ISHU YA AZIZ K YAIBUA MAZITO,GB64 ADAI UKIUWA KWA UPANGA UTAKUFAKWA UPANGAAWATAKA YANGA WAVUMILIE TU

Ойын-сауық

#ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

Пікірлер: 164

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi12 күн бұрын

    Eng Hersi Said amekujaza mimba kudadeki

  • @HelenAllySorirey
    @HelenAllySorirey13 күн бұрын

    Kweli nimeamini makolo wazee wakipayuka

  • @geraldmbengwa6381
    @geraldmbengwa638113 күн бұрын

    Wewe kama huvuti bangi basi utakuwa chizi, Aziz ki bado yuko sana

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania632612 күн бұрын

    Hela ya Chama tunayo na Aziz tunayo tajir yetu cyo chupli,chupli😂

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile13 күн бұрын

    Aziz ki kuja Simba ni ndoto gb 64 we waokote Wana Simba wengine ila Mimi umenikosaaaa

  • @kitaraabdi9529

    @kitaraabdi9529

    13 күн бұрын

    Mtasema tu tajiri kaludi

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    13 күн бұрын

    Tajiri yupi unaemsema?muda ule alikuwa wapi?hapo mnajifariji kupitiliza​@@kitaraabdi9529

  • @mwanangusana
    @mwanangusana13 күн бұрын

    😂😂😂😂. Generator la uongo ..... kelele nyingi kiboko yao ni Mangungu

  • @JofreyNyelo
    @JofreyNyelo13 күн бұрын

    Ww utachekea chooni kesho tu!

  • @EliasFijabo-pt2zb
    @EliasFijabo-pt2zb13 күн бұрын

    Mechi ya costa ilikuwa mbombo ngafu Azizi ki aliiamua mechi dah gb aisee mbombo ngafu musimu ujao yanga wajipange mbombo ngafu

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g13 күн бұрын

    Mtasubili sana kolo nyiye

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu12813 күн бұрын

    Waweke sawa Enginiaaaaa😂😂😂😂

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini12 күн бұрын

    Kuanzia leo sikuamini tena mbwaaa we

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g13 күн бұрын

    Mashabiki wasimba ni mazwazwa wa karne basi hapo kwa akili zao zakupayuka wanaamini kwamba nikweli ki anakwenda simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lucymsheshi5871

    @lucymsheshi5871

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 yani kaa wanywa gongo 😂😂😂😂😂

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    13 күн бұрын

    Mnawashwa eeeh!!!???

  • @user-uj5wg9mm2t

    @user-uj5wg9mm2t

    13 күн бұрын

    Hapo hajasema km anaenda Simba acha uchiz au kiswahili sio lugha yko huelewi hapo

  • @donkhan6841

    @donkhan6841

    13 күн бұрын

    Hawajui kwamba ni swala la branding na marketing. YANGA ndio timu pekee inayojua kucheza na akili za watu

  • @yonaivan

    @yonaivan

    13 күн бұрын

    Kapimwe akil ww, kwan kuna mtu aliamin chama anakwenda utopolon, ww subir majibu tu

  • @reggezawady4994
    @reggezawady499412 күн бұрын

    Yupoooo

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten755212 күн бұрын

    MASHABIKI WA MAKOLO NI MAMBUMBUMBU WANAAMINI UONGO KULIKO UKWELI,NDIO MAANA YANASUKUMWA NDANI,🤣🤣🤣🤣🤣🤣😛😛😛😛😛😛😛😛

  • @user-ot7yi6eq7s
    @user-ot7yi6eq7s13 күн бұрын

    Ukifiwa na mzazi huwezi kuamini mpaka azikwe

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah944911 күн бұрын

    Yaaan anajiona ana akili sanaaa kuliko Hersi😂

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha275312 күн бұрын

    Ama kweli!!!!

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp12 күн бұрын

    Hili jama mm silikubali tena sahiv bada kupata umarufu sahiv anaropoko t mwanzo akiongelea mpira vzuri

