Dakika 10 Za Maangamizi Boshoo vs WaKiafrika

Ойын-сауық

Пікірлер: 426

  • @nonstopafrica
    @nonstopafrica3 жыл бұрын

    Wakiafrica lyrical wizard Watoto hawawezi elewa kwa sababu sikuiz Wana amini Yale maneno ya kwenye kanga ndo hiphop

  • @davidmoses7021
    @davidmoses70215 жыл бұрын

    Wakiafrika is a talent...Boshooo is electrical...a like here to all of them.

  • @hasanzuberi6179
    @hasanzuberi61796 жыл бұрын

    nime like kabla cjackiliza ,nilivyomuona boshooo tu

  • @rashidyussufsaid6575

    @rashidyussufsaid6575

    6 жыл бұрын

    Hasan Zuberi dah boshooo ni noumaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mihayocharles9709

    @mihayocharles9709

    2 жыл бұрын

    Noumaaa sanaaa

  • @theictguru5791
    @theictguru57915 жыл бұрын

    Wa kiafrika ni ana mistari yenye ustadi zaidi....anajua kuandika

  • @Muhdylive
    @Muhdylive6 жыл бұрын

    nilichokigundua ni kuwa Wasikilizaj weng wa kumi za Maangamizi watasema Wakiafrika kafunikwa ila Wakiafrika ni Bonge la Lyrical Technician.... salute kwake

  • @mwikaabas2763

    @mwikaabas2763

    6 жыл бұрын

    Huyu dogo yuko poa Sana mtundu Sana Wa maneno he is just like Maarifa the big thinker Boshoo yuko poa ila ana maneno mengi ya shombo

  • @Muhdylive

    @Muhdylive

    6 жыл бұрын

    +Mwika Abas yap yupo vzr Boshoo ila cyo kwa Credit wanazompa. ukimsikiliza Maarifa unaeza jiuliza hzo mistar anazitoa wap ana Technics za uandish... boshoo ana Shomboshombo 2 as u said ila anajua

  • @abbasrashidi5978

    @abbasrashidi5978

    6 жыл бұрын

    mohamed musa sure broo wakiafrika anaandika kiufundi saaana. ......me naona ngoma droo. ....vyuma vimeumana.....wana wamechinja saaana. ....boshoo sema ana punch flani nyepesi zinazoeleweka........na zenye kufurahisha. .......ila wa kiafrika ni fundi kuanzia floo. ...lyrics technical.

  • @Muhdylive

    @Muhdylive

    6 жыл бұрын

    +Abbas Rashidi yap yap umetisha askar, credit ziende kw wote,.. wote wanang najua jins wanavyoumizaga kwenye vilinge ila Wakiafrika huwaga akishika kinasa #brotherz wanakubal yan

  • @abdulkuyambuka9637

    @abdulkuyambuka9637

    6 жыл бұрын

    Kingine huyu fifi anakosea anaonyesha mizuka sana Kwa huyu bo shoi

  • @camillomakongwa8308
    @camillomakongwa83086 жыл бұрын

    Boshooooo ninjaaaaa,, unajua mnooo nasemajeee? Boshoo hufaiiii,, u nailed the show hurudii mistariii big up ninjaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bellenegoomagele5967

    @bellenegoomagele5967

    6 жыл бұрын

    nice

  • @shabaniidd1651
    @shabaniidd16516 жыл бұрын

    Kama unakubali Boshoo ni Ninja Gonga like Twende sawa

  • @davidndunguru9500

    @davidndunguru9500

    5 жыл бұрын

    Boshoo hatari

  • @shabanimrisho2484

    @shabanimrisho2484

    4 жыл бұрын

    Boshooo💥💥💥

  • @Manjalino

    @Manjalino

    4 жыл бұрын

    Shabani Idd baba kauwaaa

  • @joharimustapha43

    @joharimustapha43

    4 жыл бұрын

    @@davidndunguru9500 tena hatari xana

  • @a.j9964
    @a.j99646 жыл бұрын

    Kwa moyo mkunjufu jamani mimi nasema huyu bishoo ni kwere duuuh.. Hongera sana kwake.. Pia ahsanteni sana PLANET BONGO KWA BURUDANI.. MWAKA WAISHA VIZURI ATII!!

