Dizasta Vina - Nobody is safe 4 (Official Music Video)
Музыка
Music Video of Dizasta Vina performing NIS4
Category: Music
Song title : NIS 4
Artist: Dizasta Vina
Music: Ringle Beatz
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Soundcloud - / nobody-is-safe-4
Nobody is safe 4 - myurls.co/dizastavina
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Пікірлер: 692
Mwamba hatari nimejikuta Spotify nikadownload kila kitu chake acha speaker ipasuke. Love from🇰🇪
Naamini wenye akili ndio wanaelewa hip-hop ya dizasta usiwaze kuona wengi hawaelewi maana wapumbavu huwa hawaelewi vitu vya maana.
Nakubali sana ❤❤❤❤ mkombozi wa imani yngu faraja yngu big time bro
Ww jamaaa unajuwa xan
Hii si ya kupigwa disco😄😄😄😄
Wanasema nmeenda shule af na Rap kichizi// Nina star look, Nice af bado silingi// 🙌🙌🙌
Mi ni toleo la mwisho la viumbe vya aina yangu 🔥
Gari mbovu huezi lisukuma kwa kukaa ndani yake.... kwa wale wajanja pekee wanaona hiyo salute these homie one of my best artist
MARAPPER wengi siwaoni wakipata chakuandika kwenye ngoma zako BRO watabaki TU wakiulizana MAANA wewe Ni 🔥🔥🔥🔥🔥
utasem mkonO wa mungu umeNdika hii...sio malaik ni mungu w rap@Dizasta
Ningekuwa na pesa nymbo zako zote ningefanya video ur so cool budy
Umetisha mzee ur de one in de million rapper hapa bongo
We jamaa ni noma sanaa,i wish upewe darasa chuo kikuu
Ninalea wanafunz na madaftar Yao Aseee nakubar sana
Simba wa Teranga af nna nGuvu zaidi Ya DROGBA Professor TUNGO 👐🔥
Dah.. wew jamaa huwa sichoki kuskiliza ngoma zako Coz zna package hatar
Ime shine medulla vingi navijua na siringi jamaa aah 😷😷😷💪💪💪💪 Mi Ni toleo la mwisho kwenye taifa la Aina yangu 💪💪💪💪
My favorite rapper of all time, I wonder why watu hawamzingatii kakaangu...... But unajua sana bro🔥🔥🔥🔥🔥maujuzi mengi ila yamezibwa..
Nitaendelea kusema kwamba dizasta ananifanya niishi kwenye future alf niishi kwenye past at the same time wakati huo nipo present... This nigga is too far
Mimi ni zigi nae ficha stimu mtaan...... Panorama Country.......💥💥💥💥
Utaishia kuomba msaada kwa mungu baba bless, hahahahaaaa brother shikamoh
Hadi tumamaliza mwaka 2023 sijawahi sikia kali zaidi hii, hii sio yakuisha leo hii, hii itaishi miaka mingi hii, imefunika ngoma zote za hiphop za 2023 hii. Ngoja tusubir mwaka 2024 kama kuna itayofunika zaidi. Mimi Nasimama na Dizasta Vina wewe je!!?
The best rapper all time for me braza dizasta wewe nikama nabii wakizazi cha rap TANZANIA kwangu sijaona kwa kizazi hiki
Last time kupenda hiphop ilikua ni nyimbo ya Hisia na hapo verse ya One the Incredible ndiyo iliyonishawishi. But this dude ni next in level.
