Dizasta Vina - Nobody is safe 3 (Official music video)
Музыка
Category - Music
Song - Nobody Is Safe 3
Artist - Dizasta Vina
Writer - Dizasta Vina
Music - Ringle Beatz
Studio - MV09
Official music audio
Mdundo - mdundo.com/song/1623160
Audiomack - audiomack.com/dizasta-vina/so...
Soundcloud - / nobody-is-safe-3
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Пікірлер: 646
I respect and most definitely love what you do....this is what rap means...delivery 100...ryme scheme 100... Bless bro bless
@dizastavina
3 жыл бұрын
Amen, please share
@mustaphasolyambingo5851
3 ай бұрын
@@dizastavina dizasta unaishi wap
"nishavunja mwamba kaskazini, Tanzaniaa hakuna mroma mwenye stamina yaku rap na mm" Who else got this line?
@mselemamsomba6561
4 жыл бұрын
Hahah niko apa...daaaaah hili jamaa aisee
@VacSeen_N
4 жыл бұрын
Asee🤣🔥🔥🔥,, nashindwa nielezee vipi huu ujuzi
@barakaedwin176
4 жыл бұрын
“..........Na Km ndo unafika sasa...karibu centre ya tenzi...uone bidhaa bila ya Expire Date, kubwa kushinda Hata empire state...so My single line is like your entire verse.....” 🔥🔥🔥
@idrisakugwile4852
4 жыл бұрын
I got! Balaaa
@mrundumo1326
4 жыл бұрын
Hiz nyimbo ndo vyakula vyetu wengine
Tuliovutiwa na BEST FRIEND tu'comment wapi?
@blessingsblessings9573
Жыл бұрын
Rapcha ni mlemavu tu......
@kilimapozimuvinajr.
Жыл бұрын
@@blessingsblessings9573 hehehe!!!
Naikamata dar Kama daudi wa kolomije ,,,nipeni hata like moja wajuba
E Mwenyezi Mungu Uketiye Mahala matakatifu Nakuomba uipokee roho Ya mtoto Asimwe aliye Uwawa kinyama😭😭 Hii inaumaa sana Uwafanyie wepesi wote Watanzania walio guswa na haya mauaji .😭😭 Amina 🙏🙏
wewe sio msanii wa kawaida 🙌🙌
Thank you for watching!!! Hip hop 💪🏽💪🏽💪🏽
@pmfour2648
2 жыл бұрын
Q
@richardmweri7918
2 жыл бұрын
Uko juu sana
ni deep sana na ndio maana wanaita ngumu ku-rap, deep kama chumvi kwenye uvungu wa nyapu/ kabla hujani-book nitoe kwenye hayo mafungu pumbavu, mi' sio malaika mi' ni Mungu wa rap Haleluyah!
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
Lufufu kafufuka, vina upo makini kushinda Joh! Umevunja mwamba wa kaskazini 💪💪💪💪
Kali sana Dizasta
home boy we ni noma kaka we ni HOMA🌡🌡🌡🌡🌡🌡 sasa🌡
Shida ni tunaishia kusifia and then support ya msingi hatutoi kesho mtu ksscha mziki ooh tumemiss floor zako, kitu knatakiwa ujue ukipenda lipia thamani ya upendo mwana katoa Album tukanunue sasa cause vyuma vipo vya kutosha
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Ivyo hii imekuwa zawadi moja nnzuri sanaa nauanza mwaka na ngoma moja kali sana
@dizastavina
4 жыл бұрын
Happy birthday
Niko na mafundi akina Ngugi wanawapa salamu .....🙌
Namkubali xana dizaster hakunaga kama yeye TZ hakika ni kubwa mejah
nishavunja mwamba Kaskazini, Tanzania hakuna Mroma mwenye stamina ya ku-rap na mimi, mizuka hewani utadhani anaye-rap ni jini, nusu mtu nusu rap machine/ 👐👐
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
WEWE NI Mungu wa rap sina shaka nawe,as hip hop we real proud of you
wacha wacha!!!Weka mbali na watoto asee track imeshiba kwa kila barz big up sana D vina
Kama umepitia tribulation ya mwamba kuja huku gonga like tukisonga❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Fundiiiiii!🔥🔥 unavyotema vina unanikosha kwel we ni rap messiah
Kikubwa tukubaliane ya kwamba ni no body is safe🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Nakubal sana ujawai kuniangusha
Unaandika sana mkali 🔥 hakika toleo la mwisho la viumbe wa aina yako
Dahhhhhh nilikuwaga wapi????😢😢😢😢
Nusu mtu, Nusu rap machine 🎶 DIZASTA MAISHA 🎶
@officer1208
4 жыл бұрын
Dizasta Vina ni 🔥🔥🔥
wejamaa ninoma kabisa
Daaaah huyu jamaa noma Sana
Imefukia ngoma zingine zote
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
Nani kaskia hii Tofauti NGONO au DRAMA za DOMO na wenzake🤣🤣🤣🤣🤣
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
yan kwahapa nimeipata fraha iliyo kua imeanza kupotea kuk Hus wew mwamba kizaz mzeee
Mtu mwenye vina vyake
Mi nakulewa saana kaka, nyimbo zako zote ninazo.
