Alichokifanya GOD ZILLA kwenye BEAT ya FID Q na BILL NASS kwenye The Playlist Times FM hiki hapa.
Ойын-сауық
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
Пікірлер: 393
"Mungu akubariki unaesikiliza awe na wew" -King Zii🙏😭rest in Power
Hadi nimekosa la kuongea zaidi ya RIP zilla.
Rest easy zila,tulikutambua kama king and forever you will remain 🙏🙏🙏
Kama Unamkubali Zilla Ndo King Wa Freestyles Ngonga Like👍💗💗
@upendorichard435
5 жыл бұрын
Swahili Forex Zila, umetisha kinomanoma
Freestyle doctor forever rest in power Godzilla
hii freestl wanaweza wachache sana bongo kuna wanajita making afu hawawez wanafanya walizo andika uyu jamaa inatoka kichwan malike mazee
I will remembered you ma zilla God be with u upumzike kwa aman
zizi umepiga interview bila tungi ona hata freestyle zako zmekuwa hot na nmemuona yule zila mkal ninayemjua...saf🔥💯
@mayagillamussa5480
6 жыл бұрын
Ranto Jasiri yaa upo sw
@youngdevo6105
5 жыл бұрын
Safi sana
Daah sina mengi yakusema zaidi ya R.I.P kinG zilla
2020 still unaishi kweny freestyle rest in paradise zilla😓love you broh
Huyu ndio bongo bahati mbaya.. 😂 👏👏👏👏
Kama unesikiq nabii titto gonga like zilla hatariiiiiii mwachen aitwe god,,,,,,,,,,, ziz inthe houseeeeeeeeee by Lillyommy
Zilla ww ni mkali sana kwenye mitindo huru,unachowashinda wengine ni utundu wa kubadilika na ubunifu mwingi sana,kinachonimaliza zaidi ni flow yako tamu.una flow tamu bro kuliko rappers wote tz,huo ndio ukweli,asante kwa burudani.
Daah ! Zillaaa u always a killer.. Yaani hujawahi nifelisha kwenye hiz business. Hawataki tu kukucrown but you r the best freestyller of all time, cuz unamurder killa beat. Naomba ututengenzee hata mixtape moja tu ya freestyle. Battle battle battle. Go zizii
kila nafsi itaonja umauti mbele yako nyuma yetu godzilla
Daaaa dunia ni mapitoxkila kitu kitapita leo hii umetuacha tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi. Mbele yako, nyuma yetu pumzika kwa amani Godzilla🙏🙏🙏🙏
@jacoblukindo6553
4 жыл бұрын
R.i.p zila
Atabaiki kuwa bora kwangu. Mtu mwenye utundu wake. Huyu Jamaa Mungu amlaze mahali pema peponi. King Zizi mfalme wa miondoko huru.
Rest In Eternal Peace Kaka Mkubwa, will always remember you as a king of freestyle
This guy was the best rapper i ever see, RIP zilla nakumbuka class best Nsumba wanataka selfii
Akitoka ngwea ni chid benz akitok chid bhas hyu myamaa R i P kaka msalimie ngwea!!! Mbel yko nyuma yetu
Huyu ndo alio mu insipire mtu wangu young killer msodoki so big up sana ila ukicheza ukianza bangi tukutane central jumanne eti watoto waambie wajipange hhh
@kaizamgao4621
6 жыл бұрын
King zila zila ni balaaa Nouma sana bongo bati mbaya
Dah so sad mangwair na Godzillah, tumebaki na Chid benz pekee kwenye michano ya mitindohuru
Dadeeeeeeeki,nani anakubali hii 2019
He was a true king; R.I.P boy!
something never change!! zizi you know who you are!! #King
A minute of silence please for the late King Zilla 😭😭
r.I.p brooo najiisi kutoa chozi
@burtonnicholaus6270
5 жыл бұрын
Me too
Huyu n motoo🔥🔥🔥🔥🔥
2023 Ziz still the best to me. I pray for the soul to be rested in a safe place. Amen.
I gotta salute you King of SalaSala Empire!
inallilah waina lillah rajium
Shikamoo zilla! Wee ni nyooooookoooo
RIP kingzilla inauzunisha sana kuondokewa na majembe ngwea RIP langa leo tena kingzilla hakika umeacha sana mapengo kwenye tathinia ya kurap
What can we say about zizi😢ONLY GOD KNOWS...🙏🙏🙏
HUYU NDO ZILLA NINAE MJUA MIMI 🔥🔥🔥🔥
HUYUU NDO ZILLA NINAE MJUAA 🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa kwa freestyle ni nyoko sana ....nomaaaa
R.I.P king . Sala sala appreciate ur talent we miss u king 😪
wengine wanaendaga kwa lilommy kutembea ila zizi umekuja kuongea noma saaana arif
Mmh, Zilla hapa aliua, R.i.p king tupo njia moja!!
freestyle noma ya mwaka bro Godzilla am from Kenya and you doing greet keep it up
@amiriramadhan7753
5 жыл бұрын
He is not longer alive, he died last week.
