredorapha75914 ай бұрын

    🔥🔥🔥🎤🌎Unjuuuuuuuu.. 🔥🎤🌎

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton89114 ай бұрын

    Kina darasa

  • @mugishadavidsengati5119
    @mugishadavidsengati51193 ай бұрын

    Smart sana

  • @raymondkanyama1890
    @raymondkanyama18904 ай бұрын

    Genius man

  • @msemaomary4081
    @msemaomary40814 ай бұрын

    Baba marcom...unju

  • @vinchystyles1675
    @vinchystyles16754 ай бұрын

    Unju conscious!

  • @fabiantanzania5795
    @fabiantanzania57953 ай бұрын

    Jamaa hoji vizuri❤

  • @astonlupiafilmz
    @astonlupiafilmz3 ай бұрын

    Ni sad sana tu here how awa presenters wanachoma. Hii fewd ya tz na ke mnaitake it too far. 😊😊😊😊

  • @chazmwasele8238
    @chazmwasele82384 ай бұрын

    still uwezo wa freestyle ni mkubwa

  • @maufijose2294
    @maufijose22943 ай бұрын

    👏👏👏

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga75814 ай бұрын

    Nikki lazima ajue maumbile ya mwanamke na mwanaume ni tofauti ni lazima watumie muda mwingi kujiandaa

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx4 ай бұрын

    Unju bin unuku

  • @michaelkimaro
    @michaelkimaro4 ай бұрын

    #UNJU

  • @dostovan5142
    @dostovan51423 ай бұрын

    Best freestyler in Tz

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18544 ай бұрын

    Ana maneno mengi huyu😂💙🇰🇪

  • @Thadei_kameta5458
    @Thadei_kameta54584 ай бұрын

    Unjuneering

  • @eliazebedayo1802
    @eliazebedayo18024 ай бұрын

    Lawama za Chid- benz 21:50

  • @shabbyofficial_

    @shabbyofficial_

    4 ай бұрын

    Daah shukran mzee Mungu akueke

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata34833 ай бұрын

    unju🎉🎉🎉🎉

  • @abrahammustafa6162
    @abrahammustafa616210 күн бұрын

    Engineer Wa Rap💻🔌📱🛰⚡🛠⚙

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga49354 ай бұрын

    😅😅😅😅 that freestyle

  • @emmanurichares6589
    @emmanurichares65892 ай бұрын

    unju freestyle moto sana

  • @RobertMwamlima-ek9pd
    @RobertMwamlima-ek9pd4 ай бұрын

    Unju bin ukoko

  • @fredstarch5184
    @fredstarch51844 ай бұрын

    Plz njoo kwny akaunti yng uone nnachofanya plz njoo

  • @shabanrajabu8359
    @shabanrajabu83592 ай бұрын

    sikupingagi mkali wangu👊👊👊

  • @muuh_barber8578
    @muuh_barber85784 ай бұрын

    Mbona amjamuuliza kuhusu dizasta Chochote tu

  • @shadiamohamed1113
    @shadiamohamed11134 ай бұрын

    😂😂anaitwa unju b

  • @modricnoma3686
    @modricnoma36863 ай бұрын

    Unju 😂😂😂

  • @SaidiBeho
    @SaidiBeho3 ай бұрын

    Noumaaa

  • @bittersweet1683
    @bittersweet16834 ай бұрын

    Nikki Mbishi na chid Benz ni ma psychologists

  • @jastinarts
    @jastinarts4 ай бұрын

    Vip kuhusu Tanna??

  • @suhailsodeh5444
    @suhailsodeh54444 ай бұрын

    Unju kiboko ya fid q....nani anabisha

  • @lubda1617

    @lubda1617

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @samchris1914

    @samchris1914

    4 ай бұрын

    😅😅

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti3 ай бұрын

    Mi mkenya na Nikki anasema ukweli, currently bado tunadhamini wasanii wa zamani bongo🇰🇪

  • @kennethbenjamin275

    @kennethbenjamin275

    3 ай бұрын

    Kenya namkubali sana kitu sewer, just kali

  • @Barakah001
    @Barakah0014 ай бұрын

    Hajulikani kenya

  • @nelsonmasolwa8343

    @nelsonmasolwa8343

    4 ай бұрын

    Ww hata nyumban kwenu hawakujui

  • @khalidhashim6082

    @khalidhashim6082

    3 ай бұрын

    Wewe ndo humjui

  • @khalidhashim6082

    @khalidhashim6082

    3 ай бұрын

    Wewe ndo humjui

  • @user-vp6ol3kq6g
    @user-vp6ol3kq6g4 ай бұрын

    Nilisema Kenya Kuna akina nonino jua kali jagwa

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr4 ай бұрын

    Unjuuu

  • @rostaduccibilly9046
    @rostaduccibilly90463 ай бұрын

    Piwa Mathias shv yupo wasafi?

  • @mdachiog5211
    @mdachiog52113 ай бұрын

    Niki 🎉 freestyla uliye baki kati ya wale wa Kali zilla ,ngwear n.k

  • @breakingkenya8826
    @breakingkenya88263 ай бұрын

    Humjui Otile Brown? Nani akujuaye Kenya??? Nafikiri hakuna ! Hakuna ! Labda wakongwe wenzako

  • @impeccablerito7922

    @impeccablerito7922

    3 ай бұрын

    Otile brown ndio nani..??🇹🇿

  • @fabycreation1962
    @fabycreation19624 ай бұрын

    Hii ngoma aloimba Nikki kaimba nani na inaitwaje??? Please mtu anaeijua 🔥

  • @t.ikingtz5703

    @t.ikingtz5703

    4 ай бұрын

    Iyo ngoma ili uipate mcheki unju mwenyew

  • @yasnshaban9827

    @yasnshaban9827

    3 ай бұрын

    Uyo no mack d

  • @sidiqmhina7823

    @sidiqmhina7823

    3 ай бұрын

    Anaitwa Mack D ngoma inaitwa Baishoo

  • @dankhany3385
    @dankhany33852 ай бұрын

    nikki mbishi A.k.A baba mariki Mc mwenye ukata na dhiki kama Mc ni mbovu mina mchana hata sisikiki

  • @roblyohmtana
    @roblyohmtana3 ай бұрын

    Huyu bwana mkubwa kwanza ndio hajulikani kenya...... Pumbavu...

  • @g-boybabji8936
    @g-boybabji89363 ай бұрын

    This nibba hata sikuwa namjua bana. Lazima atuongelee ndio ajulikane?

  • @kilayogeyejakobo6688

    @kilayogeyejakobo6688

    3 ай бұрын

    Kama haumjui ni wewe...sisi wanahip hop tunamjua

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed35413 ай бұрын

    Huyo mtangaza boya Bado mpaka Leo unazungumzia play boy ya Niki mpaka Leo mbona soja ananyimbo nyingi sana au ndio nyie mamluki mpo kufata mkumbo tu

Келесі