GOD ZILLA: JOH MAKINI Aliniambia nifanye HIVI wakati tupo STUDIO. Part1
Ойын-сауық
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
Пікірлер: 96
Jamaa shule imekaa Sanaa kichwani alafu Anajielewa Sanaa daah R.i.p king Zila Br
Dah mungu anapenda pale panapo pendwa na watu R. I. P zilla,,
the man knw hw to talk,,appreciate
Hii interview all the time nardia R.I.P daah kma ur still alive.
I love you zila so genius
RIP King zilla, we will remember you forever..
ZILLA ANAJUA SANA.. YAAAN 🎸🔥🔥
Rest in peace npo 2023 nakufatilia maan Nlikuwa nakukubali sana.....!
zillah anasound kama ana stress napenda sana mziki wa zila
Dah inauma sana rest in peace brother
Your the legendary of all time Zilla
zilla is a dope man. Much respect bravo.
pamoja bro lilommy sema zihha anajua san
Zillla Wee ni genius bro Get off my way is my all time favourite till i die
@nextybilly6388
5 жыл бұрын
Ebana naikubali sanaaaa get off ma way lakin mtandaon siipati
@abdallahramadhani2621
3 жыл бұрын
Hatari My mum akiumia and i fell the same pain
ALWYZ NAJIFUNZ AMENGI SANA KWAKO BRO KWNY INTERVIEWZ ZKO
lile song la naweka X kwng nalipenda dunia mzmaa.big up zilla,nyie mnapga kazi kwel co hawa marapa wa ck hz wa promo wanaotulazmisha tuwacklize,,
jamaa akili kubwa sana godzilla
Lil ommy nakukubaliii kinomaaaa unajuaa sanaaa
this fela was SOMEkind of genius R I P
King zilla bado tunakmix kama pumnzka kwa aman kaka duuuuh....
R.I.P KING ZILLA😭😭
RIP 🙏 My brother King Zilla
Hatariiiiiii wendo king wa xalaxala ovaaaaah
God zilla bonge la mnyamwezi Man
The real king
Rip Broo
G Ô D Z IL L AX most geneous
I recpct you zilla
King zilla
IS MASTER TEACHER
Ukiniwekea mtego nakuwa nakuona pale halafu mimi napita kule. Zizi we ni hatari.
Brother pumzika kwa Aman dah!
zilla huyu jamaa alipo sipo anapostahili kuwepo anajua sn
@isackmhala1373
5 жыл бұрын
Mayagilla Mussa ya ya ya ya 👍👍👍👍👍
@othumanlorenzo260
5 жыл бұрын
Mayagilla Mussa sana
Akili kubwa mbili (CowObama and King Zilla) are gone... R.I.P
The Godzilla i use to know the realest to the fullest. X.
Charming Dude...REST IN PEACE GOLDEN JACOB
big up Broo xillar
R,I,P KING ZILA
Huyu jamaa next level tukifika wakati wake tutaona ukubwa wa king zilla
Legend 🙏
yo genius brah
Zilla was a vibe.Nigga alikuwa ananjey mziki wake.Very easy😢.Rip zizy.
I real miss godzilla
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
Missing him too dah
we miss u King
Zilla nilimuelewa sana na nitaendelea kumuelewa,anajua sana
Dah RIP KING ZILLA …NIKIZOMBI MEN
zilla uko gud all time..napenda sana swaga zako kama zakimzahamzaha i like that.
zilla in ze house
Rest in peace 💔 Zizii King of free style
Rest in peace
sana broo..ila tunatk vtu
Dah. Nimechlew san kuion hii. Nakupnda san zizi
R I P king zz
sure, people like win win, there is no win / loose people, people will support you when it's beneficial, fake people! stay back
zilla bingwa huyo
Legend r.i.p
King rip
Nakubal
Zilla alkuwa mnyamwez sana RIP
master
Genius rest in peace 😢
Rest Easy Zizii
Oyaaa jembe huko juu
Rip
R i p zzila
daaa jamaaa alikua anajua Atari nendatuuuuuuuuu
@amiriramadhan7753
5 жыл бұрын
Achatu bro huyu jamaa kweli vizuri havidumu
salasala master
OK oi
r.i.p ziz
Rest in peace #kingzilla
Kwani kiswahili ujui zilla nimeambiwa nikuulize
ziz king
Dah He is gone
subscribes
Akili kubwaz
Unawz zilla
Zilla umeulizwa kuhusu kupush unga kwenye get off ma way umejibu utumbo sijakuelewa mnapewa mashavu ya interview but hamuwatendei haki mashabiki
@hustlersmart7917
6 жыл бұрын
Rajab Seif mbon kajb vzr sikiliza vzr
@inclyrics4384
6 жыл бұрын
wewe rajab ni hater, uko negative tu kwa zizi, continue running your fool race acha kummaind zilla,
@rajabseif2301
6 жыл бұрын
celebrate your life hebu nisaidie kajibu nini mana nmerudia sana sijaelewa
@wennybarny168
5 жыл бұрын
Amejibu vema sana huenda hujamskia au hujamwelewa
call me zz
Anacho boa huyu jamaa ni kitokua serious kwenye interview sio poa kabisa mbwembwe nyingi zanini
@hustlersmart7917
6 жыл бұрын
Rajab Seif mnyamwez shule imekuwa juu ya mziki
@inclyrics4384
6 жыл бұрын
wewe ndo unazingua wit yo negative comments
@Lg4343
11 ай бұрын
Senge wewe
Lil ommy nakukubaliii kinomaaaa unajuaa sanaaa
King zilla