Dakika 10 Za Maangamizi - Maarifa TheBig Thinker | Planet Bongo

Ойын-сауық

Maarifa 'The Big Thinker' Rapa kutoka Kibaha akizitumia Dakika zake 10 za maanganizi ndani ya Planet Bongo.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.

Пікірлер: 412

  • @maletz9660
    @maletz96605 жыл бұрын

    huku kwetu mwizi hapigwi. anasemwa mpaka anakufa. gonga like kama unamkubali maarifa

  • @Maarifaa
    @Maarifaa6 жыл бұрын

    asante MUNGU sijafika niendako ila sipo nilipoanzia @maarifabigthinker

  • @fashionking4821

    @fashionking4821

    6 жыл бұрын

    Maarifa BigThinker @hahaha chafya ya mpishi haizimi moto

  • @comradehamimu2763

    @comradehamimu2763

    6 жыл бұрын

    tumeyapata maarifa vizuri kabisa

  • @nkingamarco658

    @nkingamarco658

    6 жыл бұрын

    Maarifa BigThinker hv ndo v2 ambavyo huwa tunahitaj mashabiki big up man daaaaa mauwezo

  • @jeremiahissayazeriana399

    @jeremiahissayazeriana399

    6 жыл бұрын

    Maarifa BigThinker respect 🙌🙌🙌

  • @musamoe2604

    @musamoe2604

    6 жыл бұрын

    wewe ni hatari hongera we unatisha kama mtu asiejulikana

  • @chegaritofx
    @chegaritofx6 жыл бұрын

    Nasemajeeee!!! Hawa watu ndo wale wasiojulikana.....bado tunawatafuta....maarifa niii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @teilencedevard9431

    @teilencedevard9431

    6 жыл бұрын

    Leonard chegarito maarfa on top ndio paku invest tajir wang

  • @tonkud2111

    @tonkud2111

    5 жыл бұрын

    du

  • @mnyembzeskipper4839
    @mnyembzeskipper48396 жыл бұрын

    Maarifa anaenjoy mwenyewe, yuko vizuri hadi sio vizuri kazi imepata mchapaji.

  • @salminmwalile6172
    @salminmwalile61726 жыл бұрын

    Umeangamiza kweli mzee baba, salute sana maarifa, utafika mbali in shaa allah

  • @Memes_Swahili
    @Memes_Swahili6 жыл бұрын

    Hallow! I'm Raiden from Canada, I don't understand Swahili but,,, Mamamamaeee Maarifa we ni mtu mbaya sana aiseee!!!

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson59186 жыл бұрын

    Chafya ya mpishi haizimi moto😂😂😂😂 #mwanangu sinaga neno ww ndo m2 wa kwanza ambaye umefanya utofaut kidogo👏👏👏

  • @antonymwasi7854
    @antonymwasi78543 жыл бұрын

    Hata ukitembea juu ya maji watasema hauna nauli🔥🔥✔

  • @cassanosniper6799
    @cassanosniper67996 жыл бұрын

    Shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo 🔥

  • @jamesmushi4406
    @jamesmushi44066 жыл бұрын

    maaarifaa kauuwaa qmmke baa Mdgo kaaujuaa kutufurahishaaaa aisee salute Sana maarifa

  • @jameschanja8304
    @jameschanja83046 жыл бұрын

    Waliotumwa wanitulize wamekutwa nimewatliza😂😂😂😂😂😂 kwenye hip hop inaitwa playwords salute bro maarifa the big thinker

  • @zablonnkya5651
    @zablonnkya56515 жыл бұрын

    Kutokana na kufatilia dakika 10 za maangamizi wasanii wenye majina hawawezi flow freestyle wanachana nyimbo zao tena kwa kuzisoma Lakini Hawa underground Wanatoa moja kwa moja kichwani na wanazimaliza dakika vyema kwa kitu kinaeleweka.... Big up Sana maarifa

