Dizasta Vina - Nobody is safe 4 (Official Music Video)

Музыка

Music Video of Dizasta Vina performing NIS4
Category: Music
Song title : NIS 4
Artist: Dizasta Vina
Music: Ringle Beatz
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Soundcloud - / nobody-is-safe-4
Nobody is safe 4 - myurls.co/dizastavina
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina

Пікірлер: 692

  • @luckylakey0613
    @luckylakey0613 Жыл бұрын

    Mwamba hatari nimejikuta Spotify nikadownload kila kitu chake acha speaker ipasuke. Love from🇰🇪

  • @kigotymeentertainmentkigoy4858
    @kigotymeentertainmentkigoy48582 жыл бұрын

    Naamini wenye akili ndio wanaelewa hip-hop ya dizasta usiwaze kuona wengi hawaelewi maana wapumbavu huwa hawaelewi vitu vya maana.

  • @user-rw9bl5je4d
    @user-rw9bl5je4d27 күн бұрын

    Nakubali sana ❤❤❤❤ mkombozi wa imani yngu faraja yngu big time bro

  • @SimoniAlex
    @SimoniAlex7 ай бұрын

    Ww jamaaa unajuwa xan

  • @imranabdul3929
    @imranabdul39292 жыл бұрын

    Hii si ya kupigwa disco😄😄😄😄

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Жыл бұрын

    Wanasema nmeenda shule af na Rap kichizi// Nina star look, Nice af bado silingi// 🙌🙌🙌

  • @shaddyqualityfurniture3595
    @shaddyqualityfurniture35952 жыл бұрын

    Mi ni toleo la mwisho la viumbe vya aina yangu 🔥

  • @pumaworriorsacrodance97
    @pumaworriorsacrodance97 Жыл бұрын

    Gari mbovu huezi lisukuma kwa kukaa ndani yake.... kwa wale wajanja pekee wanaona hiyo salute these homie one of my best artist

  • @Nanjaboy-hk2yc
    @Nanjaboy-hk2yc Жыл бұрын

    MARAPPER wengi siwaoni wakipata chakuandika kwenye ngoma zako BRO watabaki TU wakiulizana MAANA wewe Ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nicholauspeter01
    @nicholauspeter012 жыл бұрын

    utasem mkonO wa mungu umeNdika hii...sio malaik ni mungu w rap@Dizasta

  • @leenation785
    @leenation7852 жыл бұрын

    Ningekuwa na pesa nymbo zako zote ningefanya video ur so cool budy

  • @genovevaernest1643
    @genovevaernest16432 жыл бұрын

    Umetisha mzee ur de one in de million rapper hapa bongo

  • @klcmedia2503
    @klcmedia25032 жыл бұрын

    We jamaa ni noma sanaa,i wish upewe darasa chuo kikuu

  • @fanuelyfesto5690
    @fanuelyfesto56902 жыл бұрын

    Ninalea wanafunz na madaftar Yao Aseee nakubar sana

  • @dankirunda3368
    @dankirunda33682 жыл бұрын

    Simba wa Teranga af nna nGuvu zaidi Ya DROGBA Professor TUNGO 👐🔥

  • @davidjoseph9776
    @davidjoseph97762 жыл бұрын

    Dah.. wew jamaa huwa sichoki kuskiliza ngoma zako Coz zna package hatar

  • @darprprime3492
    @darprprime34922 жыл бұрын

    Ime shine medulla vingi navijua na siringi jamaa aah 😷😷😷💪💪💪💪 Mi Ni toleo la mwisho kwenye taifa la Aina yangu 💪💪💪💪

  • @octavianmushi928
    @octavianmushi9282 жыл бұрын

    My favorite rapper of all time, I wonder why watu hawamzingatii kakaangu...... But unajua sana bro🔥🔥🔥🔥🔥maujuzi mengi ila yamezibwa..

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake47002 жыл бұрын

    Nitaendelea kusema kwamba dizasta ananifanya niishi kwenye future alf niishi kwenye past at the same time wakati huo nipo present... This nigga is too far

  • @yoshuaemily3021
    @yoshuaemily30212 жыл бұрын

    Mimi ni zigi nae ficha stimu mtaan...... Panorama Country.......💥💥💥💥

  • @officialmankezo2064
    @officialmankezo20642 жыл бұрын

    Utaishia kuomba msaada kwa mungu baba bless, hahahahaaaa brother shikamoh

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza3277 ай бұрын

    Hadi tumamaliza mwaka 2023 sijawahi sikia kali zaidi hii, hii sio yakuisha leo hii, hii itaishi miaka mingi hii, imefunika ngoma zote za hiphop za 2023 hii. Ngoja tusubir mwaka 2024 kama kuna itayofunika zaidi. Mimi Nasimama na Dizasta Vina wewe je!!?

  • @jumawaroad3006
    @jumawaroad30062 жыл бұрын

    The best rapper all time for me braza dizasta wewe nikama nabii wakizazi cha rap TANZANIA kwangu sijaona kwa kizazi hiki

  • @Official_adasco
    @Official_adasco Жыл бұрын

    Last time kupenda hiphop ilikua ni nyimbo ya Hisia na hapo verse ya One the Incredible ndiyo iliyonishawishi. But this dude ni next in level.

