Dizasta Vina - Nobody is safe 5

Музыка

Official lyric video of Dizasta Vina perfoming Nobody is safe 5
Prod by Ringle Beatz
Stream/Download NIS 5
Mdundo - mdundo.com/song/2814662
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Boomplay - www.boomplay.com/share/music/...
Apple music - / nobody-is-safe-5-single
Lyrics
So hii kalamu ikisimama na kuanza kutupa wino
Watoto utasikia "mom look Superhero".
Sivunji bars na-Storm out, Like I'm the one
Who let the dogs out, Scofield navuka wigo
Alafu na-fly far (Shuu)
Aftermath natoa salamu kwa survivors
Ukoo wa mbuzi unawapa high five, niko busy na mkwanja
Na ndio maana sionekani viwanja ka' vile sikai Dar
Game kazi siku hizi mama anafahamu
Ala tamu inaongea alama, Binadamu
Niko salama natoa salamu bila damu
Kwa kipaza nasambaza karama ya hii kalamu
Sikutaka kutoka niliingia chaka
Nikatulia nikaisoma dunia utafikiria NASA
Nikawa fear factor, nikashika njia
Wabia wakanihofia kama wanavyoihofia Cancer
Hii ni Beyond your high definition
Naona mbali utadhania tai, hii vision
Ni ya kutafuta material sikai ili nilishwe
Moves kama Spy kwenye mission Ni**er
Badili spana hii ni Volvo
Walifunga mageti kwa maana ligi ndogo
Leta paper kubwa mchizi nachana si kitoto
Mi ni nyoko waulize Wagaga-gigi-koko
Waliokuwa hawakomi wanakoma
Walikuwa vipofu hawakuona navyochoma
Homa, Nikitua kwenye mwili huwa ni joto
Vyuoni ka' Dodoma na Sua wananisoma
Na huu ni wimbo kwa ma-Hustler
Walio-focus kwa maana flow ni za kimasta
Na-flip topic utadhani Flip Mode Busta
Rhymes utahisi Bro Langa
Eyo eyo kwa Insha na methali
Nawazika ka Ujamaa ulivyozikwa na Ubepari
Nishachoka na uongo so nafoka mpaka mtondogoo
Kwa world class Protocal, Internationally
Sina big team, nina big pen brother
Niki-grip unaweza sema Slim Shady kaja
Achana na kids hawa sixth grade rappers
Kisha pick me Dizasta mi' ni 50 shades darker
Hizi tenzi ni pure, Niko real toka enzi nakua
Nili-rap kabla mapenzi sijajua
Kwenye game wanavyoenzi majuha
Wana track mbovu na wanafanya Media tours
Now I'm mad (really mad), Sitaki hoji what next
Ni-focus kwenye page za kishost na kuvex? Nah
Sipigi mbonji niko resi kama Race car Si-dodge dodge
Wala siweki Emoji kwenye text
Jina Vina na kazi ni mistari
Maisha yangu hadithi jamaa hii ndo' dibaji
Nawakilisha machizi ambao vichwa ni madini
Sifanyi masaji nafanya mauaji ya kimbali
Ona nawazidi nguvu wanahisi labda JUJU
kumbe ni skills fulani new new
Iwe Kung Fu ama Wushu japo sio New school
Bado logo ni classic kama FUBU
Panorama kitambo bado sugu
Ndugu watachanga michango ukijitusu
Nitakushangaa ukija bila plan kwenye Battle
Maana unahitaji kiwango na mipango kunimudu
NImeshiba contents cheki KZread
Nina material priceless kwenye fuvu
Japo wanaziba ili nisi-trend kama Dudu
Sizifuati trend, trend na-create kama Mungu
Niko shega Bro
Genius ni Understatement half Man half God Paradox
Niite Vina just for lack of the better words
Literally, yet metaphorically undebatable
Huwezi 'amini mambo ambayo ubongo una-solve
I;ve been tested couple of times madokta wanahofu
Linapotajwa jina langu marapa wanatokwa na povu
Mi ni Ndovu walisha-approve Ngosha na Prof
Natia chata kwenye list ya ma-Veteran
Tunaopamba beat kama binti mwenye pete yaani
Chagua jumba la sanaa uchukue kiti uketi ndani
Au uendelee ku-search role model wako anam-date nani
Top tiers wako hawafai kwenye hii selection
Kutafsiri inahitaji classes na deep sessions
Dunia ilianzaje? Ukifa unaenda wapi?
Sijui yai sijui kuku you know, that kind of big Questions
I'm a street Legend haisumbui sana
Kutambua maana sideki ka' simjui Mama
Kamuulizeni Mr. Kuvichaka atawaambia
Nishakula vichaka utadhania Mbuzi kaja
Najua nitakuwa Star that's not my major dream
Stardom is for little kids legacy's the better thing
Nataka kuwa Rapman next to Ringle Beatz Spiderman
And Panorama is the Avenger team
Wasakatonge tuko fiti hatulei mboga
Na size ya bendi ni big everyday ngoma
Bado mistari ni mingi haienei folder
Dizasta Vina si Michael B ni Michael A Jordan
Kipindi sina deal street nishatukanwa nika-chill
Nikawa focus inaitwa Stamala
Mbishi nang'ang'ana siishi kwa mama
Popote yalipo mamkwanja ya kumwaga naishi mkabara
nachekecha mamkwanja baada ya kutwanga na
Kupepeta hasira ka' ndo' naanza kumbe star
Nimefika kwa movie hii...
Nina fan base bila Mchomvu na B Twangala
Kuna wana walijaribu kuwa mimi yoo
Yaani kuwa Off the Stream and yet clinical
Walicopy flows instruments na video.
Walinikuta wakaja wakaondoka ka' Menstrual Period
Mi' sio Budha Budah
I look friendly ndio maana marapa wanakujakuja
Wananizoea kiboya naishia kuwafunza Lugha
Ningewafundisha kuongea na wake zao ila nachunga muda
Label zinawapiga mitungo hatuongei
Verse lundo mfuko bei
Niliwaheshimu sana wadau, mkaja mkasema hailipi
Mkaendekeza kiki alafu mkaja mkampa tuzo Ney
Mashabiki nao wanadisi kwanini sionekani
Wakati kila zinapotajwa list huwa sikosekani....
Read more
genius.com/Dizasta-vina-nobod...

