Mbona ipo wazi kama disaster ni mwalim mkuu mbele ya huyu chalii
@fredmbilinyi203
Жыл бұрын
Dz and Rp or is good
@derickdenis1952
Жыл бұрын
44u true
@moziidavchonchi3338 Жыл бұрын
Jaman huyo Dizasta uku mtaani tunamuita T'tcha.. mwalimu wa fasihi andishi na simulizi pia mistali yake utumika kufundishia vyuo vikuu Germany 🙌🙌🙌🔥
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Sanaaaaaaaa atengenezew sanamu huyu mwamba
@hashimlowela294
Жыл бұрын
😄😄😄
@festoalfred9677
Жыл бұрын
Acheni matusi kumfananisha Dizasta na rapcha najua mmeelewa kwann majina yao mmoja nimenza na herufi kubwa mwingne nimeandika kuanza kwa herufi ndogo
@erickkagaruki4047
Жыл бұрын
jamaa anafaa kutengwa tu, fundi asiye na kelele nyingi
@saimooyahya
11 ай бұрын
Nakubal
@abdulmohd6880 Жыл бұрын
Shukuru sana leo kakaako nipo so school is free ✋ Panorama
@barakamisezero7222 Жыл бұрын
vina sio rapper tu, a philosopher, musician and thinker all rolled in to one
@emmaonalloh5515 Жыл бұрын
Vina ,ame relax ❤️❤️ana pupa nampenda mpaka basi
@fedrickeliezer5521 Жыл бұрын
Vinna ni extended level
@japheblessin8837 Жыл бұрын
Dizasta vina💪💪💪natokea kenya
@jebajr Жыл бұрын
Rapcha ni mtoto dogo sana kwenye Rap ya DIZVSTV
@danieldavid4733 Жыл бұрын
Wanafunzi wa Dizasta vina like hapa hapa basi
@aaricdeking8280 Жыл бұрын
Dizasta ni 'bad news' aaisee huwez mfananisha na uyo chalii ,, yan kitu amefanya dizasta kwenye TRIBULATION ni kama ametupa mawe juu ya mayai , hahahaa ! Amemuonea uyo chalii
@omyjy4819
Жыл бұрын
Disaster is really dude man in hip hop cyfer he got much credit nigger
@Karromiatz Жыл бұрын
Wanaokubali mistari ya dizasta vina twende wote #karromia. kzread.info/dash/bejne/g6J_18NmocTLm5s.html
@djhdscratchmaster4110 Жыл бұрын
Emcee na Rapper ni watu wawili tofauti,siyo kila Rapper ana talent but kuwa Emcee ni talent...Emcee lazima awe big thinker,ukisikiliza rhymes zao unapata somo kuna muda utacheka sana....Rapper ni kama modern music so utaenjoy beat zaidi but siyo madini,so Rapcha huwezi mfananisha na Dizasta....battle nzuri ni ya Maemcee kwa Emcee hawa rapper wanaonewa tu,isitoshe Rapcha bado mdogo kwenye industry hata angesimamishwa na Younger Killer bado ingekuwa ngumu kwake,sema acha battle liendelee
@paulmbonika2459
Жыл бұрын
Umefafanua vyema sana.
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
@@paulmbonika2459 yeah hapo battle siyo kali, maana kila mtu anajua mshindi,so acha dogo aendelee kujaza kichwa
@officialnewherotz2848
Жыл бұрын
Kitu.... Unajiona star unalia road... Kama mwari upo ndani unalipiwa kodi.....
@shenamtukufu1224
Жыл бұрын
Uko sawa sana kaka, nashangaa et wanafananisha vitu vyenye utofauti mkubwa sana.
