Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina | Planet Bongo I
Ойын-сауық
Mistari ya wimbo wa Kanisa imefanya kila mtu kumsikiliza sana Dizasta Vina na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Пікірлер: 1 100
Huyu mwamba nilimtambua kitambo nimerudi tena leo 2024 gonga like kwa wote 2024.🎉
Na hii ndio siku dunia ilipomtambua dizasta vina..historia ilandikwa hapa. Nakumbuka nilikuwa udsm kipindi hiko mwaka wa 3. Mixer na zile skendo za gwajima kuvuja video zake za uchi basi dizasta na hii session yake ika trend sanA. Na leo ni 2023 nimerudi hapa tena kusikiliza. Wote wanosikiliza hii session kwa mwaka huu 2023 acha like hapa tujuane.
@abelbehumble255
10 ай бұрын
Unyama
@Asiejulikanatz
9 ай бұрын
Oooi oooi oooi
@kissimbasaid4779
8 ай бұрын
Uhakika
@benjangonelo4424
7 ай бұрын
Kbs
@officialmanji4438
7 ай бұрын
Uhakika
Dizasta Ni GOAT Kama Upo Hapa 2024 Ww Ni Mbuzi Pia
@mwakiboy968
3 ай бұрын
2024 April
@anuaryfernandez7230
3 ай бұрын
@@mwakiboy968Mbuzi 💪🏿
@altos7500
2 ай бұрын
😂😂💪💪
Tulio rudia 2024 like hapa
@denisyohana2738
2 ай бұрын
🔥
2024 @Dizastavina hii ndio dakika 10 Za maangamizi Bora Za muda wote.
kama uko apa 2024 gonga like apa
watangazaji wote wanafki ndio maana hata hip hop a bongo haifiki mbali kwa sababu nyimbo kamka hiz "kanisa" hawazijui ila huku kitaa ndio misosi yetu..respect
@sharpaliofficial7455
6 жыл бұрын
Nwn Kiranja Mkuu kweli kabisa
@pascalmasumbuko3787
5 жыл бұрын
kweli kabisa
@skm1143
4 жыл бұрын
Nwn Kiranja Mkuu we eat it and we swallow hard
@chrissmotela9107
3 жыл бұрын
sanaa broo watangazajii wengii n wakudaa tu
@geoffreycharles15
2 жыл бұрын
Sasa watangazaji wanaingiajeee apooo Mkulaaa??
4 yrs now, who came for this legend? Twende pamoja, he deserve the respects.🙌🙌. Man you are the Legend.
2024 tuanze kuzidish love kwa @dizastavina
Hii ni bleed huwezi ficha kwa kufuri... we jamaaa next level.. gonga like kumtia moyo huyu Common wa Bongo 😎
@rubberbandman1213
5 жыл бұрын
Daaah jamaa kweli common wa bongo
@gratiouskimberly2949
5 жыл бұрын
Breed
@gratiouskimberly2949
5 жыл бұрын
Sio bleed
@ibrahimdeus1870
4 жыл бұрын
kijikanga resort Hakika dizasta Vina unaweza
@frankunatishakonde7374
4 жыл бұрын
Huyu mc anatisha habahatixh
Jamaa unaflow nzuri sana ya kumfanya mtu asiboeke kukusikiliza, flow yenye matamshi yanayosikika vizuri.....Dizastavina unafaa kuwa mainstream by now”!!!
@daudikiboko69
Жыл бұрын
true aisee.leo ndio naona hii video imenistua sana
huyu jamaa fundi asee kama una mkubali huyu jamaaa gonga like hapa👇👇
Daaaah kumbe Tanzania kuna wachanaji conscious wa Kenya mmeona....like for this
Baada ya one the Incredible leo nmempata Genius wa pili tz
@jayfarsaga4935
Ай бұрын
Nakubali sana
Hii imeingia kwenye one among the biggest dakika 10 za maangamizi kutoka kwa Profesa tungo mwenyewe Dizasta vina akiwakilisha PANORAMA genge la wajenzi wa flows aka PanoRhymes ni nomaaaaaahh!! oiiiiiiiiiiiiiiiii
@farijidee2386
6 жыл бұрын
Tumain Zacharia nakubal
11 September 2020. Still listening to the best hip hop technician. This ain't man its Allien trust me. Live long Dizasta
HIPHOP is school of thought and dizasta just proved that
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
Very true
@davidkojo9525
3 жыл бұрын
Listening to this for like the 8th time. Can't get enough. This talent.
