PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA GODZILLA
Ойын-сауық
Utakua ndio utaratibu Planet Bongo kukusogezea Mkali wako ( Rapper ) kushare Madini na Punchlines za hatari kwa kuflow na Beats zitakazokua zinamixiwa na Dj's ...Hii ilikua ni kutoka kwa Godzilla umemuonaje na unadhan nan anastahili kuwepo next session? ..
Пікірлер: 409
*Nani yuko hapa baada ya kifo Cha godzillah na kuskiliza freestyle yake ili kumuenzi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi*
@wabo_199
Жыл бұрын
Nipo apa
@dennardleonard1228
11 ай бұрын
Nipo
Gadzila na chidibenz Wanafanya frestail ya papo kwa papo tofauti na wengine waimba nyimbo zao walizoandika Big up kwao R. I. P. Kwa Ngwea
@edwardnyihande4168
5 жыл бұрын
Na leo hii R.I.P kwake Zilla
Hii ndo freestyle sasa sio mtu anakuja anaimba nyimbo zake ,nikki mbishi utumbo mtupu ...salute zillah #kilawakati
R.I.P KING ZIZI KING MWENYE ZILAA ZAKE😥😥😥😥👊🏾 LEGENDARY........2021
zilla umemaliza oe kama wakubali gonga like
Na andika hii comments huku machozi yananitoka wallah allah akufanyie wepesi huko ulipo insha allah...!!
HUYUU JAMAA MKALI SANA KWNYE FREE STYLE 🔥
@mnkondejr9174
3 жыл бұрын
Rip jembe haitotokea tena
6:26 watu wanakuja wakinambia... shuka madarakni kama rais wa gambia... naenda lesi pia mpaka zambia... me nna 2face call me idibia...... hahahahahahaha zillaa waueeeeee
@mosesabwao2673
7 жыл бұрын
yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh
True freestyle talent R.I.P kingZila...yaani katoa kichwani mwanzo mwisho.
That's true free style, Rest in peace Zilla, we will always miss you!
@estebanarchie3292
2 жыл бұрын
sorry to be so offtopic but does anyone know of a way to log back into an instagram account? I was dumb forgot my account password. I would love any tricks you can give me.
@fernandosoren3068
2 жыл бұрын
@Esteban Archie Instablaster =)
@estebanarchie3292
2 жыл бұрын
@Fernando Soren thanks for your reply. I found the site thru google and im in the hacking process atm. Takes quite some time so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
@estebanarchie3292
2 жыл бұрын
@Fernando Soren it worked and I finally got access to my account again. Im so happy:D Thank you so much you saved my ass :D
@fernandosoren3068
2 жыл бұрын
@Esteban Archie Happy to help :D
mikonoo juuu hakuna kama zila kwenye huo mchezo
namkubali sana zilla! big up bro
Leo naomba nicomment hii ndio kitu nilikuwa nataka kwa hii segment aseeeeeh zizi weeeeeeh mazaaaaaaaaaah facker ww ni freesytle monster😈🎶🎶🎶 aseeeh bablai umeuaaaaaaa sizani bongo kama yupo kama ww kama yupo dullah andaa freestyle buttle mkuuu naomba plzizzz ntachangia hata kijoti baridiiiii zillahhhh umeuaaaaaa ww ni real MC🎤
Godzila u de king of freestyle no ubishi kwa ilo... tishaaa mno
@luganokapula6267
7 жыл бұрын
Okello Junior umemsahau Nikki mbishi
@ibrahimpius893
7 жыл бұрын
huyu jamaa anajua mpaka kero
Duh nomaaaa
Jehovah bless this guy. Rest in peace King Zilla.
Daaaaaa siaminiiiiiii NIKUELEWAAAA TOKA MUDA YAN UNA FREE STYLE YAKWELI ACHANA NA WENFINE WANA TUNGA NYIMBO NDO WANALETA HAPO. R.I.P BRO, BRO YOU WHERE ALL A MAN OF KIND.
Nimeangalia Dk 10 za Maangamizi na Michano ya hatari sijaona kama Zilla for really...
