Boshoo raper kutoka Tanga awapagawisha watangazai wa Planet Bongo kwenye dakika 10 za maangamizi. Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Жүктеу.....
Пікірлер: 766
@msabatozeson90236 жыл бұрын
hizo dakika kumi nipeni na mimi!! kwann lkn tunabaniana dulaaa!! boshooo ninja,, kwa punch hizo!! me siachi kutunga kila siku!! fireeeeee
@mohamedabdallah75265 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂 walio angalia hii video zaid ya mara 3 like hapa tujuane 💥💥💥🙌🙌
@kopawisdom8112
4 жыл бұрын
Huyo dogo nomaaaa🔥🔥🔥🔥
@coreyluka9124
3 жыл бұрын
Pro trick: you can watch movies at Flixzone. I've been using it for watching a lot of movies these days.
@byronellis7503
3 жыл бұрын
@Corey Luka yea, have been using Flixzone for since november myself :)
@mbakepete2153
Жыл бұрын
Mara kumi
@geofreysadok4823
Жыл бұрын
Nimerudi tena😂
@kennedyjames97866 жыл бұрын
Boshoo ninja kaangamiza mpaka kapitiliza......itapendeza zadi nikimtunuku cheo cha Amiri jeshi mkuu wa East Africa Radio dakika 10 za maangamizi..
@saidollar_Iv
4 жыл бұрын
Bishooo Ninja Balaa La Dar Mpaka Tanga
@dastanherman.kingdicetv18406 жыл бұрын
boshoo kawafunika wote waliowahi kuja apo kwenye dakika kimi kama unakibali gonga like twende sawa sema bosho ninjaaaa
@saulmwakyusa1001
6 жыл бұрын
Dastan Herman sana ila kwa young killer na selementaly bado
@zackaliajohn4015
6 жыл бұрын
kweli kaa
@mvungigaming
6 жыл бұрын
Tru
@merekaale2599
6 жыл бұрын
Kawafunika wote
@davidameer4399
6 жыл бұрын
Boshoo Ninja
@andrewmndeme18463 жыл бұрын
Moja ya show kubwa haija tokea tna hadi Leo heshima kwako boshoo ninja
Show inanoga kila j3 sababu ya watu mnaowaleta. Big up EA radio kiboko yao kwa dak. 10 za maangamizi
@juliusngowi9526 жыл бұрын
Nime-enjoy sana sana..nimeiskiliza saa 11 asbh nikatabasamu bila kupenda..Boshoo you are the NINJA for real
@mcwaya6 жыл бұрын
Jamaa kanifanya naitikia anavyowaimbisha hapo studio usiku wote huu daaaah... Salute kwako Boshoo
@dismashaule16316 жыл бұрын
Wachache sna sasa ivi vichwa kama hi hivi dah big up sna kwake Boshoo ninja kweli we ni ninja
@masaimara37506 жыл бұрын
boshoo ninjareeee.... moto sanaaa, matozi wamepandisha bei ndala nyeupe.
@rassanleezedon68616 жыл бұрын
home boy jaribu kuachia ngoma, dah tanga na nyie mko good kwa hip hop, much respect kwa punch line kama zote
@mohamedyusuph13216 жыл бұрын
Boshoo ni mwamba ni noma is my best since muanze hii kitu amezitendea haki ten minutes yuko next level East Africa Radio wasaidieni hawa waje wafanye Hip-hop ya kweli nimemkubali sana huyu msambaa wa korogwe big up BOSHOO ni hatari sana
@mariammhando75204 жыл бұрын
Tanga boy! Home boy..... Tanga stand up!
@tunechedward49604 жыл бұрын
Tanga wapi likes kwa boshoo
@mnyakitz20076 жыл бұрын
boshoo see u ninja ... nakujua before hapa nimeinjoy kukuona Kwenye platform kama hii ujaniangusha mm wala we ujajiangusha ...karibu hale tanga....its all about music
@hydrazineazine87646 жыл бұрын
Real hiphop haipo kwenye Radio, hawa ndo watu tunataka achaneni na wenye majina makubwa, hiphop ipo mtaan nenden Dullah mkailete.