Attention every body, Am here to declare that Dizasta is the real meaning of Vina . Thank you.❤
Unapewa maradhi bure af una nunua afya👌👌👌 Am here after 4 years THE real MC @Dizasta_Vina
kwenye mistari ya jamaa unakuta kuna physics geography n.k hii style anafanya dizasta na one incredible tu. nice rap mzazi
@nassoromaduhira8480
6 жыл бұрын
Noma
@Joekwid960
6 жыл бұрын
Umeona Mwana Huyu jamaa Kama One Kafanya Vyema
@jafetlaizer9191
5 жыл бұрын
hawa ndo wakali wao
@rubberbandman1213
5 жыл бұрын
Kwa mtoni kuna jamaa anaitwa papoose
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
Very conscious,huyu jamaa kwa uandishi wake na iyo flow, akizidisha hapo ataleta matatizo makubwa nchini bora abaki hapohapo!
@paulebby1552
4 жыл бұрын
Kabisa
@fanleck2922
4 жыл бұрын
Ahahahahah...dah
@rockyvlogs2214
4 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jozefuedmund2126
3 жыл бұрын
Very true unaona nachokiona pitia nyimbo zake nimeweka comments
Since day one hujawahi niangusha nakufahamu kwenye mic huwa hunaga Utani aiseee Mbeya boy Dizasta vina moja kati ya Rapper ambao wanaweza kukaa kwenye beat yeyote,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,PanoRhymes forever
@media-rs6lo
6 жыл бұрын
Kumbe dizasta anatokea MBEYA nilikua sijui
@alexmadafali4872
6 жыл бұрын
Yeap
@yonamkisi9683
6 жыл бұрын
niaje madafar ulikua hujui kama dizasta ni mtu wa mbeya
leo January 2023, nimetazama tena. dizasta vina
Vina dizasta ni noma sana... bigup brother... nimekumanya sanaaaaaaa.... ukweli mtupu na hakuna wakupinga... mpangilio madhubuti kabisa wa mashairi... unaacha tunatafakari ujumbe kabambe... Mungu akutangulie brother... fungua macho ya watanzania kwa kupitia kipaji chako. Umenifurahisha sana. Now this is very rare. This is talent... Big up!!!
Nobody can rap above this
Ebwanaee nifanye mpango hii niiplay kanisan maana nimaubili tosha nikitoa kudadeki mazee dzastar on🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
hongera man,, unaandika Sana kwa anaye elewa real hip hop atakuwa amenielewa,,,,we ni tofauti Sana na mistari mipasho ya kina boshoo
Oya jama anajua sana
Kama unakubali haijawahi kutokea!! Gusa Like
@audaxminde5314
3 жыл бұрын
Link
@audaxminde5314
3 жыл бұрын
Oslo I'll
Dizasta vina is awesomely and tremendously doing data orientation full of awesome and positive information Creativity is intelligence and his role in this society is filled with inspirational Innovation Thumbs up This is real Hiphop What a Wrap !!!
5 years down and guess what! Dizasta is a man of this game🙌
now this is the man i was praying you call in. He is a MONSTER!
Washkaji kama hawa ndo wananifanya niamin Mziki wa hip hop Unaweza kuishi hadi wajukuu wakaukuta_ Acha kina madee waendelee na Mziki wao
@ibrahimkanuto3514
5 жыл бұрын
kendrick Lamar jembe hili
@godfreybenedicto3577
4 жыл бұрын
"Hizi dk kumi za Maangamizi za huyu Ndgu yangu ##usipozielewa kuna matatzo kwenye Ubongo wako (Brain Yako). Jah Thanks kwa kuzaliwa Tanzania 🌍🇹🇿🇹🇿. "
professor tungo,, kubali sana bro,,ncku niliyo kuwa naisubir kwa ham sana.
