Dizasta Vina - Uwaridi jeusi Ft Baraka The Prince

Музыка

Official Music Video of Dizasta Vina perfoming Uwaridi Jeusi, featuring Baraka The Prince.
Stream/Download Uwaridi jeusi
Boomplay - www.boomplay.com/songs/157643855
Mdundo - mdundo.com/song/2868736
Apple music - / uwaridi-jeusi-single
Spotify - open.spotify.com/album/7jFP8t...
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Lyrics - genius.com/Dizasta-vina-uwari...
Other musical contents
bio.link/dizastavina
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
Lyrics
Williams Shakespeare said, Speak low if you speak love
No I speak loud because love is war, and war is really loud
I’ll tell you why, the course of true love never did run smooth
Love is rough some Cupid kills with arrows
and some with traps and the point is
You die at the end of the day
Yeah nilishare chozi alipolia,
Baridi ilipomfikia sikukimbia nilishare koti
Aliponiletea pozi, niikamzoe nikamkosea
Akanuna msamaha nikamwombea airpot
Wafanyavyo wazungu nikaonekana mpuzi mkuu
Dhahama mbele hadhara uzushi tu
Upendo wa dhati ilikuwa script ilikuwa ni uchi
‘Cause Vyote ilikuwa ni movie tu
Nikajajua wamebaki kwenye simulizi
Wale wakubaki njia kuu
Najua nilisema hivi nao wakanijia juu
Tofauti ya hayo maigizo na uhalisia huu
Kupendwa kwa hali na mali ni kwenye tamthilia tu
Tulioana na picha ikaenda slow slow
Aliniambia ananipenda kweli ndivyo
alivyomwambia Fredy
Kisha akamwambia Francy
Nami nikamwambia Betty Fetty
Na Nancy tukaenda draw draw
Hakuna aliyejiforce alie
Kati yetu hakuna aliyemdosheaaw machozi mwenzie
Hakuwa yeye aliyeziwinda pochi za mashemu
Au mimi mwenye namba nyomi za mademu
Tukajua kuwa mahusiano sio kitu simple
Alliniumiza nikamuumiza tukaishi hivyo
Mwanzoni tulichorana mpaka matching tatoos
Leo wote ni washenzi nafuu hatukuitikia wito
Chorus
Nikikumbuka huwa nataka kulia
Watoto na wakubwa wanaaga dunia
Kwa sababu wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Matajiri walisaza dunia
Hata masikini wanaotanga na njia
Wako ndani wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Ukweli hakuwaa mbali kuujua
Kati yetu hakuna aliyekuwa tayari kukua
Niliokota vidonge vya kutoa mimba nikauchubua
Akakuta condom kwneye nguo zangu kila alipofua
Tukaacha kufanya kwa siri kufanya salama
Kila akitaka aishike hatamu
Alilala na rafiki yangu rashidi bosi wangu kazini
Nikalala na dada yeke wa damu
Mapenzi noma nakuhusia
Shangazi wajomba wanajutia niulize mimi
Mapenzi kidonda utaumia
Yalimtesa kocha wa dunia Mwijuma Muumini
Hii game ikikushinda buni yako
Wanandoa wanafunga ndoa
Hawafungi mlango
Wakimaanisha kuwa yeyote anaingia
Nakumbuka hata nikimshika
Nikimbusu kwa hisia hafumbi macho
Mapenzi karaha nyie msije hata kusikia
Nishaona wajanja wanaziacha Career
Ninapoona wanafunzi nao wanataka ‘dandia
haki ya mama huwa nataka kulia
Huwa nataka kulia
Nishaona na mke wangu ana pete kidoleni
Akiwa na mshefa pembenj anasaini lodge anatimba ndani
Anaingia mi’ natoka mwili hoi nikiwa nimechoka
Pembeni nikiwa na mrembo ananiita honey
Akivua pete kwenye milango ya bar
Sikuchukia mi mwenyewe nina mipango kando kadhaa
Ngoja niwaambie wale wa true love msitaanie
Kumpenda binadamu ni ushujaa nyie
Kila alichofanya dhidi yangu,
Nililipa twende sawa mchongo ndo huo
Alichukuwa mababa
Mpaka wenye umri wa dingi yangu kuniumiza
Nikachukua vitoto vya chuo
Aliingilia kushoto niliingilia kulia
Alipobuni uongo nami uongo niliujulia
Alirudi nyumbani na tai za wanaume tilatila
Nikarudi nikiwa na love bite bila bila
Na umalaya wangu na koti la mtumba
Bendi nikakodi na maua rozi ya size kubwa
Nikampeleka mke wa mtu lodge
Nikazuga ka’ sijaoa na mishumaa
Ilibaki kidogo nichome nyumba
Hizi romance ni filamu tu
Mara nikikuona nasinzia sijui napata homa ya dunia
Ni filamu tu
Kutembea slow motion hatuwezi
ukimkiss kwenye mvua mvua hainyeshi ni filamu tu
Ni filamu tu
Kutembea slow motion bado hatuwezi
ukimkiss kwenye mvua mvua hainyeshi ni filamu tu
Alishindwa kuuchukua moyo wangu auwekeze
Nilishindwa kumfanya awe wife anipendeze
Ujanja umeisha uhalisia umeturudisha ndani
Tumeathirika na hatujui ndani kauleta nani
Ushauri kwa kina dada mahusiano ni vita
Wanaume wasafi wapo kwenye vitabu vya kuandikwa
Ukiolewa na ndoa ikayumba jiongeze
Mwanaume ni mchafu ukitaka aliyetukuka mtengeneze
Ushauri kwa kaka mahusiano si hija
Wanawake wasafi wapo kwenye filamu za kuigiza
Kwahiyo ndoa yako inapopinda jiongeze
Mwanamke shetani ukitaka malaika mtengeneze
Nikikumbuka huwa nataka kulia
Watoto na wakubwa wanaaga dunia
Kwa sababu wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Matajiri walisaza dunia
Hata masikini wanaotanga na njia
Wapo ndani wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya

