Dizasta Vina - Nobody is safe 5
Музыка
Official lyric video of Dizasta Vina perfoming Nobody is safe 5
Prod by Ringle Beatz
Stream/Download NIS 5
Mdundo - mdundo.com/song/2814662
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Boomplay - www.boomplay.com/share/music/...
Apple music - / nobody-is-safe-5-single
Lyrics
So hii kalamu ikisimama na kuanza kutupa wino
Watoto utasikia "mom look Superhero".
Sivunji bars na-Storm out, Like I'm the one
Who let the dogs out, Scofield navuka wigo
Alafu na-fly far (Shuu)
Aftermath natoa salamu kwa survivors
Ukoo wa mbuzi unawapa high five, niko busy na mkwanja
Na ndio maana sionekani viwanja ka' vile sikai Dar
Game kazi siku hizi mama anafahamu
Ala tamu inaongea alama, Binadamu
Niko salama natoa salamu bila damu
Kwa kipaza nasambaza karama ya hii kalamu
Sikutaka kutoka niliingia chaka
Nikatulia nikaisoma dunia utafikiria NASA
Nikawa fear factor, nikashika njia
Wabia wakanihofia kama wanavyoihofia Cancer
Hii ni Beyond your high definition
Naona mbali utadhania tai, hii vision
Ni ya kutafuta material sikai ili nilishwe
Moves kama Spy kwenye mission Ni**er
Badili spana hii ni Volvo
Walifunga mageti kwa maana ligi ndogo
Leta paper kubwa mchizi nachana si kitoto
Mi ni nyoko waulize Wagaga-gigi-koko
Waliokuwa hawakomi wanakoma
Walikuwa vipofu hawakuona navyochoma
Homa, Nikitua kwenye mwili huwa ni joto
Vyuoni ka' Dodoma na Sua wananisoma
Na huu ni wimbo kwa ma-Hustler
Walio-focus kwa maana flow ni za kimasta
Na-flip topic utadhani Flip Mode Busta
Rhymes utahisi Bro Langa
Eyo eyo kwa Insha na methali
Nawazika ka Ujamaa ulivyozikwa na Ubepari
Nishachoka na uongo so nafoka mpaka mtondogoo
Kwa world class Protocal, Internationally
Sina big team, nina big pen brother
Niki-grip unaweza sema Slim Shady kaja
Achana na kids hawa sixth grade rappers
Kisha pick me Dizasta mi' ni 50 shades darker
Hizi tenzi ni pure, Niko real toka enzi nakua
Nili-rap kabla mapenzi sijajua
Kwenye game wanavyoenzi majuha
Wana track mbovu na wanafanya Media tours
Now I'm mad (really mad), Sitaki hoji what next
Ni-focus kwenye page za kishost na kuvex? Nah
Sipigi mbonji niko resi kama Race car Si-dodge dodge
Wala siweki Emoji kwenye text
Jina Vina na kazi ni mistari
Maisha yangu hadithi jamaa hii ndo' dibaji
Nawakilisha machizi ambao vichwa ni madini
Sifanyi masaji nafanya mauaji ya kimbali
Ona nawazidi nguvu wanahisi labda JUJU
kumbe ni skills fulani new new
Iwe Kung Fu ama Wushu japo sio New school
Bado logo ni classic kama FUBU
Panorama kitambo bado sugu
Ndugu watachanga michango ukijitusu
Nitakushangaa ukija bila plan kwenye Battle
Maana unahitaji kiwango na mipango kunimudu
NImeshiba contents cheki KZread
Nina material priceless kwenye fuvu
Japo wanaziba ili nisi-trend kama Dudu
Sizifuati trend, trend na-create kama Mungu
Niko shega Bro
Genius ni Understatement half Man half God Paradox
Niite Vina just for lack of the better words
Literally, yet metaphorically undebatable
Huwezi 'amini mambo ambayo ubongo una-solve
I;ve been tested couple of times madokta wanahofu
Linapotajwa jina langu marapa wanatokwa na povu
Mi ni Ndovu walisha-approve Ngosha na Prof
Natia chata kwenye list ya ma-Veteran
Tunaopamba beat kama binti mwenye pete yaani
Chagua jumba la sanaa uchukue kiti uketi ndani
Au uendelee ku-search role model wako anam-date nani
Top tiers wako hawafai kwenye hii selection
Kutafsiri inahitaji classes na deep sessions
Dunia ilianzaje? Ukifa unaenda wapi?
