SIKU 10 ZA MAANGAMIZI:NIKKI MBISHI NA MAARIFA THE BIG THINKER KWENYE DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI
Ойын-сауық
Hii ndio siku ya mwisho kati ya zile siku 10 za maangamizi ambapo wasanii wawili wa hip hop wanakutana kutoa burudani kwa mashabiki zao kupitia michano ya hip hop na hapa wanakutana wakali hawa wawili kuhitimisha burudani hii ya siku 10 mfululizo..
Пікірлер: 314
Kama una mkubali Nikki mbishi gonga like
Nikki mbishi you the best rapper in tz hakika vocal zako danger sana unachora broo❤❤❤❤❤
Duu huyo Nikki mbishi in matatizo uwii, wakwanza kuona na kucoment like hapa
@athumanhussein6243
5 жыл бұрын
Xx
Duuuuuu marifa we noma sana umetisha mkali #nakubali
Nick King of Hiphop to the New Generation as well as freestyle
yan kiukwellllll ivi vichwaaaaaa faza of bongo hip hop baba malcom nkki mbishk play boy mwema bd kwa uyo underground star big thinker dah wamenikoshaa wote nawapa 100 100
My Credit Goes To Nikki Mbishi100% Anawweza Sana
I see you too bro SAM MAGOLI!!! HANDS DOWN!
Kuku ni ndege lakini muxije fikilia samaki ni meli...dah...🙋🙇
@ezebaiyg116
5 жыл бұрын
Karama Ally hana kit
@officialmrdeo8116
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
marifaaaaaa Noma Sanaaaa Mbishi respect 2 u bro
Maarifa big thinker good rapper and Nikki mbishi mmetisha sanaaa
wanasahau kinyesi chetu ndo keki kwa msosi wa nziiiiiiiii😀😀 #maalifa🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka Mbishi... ipo siku ntakuona live.. Its my ndoto...
Mi nsingechagua ata kama ningejua watakaonizika. The big thinker 💯
Mziki wa bongo kuna watu na viatu..xi unaona mziki wa wanyama unachezwa redio ya....(watu) "the people station"😀😄#maarifathebigthinker..🙆
@andelherrera5137
6 жыл бұрын
Karama Ally 😂nlipata shida kuielewa hii😂
@albertmayota1606
4 жыл бұрын
Ipo uchi kbsa
Babu bomba....Nikki Mbishi...baba Malcom.......I'm your biggest fan man.
Nikki nakuheshim sana hupayuki unajua namnagani utambae na mitindo... hakika wewe unahitaji sapot kubwa..
@kidstertariq3309
3 жыл бұрын
Umesema 💪🙌
big up kwa wote #unju&m2 Na fikra zake
kweli mbish n Nikki na ndo Nikki mbishiiiiiiiii.....!!!...
maarifa i see ya g
nikki is 🔥🔥🔥 #hiphopmc#reallyhiphop
Nikki mbishi una hatari Mzee etii "Eti mademu cku hiz hawependi sura wanapenda mashine za ATM Cyo kingine!"" umetishaaa na marifa kakaza sana
Nlikuwa nasubir sana kumuona Maarifa tena kwny iz dk uyu Jamaa mkali sana
@allymohammed5593
15 күн бұрын
Nikki_Mbishi noma sana
huyu maarifa ana style kali sana
Nikki mbishi ww sio mtu wa mchezo kwenye hyo kazi...... tisha Sana mzee wa kazi
Dr unju umetisha sna ur really emcee
1. HIDARY SCOUDAAA 2. CLIMAX BIBOOO 3. SIR LU 4. maarifa the big thinker 5.
Maarifa ni baddest
🔥🔥🔥🔥🔥 big thinker
Yaan mngemaliza hizo siku kumi bila kumleta nikki mbishi, EAST AFRICA RADIO Ningewa delete totaly
zohan umetisha
Hahahaa Nikki says "usiombe kifo kama hujui #paradiso dear".
it's good Maarifa mwanangu mwenyewe
The Big Thinker Kichwa chako kibovu mzee🙋... Unju the legend
Nikki mbishi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Salute sana marifa uliua blood bro @Yankee DE +254
sema dulah una vocal tamu mamae
Noma sana Zohan pamoja na kijana wake Maarifa
@godblesskulautepa1996
Жыл бұрын
Nikiiii🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸
Duuuuuu Haw watu hawafai
hapo kwenye ngoma za wanyama zinachezwa radio ya watu dah jiwe limefka penyew
Nimekubali saaaana wanangu by jomweno mkal wa hip hop tz
Nikki mbishii babu bombaa zooahn unjuu unuki umetishaa mbayaa akuna kama we we
Njema sana ipo vzr ....ala #ila kwa boshoo ninja ni kuliko zotee.
