Dakika 10 Za Maangamizi - Maarifa TheBig Thinker | Planet Bongo
Ойын-сауық
Maarifa 'The Big Thinker' Rapa kutoka Kibaha akizitumia Dakika zake 10 za maanganizi ndani ya Planet Bongo.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Пікірлер: 412
huku kwetu mwizi hapigwi. anasemwa mpaka anakufa. gonga like kama unamkubali maarifa
asante MUNGU sijafika niendako ila sipo nilipoanzia @maarifabigthinker
@fashionking4821
6 жыл бұрын
Maarifa BigThinker @hahaha chafya ya mpishi haizimi moto
@comradehamimu2763
6 жыл бұрын
tumeyapata maarifa vizuri kabisa
@nkingamarco658
6 жыл бұрын
Maarifa BigThinker hv ndo v2 ambavyo huwa tunahitaj mashabiki big up man daaaaa mauwezo
@jeremiahissayazeriana399
6 жыл бұрын
Maarifa BigThinker respect 🙌🙌🙌
@musamoe2604
6 жыл бұрын
wewe ni hatari hongera we unatisha kama mtu asiejulikana
Nasemajeeee!!! Hawa watu ndo wale wasiojulikana.....bado tunawatafuta....maarifa niii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@teilencedevard9431
6 жыл бұрын
Leonard chegarito maarfa on top ndio paku invest tajir wang
@tonkud2111
5 жыл бұрын
du
Maarifa anaenjoy mwenyewe, yuko vizuri hadi sio vizuri kazi imepata mchapaji.
Umeangamiza kweli mzee baba, salute sana maarifa, utafika mbali in shaa allah
Hallow! I'm Raiden from Canada, I don't understand Swahili but,,, Mamamamaeee Maarifa we ni mtu mbaya sana aiseee!!!
Chafya ya mpishi haizimi moto😂😂😂😂 #mwanangu sinaga neno ww ndo m2 wa kwanza ambaye umefanya utofaut kidogo👏👏👏
Hata ukitembea juu ya maji watasema hauna nauli🔥🔥✔
Shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo 🔥
maaarifaa kauuwaa qmmke baa Mdgo kaaujuaa kutufurahishaaaa aisee salute Sana maarifa
Waliotumwa wanitulize wamekutwa nimewatliza😂😂😂😂😂😂 kwenye hip hop inaitwa playwords salute bro maarifa the big thinker
Kutokana na kufatilia dakika 10 za maangamizi wasanii wenye majina hawawezi flow freestyle wanachana nyimbo zao tena kwa kuzisoma Lakini Hawa underground Wanatoa moja kwa moja kichwani na wanazimaliza dakika vyema kwa kitu kinaeleweka.... Big up Sana maarifa
@milajishabani8909
5 жыл бұрын
yesuuu
@OchoaHomeDecor_
2 жыл бұрын
Kwani aliekwambia dk 10 za maangamiz ni kwaajil ya freestyle ni nani?😂
@derickdepota101
8 ай бұрын
@@OchoaHomeDecor_watu wanachanganya saana😂
Anaweza. SALUTE Maarifa unachana kwa mapana zaidi ya Taarifa. #Irep254
Hukuwahi kuniangusha tunaposema best Emcees nadhan ww n among of them umekichafuaaaaaa yan mzee we si m2 mzur kabisaaaaaaa
for the first time na comments hapa dis men his freaking danger 🔥🔥
Tunaoingalia tena 2024 tujuane hapa
ebwanaaae! vipaji vya kweli vipomtaani... salut maarifa wape maarifa wenye maarifa yao.
maarifaaaaa we ni big thinker ........keep it up mwambaaaaaaaa
anakwambia ye ndo mwizi anaemwiba mwizi na mlinzi!! NoMa sAnA!! yupo frexh mwana!! kauwa kwa nafasi yakee! nampa bigup
@bahatiwilliam5618
4 жыл бұрын
T.o.y Tz Bahati Bukuku
@justinechina5985
Жыл бұрын
mtoto wa baba anaujua
Maarifa umetishaaaa kweli nimeuamini uwezo wako
kuhusu wanafiki msijali kiboko yao kifo!! mnyama umetishaa
Babakeeeeeeeeeeeeeeeeee hizi vibes sio za nchi hii
My brother 🙌🏻 ... You killing it...
