DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA G NAKO
Ойын-сауық
G Nako Wara Wara A.k. a the Finest wa AR kama ilivyo kawaida yake bila kutumia Nguvu ameangamiza kwa style ya Aina yake ndani ya Planet Bongo ya East Afrika Radio sasa kazi inabaki kwako Tuambie umeonaje Punchline na je unadhani nani Afuate Next week lakini pia endelea kuskiliza Planet Bongo kwa kua 10 za Maangamizi zitakuepo na Siku ya Alhamis pia lakini hii ni Tofauti na J3...
Пікірлер: 161
Nairobi husema mambo mbaya warawara!
wara wara umetisha sn mzazi , big up
G Nako kipaji kikubwa kuliko anavo act
Cjaona weusi kama G,g is the really definition of MC ,walo dislike hawajui hii kitu.
jay mo plz next tyme mbona kila siku mnachomoa ...we need jay mo
Umetisha g we ni shikamoo
Nomaaa respect
G nako ni mkali nakubale
gnako nomaa
watu hawajamuelewa Huyu jamaa yani Ni kwamba ana swag alafu anajuwa kutembea na bit,, sema mistari alisahau ndo aliponiangusha next time tupa cm kule,,, gonga like Kama umenielewa
@abduuking6406
6 жыл бұрын
hemedi hamisi hafuliag huyu
lem tack the pictures! !!! uwezo upo juuuu sana namkubali sana kaka mbaya sana warara
Tisha noma mazee
Wanakutexa bhnaa we wakupe viitikio tu
Tisha sana G. nikiona tobo siingi nachungulia
warawara
Gwarawara OG,mzuqa wa HipHop💥💥💥
Tuliocheki 2021 Gonga like
Damn!!! its Hot in here, This is the Realest sh**t We talkin' Bout.. HipHop Heads Thumbs up ..
cku iz hatuchukui famba, hatuchukui kamba, hatuchkui namba si tunalipia chumba....... nakuelewa sana bro G warawara nkankara finest of AR
Weusi ✔✔✔✔
2024 ✌✌✌ g nako the finest of Ar
Tz nzm hakuna msanii wa kumcopy huyu jamaa......NIKIONA TOBO SIINGII NACHUNGULIA😂😂😂😂😂🙌
@saidramadhan3676
5 жыл бұрын
Jay Star nachungulia siingiiii 😃😃😃😃
nakubal nyiny ni noma mkamaten youngdee
that is hip hop yeah we feel music gwara kwa mwanangu finest wa A R
@judejad9782
2 жыл бұрын
I know Im randomly asking but does anybody know a trick to log back into an instagram account..? I was dumb lost the account password. I love any help you can offer me
G umetisha sana weusi mikono juuuuu
Jamaaa anajua
g ni balaaa, old skul amazing..
Iko pw 10 za maangamizi
Noma sana brother
Next time tunamuomba ibra da hustler au nikki wa pili
nakukubali sana G nako...ile mbayaaaa
nakukubali bby
Summer hapa alikua mnyama
G warawaraaa..ni moto,ata Kikosi kazi wanamkubali.
wazi wazi
uko sawa kaka
yko byee ile mbaya salute g nako
Unaweza
g nako umetishaaaaa
yuko vizuri
warara mkapa wa rap duh design moja amazing kweli wamesweat
nikiona tobo cingii, nachungulia hahahhahhahh
Very very talented
wauwe g
oyoooo dullah next time SONGA
@charlesnghwaya1619
7 жыл бұрын
mhuuuu
G umeua baba salute kwako
hamna k2 hapooo akomae na chorus #mrchorus kwny rap uko chekechea
umeti sha G nako
Dulla please naomba next niekee mtu wangu wa Nguvu Ja Dingiliii baba akooo MOTRA THE FUTURE ! mana ivyo vichwa hakunaga arif! G NAKO AN MOTRA NI FIRE ASEEEEE
Yuko vzur
@barakaelmwanga3447
7 жыл бұрын
xanaa
waoo saafii
Oyooooooo kumi za maangamizi noumaaaaaaa
mpka sasa bado sijaona aliyemkimbiza raf mc kama unakubalina na mimi gonga like sema raf mc,sema raf mc 🎶🎤
Huyu jamaa noma ana tisha
g nako ,,, unajua
Mkali wao
👊👊
HTar sana swagz ndo kal
Gnako fundi
G wara wara nakukubal sn G wizzy
Chali ya R next time tunamuhitaji coyo
good
warawara! hakuna wakuwazima
g na nako noma weusi wakali moto wao unachoma kuna wengine wanazoma wakati wakilala na madem zao wanakoroma
G nako aminia
G nako ataree daaa
chumaaaa Kankara Eka mekuuu
G nako... 🔥🔥
g wakumbuke ndugu zako uwainue tambua nako 2 nako ndy imekufanya mpaka ukahapo syo weus wape hata colabo
Hahahahaha.nikiona tobo siingii,nachungulia.
@thobiasotaru7903
6 жыл бұрын
Good kankara
nomaa
G wars wara weeeeee
tuleteeni stamina jaman
leteni Lord iyes
Umeua mNako!!!
kweli Wewe Wara Wara kwankwara maana Naona Una hara hara tu Masikini Mb Zangu
A city boy
2024
wafunze wasojuaa G...wamezoea na sie hatihitaji mazoea
Mamaaa
wozaaaaaaaaaaaaaa
Holaaaaaaaaa yaaani ni Nouuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuumaaaa!
mleteni songaaa
Kipaji kikubwa kuliko Uwezo
Nakubali mkali wangu Mwaka wa ngapi ila bado tuna hit kwa dakika 10?.
Jamani huyu jamaa Ni Mkali Hana simu
huyu jamaa ni mkali sana sana
yereuwiiiii
Oldi skl
G Nako mkali wa muda wote
Nouma G walawalaaa
unajua mkali
Jumanne sudy
Chuga Bn shida
Daaaajamaa kauaaa
poapoa kaka
The beats playing from 4:30 minute is for which song?
@SamirOmar
5 жыл бұрын
Io beat ya 2 ni nyimbo gani
ukamanda cyo jela
UKILLIT....Time is UP
Maisha hayana uchaguzi Fanya maamuzi ya kweli...