DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI - ABO MASTER
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 53
Nomaa sana
abo mster kaua sana
Jamaa mbaya sana kwa kizazi hiki ana Flow za kisomi
Jamaa noma sanaaa
Aweee Aweee ABO MASTER 🔥🔥🔥
NOMA SANA.. MAJI YAMELOANAAAAAA
master Og Noma mz'e
Abo Master..noma nomaa dadek
Uwezo mkubwaaa
ABO Master, Master kweli 🔥🔥🔥🔥
Abo ni mkali sema naskia kama flows za b boy stereo ndani yake ila syo mbaya big up bro oyaaaaaaa mzeeeee
Saw Master!!! Imeisha
Oya huyu mtoto moto sana sema kuna yule brother F More mchunya ni monster
Jamaa linajuwa sana hiliii swagger🔥🔥🔥🙌
Apewe battle na KADO NONDO. aayeeeehh Ayeeehh wozaaah!
Anajua sana mwanetu
Uyu jamaa anajua sana 🎉🎉🎉🎉
Unazaliwa kipofu,na unaambiwa kua uyaone....
Hatari hii
Hakika mkali anaweza hii ndyo tunapenda kuona
Oyaaa vina kama Dvinaa
jamaa 🔥🔥 ila beat za kiduanzi
🔥🔥🔥
Nomaaaaa Sana kaka❤❤❤❤
Black Rasta nimekubali
Duh mwana umetisha...
safi sana hommie
DJ unazingua na hizo beat zako haujazipanga vizuri
🎉🎉🎉
Kuanzia dakika 8 jamaa kaua sana
Jamaaa mbaya wa maiki
Abo master to top
Oii huyu jamaaa noma
Safi🎉
Jamaa ni hatari👏👏👏👏👏🥮🔥🔥🔥🔥
kudadek Abo Master umeuwa mpaka noma
Nomaaa
hatukudai bob
Hata ukivaa miwahi hii vesi utaona gere
Mjomba ni mpoto Ila kusah kamteka shangazu😂
Dogo fire
Abo maSter,🔥🔥🔥😰
Woooshaaa umuuwa mwambaaaaa😅😅😅😅😅
Hi wadau, Naomba sapoti yenu please
Mtarara hata mkilowanisha godoro
Manengo na Bando naona wanatingisha vichwa tu bila shaka hili ni zao lao
@ramadhankakai7303
Ай бұрын
Manengo na Nacha sio Bando
Nimekucheki kwa TV nimekuja kukucheki kwa KZread pia😂😂😂
Usitukane🤪🤪🤪🤣🤣
Nkbl