Пікірлер: 211

  • @siranathani2546
    @siranathani25464 ай бұрын

    Wenye nembo ya Dizasta Na Dam ya hip hop ya Dizasta Vina tujuane kwa comment na like piah mwenye nyimbo zaidi ya 20 kama mm za Dizasta nakusalimia Ndugu Yangu mm mpwa wako

  • @user-nw5eu2ff4w
    @user-nw5eu2ff4w5 ай бұрын

    Kwenye uandishi wa mashair ya hiphoop bongo hii hakuna wakumzid disasta vina

  • @MkindiSaidi

    @MkindiSaidi

    5 ай бұрын

    Nakubali since day one

  • @karimchindema9823
    @karimchindema98234 ай бұрын

    Kuna siku nawish nikuone mzee tupige hata story kidogo,,, vamos

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822Ай бұрын

    Yoooh Bongo hiphop is off the hook! Its about Time minakwambia ! Left Tz 30+ when it was the genessis ya Rap , leo mekutana na hii true Rap tune ! Bravo sana wazee ! Mwenge mmeusongesha to this type of track over here ! All l can say is Gaaadeym it ! GREAT WORK WHO EVER YOU ARE ON THIS JOINT ! IKO DEEP ALAFU INATIA HISIA KINOMA ! ❤❤❤❤❤🫡🫡🫡

  • @KibelaThomas
    @KibelaThomas13 күн бұрын

    Huyu jamaa aigwe mfano wake ni shida yaani anajua

  • @snuffkikopo9503
    @snuffkikopo950327 күн бұрын

    daah we mwana ni noma na nusu... hatari sanaaaaaaaaaaaaa

  • @daudifortunatus9576
    @daudifortunatus95765 ай бұрын

    Kumpenda binadamu ni ushujaa nyie🙌

  • @ghyldinhoclassic9635
    @ghyldinhoclassic96352 ай бұрын

    Sio kuropoka Bali ni rap Na elimu tosha sichoki kukuskiliza ninja🔥 wa East Africa 🇧🇮🇹🇿

  • @landiismollel4075
    @landiismollel40754 ай бұрын

    Nahuzunika sana kwa sababu sijawahi kukuona live ila najivunia kuwepo duniani angali dizasta anaandika unyama wa Hip hop. Be blessed sana Brother 🙏

  • @mchorajitz8396
    @mchorajitz83965 ай бұрын

    "mahusiano ni vita, "Mwanaume msafi yupo kwenye kitabu Cha kuandikwa.