Пікірлер: 795

  • @dizastavina
    @dizastavina5 ай бұрын

    Unaweza kununua album ya #AFF. inapatikana kwa Email, whatsApp au Telegram kwa shilingi 10,000 tu. Mpesa 0762 158871 Tigo pesa 0655 696811 Jina Edger Vicent Mwaipeta

  • @raphaelkaswahili323

    @raphaelkaswahili323

    5 ай бұрын

    Mkuu tushazoea kusikiliza, audio. .... Haya mambo ya video yanatuchanganya 😂😂😂❤❤❤❤

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    5 ай бұрын

    Me ntanunua wiki ijayoo kaka

  • @danielngove

    @danielngove

    5 ай бұрын

    Respect man .

  • @user-xi9hw4vg9r

    @user-xi9hw4vg9r

    5 ай бұрын

    Unyama umeua sana

  • @Evo_Tv1

    @Evo_Tv1

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂​@@raphaelkaswahili323

  • @Fundikichwa
    @Fundikichwa5 ай бұрын

    Msanii wakwnza Africa ambye naweza nikavaa htantshet yenye Jina lake au picha yke na nikawa proud and comfotable... Wasanii wengne wte africa cwezi baado,

  • @duveehducci9380
    @duveehducci93805 ай бұрын

    Ukinikata kwa kiwembe damu yangu DIZASTA MTUPU.nikiamka nikila nikilala ...daah! Sisemi sana.wacha tu! Huyu Mwamba ni natural talented.nampeperushia bendera toka Kenya Mombasa..mitaa ya Mtwapa mzambarauni.💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @eddiedonald7483
    @eddiedonald74835 ай бұрын

    Natia chata kweny list ya maveterani/ Wanaopamba bit kama binti mwenye pete yani/ Chagua jumba la sanaa uchukue kitu uketi ndani/ Au undelee kusearch role modo wako anamdate nani?/ ZUCHUUUU MAMAMAEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @daktariwamauzo
    @daktariwamauzo5 ай бұрын

    Usisahau Kumsapoti Mwana, Kwa Kununua Albam Yake... Shule Ya Critical Thinker!

