KWA MARA MWISHO DULLAH PLANET AKITANGAZA PLANET BONGO, AAGWA KWA MICHANO YA BOSHOO, MAARIFA NA WERE

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 195

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt9 ай бұрын

    Dullah Planet Nomà saana Wap Tena Kaka Njoo Usafiniiii 🔥💥💯💪😊

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc16669 ай бұрын

    Were mura were mura vibe muda wote kaka nakubal 🔥

  • @josedorothea7939
    @josedorothea79399 ай бұрын

    Dullah Planet niseme Asante 🙏 kwa muda wako uliikonga nyoyo yangu kwenye upande wa hip hop hususani mlipokuja na wazo 🧠🧠 la dakika kumi za maangamizi ulituletea Radha mpya kutoka mtaani unastahili pongezi 🎉🎉🎉 your legend bro 👑👑

  • @raskise7493

    @raskise7493

    8 ай бұрын

    Siyo legend,,,, kipindi cha planet bongo kilitafutaga msichana wa kuziba pengo la Salama Jabir alivypkuwa anaacha kukitangaza kipindi cha planet bongo akakosekana ndo Dula planet akashinda Kw kura za mashabiki

  • @josedorothea7939

    @josedorothea7939

    8 ай бұрын

    @@raskise7493 Waoooooh Asante sikuijua hiyo kabla

  • @user-qs8gv5ww4s

    @user-qs8gv5ww4s

    5 ай бұрын

    yaan chozi limenitoka

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz20078 ай бұрын

    Bunaya amepiga panch nyingi na kalii kuliko wote...japo wamefanya vizuri wote...💯

  • @idrissaabubakari859
    @idrissaabubakari8599 ай бұрын

    Boshooooo ninja🔥🔥

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga64728 ай бұрын

    >>>Hahaha Chuma Kamdiss Maarifa HapoHapo 😀🔥🔥

  • @yohanakayuli4786
    @yohanakayuli47869 ай бұрын

    Mbeya boy ##chumaa 🔥

  • @scotawizzymrplanb
    @scotawizzymrplanb9 ай бұрын

    Mbeya boy ni fire 🙌🙌🙌🙌

  • @Paplick9
    @Paplick99 ай бұрын

    Mbeya boy chuma 🇹🇿🇹🇿

  • @camillomakongwa8308
    @camillomakongwa83089 ай бұрын

    Bunaya umetishaa sana😂

  • @bonifasjk2290
    @bonifasjk22909 ай бұрын

    Hawa rappers waliofik kumuaga dullaplanet kwa umoja wao wangefanya kitu kikaenda hewani aseee

  • @luisojr3480

    @luisojr3480

    8 ай бұрын

    True

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn51629 ай бұрын

    Bunayoooo and chuma daaamn

  • @issaomary7718
    @issaomary77189 ай бұрын

    Mtu chuma mwana mbeya ni waya mazeee🔥🔥🔥🔥

  • @sebastianmkumbi
    @sebastianmkumbi9 ай бұрын

    Bunaya 🔥🔥🔥

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego40308 ай бұрын

    Bunaya,, maarifa mmetisha sana

  • @user-cd4dv7wq9g
    @user-cd4dv7wq9g9 ай бұрын

    Mbeya boy chumaaaaaaaaaaa

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson59188 ай бұрын

    Sema Mbeya boi kumamake ndo real definition of Hip Hop.

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga49519 ай бұрын

    Daaah cyo kweli jua we ndo main dula ila safi tupeane nafas

  • @gerriemagic
    @gerriemagic8 ай бұрын

    Sema Bunaya mbaya sana 🙌🏿🙌🏿🔥

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma33738 ай бұрын

    Ooooooh kwanini tenaaah wapi iyooo kaka jamani much respect to you broooh umefanya mengi sanaaah haswa kwenye vipaji

  • @kitwanazanzibar5687
    @kitwanazanzibar56877 ай бұрын

    Kusema laukweli wote wamefanya vizuri Ila bunaya ni untouchable ❤ nakukubali sana umetisha sana mm sipendi mziki Ila umenifanya nipende sana ata wife home katulia ila changamoto mm😅

  • @jumazinga941
    @jumazinga9419 ай бұрын

    Mbeya boy na chat🔥🔥🔥🔥

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven9 ай бұрын

    Hatari sana aisee🔥🔥🔥

  • @petermsangi2701
    @petermsangi27017 ай бұрын

    Hawa vijana wote ni motooo full talented .

  • @MrRabbih
    @MrRabbih7 ай бұрын

    "Moja ni mimi, Niki wa Pili, tisa Belle" Legendary line right this one

  • @DjFinestWorldWide

    @DjFinestWorldWide

    4 ай бұрын

    Kali sana

  • @producercharlz2549
    @producercharlz25499 ай бұрын

    Bunaya ana kiti chake kwenye ufalme wa hip-hop

  • @victorosong132
    @victorosong1325 ай бұрын

    Dulla na Dj Mafuvu kwenye PB ilikuwa ni 🔥 hatari.