  • @samuelantony4206

    @samuelantony4206

    4 ай бұрын

    😂

  • @hancychriss721
    @hancychriss7214 ай бұрын

    Wana ndoa wanafunga ndoa hawafungi MLANGO 💔🔥🔥

  • @uniqueboytz8166
    @uniqueboytz81664 ай бұрын

    Video za namna hii zimebaki chache Mno 🙌 Taifa linapaswa kujivunia mtu km DIZASTA VINA ❤

  • @edsonlaw1186

    @edsonlaw1186

    4 ай бұрын

    Saf sana kaka Yan umenena vzr mno...

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations5 ай бұрын

    Haujawahi kuniangusha Vina. Hongera sana kwa kaz mzur

  • @mankessy_tz2627
    @mankessy_tz26275 ай бұрын

    Kama wewe nishabiki wa dizasta vina acha like hapa.

  • @davoscasto9114
    @davoscasto91144 ай бұрын

    “A flower bloomed in a dark room” .. 🔥🥂♥️

  • @talebanistudio4513
    @talebanistudio45135 ай бұрын

    Huyuu jamaa peni karatasi ziki mwona zina toka mbio atari ana andika sana anajua sana.... D ....wee ni noma sana

  • @Joe-2904
    @Joe-29044 ай бұрын

    Dah prince naye 🔥🔥🔥🔥, kama vipi mfanye ngoma nyingine

  • @franksilvan4123
    @franksilvan41234 ай бұрын

    one and the best Uniq 💪👑 DIZASTA VINA

  • @Dannytitoff254
    @Dannytitoff2545 ай бұрын

    Hili ni bonge la hip hop mzee baba alafu pen siyo ya kitoto kwenye punchlines za kazi zako💪💪💪

  • @SultanJamal-ku3dm
    @SultanJamal-ku3dm12 күн бұрын

    msaani namba 1 kwangu

  • @LambeDon_
    @LambeDon_5 ай бұрын

    Hamnaga mambo mengi kwenye video we deal with BARZ fans of vina ✊

  • @Msuki_icon95
    @Msuki_icon954 ай бұрын

    Big up genius hiphop song writer 🐐1🙌

  • @user-tx8ub9fc3k
    @user-tx8ub9fc3k3 ай бұрын

    Dizasta vina from🇿🇲🇿🇲

  • @iccibang4095
    @iccibang40954 ай бұрын

    Hela Zako Zipo Sehemu Utazichkua Siku Keep Pushing Man, NAKUBALI ZAIDI YA SANA

  • @BarakaUrassa
    @BarakaUrassa4 ай бұрын

    Hakika dizasta noma sana anajua hakuna kama yeye mzimu wa ngwea

  • @ibrahimunyaruhawa2416
    @ibrahimunyaruhawa24165 ай бұрын

    Vina BLACK MARADONA NI HATARIIIII🔥🔥🔥

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz5 ай бұрын

    mwisho wa ngoma pale kuna ujumbe mzito sana.

  • @Zamaqshaqshamsudin
    @Zamaqshaqshamsudin5 ай бұрын

    When we talk about hip hop Tz budaaa umewakalisha ngoma zako conscious sanaaaa zimebeba elimu kubwa sanaa ambayo mpaka mtu awe na mindset kubwa ndo anaweza elewa hii mistarii

  • @josephchuwa9884
    @josephchuwa98844 ай бұрын

    Kazi kubwa sana hii Kijana wa mungu @Dizastavina

  • @user-sk3kf7wg1w
    @user-sk3kf7wg1w4 ай бұрын

    Hii sasa ndio ngoma kali kuliko zote

  • @joxxjonka
    @joxxjonka5 ай бұрын

    Good music good vibe storytellar 🇹🇿🇺🇬🇰🇪 🔥🔥🔥💯👂

  • @mpelwakikuba8025
    @mpelwakikuba80255 ай бұрын

    Ebhana, mi ata Sina Cha kukomenti maana huyu Mr is talented more than more

  • @Heisbry_
    @Heisbry_4 ай бұрын

    Dizasta vina❤ Hakuna rapper wa aina yako east africa

  • @Abby_Shawn_KE
    @Abby_Shawn_KE2 ай бұрын

    Ngoma ni wazimu sana hii

  • @NeverGiveup-wk2cb
    @NeverGiveup-wk2cb3 ай бұрын

    Tanzania one kweny Muzik wa hip-hop king

  • @user-tx8ub9fc3k
    @user-tx8ub9fc3k2 ай бұрын

    Vina 🎉🎉🎉

  • @user-ry1nh9qg1b
    @user-ry1nh9qg1b5 ай бұрын

    Sio uandishi tu kaka anafikiria na kuwaza sanaa 🎉🎉

  • @edsonlaw1186
    @edsonlaw11864 ай бұрын

    Vina baba🙌🙌 unajua aseh!!!