Dah eebn Godzilla noma xn
Can't hesitate to comment. Big up and R. I. P buddie. Bado ntakuskiliza kama kawa.
Uyu jamaa ni mbayaaaa kweny freestyle aisee
Huyu jamaa hafai ata kdogo sijui kwann hana rotation sanaa
Daah free style we ndoo babaa yaooo nakubalii sanaa mzeyy
@miminabuku2490
5 жыл бұрын
Boy atar 👀👀
hizi ni real freestyle..🔥🔥
huyu Ndo kingzillah wanamuweza wachache labda from outside Tz🔥🔥🔥🔥🔥
R.I.p tutakumiss zilla milele daima
Start one mzee part one iko wapi naona iyo end of the movie
unavu oxygen na sio bange we noma zinzzz
Freestyle killer black ZIZI ,Magufuri wa New Era!!
Hakuna msanii Mwingine anaweza Fanya hivi
R.I.P zilla nilimkubali sanaaa king wa freestyle
2023 tumekuja kumchek mwana Piga like apaaa 🔥 king of freestyle
zila Leo Nimeipenda hiyo 👑 freestyle bongo but sharot mkubwa SCODA Boy
king of all of them zillaaaaaaaaaa
Daaaaaaah pumzika kwa amani kaka king ziller
jombaaa zillah hafaiiii aiseeeee freestyle zimejaaaaaaàaa
frestyle so ngoma.ngoma ni aidia kwaio zila kakosa aidia kwa sasa ndomana kaganda lkn mistar naamin haishi kwake. jamaa ww ni king wa frestyle
R i p Mwamba king zizi
Huyu jamaa alikuwa mkali sana duuuh Mungu mrudishe basi
Watu ambao warkuw hatr nirkuw nawa kubar saiv wamesepa wametuacha ni Alrbat magwear god zilla Daaah ntawamiss sana ma bro ntagulien na imani ntakutana Bdae
27 January 2022 bado na watch. R.i.p jeshi la m2 m1
Zilla's Best moment Rest in peace brother.
Saluuuuutttttteeeeeeeee umeongea kiswahili bila ata kingereza
zillaaa kwel mungu anakuona kaka unajua sana hadi unaboaaaa
Aiseeee Zilla ni mwamba yan 🔥🔥
Aisee RIP king zilla🔥
2024 on this one Respect King 👑 zilla
never seen before,,,,,, millennium Kutokea kama huyu genious,,,tukiongelea freestlyle
zilla anakwama wap mbona mistari mingi sana, konkii.. na hits zake mtaani tushazisahau
king of freestyle #zilla
@jackrichard7963
6 жыл бұрын
hatareeeeeeee
The real definition of freestyle
RIP king zilla.... really ulkuwa king wa freestyle after kaa wizi kaa obama.. na nyote mungu ashawahitaji..
Damn!!! This Dude was something else..
sana king zilaah
Jamaaa alikuwa vizur asee pumzika kwamaani mwamba ziziiiii😢😢😢
king zillaaaaaaa
King is back.....salaaaam salaaaaam wakazi mitaani
Pumzika salama Zilla...
Big wow💥🙌
Aaaah kumamaake ziziii 🙌🙌🙌
Nimemmiss Jamaa sana
i am from Bdi but this guy was really talented..
Much respect zilla......... RIP
nimekuelewaaaa Fireee
Big up ziziiiiiiiiiiiiii nakuelewa vby mnoooo shar out kwakoooo
King zila noma sana
17/02/2019 lala salama king zilla
hatatokea kam ww zilla lakn umetulia sanaaaaaa rud ufunikeeee
Great vibe
🔥🔥rest in power king zizii..mafreestyle yataishi milele
yooooooo zizi!! nlikumiss broo... ii ndo tulikua tunatakaa sasa
He was A man and ahalf
Nimekubali zilaaaaah
Zilla kwann lakini media imekuficha muuni, 👽👽
Hola hola, rip king zilla
Pumzika kwa amani Legacy yako bado inaishii #2024
Zillaaaaaaa.. Dah noma xn R.I.P jemedari