  • @milajishabani8909

    @milajishabani8909

    5 жыл бұрын

    yesuuu

  • @OchoaHomeDecor_

    @OchoaHomeDecor_

    2 жыл бұрын

    Kwani aliekwambia dk 10 za maangamiz ni kwaajil ya freestyle ni nani?😂

  • @derickdepota101

    @derickdepota101

    8 ай бұрын

    ​@@OchoaHomeDecor_watu wanachanganya saana😂

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75276 жыл бұрын

    Anaweza. SALUTE Maarifa unachana kwa mapana zaidi ya Taarifa. #Irep254

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson59186 жыл бұрын

    Hukuwahi kuniangusha tunaposema best Emcees nadhan ww n among of them umekichafuaaaaaa yan mzee we si m2 mzur kabisaaaaaaa

  • @daizolemmy621
    @daizolemmy6216 жыл бұрын

    for the first time na comments hapa dis men his freaking danger 🔥🔥

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture29415 күн бұрын

    Tunaoingalia tena 2024 tujuane hapa

  • @youngxhadah7951
    @youngxhadah79515 жыл бұрын

    ebwanaaae! vipaji vya kweli vipomtaani... salut maarifa wape maarifa wenye maarifa yao.

  • @ibraahmapexah5418
    @ibraahmapexah54186 жыл бұрын

    maarifaaaaa we ni big thinker ........keep it up mwambaaaaaaaa

  • @ToyTz
    @ToyTz6 жыл бұрын

    anakwambia ye ndo mwizi anaemwiba mwizi na mlinzi!! NoMa sAnA!! yupo frexh mwana!! kauwa kwa nafasi yakee! nampa bigup

  • @bahatiwilliam5618

    @bahatiwilliam5618

    4 жыл бұрын

    T.o.y Tz Bahati Bukuku

  • @justinechina5985

    @justinechina5985

    Жыл бұрын

    mtoto wa baba anaujua

  • @kimolyjunior7978
    @kimolyjunior79784 жыл бұрын

    Maarifa umetishaaaa kweli nimeuamini uwezo wako

  • @sillaskelly6135
    @sillaskelly61355 жыл бұрын

    kuhusu wanafiki msijali kiboko yao kifo!! mnyama umetishaa

  • @johnizoboy
    @johnizoboy6 жыл бұрын

    Babakeeeeeeeeeeeeeeeeee hizi vibes sio za nchi hii

  • @michaelmchome6862
    @michaelmchome68626 жыл бұрын

    My brother 🙌🏻 ... You killing it...

  • @dr.abdinassir6807
    @dr.abdinassir68076 жыл бұрын

    Yani kilichotokea apo nikua *umefanya kitu ambacho watu awakuwaza itakua ivo* #Maarifa 😷 kweli *unaweza tembea juu ya maji wakasema umepoteza nauli* 😂😀😂😀💪

  • @hassanzubeir7350

    @hassanzubeir7350

    5 жыл бұрын

    😁

  • @nestorysylivester3780

    @nestorysylivester3780

    4 жыл бұрын

    Hatar mzee n zaidi y lunya

  • @pj4087
    @pj40876 жыл бұрын

    Naamin huu ni muda sahihi wa kupata kile tulichokimiss mda mref kwenye hiphop bongo ,Ni mtu sahihi na umekuja kwa wakati sahihi .Ipo siku utaishi ndoto zako .HATAREEEEE........Maarifa ya Maarifa haikuwa rahisi na kwawanafki TUPILIAKULEEEEEE

  • @dego1087
    @dego1087 Жыл бұрын

    Kuhusu hii mitihan ya maisha wa kusahihisha ni mungu 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ericklusaya4116
    @ericklusaya41166 жыл бұрын

    You deserve to be THE BIG THINKER kaka Big Up!

  • @jaffarmakalah9834
    @jaffarmakalah98346 жыл бұрын

    ayeeeeeeee maarifa kweliiiii amekichafuaaa!!!!!!!