@tonymlatino4810
5 жыл бұрын
Tafta coyo Chidibenz Mbeya chuma boy utatubu
tishaaa sana zillah
Salasala the best...
Bongo nzima zilla ww the best
Nimekukumbuka king zila Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi pumzika kwa amani
hizi dakika kumi king kong ,chidy Benz ndo beast come back bro
Kumb jamaa zila alikua vizury R.I.P kwake
@TheNdaki
3 жыл бұрын
Alikua hatar . TNT 💥
uyu jamaaa ni nomaa kwa freestyle big up broo zilla
@miriamkoroso3801
5 жыл бұрын
cna neno mm
hahahahahah anaejua anajua tu
The king of frestyle baada ya Ngwea in Tz Beleave me
@robertgordon7557
5 жыл бұрын
True brooo
Mshkaji alikua imara Sana.....sikawai pata kuona after yeye. . ....he was too real......# Most underrated mc and freestyler# rest in powere Zillah
Uyu jamaa n hatari asee kwa freestyle ata fid amuoni uyu jamaa arudiagi mistari ya nyimbo yake SALUTE king Zilla
@hamsokalos2915
6 жыл бұрын
Big up king zila u r the best among the best....#Bouy 254 representing.. much lov pipo lets suport our music as our artist grows
@happyndimilalove2362
5 жыл бұрын
King zilla no balaa
Noma Sana
Nisipo msifia zizi ntakua sijamtendea haki
2024 hapa
Kila nikitaka kuangalia freestyle huwa narud kuangalia za king zilla #RIP bro ...heshima yako
G zilla 🎉
Nah man, this guy was a beast on freestyle! Truly the best! Rest in paradise. It’s tough that I have to keep searching for your music to hear more from you. East Africa lost a great
Godzilla, CHID Benz, nick mbish, songa, stamina.....hawa ndo wanyama wa hiz mambo
Mungu amulaze mahali pema peponi king zillah
Daah niga rest easy king zilla, you was really hip hop freestyle master!! R.I.P king
Me naona GODZILLA aendelee tu maana wakija wengne wataanza kuimba nyimbo zao za zaman amabazo hatujazisikia na hapo kinachotakiwa ni FREESTYLE hao wengne wataharibu hatuwatak
@rinnionnTV
7 жыл бұрын
sAuL sTePhEn mkubwa wewe ndio umeshtukia the real deal
@juliusmtei5165
7 жыл бұрын
sAuL sTePhEn hyo ni kwel
@mustaphajuma1189
5 жыл бұрын
Dah r.i.p kng zilla
@edwinlawi710
5 жыл бұрын
R i p
ziziiii kakazaaa bhanaaa.. acha majunguu jombaa
Nimekuja kumuangalia brother king zillar nimemiss mziki wake furani hivi r i p
Chid na zilla Mmetisha Mbaya hakuna kama nyie Acheni nyie
still king zilla king of freestyle Tz no body like him
Namuona Jr katulia tulii mistar ipo vzr
Big up kingzilla
Daaah misng dz zilla
King zilla ...dah.
King Zilla.new era rap master. sala sala westside!!
huyo jamaa arudie dakika 10 planet bongo
Rest easy king ZILLA . Haitatokea kama yako. 2022
WOOOZAH... ilikuwa ni Ya 1 Kuruka Kwa Hewa Mpaka Leo 2023 Bado ni Ya Moto 🔥 Kama Imetoka Leo👏👏👏 HESHIMA KWAKE The REAL FREESTYLE KILLER #GODZILLA 🎵 A.K.A KING ZIZIIY 🎧🎤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥💥
we namba 1
Tangia series ya dk 10 za maangamizi ieanze mpaka sasa this is the only guy amefanya real freestyle na kiukweli zilla peke yake anaweza kufananishwa na ngwea
@castorysigala5480
5 жыл бұрын
R. I. P zilla
We ni noma xana ze baba cjuw2 nani kachukua nyota yak
2023 am back this interview, 💔🙏🏾 Rest in esy zizi
shikamoo Godillaaaa..................