  • @noelphilipmollel6355
    @noelphilipmollel63555 ай бұрын

    Tumsifie mwana na kumpa support ya kununua Albamu....ukinunua hiyo albamu hautojutia.....kuna kazi kama TOP SHELF, MWANASESERE, CHUPA MOJA YA ZIADA, NOT HERO.... aisee wiki ya pili hii sijaichoka

  • @ayubukaduma1017

    @ayubukaduma1017

    5 ай бұрын

    Hiyo album wap inapatikana

  • @noelphilipmollel6355

    @noelphilipmollel6355

    5 ай бұрын

    @@ayubukaduma1017 cheki pinned msg hapo juu

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    5 ай бұрын

    ​@@ayubukaduma1017anaiuza shilingi 10,000/= anakutumia kwa e-mail, watsup&telegram

  • @omaryhalfani-ge1fi

    @omaryhalfani-ge1fi

    5 ай бұрын

    kuna hiyo a confenssion of mad father kuna hiyo theluji

  • @hamzazianmisana508

    @hamzazianmisana508

    5 ай бұрын

    Last confession ni hatari sana

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount5 ай бұрын

    Unachagua maneno vizuri sana Vina..Special special ability

  • @is-mailh.makame5420
    @is-mailh.makame54205 ай бұрын

    Ukoo wa MBUZI unawapa salaam HIGH 5......🔥🔥🔥

  • @pilatoguiter8994
    @pilatoguiter89945 ай бұрын

    Mwanetu Saizi Kachangamka Sana Sijutii Kuwa Shabiki Ake Sijutii Kununua Albam

  • @dariusmsagha
    @dariusmsagha5 ай бұрын

    Dizasta Vina is NOT the Tanzanian Kendrick Lamar. He is The Tanzanian Dizasta Vina. His acumen and skill set doesn't need any validative comparisons. He writes for us, defines us and represents us.

  • @programtz
    @programtz5 ай бұрын

    Tunaomkubali dizasta vina tujuane

  • @DirectorDeiv
    @DirectorDeiv5 ай бұрын

    Najua nitakuwa Star that's not my major dream Stardom is for little kids legacy's the better thing

  • @jephramso
    @jephramso5 ай бұрын

    Mnunue Album wazee.. hii michano watu zaidi yya wiki 2 sasa... so tu-show true support wazee..... PARADOX

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    5 ай бұрын

    Tayari tushachukua

  • @josephmtingwa8387
    @josephmtingwa83875 ай бұрын

    Hadimu kama mythical creature Lyrical teacher naacha case ya criminal kisha napotea kwenye SURFACE siachi PHYISICAL FEATURE naacha HISTORY na ELIMU to every CRITICAL THINKER DZSTVN 🧠🙌♥️🙏

  • @user-fj1lu9nh2t
    @user-fj1lu9nh2t5 ай бұрын

    Nlitamani kua Artist alivotokea DIZASTA nikaaacha For Him kashaimba kula kitu ntaimba nn