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
@@shenamtukufu1224 ni tofauti sana,kisa mtu maarufu huko TikTok bas ndio star wao
@hvannandos7699 Жыл бұрын
Mwanafalsafa nisie taka kuandikwa vitabun #Dizasta Vina
@agreymwakalinga1862
Жыл бұрын
Dizasta philosopher mwamba anajua mpka anakera afu hapend show off
Akili ya Dizasta ni kubwa mnoo aisee. Kamuacha mbali sana huyu mtoto 🔥🔥🔥
@mosembamakindi8723 Жыл бұрын
Mkubwa ni mkubwa tu like za kutosha kwa dizasta
@BuraK-bk9iw Жыл бұрын
*Rapcha ni rapa mzuri lakin kwa dizasta duhh maji malefu hayo.. yaan Dizasta ni motoo sana sana yaani*
@officialnewherotz2848 Жыл бұрын
Team prof...Tungo like yako hapa
@zaynd5366 Жыл бұрын
👉👉Rapcha anamistar ya kawaida sana japo namkubal 👉👉👉ila kubattle na DIZASTA VINA ni uongo kabisa maana unahitaj uwe na IQ kama yake au umzidi
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
Yeah uko sahihi haiwez kuwa battle kati ya Emcee na Rapper
@arnoldchristian7971 Жыл бұрын
Hakuna hata battle mtoe dizasta kabisa hapa he is far better
@TheIC3KR3AM Жыл бұрын
D Vina , Rap God
@barakajulius3455 Жыл бұрын
Hip hop nd mziki pekee wenye vibe🎙️
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Jaribu Reggae
@luganomwaigomole7441 Жыл бұрын
DIZASTA VINA IS THE UNIVERSITY SKILLS..KNOWLEDGE..ADVANCED TECHNICIAN...DIZASTA VINA is The GOAT 🐐...huyo dogo Rupture bado Sanaaa
@nembohalisi Жыл бұрын
Mwambieni huyo Rapcha aache mapichapicha; Hip hop haiwezi aiche aanze kupaka rangi kucha; Kumzidi Vina hawezi hata aroge usiku kucha; Kutafuta ushindi kwa Dizasta ni ndoto za alinacha; Wenzie hawataki featuring asije akawaficha; Ye anabattle kisa like hivi ana kichaa; Amwombe tu awe kocha wake aenjoy malecture; Atanishukuru asipouacha ushauri wangu Rapcha...
@piniellaizer5753 Жыл бұрын
Rapchaaa level za wakubwaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@isaackdeo Жыл бұрын
Mwacheni dizasta cz ni darasa anaelimishaaa jamii (jembeeeeeeeeee)
@waafrika_graphers3569 Жыл бұрын
Rapcha ana mistari ya utoto sana 😁
@infopetertv211524 күн бұрын
i do like the flow of real vina an alien mamaeee he is a vampire🥱🥱🥱🥱
@pallamatrix2594 Жыл бұрын
Dizasta is incomparable bro..Rapcha aende shule
@captenndunga6745 Жыл бұрын
Kwa hizi komenti sijamaliza kuzisoma lakini kwa hapo nilipoishia ni kwamba dizasta kapita bila kupingwa... Alafu kumpambanisha dizasta na huyo mtoto ni sawa kulinganisha kifo na usingizi DIZASTA ni chuo eti.
@joventbenard453 Жыл бұрын
Salute dizasta
@officialnewherotz2848 Жыл бұрын
Mmeaminishwa na bongo rec..ila co mkali.... Dizasta ni dunia nyingine.... kwa Rapcha
@adnanjr3626 Жыл бұрын
Dizasta
@hamzajafari4133 Жыл бұрын
vina
@stanleyvalentine2584 Жыл бұрын
disasta nihip hop tamaduni kbsa ila rapcha bwana aimbe singeli tu
@mchinatz6009 Жыл бұрын
Dizasta vinaaa mwalimu wa fasihi 💥💥💥💥💥
@bernkennedy49 Жыл бұрын
Dizastaaaaaaaa ni fire 🔥 legendary
@yorammanoti-mt1iy11 ай бұрын
Zanzibar mnapatikanaje mia ngapi ⚓
@mwamudaniel7912 Жыл бұрын
Vijana wote wakali...big up
@goldenpoze Жыл бұрын
Wanaomkubali rapcha mwageni likes hapa😊🔥
@jumazinga941 Жыл бұрын
Professor tungo 🔥🔥🔥🔥
@Swagabiz988 Жыл бұрын
🔥🔥
@Teacher_01 Жыл бұрын
*DIZASTA VINA* 🙌🙌
@EmanuelMwita Жыл бұрын
oy king Mara mjuba hapa pamoja sana dizasta funding bana
@silvestagadiye85465 ай бұрын
Next level dizasta🎉
@saidibeho9075 Жыл бұрын
Dizasta bab kubwa 🔥🔥🔥
@djunction412710 ай бұрын
Namkubar xn Disaster respect kwake
@lostjournals9859 Жыл бұрын
Rapcha jeeaah aah twende nyingi sanaa😂😂
@fakikhatoro3876 Жыл бұрын
Dizasta 🔥🔥🔥🔥🔥
@TellaaxisTz Жыл бұрын
Sana
@MathematicsInTZ Жыл бұрын
Nice
@mejamiela7436 Жыл бұрын
Nilijuq vinnq n mzee
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
Ni kijana tu mchawi fulani hivi,sema kwenye game Legend 😁
@zainabmaulid9637 Жыл бұрын
Dizasta vina ww next level rapture bado sana&
@josephvenus3259 Жыл бұрын
Rapcha yuko juu sana. Dizasta anaongea sio kuimba / kuchana. Akichana Rapcha unapata mianguko ya muziki , yaana anafuata midundo ya mziki au ridhimu.