Rappers kama hawa walipoteaga kitambo... he's the real meaning of Rapper
@dambwelahiphop
4 жыл бұрын
Bro walipotea vip na unawaona ?
@dambwelahiphop
4 жыл бұрын
Hip hop inaishi ndani yao waaminio.
@thelonewolf4429
4 жыл бұрын
@@dambwelahiphop huja nielewa nini namaanisha... Gold is hard to find. Kupata ma rapper kama hawa ni vigumu. Jamaa ni noma huyu
@idrisakugwile4852
4 жыл бұрын
Emcee
@dizastavina
4 жыл бұрын
@@dambwelahiphop true
Pure definition of definition to define Salute sn mwamba mkuu
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
Hakuna mroma mwenye stamina ya ku rap na mm🙉🙉😂😂
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
wewe ni janga (disaster) kwahiyo janga limetokea hakuna aliesalimika ,yaaaap 💯💯
Nmempata mungu wa Hip Hop hao wengne, wanaimba kwa ajili ya njaa na wala sio HIP HOP! Namkubal sana huyu jamaa, usisahau kusubscribe KZread channel yake🙏🙏
@nichorausmubhilizi4850
3 жыл бұрын
Aise dizasta kama dizasta,huyu jamaa utadhani ana Phd kabisa,respect kwake. Dizasta, Nash mc,Nick mbisho,young killer, Tamaduni juuu,
No body is safe for sure broo🙌🙌🙌
Nakubal mkal Dizast vina we ni 🔥🔥
Kwa heshima Namnyanganya mic madee😂🔥🔥
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
2024 bado inatesa🎉🎉
We jamaaaa yani natamani nikufiche ila sitaweza aseee🙌🏾🙌🏾🙌🏾Ni Konyooo nyokooo😄
@dizastavina
3 жыл бұрын
Thanks, please share
Akuna roma mwenye stamina ... Jamaa hufai ase Hio ndo sanaa
Tuning from Kenya big tune 🔥🔥🔥
Sema we jamaa unajua sana aseee daaah ni nomaaaa
Nimekua nikifatilia sana nyimbo za #dizasta kwa kipindi kirefu lakini bahati mbaya hivi karibuni sijaweza kufatilia sana na inaonyesha nimepitwa na nyimbo nyingi zilizotoka. Niliwahi pia sema jamii forums katika waandishi wa hip hop na flows dizasta kwangu ni best. Mimi ni mpenzi sana wa mashairi na flows. Napenda mashairi ya kufikirisha sio mepesi mepesi na dizasta kwangu yupo level ya juu sana kuliko anavyoona yeye. Keep up good work. #dizasta
@dizastavina
3 жыл бұрын
Appreciate the love and support, please share
@jozefuedmund2126
3 жыл бұрын
Dizasta Vina muhimu sana
umetisha mzee baba
Nakuzimia sana mwanangu 💥💥
Duh uyu mtu wanasubiri wengi sana maana sayansi ipo yakutosha
Dah..Muziki n chakula Cha Roho sas ii ndo lishe Bora sio kung'a ng'ania Manyimbo ya urimbo kwa zetu Dada
Niishie kusema tu kichwa cha Dizasta ni kizima sana......Thats how Rap is....