  • @KadTheGenesis
    @KadTheGenesis5 ай бұрын

    Kumbe star nimefika kwa movie hii Dadandandaaaaaa 🔥🔥

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta5 ай бұрын

    Walikuja na Kuondoka kama Menstral Period….. Qudadeki

  • @user-xz5xe1ye2s
    @user-xz5xe1ye2s5 ай бұрын

    Msimshindanishe tena uwezo wake umejitoshereza

  • @MuyaBarton
    @MuyaBarton5 ай бұрын

    katoto kajuzi ndokalikuwa kanataka kufosi bato 🤕🤕hapa 😎😎 dizasta vina karvina la michano woooh🎧🎧🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mulanmike1997
    @mulanmike19975 ай бұрын

    tulionunua album tujuane hapa 🌋

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    5 ай бұрын

    Niliilipia 10000 na black Maradona mapema sn alinipatia mzee magoma yote yamenikosha ila hii na Hatia Vi n zaidi ya noma

  • @dunstunnchimbi7994

    @dunstunnchimbi7994

    5 ай бұрын

    Tupo brother. Wazee wa kusikiliza Interlude ya Hatia VI

  • @mulanmike1997

    @mulanmike1997

    5 ай бұрын

    @@abdulmohd6880 safi tusupport kazi yake aisee 🫧

  • @mulanmike1997

    @mulanmike1997

    5 ай бұрын

    @@dunstunnchimbi7994 ewaaaaa maridadi kabisaa

  • @abdulshakoursalumsaid7125

    @abdulshakoursalumsaid7125

    5 ай бұрын

    ​@@dunstunnchimbi7994 😅 naiskilizaga sana ile interlude jamaa wanavyobishan.

  • @piussungwa5386
    @piussungwa53865 ай бұрын

    System ni ya kiwaki tuu mwanangu ila unastahili zaidi.

  • @kherisalum6304
    @kherisalum63045 ай бұрын

    Video bora kabisa ya hip hop kwa mwaka 2024❤❤❤

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87675 ай бұрын

    3:16 Nimeshiba contents, cheki KZread// Nna material priceless, kwenye fuvu// Japo wanaziba ili nisitrend, kama Dudu// Sizifuati trend, trend nacreate kama Mungu/. Aloo Dizasta ni Noma.

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs5 ай бұрын

    Najivunia kua shabiki yako Mzee nanilikua nasubiri nobody Is safe5 jiwee

  • @Heisbry_
    @Heisbry_5 ай бұрын

    Dhambi zote za dizasta naziomba nan anazo!? Azilete.... This guy is alien 👽

  • @user-ox3tg6sx4z

    @user-ox3tg6sx4z

    5 ай бұрын

    Me nampa miaka yangu mitano ya kuishi duniani

  • @geraldmushi4445
    @geraldmushi44455 ай бұрын

    Fika ghetto pika ugali wako na nyama, kula ushibe then njoo ckiliza hii ngoma😊 Utanishukuru badae

  • @user-ft7jd1kk8n
    @user-ft7jd1kk8n5 ай бұрын

    Nyie watoto WA 2050 uyu jamaaa ni hatal kwa wakati wetu jifunze vitu humuuu

  • @mohamedissa9228
    @mohamedissa92285 ай бұрын

    Kuna jambo dogo ambalo hata watoto hawajatambua kwamba kuna joto ila dizasta ni wa moto kushinda jua

  • @jessekent5060
    @jessekent50605 ай бұрын

    Herufi za hii keyboard hazitoshi kuutukuza ufundi huu.

  • @DismasPhidason-vu6bt
    @DismasPhidason-vu6bt5 ай бұрын

    Rapcha, lunya, njoo mjifunze 😂😂😂. Nakushangaa Ukija Bila Plan Kwenye Battle

  • @user-vd4gx1nc6c
    @user-vd4gx1nc6c2 ай бұрын

    Uuh mwaka auishii kaka tobo letu kubwa kitanzania nia nia mpaka kuku akujue mana muda wako kaka nakujua na nilijua hipo siku dunia itakujua

  • @user-wx3dg6me8u
    @user-wx3dg6me8u5 ай бұрын

    Mambo ndio hayo sasa, mwana kaiteka hip hop, nani anabisha?