  • @Billysign-li4qr
    @Billysign-li4qr5 ай бұрын

    KUMPENDA BINADAM N USHUJAA NYIEE🔥🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @ibrahimunyaruhawa2416
    @ibrahimunyaruhawa24165 ай бұрын

    Ni filamu tuuu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @halunimwansite3674
    @halunimwansite36745 ай бұрын

    Bonge Moja project brother Vinna👊👊

  • @RajabuJaphary-iq9mp
    @RajabuJaphary-iq9mp4 ай бұрын

    Taratibu watu wameanza kumuelewa dizasta atleast nafurah kuona comment kibao kwa D jamaa anajua nyie

  • @mjamiionline454
    @mjamiionline4542 ай бұрын

    dizasta tupa mawe mzey

  • @ProtasNassa-oe1wf
    @ProtasNassa-oe1wf5 ай бұрын

    🙌🙌🙌 vina ni hatari...

  • @barretobacca9754
    @barretobacca97545 ай бұрын

    The King! Big shout out kutoka Moçambique 🇲🇿

  • @gaddibullahtzg5635
    @gaddibullahtzg56355 ай бұрын

    Dizasta vinaaaa umetisha kinomaaaaa

  • @jevuofficial5266
    @jevuofficial52665 ай бұрын

    Mwanaume ni mchafu wakitaka alie tukuka wamtengeneze 🔥🔥

  • @davidpakei3497
    @davidpakei34975 ай бұрын

    Big up broo nakubali Jasili john

  • @silasgerrychannel225
    @silasgerrychannel2253 ай бұрын

    Jamaaa anajua sana sana, tena sana

  • @josephnyamhanga1360
    @josephnyamhanga13605 ай бұрын

    Kumpenda binadamu ni ushujaa nyieeee 😢

  • @hebronkibona6676
    @hebronkibona66764 ай бұрын

    Consiuus emcee dizasta vina 💥

  • @RobertMwamlima-ek9pd
    @RobertMwamlima-ek9pd5 ай бұрын

    Viiiinaaa, vyenye maafaaa

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel69735 ай бұрын

    Story Teller.. Hii ndo inaitwa stop- start techniques .

  • @acraba7568
    @acraba75684 ай бұрын

    Narcissistic😢😢😢😢I think all people are one people.spread love Vina ...🎉on top

  • @user-sg8zb9hu2n
    @user-sg8zb9hu2n4 ай бұрын

    Sijwahi kuwa na wasi wasi na Tungo za huyu Jamaa

  • @NgomaTz184
    @NgomaTz1843 ай бұрын

    Hakuna kama dizasta ❤

  • @SalimChaka-ez9iz
    @SalimChaka-ez9iz4 ай бұрын

    Dizasta u jini brow we ni legend kabla wakati💪🎶

  • @VictorodiloGhost
    @VictorodiloGhost2 ай бұрын

    Hakuna mwalim msanii kam dizasta

  • @keimnation1702
    @keimnation17022 ай бұрын

    vina forever🙌🙌

  • @rashiidrashiid-ib7jg
    @rashiidrashiid-ib7jg5 ай бұрын

    Nakumbuka nikimshika,nikimbusu kwa hisia,hakufunga macho

  • @bashangeisrah2345
    @bashangeisrah23454 ай бұрын

    My Tanzanian tupac makeveli the Don

  • @MuhidiniAbdul
    @MuhidiniAbdul2 ай бұрын

    kzi mzur d

  • @danielfesto5042
    @danielfesto50425 ай бұрын

    Ila una saut ya hiphop sana yan maneno yote yanasikika we noma sana

  • @dizastavina

    @dizastavina

    5 ай бұрын

    Asante kaka

  • @OMYUUN
    @OMYUUN4 ай бұрын

    Banger!!!!