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary87436 жыл бұрын

    Ya mwisho awekwe selementary vs skoda vs boshoo Wawe watatu

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana75236 жыл бұрын

    Boshoo kuma mako we mthenge noumaaa yaani nyoko , 😂😂😂😂 🔥🔥🔥🔥🔥 boshoo = cassidy

  • @Innocente1994
    @Innocente19946 жыл бұрын

    Wakiafrica sounds like Maarifa big thinker

  • @abdulrahmanilikavala7317
    @abdulrahmanilikavala73176 жыл бұрын

    Aisee boshoo umeuwa mpaka ukanikumbusha mdau wangu wanguvu ingawa kwenye game amepotea ila heshima kwake roho 7

  • @abdulrahmanilikavala7317

    @abdulrahmanilikavala7317

    6 жыл бұрын

    Mwalimu wa hip hop

  • @samsonlugala6933

    @samsonlugala6933

    6 жыл бұрын

    Roho saba aliend jeshini uyoo jmaa akaachna na mzik kabsaa ...nguzo ilioptea alikuwa anajua sanaa

  • @teddyluhanga1667

    @teddyluhanga1667

    5 жыл бұрын

    roho saba kawa mjeda aisee

  • @elisamehecharles5432

    @elisamehecharles5432

    4 жыл бұрын

    Ogaaah! Jamaaa yupo jeshini ni captain nw

  • @johnsonmoding2458
    @johnsonmoding24586 жыл бұрын

    #Boshoo 2samehe 2sio kufatlia.. Mwanangu unajua hatareee

  • @erickjohn5209
    @erickjohn52096 жыл бұрын

    Bosho ninja ninouma sana anaflow Kali Na mistari kwenzi

  • @johnsonmoding2458
    @johnsonmoding24586 жыл бұрын

    Kaka #dullah ebu mtafutien dak 10 uyu wakiafrika dg mzik umekua Saiz n mixtari kuntu

  • @noahsilungwe5140
    @noahsilungwe51406 жыл бұрын

    Sema Boshoo Ninjaaaaaa

  • @hermansalleh2690

    @hermansalleh2690

    6 жыл бұрын

    Boshooo ninjaa

  • @amiribishiru8206
    @amiribishiru82066 жыл бұрын

    Undergrounds wanafanya hiphop inang'araaa #BO-shoW

  • @salimgeyana7547
    @salimgeyana75476 жыл бұрын

    Daaahh huyu boshoo nahis analaana ya mistar alopewa na ubongo wake..Nouma sn

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe5 жыл бұрын

    Huyu Wakiafrica dakika zenyewe tano alafu anapoteza na "Nani Kataka Nani Kataka"

  • @omegamwinuka7322
    @omegamwinuka73225 жыл бұрын

    Kweli mziki mgum boshoo eti hajatoboa

  • @Charles-xs7by
    @Charles-xs7by4 жыл бұрын

    Hii freestyle nimeipenda sana....all rappers enyoyed fully, so the listeners... Maarifa🤓🤓 na Boshoo😎😎 Msikilizaji😍😍😄😄😝😝🤗🤗

  • @mzeebaba6045
    @mzeebaba60456 жыл бұрын

    Noma sana nawaweka kando kama pushabu boshoo wakiafrika mmetishaaaa

  • @sulleneytv3625

    @sulleneytv3625

    5 жыл бұрын

    Boshoo nouma TANGA BOOOOOOY

  • @thadeusmassoy7891
    @thadeusmassoy78914 жыл бұрын

    Kitaalamu ni kwamba Wakiafrica ndiye bora hata flow yake iko quality zaidi.

  • @pamphiltungaraza6945
    @pamphiltungaraza69456 жыл бұрын

    Like boshooo ninjaa big up snaaaaaaa

  • @zackaliajohn4015
    @zackaliajohn40156 жыл бұрын

    oya Boshoo ninja unamistari hatari balaa hivi gigy money angekuwa nani kama angenyimwa choo hahahaha umemkalisha uyo DOGO hatari

  • @danielellyeldanielellyel2281
    @danielellyeldanielellyel22816 жыл бұрын

    Boshooooo anajiamni anaweza big up janjaaa

  • @remmyhyazint5913
    @remmyhyazint59136 жыл бұрын

    MLETENI DIZASTW VINA KWA MARA NYINGINE..HAKUNA KAMA @dizasta vina

  • @ramaally925

    @ramaally925

    5 жыл бұрын

    Remmy Hyazint hakuna kama dizasta vina💪💪💪💪💪

  • @kaonekacavin6002

    @kaonekacavin6002

    5 жыл бұрын

    una akili sana mwana,,,dizasta MTU mmoja kuliko rappers wooote,,MTU wa kutunga visa na kuvileta ktk uimbaj,,,huyu MTU hatari

  • @Fundikichwa
    @Fundikichwa6 жыл бұрын

    dah sema boshoo ana mistari flan mitamu mitamu sn... na anavo change floow ndo kwikwi kbs

  • @hamisjuma497

    @hamisjuma497

    4 жыл бұрын

    Boshoooooo

  • @EarningsEdge101
    @EarningsEdge1016 жыл бұрын

    Tangu dk 10 zianze haijawah kutokea kama hii, nnachoweza kisema ni kuwa boshoo ninja kajifunika mwenyewe round hii......

