Dizasta Vina - Uwaridi jeusi Ft Baraka The Prince
Музыка
Official Music Video of Dizasta Vina perfoming Uwaridi Jeusi, featuring Baraka The Prince.
Stream/Download Uwaridi jeusi
Boomplay - www.boomplay.com/songs/157643855
Mdundo - mdundo.com/song/2868736
Apple music - / uwaridi-jeusi-single
Spotify - open.spotify.com/album/7jFP8t...
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Lyrics - genius.com/Dizasta-vina-uwari...
Other musical contents
bio.link/dizastavina
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
Lyrics
Williams Shakespeare said, Speak low if you speak love
No I speak loud because love is war, and war is really loud
I’ll tell you why, the course of true love never did run smooth
Love is rough some Cupid kills with arrows
and some with traps and the point is
You die at the end of the day
Yeah nilishare chozi alipolia,
Baridi ilipomfikia sikukimbia nilishare koti
Aliponiletea pozi, niikamzoe nikamkosea
Akanuna msamaha nikamwombea airpot
Wafanyavyo wazungu nikaonekana mpuzi mkuu
Dhahama mbele hadhara uzushi tu
Upendo wa dhati ilikuwa script ilikuwa ni uchi
‘Cause Vyote ilikuwa ni movie tu
Nikajajua wamebaki kwenye simulizi
Wale wakubaki njia kuu
Najua nilisema hivi nao wakanijia juu
Tofauti ya hayo maigizo na uhalisia huu
Kupendwa kwa hali na mali ni kwenye tamthilia tu
Tulioana na picha ikaenda slow slow
Aliniambia ananipenda kweli ndivyo
alivyomwambia Fredy
Kisha akamwambia Francy
Nami nikamwambia Betty Fetty
Na Nancy tukaenda draw draw
Hakuna aliyejiforce alie
Kati yetu hakuna aliyemdosheaaw machozi mwenzie
Hakuwa yeye aliyeziwinda pochi za mashemu
Au mimi mwenye namba nyomi za mademu
Tukajua kuwa mahusiano sio kitu simple
Alliniumiza nikamuumiza tukaishi hivyo
Mwanzoni tulichorana mpaka matching tatoos
Leo wote ni washenzi nafuu hatukuitikia wito
Chorus
Nikikumbuka huwa nataka kulia
Watoto na wakubwa wanaaga dunia
Kwa sababu wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Matajiri walisaza dunia
Hata masikini wanaotanga na njia
Wako ndani wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Ukweli hakuwaa mbali kuujua
Kati yetu hakuna aliyekuwa tayari kukua
Niliokota vidonge vya kutoa mimba nikauchubua
Akakuta condom kwneye nguo zangu kila alipofua
Tukaacha kufanya kwa siri kufanya salama
Kila akitaka aishike hatamu
Alilala na rafiki yangu rashidi bosi wangu kazini
Nikalala na dada yeke wa damu
Mapenzi noma nakuhusia
Shangazi wajomba wanajutia niulize mimi
Mapenzi kidonda utaumia
Yalimtesa kocha wa dunia Mwijuma Muumini
Hii game ikikushinda buni yako
Wanandoa wanafunga ndoa
Hawafungi mlango
Wakimaanisha kuwa yeyote anaingia
Nakumbuka hata nikimshika
Nikimbusu kwa hisia hafumbi macho
Mapenzi karaha nyie msije hata kusikia
Nishaona wajanja wanaziacha Career
Ninapoona wanafunzi nao wanataka ‘dandia
haki ya mama huwa nataka kulia
Huwa nataka kulia
Nishaona na mke wangu ana pete kidoleni
Akiwa na mshefa pembenj anasaini lodge anatimba ndani
Anaingia mi’ natoka mwili hoi nikiwa nimechoka
Pembeni nikiwa na mrembo ananiita honey
Akivua pete kwenye milango ya bar
Sikuchukia mi mwenyewe nina mipango kando kadhaa
Ngoja niwaambie wale wa true love msitaanie
Kumpenda binadamu ni ushujaa nyie
Kila alichofanya dhidi yangu,
Nililipa twende sawa mchongo ndo huo
Alichukuwa mababa
Mpaka wenye umri wa dingi yangu kuniumiza
Nikachukua vitoto vya chuo
Aliingilia kushoto niliingilia kulia
Alipobuni uongo nami uongo niliujulia
Alirudi nyumbani na tai za wanaume tilatila
