Huyo mtu ndo msanii yan huyo hatar ebu jaman mumuangalie sana huyo mtyuuuu,,,,sna cha kusema zaid ila mungu akupe baraka zako hongera sana
@phantyrhymes95362 жыл бұрын
Toka ianze kumi za maangamizi. Huyu mwamba ni shida. Kathibitisha Uandishi, styles na flow. Anajua.
@eliamsopokingkola8903 жыл бұрын
Sina shaka na MBEYA #kinasawazi #Medani Oiiiii
@emmanueldrawerhq75263 жыл бұрын
Namuona Dizasta Vina ndani yake huyu mwamba
@OwenHabel3 жыл бұрын
Kali sana. Nidondosheeni hizo likes basi.
@tumbually3293
3 жыл бұрын
Kwan ww ndiye uliyekua unachana mpk upewe like 🤪🤪🤪🤪
@begaca
3 жыл бұрын
Hahaha hii Bhannaaaa....
@motivationalimpactstories81023 жыл бұрын
noma sanaaaa hahaha bars after bars -- ukiamshwa na konda ujue ushapitishwa kituo kali sanaaaa
@paccopreto3604 Жыл бұрын
Humble man ....narespect na lots of love from Kenya
@camillomakongwa83083 жыл бұрын
Qmamake medani ni fundiiiiiiiiiiiiiii barz🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@hyasintndimbo29983 жыл бұрын
Oyaaaa Medani Ndo Ulimchora Magu kwenye Necta🤣🤣, Tulikuwa tunakutafta Sana😎
@mzurukilaka876
Жыл бұрын
Tumempataaa
@nickminja704
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Davidsylivester3 жыл бұрын
Nasikia mnakula ujana..kuna sehemu ziko wazi msisahau kubana..bars heavy sana🤚
@simonsweka73053 жыл бұрын
Nakumbuka sku moja tulivolewa pale mbeya pale night na broo big up xanaa mxalimie shemjiii........ukadata unahitaji maiki uonyeshe uwezoo noma san born bush boy mpangwa ngoxhaa Mie zangu mwanza now mzeee....
@ramcymosungu47003 жыл бұрын
Oyaaaa kama mbeya boy chumaaaa alivyoanza agaaa we lala,, watot wa kitanga wapi wapi hah hah hah huyuu born with it...daaaah
@satoshi_mkenya10 ай бұрын
Traveling long journey for the love of hiphop mad respect from KENYA🇰🇪
@officialdeosoultz93613 жыл бұрын
Nawapenda watoto washule ila nangoja mkuwe 🔥🔥🔥
@adamdemarch55653 жыл бұрын
Awooooteeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kutokea tanga dondosha comment apa
@kwoma_tz33343 жыл бұрын
Hii ndio tafsiri ya 10 za maangamizi
@hamicthabiit76613 жыл бұрын
We ni mkali since day one Shout out to mwanangu medan
Upo kwenye daladala usilale muda huo, Maana ukiamshwa na konda ujue umepitilizwa kituo, 🔥🔥🔥
@user-kn8jj3oy6b9 ай бұрын
Mtaa unataka maninja sio madegree holders ❤❤❤🎉
@festontandu35963 жыл бұрын
Moto wa kuote mbali 🔥🔥🔥🔥
@aminakangwile10203 жыл бұрын
Medani the one ndo mkali wa hizi vtu safi Sana mwamba
@mohamedrajabu29233 жыл бұрын
Huyu jamaa ni levo ya one incredible
@djsulumusicanalyst3 жыл бұрын
Bro DJ Sulu from Kenya namukubali sanaaaa hatari we lala
@futurecannabino513 Жыл бұрын
Unajua mwanangu 🔥🔥🔥
@virgosixthemoon9652 Жыл бұрын
Bonge la bonge medan umetixaaaa....