Unalala na demu wakati wazazi Wanalala na njaa 🔥🔥
Ukweli ni kwamba legendary alikalishwa
@waduni2326
3 жыл бұрын
Kabisa
@musakhamisi1692
Жыл бұрын
Kweli
Maarifa umeuwa na mazishi hutafika. Dah... Uko juu sana bro.
Mbuuuziiiiii ziiiiiiii nasinzia
Huyu Maarifa ni Big thinker
".. Kuku ni ndege ila msiFikiri Samaki ni Meli.." Whoah!!!! 👐👐
@user-vz4xj2ci2w
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅
freestyle ya Fidq Niki mbishi Heshima kwake
Maarifaaaaa
Nikki na Maarifa Youngkilla na fid Q Alafu na bosho...ndo wameua sana🔥🔥🔥
@frankkotte117
5 жыл бұрын
Fid alichemsha
Team Niki Mbishi Apa
Aiseeeee anae mkubali Nikki mbish kama mim 2onane
mungu Ndio kila kitu.
Nikki mbishi fire fire
Duuuuh maarifa siyo wa nchi hii
@richardkasanda6294
4 жыл бұрын
Marifa hawez nikk ninoma
Asiee apo wote waliua sana ongera kwa maarifabigther na nikkimbishi ongera sana apo
Maarifaa bg thnker
bado cjasikia lakn naamin #maalifa ujaniangushaaaaaa
Maarifa you kill it....una flavor ya peke yako
Babu bombaaaaaaa
😀#Maalifa we ni balaaaaaaaaa zaid ya shiiiiiiidaaaaaaaaaaaaaaa
Nakuona mbali maarifaa #blees xn brooooooo
Maarifa noma sana aisee
maarifa mtu hatariiii aiseeeee hakuna wa kubisha hip hop umezaliwa na nayo mzee wengine wanaforce
DJ UNAZINGUA
Nawakubalii sana WAKALIII HAO KWANINI WASITOEE KOLABOOO
Maarifa umetisha sana kaka
we accepting you marifa continue doing what you're doing collabo remove one song with kg2❤❤❤
Karibu kwetu kibaha💪🏼💪🏼💪🏼
Maarifaa mtoto wa baba noma san
marifa wewe ni noma sama napenda sana unavyo chana
NIKK MBSH ZOHAN SHATOPAZ TELVICE TISHIO JOGOO BABU BOMBA BABU TALENT BA MALCOM UNJU BIN UNUKI =DR UNJU
MAAAAAAAAAAAAAAAAAAAARIFA WOOOOOOOOOOO
Makini sana
Maarifa me nakubaliiiiiii.... shida inaeza kufanya ujikute unakiamkia kivuli
Niceee Niki na mArifaaaa teshaaa
Hatari
sasa kijana wangu #maarifa hapa nimekuelewa
Who is here after corona exit
Nikki mbishi hakuna kama wew bongo, maaarifa nmekubali
safi brother maarifa mtoto wa Rais usie ishi ikulu@wakilisha kibaha yetu
nomaaaa nikki mbish ni moto
Maarifa seen🙏🏽🙏🏽👀👀👀
OMG WASHA PATA GARI
Maaarifaa muhayaaaa au
Niki ww father wa hii kitu!! Marifa umetembea sana ongeza bidii ndugu utafika unapotaka
Noma sana
Get ready to meet my next X wife.... 🙌🙌🙌 nikk Babake na Malcome❤❤
Kazi poa sana✊
Huyo ndo unju bin unuki aka babu bomba Zohan
Nikki mbish
Kibaha finiest maarifabigthinker tishaa sana
mbishi noma ana swag na style
Maarifa ni mnoma sana
Big up maarifa the big thinker
Dakika 10 App play.google.com/store/apps/details?id=com.amazawtechnologies.dakika10zamaangamizi
Kiukweli niki mbishi kapotezwa na maarifa
umetishaaaaaaaa