Maaan...nimekutambua leo...na nimekuheshimu. ..kutoka marekani ujue kuanzia leo...am a fan...you killing it...bro....keep up..hip hop for real..I'll start looking and following you bruh....MZUKA..ndio huu man.
Mkali sana!! Mistari mitam kama vile nakitupa cha kwanza, Hawa ndo mfano wa Ma Mc wa Bongo ambao wanaweza fanya nisahau Kuwaskiliza watu kama Kina Common, Krs 1, Nasco Damas au The the roots, Big up Mi shabikiako tayari, Hata kama Kopi ya Album yako utauza raki 1 nitanunua.
@josseybourneventure4232
6 жыл бұрын
mm hata km lak 2
@privinusdecroshan135
5 жыл бұрын
Axnten xanaa mnaonipa moyo nakuja kivingne
Kwa mwaka 2018 huyu ndo kaangamiza vyema dakika kumi za maangamizi n nooooooooma sana # dizasta
Afu mwamba yuko serious kinyama,. Umetisha sana mwana ukome as Swahili wanaitaga
The girl in a background makes some cool vibes
wa 2024 tujuanee jaman Gonga likee hapoo
I'm sayin' TZ, y'all are representing East Afrika hard man. Got the most substantive, dopest bars on the continent. And that Swahili, metaphors and word play is on another level KABISAA! One love from the diaspora from this brother from the 256! EA stand up!
This guy raps in very nice , inspiration and unique style
Tukiwaka tunaweza kumgeuza fid kuwa sagna......🔥🔥🔥🔥🔥
@timothmwakakusyu4563
6 жыл бұрын
Maxwell Wige hapo hatari sana jamaa anajua balaa
@maxwellwige1071
6 жыл бұрын
Nomaaa....🔥🔥🔥🔥
Dizasta Professor tungo Ametisha Mie nikimpendekeza mtu jua hiyo mtu ni noma kinoma Mlete stereo au Dubo Jesus
@charliedickson1089
4 жыл бұрын
Ww ni mkagulu
@ujenzitanzania1274
3 жыл бұрын
Dubo hawezi tembea km hv
Myfavorite rapper of all time...
Hivi ndo vitu ambavyo masikio yangu yana penda kuvisikia
@emmanueldrawerhq7526
5 жыл бұрын
Sure bro,but sio nyege za mafara
tulio rudi kweny dakika 10 za maangamiz baada ya zile distrack tujuane 😅
Kuanzia leo ww ni DIZASTA KIMA.. Yaan Nyani mzeeeeee
Daaah nimekubal dizasta umeua mbaya mzee salute nataman wangekupa nusu saa
@user-wx6qb3fh3m
2 ай бұрын
lisaaa lizima ingependeza
Mamae🙌🙌🙌🙌 we ni moto wa kuotea mbali
2024 tunaosikiliza hii tujuane
Ujumbe mzuri sana kwa makanisa na waumini, #Dizasta vina mc mahiri.
Hatarii sana profesa tungo....nakuelewa kitambo toka STAKI GAME
This guy is dope... Jamaa yuwatema 🔥🔥🔥🔥. One love from Kenya +2547
Tupo 2024 tunaikilza hii
Always Tamaduni music is a real Hip Hop Respect Dizasta 👊
Pengo la uno ni dizasta, unakubali gonga like hapa
@salumusalumu1493
6 жыл бұрын
we noma zaidi yao nakubali DIZASTA VINA kweli vina nimeviona mzee baba......up
@johnsonayo
5 жыл бұрын
uno hana pengo
@mussashally660
5 жыл бұрын
Uno Mbishi Chunda hawana pengo
@gasperallute23
5 жыл бұрын
hakuna pengo la uno
@kukuproject2533
5 жыл бұрын
Yaaah
Verry Conscious aisee..Thats Hip hop...Unajua bro muda utaongea
Big up vina umetetendea haki 10 zko ukiongeza bidii utafika mbali sana sana
2024 still here listening this guy straight from Kampala Uganda 🇺🇬🇺🇬🇹🇿
Gonga like nyingi km unamkubali dizastA
#DIZASTAVINA We ndo king of dakika 10 za maangamizi Wengne watasubil. Respect bro #KINISA
"Kitacho nionyesha bingu ni bidii ya kutenda mema, so sitaki kujua dini ipi ni sahihi.."💯🔥
Dah hii kichwa ni noma sana
*30/4/2019 bado .namsikiliza **#dizastavina** nani mwingine.?*
@emmanuelchipindi5450
4 жыл бұрын
Kanisa
@ellymtima3673
4 жыл бұрын
me evryday
5th May 2023 still on this masterpiece 🙌🏾
Man, TZ is full of talent. Dizasta you good man. So much respect. Enyewe wewe ni tofali la kuchomwa
miaka 1000 hakuna atakae vunja hii people talent ya hali ya juu respect planet bongo jamaa afanye nyingine please we miss dizastar vina
Dizasta vina mshenzii wa tabia kauaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
``na hii ni breed mwana hawezifichwa na kufuli`` Tisha sana brother
Ebanaaa eeehh hiii ni nooomaaaa disasta atarrrr it iz true your daZasta noma sana Br
Leo tena 7-9-2023 Naicheki tena.. Noma sana brother.