Sijui yai sijui kuku you know, that kind of big Questions
I'm a street Legend haisumbui sana
Kutambua maana sideki ka' simjui Mama
Kamuulizeni Mr. Kuvichaka atawaambia
Nishakula vichaka utadhania Mbuzi kaja
Najua nitakuwa Star that's not my major dream
Stardom is for little kids legacy's the better thing
Nataka kuwa Rapman next to Ringle Beatz Spiderman
And Panorama is the Avenger team
Wasakatonge tuko fiti hatulei mboga
Na size ya bendi ni big everyday ngoma
Bado mistari ni mingi haienei folder
Dizasta Vina si Michael B ni Michael A Jordan
Kipindi sina deal street nishatukanwa nika-chill
Nikawa focus inaitwa Stamala
Mbishi nang'ang'ana siishi kwa mama
Popote yalipo mamkwanja ya kumwaga naishi mkabara
nachekecha mamkwanja baada ya kutwanga na
Kupepeta hasira ka' ndo' naanza kumbe star
Nimefika kwa movie hii...
Nina fan base bila Mchomvu na B Twangala
Kuna wana walijaribu kuwa mimi yoo
Yaani kuwa Off the Stream and yet clinical
Walicopy flows instruments na video.
Walinikuta wakaja wakaondoka ka' Menstrual Period
Mi' sio Budha Budah
I look friendly ndio maana marapa wanakujakuja
Wananizoea kiboya naishia kuwafunza Lugha
Ningewafundisha kuongea na wake zao ila nachunga muda
Label zinawapiga mitungo hatuongei
Verse lundo mfuko bei
Niliwaheshimu sana wadau, mkaja mkasema hailipi
Mkaendekeza kiki alafu mkaja mkampa tuzo Ney
Mashabiki nao wanadisi kwanini sionekani
Wakati kila zinapotajwa list huwa sikosekani....
Read more
genius.com/Dizasta-vina-nobod...
Пікірлер: 795
Unaweza kununua album ya #AFF. inapatikana kwa Email, whatsApp au Telegram kwa shilingi 10,000 tu. Mpesa 0762 158871 Tigo pesa 0655 696811 Jina Edger Vicent Mwaipeta
@raphaelkaswahili323
5 ай бұрын
Mkuu tushazoea kusikiliza, audio. .... Haya mambo ya video yanatuchanganya 😂😂😂❤❤❤❤
@user-nz6rs9vn3t
5 ай бұрын
Me ntanunua wiki ijayoo kaka
@danielngove
5 ай бұрын
Respect man .
@user-xi9hw4vg9r
5 ай бұрын
Unyama umeua sana
@Evo_Tv1
5 ай бұрын
😂😂😂😂@@raphaelkaswahili323
Msanii wakwnza Africa ambye naweza nikavaa htantshet yenye Jina lake au picha yke na nikawa proud and comfotable... Wasanii wengne wte africa cwezi baado,
Ukinikata kwa kiwembe damu yangu DIZASTA MTUPU.nikiamka nikila nikilala ...daah! Sisemi sana.wacha tu! Huyu Mwamba ni natural talented.nampeperushia bendera toka Kenya Mombasa..mitaa ya Mtwapa mzambarauni.💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Natia chata kweny list ya maveterani/ Wanaopamba bit kama binti mwenye pete yani/ Chagua jumba la sanaa uchukue kitu uketi ndani/ Au undelee kusearch role modo wako anamdate nani?/ ZUCHUUUU MAMAMAEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Usisahau Kumsapoti Mwana, Kwa Kununua Albam Yake... Shule Ya Critical Thinker!