  • @6ix7ven
    @6ix7ven5 ай бұрын

    Kuliko anaye sema elimu ni ufunguo wa maisha Bora ni msikilize disaster vina Kuna kitu Nita pata

  • @user-hv6qw2zw2y
    @user-hv6qw2zw2y5 ай бұрын

    Mwambamm sina mengi the way I feel about your lyrics ALLAH ndoanajua 🙏🙏

  • @ayubukaduma1017
    @ayubukaduma10175 ай бұрын

    Vinaa hiyo album nipe uelekeo naipataje . Umetisha nyimbo n makin

  • @ezekielbituro7969
    @ezekielbituro79695 ай бұрын

    Diizasta vinaaa..! Kaka nmeanza kukufatilia cku c nyingi sana, tena nmeanza sababu ya mdogo angu..unaua sana bro no lie 🔥🔥

  • @yussufkhasim9021
    @yussufkhasim90215 ай бұрын

    Bro 🎉🎉🎉 mwenye atakae mfananisha huyu bro na msanii wowote bongo atakua katukosea heshima sisi kama fans wa good music 🎉🎉🎉

  • @jephramso
    @jephramso5 ай бұрын

    Niko bize na mkwanja, na ndio maana sionekani viwanja, kama vile sikai Dar

  • @bahopamontana6381
    @bahopamontana63815 ай бұрын

    Ifike atua TANZANIA tumshukuru MUNGU kwaajirinya DIZASTA VINA

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs5 ай бұрын

    Ambao atuchoki kutazama na kuskiliza hii like hapa

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel69735 ай бұрын

    Walisha prove Ngosha na Prof.. Sisi ni zuzu tukatae kuwa wewe SI Lryical teacher. Nataka Album Leo.

  • @franklissu589
    @franklissu5895 ай бұрын

    Jina Vina, na. Kazini mistari.... DIZASTA VINA

  • @calino2164
    @calino21645 ай бұрын

    no body is fukn saafeee damn it Mr. Morale pass me the album man this joint is Rock

  • @danielchale6443
    @danielchale64435 ай бұрын

    My childs wako na two options , listening to dizasta vina masterpieces au wakajenge nyumba yao wakafie mbali

  • @dismasmushi9328
    @dismasmushi93285 ай бұрын

    Rappers mnamskilizagaa uyu mwenzenuu kweliii jifunzenii kitu jamaa akilii kubwaa sana uyuuu

  • @abelmwashiuya1248
    @abelmwashiuya12485 ай бұрын

    Mdundo wa ringo beat💥michano ya maradona 💯

  • @visionally975
    @visionally9755 ай бұрын

    Daah kama baba angu angekuwepo ningemwambia dizasta ni nani.. na kila siku niimbe nyimbo moja kabla ya kwenda shule na kulala🔥🔥

  • @el-hajjel-shabbaz8078
    @el-hajjel-shabbaz80785 ай бұрын

    Van ghor mzee wa kuwapa kizungzungu ukishade layers

  • @BonMaro
    @BonMaro5 ай бұрын

    Bro u knew mbaya mbovu kinyama yani daah no one bro mmh nimeilewa sana mmh akili nyingi sana zimetumika humu ndan kamaa ufikirii mbali u never know what u means ndani yaii song mmh maaana umenifunza vingi kwenye hii song ✍️🎵🎶🎵🇹🇿♥️ Vina God bless you and lam so proud to be ur fans ,live more bro

  • @danielmtawa5064
    @danielmtawa50642 ай бұрын

    ☠️🚀blaza wew n commando🙉

  • @kelvinodera821
    @kelvinodera8215 ай бұрын

    Big love from kenya🇰🇪kijana hatari...Badili spana hii ni volvo.