@saulmwakyusa1001
6 жыл бұрын
Hydrazine Azine point mkali salute mtaani ndo wapo hao wenye majina wanachana kwa kujickia sana
@nasrynasry4632
6 жыл бұрын
Hydrazine Azine , and I will be
@denismakweba3870
6 жыл бұрын
Hydrazine Azine Na + Nchama the best wako vizuri
@jameschanja83046 жыл бұрын
Ebwana huwa si coment kila wakati bali kwa mtu talented kama boshoo maana hip hop na feel kupitia tanga boy boshoo! Cjapoteza mb zangu kwako bro
@richmontanna79346 жыл бұрын
Free style of year 2017 no one like this. Kenya we locked all time
@johnmadawa8686
5 жыл бұрын
ww kweri ninja maana kiboko
@davidkojo9525
3 жыл бұрын
Maze hawa wasee wako juu
@matowo19906 жыл бұрын
Ukiongelea Maangamizi huyu mwana ndo kaitendea haki yani ameua mbayaaa na mwana still alikua hajamaliza kutema madini, ningependa toa ushauri huyu jamaa aitwe tena coz since mmeanzisha hii Dakika 10 za Maangamizi hii mchano nimerudia more than 10 times coz haiboi na kama inawezekana hiki kipindi kiwe kwa ajili ya Talented underground kama hawa sio ma star wanaotupotezea muda tu
@brokertz82036 жыл бұрын
Qmmqe boshoo kauwa salute kwake hawa ndo wakuletwa waangamize 🙌🙌🙌
@zulufkhan19495 жыл бұрын
Bosho balaaaa,mgongeeni like millioni hapa
@mrquality10806 жыл бұрын
Respect sana mkuu.sijawahi kuipinga hiphop kwa namna yoyote ile. RESPECT KWAKO BOSHOO
@davidmdavid48696 жыл бұрын
Maangamiz kama haya ndo tunatak wahun salute boshoo ninja
@magembefrank76246 жыл бұрын
Korogwe vipaji vipo sana tu ila njia oya pamoja sana umeua hii ni yakwanza japo nyingi zimepita
@mudyramadhani30206 жыл бұрын
hiii nara ya 20 naiangalia hii yan xichoki sio kama zile zingine ma mc wanatia huruma yan we mtazamaji unamuonea huruma msanii asitie aibu dakika zikimbie fasta
@calvinminja2923
6 жыл бұрын
Mudy Ramadhani ha ha mm kila siku jamaa anajua
@holymoko50586 жыл бұрын
mmempa kumi kwel uyo jamaa mbona kama zimekuwa ndogo ivi?!! Boshoo NINJA
@nigeriacultureandtradition85275 жыл бұрын
Boshooo Ninjaaa Nasema hivi . A H S A N T E !!!
@jimmymwandenuka86906 жыл бұрын
boshoo ww ni nouma sana umeuaaaa wote waliowai kuja
@meshack25594 жыл бұрын
Huyu ndo master wa dakika 10 za maangamizi,
@doctor_fazi6 жыл бұрын
Www.Boshoo ni ninja kisoo dogo ana panch line kuliko mcee yoyote aliyewahi kufika hum studio .co.tz
@johnmadawa8686
5 жыл бұрын
dulla unanifurahisha kaka unamizuka sana hip hop
@momussa15046 жыл бұрын
Balaa jingine hili mzeee........ Tanga boiiiii
@hemedihamisi71706 жыл бұрын
kumalamaako we chalii Ni noma😂😂🔥🔥🔥gonga like Kama unamkubali boshoo
@wafiq46 жыл бұрын
Ukooo poa zaidi ya kuangamizaaa ... 2018 still viewing its 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@yehovalyimo37442 жыл бұрын
kati ya show za dk 10 za maangamizi huyu boshoro ninja sichoki kumsikiliza ....... yupo vizuri sana ktk mistari anayochana...