Nikarudi nikiwa na love bite bila bila
Na umalaya wangu na koti la mtumba
Bendi nikakodi na maua rozi ya size kubwa
Nikampeleka mke wa mtu lodge
Nikazuga ka’ sijaoa na mishumaa
Ilibaki kidogo nichome nyumba
Hizi romance ni filamu tu
Mara nikikuona nasinzia sijui napata homa ya dunia
Ni filamu tu
Kutembea slow motion hatuwezi
ukimkiss kwenye mvua mvua hainyeshi ni filamu tu
Ni filamu tu
Kutembea slow motion bado hatuwezi
ukimkiss kwenye mvua mvua hainyeshi ni filamu tu
Alishindwa kuuchukua moyo wangu auwekeze
Nilishindwa kumfanya awe wife anipendeze
Ujanja umeisha uhalisia umeturudisha ndani
Tumeathirika na hatujui ndani kauleta nani
Ushauri kwa kina dada mahusiano ni vita
Wanaume wasafi wapo kwenye vitabu vya kuandikwa
Ukiolewa na ndoa ikayumba jiongeze
Mwanaume ni mchafu ukitaka aliyetukuka mtengeneze
Ushauri kwa kaka mahusiano si hija
Wanawake wasafi wapo kwenye filamu za kuigiza
Kwahiyo ndoa yako inapopinda jiongeze
Mwanamke shetani ukitaka malaika mtengeneze
Nikikumbuka huwa nataka kulia
Watoto na wakubwa wanaaga dunia
Kwa sababu wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Matajiri walisaza dunia
Hata masikini wanaotanga na njia
Wapo ndani wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Wanaumia mama wanaumia
Wanaumia mapenzi mabaya
Пікірлер: 211
Wenye nembo ya Dizasta Na Dam ya hip hop ya Dizasta Vina tujuane kwa comment na like piah mwenye nyimbo zaidi ya 20 kama mm za Dizasta nakusalimia Ndugu Yangu mm mpwa wako
Kwenye uandishi wa mashair ya hiphoop bongo hii hakuna wakumzid disasta vina
@MkindiSaidi
5 ай бұрын
Nakubali since day one
Kuna siku nawish nikuone mzee tupige hata story kidogo,,, vamos
Yoooh Bongo hiphop is off the hook! Its about Time minakwambia ! Left Tz 30+ when it was the genessis ya Rap , leo mekutana na hii true Rap tune ! Bravo sana wazee ! Mwenge mmeusongesha to this type of track over here ! All l can say is Gaaadeym it ! GREAT WORK WHO EVER YOU ARE ON THIS JOINT ! IKO DEEP ALAFU INATIA HISIA KINOMA ! ❤❤❤❤❤🫡🫡🫡
Huyu jamaa aigwe mfano wake ni shida yaani anajua
daah we mwana ni noma na nusu... hatari sanaaaaaaaaaaaaa
Kumpenda binadamu ni ushujaa nyie🙌
Sio kuropoka Bali ni rap Na elimu tosha sichoki kukuskiliza ninja🔥 wa East Africa 🇧🇮🇹🇿
Nahuzunika sana kwa sababu sijawahi kukuona live ila najivunia kuwepo duniani angali dizasta anaandika unyama wa Hip hop. Be blessed sana Brother 🙏
"mahusiano ni vita, "Mwanaume msafi yupo kwenye kitabu Cha kuandikwa.
@samuelantony4206
4 ай бұрын
😂
Wana ndoa wanafunga ndoa hawafungi MLANGO 💔🔥🔥
Video za namna hii zimebaki chache Mno 🙌 Taifa linapaswa kujivunia mtu km DIZASTA VINA ❤
@edsonlaw1186
4 ай бұрын
Saf sana kaka Yan umenena vzr mno...
Haujawahi kuniangusha Vina. Hongera sana kwa kaz mzur
Kama wewe nishabiki wa dizasta vina acha like hapa.
“A flower bloomed in a dark room” .. 🔥🥂♥️
Huyuu jamaa peni karatasi ziki mwona zina toka mbio atari ana andika sana anajua sana.... D ....wee ni noma sana
Dah prince naye 🔥🔥🔥🔥, kama vipi mfanye ngoma nyingine
one and the best Uniq 💪👑 DIZASTA VINA
Hili ni bonge la hip hop mzee baba alafu pen siyo ya kitoto kwenye punchlines za kazi zako💪💪💪
msaani namba 1 kwangu
Hamnaga mambo mengi kwenye video we deal with BARZ fans of vina ✊
Big up genius hiphop song writer 🐐1🙌
Dizasta vina from🇿🇲🇿🇲
Hela Zako Zipo Sehemu Utazichkua Siku Keep Pushing Man, NAKUBALI ZAIDI YA SANA
Hakika dizasta noma sana anajua hakuna kama yeye mzimu wa ngwea
Vina BLACK MARADONA NI HATARIIIII🔥🔥🔥
mwisho wa ngoma pale kuna ujumbe mzito sana.