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias77485 ай бұрын

    Mashabiki tuna uriza kwann hauonekan wakati kwenye kira risti haukosekan.. Vina mtu mbaya

  • @user-fj1lu9nh2t
    @user-fj1lu9nh2t5 ай бұрын

    We need To Goo Number 1 On Trending Oooh My Genius DIZASTA 22 Now❤

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam98955 ай бұрын

    Jamaa.." akili yake KUBWA sana...Cjawah ona wa kumlinganisha nae labda kidoogo tena kwa mbaali NGOSHA

  • @gerriemagic
    @gerriemagic5 ай бұрын

    Game recognizes game ✌🏽... Aliegundua Dizasta kavaa t-shirt ya Album Cover ya Fivara anyooshe kidole 😅

  • @electricaldevicesskillsand4531
    @electricaldevicesskillsand45312 ай бұрын

    from kenya nampa sikio kuma ww kama humpendi dizasta..juju kumbe nislay queen kama nunu

  • @samwelysimon569
    @samwelysimon5695 ай бұрын

    bro u getting better and better acha na tungo kideo cha hiphop iki apa

  • @EzzyK438
    @EzzyK4385 ай бұрын

    Foleni kubwa sana me nacoment wapi sasa 😂

  • @kimpyonglee7552
    @kimpyonglee75525 ай бұрын

    Adimu kama mythical creature, lyrical teacher, naacha case ya criminal kisha, napotea kwenye surface siachi physical feature, naacha history na elimu to every critical thinker.

  • @stapinuswilliam860

    @stapinuswilliam860

    5 ай бұрын

    Complete mcee, punchlines,lyrical ,flow zawadi kubwa!mitaa ipo salama tutasimulia vizazi

  • @FERNAKSecurity
    @FERNAKSecurity2 ай бұрын

    Dizasta vina ni mkali hizi nyimbo zatakiwa ziingizwe kidato wanafunzi wajifunze vitu

  • @daggazzedirector9790
    @daggazzedirector97905 ай бұрын

    Video na beat napata feeling kama nipo kwenye Grand Theft Auto (GTA)😊😊😊

  • @makawan_Bway5478
    @makawan_Bway54782 ай бұрын

    Badili Spana Hii ni volvo 😂🙌🙌🙌🙌

  • @felixrumisha5132
    @felixrumisha51325 ай бұрын

    missed part ya kikosi kazi, i said that kitambo, .. am speechless... leo nanunua albam

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19895 ай бұрын

    Daaaaaaa huyu dogo rapper mkali sana tumpe sapoti wabongo na East African kwa ujumla

  • @gaddibullahtzg5635
    @gaddibullahtzg56355 ай бұрын

    Dizasta vinaaaa,,, umetisha sana mkuu God bless 2024 tumeanza na confidence ya hali ya juu

  • @omarabdulaziz3786
    @omarabdulaziz37865 ай бұрын

    "Nina materials priceless kwenye fuvu" Vina

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto17525 ай бұрын

    Mshikaji wangu dizasta unaua sana Salute

  • @malombo_mzei
    @malombo_mzei5 ай бұрын

    Genius ni uñderstatement, half man half god paradox!!!💯🔥🙌

  • @adamsengo1869
    @adamsengo18695 ай бұрын

    2088 still listening to this one 🔥🔥🔥 DIZASTA RUSSIA

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96375 ай бұрын

    Dizasta vina hujawahi kukosea

  • @BAIKOKO_TV
    @BAIKOKO_TV5 ай бұрын

    Nani kaona dizasta kavaa rozali 😂😂

  • @amosmallya3994
    @amosmallya39942 ай бұрын

    JINIIII 🎉🎉🎉

  • @sangomacmc3558
    @sangomacmc35584 ай бұрын

    RINGOBEATZ🔥🔥🔥💯🎶 dundo la kubwa mno

  • @Don.26Alien
    @Don.26Alien5 ай бұрын

    NO BODY IS SAFE ....🔥🔥🔥 Bro we Ni LEGEND....+ ...WORRIOR

  • @user-cy8ho6uz3v
    @user-cy8ho6uz3v5 ай бұрын

    Welcome kispotii sinza mapambano broo ur hm

  • @nakamsilikasi3310
    @nakamsilikasi33105 ай бұрын

    Ndugu watachanga michango ukitusu

  • @drmedard
    @drmedard5 ай бұрын

    fan base bila Mchomvu na B.Twangaalaaaaaa.......