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
Jamaa kaua sana like kwake iringa ,njombe moja hiyopo
@salumhafidhi33233 жыл бұрын
Huyu jamaa. Ni Next level
@ubaldjoseph77832 жыл бұрын
Kinyamaa sana ankolii
@charleschanjarika93093 жыл бұрын
Jamaa mkali sana... na kuamini wanasiasa nakuamua kujichosha
@jollityjorgan59203 жыл бұрын
Mi nalala kanisani naamshwa na sala na mapambio 🙏🙏🙏💙🖤🖤
@hamxochagaboy8816 Жыл бұрын
Uyu ni King🔥💯✍️
@meshackkyungu43383 жыл бұрын
Broo toka school unajua sana nakubal sana #mwax
@Paplick93 жыл бұрын
Hataree twende like za mwamba apo
@obedigeorge79863 жыл бұрын
Hahahahahaaa born bush boy ni motoooo
@kennyruben6843 жыл бұрын
Uwezo binafsi powered by
@geraldmushi44453 жыл бұрын
mwamba katsha sanaa..💥
@wachafyasteve91833 жыл бұрын
Sana sana bon bush boy
@samwelmsuya78743 жыл бұрын
We lala tuuuuu😂😃😃 anajua sanaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@tembomnyama23103 жыл бұрын
MeDaNi ThE OnE💯 #BBB
@joshuakathurima88433 жыл бұрын
KENYA IKO LOVE.....
@anoldpotentin24463 жыл бұрын
Mtaa unataka maninja sio madegree holder🙌
@yusufusule18563 жыл бұрын
Mzeee nomaaaa zaidi ya nomaaaaa 👊👊👊
@harunahozzah58473 жыл бұрын
Jamaa anajuaa sana sema presenters mmepooza sana cyo fresh
@daniikirunda7113
3 жыл бұрын
Daaah kabisa...JR aLikuwa anaamsha sana
@ignasmuyaya7027
3 жыл бұрын
Kwl man
@morgandonee54123 жыл бұрын
asee nomaa sanaaa real kabisaaaa
@msemakweli3712 жыл бұрын
Mkali sana hiki Kichwa. Next level kaka
@bonnysure87062 жыл бұрын
Huyu jamaa kaua kinohma yani Bongo tupo wenye vipaji dah #Ngera sana king
@yattatuneproductions143 жыл бұрын
'Salute!! Salute! £aalute!! #Maangamizi halisi Yani. Big Up mchizi @Medani_The_one #Medani_The_One #EastAfricaRadio #DreamsAlive254 #YattatuneProductions'
@eliamsopokingkola8903 жыл бұрын
Oiiiii Sana mwanangu Umeuumiza
@nabilwazir3360 Жыл бұрын
Oyaa huyu fund wangu💯💯💥💥💥
@kaimuMtutuma-pu2uv Жыл бұрын
Oyaaaa nimeludia zaid ya mala 10 salute mzeeeee
@brightmillanzi66583 жыл бұрын
Anajua thana ajapoaaa Big up ma broo
@johnizoboy3 жыл бұрын
Ukimtoa Mbeya Boy Chuma huyu jamaa wa pili kwa ukali🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@regankisoma8685
3 жыл бұрын
Uyu jamaa nimesoma nae chuo namjua ni zaidi ya huyo chuma
@goodlucknziku6309
3 жыл бұрын
Kamsililize toxic fuvu..☺
@regankisoma8685
3 жыл бұрын
Boy huyo jamaa ana mistari hatari halafu anajua ku switch mashindano yote ya voda huwa anashinda yeye na pia ni super nyota
@nadula7390
3 жыл бұрын
Muangalie mtu mmoja anaitwa Yededee
@bensonsanga3471
2 жыл бұрын
Yupo Nyenza the mc
@mnyalu.workspaces12513 жыл бұрын
Medan the one,, it's a marvelous rap.. mzee anajua no one like you,, hatariii
@davidcholo23213 жыл бұрын
Aliposema katokea Mbeya nikajua tu ni mkali. Mbeya rappers are talented sana
@januarymtega6092
3 жыл бұрын
Mtu wa iringa uyu
@sinaivaladega8291