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gk11 күн бұрын

    Pumbavuuu

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah841610 күн бұрын

    Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi12 күн бұрын

    Hivi umeshahamia Azam

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha275312 күн бұрын

    Ama kweli huna akili

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga957912 күн бұрын

    Kumbe nikweli ulitumbuliwa hunaelim mazungumuzo Yako niyamtu hajaendashule

  • @GiseracharlesGiseracharles
    @GiseracharlesGiseracharles12 күн бұрын

    Kweli walisema duniani Kuna watu na viatu GB 64 nikiatu tuu

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu12 күн бұрын

    Awez ondoka yanga ongeza kufikiria

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p12 күн бұрын

    Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili

  • @kitengekitenge4881
    @kitengekitenge488112 күн бұрын

    Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe519213 күн бұрын

    3:47 imeisha iyo

  • @IsmailHija
    @IsmailHija12 күн бұрын

    Ki azizi bado yupo yanga

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo213812 күн бұрын

    Halafu anajifanya alikuwa mwalimu

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi12 күн бұрын

    Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi12 күн бұрын

    Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws12 күн бұрын

    Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k13 күн бұрын

    Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂

  • @Dewizzyommy

    @Dewizzyommy

    13 күн бұрын

    🤣🤣 wew jau kinoma

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo630213 күн бұрын

    Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi

  • @mudywambash6684
    @mudywambash668412 күн бұрын

    Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha275312 күн бұрын

    Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta400012 күн бұрын

    Mhuuu huna akili ww wangejua wakuache lokapu kumbe jinga pori

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando12 күн бұрын

    Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi

  • @JeladiMtengwa-p6v
    @JeladiMtengwa-p6v13 күн бұрын

    namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje898013 күн бұрын

    Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa

  • @subiralema
    @subiralema12 күн бұрын

    Punguzeni maneno kasharudi😂😂😂😂😂

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi13 күн бұрын

    Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani

  • @peterpain5594
    @peterpain559413 күн бұрын

    Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga

  • @richardrashidi7878
    @richardrashidi787811 күн бұрын

    Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy12 күн бұрын

    Yani azizi kii acheze shirikisho unaumwa wewe laana tumia akili kuma wewe

  • @mudywambash6684
    @mudywambash668412 күн бұрын

    Kachane nywelewweeeee

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini12 күн бұрын

    Mshabakwa teary nyieee😂

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h13 күн бұрын

    Sema mdogo wangu ukweli

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa361213 күн бұрын

    Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani

  • @twahamapande2702
    @twahamapande270212 күн бұрын

    Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti

  • @AlfredEssau
    @AlfredEssau13 күн бұрын

    Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l12 күн бұрын

    HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU

  • @kamanda7703
    @kamanda770313 күн бұрын

    Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri13 күн бұрын

    Sikia ili tahira maskini yamungu

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana13 күн бұрын

    Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru162913 күн бұрын

    Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg13 күн бұрын

    Kolo wanaridhika haraka

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo13 күн бұрын

    Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.

  • @NduwimanaMoussa-bu3ic
    @NduwimanaMoussa-bu3ic13 күн бұрын

    Wegb.unaropoka.sana.mwisho.naweye.namsemaji.wenu.mtayibika.mnepigwa.kufra.azizik.hajasaini.hukumuona.mamayake.wakati.alikuwa.hapa.kaenda.nampunga.wamyaka.miwili.ya.z.aziziki.mtaropoka.sana

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv695813 күн бұрын

    We akili una

  • @peterpain5594
    @peterpain559413 күн бұрын

    Mhhhh!!! Ww mtego huo Aziz yupo

  • @hassannickson7654
    @hassannickson765412 күн бұрын

    Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo

  • @SaidSammedia
    @SaidSammedia13 күн бұрын

    Gb umeishiwa ww roho yakutapatapa

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa83813 күн бұрын

    YANGA WAONGO

  • @AndrewBernard-l3j
    @AndrewBernard-l3j13 күн бұрын

    Mmh hata hujui kitu

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587113 күн бұрын

    😂😂😂😂 kweli huyu boya Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂 Huyu hajui yanga ni mafya Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson447413 күн бұрын

    Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson447413 күн бұрын

    Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu12813 күн бұрын

    Mnapata taaaabu kumuingelea Azizi Kii badala mjipange,sivyo mtapikwa 12😂😂😂

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546213 күн бұрын

    Kumbe we MBUMBUMBU kweli

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp13 күн бұрын

    Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid112913 күн бұрын

    Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo630213 күн бұрын

    Ndio maana uliwekwa ndani

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d13 күн бұрын

    Yanga wanasafiri wazee wa tasafu

  • @user-xm7ew1uj1g
    @user-xm7ew1uj1g13 күн бұрын

    Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo

  • @Juliusbagasheki
    @Juliusbagasheki13 күн бұрын

    Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!

  • @bashirjama8225
    @bashirjama822513 күн бұрын

    Hujamuelewa hajasema anakuja simba

  • @mmewaswida
    @mmewaswida13 күн бұрын

    Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu. Mwehu tu huyu

  • @hamisibakari6525
    @hamisibakari652513 күн бұрын

    Etii nilikuwa mwalim

  • @mirajiali3926
    @mirajiali392612 күн бұрын

    Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza

  • @RehemaAbdala-kp9dz
    @RehemaAbdala-kp9dz13 күн бұрын

    hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f13 күн бұрын

    achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt13 күн бұрын

    Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
    @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf13 күн бұрын

    Huna akili wew

  • @user-xt9ne1mx1c
    @user-xt9ne1mx1c13 күн бұрын

    Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu

  • @nasseralshaibani6995
    @nasseralshaibani699513 күн бұрын

    Viwango gani? Kucheza na majini

  • @matiankomola2391

    @matiankomola2391

    11 күн бұрын

    Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!

  • @nasseralshaibani6995

    @nasseralshaibani6995

    10 күн бұрын

    @@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry13 күн бұрын

    Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza13 күн бұрын

    Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    13 күн бұрын

    Kolombangula

  • @user-lg3mv3ny4c
    @user-lg3mv3ny4c13 күн бұрын

    Kwani ameondoka?

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g13 күн бұрын

    Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka

  • @user-xt4ev4vp7q
    @user-xt4ev4vp7q12 күн бұрын

    Kwel kiboko yao mangungu😂

  • @Faridagongo
    @Faridagongo13 күн бұрын

    Ya wenzenu je nyie chama kawatendea mangap mbona mnamdharau mmesahau lini

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor852813 күн бұрын

    Kifariji 😅😅

  • @mudywambash6684
    @mudywambash668412 күн бұрын

    Jeziimefubaa iyo boya ww

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba13 күн бұрын

    Hahaaaaaaaaa

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m13 күн бұрын

    Msikilize mzee wa kudele

  • @abbyn.mwamba
    @abbyn.mwamba13 күн бұрын

    wewe acha kubishana na watu wapo kalibu na viongozi

  • @user-zd9dx8lv5t
    @user-zd9dx8lv5t13 күн бұрын

    😂😂

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k13 күн бұрын

    Twaja kukupiga vibao

Келесі