Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina | Planet Bongo I

Ойын-сауық

Mistari ya wimbo wa Kanisa imefanya kila mtu kumsikiliza sana Dizasta Vina na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.

Пікірлер: 1 100

  • @user-qr6sr8fn1p
    @user-qr6sr8fn1p19 күн бұрын

    Huyu mwamba nilimtambua kitambo nimerudi tena leo 2024 gonga like kwa wote 2024.🎉

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 Жыл бұрын

    Na hii ndio siku dunia ilipomtambua dizasta vina..historia ilandikwa hapa. Nakumbuka nilikuwa udsm kipindi hiko mwaka wa 3. Mixer na zile skendo za gwajima kuvuja video zake za uchi basi dizasta na hii session yake ika trend sanA. Na leo ni 2023 nimerudi hapa tena kusikiliza. Wote wanosikiliza hii session kwa mwaka huu 2023 acha like hapa tujuane.

  • @abelbehumble255

    @abelbehumble255

    10 ай бұрын

    Unyama

  • @Asiejulikanatz

    @Asiejulikanatz

    9 ай бұрын

    Oooi oooi oooi

  • @kissimbasaid4779

    @kissimbasaid4779

    8 ай бұрын

    Uhakika

  • @benjangonelo4424

    @benjangonelo4424

    7 ай бұрын

    Kbs

  • @officialmanji4438

    @officialmanji4438

    7 ай бұрын

    Uhakika

  • @anuaryfernandez7230
    @anuaryfernandez72304 ай бұрын

    Dizasta Ni GOAT Kama Upo Hapa 2024 Ww Ni Mbuzi Pia

  • @mwakiboy968

    @mwakiboy968

    3 ай бұрын

    2024 April

  • @anuaryfernandez7230

    @anuaryfernandez7230

    3 ай бұрын

    @@mwakiboy968Mbuzi 💪🏿

  • @altos7500

    @altos7500

    2 ай бұрын

    😂😂💪💪

  • @jamalibakari3683
    @jamalibakari36832 ай бұрын

    Tulio rudia 2024 like hapa

  • @denisyohana2738

    @denisyohana2738

    2 ай бұрын

    🔥

  • @mastaplan
    @mastaplan16 күн бұрын

    2024 @Dizastavina hii ndio dakika 10 Za maangamizi Bora Za muda wote.

  • @mr.mindscape255
    @mr.mindscape255Ай бұрын

    kama uko apa 2024 gonga like apa

  • @nwntz
    @nwntz6 жыл бұрын

    watangazaji wote wanafki ndio maana hata hip hop a bongo haifiki mbali kwa sababu nyimbo kamka hiz "kanisa" hawazijui ila huku kitaa ndio misosi yetu..respect

  • @sharpaliofficial7455

    @sharpaliofficial7455

    6 жыл бұрын

    Nwn Kiranja Mkuu kweli kabisa

  • @pascalmasumbuko3787

    @pascalmasumbuko3787

    5 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @skm1143

    @skm1143

    4 жыл бұрын

    Nwn Kiranja Mkuu we eat it and we swallow hard

  • @chrissmotela9107

    @chrissmotela9107

    3 жыл бұрын

    sanaa broo watangazajii wengii n wakudaa tu

  • @geoffreycharles15

    @geoffreycharles15

    2 жыл бұрын

    Sasa watangazaji wanaingiajeee apooo Mkulaaa??

  • @barakaisaya6059
    @barakaisaya60592 жыл бұрын

    4 yrs now, who came for this legend? Twende pamoja, he deserve the respects.🙌🙌. Man you are the Legend.

  • @justinvalyanje3922
    @justinvalyanje39225 ай бұрын

    2024 tuanze kuzidish love kwa @dizastavina

  • @kijikangaresort177
    @kijikangaresort1776 жыл бұрын

    Hii ni bleed huwezi ficha kwa kufuri... we jamaaa next level.. gonga like kumtia moyo huyu Common wa Bongo 😎

  • @rubberbandman1213

    @rubberbandman1213

    5 жыл бұрын

    Daaah jamaa kweli common wa bongo

  • @gratiouskimberly2949

    @gratiouskimberly2949

    5 жыл бұрын

    Breed

  • @gratiouskimberly2949

    @gratiouskimberly2949

    5 жыл бұрын

    Sio bleed

  • @ibrahimdeus1870

    @ibrahimdeus1870

    4 жыл бұрын

    kijikanga resort Hakika dizasta Vina unaweza

  • @frankunatishakonde7374

    @frankunatishakonde7374

    4 жыл бұрын

    Huyu mc anatisha habahatixh

  • @asjoh5390
    @asjoh53906 жыл бұрын

    Jamaa unaflow nzuri sana ya kumfanya mtu asiboeke kukusikiliza, flow yenye matamshi yanayosikika vizuri.....Dizastavina unafaa kuwa mainstream by now”!!!

