SIKU 10 ZA MAANGAMIZI:NIKKI MBISHI NA MAARIFA THE BIG THINKER KWENYE DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI

Ойын-сауық

Hii ndio siku ya mwisho kati ya zile siku 10 za maangamizi ambapo wasanii wawili wa hip hop wanakutana kutoa burudani kwa mashabiki zao kupitia michano ya hip hop na hapa wanakutana wakali hawa wawili kuhitimisha burudani hii ya siku 10 mfululizo..

Пікірлер: 314

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise14745 жыл бұрын

    Kama una mkubali Nikki mbishi gonga like

  • @user-yi1rl1nr8i
    @user-yi1rl1nr8i8 ай бұрын

    Nikki mbishi you the best rapper in tz hakika vocal zako danger sana unachora broo❤❤❤❤❤

  • @abdulapolinari178
    @abdulapolinari1786 жыл бұрын

    Duu huyo Nikki mbishi in matatizo uwii, wakwanza kuona na kucoment like hapa

  • @athumanhussein6243

    @athumanhussein6243

    5 жыл бұрын

    Xx

  • @dominiclupembe6449
    @dominiclupembe64496 жыл бұрын

    Duuuuuu marifa we noma sana umetisha mkali #nakubali

  • @nickherman4
    @nickherman46 жыл бұрын

    Nick King of Hiphop to the New Generation as well as freestyle

  • @emiliabosco9047
    @emiliabosco90476 жыл бұрын

    yan kiukwellllll ivi vichwaaaaaa faza of bongo hip hop baba malcom nkki mbishk play boy mwema bd kwa uyo underground star big thinker dah wamenikoshaa wote nawapa 100 100

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan51336 жыл бұрын

    My Credit Goes To Nikki Mbishi100% Anawweza Sana

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa6 жыл бұрын

    I see you too bro SAM MAGOLI!!! HANDS DOWN!

  • @karamaally4114
    @karamaally41146 жыл бұрын

    Kuku ni ndege lakini muxije fikilia samaki ni meli...dah...🙋🙇

  • @ezebaiyg116

    @ezebaiyg116

    5 жыл бұрын

    Karama Ally hana kit

  • @officialmrdeo8116

    @officialmrdeo8116

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @ibratanzania1328
    @ibratanzania13286 жыл бұрын

    marifaaaaaa Noma Sanaaaa Mbishi respect 2 u bro

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68056 жыл бұрын

    Maarifa big thinker good rapper and Nikki mbishi mmetisha sanaaa

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS6 жыл бұрын

    wanasahau kinyesi chetu ndo keki kwa msosi wa nziiiiiiiii😀😀 #maalifa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fanleck2922
    @fanleck29224 жыл бұрын

    Kaka Mbishi... ipo siku ntakuona live.. Its my ndoto...

  • @Listondaniel
    @Listondaniel5 жыл бұрын

    Mi nsingechagua ata kama ningejua watakaonizika. The big thinker 💯

  • @karamaally4114
    @karamaally41146 жыл бұрын

    Mziki wa bongo kuna watu na viatu..xi unaona mziki wa wanyama unachezwa redio ya....(watu) "the people station"😀😄#maarifathebigthinker..🙆

  • @andelherrera5137

    @andelherrera5137

    6 жыл бұрын

    Karama Ally 😂nlipata shida kuielewa hii😂

  • @albertmayota1606

    @albertmayota1606

    4 жыл бұрын

    Ipo uchi kbsa

  • @barcarynzory1994
    @barcarynzory19946 жыл бұрын

    Babu bomba....Nikki Mbishi...baba Malcom.......I'm your biggest fan man.

  • @mohamedbabesh575
    @mohamedbabesh5756 жыл бұрын

    Nikki nakuheshim sana hupayuki unajua namnagani utambae na mitindo... hakika wewe unahitaji sapot kubwa..