Tumsifie mwana na kumpa support ya kununua Albamu....ukinunua hiyo albamu hautojutia.....kuna kazi kama TOP SHELF, MWANASESERE, CHUPA MOJA YA ZIADA, NOT HERO.... aisee wiki ya pili hii sijaichoka
@ayubukaduma1017
5 ай бұрын
Hiyo album wap inapatikana
@noelphilipmollel6355
5 ай бұрын
@@ayubukaduma1017 cheki pinned msg hapo juu
@mugadimon3563
5 ай бұрын
@@ayubukaduma1017anaiuza shilingi 10,000/= anakutumia kwa e-mail, watsup&telegram
@omaryhalfani-ge1fi
5 ай бұрын
kuna hiyo a confenssion of mad father kuna hiyo theluji
@hamzazianmisana508
5 ай бұрын
Last confession ni hatari sana
Unachagua maneno vizuri sana Vina..Special special ability
Ukoo wa MBUZI unawapa salaam HIGH 5......🔥🔥🔥
Mwanetu Saizi Kachangamka Sana Sijutii Kuwa Shabiki Ake Sijutii Kununua Albam
Dizasta Vina is NOT the Tanzanian Kendrick Lamar. He is The Tanzanian Dizasta Vina. His acumen and skill set doesn't need any validative comparisons. He writes for us, defines us and represents us.
Tunaomkubali dizasta vina tujuane
Najua nitakuwa Star that's not my major dream Stardom is for little kids legacy's the better thing
Mnunue Album wazee.. hii michano watu zaidi yya wiki 2 sasa... so tu-show true support wazee..... PARADOX
@mugadimon3563
5 ай бұрын
Tayari tushachukua
Hadimu kama mythical creature Lyrical teacher naacha case ya criminal kisha napotea kwenye SURFACE siachi PHYISICAL FEATURE naacha HISTORY na ELIMU to every CRITICAL THINKER DZSTVN 🧠🙌♥️🙏
Nlitamani kua Artist alivotokea DIZASTA nikaaacha For Him kashaimba kula kitu ntaimba nn
Kumbe star nimefika kwa movie hii Dadandandaaaaaa 🔥🔥
Walikuja na Kuondoka kama Menstral Period….. Qudadeki
Msimshindanishe tena uwezo wake umejitoshereza
katoto kajuzi ndokalikuwa kanataka kufosi bato 🤕🤕hapa 😎😎 dizasta vina karvina la michano woooh🎧🎧🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
tulionunua album tujuane hapa 🌋
@abdulmohd6880
5 ай бұрын
Niliilipia 10000 na black Maradona mapema sn alinipatia mzee magoma yote yamenikosha ila hii na Hatia Vi n zaidi ya noma
@dunstunnchimbi7994
5 ай бұрын
Tupo brother. Wazee wa kusikiliza Interlude ya Hatia VI
@mulanmike1997
5 ай бұрын
@@abdulmohd6880 safi tusupport kazi yake aisee 🫧
@mulanmike1997
5 ай бұрын
@@dunstunnchimbi7994 ewaaaaa maridadi kabisaa
@abdulshakoursalumsaid7125
5 ай бұрын
@@dunstunnchimbi7994 😅 naiskilizaga sana ile interlude jamaa wanavyobishan.
System ni ya kiwaki tuu mwanangu ila unastahili zaidi.
Video bora kabisa ya hip hop kwa mwaka 2024❤❤❤
3:16 Nimeshiba contents, cheki KZread// Nna material priceless, kwenye fuvu// Japo wanaziba ili nisitrend, kama Dudu// Sizifuati trend, trend nacreate kama Mungu/. Aloo Dizasta ni Noma.