@j4wasaimon9816 жыл бұрын
Atakae sema ujui namchukulia arabii jamaa nyko na nusu 🔥
@salumuhafidhi19206 жыл бұрын
boshoo boy katisha sijawahi kuona dakika 10 kama hii#BOSHOO NINJA ni hatari sana from Bonge La mTanzania-BLT-Mtabe TZ
Ukimsikiliza kwa makini Boshoo ana uandishi flani wa akili sana uliotulia, punchline zake pia nyingi sana katika kila verse🔥🔥🔥🔥
@davidameer43996 жыл бұрын
Ana Punchlines ana Flow kali ana Styles ana Swagg pia Hip Hop inamuhitaji Sema Boshoo Ninja
@jimmyisdory99336 жыл бұрын
Top 3 1:bosho ninja 2:hidary scoda 3:miracle
@denismakweba38706 жыл бұрын
Oyooooooooh so talented Nmekupa salute
@Majestino4 жыл бұрын
Bosho Mkali ana pumzi kweli kweli, yeye na Mbeya Boy nimesha wakubali kweli kweli, awa wasani mbona aha toki Congo japo wako tayari kwa michano
@amanilyobah4236 жыл бұрын
Dah BOSHOO NINJAA UMEUA SANAAA MAANA WENY MAJINA HUA WANAARIB SANAA
@emmanueldagharo94625 жыл бұрын
Genius👊👏Bosho Ninja
@tobiasbeda20226 жыл бұрын
Boshoooo sichoki kuangalia na kusikiliza maangamizi yako
@godfreyngowi64348 ай бұрын
Daaah sijawahi ichoka hii free style....❤❤❤
@davidlocker84602 жыл бұрын
Naomba mmmlete tna mbeya boy chuma
@issaomary77186 жыл бұрын
Ase boshoo nimezima fegi nimewasha bangi,umeua maduanzi wote hapo planet dingi!! Naanza kukufatilia ase oi sana
@yusuphcharles5188
6 жыл бұрын
yusuph Charles(yantabo) dogo ww ni xhidaaa
@fredyvahaye126
5 жыл бұрын
Htr
@IddyBoscoАй бұрын
kazinzur bro nakubr uwezowako👏
@user-uv5pk9gx8b5 ай бұрын
Dah yaani jamaa noma sanaaa na pia nakubali sana kazi one love❤ 1:33
@abbasrashidi59786 жыл бұрын
Boshoo kaua saaana. ....one of the best
@wafiq46 жыл бұрын
I always watch bt dis dude #boshoo seems 2 b da raw on da mic ... need moo like .. wanao jita ma star ata sijui mnangara vp chini ya hili jua...✌🤛👍 1:ngwea 2:chidibenz (wazamani sai anazingua) 3:boshoo ninja Tatu bora...
@mbarakakilangilo835 жыл бұрын
Jamaaa niatar sana? daaaaaah
@kelvinsichone23596 жыл бұрын
BOSHOO ni Fire/Moto wa kuotea mbali, Mkuda hakaii. Much respect bravoo. Keep it up!
