PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA FID Q
Ойын-сауық
Baada ya Godzilla kufungua Dimba kwa flow kali kwenye Dakika 10 za Maangamizi wiki iliyopita. Maombi ya wadau wa Planet Bongo yamezingatiwa na hatimaye Farid kubanda Fid Q amedhihirisha kwamba yeye ni nani kwenye Hip Hop.
Nawe unaweza kupendekeza na ni afuate wiki ijayo kufanya Maangamizi.
Пікірлер: 217
2020 wangapi tunamskiza Fid Q
mwanahipop halis mwny uwezo wa kubadili fikra za werevu na kumfanya mjinga atathimini. big up fid Q
I think chidi benz won this 10min freestyle coz he didn't stop from the first sec to the last sec... chidi was amazing on this. NI MAONI YANGU TU KAMA UNAFUATILIA.
@MATIKO9640
Жыл бұрын
Ile yake ya kupayuka payuka sikiliza vizuri hizo flow afu ukamskilize vizuri tena Chid utagundua hakuna atatokea kama fid q
Salute za kutosha kwa ngosha the don fid q
dah....uyu jamaa ni matatizo kabisa kwa tz sijaona mwana hip hop wa mistari ya akili kama huyu jamaa big up Ngosha
legend from mwanzaaa anajua axee
hii ndio show yanguvu respect fid q mwanaharakat katika daily life
"changanya matako ili mavi yasigande" haya maneno ya fidQ 🔥🔥🔥🔥🔥
Noma
Namkubali sana Q fid
halloooooooooooow huyu jamaa SIO wa nchi hii.
WaaaaW
Mistari yake imesimama.Ni 🔥🔥🔥
Kubanda 🔥🔥🔥
salute broo..... Fid mkali
Waaaaaw
The best of the best ever hphp artist in the world....the best fareed..
Makin sana
FID q Hana mpinzani, real hip hop mc in the world
Dakika 10 za maangamizi play.google.com/store/apps/details?id=com.amazawtechnologies.dakika10zamaangamizi
kweli huu mtu kutoka sayar nyingne daa! big up sana fid qqqqqqqqqqqqq
Ngosha upo sawa
Respect fid q legend
you are da best Hiphop artist in da world fidq
poa sana.
big up sana brother
sio free style hiyo
Respect fid q
Akiwwi effective bila juhudi ......
Njia pekee ya kukwepa ngoma ni kugoma kupima
Conscious emcee
nice fid tuletee slim sal tumsikie michano yake
Geneus are always like fid
Anaechek hii 2021 gonga like tujuane
*Kama unamkubali FID Q gonga like*
@mubamjukuu2234
4 жыл бұрын
Nakubal fid q
Fid q we hauchani bari unakufuru yani unajua alafu unajua tena salut
2️⃣0️⃣2️⃣4️⃣🎉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥fidQ
I love you my Brother fid q
imesimama sana
Cjawah kugoma kumskliza #ngosha anachokichafanya #hiphop for rely💘
Daaaa kweli tyunatisha sana Tanzania
fid q mkali ila freestle haiiwezi naomba mwalike kaa la moto kiumbe tokea kenya awafunze real freestyle.
@issackmohammed080
4 жыл бұрын
Hii show ni special kwa watanzania tu na ndio maana inaitwa planet bongo......
nice broo
Fid Legend
fid Q namkubali ilattftyrryyy tatizo lake freestyle zKe ni za kuandika weee kichwa Tamaduni miusc mimi hapa hatariiiiiiiiiiii
Amani sana we mkali Q
Safi kwa track zake kama fresytle hajatoa bt best in bongo.. Fidq kisha nikki mbishi... Ndio maana hawamwiti kwa radio station
@ludovickemily4642
5 жыл бұрын
Fid q anaogopa kubiwa misitari take ndo maana anatoa hip hop zake kwa ubaili sana
umetisha sana mwamba nakubali sana amini kwamba. umetsha sana broo
namkubali sana huyu jamaa
Salute FID Q
Ngoxha,,,ze don,,,, unajua broo,, respect tyu yu
Respect hip hop cmd
nizaid ya🔥🔥🔥
Shikamoo fid q
wimbo wa nay mpya
hapana cjakubali kabsa nyimbo zote ni zile znazofanana.