  • @kidstertariq3309

    @kidstertariq3309

    3 жыл бұрын

    Umesema 💪🙌

  • @zabronnategwa4535
    @zabronnategwa45356 жыл бұрын

    big up kwa wote #unju&m2 Na fikra zake

  • @philipobilal5413
    @philipobilal54136 жыл бұрын

    kweli mbish n Nikki na ndo Nikki mbishiiiiiiiii.....!!!...

  • @ahmedallynative8510
    @ahmedallynative85106 жыл бұрын

    maarifa i see ya g

  • @laurentprince9439
    @laurentprince94396 жыл бұрын

    nikki is 🔥🔥🔥 #hiphopmc#reallyhiphop

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin76 жыл бұрын

    Nikki mbishi una hatari Mzee etii "Eti mademu cku hiz hawependi sura wanapenda mashine za ATM Cyo kingine!"" umetishaaa na marifa kakaza sana

  • @bibomax4273
    @bibomax42736 жыл бұрын

    Nlikuwa nasubir sana kumuona Maarifa tena kwny iz dk uyu Jamaa mkali sana

  • @allymohammed5593

    @allymohammed5593

    15 күн бұрын

    Nikki_Mbishi noma sana

  • @lezamnukwa5652
    @lezamnukwa56526 жыл бұрын

    huyu maarifa ana style kali sana

  • @hemedsudi1219
    @hemedsudi12196 жыл бұрын

    Nikki mbishi ww sio mtu wa mchezo kwenye hyo kazi...... tisha Sana mzee wa kazi

  • @mvungigaming
    @mvungigaming6 жыл бұрын

    Dr unju umetisha sna ur really emcee

  • @TheKashmill
    @TheKashmill6 жыл бұрын

    1. HIDARY SCOUDAAA 2. CLIMAX BIBOOO 3. SIR LU 4. maarifa the big thinker 5.

  • @elishagibson6135
    @elishagibson61356 жыл бұрын

    Maarifa ni baddest

  • @degreededon9754
    @degreededon97546 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥 big thinker

  • @kastomalila4298
    @kastomalila42986 жыл бұрын

    Yaan mngemaliza hizo siku kumi bila kumleta nikki mbishi, EAST AFRICA RADIO Ningewa delete totaly

  • @tembeletadei7136
    @tembeletadei71366 жыл бұрын

    zohan umetisha

  • @darhustler
    @darhustler6 жыл бұрын

    Hahahaa Nikki says "usiombe kifo kama hujui #paradiso dear".

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz20076 жыл бұрын

    it's good Maarifa mwanangu mwenyewe

  • @monyogang3004
    @monyogang30046 жыл бұрын

    The Big Thinker Kichwa chako kibovu mzee🙋... Unju the legend

  • @johnnkwabi7376
    @johnnkwabi73765 жыл бұрын

    Nikki mbishi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @yankeedekenya4557
    @yankeedekenya45576 жыл бұрын

    Salute sana marifa uliua blood bro @Yankee DE +254

  • @rehemahamis1883
    @rehemahamis18836 жыл бұрын

    sema dulah una vocal tamu mamae

  • @nickherman4
    @nickherman46 жыл бұрын

    Noma sana Zohan pamoja na kijana wake Maarifa

  • @godblesskulautepa1996

    @godblesskulautepa1996

    Жыл бұрын

    Nikiiii🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸

  • @chidybwax8080
    @chidybwax80806 жыл бұрын

    Duuuuuu Haw watu hawafai

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy7386 жыл бұрын

    hapo kwenye ngoma za wanyama zinachezwa radio ya watu dah jiwe limefka penyew

  • @jomwenomkal
    @jomwenomkal Жыл бұрын

    Nimekubali saaaana wanangu by jomweno mkal wa hip hop tz

  • @cosmasdonasiani8105
    @cosmasdonasiani81056 жыл бұрын

    Nikki mbishii babu bombaa zooahn unjuu unuki umetishaa mbayaa akuna kama we we

  • @elvisfaudhia9725
    @elvisfaudhia97256 жыл бұрын

    Njema sana ipo vzr ....ala #ila kwa boshoo ninja ni kuliko zotee.