@godwinwilliam8025 жыл бұрын
Daah jamaa noma Sana salute kwake
@besumitv86746 жыл бұрын
Dogo umenikosha sana, saaafi sana, hipo pop imeanza kuvuka mipaka saafi Freestyle ndiyo asili yetu
@Muhdylive
6 жыл бұрын
hapo umeona wap freestlye kilaza wew
@jeromendubusa9048
6 жыл бұрын
Nomaaaa sana
@majaliwajames3436
6 жыл бұрын
Nimekuelewa kk, toka pangani
@andelherrera5137
6 жыл бұрын
No freestyle hapo
@husseinchiaseeds2653
5 жыл бұрын
Acheni unafki nyie kuku dogo anawezaaaa
@mosamossile91135 жыл бұрын
Kaa mbaliiiii na Boshoo Ninja, charie ya korogwe finest, big up ninja langu
@halidishabani13076 жыл бұрын
umetisha kinooomaa,,home boy,,kaza ,,ongeza bidii,,kili kili in z house,,
@denisngowi86506 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiiiiii!!!huyu jamaa anauwaaa aisee vitu kaa izi ndo tulikua tunavitaka mazee i lov hip hop
@rama2ification5 жыл бұрын
Talent kama hizi halafu wanakufa maskini aiseee yani kipaji hiki ukioni wasafi festival wala fiesta..hukisikii planet bongo wala xxl.. Kuna haja ya media kujitasmini kuwasaidia watu kama hawa
J mo, uyu dogooo ni wew swarga zako zote eee anazoo
@jumamaganga50645 жыл бұрын
hatuna kiki tuna stater umezoea koko beach huku pasific kuna papa shikamoo boshoo ninja
@onesmomganga9726 жыл бұрын
Umeuuua Mathias...boshooo ninja
@carekazinza60356 жыл бұрын
tixha kinoma noma mkar duuu atar Sanaaaaaaa we kwenye tatu mbomba za kumi za maangamiz nakuweka
@abdulrahmanilikavala73176 жыл бұрын
Aisee boshoo umechama kinoma hongera sana endelea kupambana
@abdulrahmanilikavala7317
6 жыл бұрын
Hip imesimama sana natamani jamaa aongezewe muda
@nathanezee4264 жыл бұрын
Xema boshoo ninja....amini xana bob
@kunanamna41766 жыл бұрын
1.maarifa big thinker2.wakiafrica3.boshoo ninja4.miracle5.climax bibo Mabovu waliomezwa1.Hidary scoda 2.elisha 3.mex carter 4.youngdee 5.baghdad hamna kitu
@josephmnango98035 жыл бұрын
Daaa huyo jamaaa mpeni lisaaa limoja
@ismailmtunguja32186 жыл бұрын
Tetesi zinavuma boshoo sipendi kazi ni mvivu napenda ( k )
@enockngendakuriyo67596 жыл бұрын
This th real free style omg bosho ninja nakubali 👊👊👊👊💪✌
@peterngassalah64546 жыл бұрын
Yap 10 za maangamiz iv ndivyo inafaakufanywa ayea ametisha boshoo ninja
@One_Blood_Production5 жыл бұрын
OBP - Boshoo Kafunika mbaya saana.
@clementsapanjo91596 жыл бұрын
boshoo kawaua wooooteeee waliopita kudadeki Tanga boy
@chiyughajr.99686 жыл бұрын
Undergrounds wanadhihilisha uwezo wao kuliko masuperstar waliridhika. Big gwasi kwako Korogwe Finest
@agustinoedward9963
6 жыл бұрын
Noma sana hip hop juuu
@bakarikambutu48856 жыл бұрын
jamaaa namjua toka kula kwenye kiswahil na sanaa
@musheliud3124 Жыл бұрын
Talk of 16bar Boshoo is on fire flaw Safi Kama pamaba😮
@gabrielwaroma73134 жыл бұрын
Bashooo mutu muchfu sana kazi yake niku angamiza
@derickdepota1019 ай бұрын
Tumerudi tena October 2023🔥
@bablematz13094 жыл бұрын
No 2 rank yangu nakupa hiyo kati ya wote waliokuja apo 🔥🔥 #Boshoo
@kingcharlz33256 жыл бұрын
Jamaa kaangamiza mpka basi ila mleteni stereo
@lokom.herman94036 жыл бұрын
Hatariiiii 🔥🔥
@jacksonfrank54746 жыл бұрын
