KWA MARA MWISHO DULLAH PLANET AKITANGAZA PLANET BONGO, AAGWA KWA MICHANO YA BOSHOO, MAARIFA NA WERE
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 195
Dullah Planet Nomà saana Wap Tena Kaka Njoo Usafiniiii 🔥💥💯💪😊
Were mura were mura vibe muda wote kaka nakubal 🔥
Dullah Planet niseme Asante 🙏 kwa muda wako uliikonga nyoyo yangu kwenye upande wa hip hop hususani mlipokuja na wazo 🧠🧠 la dakika kumi za maangamizi ulituletea Radha mpya kutoka mtaani unastahili pongezi 🎉🎉🎉 your legend bro 👑👑
@raskise7493
8 ай бұрын
Siyo legend,,,, kipindi cha planet bongo kilitafutaga msichana wa kuziba pengo la Salama Jabir alivypkuwa anaacha kukitangaza kipindi cha planet bongo akakosekana ndo Dula planet akashinda Kw kura za mashabiki
@josedorothea7939
8 ай бұрын
@@raskise7493 Waoooooh Asante sikuijua hiyo kabla
@user-qs8gv5ww4s
5 ай бұрын
yaan chozi limenitoka
Bunaya amepiga panch nyingi na kalii kuliko wote...japo wamefanya vizuri wote...💯
Boshooooo ninja🔥🔥
>>>Hahaha Chuma Kamdiss Maarifa HapoHapo 😀🔥🔥
Mbeya boy ##chumaa 🔥
Mbeya boy ni fire 🙌🙌🙌🙌
Mbeya boy chuma 🇹🇿🇹🇿
Bunaya umetishaa sana😂
Hawa rappers waliofik kumuaga dullaplanet kwa umoja wao wangefanya kitu kikaenda hewani aseee
@luisojr3480
8 ай бұрын
True
Bunayoooo and chuma daaamn
Mtu chuma mwana mbeya ni waya mazeee🔥🔥🔥🔥
Bunaya 🔥🔥🔥
Bunaya,, maarifa mmetisha sana
Mbeya boy chumaaaaaaaaaaa
Sema Mbeya boi kumamake ndo real definition of Hip Hop.
Daaah cyo kweli jua we ndo main dula ila safi tupeane nafas
Sema Bunaya mbaya sana 🙌🏿🙌🏿🔥
Ooooooh kwanini tenaaah wapi iyooo kaka jamani much respect to you broooh umefanya mengi sanaaah haswa kwenye vipaji
Kusema laukweli wote wamefanya vizuri Ila bunaya ni untouchable ❤ nakukubali sana umetisha sana mm sipendi mziki Ila umenifanya nipende sana ata wife home katulia ila changamoto mm😅
Mbeya boy na chat🔥🔥🔥🔥
Hatari sana aisee🔥🔥🔥
Hawa vijana wote ni motooo full talented .
"Moja ni mimi, Niki wa Pili, tisa Belle" Legendary line right this one
@DjFinestWorldWide
4 ай бұрын
Kali sana
Bunaya ana kiti chake kwenye ufalme wa hip-hop
Dulla na Dj Mafuvu kwenye PB ilikuwa ni 🔥 hatari.
Dulla planet umesapoti sana hiphop tz hususani kwenye dakika10 za maangamizi
Boshoo ni rapa mzuri mithili ya Albert mangwea
@innocentsilivester9783
7 ай бұрын
wewe acha mambo yako
Were muraaaa were muraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mbeya boy & chantibizzzzzzzzz👊
Asee dula popote utakapoenda tuambie nakuelewa sana
Mbeya boy chuma na Chant biz ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dulla Planet tuna deni na wewe kubwa sana,,,,,,,,,Umetuacha na Majonzi
Big show
Hapo alikosa jr junior
bunayaa,,mbeya boy chuma na were mulaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Boshoo ninja ❤❤
Maarifa ni jini kwenye hp hp namjua
Ao utao waacha watatupiga pesa wauni saaana dah mbona gafra blo dula😓🤭
❤❤❤nakubali harakati za bro kadumu Sana kizazi ila Naimani alipo Kuna watu kahama nao
Mbeya Boy Chuma,,, Ni motoo.Ahsante sana Brother Dulla Planet Wambua umeacha alama wewe ni mfano mzuri wa kuigwa katika kazi uliyoifanya kwa weledi.Nasikitika tu sikufanya kazi na wewe.Anyways Big up
@masongatz
8 ай бұрын
Chuma
Maarifa,mbeya boy,bunaya ,bishoo,wera mura wote wameua
Noma sana
Dadeq imenikuta ofisini nipo nacheka pekee yangu🤣🤣🤣🤣
Mmetisha wanangu michano kikari
Niseme tuu nimeinjoi Sana🔥🔥🔥
unaenda wp mr.dulla...