  • @meshackkaunange149
    @meshackkaunange1492 ай бұрын

    Unalala na demu wakati wazazi Wanalala na njaa 🔥🔥

  • @sajiduathuman1560
    @sajiduathuman15605 жыл бұрын

    Ukweli ni kwamba legendary alikalishwa

  • @waduni2326

    @waduni2326

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @musakhamisi1692

    @musakhamisi1692

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75276 жыл бұрын

    Maarifa umeuwa na mazishi hutafika. Dah... Uko juu sana bro.

  • @eliamgata3958
    @eliamgata39586 жыл бұрын

    Mbuuuziiiiii ziiiiiiii nasinzia

  • @ibrahkazoba3678
    @ibrahkazoba36786 жыл бұрын

    Huyu Maarifa ni Big thinker

  • @MukiRai
    @MukiRai5 жыл бұрын

    ".. Kuku ni ndege ila msiFikiri Samaki ni Meli.." Whoah!!!! 👐👐

  • @user-vz4xj2ci2w

    @user-vz4xj2ci2w

    4 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅

  • @amirysaimon9488
    @amirysaimon94885 жыл бұрын

    freestyle ya Fidq Niki mbishi Heshima kwake

  • @danny844
    @danny8444 жыл бұрын

    Maarifaaaaa

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan51336 жыл бұрын

    Nikki na Maarifa Youngkilla na fid Q Alafu na bosho...ndo wameua sana🔥🔥🔥

  • @frankkotte117

    @frankkotte117

    5 жыл бұрын

    Fid alichemsha

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro49372 жыл бұрын

    Team Niki Mbishi Apa

  • @danielcosmas9426
    @danielcosmas94264 жыл бұрын

    Aiseeeee anae mkubali Nikki mbish kama mim 2onane

  • @leonardmsikumojaleonardmat4396
    @leonardmsikumojaleonardmat43966 жыл бұрын

    mungu Ndio kila kitu.

  • @edwinwasoka3129
    @edwinwasoka31296 жыл бұрын

    Nikki mbishi fire fire

  • @damianmichael1768
    @damianmichael17686 жыл бұрын

    Duuuuh maarifa siyo wa nchi hii

  • @richardkasanda6294

    @richardkasanda6294

    4 жыл бұрын

    Marifa hawez nikk ninoma

  • @beastmc6663
    @beastmc66636 жыл бұрын

    Asiee apo wote waliua sana ongera kwa maarifabigther na nikkimbishi ongera sana apo

  • @bhtmtk3313
    @bhtmtk33132 жыл бұрын

    Maarifaa bg thnker

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS6 жыл бұрын

    bado cjasikia lakn naamin #maalifa ujaniangushaaaaaa

  • @pascalcharles3084
    @pascalcharles30845 жыл бұрын

    Maarifa you kill it....una flavor ya peke yako

  • @eliamgata3958
    @eliamgata39586 жыл бұрын

    Babu bombaaaaaaa

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS6 жыл бұрын

    😀#Maalifa we ni balaaaaaaaaa zaid ya shiiiiiiidaaaaaaaaaaaaaaa

  • @kikomelikagere5757
    @kikomelikagere57574 жыл бұрын

    Nakuona mbali maarifaa #blees xn brooooooo

  • @ahmedissa9176
    @ahmedissa91766 жыл бұрын

    Maarifa noma sana aisee

  • @daxxdeevanny2129
    @daxxdeevanny21296 жыл бұрын

    maarifa mtu hatariiii aiseeeee hakuna wa kubisha hip hop umezaliwa na nayo mzee wengine wanaforce

  • @suzypaul2683
    @suzypaul26836 жыл бұрын

    DJ UNAZINGUA

  • @fighiter
    @fighiter4 жыл бұрын

    Nawakubalii sana WAKALIII HAO KWANINI WASITOEE KOLABOOO

  • @michaelzumba696
    @michaelzumba6966 жыл бұрын

    Maarifa umetisha sana kaka

  • @abdulmutwi
    @abdulmutwi6 ай бұрын

    we accepting you marifa continue doing what you're doing collabo remove one song with kg2❤❤❤