Najivunia kua shabiki yako Mzee nanilikua nasubiri nobody Is safe5 jiwee
Dhambi zote za dizasta naziomba nan anazo!? Azilete.... This guy is alien 👽
@user-ox3tg6sx4z
5 ай бұрын
Me nampa miaka yangu mitano ya kuishi duniani
Fika ghetto pika ugali wako na nyama, kula ushibe then njoo ckiliza hii ngoma😊 Utanishukuru badae
Nyie watoto WA 2050 uyu jamaaa ni hatal kwa wakati wetu jifunze vitu humuuu
Kuna jambo dogo ambalo hata watoto hawajatambua kwamba kuna joto ila dizasta ni wa moto kushinda jua
Herufi za hii keyboard hazitoshi kuutukuza ufundi huu.
Rapcha, lunya, njoo mjifunze 😂😂😂. Nakushangaa Ukija Bila Plan Kwenye Battle
Uuh mwaka auishii kaka tobo letu kubwa kitanzania nia nia mpaka kuku akujue mana muda wako kaka nakujua na nilijua hipo siku dunia itakujua
Mambo ndio hayo sasa, mwana kaiteka hip hop, nani anabisha?
Kuliko anaye sema elimu ni ufunguo wa maisha Bora ni msikilize disaster vina Kuna kitu Nita pata
Mwambamm sina mengi the way I feel about your lyrics ALLAH ndoanajua 🙏🙏
Vinaa hiyo album nipe uelekeo naipataje . Umetisha nyimbo n makin
Diizasta vinaaa..! Kaka nmeanza kukufatilia cku c nyingi sana, tena nmeanza sababu ya mdogo angu..unaua sana bro no lie 🔥🔥
Bro 🎉🎉🎉 mwenye atakae mfananisha huyu bro na msanii wowote bongo atakua katukosea heshima sisi kama fans wa good music 🎉🎉🎉
Niko bize na mkwanja, na ndio maana sionekani viwanja, kama vile sikai Dar
Ifike atua TANZANIA tumshukuru MUNGU kwaajirinya DIZASTA VINA
Ambao atuchoki kutazama na kuskiliza hii like hapa
Walisha prove Ngosha na Prof.. Sisi ni zuzu tukatae kuwa wewe SI Lryical teacher. Nataka Album Leo.
Jina Vina, na. Kazini mistari.... DIZASTA VINA
no body is fukn saafeee damn it Mr. Morale pass me the album man this joint is Rock
My childs wako na two options , listening to dizasta vina masterpieces au wakajenge nyumba yao wakafie mbali
Rappers mnamskilizagaa uyu mwenzenuu kweliii jifunzenii kitu jamaa akilii kubwaa sana uyuuu
Mdundo wa ringo beat💥michano ya maradona 💯
Daah kama baba angu angekuwepo ningemwambia dizasta ni nani.. na kila siku niimbe nyimbo moja kabla ya kwenda shule na kulala🔥🔥
Van ghor mzee wa kuwapa kizungzungu ukishade layers
Bro u knew mbaya mbovu kinyama yani daah no one bro mmh nimeilewa sana mmh akili nyingi sana zimetumika humu ndan kamaa ufikirii mbali u never know what u means ndani yaii song mmh maaana umenifunza vingi kwenye hii song ✍️🎵🎶🎵🇹🇿♥️ Vina God bless you and lam so proud to be ur fans ,live more bro
☠️🚀blaza wew n commando🙉
Big love from kenya🇰🇪kijana hatari...Badili spana hii ni volvo.
Mashabiki tuna uriza kwann hauonekan wakati kwenye kira risti haukosekan.. Vina mtu mbaya
We need To Goo Number 1 On Trending Oooh My Genius DIZASTA 22 Now❤
Jamaa.." akili yake KUBWA sana...Cjawah ona wa kumlinganisha nae labda kidoogo tena kwa mbaali NGOSHA
Game recognizes game ✌🏽... Aliegundua Dizasta kavaa t-shirt ya Album Cover ya Fivara anyooshe kidole 😅
from kenya nampa sikio kuma ww kama humpendi dizasta..juju kumbe nislay queen kama nunu
bro u getting better and better acha na tungo kideo cha hiphop iki apa
Foleni kubwa sana me nacoment wapi sasa 😂
Adimu kama mythical creature, lyrical teacher, naacha case ya criminal kisha, napotea kwenye surface siachi physical feature, naacha history na elimu to every critical thinker.