  • @daudikiboko69

    @daudikiboko69

    Жыл бұрын

    true aisee.leo ndio naona hii video imenistua sana

  • @dannyeliya9010
    @dannyeliya90103 жыл бұрын

    huyu jamaa fundi asee kama una mkubali huyu jamaaa gonga like hapa👇👇

  • @mtasma1994
    @mtasma19946 жыл бұрын

    Daaaah kumbe Tanzania kuna wachanaji conscious wa Kenya mmeona....like for this

  • @droneafrica
    @droneafrica6 жыл бұрын

    Baada ya one the Incredible leo nmempata Genius wa pili tz

  • @jayfarsaga4935

    @jayfarsaga4935

    Ай бұрын

    Nakubali sana

  • @tumainzacharia917
    @tumainzacharia9176 жыл бұрын

    Hii imeingia kwenye one among the biggest dakika 10 za maangamizi kutoka kwa Profesa tungo mwenyewe Dizasta vina akiwakilisha PANORAMA genge la wajenzi wa flows aka PanoRhymes ni nomaaaaaahh!! oiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @farijidee2386

    @farijidee2386

    6 жыл бұрын

    Tumain Zacharia nakubal

  • @saidhassan570
    @saidhassan5703 жыл бұрын

    11 September 2020. Still listening to the best hip hop technician. This ain't man its Allien trust me. Live long Dizasta

  • @kingrozay1677
    @kingrozay16776 жыл бұрын

    HIPHOP is school of thought and dizasta just proved that

  • @oldskuladimuzabongo8873

    @oldskuladimuzabongo8873

    4 жыл бұрын

    Very true

  • @davidkojo9525

    @davidkojo9525

    3 жыл бұрын

    Listening to this for like the 8th time. Can't get enough. This talent.

  • @geffects1141
    @geffects11417 ай бұрын

    Attention every body, Am here to declare that Dizasta is the real meaning of Vina . Thank you.❤

  • @Call.me.b3nj
    @Call.me.b3nj Жыл бұрын

    Unapewa maradhi bure af una nunua afya👌👌👌 Am here after 4 years THE real MC @Dizasta_Vina

  • @lezamnukwa5652
    @lezamnukwa56526 жыл бұрын

    kwenye mistari ya jamaa unakuta kuna physics geography n.k hii style anafanya dizasta na one incredible tu. nice rap mzazi

  • @nassoromaduhira8480

    @nassoromaduhira8480

    6 жыл бұрын

    Noma

  • @Joekwid960

    @Joekwid960

    6 жыл бұрын

    Umeona Mwana Huyu jamaa Kama One Kafanya Vyema

  • @jafetlaizer9191

    @jafetlaizer9191

    5 жыл бұрын

    hawa ndo wakali wao

  • @rubberbandman1213

    @rubberbandman1213

    5 жыл бұрын

    Kwa mtoni kuna jamaa anaitwa papoose

  • @oldskuladimuzabongo8873

    @oldskuladimuzabongo8873

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @abuumanyati4185
    @abuumanyati41856 жыл бұрын

    Very conscious,huyu jamaa kwa uandishi wake na iyo flow, akizidisha hapo ataleta matatizo makubwa nchini bora abaki hapohapo!