3 жыл бұрын
Hkn msanii wa mbeya amewah alibu
@josenaphmwara97393 жыл бұрын
Oyaaaaaaa........hilo jina umetunukiwa kabisa jamaa....unajua hadi unakeraaaaaaaa...........sasa wengine waflow kipi....oyaaaaaaa We lala tu.....kabebeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@josenaphmwara9739
3 жыл бұрын
Mwanamke anamuogopa mbwa ila anapenda style zake siooooooo.......oyaaaaaaaa unajua unajua unajua
@samwelichalyeta8031
3 жыл бұрын
Hahahahahahaha nakubal
@rajabuomy4873 жыл бұрын
Ameanza,powaaa,saaana. Ngona tuendeleee
@kelvincarter44292 ай бұрын
Sichoki kumuangalia huyu jamaa hatari sana
@alhabib16063 жыл бұрын
Your best born bush boy 💥
@regankisoma86853 жыл бұрын
Yuko poa sana blaza
@HeIsPerroty3 жыл бұрын
Weeee jamaaa hanogi Ni hatareeeeeeeee👍👍👍👍
@nadula73903 жыл бұрын
Big energy Big brain Big tune💥💥
@fadhiliomarytingisha38442 жыл бұрын
Duhu mwamba yupo vizur kinomaaha
@expert5898 Жыл бұрын
Jamaa alichana sana but nashangaa studio walilala saaana! Sijui walikuwa wamekunywa nini!
@sagothebest3 жыл бұрын
Wanangu wa chuoooo medani kawapa ujumbe konkiiiiiii Sana imeisha hyo
Пікірлер: 480
Huyo mtu ndo msanii yan huyo hatar ebu jaman mumuangalie sana huyo mtyuuuu,,,,sna cha kusema zaid ila mungu akupe baraka zako hongera sana
Toka ianze kumi za maangamizi. Huyu mwamba ni shida. Kathibitisha Uandishi, styles na flow. Anajua.
Sina shaka na MBEYA #kinasawazi #Medani Oiiiii
Namuona Dizasta Vina ndani yake huyu mwamba
Kali sana. Nidondosheeni hizo likes basi.
@tumbually3293
3 жыл бұрын
Kwan ww ndiye uliyekua unachana mpk upewe like 🤪🤪🤪🤪
@begaca
3 жыл бұрын
Hahaha hii Bhannaaaa....
noma sanaaaa hahaha bars after bars -- ukiamshwa na konda ujue ushapitishwa kituo kali sanaaaa
Humble man ....narespect na lots of love from Kenya
Qmamake medani ni fundiiiiiiiiiiiiiii barz🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oyaaaa Medani Ndo Ulimchora Magu kwenye Necta🤣🤣, Tulikuwa tunakutafta Sana😎
@mzurukilaka876
Жыл бұрын
Tumempataaa
@nickminja704
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Nasikia mnakula ujana..kuna sehemu ziko wazi msisahau kubana..bars heavy sana🤚
Nakumbuka sku moja tulivolewa pale mbeya pale night na broo big up xanaa mxalimie shemjiii........ukadata unahitaji maiki uonyeshe uwezoo noma san born bush boy mpangwa ngoxhaa Mie zangu mwanza now mzeee....
Oyaaaa kama mbeya boy chumaaaa alivyoanza agaaa we lala,, watot wa kitanga wapi wapi hah hah hah huyuu born with it...daaaah
Traveling long journey for the love of hiphop mad respect from KENYA🇰🇪
Nawapenda watoto washule ila nangoja mkuwe 🔥🔥🔥
Awooooteeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kutokea tanga dondosha comment apa
Hii ndio tafsiri ya 10 za maangamizi
We ni mkali since day one Shout out to mwanangu medan
Punch.... Lines...uko...Vizuri...m2...wangu...✌️#frm... Capetown...!