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally111 Жыл бұрын

    Karibu kwetu kibaha💪🏼💪🏼💪🏼

  • @ramadhanmohamedy5939
    @ramadhanmohamedy59394 жыл бұрын

    Maarifaa mtoto wa baba noma san

  • @amanchriss6533
    @amanchriss65336 жыл бұрын

    marifa wewe ni noma sama napenda sana unavyo chana

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45076 жыл бұрын

    NIKK MBSH ZOHAN SHATOPAZ TELVICE TISHIO JOGOO BABU BOMBA BABU TALENT BA MALCOM UNJU BIN UNUKI =DR UNJU

  • @afroyeka8609
    @afroyeka86096 жыл бұрын

    MAAAAAAAAAAAAAAAAAAAARIFA WOOOOOOOOOOO

  • @Ghontai
    @Ghontai6 жыл бұрын

    Makini sana

  • @ProphetRomly
    @ProphetRomly6 жыл бұрын

    Maarifa me nakubaliiiiiii.... shida inaeza kufanya ujikute unakiamkia kivuli

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi85706 жыл бұрын

    Niceee Niki na mArifaaaa teshaaa

  • @elardsulley4441
    @elardsulley44415 жыл бұрын

    Hatari

  • @lovesetion1060
    @lovesetion10606 жыл бұрын

    sasa kijana wangu #maarifa hapa nimekuelewa

  • @mwamba2875
    @mwamba28754 жыл бұрын

    Who is here after corona exit

  • @kastomalila4298
    @kastomalila42986 жыл бұрын

    Nikki mbishi hakuna kama wew bongo, maaarifa nmekubali

  • @mwinyangeshaaban630
    @mwinyangeshaaban6306 жыл бұрын

    safi brother maarifa mtoto wa Rais usie ishi ikulu@wakilisha kibaha yetu

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama81936 жыл бұрын

    nomaaaa nikki mbish ni moto

  • @solodavid3364
    @solodavid33646 жыл бұрын

    Maarifa seen🙏🏽🙏🏽👀👀👀

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel6006 жыл бұрын

    OMG WASHA PATA GARI

  • @SennyFleva_1
    @SennyFleva_14 жыл бұрын

    Maaarifaa muhayaaaa au

  • @abdullahamadmwinyi8233
    @abdullahamadmwinyi82336 жыл бұрын

    Niki ww father wa hii kitu!! Marifa umetembea sana ongeza bidii ndugu utafika unapotaka

  • @wankyroshna5544
    @wankyroshna55446 жыл бұрын

    Noma sana

  • @fanleck2922
    @fanleck29224 жыл бұрын

    Get ready to meet my next X wife.... 🙌🙌🙌 nikk Babake na Malcome❤❤

  • @gideonaire_ke
    @gideonaire_ke6 жыл бұрын

    Kazi poa sana✊

  • @saimonsilva6209
    @saimonsilva62094 жыл бұрын

    Huyo ndo unju bin unuki aka babu bomba Zohan

  • @erickdioniz1330
    @erickdioniz13306 жыл бұрын

    Nikki mbish

  • @dissartv4806
    @dissartv48066 жыл бұрын

    Kibaha finiest maarifabigthinker tishaa sana

  • @hemedihamisi7170
    @hemedihamisi71706 жыл бұрын

    mbishi noma ana swag na style

  • @patrickalfred3680
    @patrickalfred3680 Жыл бұрын

    Maarifa ni mnoma sana

  • @anolayzerkgm6112
    @anolayzerkgm61124 жыл бұрын

    Big up maarifa the big thinker

  • @amanichanga3448
    @amanichanga34486 жыл бұрын

    Dakika 10 App play.google.com/store/apps/details?id=com.amazawtechnologies.dakika10zamaangamizi

  • @waduni2326
    @waduni23263 жыл бұрын

    Kiukweli niki mbishi kapotezwa na maarifa

  • @honestytimber9962
    @honestytimber99625 жыл бұрын

    umetishaaaaaaaa

Келесі