  • @paulebby1552

    @paulebby1552

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @fanleck2922

    @fanleck2922

    4 жыл бұрын

    Ahahahahah...dah

  • @rockyvlogs2214

    @rockyvlogs2214

    4 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣

  • @oldskuladimuzabongo8873

    @oldskuladimuzabongo8873

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @jozefuedmund2126

    @jozefuedmund2126

    3 жыл бұрын

    Very true unaona nachokiona pitia nyimbo zake nimeweka comments

  • @alexmadafali4872
    @alexmadafali48726 жыл бұрын

    Since day one hujawahi niangusha nakufahamu kwenye mic huwa hunaga Utani aiseee Mbeya boy Dizasta vina moja kati ya Rapper ambao wanaweza kukaa kwenye beat yeyote,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,PanoRhymes forever

  • @media-rs6lo

    @media-rs6lo

    6 жыл бұрын

    Kumbe dizasta anatokea MBEYA nilikua sijui

  • @alexmadafali4872

    @alexmadafali4872

    6 жыл бұрын

    Yeap

  • @yonamkisi9683

    @yonamkisi9683

    6 жыл бұрын

    niaje madafar ulikua hujui kama dizasta ni mtu wa mbeya

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Жыл бұрын

    leo January 2023, nimetazama tena. dizasta vina

  • @arthurmndolwa1444
    @arthurmndolwa14442 жыл бұрын

    Vina dizasta ni noma sana... bigup brother... nimekumanya sanaaaaaaa.... ukweli mtupu na hakuna wakupinga... mpangilio madhubuti kabisa wa mashairi... unaacha tunatafakari ujumbe kabambe... Mungu akutangulie brother... fungua macho ya watanzania kwa kupitia kipaji chako. Umenifurahisha sana. Now this is very rare. This is talent... Big up!!!

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 Жыл бұрын

    Nobody can rap above this

  • @peterngassalah6454
    @peterngassalah64546 жыл бұрын

    Ebwanaee nifanye mpango hii niiplay kanisan maana nimaubili tosha nikitoa kudadeki mazee dzastar on🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hemedihamisi7170
    @hemedihamisi71706 жыл бұрын

    hongera man,, unaandika Sana kwa anaye elewa real hip hop atakuwa amenielewa,,,,we ni tofauti Sana na mistari mipasho ya kina boshoo

  • @balikiabdala823
    @balikiabdala823 Жыл бұрын

    Oya jama anajua sana

  • @ziggibro
    @ziggibro6 жыл бұрын

    Kama unakubali haijawahi kutokea!! Gusa Like

  • @audaxminde5314

    @audaxminde5314

    3 жыл бұрын

    Link

  • @audaxminde5314

    @audaxminde5314

    3 жыл бұрын

    Oslo I'll

  • @abbas.salim.abbasbarbz-5447
    @abbas.salim.abbasbarbz-54474 жыл бұрын

    Dizasta vina is awesomely and tremendously doing data orientation full of awesome and positive information Creativity is intelligence and his role in this society is filled with inspirational Innovation Thumbs up This is real Hiphop What a Wrap !!!

  • @johhybrid8130
    @johhybrid8130 Жыл бұрын

    5 years down and guess what! Dizasta is a man of this game🙌

  • @SPM_Mukong
    @SPM_Mukong6 жыл бұрын

    now this is the man i was praying you call in. He is a MONSTER!

  • @lamarabdurahman2767
    @lamarabdurahman27676 жыл бұрын

    Washkaji kama hawa ndo wananifanya niamin Mziki wa hip hop Unaweza kuishi hadi wajukuu wakaukuta_ Acha kina madee waendelee na Mziki wao

  • @ibrahimkanuto3514

    @ibrahimkanuto3514

    5 жыл бұрын

    kendrick Lamar jembe hili

  • @godfreybenedicto3577

    @godfreybenedicto3577

    4 жыл бұрын

    "Hizi dk kumi za Maangamizi za huyu Ndgu yangu ##usipozielewa kuna matatzo kwenye Ubongo wako (Brain Yako). Jah Thanks kwa kuzaliwa Tanzania 🌍🇹🇿🇹🇿. "

  • @ndituzyamwashitete8087
    @ndituzyamwashitete80876 жыл бұрын

    professor tungo,, kubali sana bro,,ncku niliyo kuwa naisubir kwa ham sana.

  • @abdillahimahamed1814
    @abdillahimahamed18146 жыл бұрын

    Maaan...nimekutambua leo...na nimekuheshimu. ..kutoka marekani ujue kuanzia leo...am a fan...you killing it...bro....keep up..hip hop for real..I'll start looking and following you bruh....MZUKA..ndio huu man.

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo77556 жыл бұрын

    Mkali sana!! Mistari mitam kama vile nakitupa cha kwanza, Hawa ndo mfano wa Ma Mc wa Bongo ambao wanaweza fanya nisahau Kuwaskiliza watu kama Kina Common, Krs 1, Nasco Damas au The the roots, Big up Mi shabikiako tayari, Hata kama Kopi ya Album yako utauza raki 1 nitanunua.