  • @jorammasinga3786
    @jorammasinga37866 жыл бұрын

    jamaaaa uko vizuri unaweza usile ukoko hata kama umepikia jungu kuu

  • @faudhiafundi8348
    @faudhiafundi83486 жыл бұрын

    dah kanishawishi sanaaa... cpendagi hip pop ila maarifa kama ananishawishi vileeeeee😅

  • @kisinzankwabi2384

    @kisinzankwabi2384

    5 жыл бұрын

    Nakukubali sana kijana ....#anthony messu tokea #picha ya ndege kibaha

  • @barakamichael673
    @barakamichael6736 жыл бұрын

    unalitendea haki jina lako mzee kweli wew maarifa

  • @artistkilongola422
    @artistkilongola4226 жыл бұрын

    Jamaaa umetisha Sanaa ", killer atasubiri Sanaa, ww ni shida brother,

  • @missmakusudi7237
    @missmakusudi72376 жыл бұрын

    walotumwa kunituliza wamekutwa wametulia✌

  • @stevenkaria6

    @stevenkaria6

    6 жыл бұрын

    nakuona mdau, vip mumeo nchama mzima?? 😂 😂

  • @missmakusudi7237

    @missmakusudi7237

    6 жыл бұрын

    Steven Karia 😂😂nampango Wa kumuibukia Dom😂😂

  • @stevenkaria6

    @stevenkaria6

    6 жыл бұрын

    +miss makusudi 😂 😂 😂 usijemmaliza mistar

  • @missmakusudi7237

    @missmakusudi7237

    6 жыл бұрын

    Steven Karia na nilivyo sasa tofaut na hiphop😂😂😂atanichana bila kunimaliza akiishiwa nahamia kwa nchma then selementally😄hlf ntatua kwa wenye movement yao(lunduno)

  • @majidimakinywa6168

    @majidimakinywa6168

    3 жыл бұрын

    Chura me simpig teke bali namdondoshea tofari.., gonga laik apo kama umemwelewa kwa kina

  • @tysonkitumbika5548
    @tysonkitumbika55486 жыл бұрын

    umekomaa mzee ni tofauti na kitambo naona hatua nzuri, big up home boy.

  • @dominickadogo11
    @dominickadogo116 жыл бұрын

    safi sana yupo poa.....big up

  • @ToyTz
    @ToyTz6 жыл бұрын

    ebana bro dulla! nexttym kama ikiwezekana tumckie na KADGO hapo'' by mr.T.O.Y

  • @kyternjunie2835
    @kyternjunie28356 жыл бұрын

    Big up umetisha sana mzazi.....kama vipi arud tena mjengoni

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari16236 жыл бұрын

    duh hii kweli noma kama umechepuka na mke wa mganga

  • @ipyanamsomba8026
    @ipyanamsomba80266 жыл бұрын

    utamu upo palipozibwa ndo maana wahuni tunapenda bikra😀😀, nomah sana mwanangu big thinker

  • @nsajigwamwakolo6379
    @nsajigwamwakolo63796 жыл бұрын

    #maarifathebigthinker hataree mtoto wa fid

  • @nsajigwamwakolo6379

    @nsajigwamwakolo6379

    6 жыл бұрын

    huyudogo anajua sana kweli big thinkeR

  • @emmanuelymtamaduni2951
    @emmanuelymtamaduni29516 жыл бұрын

    HAHA😂 @maarifa nimecheka sna unaweza mzawaa GOD bless you

  • @kikomelikagere5757
    @kikomelikagere57574 жыл бұрын

    Noma kwel maarifa umetixhaaaaaa

  • @mbuguswambuguswa4318
    @mbuguswambuguswa43186 жыл бұрын

    w noma zaidi ya sana una zidi hadi marapa wengine

  • @fix799
    @fix7996 жыл бұрын

    Nathubutu kusema huyu jamaaa ndo lawakalisha wote walippita hapo kwenye dakika 10 tang muanzishe na kma kuna tuzo za dakika kumi zitatolewa basi apewe huyo jamaaa kidogo baada ya yeye haidary skoda anafata

  • @abdulsaidi4084
    @abdulsaidi40844 жыл бұрын

    maarifa huyo jamaa anabalaaaaa, keep up bro, wana wachaa iwe

  • @maskinijeuri9447
    @maskinijeuri94476 жыл бұрын

    hatari sana Presented Mwenzangu

  • @geophreyjoseph8737
    @geophreyjoseph87376 жыл бұрын

    wanataka wakunje ngumi wakati awana ata vidole @MAARIFA

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz20076 жыл бұрын

    maarifa mtu mbayaaa najivunia ww kwenye music rap....