Sema Boshoo ninjaaaaaaa.....ebana ww ndio no moja toka dk 10 za maangamiz zilipoanzia..Big up sana home boy
@andelherrera51376 жыл бұрын
Boshoo ninjaa..Umeuwaa bro
@timothmwakakusyu45636 жыл бұрын
MC umetisha man umefunika majina makubwa very nice
@ibrahkazoba36786 жыл бұрын
Na nnaskia, tetesi zinavuma../ Boshoo mvivu sipendi kaz eti mapenda...😅😅
@onlyonetztv6103 жыл бұрын
Anahasira sana huyu Boshoo ninja
@zamoyoniismail97336 жыл бұрын
boshoo ni moto hajawah tokea sama ka vp arudie kwa garama yeyote
@peterpottertv28946 жыл бұрын
semaaa boshooo ninjaaaaa tisha man
@princerodgers59505 жыл бұрын
Nomaaaaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaa
@sospetergalus20494 жыл бұрын
Real hip hop nakubal mwanangu boshoo
@mangolimototv54173 жыл бұрын
Dogo boshoo na chuma boy wameumiza kinoma wazee
@user-kg4wp4hr5d10 ай бұрын
Daah Mwanangu nakubari kinyama
@Majestino4 жыл бұрын
Apa ni Majestino Mapozzy toka Congo Drc, napenda sana Est Africa Radio, Napenda sana Planet Bongo, Napenda saaaana Dakika kumi za maangamizi....ipo siku nami ndapita apo....
@tapiwanormantakambani4459 Жыл бұрын
Respect Boshoo ninja, Bongo tarent ipoo
@peter1018ful6 жыл бұрын
This is the best ever...
@dmack255 Жыл бұрын
Unyama Sana
@mkuluwaukae22216 жыл бұрын
boshoo..umeua..naona..safari yako ya mziki utafika mbali sana
Пікірлер: 766
hizo dakika kumi nipeni na mimi!! kwann lkn tunabaniana dulaaa!! boshooo ninja,, kwa punch hizo!! me siachi kutunga kila siku!! fireeeeee
Hahaha😂😂😂 walio angalia hii video zaid ya mara 3 like hapa tujuane 💥💥💥🙌🙌
@kopawisdom8112
4 жыл бұрын
Huyo dogo nomaaaa🔥🔥🔥🔥
@coreyluka9124
3 жыл бұрын
Pro trick: you can watch movies at Flixzone. I've been using it for watching a lot of movies these days.
@byronellis7503
3 жыл бұрын
@Corey Luka yea, have been using Flixzone for since november myself :)
@mbakepete2153
Жыл бұрын
Mara kumi
@geofreysadok4823
Жыл бұрын
Nimerudi tena😂
Boshoo ninja kaangamiza mpaka kapitiliza......itapendeza zadi nikimtunuku cheo cha Amiri jeshi mkuu wa East Africa Radio dakika 10 za maangamizi..
@saidollar_Iv
4 жыл бұрын
Bishooo Ninja Balaa La Dar Mpaka Tanga
boshoo kawafunika wote waliowahi kuja apo kwenye dakika kimi kama unakibali gonga like twende sawa sema bosho ninjaaaa
@saulmwakyusa1001
6 жыл бұрын
Dastan Herman sana ila kwa young killer na selementaly bado
@zackaliajohn4015
6 жыл бұрын
kweli kaa
@mvungigaming
6 жыл бұрын
Tru
@merekaale2599
6 жыл бұрын
Kawafunika wote
@davidameer4399
6 жыл бұрын
Boshoo Ninja
Moja ya show kubwa haija tokea tna hadi Leo heshima kwako boshoo ninja
Nlijua utazingua, umefanya poa sana, Congltion GOODJOB
Show inanoga kila j3 sababu ya watu mnaowaleta. Big up EA radio kiboko yao kwa dak. 10 za maangamizi
Nime-enjoy sana sana..nimeiskiliza saa 11 asbh nikatabasamu bila kupenda..Boshoo you are the NINJA for real
Jamaa kanifanya naitikia anavyowaimbisha hapo studio usiku wote huu daaaah... Salute kwako Boshoo
Wachache sna sasa ivi vichwa kama hi hivi dah big up sna kwake Boshoo ninja kweli we ni ninja
boshoo ninjareeee.... moto sanaaa, matozi wamepandisha bei ndala nyeupe.