  • @josseybourneventure4232

    @josseybourneventure4232

    6 жыл бұрын

    mm hata km lak 2

  • @privinusdecroshan135

    @privinusdecroshan135

    5 жыл бұрын

    Axnten xanaa mnaonipa moyo nakuja kivingne

  • @hansmtalikwa9745
    @hansmtalikwa97456 жыл бұрын

    Kwa mwaka 2018 huyu ndo kaangamiza vyema dakika kumi za maangamizi n nooooooooma sana # dizasta

  • @mahrizainobaranchas7589
    @mahrizainobaranchas75896 жыл бұрын

    Afu mwamba yuko serious kinyama,. Umetisha sana mwana ukome as Swahili wanaitaga

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao5 жыл бұрын

    The girl in a background makes some cool vibes

  • @jacksonwagalah
    @jacksonwagalah2 ай бұрын

    wa 2024 tujuanee jaman Gonga likee hapoo

  • @loyalcitizenofzamunda7894
    @loyalcitizenofzamunda78944 жыл бұрын

    I'm sayin' TZ, y'all are representing East Afrika hard man. Got the most substantive, dopest bars on the continent. And that Swahili, metaphors and word play is on another level KABISAA! One love from the diaspora from this brother from the 256! EA stand up!

  • @jobkwadinasi493
    @jobkwadinasi4932 жыл бұрын

    This guy raps in very nice , inspiration and unique style

  • @maxwellwige1071
    @maxwellwige10716 жыл бұрын

    Tukiwaka tunaweza kumgeuza fid kuwa sagna......🔥🔥🔥🔥🔥

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    6 жыл бұрын

    Maxwell Wige hapo hatari sana jamaa anajua balaa

  • @maxwellwige1071

    @maxwellwige1071

    6 жыл бұрын

    Nomaaa....🔥🔥🔥🔥

  • @nickherman4
    @nickherman46 жыл бұрын

    Dizasta Professor tungo Ametisha Mie nikimpendekeza mtu jua hiyo mtu ni noma kinoma Mlete stereo au Dubo Jesus

  • @charliedickson1089

    @charliedickson1089

    4 жыл бұрын

    Ww ni mkagulu

  • @ujenzitanzania1274

    @ujenzitanzania1274

    3 жыл бұрын

    Dubo hawezi tembea km hv

  • @josephgermanus9994
    @josephgermanus99942 жыл бұрын

    Myfavorite rapper of all time...

  • @ibracadabra7687
    @ibracadabra76876 жыл бұрын

    Hivi ndo vitu ambavyo masikio yangu yana penda kuvisikia

  • @emmanueldrawerhq7526

    @emmanueldrawerhq7526

    5 жыл бұрын

    Sure bro,but sio nyege za mafara

  • @goodluckdamian9521
    @goodluckdamian9521 Жыл бұрын

    tulio rudi kweny dakika 10 za maangamiz baada ya zile distrack tujuane 😅

  • @mapheneino
    @mapheneino6 жыл бұрын

    Kuanzia leo ww ni DIZASTA KIMA.. Yaan Nyani mzeeeeee

  • @davidmdavid4869
    @davidmdavid48696 жыл бұрын

    Daaah nimekubal dizasta umeua mbaya mzee salute nataman wangekupa nusu saa

  • @user-wx6qb3fh3m

    @user-wx6qb3fh3m

    2 ай бұрын

    lisaaa lizima ingependeza

  • @philipo7929
    @philipo79296 жыл бұрын

    Mamae🙌🙌🙌🙌 we ni moto wa kuotea mbali

  • @robertkulwa9815
    @robertkulwa98152 ай бұрын

    2024 tunaosikiliza hii tujuane

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick454 жыл бұрын

    Ujumbe mzuri sana kwa makanisa na waumini, #Dizasta vina mc mahiri.

