KONTAWA X YOUNG TUSO ... PUNCHLINE
Ойын-сауық
#bangwithpro24djs #punchline #pro24djs
PRO24 is a company founded in 2008,with the combination of multi talented Deejays from Tanzania playing the Best mixes from Africa and around the world.| MIXTAPES | HIP HOP| | R&B| | CRUNK| | REGGAE| | DANCEHALL| | HOUSE| | KWAITO| | NIGERIA| BONGO FLEVA| | GENGE| AND EVERYTHING YOU LOVE..|MORE INFO @ WWW.PRO24DJS.COM| @PRO24DJS
Пікірлер: 102
Kiukweli wote wanajua, Ila kontawa katisha zaidi Kama unakubaliana nami gonga like
Konnnnnnnnntaaaaaaaaawaaaaaaaaa ninoma sana asilimia kwa mia jamaaa kafli kwa kontawa
Kontawa nyoko mzeee BASTORA
"mkitembea na Pierre mtabaki kua kilelen"😀😀 big up bro Kontawa wordplay is on 🔥
Kontawaaaa munyamaaaaa #BASTOLAAA
Kontawa..! Namuona km Zizi flan hv ndan yake.!
Ma man kontawa 💥💥💥💥
tuso kaza mwanangu diss music ishapitwa man
kontawa noma sana kwa uandishi
@johnmosha8285
4 жыл бұрын
mpo vzur
kontwawaa juuuu sanaaaaaa nakupendaa mpka basiiiiiii
Kontawa OG
KONTAWAAA,hii mashine hatari sanaa
Kontawa we nyoko👍👌👍
Tawa
KONTAWA YUKO VIZURI TATIZO ANA MANENO YEBOYEBO YOUNG TUSO BADO SANA
Tuso umepotezwa sana , huyu kontawa ni noumaa 😂😂😂
Kontawa you are real bad man
Tuso tupo pamoj man. Kontwaaa mmmmn co pow man
Kontawa sio saiz yao big up broo
Kontawa nakubaliana na ww
Kontawa nakubali
🎉🎉
Kontawa mwamba unqnikumbusha zizi flow
Good
They both amaizing.. #Kontawa sounds great and incredibly
Young Tuso bdo sn ww ktk utunzi, uandishi na style ya michano.... Kontawa nmekuelewa sn upo njema mazee, alaf kubabake umefanan na Godzilla kdg....
@tzmagaladiah5680
4 жыл бұрын
Abdul Mohd apanaaa ume enda mbalii zila akunaaa apo
@abdulmohd6880
4 жыл бұрын
@@tzmagaladiah5680 cjamfananisha na Zilla kw michano no, nmemfananisha kw physical appearance na style the way anavyo act
@jeremialauden5710
4 жыл бұрын
Acting n zilla kabsa ile geuka geuka
@imaimma2112
4 жыл бұрын
Sana
Kontawa kafanana godzizi mnyama
Kontawaaa
Kontawa nouma sanaaaaaaa#####✔💯💯💯💯✔
KONTAWA💥💥💥💥
Kontawa anakiwasha mbaya 💯💯💯💯
Mi nachekaga 2
Usichejezee Basitola utapoteza maisha
This just gotta lit nakubal kontwa
Nkbl sanaa
Kontawa namuona Zizi zilah ndani yake
Watu like. Mida mistar mikali
Kontawa🔥🔥🔥🔥
Iv tuso hana kazi nyingine ya kufanya maan kwenye mziki anahangaika
Mwamba umetumwa nn khsu Arusha😂😂😂
Kontawa nyoko wewe
Kontawa mwamba
Tuso baba unaweza mkali sana
Kontawaaaa nomaaa
Tuso ulipotezwa mnoooo.....
Kontawa 💥💥💥
Kontawa nihatari sana✌️
Kontawa nouma tusoo hip hop ya zaman hyooo
Kontawa hatari kama ebola
Konta new zizi in town big up sana my G 🔥🔥
@trigachonse2755
Жыл бұрын
Bana weh.waeza sema ni dzilla uyu kontawa
Nime kubali baba daah
Zila karudi au mbona napagawa vile kasura kapokapo ivi
@gracekayanda2833
3 жыл бұрын
Kontawa una balaaa
Bastora iyoooooooo piga kelele kwa bastora yake kontawa
Tawa 👑
Kabisaaaa
Young tuso tunakumic Sana ukukwetu RDC Lubumbashi tunakumic
Yani konta ni hatali 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 ivi mashaili Aya unayapataga wap????🤔🤔🥱🥱🥱
mmetisha wazeee
Pia tawa baba ukoseagi mkali sana
Kontawa nomaaa
tuso god a bless tuu
Kontawa gud
Kontawa huna mpizani
Tuso bhado kwa kontawa
Kontawa ni zillah aisee
Kontawa huyu mbwa hakamatiki
Kontawa ni gadzzilla mtupu
Kotawa hatar
KONTAWA ATENGWE
young tuso anachana kizamani sana
Bastola kontawa
kontawa kaka utawauwa kwel mm skufich
Huyu bwana atali sana saluti kwake
chakula ya ubongo
Makini
kontawa sumu usijaribu kuramba
#kontawa mistari umeandika ww au imeandika pen🖋️🖊️
Kontawa me shabiki yako muda wote
#kontawa
Kumi ya kirumi 💥💥 Kontawa hapa nmekuelewa Mimi tu
Kontawa u good bruh
@hussensamora6719
3 жыл бұрын
Katisha
Nakubari punchline Kwa kusikia na kuangalia hisia kari za hip hop na ujumbe mzito gusa humu link kzread.info/dash/bejne/aoWestKGeLmnaaQ.html
Stamina namkubal sn ila huyu jamaa anakuj zaid ya stamin so stamin akaz sn dah sio kw rap iyo😀
Mh
@essammoney9166
2 жыл бұрын
Contawa ataliiiiiiiiiii
😂😂tuxo uko pouw mana unajua maana ya freestyle cyo kontawa anarudia mixtar iliokwixha andikwa
IN. 👉 #BLADKEY song kipepeo
Kontwa nomaaaaaaaaaaaa
Kontawaaaa