home boy jaribu kuachia ngoma, dah tanga na nyie mko good kwa hip hop, much respect kwa punch line kama zote
Boshoo ni mwamba ni noma is my best since muanze hii kitu amezitendea haki ten minutes yuko next level East Africa Radio wasaidieni hawa waje wafanye Hip-hop ya kweli nimemkubali sana huyu msambaa wa korogwe big up BOSHOO ni hatari sana
Tanga boy! Home boy..... Tanga stand up!
Tanga wapi likes kwa boshoo
boshoo see u ninja ... nakujua before hapa nimeinjoy kukuona Kwenye platform kama hii ujaniangusha mm wala we ujajiangusha ...karibu hale tanga....its all about music
Real hiphop haipo kwenye Radio, hawa ndo watu tunataka achaneni na wenye majina makubwa, hiphop ipo mtaan nenden Dullah mkailete.
@saulmwakyusa1001
6 жыл бұрын
Hydrazine Azine point mkali salute mtaani ndo wapo hao wenye majina wanachana kwa kujickia sana
@nasrynasry4632
6 жыл бұрын
Hydrazine Azine , and I will be
@denismakweba3870
6 жыл бұрын
Hydrazine Azine Na + Nchama the best wako vizuri
Ebwana huwa si coment kila wakati bali kwa mtu talented kama boshoo maana hip hop na feel kupitia tanga boy boshoo! Cjapoteza mb zangu kwako bro
Free style of year 2017 no one like this. Kenya we locked all time
@johnmadawa8686
5 жыл бұрын
ww kweri ninja maana kiboko
@davidkojo9525
3 жыл бұрын
Maze hawa wasee wako juu
Ukiongelea Maangamizi huyu mwana ndo kaitendea haki yani ameua mbayaaa na mwana still alikua hajamaliza kutema madini, ningependa toa ushauri huyu jamaa aitwe tena coz since mmeanzisha hii Dakika 10 za Maangamizi hii mchano nimerudia more than 10 times coz haiboi na kama inawezekana hiki kipindi kiwe kwa ajili ya Talented underground kama hawa sio ma star wanaotupotezea muda tu
Qmmqe boshoo kauwa salute kwake hawa ndo wakuletwa waangamize 🙌🙌🙌
Bosho balaaaa,mgongeeni like millioni hapa
Respect sana mkuu.sijawahi kuipinga hiphop kwa namna yoyote ile. RESPECT KWAKO BOSHOO
Maangamiz kama haya ndo tunatak wahun salute boshoo ninja
Korogwe vipaji vipo sana tu ila njia oya pamoja sana umeua hii ni yakwanza japo nyingi zimepita
hiii nara ya 20 naiangalia hii yan xichoki sio kama zile zingine ma mc wanatia huruma yan we mtazamaji unamuonea huruma msanii asitie aibu dakika zikimbie fasta
@calvinminja2923
6 жыл бұрын
Mudy Ramadhani ha ha mm kila siku jamaa anajua
mmempa kumi kwel uyo jamaa mbona kama zimekuwa ndogo ivi?!! Boshoo NINJA
Boshooo Ninjaaa Nasema hivi . A H S A N T E !!!
boshoo ww ni nouma sana umeuaaaa wote waliowai kuja
Huyu ndo master wa dakika 10 za maangamizi,
Www.Boshoo ni ninja kisoo dogo ana panch line kuliko mcee yoyote aliyewahi kufika hum studio .co.tz
@johnmadawa8686
5 жыл бұрын
dulla unanifurahisha kaka unamizuka sana hip hop
Balaa jingine hili mzeee........ Tanga boiiiii
kumalamaako we chalii Ni noma😂😂🔥🔥🔥gonga like Kama unamkubali boshoo
Ukooo poa zaidi ya kuangamizaaa ... 2018 still viewing its 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
kati ya show za dk 10 za maangamizi huyu boshoro ninja sichoki kumsikiliza ....... yupo vizuri sana ktk mistari anayochana...