  • @daniikirunda4010
    @daniikirunda40106 жыл бұрын

    Hatarii sana profesa tungo....nakuelewa kitambo toka STAKI GAME

  • @jibrilsheikh9949
    @jibrilsheikh9949 Жыл бұрын

    This guy is dope... Jamaa yuwatema 🔥🔥🔥🔥. One love from Kenya +2547

  • @martineedward5368
    @martineedward53683 күн бұрын

    Tupo 2024 tunaikilza hii

  • @kalungokhalfan91
    @kalungokhalfan916 жыл бұрын

    Always Tamaduni music is a real Hip Hop Respect Dizasta 👊

  • @masaimara3750
    @masaimara37506 жыл бұрын

    Pengo la uno ni dizasta, unakubali gonga like hapa

  • @salumusalumu1493

    @salumusalumu1493

    6 жыл бұрын

    we noma zaidi yao nakubali DIZASTA VINA kweli vina nimeviona mzee baba......up

  • @johnsonayo

    @johnsonayo

    5 жыл бұрын

    uno hana pengo

  • @mussashally660

    @mussashally660

    5 жыл бұрын

    Uno Mbishi Chunda hawana pengo

  • @gasperallute23

    @gasperallute23

    5 жыл бұрын

    hakuna pengo la uno

  • @kukuproject2533

    @kukuproject2533

    5 жыл бұрын

    Yaaah

  • @wachugypsumtz2061
    @wachugypsumtz20615 жыл бұрын

    Verry Conscious aisee..Thats Hip hop...Unajua bro muda utaongea

  • @abdullahamadmwinyi8233
    @abdullahamadmwinyi82336 жыл бұрын

    Big up vina umetetendea haki 10 zko ukiongeza bidii utafika mbali sana sana

  • @kenmclive7776
    @kenmclive7776Ай бұрын

    2024 still here listening this guy straight from Kampala Uganda 🇺🇬🇺🇬🇹🇿

  • @movahussein1532
    @movahussein15326 жыл бұрын

    Gonga like nyingi km unamkubali dizastA

  • @eckiller
    @eckiller6 жыл бұрын

    #DIZASTAVINA We ndo king of dakika 10 za maangamizi Wengne watasubil. Respect bro #KINISA

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS11 күн бұрын

    "Kitacho nionyesha bingu ni bidii ya kutenda mema, so sitaki kujua dini ipi ni sahihi.."💯🔥

  • @charlessitta8247
    @charlessitta82474 жыл бұрын

    Dah hii kichwa ni noma sana

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS5 жыл бұрын

    *30/4/2019 bado .namsikiliza **#dizastavina** nani mwingine.?*

  • @emmanuelchipindi5450

    @emmanuelchipindi5450

    4 жыл бұрын

    Kanisa

  • @ellymtima3673

    @ellymtima3673

    4 жыл бұрын

    me evryday

  • @mextraveller1946
    @mextraveller1946 Жыл бұрын

    5th May 2023 still on this masterpiece 🙌🏾

  • @davidkojo9525
    @davidkojo95253 жыл бұрын

    Man, TZ is full of talent. Dizasta you good man. So much respect. Enyewe wewe ni tofali la kuchomwa

  • @alimkumba9459
    @alimkumba94592 жыл бұрын

    miaka 1000 hakuna atakae vunja hii people talent ya hali ya juu respect planet bongo jamaa afanye nyingine please we miss dizastar vina

  • @thugboy4227
    @thugboy42276 жыл бұрын

    Dizasta vina mshenzii wa tabia kauaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chrisostomehaule2152
    @chrisostomehaule21526 жыл бұрын

    ``na hii ni breed mwana hawezifichwa na kufuli`` Tisha sana brother

  • @paschalmiambi2116
    @paschalmiambi21166 жыл бұрын

    Ebanaaa eeehh hiii ni nooomaaaa disasta atarrrr it iz true your daZasta noma sana Br

  • @adamsadick2745
    @adamsadick274510 ай бұрын

    Leo tena 7-9-2023 Naicheki tena.. Noma sana brother.

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Жыл бұрын

    planet bongo, frida aman alkuwa analeta vibe sana. anaskiliza kwa makin

  • @nsajigwamwakolo6007
    @nsajigwamwakolo60076 жыл бұрын

    Prof #Tungo acha awafundishe... 👏💯💯🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel77523 жыл бұрын

    *29-03-2021 baada ya kumzika MAGUFULI nakuja kujifariji na hawa wanyamwezi* 😢😢😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 msosi wa kitaa ni Hip Hop