  • @charlesbeatus1229

    @charlesbeatus1229

    3 жыл бұрын

    sio kweli anglia ya were mulah utakubariiii

  • @EarningsEdge101

    @EarningsEdge101

    3 жыл бұрын

    @@charlesbeatus1229 were mulah ameua sana, hasa kwenye flow, ila kwa punch bado nampa boshoo

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45076 жыл бұрын

    Boshooooo,,, hufai hata kufuga,, #ujamaa Shari #ujamaa ulimuuwa yesu

  • @festonyakunga2083
    @festonyakunga20836 жыл бұрын

    Boshoo ww noma daaaaaahh umelana ya kuchana mamaeee

  • @horestsawaya8384
    @horestsawaya83846 жыл бұрын

    like kama umeiskiza mara 10 na hujaisha hamu.

  • @juliussanane1860
    @juliussanane18606 жыл бұрын

    Da Boshoo cyo pouwa wa Kiafrika mtamu kwenye maandishi noumaa

  • @yohanamarwa4361

    @yohanamarwa4361

    6 жыл бұрын

    Anita man b

  • @gastonjoram1779

    @gastonjoram1779

    6 жыл бұрын

    Sana

  • @jafariomary75

    @jafariomary75

    4 жыл бұрын

    Wakiafrika anaandika sanaaaa

  • @mgabejames6365
    @mgabejames63656 жыл бұрын

    Wote vizuri sema anae malizia ndo anapataga wadau sema bosho unakufuru misitari

  • @tizobway450
    @tizobway4506 жыл бұрын

    Tangu Hii Dakika 10 zianze Boshoo Ninja ndo Kaangamiza kuliko wote Anaebisha Hajui Michano Michano Sio kuangalia kwenye simu

  • @mwalwegowilly4113

    @mwalwegowilly4113

    5 жыл бұрын

    Chuma mbeya boy

  • @juniormchaga1657

    @juniormchaga1657

    4 жыл бұрын

    Chuma boy

  • @rasisimba2483

    @rasisimba2483

    3 жыл бұрын

    Kabixa mzeee baba

  • @sammsati4386

    @sammsati4386

    3 жыл бұрын

    Chuma mbeya boy

  • @martin_mjb3917
    @martin_mjb39176 жыл бұрын

    Emb ntajieni majina ya nyimbo za boshoo📌 ni hatari

  • @stevenjohn7816

    @stevenjohn7816

    6 жыл бұрын

    tafuta mixtape yake inaitwa ujamaa shariafu singles lulu nzuri50 barsnilipotokana for my baby girl

  • @kinarazemaster7321
    @kinarazemaster73216 жыл бұрын

    Boshoo kaja tofauti na nlivyomzoea,,, hii ni tofauti inayotakiwa ktk dk hizi za maangamizi

  • @angelgaudance7942
    @angelgaudance79426 жыл бұрын

    #boshoo haujawahi niangusha #wakiafrika aminia salute #planetbongo

  • @merekaale2599
    @merekaale25996 жыл бұрын

    Mm nawaambiaje hakuna km boshoo km unakubali like twende sawa

  • @smartnyanda7896
    @smartnyanda78966 жыл бұрын

    oyoooooo wana wa korogwe Tanga piga kelele tisha sana boshoo ninja

  • @aloycemrosso4777
    @aloycemrosso47776 жыл бұрын

    Boshoo ninjaaaa nomaaa hip hop

  • @todymwakimage8081
    @todymwakimage80816 жыл бұрын

    oya sema nn piga chini leta selle mentary na uyo boshoo alafu uone Toto ya mbeya inavochafua umo ndani noma kama boshoo hatotoka nduki nomaaaaa

  • @faroukmdigo9237
    @faroukmdigo92376 жыл бұрын

    hii ni best of the best ktk siku 10 za maangamizi.