Jamaa anajuabmpaka anajua tenaaaa big up,hip hop for life
Nomaaaa sana mwamba kama mwana mwakavuta mojaaa
Oyaaa medan sana mwanang mwenyew nakubali bado harakat zinaendelea ...Nzii Msafi apa ..iringa town
Flow hizi za kuimbia kwenye koo na kwenye tumbo, hazijawahi kuboa. #midevu kama zavala saluuti sana mjuba
Daaaah since day one classmate umekua kinara . From class of talent 2013-2012 God awe nawe malengo yatimie.
@mzurumzuru6122
3 жыл бұрын
Kitampooooo
@lenjimachristopher8600
2 жыл бұрын
Mwamba TALENTED REAL Akina Ngwear yani fundi tu automatically.....mpe Hi mwana namkubali sana nairudia hii Session yalikuwa maangamizi halisi
@mussamadulu760
Жыл бұрын
Bk sande
@mussamadulu760
Жыл бұрын
Pol
@mussamadulu760
Жыл бұрын
@@lenjimachristopher8600 Stamina
Noma Sana mwamßa unajua Sana 🔥🔥🔥
Medani the one 👏🏾👏🏾 unahatar sana mwanangu....Born bush boi
Nakukubali sana bro🔥💪🏾🇹🇿
Imekubalika humu kenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Big up sana mkuu wa mtaani kwetu
Oyaaaa motooo sana Mwamba Anaundugu na Tungo Tata 💪💥Salute Kwake
Moyo wangu unavuja damu! Kwa nn watu km hawa hawatoboi? Maujinga ujinga ndo yana pata nafas! Mara kudambua dah😩😩😩😩
@JagaSon5302
3 жыл бұрын
😀brother
@msakagroup1695
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@seleiputa9450
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ErickRichard-kh7tj
Ай бұрын
2024
AISEEEEEEE MBEYA CITY BOYS N HATAR KWA MICHANO AKIII
Dah mwana anawezaaa salute sanaaa
Power by himself,..... @medani_the_one umetisha sana
Mbuzi akigoma kwenda Mimi namtoka kafaraaaaaa huyo ndio born bush boy wasio mjua wengi Ila Ana maflow laaanaaa na mipanchi ya kwendraaaa
Hawa jamaa sijui wanajifichaga wapi
daaah moto sana mwambie kumekucha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa katisha saizi ya mwaisa home boi bravo
Daaah we kiumbe ni hatar xnaaaa
Noma sana nakubali mkali
Born bush boy ni wamoto🔥🔥🔥🔥
#medani the one kweli Kali Sanaa mistari zilizoenda shule🔥🔥🔥 nipeeni likes🙏🙏
Noma Sana hii dk 10 za maangamiz
Hawaja wah kukosea yaan tangu mbeya boy Chuma wote balaaaaaaa
Kijana hatari huyu.....🔥🔥🔥🔥kutoka kenya
Nmesema ngoja niangalie dk2 tu Lakn nmejikuta namaliza clip yote Mwamba noma huyu
@asherymwande5644
3 жыл бұрын
Hta mm jamaa
Uko vzur sana mwanangu,flo yenye ladha na maandishi mazur
Medan then one. Microphone killa. Kinasa wazi mbeya on fire
Mnyama sanaaa huyu jamaa..Muda utaongea
Kaliiiiiii sana hebu like kama wew ni was kutoka mbeya
Huyu mwamba anajua EARadio mlimuachaje arudi mbeya...........
Dah Huyu jamaa ni HATARI BANA AISEE 🙏🏻 🙏🏻
Real talent 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Anajua huyu mwamba 🔥🔥🔥🔥🔥
Upo kwenye daladala usilale muda huo, Maana ukiamshwa na konda ujue umepitilizwa kituo, 🔥🔥🔥
Mtaa unataka maninja sio madegree holders ❤❤❤🎉
Moto wa kuote mbali 🔥🔥🔥🔥
Medani the one ndo mkali wa hizi vtu safi Sana mwamba
Huyu jamaa ni levo ya one incredible
Bro DJ Sulu from Kenya namukubali sanaaaa hatari we lala
Unajua mwanangu 🔥🔥🔥
Bonge la bonge medan umetixaaaa....