  • @mohamedmaphya7286
    @mohamedmaphya72868 ай бұрын

    Dulla planet umesapoti sana hiphop tz hususani kwenye dakika10 za maangamizi

  • @Noel-bp1xd
    @Noel-bp1xd9 ай бұрын

    Boshoo ni rapa mzuri mithili ya Albert mangwea

  • @innocentsilivester9783

    @innocentsilivester9783

    7 ай бұрын

    wewe acha mambo yako

  • @chegaritofx
    @chegaritofx9 ай бұрын

    Were muraaaa were muraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @francyfanuel1286
    @francyfanuel12869 ай бұрын

    Mbeya boy & chantibizzzzzzzzz👊

  • @eliahswai1607
    @eliahswai16079 ай бұрын

    Asee dula popote utakapoenda tuambie nakuelewa sana

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila11098 ай бұрын

    Mbeya boy chuma na Chant biz ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kulwajeremiahlibori9583
    @kulwajeremiahlibori95838 ай бұрын

    Dulla Planet tuna deni na wewe kubwa sana,,,,,,,,,Umetuacha na Majonzi

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel69739 ай бұрын

    Big show

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok48239 ай бұрын

    Hapo alikosa jr junior

  • @sindephilimon9094
    @sindephilimon90945 күн бұрын

    bunayaa,,mbeya boy chuma na were mulaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lameckmkuvasa9931
    @lameckmkuvasa99318 ай бұрын

    Boshoo ninja ❤❤

  • @matyboymtanzaniano
    @matyboymtanzaniano9 ай бұрын

    Maarifa ni jini kwenye hp hp namjua

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial74079 ай бұрын

    Ao utao waacha watatupiga pesa wauni saaana dah mbona gafra blo dula😓🤭

  • @kingnyotta1376
    @kingnyotta1376Ай бұрын

    ❤❤❤nakubali harakati za bro kadumu Sana kizazi ila Naimani alipo Kuna watu kahama nao

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes95368 ай бұрын

    Mbeya Boy Chuma,,, Ni motoo.Ahsante sana Brother Dulla Planet Wambua umeacha alama wewe ni mfano mzuri wa kuigwa katika kazi uliyoifanya kwa weledi.Nasikitika tu sikufanya kazi na wewe.Anyways Big up

  • @masongatz

    @masongatz

    8 ай бұрын

    Chuma

  • @mariamchiga846
    @mariamchiga8468 ай бұрын

    Maarifa,mbeya boy,bunaya ,bishoo,wera mura wote wameua

  • @13eka_tz-ko8zp
    @13eka_tz-ko8zp8 ай бұрын

    Noma sana

  • @jacksonfrancis5944
    @jacksonfrancis59446 ай бұрын

    Dadeq imenikuta ofisini nipo nacheka pekee yangu🤣🤣🤣🤣

  • @user-tm5xs6us4w
    @user-tm5xs6us4w8 ай бұрын

    Mmetisha wanangu michano kikari

  • @shabanimrisho8260
    @shabanimrisho82608 ай бұрын

    Niseme tuu nimeinjoi Sana🔥🔥🔥

  • @wazir_prince2
    @wazir_prince29 ай бұрын

    unaenda wp mr.dulla...

  • @obednyagani506
    @obednyagani5065 күн бұрын

    Bu noma sana

  • @mballaJR25
    @mballaJR259 ай бұрын

    Mbeya,boy chumaa💀

  • @mustaphagezina2366
    @mustaphagezina23669 ай бұрын

    Booom naya

  • @gallodograpper
    @gallodograpper9 ай бұрын

    Daah kwaheli Mwamba tulikupenda sana

  • @ahmedmshaury7525
    @ahmedmshaury75259 ай бұрын

    Bunaya🔥🔥

  • @edwardraymond8643
    @edwardraymond86439 ай бұрын

    Bunaya mumuache 🔥

  • @Paplick9
    @Paplick99 ай бұрын

    Hip hop stand up 📌📌📌📌📌📌📌🙌🙌🙌

  • @djhdscratchmaster4110
    @djhdscratchmaster41109 ай бұрын

    Hiyo changamoto why kaishia njiani 😅😅😅

  • @OfficialSilomeno
    @OfficialSilomeno2 ай бұрын

    Were mura pata love kutoka 254 Nairobi 🔥🔥🔥

  • @jumashelukindo4079
    @jumashelukindo40799 ай бұрын

    Mtoto wa babaaa Boshooo Bunaya were mulla daa rap tamu

  • @kaJEMBEvip
    @kaJEMBEvip9 ай бұрын

    Bunayooo

  • @christophergeorge5490
    @christophergeorge54909 ай бұрын

    Chanti apewe dakika 10 za maangamizi

  • @rickpoz1795
    @rickpoz17959 ай бұрын

    maarifa +boshoo ni shida

  • @bushboi6601
    @bushboi66018 ай бұрын

    Una maarifa gan maarifa toka tiptop 😂

  • @luisojr3480
    @luisojr34808 ай бұрын

    Korongwe finest 🔥🔥

  • @ramadhanijumamohammedi8751

    @ramadhanijumamohammedi8751

    4 ай бұрын

    home boy

  • @venturebown6983
    @venturebown69838 ай бұрын

    Dulla dulla dulla... please 😢😢😢but all in all 😢 nakuombea kila la kheri penye unaenda Bro. ...Salute.. Hashtag Hip Hop