Toleo la mwisho laviumbe waaina yangu 😂🙌✊🔥
style yako ime inspire the culture(tamaduni),ime inspire Manengo,Shoulin, Nacha, Boshoo, young killer, maarifa uyu big thinker na rapcha..this is good art😀😀😂
@zachariamanga1061
2 жыл бұрын
Sanaaaa nmemuelewa hapoo sanaaa na ni kweli
@user-jo6hv6du7k
3 ай бұрын
Shida wenye Wana kata awaja be inspired
Best of all the time, una skills una content una akili kubwa sana man unafanya mambo hadi nahisi we ni jamii ya 👽 tanzania ijivunie san huyu mtu
*Hip Hip IPO kwenye mikono salama kupitia huyu MTU VINA DIZASTA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥* Mimi ni toleo LA mwisho LA viumbe aina yangu 😂😂👏👏👏
Nadani tumeshakubaliana kuwa Dizasta ndo Emcee mkali aliyebaki bongo
nakukubali xan mwanang ani kiukwel kak daaaaa acha iwe iv ila tupo tunaokuckilza na kukueshimu xan kweny music wa hip hop
Dizasta keep it up brother, unajua sana mwamba
Bro yaan ngoma yako hainikifuu we nomaaa sanaaa
Eti bongo msanii mkubwa hiphop ni Young Lunya, daah!! For Me Moja ni Dizastar, mbili ni Conboi
Sio Montra Tu Wengi hatujaelewa Daaah hawa jamaa kama umetega shule huwezi kuambulia chochote
Dizasta vina mkali san ww jamaa sjutii kusikiliz ngoma zako
Dizasta ni Kisanga kijacho ☠☠☠
Marapa wote bongo dizasta ni namba moja
💣 💣......Mfano wa mundu au beto/...MC mtundu kwenye mental/...facts zina-shout beyond yur reasnable doubt, naish kwenye dimension ambayo miungu tu ina-settle/......🎤🎤
Najaribu kuwaza huwa unakua katika motion gan unapo drop bars heavy like this Yooh hii ni expensive wisdom men ambayo media hawaihusudu
Hii sio ya Kuitwa nyimbo hii, hii sio ya kupigwa Disco hii 🔥 🔥 🔥
Dizasta vina ni kina joh sabini na wakazi kadhaa wakitongoji mkija njooni makini
Ukiacha lyrics kali ambazo zitapingwa na mfinyu wa akili pekee, kuna hii IDEA ya kudrive GARI BOVU na kulitengeneza... Kuna ujumbe mzito kwenye idea ya video kisha compare na idea ya ngoma🔥🔥🔥
@luganomwambulutukutu5000
Жыл бұрын
Kaka genius @davista vina pekee ndo anaweza kufanya alicho fanya inaimba hip hop iliyoalibiwa na kua mbovu lakini ameamua kuitengeneza iwe imara hakika huyu katoka nje ya hii galaxy
@alliymohamedalliy6524
Жыл бұрын
🤦♂️ Wachache tunao elewa ulicho kiongealea. Appreciate 🥂
@user-age
8 ай бұрын
Kama umeelewa maana ya hiyo gari... Kuja posta tujadili 😅😅😅 huyu ni mtu ni master🎉🎉🎉
Unstoppable vina, I wish Nikutane na huyu jamaa ntatimiza ndoto oneday 🙏🏿👊🏿 salute homeboy D
Msanii wangu bora Tz kwa Wakati wote jamaa anaandika sana mpama sio poa na arudii mistar ni 💥💥 PRIDE OF TZ🇹🇿
Motooo sana zaidi ya moto wenyewe
Mm ni toleo la mwisho kwenye viumbe vya aina yako hahah 💪
Mwenye anaweza niandikia hyo intro afanye hvyo, ntamshukuru 😢
@dizastavina
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hKtqp66NdtLQoto.html lyrics
We ndo Toleo la mwisho la viumbe wa aina yako 🙌🙌🙌🙌🙌
Dizasta mungu wake mungu wa rap unaandika bro king of underground mitutu inakofichwa bro tuzo mbona awakupi mziki wabongo SEMA ucwaze gheto unatuzo zakutosha uku mbeya cku unakuja kuchukua njoo na titaniki
Nimeona kweli hapa hakuna mtyuu aliyebaki salama
Sijui kwann hupeleki mziki wako media bro believe unafans wengi sana wanao kujua na wasio kuja wakisikia mziki wako wataamini
Mitaa inakuelewa sana dizasta unajua sana mwamba
imefanyika kazi sana kuleta tiba sahihi kwa ubongo ,tiba ya kufungia mwaka hii
Nakubali sana arakati zako dizasta vina shar up bro
Ukimuangalia kwenye video na nyimbo anazoimba ni tofauti sana maana ukimuangakia unamuona kama dogo janja lakini vitu anavyoimba nikama mtu mwenye miaka 70 etc..