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari16236 жыл бұрын

    Sjakuskiliza ila nshakukubali kabla hujachana dizasta vina

  • @gideonaire_ke
    @gideonaire_ke6 жыл бұрын

    Kazi nzuri Dizasta. Big up 🇰🇪

  • @imanbrettyjohn379
    @imanbrettyjohn379 Жыл бұрын

    it's now 2023 still listening 🎤🎤🎤🎤

  • @Peterwiz_254
    @Peterwiz_254 Жыл бұрын

    Dizasta vina, Bosongo Artist approved this 👌 5 yrs down the line bado tunaisikiza

  • @emmanueldanken3832
    @emmanueldanken38326 жыл бұрын

    Kwangu kumi za maangamizi zimeshaisha yamebaki matrela tu. Dizasta tisha sana mbaba

  • @japharysety5602
    @japharysety56026 жыл бұрын

    kibaa Mile 1 me ni Eight Mile's Eminem dizasta

  • @Itsdodwell
    @Itsdodwell3 жыл бұрын

    Huyu jamaaa ni moto nasemaa firee💯💯huyu infaa wafanye kolabo yaani hit moja safy wakiwa na James moto💯✔️✌️

  • @mathiasjackson70
    @mathiasjackson70 Жыл бұрын

    Big up Dizasta! The Lady at the back seems to understand and enjoy the Vinas more that all of us. 🤣

  • @nickb3289
    @nickb32896 жыл бұрын

    Aaaah dizasta duh balaaa jingine ATAR SANA YAN 🔥

  • @Alex-en7dv
    @Alex-en7dv2 жыл бұрын

    2022 This is still banger GOAT

  • @wazi7719
    @wazi77194 ай бұрын

    Oyaa wakuu nimerudi tena kula madini ya Bro Dizasta vina... Hiki kichwa ni wakina baba levo mia😂 Respect Bro

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga4935Ай бұрын

    Nimeludia mara 4000 mamae

  • @georgemogori9764
    @georgemogori97646 жыл бұрын

    Maninja wa tamaduni Ni mwixho wa mochano Dizaster vina Siku mbaya, Hard, cter kadata

  • @ramadhanimostoni8273
    @ramadhanimostoni82733 жыл бұрын

    Physics+Chemistry+Biology+Mathematical+Geograph=VINA DAVISTA✔

  • @davidqauki5088
    @davidqauki50883 жыл бұрын

    Kak mzaz daaa!!! Unajua aisee, nyie ndomarapa hawa wengine niu2mbo2 one love brother";

  • @lukesindiya2164
    @lukesindiya21645 жыл бұрын

    dizasta ni zaidi ya star salute kwako mwamba

  • @husseinidd5751
    @husseinidd57516 жыл бұрын

    Mistari CONCIOUS ...Salute Kwako

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo76784 жыл бұрын

    Talented, smart, and you do your research I give you 💯, flow tight, lyrics 👌🏿👌🏿keep it up

  • @amocabdallah7616
    @amocabdallah76166 жыл бұрын

    dizasta, panorama,,Pow Pow nakukubar xana umetisha mna,,

  • @josephnyanda8921
    @josephnyanda89215 жыл бұрын

    Damn who z back here n still watchin again n again..this nigga got skillz...hongera mwanangu ufanyie kweli huu mziki

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize49266 жыл бұрын

    Dizasta noma, dk 10 hazimtosh Natamani kuwaona #blackfire & #adamu_shule_kongwe

  • @daniikirunda4010

    @daniikirunda4010

    6 жыл бұрын

    mpjozze galvanize bila kumsahau mtaalam SHAULIN SENETA

  • @mpjozzegalvanize4926

    @mpjozzegalvanize4926

    6 жыл бұрын

    Danii Kirunda yah man mzee wa #simu_ya_dada. Kwel jamaa naye mkal wa #storytelling

  • @ibraahmapexah5418

    @ibraahmapexah5418

    6 жыл бұрын

    bila kumsahau mbeya boy chuma

  • @davidkojo9525
    @davidkojo95252 жыл бұрын

    I still watch this every week.

  • @nonstopafrica
    @nonstopafrica6 жыл бұрын

    Ata ukitaga yai uwez ryms juu ya hapa dizasta vina ni incredible group usimuweke na watoto wasio jua anachoma zaid ya jua

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee4455 жыл бұрын

    Aisee jamaa anaweza san huy mbon , hakka n mistari yenye mantic sio kelele, big up 2u Dzasta boy U'a talented 4sure.

  • @emmanueldagharo9462
    @emmanueldagharo94625 жыл бұрын

    Genius 💪🇹🇿

Келесі