planet bongo, frida aman alkuwa analeta vibe sana. anaskiliza kwa makin
Prof #Tungo acha awafundishe... 👏💯💯🔥🔥🔥🔥🔥
*29-03-2021 baada ya kumzika MAGUFULI nakuja kujifariji na hawa wanyamwezi* 😢😢😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 msosi wa kitaa ni Hip Hop
Sjakuskiliza ila nshakukubali kabla hujachana dizasta vina
Kazi nzuri Dizasta. Big up 🇰🇪
it's now 2023 still listening 🎤🎤🎤🎤
Dizasta vina, Bosongo Artist approved this 👌 5 yrs down the line bado tunaisikiza
Kwangu kumi za maangamizi zimeshaisha yamebaki matrela tu. Dizasta tisha sana mbaba
kibaa Mile 1 me ni Eight Mile's Eminem dizasta
Huyu jamaaa ni moto nasemaa firee💯💯huyu infaa wafanye kolabo yaani hit moja safy wakiwa na James moto💯✔️✌️
Big up Dizasta! The Lady at the back seems to understand and enjoy the Vinas more that all of us. 🤣
Aaaah dizasta duh balaaa jingine ATAR SANA YAN 🔥
2022 This is still banger GOAT
Oyaa wakuu nimerudi tena kula madini ya Bro Dizasta vina... Hiki kichwa ni wakina baba levo mia😂 Respect Bro
Nimeludia mara 4000 mamae
Maninja wa tamaduni Ni mwixho wa mochano Dizaster vina Siku mbaya, Hard, cter kadata
Physics+Chemistry+Biology+Mathematical+Geograph=VINA DAVISTA✔
Kak mzaz daaa!!! Unajua aisee, nyie ndomarapa hawa wengine niu2mbo2 one love brother";
dizasta ni zaidi ya star salute kwako mwamba
Mistari CONCIOUS ...Salute Kwako
Talented, smart, and you do your research I give you 💯, flow tight, lyrics 👌🏿👌🏿keep it up
dizasta, panorama,,Pow Pow nakukubar xana umetisha mna,,
Damn who z back here n still watchin again n again..this nigga got skillz...hongera mwanangu ufanyie kweli huu mziki
Dizasta noma, dk 10 hazimtosh Natamani kuwaona #blackfire & #adamu_shule_kongwe
@daniikirunda4010
6 жыл бұрын
mpjozze galvanize bila kumsahau mtaalam SHAULIN SENETA
@mpjozzegalvanize4926
6 жыл бұрын
Danii Kirunda yah man mzee wa #simu_ya_dada. Kwel jamaa naye mkal wa #storytelling
@ibraahmapexah5418
6 жыл бұрын
bila kumsahau mbeya boy chuma
I still watch this every week.
Ata ukitaga yai uwez ryms juu ya hapa dizasta vina ni incredible group usimuweke na watoto wasio jua anachoma zaid ya jua
Aisee jamaa anaweza san huy mbon , hakka n mistari yenye mantic sio kelele, big up 2u Dzasta boy U'a talented 4sure.
Genius 💪🇹🇿