@jamesmushi3399 Жыл бұрын
kama tumefuga ng'ombe mpaka katimia.. afuu boya mmoja anakuja kuchangamkia..Rapcha🔥🔥🔥
@ngalakhai9941 Жыл бұрын
Dizasta is another level ..
@giftchristianmeela1409 Жыл бұрын
Rapture ni shidaa asee , eti Tv zina chenga nyingi kuliko Ronaldo 🤣🔥
@waafrika_graphers3569 Жыл бұрын
Anashindana na Mungu wa Rap (BLACK MARADONA)
@mcgeemwamba9303
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/poV6ma6ycsLPaNI.html
@countrymilly2220 Жыл бұрын
Unyama sana
@chatajr3496 Жыл бұрын
D legendary wew acha kumlinganisha nawatoto
@fuadhemed2505 Жыл бұрын
Rapcha noma sana mamae
@sboykavu228 Жыл бұрын
Vina
@vicentcornely4890 Жыл бұрын
D'VINA weka mbali na watoto
@josephatndenga11102 ай бұрын
Wote ni marapa wazuri ila Dizasta ni mtunzi na muelimisha daaaaah!!!!punch line zake si za kawaida
@danielngove Жыл бұрын
254 dizasta vina
@Nanjaboy-hk2yc Жыл бұрын
🦂 🔥🐝 !! 😅😅😅sio mchezo hawa jamaa
@williamkaseza8071 Жыл бұрын
Dizasta Vina 🔥🔥🔥
@RegnaldMalley-mb8mq Жыл бұрын
Rapcha noma sanaaa
@exaucehangi6176 Жыл бұрын
Rapcha noma
@gainjulius1164 Жыл бұрын
Ili pumbu linaitwa Tribulation mh sina cha kuongeza
@fexboe7564 Жыл бұрын
Gonga like kama unamkubali rapcha.
