PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA YOUNG KILLER
Ойын-сауық
Ni Planet Bongo pekee ya East Afrika Radio kwenye Dakika 10 za Maangamizi ndipo wanapodhihirika nani Rapper kwei na Fake, Young Killer Mssodoki naye Kavuruga Amani alipoflow Punch line kali nyingi zikiwa tofauti na zilizo sikika...
Comment wewe umeonaje Punch zake then unadhan nani Tumwite Next week?
Пікірлер: 328
uyuuuuuu kweliiiiiii ni Muuajiiii mamaeeeeeee hahahah....... shikamooo young nimekubaliii
Huyu ndio yule msodoki fulani mwenye swaga zake YOUNG GENIUS
KAMA UNAMKUBALI YOUNG KILLER MSODOKI GONGA LIKE 👍
@ibrahimmasoud7069
6 жыл бұрын
Emaa Severe uyoni fundi
@condetz7tz908
6 жыл бұрын
Nom 😋
@mussaoswardy1625
6 жыл бұрын
Cn
@nasolosaid6634
5 жыл бұрын
Nakupa likazi zako
@rumbastar_official235
5 жыл бұрын
noma
"kwa hali ya magufuli nikionga demu kihepe ni lazima nimtembezee Rungu comrade kipepe" huyu Young Killer amepiga mistari kwenzi ya hatari sana
Nimeifwatilia sana KUMI ZA MAANGAMIZI kutokea Nairoberry. Mnikubali niseme kuwa hii ndiyo bora zaidi...... msodoki anaweza
@BeCofterMnyamwengaFredyMkamuna
4 жыл бұрын
Miltone Musumbah 254 haa
kuishi na watu Shida ukishida ukipendwa linga ukichukiwa basi jipe shavu daaaamnnn😃😃😃😍😍
Wangapi tunaitazama hii saaiii 2022 🔥🔥🔥
Wow you guys are the best to bring my favourite rapper of all time 🔥🔥🔥
ukipata basi usisahau utokako na ukikosa kajifiche uone nani atakupa tako😂😂👐
ukimwi ndo gonjwa la heshima / toka nimebalehe cjabahatika kupima / noma sana mleteeni na joh makin naamini joh anabebwa haiwezi kitu yule
@stephanosaganda1585
7 жыл бұрын
Mh
Young killer msodoki 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🤝🤝👏🏻👏🏻👏🏻 YOU are doing pretty good bro. I like the way it flow. After Fid q is you bro. There is no competition. You can see far then your age😜😜🤝🤝💯💯 keep up, I enjoy your rap
Kweli we yoang genius msodoki flan mwenye vyeo vyake
Mnamkosea sana kumfananisha na kina young d na janjaro , Msodoki kiboko yao ana punch lines zilizoshiba next time mletene one the incredible a.k.a moko wa miujiza
@michaelwambura878
5 жыл бұрын
Young killer ni sumu kwenye hip hop
Usingizi mbolea ndo mana ukilala tu unaota. we c young but ni ADULT KILLER. i appreciate what u do guy. the second FID Q
@ezraelyanthony758
5 жыл бұрын
Magnuc James konki
home boy hakuna young anaekufikia tisha sana ila mkumbuke na coyo mc tunyanyuane kwani hata yupo vizur big up bro acha wala sembe na wanywa acid waeendelee kubonga
Safi sana nimekuelew sana Msodoki mwenye vyeo vyake,yan mwake
@chrispinedamas4853
6 жыл бұрын
weng walikwepo ila wamepoteza mwelekeo duuuh killer you killed this song
Young killer 2021 likes zikam
Jaman kwakwel huyo dogo huwez mfananisha na hao watoto salute xana msodoki
kwa hali ya magufuli nikimuhonga demu kiepe ...namtembeza rungu komredi kipepe. ...Killer u kill it young bro
Mkali wa rhymes huyo... Big uuup
umetisha sana bana mdogo yaani umewaua wenzako wote kama jina lako lilivyo kwny hz dk10
Respect ✊✌🏽🎶 #mistar A+ #rockcirry #rockcity #youngkiller #mkubwa_wa_kazi
huyu jamaa anaspeed kwa mdundo🔥🔥kwa hili mtakiri Youngkiller mwotooo
This is raw talent at its best!
Mwenyeazi mungu akujaalie kila lenye kheri young killer nakukubal sana kaka angu
TAMADUNI MUSIC FOUNDATION... kambi ya masoldiers kila aliyefankiwa kukatza kambi ile hawez kuwa mwepesi..MSODOOOKIII
Young genius, Msodoki fulani mwenye vyeo vyake, A.K.A ndimu yaani uchachu wangu ndo ubora wake, mwake.
big up killer your real young rapper
NAIROBERRY (KENYA) twa mkubali Young killer kwa sana
Asikuambie mtu kitu babu, kuishi nawatu tabu ... Ukipendwa Linga ukichukiwa wewe jipe shavu, sikuhizi hakuna love maisha niyakipumbavu .... Dada zetu wanapewa mimba kisa chips kavuuuu....hatareeeee young pigaa uyoooooooooooooh
KING WA RAP.....Nimekubali.
kw3r## nimuuaji kamooooooooooo daa noma saana . unajua mpaka unabo444.