Atakae sema ujui namchukulia arabii jamaa nyko na nusu 🔥
boshoo boy katisha sijawahi kuona dakika 10 kama hii#BOSHOO NINJA ni hatari sana from Bonge La mTanzania-BLT-Mtabe TZ
@josboy5384
4 жыл бұрын
kuna jamaa anaitwa chuma nae aliua kinoma jaribu kumchek utafurahi mwenyewe
Ukimsikiliza kwa makini Boshoo ana uandishi flani wa akili sana uliotulia, punchline zake pia nyingi sana katika kila verse🔥🔥🔥🔥
Ana Punchlines ana Flow kali ana Styles ana Swagg pia Hip Hop inamuhitaji Sema Boshoo Ninja
Top 3 1:bosho ninja 2:hidary scoda 3:miracle
Oyooooooooh so talented Nmekupa salute
Bosho Mkali ana pumzi kweli kweli, yeye na Mbeya Boy nimesha wakubali kweli kweli, awa wasani mbona aha toki Congo japo wako tayari kwa michano
Dah BOSHOO NINJAA UMEUA SANAAA MAANA WENY MAJINA HUA WANAARIB SANAA
Genius👊👏Bosho Ninja
Boshoooo sichoki kuangalia na kusikiliza maangamizi yako
Daaah sijawahi ichoka hii free style....❤❤❤
Naomba mmmlete tna mbeya boy chuma
Ase boshoo nimezima fegi nimewasha bangi,umeua maduanzi wote hapo planet dingi!! Naanza kukufatilia ase oi sana
@yusuphcharles5188
6 жыл бұрын
yusuph Charles(yantabo) dogo ww ni xhidaaa
@fredyvahaye126
5 жыл бұрын
Htr
kazinzur bro nakubr uwezowako👏
Dah yaani jamaa noma sanaaa na pia nakubali sana kazi one love❤ 1:33
Boshoo kaua saaana. ....one of the best
I always watch bt dis dude #boshoo seems 2 b da raw on da mic ... need moo like .. wanao jita ma star ata sijui mnangara vp chini ya hili jua...✌🤛👍 1:ngwea 2:chidibenz (wazamani sai anazingua) 3:boshoo ninja Tatu bora...
Jamaaa niatar sana? daaaaaah
BOSHOO ni Fire/Moto wa kuotea mbali, Mkuda hakaii. Much respect bravoo. Keep it up!