Good artist from Tanzania rip brother
Mkali wa style za freeee
Wangap tunaangalia2021
Rapper pekee anae freestyle na big G mdomoni afu freesh tuuu🔥🔥🔥
zilla u kill it... bravo son!
Mss uu broo sitachoka kuanglia hiii..
Hahaha hahaha time is out, time is out, zilla salute bro, wenzio waliomba dk ziishe Nikka, we tumezuia umepitiliza Nikka
Zila kateshaaaa mno
Ooooooooooooooooooyaaaaaaaaaaaaaaaaa uta wauwaaaaa weweeeeeeee😁😁😁 raha sanaaaa kama una penda mzikii bundukiii
To day I'm watch
Daaaah eti wanamfananisha na billnas ...kwakipi asa hapo ...piga kelele kwa KING ZILLAAAAAAA dah R.I.P blood
Mkal wa HIZ kaz
Daah, R. I. P brow ndo nmekuelewa wkt umeondoka ktk dunia hii. Nataman urud tna.
This dude is good as fuck
Hii namba nyingine
Nakupenda Godzilla
weka mbali na watoto maana ni hatariiiiiiiii ,,,,, mistari mikali mazeeeee
Jamaa anajua bdo na mkumbuka Sana pumzika salama Kaka
Mnyamaaaaaaaaaaa
Hatuwez msave brother from devour 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Huo m-biti wa kibabe kama G-Unit 💥
Heshima sana kwa kingzilaa
Huyu bhna mmmh ni shida ayceee
zilla ni fund,, angekuwa mchezaji ,,, angekuwa kozi la real Madrid
king zilla
unajua mi mnaniuzi sana mnaomlinganisha Godzilla na Mtoto Billnass cjui mnatumia kigezo gani?
@nestorlucasmaasai8024
4 жыл бұрын
Washenzi sana watu dizaini hiyo
@athumanimrope7486
4 жыл бұрын
Wasenge wanaolinganisha zillah injin nyingine billnas mrembo
@sumadashsumadash7342
3 жыл бұрын
ZiiiiZilaaa..R.I.P. Kumfananisha na wenhine nikumkosea Heshma kwambaaaali labda Marehem Albert Mangwea Ila sio kimfananisha na Bilnenga jamani
@user-cu9ek3uq4x
2 ай бұрын
Hyu jamaa noma sana mm naona hana mpinzan live ndungu
Daaaah Hadi jamaaa alitaka kupitiliza dakika I mean dakika Kum zilikua hazimtoshi, R.I.P ziziiii tutakukumbuka daima na milele
Noma sana...
Jamaa alikuwa MNOMAA sana huyu pumzika kwa Amani bro
Rlp dogo
zilla my best freestyler in bongo since day uno
@ernestkhalifa3820
Жыл бұрын
2022 still the best freestyle daaah ...rest in peace zilla
Hatar huyu jamaa alikua
Anayemfananisha king zilla na watoto wadogo mnakosea k woooooote
Jamaa kaanza na jogging ya michano kwanza
atali sana jamaaa huyo billnas kalale kwanza
@mohamedharuna9050
6 жыл бұрын
Ibrahim haruta 🤣🤣🤣🤣👌🏻
@nellymollel4672
6 жыл бұрын
sindio axeee akalale
2024 dah!
Huyuuuu jamaaaaaa anajuaa mpkaaa anakeraaa cnaaaaaaaa naangaliaaa mpakaaa naumiaaa aiseeehhh r.I.p -ziziiii ntakukumbaakaaaa cnaaa aiseeehhhhhhh
2024 zizi 🙌💥
What a GREAT TALENT we have had
Apumzike kwa amani zilla
Saaaluuuuut zilaaaa...,duuuuuhhhhh...!!! Skuwahi ionaga hiii ,hataaareee
After "Cowbama" passed away, the only freestyle monsters remaining are #Nikki_Mbishi and #Godzilla.... ✊✊✊
that's is free style
Real freestyler of all the time