Hatar mzee
nishavurugwa Boss nilipe nisepe ......killer badman
nimependa sana hii show
Arusha makuma 2 hipopu ya mwanza 2mkoa mngne mnaiga2
All ze way from atown lkn mwanzaaaaa inatotoa vipajiii balaaaaaaaaa
the best young raper
plz sir dullah young killer arudiee tenaa afu asiimbe nyimbo zake apige tu mistari maana ana hatariiiiii.....
@diamondplatnumz5572
6 жыл бұрын
umeinaaa heee
@tomplexbrigedier2282
6 жыл бұрын
BADOOOO SIJAONA KITU
@officialmatambi5550
6 жыл бұрын
+TOMPLEX Robert hebu imba yako tuisikie
Punchlines master
Congrats our congratulations
Next time mumualike nchama the best
umetisha san msodoki nakubal 100000000000%
Huyo ni rapa wa kichawi. Yaan namaanisha magic.
Young killer msodoki baba wa all youngs in thiz world unajua nn unachofanya waacha wale sembe
tamadunimuzik where hiphoptz lives... thanks kwa duke tachez
Unajua sinaga swaga kabisa!!
Za maangamizi zote zilizo tumia beat hii,, hazijatetea haki zaid ya Mnyama Msodoki! Jaribun kusikiliza 10 za maangamizi zilizotumia beat hii wadau,, alf wenyew mseme nan kaendana na beat mwanzo mpaka mwisho,,, Msodoki
YOUNG KILLER NOMA 2024
Nakubali unauwa chali yngu
Nakubali kinya maaaaa
kaka tuleteeni one the incledible uyo mtt umo kamuua mbka baba maclom
we ndo rais wa madogo,, unajua Mdogo Wang,, wala haubatixhii
watatupa kwa dahrau okota kwa thaman. kwa usawa huu wa magufuli nikimhonga demu kiepe....hahahha fire young killer msodoki.yani toka ufanye hizi puch nadhan ni zaid ya mala 10.big up EAradio kwa segment hii.
Hii ndio The Best dk. 10 za Maangamizi ever
Huyu jamaa namkubali Sana🇧🇮🇧🇮
Msodoki the sun
Hahaa hahaa..na wamechukia haswaa zaidi alivyochukia mwenyewe..na mkininukuu vibaya ni we na mungu wako
Simjui vp NitadAlod vp naitaka hii
Oyyyyyy p 1 Young Miller msodokiiiiiiiiiiiiiiih
killer we nomaaaah
young killer wee noma sana mchizi wangu
Hii ndo dakika kumi ss zngine miyeyusho tu big up ma niggha young killer
msodooooooooooooooooki achana na hao woote killer kashamaliza maninaaa...
nakukubali sana
Mmekasilika nilivyomdiss #joh_makini kuliko alivyochukia yeye.Saruti #youngkller_msodoki
hip hop mashairi sio kuchana wenzako bila sababu za msingi ikiwa hujachanwa.
@mtotowaraila5397
7 жыл бұрын
Ibrahim haruta wacha wivu huyu dogo ni mkali haja chana mtu
@sophiahassan7993
6 жыл бұрын
Ibrahim haruta we mshamba tuu uelew maana ya hip hop
@nellymollel4672
6 жыл бұрын
+Mtoto wa raila killer no maa
@paccoflexah9816
6 жыл бұрын
Acha ufala
young mwenye kila zake unatisha
yupo vizuri sana Mi namkubali sana anakwambia ;; ukiona mwenzako anachanga moto basi nawe unachanga unga mnatoa dongo ;; hahaha mwisho wa siku wote mnashiba.!!
Ur so good sana young killer
young killer aka ndimu yan uchachu wako ndo utamu wako big up sna killer.
iki kichwa sina pingamizi nacho... UMETISHA JANANGU
Team #Sinaga Swagga Gongq #liked APA
Daa nangoja hamorapa kama akimbiu
Huyo mtoto mkali sana basi tuuu
Young killer kachafua haliyahewa aiseee big up sana
Young killer daaah!!!!! uwezo binafsi boy safi sana
Huyu dogo ni hatari mno huwez mfananisha na janjaro wala young d ,,kuanzia mashairi mpaka midondoko kawazdi
noma sana Kuku kala mchele ila jioni ana liwa na wali
Si hatar au sio bhana
me nawambiaga mwenye macho hambiw ona watasubr xana kwa killer ye amesha kill wengne naona wanaj kanyaga kanyaga2 kama wanatongozwa
Vitaaa# mwakeeee....
umekatisha wanapewa mimba kisa ........malizia c kavu
dogo anaweza
views zinajie;eza ....yong isthe best
youngkiller watoe jasho wadau wenye bifu
isiwe muoga kama kuku alie kula mchele na yeye jioni kaliwa na wali ume niuwa👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Young lunya uwo moto auwezi Young killer n jini
Nizaidd ya Janjaro
You the best rapper sioni mtu kama wewe
duuuuuuuh ni nomaaa aiseeee
@pendoayo6402
6 жыл бұрын
anatisha young
ni noma atareeee
🔥 sana
Nakukubari sama msodoki wambie wadanakudis wambie wapambane na hari yao
kali sana
Mwana anaweza sanaaaasss
Oyooooooooooo mwanza kwe2
My best
baada ya fid q anafuata young killer na siamini tena kama hip hop ipo Arusha hip hop ipo mwanzaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@hemedhemed7701
5 жыл бұрын
kichwa ww hip hop ipo chuga arifu
Umetisha killer