  • @faridabaruthy7435
    @faridabaruthy74355 жыл бұрын

    This is the best ever

  • @benjaminlambert3657
    @benjaminlambert36576 жыл бұрын

    Oyoo mchawi wa lugha the bigthinker himself

  • @apolinaryprimus5542
    @apolinaryprimus55425 жыл бұрын

    Am ur no 1 fan!!!!

  • @malulujr
    @malulujr6 жыл бұрын

    yupo fresh. safi kaza sana

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz20076 жыл бұрын

    maarifa kibaha finest..... kunamitari tata humu unatakuwa uturiee sana kama kuna tuzo basi top 3 ...1 scoda 2 boshoo 3maarifa wagombeee tuzo maana wameuwaa nazani ingekuwa pow mwisho wa mwaka kukawa na show ya dk10za maangamiz tutalipa kiingilio fanyeni ivo ili kuwapa motisha wasani kama maarifa.... #0714988885

  • @edwardenglibert9158

    @edwardenglibert9158

    5 жыл бұрын

    Mbeya boi chuma anawakarisha wote hao

  • @seifsuleiman846

    @seifsuleiman846

    3 жыл бұрын

    @@edwardenglibert9158 wee kuna BANDO MC , kuna Toxic ,

  • @seifsuleiman846

    @seifsuleiman846

    3 жыл бұрын

    Jamaa anajua ile kinoma sio poa yani ila hajulikani tyu fanya juhudi sana mwanangu ufike in the highest stage MAARIFA BIG THINKER

  • @rodgerspembe6663

    @rodgerspembe6663

    10 ай бұрын

    Boshoo hatoboi hapa….

  • @djsulumusicanalyst
    @djsulumusicanalyst3 жыл бұрын

    Hatari San one of the finest mapezi ugonjwa n usipo kaza utafas

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari47316 жыл бұрын

    watu 😱😱🙌🙌🙋🙆🙆oooooooooooooyooooo ntaaaaaaaaaaariiiii tenzi

  • @stanleyludovick8803
    @stanleyludovick88036 жыл бұрын

    Noma sana, 100% nampa. Kama vp muandae tuzo za dk 10 za maangamizi sisi tutapiga kura. Maarifa yupo vzuri sana

  • @kennyruben684
    @kennyruben6844 жыл бұрын

    Huyu Kweli MAARIFA

  • @mlwanikamchizi3507
    @mlwanikamchizi35076 жыл бұрын

    Umeangamiza Dunia nzima.@maarifabigThinker..

  • @kalingajnr9560
    @kalingajnr95606 жыл бұрын

    Noma sana mzee baba, Maarifa anauwezo aiseee

  • @karathajunior6675
    @karathajunior66755 жыл бұрын

    Real..maarifa..shigdaaa..!

  • @yoscomcvevo3961
    @yoscomcvevo39616 жыл бұрын

    Good job mzee!

  • @cevo9920
    @cevo99203 жыл бұрын

    Maarifa🔥🔥

  • @mwikaabas2763
    @mwikaabas27636 жыл бұрын

    Wosaaa Maarifa bonge ya talent babu nimekubali

  • @mwinyijumasupportmytalent7698
    @mwinyijumasupportmytalent76984 жыл бұрын

    tunaomba ivyo vifaa vya studio mfanyie zabuni Maana vya kizamani mnooooo khaaaaa

  • @johnmulungu9821
    @johnmulungu98216 жыл бұрын

    Genius uyo dogo cyo uongo kapiga Non_stop,big up

  • @tumaindaniel7907
    @tumaindaniel79076 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana maarifa endelea tu kumwaga tenzi

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba11985 жыл бұрын

    Daaah Haya kweli Maarifa...

  • @myriamshafii897
    @myriamshafii8976 жыл бұрын

    uwezo A+🔥🔥🔥🔥 maarifaaa

  • @vicentpasco1024
    @vicentpasco10246 жыл бұрын

    Maarifa we noma big thinker

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy7386 жыл бұрын

    jamaa mbaya serious you know how to rap and creating hard punch lines...achia dude BA's support IPO

  • @Maarifaa

    @Maarifaa

    6 жыл бұрын

    jooh cloudy madude yapo Maarifa ft Bright - Maarifa Ya Maarifa Maarifa ft DudySound - HaikuwaRahisi Maarifa - TupiliaKule Maarifa ft Kenny & BrownPunch - SioMjadala ZisakaeHizo

  • @francismorris4092
    @francismorris40926 жыл бұрын

    One of the BEST so far

  • @dissartv4806
    @dissartv48066 жыл бұрын

    Maarifaa umeuwaaa mbaba

  • @sylvanusmrekoni6463
    @sylvanusmrekoni64636 жыл бұрын

    Umetisha jamaa!!!!