  • @hermansalleh2690

    @hermansalleh2690

    6 жыл бұрын

    Live

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial15912 жыл бұрын

    Wakiafrika Yuko vizuri ila abuni zaidi kubadilisha flows

  • @johnbahuta6239
    @johnbahuta62396 жыл бұрын

    daah boshoo noma sana asee afungue mwaka tena na dk 10

  • @geremyshadrack9170
    @geremyshadrack91706 жыл бұрын

    wote ni hatari apo... simuoni wakukaa juu ya mwenzie apo... HAIITAJI KUMUWEKA MMOJA JUU YA MWENZIE WAKATI WOTE WAPO JUU... respect waki"afrika, respect boshoo

  • @almasisukwa2637
    @almasisukwa26375 жыл бұрын

    uyoo boshoo muachen 2 anajua sana

  • @ureweditv2812
    @ureweditv28125 жыл бұрын

    Mc toka Tanga... Rap hsabati nakokotoa napiga bandaaa #km_unaijua_hii_mistar_ya_#boshoo gonga like

  • @kombeismail8230
    @kombeismail82304 жыл бұрын

    Boshoo we sio wa kawaida kabisa

  • @samwelijohn6794
    @samwelijohn67945 жыл бұрын

    Huyoo boshoo hatarii

  • @elibarikilukasimakala5534
    @elibarikilukasimakala55342 жыл бұрын

    Napenda sana midondoko ya wakiafrica

  • @jamesmwawesu8167
    @jamesmwawesu81676 жыл бұрын

    boshoo ninja oiyoooo!!!!!

  • @ibrahkazoba3678
    @ibrahkazoba36786 жыл бұрын

    Washkaji em niambien hyo beat aloanza nayo apo dullah wakat anaongea ni ya ngoma gani.. nmeutfuta sana nmekosa..msaada tafadhali

  • @ommyomary1863

    @ommyomary1863

    4 жыл бұрын

    Sijui ngoma inaitwaje Ila ni ya Bou Nako ft Belle 9

  • @allymchopa5053
    @allymchopa50534 жыл бұрын

    Oyaaaa we nouma sana

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68056 жыл бұрын

    Wapo vizuri wote but boshoo more than other halaf bits Ipo chini Sana all in all show kalii sana keep it up East Africa 📻

  • @ramadhanially8249
    @ramadhanially82496 жыл бұрын

    tunaitaji eatv muweke blog za kuuza ngoma za hawa watu

  • @madamglory1409
    @madamglory14094 жыл бұрын

    Boshoooo boy ooyoooo

  • @demicheleyzmodisedenniz8730
    @demicheleyzmodisedenniz8730 Жыл бұрын

    Dogo nyie..hatari..pia fukisheni challenge.huku kenya..tubarizi..kali zaidi napenda💥💥💥💥

  • @amourmohd3510
    @amourmohd35106 жыл бұрын

    boshooooooo ninjaaaaaa unajuaaa mbyaaaaaa

  • @charlesnghwaya1619
    @charlesnghwaya16196 жыл бұрын

    Sema Boshoooooo ninjaaaaaaaa umetishaaaaaaa

  • @danieln.laurence1485
    @danieln.laurence14856 жыл бұрын

    #Boshoo, you need to get Tongwe Record..., haiseee..kkkkkkk on fire

  • @matunzozero6044
    @matunzozero60445 жыл бұрын

    Noma sana

  • @hashimjombaa6129
    @hashimjombaa61296 жыл бұрын

    Boshoooo%%%% ukinidic utakua bull utagongwa kila keteee

  • @brightmyenzi4681
    @brightmyenzi46816 жыл бұрын

    Huyu boshoo...anajua sana aisee...punch kila baada ya line moja...what the hell

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS6 жыл бұрын

    #Wakiafrica🔥🔥🔥🔥🔥🔥tishaaaaaa sanaaaaa #boshooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥tishaaa sanaaaa #maalifa mkali kulikoooooo🔥🔥

  • @twaziwailes3077
    @twaziwailes30776 жыл бұрын

    boshooooo sumu wakina youung wakae vzuri

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw6 жыл бұрын

    dahhhhhh hh hh heshima sana boshoooo

  • @mahamuduyfande8282
    @mahamuduyfande82823 жыл бұрын

    Bishop ni master

  • @hatibumwandaro7556
    @hatibumwandaro75564 жыл бұрын

    Nakubali bosho toka T.A

  • @atanasifrancis3308
    @atanasifrancis33086 жыл бұрын

    Boshoo Noma nomaa ,huyo jamaa ni motoo

  • @uwezoelias9797
    @uwezoelias97976 жыл бұрын

    Boshoo kaua mbaya

  • @andelherrera5137
    @andelherrera51376 жыл бұрын

    Alaf hyo Unlike Button itolewe kwenye video kama hizi banaa🔥🔥

  • @adammaheri4790
    @adammaheri47906 жыл бұрын

    boshooooooooo MTU mbaya sanaaaaa

  • @peterregy6660
    @peterregy66605 жыл бұрын

    Boshooo anatisha

  • @martinmpusso8703
    @martinmpusso87036 жыл бұрын

    Kuna watu wanajidai ma mc lakn hakuna ktu.....salute kwko boshoo ninja,nchma the best, P the mc,wakiafrika,sele mental,Godzilla king,country wiz na nikki wa pili