@stapinuswilliam860
5 ай бұрын
Complete mcee, punchlines,lyrical ,flow zawadi kubwa!mitaa ipo salama tutasimulia vizazi
Dizasta vina ni mkali hizi nyimbo zatakiwa ziingizwe kidato wanafunzi wajifunze vitu
Video na beat napata feeling kama nipo kwenye Grand Theft Auto (GTA)😊😊😊
Badili Spana Hii ni volvo 😂🙌🙌🙌🙌
missed part ya kikosi kazi, i said that kitambo, .. am speechless... leo nanunua albam
Daaaaaaa huyu dogo rapper mkali sana tumpe sapoti wabongo na East African kwa ujumla
Dizasta vinaaaa,,, umetisha sana mkuu God bless 2024 tumeanza na confidence ya hali ya juu
"Nina materials priceless kwenye fuvu" Vina
Mshikaji wangu dizasta unaua sana Salute
Genius ni uñderstatement, half man half god paradox!!!💯🔥🙌
2088 still listening to this one 🔥🔥🔥 DIZASTA RUSSIA
Dizasta vina hujawahi kukosea
Nani kaona dizasta kavaa rozali 😂😂
JINIIII 🎉🎉🎉
RINGOBEATZ🔥🔥🔥💯🎶 dundo la kubwa mno
NO BODY IS SAFE ....🔥🔥🔥 Bro we Ni LEGEND....+ ...WORRIOR
Welcome kispotii sinza mapambano broo ur hm
Ndugu watachanga michango ukitusu
fan base bila Mchomvu na B.Twangaalaaaaaa.......
Nakubaliana nawe
,, So hii kalamu ikisimama nakuanza kutupa wino Watoto utasikia mom look super hero,
Na fanibes bila mchomvu na b,twangalaaa hahahahaha Nouma we nu nyOko
Ambae hataki kukubali Mbishi tu bro. For real Unairudisha hip hop nyumbani sasa
Role model wako anamcheat nani (zuchuu) 😂😂😂😂
We jamaa ungezaliwa marekani ungekuwa j cole ila ndo ivo bongo nyoso kaka dah
Oyaaa hizi Visuals✊🏽
We Ni Rapa Nyokoooooo
Kendrick Lamar wetu 🔗
I wish ufungue chuo cha rap,mcs wajifunze kabla hawajaingia sokoni,it is good for the industry,no hard feelings,kwa level yako ifike mahala serikali iingilie kati kuwe na recognition za watu kama wewe
@paulomesarieki309
5 ай бұрын
Yeah man
Me ninyoko waulize wagaga gigikoko😮😊
Sina big tim
Mwacheee afanye mapinduz ya hip hop
THIS VISUALS ARE QUALITY 🔥🔥 KEEP BEING MODERNIZED MASTER
Kiukweli jamaa hapa Tz yupo peke yake aisee - jamaa anajua mpaka masikio jipata 💥🎉🔥🔥🇹🇿
best rapper ever in our country dizasta
Kio wajamii darasa wazi ❤tuishi kihipap
Wana track mbovu na wanafanya media tour 😂
Kidmange na vina adi kigoma kasulu
@benardmisaba5196
5 ай бұрын
Umetuwakilisha mapema mno
@detlantamarooned1809
5 ай бұрын
Dizasta Vina mpaka Buhingwe - Manyovu. That's very sure, Dizasta Vina ni wamoto kushinda Jua.
Ukoo wa MBUZI (G.O.A.T-Greatest Of Time) unawapa High Five
Huwezi kusikiliza nyimbo ya Dizasta mara moja na ukaielewa.
🐐🐐🐐
Hip hop is back