Bu noma sana
Mbeya,boy chumaa💀
Booom naya
Daah kwaheli Mwamba tulikupenda sana
Bunaya🔥🔥
Bunaya mumuache 🔥
Hip hop stand up 📌📌📌📌📌📌📌🙌🙌🙌
Hiyo changamoto why kaishia njiani 😅😅😅
Were mura pata love kutoka 254 Nairobi 🔥🔥🔥
Mtoto wa babaaa Boshooo Bunaya were mulla daa rap tamu
Bunayooo
Chanti apewe dakika 10 za maangamizi
maarifa +boshoo ni shida
Una maarifa gan maarifa toka tiptop 😂
Korongwe finest 🔥🔥
@ramadhanijumamohammedi8751
4 ай бұрын
home boy
Dulla dulla dulla... please 😢😢😢but all in all 😢 nakuombea kila la kheri penye unaenda Bro. ...Salute.. Hashtag Hip Hop
Chant'z b sikukuzaniaaaaaaaaaaaa kaka
This was so DOPE👊🏾💯
Ila Kuna Kikubwa Sana kitapungua Kwny Dkk10 za maangamizi
Mbeya boy chuma tukupe mauwa yako mapema kaka
Maarifa bunaya na kinasa 🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥 ingewaka zaid wangkuj na kina kadonondo, toxic, jako jeezy (odong odwaa)
Ila Bunayoo.....!!!!Big Up
Welcome #WasafiMedia bro😎🏌️♂️
Pure raw talents. Tuseme tu ukweli KENYA hatuonani 😅
sema dula amewapa promo vjana sana .hiphop for generation
😅😅😅uyu bunaya Ana balaaa...ata wife katulia home changamoto mimi
Oya hatar lait ningepata nafasi hapo 🤔🤔
ASE mbeya boy apewe nafasi tena Kwa marake nyingine
Dullah unaweza sana Kaka,ikikupendeza nenda WASAFI bhana ili tuendelee kuwa nawe
@RamadhaniallyAlly-ht6ey
8 ай бұрын
Wasafi hawana program ya utangazaji wapo vaisi versa,pale hakumfahi
Boshooo we mwanangu kitambo saaaaanaaaaa
Unaweza sana bro ❤❤❤ nakubali mkali
Daaaa Dulla planet bongo ntakukumbuka sana
Changamoto 😂😂 i like it🤣🤣
Tutakumisi sana mwanetu
Mtoto wa bibi nurse boshooooo
Dahh dula unaenda wap
🔥🔥🔥🔥🔥
Were muya with the hype! 🔥 🔥 🔥
I enjoyed evey single second of this video 😅
Kaka ulifanya nipende kipindi Cha planet bongo na jr mlitisha Sana kaka
Dula.unaenda.wapi.tena
Bongo hapa utani kuwepo nenda power 100fm USA
Mnanikubalisha sana 😂
Wife anaweza kutulia Ila changamoto Mimi umeua kinyama
Chuma ni🔥🔥🔥
Chumaaaaaaaaa
It was amazing 🙏
were mura get a dope flow
Mbeya boy chuma🤜
Legend big broo....
Daah dura una kwenda wapi bratha hapa ndio sehem yako mbona una tukosea sana