@djbestseries5634 Жыл бұрын
@Wanangu 99,💪💪💪
@Tonemils Жыл бұрын
Rapcha nomaa sana
@suleymanamin7612 Жыл бұрын
Vina 🏴☠️🏴☠️💥
@gelvasjohn4893 Жыл бұрын
Msiludie kumfananisha dizasta na huyo mtoto hivi wew huoni ngoma ya kanisa kuna msanii aliyeweza kufikilia hicho
@leonardmoses4484 Жыл бұрын
DIZASTA. FIRE 🔥 🔥 🔥 🔥. EWE. TUPO AMERICA 🇺🇸. TUNAMSIKILIZA. huyo mtoto mnamtafutia promo code mbovo rapcha
@elishaworkout6116 Жыл бұрын
Yaan mnaona kabisa mtt ana mistar ya kisenge na amjui nan baba na mtoto , uyo ata mm anipat kwa frestyle
@innobusiness2023 Жыл бұрын
dizasta hatari Sana ,rapcha siokitu
@faustinewilliam4908 Жыл бұрын
Dizasta vina ni mtu hatari mnoo
@radjabreezy5564 Жыл бұрын
Wote wa kali lakini heshima zende kwa dizasta
@terrymc5593 Жыл бұрын
D zaster 🔥🔥
@ghostx2889 Жыл бұрын
Tribulation ni 🔥, best friend ndio noma, Mwenye ability atajua,ww ni NOMA SANA,>>>>>>>> DIZASTA ww ni noma aiseee
@Pdady-tc8kg5 ай бұрын
Vina ni level nyingne
@Swagabiz988 Жыл бұрын
Oi Ebhana Eee Hii So Poa
@ibraheemSaeed-wi8px Жыл бұрын
Rapchaaaaaaaaa shytown
@joshuahdaniel2673 Жыл бұрын
Vina ni hadhina na ni sanaa halisi raptcha hizi anga huwez
@hagaimtagwa1934 Жыл бұрын
Unyamaaaa
@daviesskipesha13514 ай бұрын
Disasta vina Ako na mistari mikali sana but Ki mziki Rapcha Ako juu sana! Rapcha Ako na more followers na more views, Ako na Ngoma Iko na 2 millions plus but Disasta Hana video yoyote ambayo Iko na 1 million views. Hio ndio tofauti but Rapers wote ni wakali.
Пікірлер: 306
wote wanaomkubali dizasta like zenu hapa tujuane
@ujudi7976
Жыл бұрын
Mbona ipo wazi kama disaster ni mwalim mkuu mbele ya huyu chalii
@fredmbilinyi203
Жыл бұрын
Dz and Rp or is good
@derickdenis1952
Жыл бұрын
44u true
Jaman huyo Dizasta uku mtaani tunamuita T'tcha.. mwalimu wa fasihi andishi na simulizi pia mistali yake utumika kufundishia vyuo vikuu Germany 🙌🙌🙌🔥
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Sanaaaaaaaa atengenezew sanamu huyu mwamba
@hashimlowela294
Жыл бұрын
😄😄😄
@festoalfred9677
Жыл бұрын
Acheni matusi kumfananisha Dizasta na rapcha najua mmeelewa kwann majina yao mmoja nimenza na herufi kubwa mwingne nimeandika kuanza kwa herufi ndogo
@erickkagaruki4047
Жыл бұрын
jamaa anafaa kutengwa tu, fundi asiye na kelele nyingi
@saimooyahya
11 ай бұрын
Nakubal
Shukuru sana leo kakaako nipo so school is free ✋ Panorama
vina sio rapper tu, a philosopher, musician and thinker all rolled in to one
Vina ,ame relax ❤️❤️ana pupa nampenda mpaka basi
Vinna ni extended level
Dizasta vina💪💪💪natokea kenya
Rapcha ni mtoto dogo sana kwenye Rap ya DIZVSTV
Wanafunzi wa Dizasta vina like hapa hapa basi
Dizasta ni 'bad news' aaisee huwez mfananisha na uyo chalii ,, yan kitu amefanya dizasta kwenye TRIBULATION ni kama ametupa mawe juu ya mayai , hahahaa ! Amemuonea uyo chalii
@omyjy4819
Жыл бұрын
Disaster is really dude man in hip hop cyfer he got much credit nigger
Wanaokubali mistari ya dizasta vina twende wote #karromia. kzread.info/dash/bejne/g6J_18NmocTLm5s.html
Emcee na Rapper ni watu wawili tofauti,siyo kila Rapper ana talent but kuwa Emcee ni talent...Emcee lazima awe big thinker,ukisikiliza rhymes zao unapata somo kuna muda utacheka sana....Rapper ni kama modern music so utaenjoy beat zaidi but siyo madini,so Rapcha huwezi mfananisha na Dizasta....battle nzuri ni ya Maemcee kwa Emcee hawa rapper wanaonewa tu,isitoshe Rapcha bado mdogo kwenye industry hata angesimamishwa na Younger Killer bado ingekuwa ngumu kwake,sema acha battle liendelee
@paulmbonika2459
Жыл бұрын
Umefafanua vyema sana.