  • @user-xp8jp7ks3d
    @user-xp8jp7ks3d5 ай бұрын

    Mimi ni 1 kati wanao kuamini na kuueshim uwezo na kipaj chako kwa ujumla na malafiki wengi kitaaa changu wanakuamini ukosei

  • @dizastavina

    @dizastavina

    5 ай бұрын

    Bless fam

  • @misungwikids563
    @misungwikids5635 ай бұрын

    Kama umekula madini ya Uwaridi jeusi na hauja-subscribe bas ujue ww ni shabiki maandazi😁😁😁 WHATSUP GUYS LETS SUPPORT THIS UNDERRATED TALENT🤘🏽

  • @Bookloveruntil2090
    @Bookloveruntil20904 ай бұрын

    DÍZY ON FIRE KAMA CASHMIA

  • @mnenemakweta8871
    @mnenemakweta88715 ай бұрын

    Hatareeee big up vina

  • @sundaycharles7262
    @sundaycharles72625 ай бұрын

    This man 🤲

  • @gagalinodenatrick1652
    @gagalinodenatrick16525 ай бұрын

    Ni makosa kisheria na taratibu za nchi yetu kumfananisha dizasta na rapper yoyote yule kwanza vina sio rapper huyu n real mc

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90034 ай бұрын

    I told you He can kill that 🔥🇹🇿🔥🇹🇿

  • @reveliancyprzacharia6967
    @reveliancyprzacharia69675 ай бұрын

    Nomaa sana

  • @nobertalex7476
    @nobertalex74765 ай бұрын

    dizasta vina is THE TRUTH ❤

  • @islamshabani7840
    @islamshabani78405 ай бұрын

    Baraka da prince namkubar sana jamaa

  • @jrolyjoseph4474
    @jrolyjoseph44745 ай бұрын

    Kituuu🔥

  • @corneliusondieki1496
    @corneliusondieki14964 ай бұрын

    Disasta vina mistari iko sawa

  • @danielchris1317
    @danielchris13174 ай бұрын

    Unyamaaaaa ..... Ila Kaka Vina isitusahau na Lyric video 🔥🔥 Tukapost vizuri

  • @muhsiniamiri9310
    @muhsiniamiri93102 ай бұрын

    dah jamaa kanifny nmeanz kumfatilia

  • @ekicrevo6890
    @ekicrevo68905 ай бұрын

    Vinaaaaa

  • @user-tx8ub9fc3k
    @user-tx8ub9fc3k4 ай бұрын

    Dizasta vina best 🎉🎉🎉zoooona

  • @jevuofficial5266
    @jevuofficial52665 ай бұрын

    🔥🔥 Always 🎙️

  • @user-ug6dg7gb8j
    @user-ug6dg7gb8j5 ай бұрын

    Nikiwa nimetulia bila mawazo namsikiliza naodha wa hip Hop

  • @Jackjuneart_tz

    @Jackjuneart_tz

    5 ай бұрын

    Ama Mungu wa rap

  • @user-ox3tg6sx4z
    @user-ox3tg6sx4z5 ай бұрын

    Vinaaaa

  • @user-gg7zg1tj9w
    @user-gg7zg1tj9w5 ай бұрын

    Vinaaa

  • @user-ul8pj9cr8r
    @user-ul8pj9cr8r4 ай бұрын

    Big up brother

  • @vailethmbinile3161
    @vailethmbinile31614 ай бұрын

    Vinaaaaa❤

  • @zuberimiraji4277
    @zuberimiraji42773 ай бұрын

    Beyond sky limit🙌 Midundo Kwa mbali napata HISIA za TABIA ya NASH MC

  • @Dullahxella
    @Dullahxella5 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥DVN

  • @officielyamndile3634
    @officielyamndile36345 ай бұрын

    Come again never get tired 🔥

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.654 ай бұрын

    Baraka umetisha sana

  • @user-lc8yc6ib7s
    @user-lc8yc6ib7s4 ай бұрын

    👊👊👊

  • @marcouruva3912
    @marcouruva39124 ай бұрын

    Nakubali vina..

  • @Suleiman99
    @Suleiman994 ай бұрын

    Super hero Dizasta vina

  • @michaeldeche1515
    @michaeldeche15154 ай бұрын

    🔥💪

  • @godfreyjeremiah8657
    @godfreyjeremiah86575 ай бұрын

    The verteller!!!

  • @Japharyhh
    @Japharyhh5 ай бұрын

    Sana kaka

  • @Loyoutfit
    @Loyoutfit4 ай бұрын

    🔥 fire

  • @castotweve4945
    @castotweve49455 ай бұрын

    Vina dizastaa

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius63875 ай бұрын

    Mapenzi yakofikia hatua unaona makes makosa kwa mpenzi wako na haumii au hauoni wivu basi moyo haupo tena pale

  • @Yusuph-px6ci
    @Yusuph-px6ci5 ай бұрын

    Hataree

Келесі