  • @user-cd4dv7wq9g
    @user-cd4dv7wq9g9 ай бұрын

    Chant'z b sikukuzaniaaaaaaaaaaaa kaka

  • @elishamgaya6305
    @elishamgaya63059 ай бұрын

    This was so DOPE👊🏾💯

  • @maufijose2294
    @maufijose22948 ай бұрын

    Ila Kuna Kikubwa Sana kitapungua Kwny Dkk10 za maangamizi

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard94319 ай бұрын

    Mbeya boy chuma tukupe mauwa yako mapema kaka

  • @revocatusmtahaba9955
    @revocatusmtahaba99559 ай бұрын

    Maarifa bunaya na kinasa 🔥🔥🔥🔥

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim56098 ай бұрын

    🔥🔥🔥 ingewaka zaid wangkuj na kina kadonondo, toxic, jako jeezy (odong odwaa)

  • @SteveTegemea-fj6de
    @SteveTegemea-fj6de8 ай бұрын

    Ila Bunayoo.....!!!!Big Up

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla9 ай бұрын

    Welcome #WasafiMedia bro😎🏌️‍♂️

  • @nelsonbilali3888
    @nelsonbilali38884 ай бұрын

    Pure raw talents. Tuseme tu ukweli KENYA hatuonani 😅

  • @Simonorio
    @Simonorio2 ай бұрын

    sema dula amewapa promo vjana sana .hiphop for generation

  • @bushboi6601
    @bushboi66018 ай бұрын

    😅😅😅uyu bunaya Ana balaaa...ata wife katulia home changamoto mimi

  • @mrsinia3064
    @mrsinia30649 ай бұрын

    Oya hatar lait ningepata nafasi hapo 🤔🤔

  • @jamalabdul5645
    @jamalabdul56459 ай бұрын

    ASE mbeya boy apewe nafasi tena Kwa marake nyingine

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen72999 ай бұрын

    Dullah unaweza sana Kaka,ikikupendeza nenda WASAFI bhana ili tuendelee kuwa nawe

  • @RamadhaniallyAlly-ht6ey

    @RamadhaniallyAlly-ht6ey

    8 ай бұрын

    Wasafi hawana program ya utangazaji wapo vaisi versa,pale hakumfahi

  • @khamisbk8569
    @khamisbk85698 ай бұрын

    Boshooo we mwanangu kitambo saaaaanaaaaa

  • @OfficialSakky
    @OfficialSakky8 ай бұрын

    Unaweza sana bro ❤❤❤ nakubali mkali

  • @RamadhaniallyAlly-ht6ey
    @RamadhaniallyAlly-ht6ey8 ай бұрын

    Daaaa Dulla planet bongo ntakukumbuka sana

  • @GuerschomOmollo-wz9ly
    @GuerschomOmollo-wz9ly9 ай бұрын

    Changamoto 😂😂 i like it🤣🤣

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes9 ай бұрын

    Tutakumisi sana mwanetu

  • @nagonation7855
    @nagonation78559 ай бұрын

    Mtoto wa bibi nurse boshooooo

  • @saidimpako5186
    @saidimpako51869 ай бұрын

    Dahh dula unaenda wap

  • @jacksonbruno487
    @jacksonbruno4879 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chrismutua4676
    @chrismutua46764 ай бұрын

    Were muya with the hype! 🔥 🔥 🔥

  • @gerriemagic
    @gerriemagic8 ай бұрын

    I enjoyed evey single second of this video 😅

  • @HusseinMassy
    @HusseinMassy2 ай бұрын

    Kaka ulifanya nipende kipindi Cha planet bongo na jr mlitisha Sana kaka

  • @user-pb7ek7cq4s
    @user-pb7ek7cq4s9 ай бұрын

    Dula.unaenda.wapi.tena

  • @mbogozedon5305
    @mbogozedon53058 ай бұрын

    Bongo hapa utani kuwepo nenda power 100fm USA

  • @cishahayosaidi3162
    @cishahayosaidi31628 ай бұрын

    Mnanikubalisha sana 😂

  • @yohanasiwale
    @yohanasiwale8 ай бұрын

    Wife anaweza kutulia Ila changamoto Mimi umeua kinyama

  • @joshuauisso2930
    @joshuauisso29308 ай бұрын

    Chuma ni🔥🔥🔥

  • @zackypapla5511
    @zackypapla55119 ай бұрын

    Chumaaaaaaaaa

  • @unclesymonymwaki958
    @unclesymonymwaki9589 ай бұрын

    It was amazing 🙏

  • @quincechacha6285
    @quincechacha62859 ай бұрын

    were mura get a dope flow

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli90282 ай бұрын

    Mbeya boy chuma🤜

  • @MoshiPappy-wf4rl
    @MoshiPappy-wf4rl8 ай бұрын

    Legend big broo....

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias77488 ай бұрын

    Daah dura una kwenda wapi bratha hapa ndio sehem yako mbona una tukosea sana

Келесі