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
@@paulmbonika2459 yeah hapo battle siyo kali, maana kila mtu anajua mshindi,so acha dogo aendelee kujaza kichwa
@officialnewherotz2848
Жыл бұрын
Kitu.... Unajiona star unalia road... Kama mwari upo ndani unalipiwa kodi.....
@shenamtukufu1224
Жыл бұрын
Uko sawa sana kaka, nashangaa et wanafananisha vitu vyenye utofauti mkubwa sana.
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
@@shenamtukufu1224 ni tofauti sana,kisa mtu maarufu huko TikTok bas ndio star wao
Mwanafalsafa nisie taka kuandikwa vitabun #Dizasta Vina
@agreymwakalinga1862
Жыл бұрын
Dizasta philosopher mwamba anajua mpka anakera afu hapend show off
@salmamabago364
Жыл бұрын
Napigana vita nikifa nitazikwa na wahuni
Dizasta wamoto sana
Nikiwaka naweza kumgeuza Fid kua Sajna😂😂😂 DIZASTA bhana
@revocatusmgusi4479
Жыл бұрын
Hivi kubanda alishawahi kuiskia hii line kweli 🤣🤣🤣🤣
@misungwikids563
Жыл бұрын
@@revocatusmgusi4479 najua alishawahi kuickia sema ndo hvo DIZASTA anatukumbusha Londuno kudadeki😀😀😀 Nash Mc namsilikiza mpka naingia kaburini😎
dizasta vina jini😤💯, sema nampenda rapcha
Dizasta is on fire 🔥🔥🔥💯
aloanza anajua, huyu mwingine anajitahidi
@zaynd5366
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
😂😂😂daah nimecheka sanaaa
Dizasta ndio ameua bhana 🔥🔥🔥
Dizasta ni dingi kwenye kaya
Dizasta ni zaidi ya sugunyo🔥🔥👑
dizasta vina [BLACK MARADONA]
Akili ya Dizasta ni kubwa mnoo aisee. Kamuacha mbali sana huyu mtoto 🔥🔥🔥
Mkubwa ni mkubwa tu like za kutosha kwa dizasta
*Rapcha ni rapa mzuri lakin kwa dizasta duhh maji malefu hayo.. yaan Dizasta ni motoo sana sana yaani*
Team prof...Tungo like yako hapa
👉👉Rapcha anamistar ya kawaida sana japo namkubal 👉👉👉ila kubattle na DIZASTA VINA ni uongo kabisa maana unahitaj uwe na IQ kama yake au umzidi
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
Yeah uko sahihi haiwez kuwa battle kati ya Emcee na Rapper
Hakuna hata battle mtoe dizasta kabisa hapa he is far better
D Vina , Rap God
Hip hop nd mziki pekee wenye vibe🎙️
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Jaribu Reggae
DIZASTA VINA IS THE UNIVERSITY SKILLS..KNOWLEDGE..ADVANCED TECHNICIAN...DIZASTA VINA is The GOAT 🐐...huyo dogo Rupture bado Sanaaa
Mwambieni huyo Rapcha aache mapichapicha; Hip hop haiwezi aiche aanze kupaka rangi kucha; Kumzidi Vina hawezi hata aroge usiku kucha; Kutafuta ushindi kwa Dizasta ni ndoto za alinacha; Wenzie hawataki featuring asije akawaficha; Ye anabattle kisa like hivi ana kichaa; Amwombe tu awe kocha wake aenjoy malecture; Atanishukuru asipouacha ushauri wangu Rapcha...
Rapchaaa level za wakubwaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwacheni dizasta cz ni darasa anaelimishaaa jamii (jembeeeeeeeeee)
Rapcha ana mistari ya utoto sana 😁
i do like the flow of real vina an alien mamaeee he is a vampire🥱🥱🥱🥱
Dizasta is incomparable bro..Rapcha aende shule
Kwa hizi komenti sijamaliza kuzisoma lakini kwa hapo nilipoishia ni kwamba dizasta kapita bila kupingwa... Alafu kumpambanisha dizasta na huyo mtoto ni sawa kulinganisha kifo na usingizi DIZASTA ni chuo eti.