Yani kilichotokea apo nikua *umefanya kitu ambacho watu awakuwaza itakua ivo* #Maarifa 😷 kweli *unaweza tembea juu ya maji wakasema umepoteza nauli* 😂😀😂😀💪
@hassanzubeir7350
5 жыл бұрын
😁
@nestorysylivester3780
4 жыл бұрын
Hatar mzee n zaidi y lunya
Naamin huu ni muda sahihi wa kupata kile tulichokimiss mda mref kwenye hiphop bongo ,Ni mtu sahihi na umekuja kwa wakati sahihi .Ipo siku utaishi ndoto zako .HATAREEEEE........Maarifa ya Maarifa haikuwa rahisi na kwawanafki TUPILIAKULEEEEEE
Kuhusu hii mitihan ya maisha wa kusahihisha ni mungu 🔥🔥🔥🔥🔥
You deserve to be THE BIG THINKER kaka Big Up!
ayeeeeeeee maarifa kweliiiii amekichafuaaa!!!!!!!
jamaaaa uko vizuri unaweza usile ukoko hata kama umepikia jungu kuu
dah kanishawishi sanaaa... cpendagi hip pop ila maarifa kama ananishawishi vileeeeee😅
@kisinzankwabi2384
5 жыл бұрын
Nakukubali sana kijana ....#anthony messu tokea #picha ya ndege kibaha
unalitendea haki jina lako mzee kweli wew maarifa
Jamaaa umetisha Sanaa ", killer atasubiri Sanaa, ww ni shida brother,
walotumwa kunituliza wamekutwa wametulia✌
@stevenkaria6
6 жыл бұрын
nakuona mdau, vip mumeo nchama mzima?? 😂 😂
@missmakusudi7237
6 жыл бұрын
Steven Karia 😂😂nampango Wa kumuibukia Dom😂😂
@stevenkaria6
6 жыл бұрын
+miss makusudi 😂 😂 😂 usijemmaliza mistar
@missmakusudi7237
6 жыл бұрын
Steven Karia na nilivyo sasa tofaut na hiphop😂😂😂atanichana bila kunimaliza akiishiwa nahamia kwa nchma then selementally😄hlf ntatua kwa wenye movement yao(lunduno)
@majidimakinywa6168
3 жыл бұрын
Chura me simpig teke bali namdondoshea tofari.., gonga laik apo kama umemwelewa kwa kina
umekomaa mzee ni tofauti na kitambo naona hatua nzuri, big up home boy.
safi sana yupo poa.....big up
ebana bro dulla! nexttym kama ikiwezekana tumckie na KADGO hapo'' by mr.T.O.Y
Big up umetisha sana mzazi.....kama vipi arud tena mjengoni
duh hii kweli noma kama umechepuka na mke wa mganga
utamu upo palipozibwa ndo maana wahuni tunapenda bikra😀😀, nomah sana mwanangu big thinker
#maarifathebigthinker hataree mtoto wa fid
@nsajigwamwakolo6379
6 жыл бұрын
huyudogo anajua sana kweli big thinkeR
HAHA😂 @maarifa nimecheka sna unaweza mzawaa GOD bless you
Noma kwel maarifa umetixhaaaaaa
w noma zaidi ya sana una zidi hadi marapa wengine
Nathubutu kusema huyu jamaaa ndo lawakalisha wote walippita hapo kwenye dakika 10 tang muanzishe na kma kuna tuzo za dakika kumi zitatolewa basi apewe huyo jamaaa kidogo baada ya yeye haidary skoda anafata
maarifa huyo jamaa anabalaaaaa, keep up bro, wana wachaa iwe
hatari sana Presented Mwenzangu
wanataka wakunje ngumi wakati awana ata vidole @MAARIFA
maarifa mtu mbayaaa najivunia ww kwenye music rap....