saf ilahii mistar yangom Zak zote
Jan 2022.. fiddddddd
mwanza nawakubari
wiki ijayo itabidi hicho kiti akae Niki mbishi
huyu msee ako uu tu sana
The world's best emcee 🙌💪😂🎤😎
fd q ana mistar migum san huwez kuifata kizembe
Kama wampenda fid q gonga likes hapa
Sana Mzaz..
fid q ni baba yao jamaniiiiiiii
Ngosha
Hakunaga...!
dadeki fid Q.. izo n sifa hawakuwez
njiaa pekee ya kuukwepa ukimwi n kukataa kupima.... aahhhhhaaa Fid shdaah
Nice bro
hata hvyo ngosha unatisha sanaa ngoma zako mwishooo
Umejaribu ila kawaida xn. Mleteni apo Eddy Fire from ngarenaro km pimbi hajazima fegi.
2023 we never getting tired ssup
Asante
Huyu ni moto
Sema fid ni mchoyo kweli Wa kutoa mistar mipya mana nyimbo zote nishaskia hizo!
@brisketkidari1623
7 жыл бұрын
Salim Guru hii usi force 2fanane nimpya au
@salimguru6779
7 жыл бұрын
Hio usiforce tufanane in kauli mbiu ya mjuukuu Wa mbua
@brisketkidari1623
7 жыл бұрын
Salim Guru inamaana sio nyimbo
@salimguru6779
7 жыл бұрын
Emu soma nilichoandika alafu ndio uniulize swal huenda hutanielewa!
@brisketkidari1623
7 жыл бұрын
Salim Guru sijakuelewa kwa kweli
Anajua san
Kubanda
Dop
Fid to a vitu kichwanii asilimia90 nyimbo zako
Rositam
Fd na kakubal xana people from mwanza waga htukoxei
sijawai mdisi Fid na sidhani kama itawai tokea.....big up bruder...
Fidq mjanja kweliiii
Blood
👊 fidi umeumizaàaa
noma san Q
So kila mwanahiphop anajua freestle, hicho ni kipaji kingine tofauti kabisa na pia uandishi wa mistari ya fid ni vgum kuifreestle
@mangupaul4679
7 жыл бұрын
Yap ww ndo umezungumza cha maana maana watu wamekalili
@jumamichael4083
7 жыл бұрын
Jeremiah Mabula yap upo sawa kabisa
@sakinandoile4758
7 жыл бұрын
Jeremiah Mabula ni kweli ferrstyle ni ngumu kwa style yake ya kurap... bt all in all ye mkali wao
@dafomikiky9160
6 жыл бұрын
Jeremiah Mabula kwel
@edwinwasoka3129
6 жыл бұрын
Jeremiah Mabula uko vzr👊👊
🎙️
yes this the only minute we all been waiting for u know this nigga is the living hip hop artist😂😂😂😂😂
Fid q ni mzuri wa hiphop kwa kuandika mistari na sio mitindo huru kama kina king zilla na kina Zaiid
tisha farid
Chuma
Fid q safi
Mungu angenijalia ata thuluthi tu ya ubongo kama wa fid q. huyu jamaa si wa sayari hii.
@hebronbushini3531
6 жыл бұрын
Usikufuru wew,,,,, akili unazo sema matuzi ndo tnatofautiana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
fid kwny utungaj only huku waachie undergrounds
Kiukweli fid q vingine zalisha sasa kwani akujapatikna kama ww aiiiii yaqni ww nixhidaaaaa
free style ni kama kitambulusho kinachowajulisha watu kama unarap siyo urap sana ndo kujua,kufreestyle