THE CLASSIC DARK MASTER:MIAKA 28 KWENYE GAME/MAANA YA EAST ZOO/NGWEA VS GEEZ MABOV/UFALME WA NGWEA

Darkie Master ni msanii mwingine mwenye sifa za kipekee katika muziki wa Bongo,ana uwezo wa kurap na hata kuimba hususan mtindo wa Dance hall,yeye ni moja ya familia iliosumbua ya East Zoo na Chamber Squad ,ana mengi anayoyafahamu mwenye game hasa nje ya watu wa Dar,hii ni episode muhimu ambayo hupaswi kuikosa

Пікірлер: 25

  • @irenekawogo828
    @irenekawogo8285 ай бұрын

    Siku moja mlete Jose Mtambo mkuu wa kazi nae Old school sana.

  • @edwinmathias9441
    @edwinmathias94416 күн бұрын

    Leo na coment ila Sina chakusema

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS4 ай бұрын

    Relate so much with the track, grinding has kept us in the streets for too long, nimekuwa mitaani sana nimepamis home🇰🇪

  • @hijaally8032
    @hijaally8032Ай бұрын

    Mlete Toni kichwa ngumu .....aje na Dark .........Toni anaonekana ni mtu mmoja poa sana

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j5 ай бұрын

    Dark Ana story kama Lord wa nako2nako ukiangalia kwa haraka wanafanana kwa haraka big up kuvi Chaka

  • @jengadaudi-oe9wq
    @jengadaudi-oe9wq5 ай бұрын

    Tuletehe Jose mtambo ,,mwana hip pop kitambo

  • @johnrichard5482
    @johnrichard54824 ай бұрын

    Daaah Dark Master Ana Mastori kibao huyu Mwamba... #Big Up Sana 🙌🙌🙌🙌

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma79835 ай бұрын

    Dark master unajua sana bro usiwache kutoa mangoma unakichwa kizuri kwenye kuwaza na uandishi wako..big up braza Darky tunakusalute

  • @audaxmlowa9953
    @audaxmlowa99535 ай бұрын

    Nakumbuka sana kipindi hicho Mwanza nilikuwa nakuona CBE ulipenda sana kuja pande zile big sana dark master NIMEPAMISS HOME ni moja ya ngoma yangu pendwa kabisa toka kwako 2007

  • @nicokamily1749
    @nicokamily17494 ай бұрын

    noma sana, sensei tai ni best story teller

  • @patrickgondwe1813
    @patrickgondwe18135 ай бұрын

    Dah..story ya shefa imenikumbusha mbali sana

  • @sajo_lkm2781
    @sajo_lkm27815 ай бұрын

    Machizi wangu semeni Yooo! Dark master ft Watengwa hii ni ngoma hatari Dark aliyoonyesha uwezo wa ziada

  • @ZakaZakazi-rd7wo

    @ZakaZakazi-rd7wo

    4 ай бұрын

    Ile kali sana sauti nzito zili kutana

  • @abubakaribrahim3616
    @abubakaribrahim36165 ай бұрын

    Sensei Tai

  • @astonchiba5037
    @astonchiba50375 ай бұрын

    💪💪🔥🔥 mwana chemba

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS4 ай бұрын

    Oi

  • @daddyarfaksadi
    @daddyarfaksadi5 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea88154 ай бұрын

    Mwamba huyo

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani69645 ай бұрын

    Jabir: Zahran yupo wapi (dead or alive). Nani (dead or alive). Alicom (dead or alive). K-Basil. Benjamin wa mambo jambo. Ngoniz. Pia kuna madjz kama; Niko track. Pia bongo flavour isingekuwepo bila ya kampuni kongwe za video kama; Mwananchi video production. Two eyes production. Employz production. Visual lab (next level).

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti5 ай бұрын

    Am happy kumuona Darkmaster, huwaga bado naenjoy Madusko kwenye Playlist yangu. Nawakilisha🇰🇪

  • @mshangaf1726
    @mshangaf17265 ай бұрын

    hard nature yupo wapi?

  • @ZakaZakazi-rd7wo
    @ZakaZakazi-rd7wo4 ай бұрын

    Wana chemba wamebaki wangapi saizi?

  • @oceankid4336
    @oceankid43365 ай бұрын

    R.I.P COWBAMA

  • @12322879
    @123228795 ай бұрын

    Kuiga umarekani mwingi ndo mkapotea mazima.Mnasahau kama TZ sio America

  • @jameskilasa759

    @jameskilasa759

    5 ай бұрын

    Bongo fleva imetokana na kuiga mziki wa marekan kama hujui

Келесі