THE CLASSIC DARK MASTER:MIAKA 28 KWENYE GAME/MAANA YA EAST ZOO/NGWEA VS GEEZ MABOV/UFALME WA NGWEA
Darkie Master ni msanii mwingine mwenye sifa za kipekee katika muziki wa Bongo,ana uwezo wa kurap na hata kuimba hususan mtindo wa Dance hall,yeye ni moja ya familia iliosumbua ya East Zoo na Chamber Squad ,ana mengi anayoyafahamu mwenye game hasa nje ya watu wa Dar,hii ni episode muhimu ambayo hupaswi kuikosa
Пікірлер: 25
Siku moja mlete Jose Mtambo mkuu wa kazi nae Old school sana.
Leo na coment ila Sina chakusema
Relate so much with the track, grinding has kept us in the streets for too long, nimekuwa mitaani sana nimepamis home🇰🇪
Mlete Toni kichwa ngumu .....aje na Dark .........Toni anaonekana ni mtu mmoja poa sana
Dark Ana story kama Lord wa nako2nako ukiangalia kwa haraka wanafanana kwa haraka big up kuvi Chaka
Tuletehe Jose mtambo ,,mwana hip pop kitambo
Daaah Dark Master Ana Mastori kibao huyu Mwamba... #Big Up Sana 🙌🙌🙌🙌
Dark master unajua sana bro usiwache kutoa mangoma unakichwa kizuri kwenye kuwaza na uandishi wako..big up braza Darky tunakusalute
Nakumbuka sana kipindi hicho Mwanza nilikuwa nakuona CBE ulipenda sana kuja pande zile big sana dark master NIMEPAMISS HOME ni moja ya ngoma yangu pendwa kabisa toka kwako 2007
noma sana, sensei tai ni best story teller
Dah..story ya shefa imenikumbusha mbali sana
Machizi wangu semeni Yooo! Dark master ft Watengwa hii ni ngoma hatari Dark aliyoonyesha uwezo wa ziada
@ZakaZakazi-rd7wo
4 ай бұрын
Ile kali sana sauti nzito zili kutana
Sensei Tai
💪💪🔥🔥 mwana chemba
Oi
❤❤❤
Mwamba huyo
Jabir: Zahran yupo wapi (dead or alive). Nani (dead or alive). Alicom (dead or alive). K-Basil. Benjamin wa mambo jambo. Ngoniz. Pia kuna madjz kama; Niko track. Pia bongo flavour isingekuwepo bila ya kampuni kongwe za video kama; Mwananchi video production. Two eyes production. Employz production. Visual lab (next level).
Am happy kumuona Darkmaster, huwaga bado naenjoy Madusko kwenye Playlist yangu. Nawakilisha🇰🇪
hard nature yupo wapi?
Wana chemba wamebaki wangapi saizi?
R.I.P COWBAMA
Kuiga umarekani mwingi ndo mkapotea mazima.Mnasahau kama TZ sio America
@jameskilasa759
5 ай бұрын
Bongo fleva imetokana na kuiga mziki wa marekan kama hujui