Daah jamaa noma Sana salute kwake
Dogo umenikosha sana, saaafi sana, hipo pop imeanza kuvuka mipaka saafi Freestyle ndiyo asili yetu
@Muhdylive
6 жыл бұрын
hapo umeona wap freestlye kilaza wew
@jeromendubusa9048
6 жыл бұрын
Nomaaaa sana
@majaliwajames3436
6 жыл бұрын
Nimekuelewa kk, toka pangani
@andelherrera5137
6 жыл бұрын
No freestyle hapo
@husseinchiaseeds2653
5 жыл бұрын
Acheni unafki nyie kuku dogo anawezaaaa
Kaa mbaliiiii na Boshoo Ninja, charie ya korogwe finest, big up ninja langu
umetisha kinooomaa,,home boy,,kaza ,,ongeza bidii,,kili kili in z house,,
Uwiiiiiiiiiiiii!!!huyu jamaa anauwaaa aisee vitu kaa izi ndo tulikua tunavitaka mazee i lov hip hop
Talent kama hizi halafu wanakufa maskini aiseee yani kipaji hiki ukioni wasafi festival wala fiesta..hukisikii planet bongo wala xxl.. Kuna haja ya media kujitasmini kuwasaidia watu kama hawa
Eminemi toy... Boshoo nimekugawa bure😁😁😁😁😁
Duuuuh jamaa mkali Sana.... Anajua Sana... Anachezea midundo kiufundi
@shaphyvuai6805
6 жыл бұрын
GVAN CHORUS kweli anaenda vizuri sana na bits mnyama mkali
@salumumbetu395
4 жыл бұрын
Uyo jamaa ni xhida
Sichok kuitazamaaaaaa boshoooooooo👍🌋💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
J mo, uyu dogooo ni wew swarga zako zote eee anazoo
hatuna kiki tuna stater umezoea koko beach huku pasific kuna papa shikamoo boshoo ninja
Umeuuua Mathias...boshooo ninja
tixha kinoma noma mkar duuu atar Sanaaaaaaa we kwenye tatu mbomba za kumi za maangamiz nakuweka
Aisee boshoo umechama kinoma hongera sana endelea kupambana
@abdulrahmanilikavala7317
6 жыл бұрын
Hip imesimama sana natamani jamaa aongezewe muda
Xema boshoo ninja....amini xana bob
1.maarifa big thinker2.wakiafrica3.boshoo ninja4.miracle5.climax bibo Mabovu waliomezwa1.Hidary scoda 2.elisha 3.mex carter 4.youngdee 5.baghdad hamna kitu
Daaa huyo jamaaa mpeni lisaaa limoja
Tetesi zinavuma boshoo sipendi kazi ni mvivu napenda ( k )
This th real free style omg bosho ninja nakubali 👊👊👊👊💪✌
Yap 10 za maangamiz iv ndivyo inafaakufanywa ayea ametisha boshoo ninja
OBP - Boshoo Kafunika mbaya saana.
boshoo kawaua wooooteeee waliopita kudadeki Tanga boy
Undergrounds wanadhihilisha uwezo wao kuliko masuperstar waliridhika. Big gwasi kwako Korogwe Finest
@agustinoedward9963
6 жыл бұрын
Noma sana hip hop juuu
jamaaa namjua toka kula kwenye kiswahil na sanaa
Talk of 16bar Boshoo is on fire flaw Safi Kama pamaba😮
Bashooo mutu muchfu sana kazi yake niku angamiza
Tumerudi tena October 2023🔥
No 2 rank yangu nakupa hiyo kati ya wote waliokuja apo 🔥🔥 #Boshoo
Jamaa kaangamiza mpka basi ila mleteni stereo
Hatariiiii 🔥🔥
Sema Boshoo ninjaaaaaaa.....ebana ww ndio no moja toka dk 10 za maangamiz zilipoanzia..Big up sana home boy
Boshoo ninjaa..Umeuwaa bro
MC umetisha man umefunika majina makubwa very nice
Na nnaskia, tetesi zinavuma../ Boshoo mvivu sipendi kaz eti mapenda...😅😅
Anahasira sana huyu Boshoo ninja
boshoo ni moto hajawah tokea sama ka vp arudie kwa garama yeyote
semaaa boshooo ninjaaaaa tisha man
Nomaaaaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaa
Real hip hop nakubal mwanangu boshoo
Dogo boshoo na chuma boy wameumiza kinoma wazee
Daah Mwanangu nakubari kinyama
Apa ni Majestino Mapozzy toka Congo Drc, napenda sana Est Africa Radio, Napenda sana Planet Bongo, Napenda saaaana Dakika kumi za maangamizi....ipo siku nami ndapita apo....
Respect Boshoo ninja, Bongo tarent ipoo
This is the best ever...
Unyama Sana
boshoo..umeua..naona..safari yako ya mziki utafika mbali sana