  • @yusuphkassim4766
    @yusuphkassim47666 жыл бұрын

    once again boshooo kawanyoshaa.. jamaa n nomar. habahatshi jamaa. wakiafrika n balaa lnginee

  • @edwardnyihande4168
    @edwardnyihande41685 жыл бұрын

    Huyo dada anaesema huhuuu ana mzuka Sana hadi raha

  • @franknjokamtali9528
    @franknjokamtali95282 жыл бұрын

    Boshoo, we ni mkali bingwa....anaebisha aunde dunia Yake mwenyewe

  • @promramson80
    @promramson806 жыл бұрын

    Boshoo ni noma sana

  • @maritv3930
    @maritv39305 жыл бұрын

    bosho ninja

  • @luko5488
    @luko54886 жыл бұрын

    Boshoo ninja ni kichwaaaaaaa

  • @hassanmakweto4012
    @hassanmakweto40126 жыл бұрын

    Hakika mmeztendea haki hzi dk 10 kazi mzuri #waafrica $ boshoo

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi48826 жыл бұрын

    Huyu Boshoo anakuja vzuri kwenye game, He's coming to be a BongoShoo!

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi33386 жыл бұрын

    KMK, uyu boshoo ni kwikwi ase anajua mpaka anaboa ss

  • @demecksikana611
    @demecksikana6116 жыл бұрын

    Boshoo ninjaaaa nomaaa sanaaaaa

  • @abbasrashidi5978
    @abbasrashidi59786 жыл бұрын

    Boshoo una punch line saaana. .....tena punch zako zina shombo na u cartoon. .....dahhh hii ni zaidi ya nowmah. ........BOSHOO. ....WAKIAFRIKA SALUTE WANA.

  • @justinmalisa6387
    @justinmalisa63876 жыл бұрын

    bosho ungempa hata dakika buku bana

  • @mohamedyusuph1321

    @mohamedyusuph1321

    6 жыл бұрын

    Hahahaha huyo jamaa Bingwa wa kipindi hiki

  • @mohamedyusuph1321
    @mohamedyusuph13216 жыл бұрын

    BOSHOO ninja noma sana wacha tu nikutukane we Mbwaa kama kuna kombe Dullah akupe tu

  • @lil_gee483
    @lil_gee48313 сағат бұрын

    WakiAfrika ni Lyrical Hip Hop🔫

  • @bleiyzstephan2057
    @bleiyzstephan20573 жыл бұрын

    Oya Uyu boshoo nipapa kwenye hip hop anampinzanii sijajutia mb zang

  • @allyhassani3031
    @allyhassani30316 жыл бұрын

    kama dawa Boshoo kaua

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin4 жыл бұрын

    Uyu jamaa mkali sana.#Boshoo noma sana

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae22216 жыл бұрын

    boshoo..u realy know..comedy hiphop..utafka mbali..

  • @burhanchawinga5851
    @burhanchawinga58516 жыл бұрын

    boshoo bhana et gigy angekuwa wap angenyimwa choo ha ha mi naitaj mixtape yke

  • @mosesjoseph4473
    @mosesjoseph44734 жыл бұрын

    Huyo Boshoo Huyooo Huyooo nimekuona Man

  • @christereoprosper5050
    @christereoprosper50506 жыл бұрын

    Hawa ndy wanaziua dakika 10 za maangamizi kila day

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 Жыл бұрын

    Amazing sana mkuu

  • @sharomapesataiga246
    @sharomapesataiga2462 жыл бұрын

    Boshoo kutoka tanga nineinjoi sana sana kaka unachana sana sana ile kinoooooma naomba namba yako kaka

  • @sharomapesataiga246

    @sharomapesataiga246

    2 жыл бұрын

    Usinipuuziye kaka naiyomba namba yako kaka ukopowa sanaaaaana sana du duuu

  • @hermansalleh2690
    @hermansalleh26906 жыл бұрын

    Boshoooo u a da legend

  • @barakadabonge7076
    @barakadabonge70765 жыл бұрын

    Wakiafrika katishaaa

Келесі