  • @Prem_Rich
    @Prem_Rich6 жыл бұрын

    Big up brother! Amani na Upendo Daimaaaaaaa

  • @sarehemohamed9482
    @sarehemohamed94824 жыл бұрын

    Mnaweza msiupate ukoko na mmepikia jungu kuu

  • @bonitojo
    @bonitojo6 жыл бұрын

    Hizi ndo hitaji, confidence pia flow.. Zidisha bwai

  • @mullahdaddy8230
    @mullahdaddy82306 жыл бұрын

    utamu upo palipo zibwa ndo maana zinapendwa .....bikraaaa

  • @mwikaabas2763
    @mwikaabas27636 жыл бұрын

    Jitahidi tu kubalance style zako na midundo

  • @6xrecca175

    @6xrecca175

    5 жыл бұрын

    Hatari maarifa

  • @saidihamidy6838
    @saidihamidy68384 жыл бұрын

    Daa, anajua ad anakela

  • @alphoncemarijani6233
    @alphoncemarijani62336 жыл бұрын

    Good One you killing it right.

  • @maxmilianmariceli6708
    @maxmilianmariceli67086 жыл бұрын

    Toka kitambo nakukubali sana Maarifa

  • @kalingajnr9560
    @kalingajnr95606 жыл бұрын

    Umesikika mzee baba, Tenzi kali mzee

  • @musamusa7710
    @musamusa77106 жыл бұрын

    Daah!! huyu braza ni mkali sana, nakuamini.

  • @hazjay4671
    @hazjay46716 жыл бұрын

    #KibahaFinest!!

  • @lenkbizzy30
    @lenkbizzy306 жыл бұрын

    Maarifa kweli kweli aseee big up #NGUMUBLACK

  • @iddishabani7018
    @iddishabani70184 жыл бұрын

    HUYO KATISHA SANA......MRUDISHENI TENA TUMSIKILIZE..

  • @stevenkaria6
    @stevenkaria66 жыл бұрын

    shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo

  • @joshhassani7894
    @joshhassani78946 жыл бұрын

    kibaha finest... big thinker🔥🔥🔥🔥🙌

  • @momax_tv
    @momax_tv5 жыл бұрын

    Babaee from+254 maaarica ni saitani chura simpigi teke namdondoshea jiwe

  • @babanasritz6399
    @babanasritz63996 жыл бұрын

    maarifa hehee! tisha sana

  • @erickdioniz3197
    @erickdioniz31976 жыл бұрын

    Sana mwenetu maarifa unajua

  • @saimmabula3442
    @saimmabula34426 жыл бұрын

    Maarifa bigthinker

  • @amourhabiby5118
    @amourhabiby511828 күн бұрын

    Jahazi la upendo huzamishwa na wimbi la unafiki

  • @illushadahkid3400
    @illushadahkid34006 жыл бұрын

    Noma juu ya noma @maarifa mwaga tenzi

  • @rabiistima9494
    @rabiistima94946 жыл бұрын

    Respect sana Thus y I love Hip Hop

  • @saidisaidi1377
    @saidisaidi13776 жыл бұрын

    Kwamba mjusi atabaki mjusi hata ukimvisha gamba LA chatu ,umetishia amani

  • @winfridawibfruda2012
    @winfridawibfruda20126 жыл бұрын

    Unaweza maarifaa

  • @mudhihiliabdulkarim9698
    @mudhihiliabdulkarim96986 жыл бұрын

    maarifa umetisha sana

  • @frankjokonea5653
    @frankjokonea56536 жыл бұрын

    shida zinaweza kumyeyusha barafu wa moyo

  • @christiansinyinza5866
    @christiansinyinza58664 жыл бұрын

    Nimeipenda iyo mitiani ya maisha wakusaisha ni MUNGU, anaitwa marifa mtoto wa baba..

Келесі