Jamaa kaua sana like kwake iringa ,njombe moja hiyopo
Huyu jamaa. Ni Next level
Kinyamaa sana ankolii
Jamaa mkali sana... na kuamini wanasiasa nakuamua kujichosha
Mi nalala kanisani naamshwa na sala na mapambio 🙏🙏🙏💙🖤🖤
Uyu ni King🔥💯✍️
Broo toka school unajua sana nakubal sana #mwax
Hataree twende like za mwamba apo
Hahahahahaaa born bush boy ni motoooo
Uwezo binafsi powered by
mwamba katsha sanaa..💥
Sana sana bon bush boy
We lala tuuuuu😂😃😃 anajua sanaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MeDaNi ThE OnE💯 #BBB
KENYA IKO LOVE.....
Mtaa unataka maninja sio madegree holder🙌
Mzeee nomaaaa zaidi ya nomaaaaa 👊👊👊
Jamaa anajuaa sana sema presenters mmepooza sana cyo fresh
@daniikirunda7113
3 жыл бұрын
Daaah kabisa...JR aLikuwa anaamsha sana
@ignasmuyaya7027
3 жыл бұрын
Kwl man
asee nomaa sanaaa real kabisaaaa
Mkali sana hiki Kichwa. Next level kaka
Huyu jamaa kaua kinohma yani Bongo tupo wenye vipaji dah #Ngera sana king
'Salute!! Salute! £aalute!! #Maangamizi halisi Yani. Big Up mchizi @Medani_The_one #Medani_The_One #EastAfricaRadio #DreamsAlive254 #YattatuneProductions'
Oiiiii Sana mwanangu Umeuumiza
Oyaa huyu fund wangu💯💯💥💥💥
Oyaaaa nimeludia zaid ya mala 10 salute mzeeeee
Anajua thana ajapoaaa Big up ma broo
Ukimtoa Mbeya Boy Chuma huyu jamaa wa pili kwa ukali🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@regankisoma8685
3 жыл бұрын
Uyu jamaa nimesoma nae chuo namjua ni zaidi ya huyo chuma
@goodlucknziku6309
3 жыл бұрын
Kamsililize toxic fuvu..☺
@regankisoma8685
3 жыл бұрын
Boy huyo jamaa ana mistari hatari halafu anajua ku switch mashindano yote ya voda huwa anashinda yeye na pia ni super nyota
@nadula7390
3 жыл бұрын
Muangalie mtu mmoja anaitwa Yededee
@bensonsanga3471
2 жыл бұрын
Yupo Nyenza the mc
Medan the one,, it's a marvelous rap.. mzee anajua no one like you,, hatariii
Aliposema katokea Mbeya nikajua tu ni mkali. Mbeya rappers are talented sana
@januarymtega6092
3 жыл бұрын
Mtu wa iringa uyu
@sinaivaladega8291
3 жыл бұрын
Hkn msanii wa mbeya amewah alibu
Oyaaaaaaa........hilo jina umetunukiwa kabisa jamaa....unajua hadi unakeraaaaaaaa...........sasa wengine waflow kipi....oyaaaaaaa We lala tu.....kabebeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@josenaphmwara9739
3 жыл бұрын
Mwanamke anamuogopa mbwa ila anapenda style zake siooooooo.......oyaaaaaaaa unajua unajua unajua
@samwelichalyeta8031
3 жыл бұрын
Hahahahahahaha nakubal
Ameanza,powaaa,saaana. Ngona tuendeleee
Sichoki kumuangalia huyu jamaa hatari sana
Your best born bush boy 💥
Yuko poa sana blaza
Weeee jamaaa hanogi Ni hatareeeeeeeee👍👍👍👍
Big energy Big brain Big tune💥💥
Duhu mwamba yupo vizur kinomaaha
Jamaa alichana sana but nashangaa studio walilala saaana! Sijui walikuwa wamekunywa nini!
Wanangu wa chuoooo medani kawapa ujumbe konkiiiiiii Sana imeisha hyo