  • @user-tu8tb3zq8t
    @user-tu8tb3zq8t5 ай бұрын

    Nakubaliana nawe

  • @MasesaNyahinga
    @MasesaNyahinga4 күн бұрын

    ,, So hii kalamu ikisimama nakuanza kutupa wino Watoto utasikia mom look super hero,

  • @RapperTyger-vv1vt
    @RapperTyger-vv1vt5 ай бұрын

    Na fanibes bila mchomvu na b,twangalaaa hahahahaha Nouma we nu nyOko

  • @mrossojohn3126
    @mrossojohn31265 ай бұрын

    Ambae hataki kukubali Mbishi tu bro. For real Unairudisha hip hop nyumbani sasa

  • @edwardmagunga9320
    @edwardmagunga93205 ай бұрын

    Role model wako anamcheat nani (zuchuu) 😂😂😂😂

  • @user-ox3tg6sx4z
    @user-ox3tg6sx4z5 ай бұрын

    We jamaa ungezaliwa marekani ungekuwa j cole ila ndo ivo bongo nyoso kaka dah

  • @martin_mjb3917
    @martin_mjb39175 ай бұрын

    Oyaaa hizi Visuals✊🏽

  • @emmanuelmwamonje2389
    @emmanuelmwamonje23895 ай бұрын

    We Ni Rapa Nyokoooooo

  • @michaelmkisi9732
    @michaelmkisi97325 ай бұрын

    Kendrick Lamar wetu 🔗

  • @klcmedia2503
    @klcmedia25035 ай бұрын

    I wish ufungue chuo cha rap,mcs wajifunze kabla hawajaingia sokoni,it is good for the industry,no hard feelings,kwa level yako ifike mahala serikali iingilie kati kuwe na recognition za watu kama wewe

  • @paulomesarieki309

    @paulomesarieki309

    5 ай бұрын

    Yeah man

  • @titusfaya872
    @titusfaya8725 ай бұрын

    Me ninyoko waulize wagaga gigikoko😮😊

  • @user-pu4di3sz5z
    @user-pu4di3sz5zАй бұрын

    Sina big tim

  • @corrosiveacid8306
    @corrosiveacid83065 ай бұрын

    Mwacheee afanye mapinduz ya hip hop

  • @yuvenalalphonce5978
    @yuvenalalphonce59785 ай бұрын

    THIS VISUALS ARE QUALITY 🔥🔥 KEEP BEING MODERNIZED MASTER

  • @omarypetro3207
    @omarypetro32075 ай бұрын

    Kiukweli jamaa hapa Tz yupo peke yake aisee - jamaa anajua mpaka masikio jipata 💥🎉🔥🔥🇹🇿

  • @emirythabith9704
    @emirythabith97045 ай бұрын

    best rapper ever in our country dizasta

  • @user-nz6td1so4q
    @user-nz6td1so4q5 ай бұрын

    Kio wajamii darasa wazi ❤tuishi kihipap

  • @josephnyamhanga1360
    @josephnyamhanga13605 ай бұрын

    Wana track mbovu na wanafanya media tour 😂

  • @vitendothidiyamanenobunyag6746
    @vitendothidiyamanenobunyag67465 ай бұрын

    Kidmange na vina adi kigoma kasulu

  • @benardmisaba5196

    @benardmisaba5196

    5 ай бұрын

    Umetuwakilisha mapema mno

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    5 ай бұрын

    Dizasta Vina mpaka Buhingwe - Manyovu. That's very sure, Dizasta Vina ni wamoto kushinda Jua.

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi79945 ай бұрын

    Ukoo wa MBUZI (G.O.A.T-Greatest Of Time) unawapa High Five

  • @charybdis8113
    @charybdis81135 ай бұрын

    Huwezi kusikiliza nyimbo ya Dizasta mara moja na ukaielewa.

  • @Realfrankvenanc
    @Realfrankvenanc5 ай бұрын

    🐐🐐🐐

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah66695 ай бұрын

    Hip hop is back

Келесі