Genius..weh ni bidhaa bila expired date🔥🇰🇪
kwl D zasta wa moto kushnda jua
Ni nyoko sana
nadhan dizasta sio mwanamziki n maktaba ya mziki... rap machine
@dizastavina
3 жыл бұрын
Thanks, please share
Aiseee hii Namba 3 Ni ya Moto kushinda jua 🔥🔥🔥
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
"The next big thing Tanzania will ever see" ualisia ni the right now and 4ever big thing ambacho wachache tumekiona #soldier_in_dizastavinaz_army
Ambao wote tumecoment tujitahidi ku subscribe. Maradona yo killed this one.
@dizastavina
4 жыл бұрын
Sure...
Aiiiseeee The best mc kwenye hii Rap ya bongooo
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
Vina umeuwa 🔥🔥 🔥 Sana
Hujawahi nipoteza kwa hii road ya fikra,,,, rapGod
Noma
Ayeeee
Huu moto sio wa kawaida🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waoooooo huyu jamaa ni genius
*nimeshafika chap kama mwanga*
Hi ngum kumeza ni sawa na album zao 10 "kodi zinafanya wazungu wazunguke " word play+ punch line hatari sanA
Nakubal sna
msanii wang bora wa hip hop tang namjua had kesho
@alfredsoso9070
3 жыл бұрын
amna kama uyu.jamaa afrika mashariki
Heshima sana King Dizasta
Look at my family tree, look at my chemistry and look at my pedigree! That punchline is stunning 🔥
Mung yupo kaza mzee ipo cku dunia itacmama kwa tenz mahili walimwengu wackie One love mby boy
Unyama Dizasta vina since day onee nakubaliiii
Nilikua mtupu, nikaokota buku, nikabukukaaa.....Dizasteeeeeeer
Hakuna mroma wa kurap na dizasta vina
Ww ni So Genius
@dizastavina
3 жыл бұрын
Thanks, please share
Yeaaaaaaaaah
Damm. ... deep kama chumvi kwenye uvungu wa nyap hahah
Deep ka chumvi kwenye uvungu wa nyap,,,u,we so malaika we ni Mungu wa rap hallelujah haaaa
@msafirifabian2143
4 жыл бұрын
Hahaha Verse Ni Noma Sana 😂😂😂
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
🤣🤣
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
ni deep sana na ndio maana wanaita ngumu ku-rap, deep kama chumvi kwenye uvungu wa nyapu/ kabla hujani-book nitoe kwenye hayo mafungu pumbavu, mi' sio malaika mi' ni Mungu wa rap Haleluyah!
Unyama mwingi vina
Cjutii kabsa kukusikiliza Dizasta Vita
Hahah uvungu wa nyap....loh...hApo mpoo wazee
Bonge la ngoma home boy🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
Listening from Kenya. Stellar and exquisite music.
Nakubali Brother
Unajua bro
Mamae walai
Nakukubali kuwa unafanya tafiti katika ngoma zako.
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
Legend kama Koffi Olomide, naikamada Dar kama daudi wa Korormije !! Huu moto wa Disazta hauzimwi kwa fire extinguisher !!
@dizastavina
3 жыл бұрын
Please share
inabidi tuwaite mcee's waje kujifunza utunzi 🙌🙌
Always your different bro. ⭐
We mtu ni balaa, salute kwako
Makini home BOY on fire
Kaz nzur
Hip hope..Milele hii ngoma full nimeielewaaa sanaaaaa
Kali sana
Nyimbo nzuri sana
Profesa tungo 🙌🙌🙌🙌🔥🔥💯
PROF TUNGO TATA..💯
Nafika kilele ila sipigi kelele kama nyinyi dizasta vina bwana