dizasta vina pamoja sanaaaaaaaaa
Tupo trending mungu ni mwema Dizasta Vina #1
Tunaburudika na mziki wetu msioelewa mtuache ,big up Dizasta
Hujawah niangusha kaka pgap sana mwanangu
Leo ndio nimeambiwa nimskize huyu mtu,na kweli nimeamini huyu ni shida asee....rap tam mpaka mamadam wanaapriciate
Huyu mtu ni nusu mtu nusu jini....nusu big nusu pac
Aiii.Dizasta vina tisha sana.
My beste rapa ever..... ni zaid ya raba ni mwana philosopher
Dizasta vina respect sana Broo unaiwakilisha vyema mitaa
🔥Bro wee ni Genius hii ngoma ilipaswa itoke 2060 uko mbele Muda bro.... Long live The real MC that we have🔥
Unyama mwingi vina
Mc anae ishi future, Kaka unajua Hii inaitwa No rapper is Safe
Watakuelewaa tu mi sina shaka na uwezoo wakoo
We mkali sana. Na unajua sana ila Tanzania mziki umekua pia. Na kama hauna akili ya kucheza na mashabiki utakushinda wagumu wa kuskiliza ngoma kama hizi ni wachache. Cheki Con boy anavotaabiki halafu mcheki linya . lunya alicheza na akili za watu tuu bc akashinda
Mpaka tugonge namba 1
Kweli kutangulia si kufika, aliyekuja Leo ndo kafika. Jamaa umetisha zaidi ya maMC wengi wazuri na wakongwe 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ahsante saaana
Proffessor wa vina🙌🏾....nainjoy kumskliza huyu braza knoma✊🏼 HIPHOP 4Life
Isee manengo,nacha,mawenge.isee rakim,rupe fiasco, nas
Am king Paul from norway 🌏 lakin amini usiamin huyu jamaa ni balaaa sizan kama hao wapiga kelele wanafika levo hizi, keep up good work mwamba wa kusini 🤏
Huyu mwamba anajua sana
Duuh dizasta umetisha ngoma kali kinoma
tisha sana mkuu nakubali jangili aliye kabiziwa beto
Mia 💯 all the way tune in from🇰🇪Kenya
Dizasta toleo la mwisho
Noma bro
Aiseee... Giiia ni noma na nusu
RESPECT MAN unajua zaid yao
Duuh...uyu jamaa anajua mpka anaboa🔥
Final ...... Ime toka 📌 Bado hatia 5
Baada proffessor Jay ni Dzasta
Tunajua sana asee, alaf haturingi. Ishi sana mtaalam VINA...
Kuna mudah unajiuliza hio HIP HOP wanayo i promote wao ni ipi kwa sababu Hip hop tunayo ijua na kuilewa sisi ndio hii hapa ✊🏿
😂😂😂😂wazee nimerudi tena baada ya kusikiliza kwa makini sana hi ngoma nimekubali ni hatari sana🔥🔥🔥 mwanzo niliona kama safe 2 ndo kali zaid, 🤔🤔huyu mwamba anaandika asee inabidi utulize boga lako kumuelewa
Huyu ni kiongozi PERIOD.
Bro we Kweli ni Msongo wa Mawazo Sema tu kwa kuwa mawazo hayaonekani Hatuwezi jua maumivu yao. Toleo la Mwishooooo 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Outstanding magnificent 🔥🔥🔥🔥 Ya moto mpka inamwagikia💪 out of this world 🌎
Nimeketi ukweli umesimama meli zilizosheheni zina zama. Mi ndo toleo la mwisho la aina yangu
Duh!! Oh man, this is crazy!!!
Mungu atawafungua ubongo wasokuelewa
Ati mlisema kuna watu wanaimba ngumu???? huyu jamaa ni concious sanaa ni suala la muda tu
Kaka unaweza sn
Natingisha alichonipa Mama "Ubongo" 💥
Mimi ni toleo la mwisho la viume wa aina yangu Dizasta🙌🏿🙌🏿
Navijua lakn hata shilingi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. nakubali sana.