This is the best ever
Oyoo mchawi wa lugha the bigthinker himself
Am ur no 1 fan!!!!
yupo fresh. safi kaza sana
maarifa kibaha finest..... kunamitari tata humu unatakuwa uturiee sana kama kuna tuzo basi top 3 ...1 scoda 2 boshoo 3maarifa wagombeee tuzo maana wameuwaa nazani ingekuwa pow mwisho wa mwaka kukawa na show ya dk10za maangamiz tutalipa kiingilio fanyeni ivo ili kuwapa motisha wasani kama maarifa.... #0714988885
@edwardenglibert9158
5 жыл бұрын
Mbeya boi chuma anawakarisha wote hao
@seifsuleiman846
3 жыл бұрын
@@edwardenglibert9158 wee kuna BANDO MC , kuna Toxic ,
@seifsuleiman846
3 жыл бұрын
Jamaa anajua ile kinoma sio poa yani ila hajulikani tyu fanya juhudi sana mwanangu ufike in the highest stage MAARIFA BIG THINKER
@rodgerspembe6663
10 ай бұрын
Boshoo hatoboi hapa….
Hatari San one of the finest mapezi ugonjwa n usipo kaza utafas
watu 😱😱🙌🙌🙋🙆🙆oooooooooooooyooooo ntaaaaaaaaaaariiiii tenzi
Noma sana, 100% nampa. Kama vp muandae tuzo za dk 10 za maangamizi sisi tutapiga kura. Maarifa yupo vzuri sana
Huyu Kweli MAARIFA
Umeangamiza Dunia nzima.@maarifabigThinker..
Noma sana mzee baba, Maarifa anauwezo aiseee
Real..maarifa..shigdaaa..!
Good job mzee!
Maarifa🔥🔥
Wosaaa Maarifa bonge ya talent babu nimekubali
tunaomba ivyo vifaa vya studio mfanyie zabuni Maana vya kizamani mnooooo khaaaaa
Genius uyo dogo cyo uongo kapiga Non_stop,big up
Nimekuelewa sana maarifa endelea tu kumwaga tenzi
Daaah Haya kweli Maarifa...
uwezo A+🔥🔥🔥🔥 maarifaaa
Maarifa we noma big thinker
jamaa mbaya serious you know how to rap and creating hard punch lines...achia dude BA's support IPO
@Maarifaa
6 жыл бұрын
jooh cloudy madude yapo Maarifa ft Bright - Maarifa Ya Maarifa Maarifa ft DudySound - HaikuwaRahisi Maarifa - TupiliaKule Maarifa ft Kenny & BrownPunch - SioMjadala ZisakaeHizo
One of the BEST so far
Maarifaa umeuwaaa mbaba
Umetisha jamaa!!!!
Big up brother! Amani na Upendo Daimaaaaaaa
Mnaweza msiupate ukoko na mmepikia jungu kuu
Hizi ndo hitaji, confidence pia flow.. Zidisha bwai
utamu upo palipo zibwa ndo maana zinapendwa .....bikraaaa
Jitahidi tu kubalance style zako na midundo
@6xrecca175
5 жыл бұрын
Hatari maarifa
Daa, anajua ad anakela
Good One you killing it right.
Toka kitambo nakukubali sana Maarifa
Umesikika mzee baba, Tenzi kali mzee
Daah!! huyu braza ni mkali sana, nakuamini.
#KibahaFinest!!
Maarifa kweli kweli aseee big up #NGUMUBLACK
HUYO KATISHA SANA......MRUDISHENI TENA TUMSIKILIZE..
shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo
kibaha finest... big thinker🔥🔥🔥🔥🙌
Babaee from+254 maaarica ni saitani chura simpigi teke namdondoshea jiwe
maarifa hehee! tisha sana
Sana mwenetu maarifa unajua
Maarifa bigthinker
Jahazi la upendo huzamishwa na wimbi la unafiki
Noma juu ya noma @maarifa mwaga tenzi
Respect sana Thus y I love Hip Hop
Kwamba mjusi atabaki mjusi hata ukimvisha gamba LA chatu ,umetishia amani
Unaweza maarifaa
maarifa umetisha sana
shida zinaweza kumyeyusha barafu wa moyo
Nimeipenda iyo mitiani ya maisha wakusaisha ni MUNGU, anaitwa marifa mtoto wa baba..