Salute dizasta
Mmeaminishwa na bongo rec..ila co mkali.... Dizasta ni dunia nyingine.... kwa Rapcha
Dizasta
vina
disasta nihip hop tamaduni kbsa ila rapcha bwana aimbe singeli tu
Dizasta vinaaa mwalimu wa fasihi 💥💥💥💥💥
Dizastaaaaaaaa ni fire 🔥 legendary
Zanzibar mnapatikanaje mia ngapi ⚓
Vijana wote wakali...big up
Wanaomkubali rapcha mwageni likes hapa😊🔥
Professor tungo 🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
*DIZASTA VINA* 🙌🙌
oy king Mara mjuba hapa pamoja sana dizasta funding bana
Next level dizasta🎉
Dizasta bab kubwa 🔥🔥🔥
Namkubar xn Disaster respect kwake
Rapcha jeeaah aah twende nyingi sanaa😂😂
Dizasta 🔥🔥🔥🔥🔥
Sana
Nice
Nilijuq vinnq n mzee
@djhdscratchmaster4110
Жыл бұрын
Ni kijana tu mchawi fulani hivi,sema kwenye game Legend 😁
Dizasta vina ww next level rapture bado sana&
Rapcha yuko juu sana. Dizasta anaongea sio kuimba / kuchana. Akichana Rapcha unapata mianguko ya muziki , yaana anafuata midundo ya mziki au ridhimu.
kama tumefuga ng'ombe mpaka katimia.. afuu boya mmoja anakuja kuchangamkia..Rapcha🔥🔥🔥
Dizasta is another level ..
Rapture ni shidaa asee , eti Tv zina chenga nyingi kuliko Ronaldo 🤣🔥
Anashindana na Mungu wa Rap (BLACK MARADONA)
@mcgeemwamba9303
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/poV6ma6ycsLPaNI.html
Unyama sana
D legendary wew acha kumlinganisha nawatoto
Rapcha noma sana mamae
Vina
D'VINA weka mbali na watoto
Wote ni marapa wazuri ila Dizasta ni mtunzi na muelimisha daaaaah!!!!punch line zake si za kawaida
254 dizasta vina
🦂 🔥🐝 !! 😅😅😅sio mchezo hawa jamaa
Dizasta Vina 🔥🔥🔥
Rapcha noma sanaaa
Rapcha noma
Ili pumbu linaitwa Tribulation mh sina cha kuongeza
Gonga like kama unamkubali rapcha.
@Wanangu 99,💪💪💪
Rapcha nomaa sana
Vina 🏴☠️🏴☠️💥
Msiludie kumfananisha dizasta na huyo mtoto hivi wew huoni ngoma ya kanisa kuna msanii aliyeweza kufikilia hicho
DIZASTA. FIRE 🔥 🔥 🔥 🔥. EWE. TUPO AMERICA 🇺🇸. TUNAMSIKILIZA. huyo mtoto mnamtafutia promo code mbovo rapcha
Yaan mnaona kabisa mtt ana mistar ya kisenge na amjui nan baba na mtoto , uyo ata mm anipat kwa frestyle
dizasta hatari Sana ,rapcha siokitu
Dizasta vina ni mtu hatari mnoo
Wote wa kali lakini heshima zende kwa dizasta
D zaster 🔥🔥
Tribulation ni 🔥, best friend ndio noma, Mwenye ability atajua,ww ni NOMA SANA,>>>>>>>> DIZASTA ww ni noma aiseee
Vina ni level nyingne
Oi Ebhana Eee Hii So Poa
Rapchaaaaaaaaa shytown
Vina ni hadhina na ni sanaa halisi raptcha hizi anga huwez
Unyamaaaa
Disasta vina Ako na mistari mikali sana but Ki mziki Rapcha Ako juu sana! Rapcha Ako na more followers na more views, Ako na Ngoma Iko na 2 millions plus but Disasta Hana video yoyote ambayo Iko na 1 million views. Hio ndio tofauti but Rapers wote ni wakali.
RAPCHA KATISHA BANA....
Dizasata ni nyoko 🔥🔥
Wote wanao mkubali Rapcha tu like hapa
Dizasta💯💪