When we talk about hip hop Tz budaaa umewakalisha ngoma zako conscious sanaaaa zimebeba elimu kubwa sanaa ambayo mpaka mtu awe na mindset kubwa ndo anaweza elewa hii mistarii
Kazi kubwa sana hii Kijana wa mungu @Dizastavina
Hii sasa ndio ngoma kali kuliko zote
Good music good vibe storytellar 🇹🇿🇺🇬🇰🇪 🔥🔥🔥💯👂
Ebhana, mi ata Sina Cha kukomenti maana huyu Mr is talented more than more
Dizasta vina❤ Hakuna rapper wa aina yako east africa
Ngoma ni wazimu sana hii
Tanzania one kweny Muzik wa hip-hop king
Vina 🎉🎉🎉
Sio uandishi tu kaka anafikiria na kuwaza sanaa 🎉🎉
Vina baba🙌🙌 unajua aseh!!!
KUMPENDA BINADAM N USHUJAA NYIEE🔥🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Ni filamu tuuu🔥🔥🔥🔥🔥
Bonge Moja project brother Vinna👊👊
Taratibu watu wameanza kumuelewa dizasta atleast nafurah kuona comment kibao kwa D jamaa anajua nyie
dizasta tupa mawe mzey
🙌🙌🙌 vina ni hatari...
The King! Big shout out kutoka Moçambique 🇲🇿
Dizasta vinaaaa umetisha kinomaaaaa
Mwanaume ni mchafu wakitaka alie tukuka wamtengeneze 🔥🔥
Big up broo nakubali Jasili john
Jamaaa anajua sana sana, tena sana
Kumpenda binadamu ni ushujaa nyieeee 😢
Consiuus emcee dizasta vina 💥
Viiiinaaa, vyenye maafaaa
Story Teller.. Hii ndo inaitwa stop- start techniques .
Narcissistic😢😢😢😢I think all people are one people.spread love Vina ...🎉on top
Sijwahi kuwa na wasi wasi na Tungo za huyu Jamaa
Hakuna kama dizasta ❤
Dizasta u jini brow we ni legend kabla wakati💪🎶
Hakuna mwalim msanii kam dizasta
vina forever🙌🙌
Nakumbuka nikimshika,nikimbusu kwa hisia,hakufunga macho
My Tanzanian tupac makeveli the Don
kzi mzur d
Ila una saut ya hiphop sana yan maneno yote yanasikika we noma sana
@dizastavina
5 ай бұрын
Asante kaka
Banger!!!!
Mimi ni 1 kati wanao kuamini na kuueshim uwezo na kipaj chako kwa ujumla na malafiki wengi kitaaa changu wanakuamini ukosei
@dizastavina
5 ай бұрын
Bless fam
Kama umekula madini ya Uwaridi jeusi na hauja-subscribe bas ujue ww ni shabiki maandazi😁😁😁 WHATSUP GUYS LETS SUPPORT THIS UNDERRATED TALENT🤘🏽
DÍZY ON FIRE KAMA CASHMIA
Hatareeee big up vina
This man 🤲
Ni makosa kisheria na taratibu za nchi yetu kumfananisha dizasta na rapper yoyote yule kwanza vina sio rapper huyu n real mc
I told you He can kill that 🔥🇹🇿🔥🇹🇿
Nomaa sana
dizasta vina is THE TRUTH ❤
Baraka da prince namkubar sana jamaa
Kituuu🔥
Disasta vina mistari iko sawa
Unyamaaaaa ..... Ila Kaka Vina isitusahau na Lyric video 🔥🔥 Tukapost vizuri
dah jamaa kanifny nmeanz kumfatilia
Vinaaaaa
Dizasta vina best 🎉🎉🎉zoooona
🔥🔥 Always 🎙️
Nikiwa nimetulia bila mawazo namsikiliza naodha wa hip Hop
@Jackjuneart_tz
5 ай бұрын
Ama Mungu wa rap
Vinaaaa
Vinaaa
Big up brother
Vinaaaaa❤
Beyond sky limit🙌 Midundo Kwa mbali napata HISIA za TABIA ya NASH MC
🔥🔥🔥🔥🔥DVN
Come again never get tired 🔥
Baraka umetisha sana
👊👊👊
Nakubali vina..
Super hero Dizasta vina
🔥💪
The verteller!!!
Sana kaka
🔥 fire
Vina dizastaa
Mapenzi yakofikia hatua unaona makes makosa kwa mpenzi wako na haumii au hauoni wivu basi moyo haupo tena pale
Hataree