  • @crysonmwinuka3108
    @crysonmwinuka31082 жыл бұрын

    Toleo la mwisho laviumbe waaina yangu 😂🙌✊🔥

  • @allanmussula5643
    @allanmussula56432 жыл бұрын

    style yako ime inspire the culture(tamaduni),ime inspire Manengo,Shoulin, Nacha, Boshoo, young killer, maarifa uyu big thinker na rapcha..this is good art😀😀😂

  • @zachariamanga1061

    @zachariamanga1061

    2 жыл бұрын

    Sanaaaa nmemuelewa hapoo sanaaa na ni kweli

  • @user-jo6hv6du7k

    @user-jo6hv6du7k

    3 ай бұрын

    Shida wenye Wana kata awaja be inspired

  • @Paplick9
    @Paplick910 ай бұрын

    Best of all the time, una skills una content una akili kubwa sana man unafanya mambo hadi nahisi we ni jamii ya 👽 tanzania ijivunie san huyu mtu

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel77522 жыл бұрын

    *Hip Hip IPO kwenye mikono salama kupitia huyu MTU VINA DIZASTA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥* Mimi ni toleo LA mwisho LA viumbe aina yangu 😂😂👏👏👏

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim42972 жыл бұрын

    Nadani tumeshakubaliana kuwa Dizasta ndo Emcee mkali aliyebaki bongo

  • @amosmashaka9837
    @amosmashaka98372 жыл бұрын

    nakukubali xan mwanang ani kiukwel kak daaaaa acha iwe iv ila tupo tunaokuckilza na kukueshimu xan kweny music wa hip hop

  • @Elly_corner
    @Elly_corner11 ай бұрын

    Dizasta keep it up brother, unajua sana mwamba

  • @changatz1625
    @changatz16252 жыл бұрын

    Bro yaan ngoma yako hainikifuu we nomaaa sanaaa

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness11812 жыл бұрын

    Eti bongo msanii mkubwa hiphop ni Young Lunya, daah!! For Me Moja ni Dizastar, mbili ni Conboi

  • @hamisfufuru6294
    @hamisfufuru62942 жыл бұрын

    Sio Montra Tu Wengi hatujaelewa Daaah hawa jamaa kama umetega shule huwezi kuambulia chochote

  • @mayellahmedia9936
    @mayellahmedia99362 жыл бұрын

    Dizasta vina mkali san ww jamaa sjutii kusikiliz ngoma zako

  • @rashidramadhan7708
    @rashidramadhan77082 жыл бұрын

    Dizasta ni Kisanga kijacho ☠☠☠

  • @benjaminwangwe3895
    @benjaminwangwe38952 жыл бұрын

    Marapa wote bongo dizasta ni namba moja

  • @barakaedwin176
    @barakaedwin1762 жыл бұрын

    💣 💣......Mfano wa mundu au beto/...MC mtundu kwenye mental/...facts zina-shout beyond yur reasnable doubt, naish kwenye dimension ambayo miungu tu ina-settle/......🎤🎤

  • @leonardmariano8335
    @leonardmariano83352 жыл бұрын

    Najaribu kuwaza huwa unakua katika motion gan unapo drop bars heavy like this Yooh hii ni expensive wisdom men ambayo media hawaihusudu

  • @sayedkhamis5204
    @sayedkhamis52042 жыл бұрын

    Hii sio ya Kuitwa nyimbo hii, hii sio ya kupigwa Disco hii 🔥 🔥 🔥

  • @daudjason9053
    @daudjason90532 жыл бұрын

    Dizasta vina ni kina joh sabini na wakazi kadhaa wakitongoji mkija njooni makini

  • @OVMiNG
    @OVMiNG2 жыл бұрын

    Ukiacha lyrics kali ambazo zitapingwa na mfinyu wa akili pekee, kuna hii IDEA ya kudrive GARI BOVU na kulitengeneza... Kuna ujumbe mzito kwenye idea ya video kisha compare na idea ya ngoma🔥🔥🔥

  • @luganomwambulutukutu5000

    @luganomwambulutukutu5000

    Жыл бұрын

    Kaka genius @davista vina pekee ndo anaweza kufanya alicho fanya inaimba hip hop iliyoalibiwa na kua mbovu lakini ameamua kuitengeneza iwe imara hakika huyu katoka nje ya hii galaxy

  • @alliymohamedalliy6524

    @alliymohamedalliy6524

    Жыл бұрын

    🤦‍♂️ Wachache tunao elewa ulicho kiongealea. Appreciate 🥂

  • @user-age

    @user-age

    8 ай бұрын

    Kama umeelewa maana ya hiyo gari... Kuja posta tujadili 😅😅😅 huyu ni mtu ni master🎉🎉🎉

  • @shaddyqualityfurniture3595
    @shaddyqualityfurniture35952 жыл бұрын

    Unstoppable vina, I wish Nikutane na huyu jamaa ntatimiza ndoto oneday 🙏🏿👊🏿 salute homeboy D

  • @jacksonrichard4630
    @jacksonrichard46302 жыл бұрын

    Msanii wangu bora Tz kwa Wakati wote jamaa anaandika sana mpama sio poa na arudii mistar ni 💥💥 PRIDE OF TZ🇹🇿

  • @danielngotto9195
    @danielngotto91952 жыл бұрын

    Motooo sana zaidi ya moto wenyewe

  • @johnmodekai5525
    @johnmodekai55252 жыл бұрын

    Mm ni toleo la mwisho kwenye viumbe vya aina yako hahah 💪

  • @kajaradotto9042
    @kajaradotto9042 Жыл бұрын

    Mwenye anaweza niandikia hyo intro afanye hvyo, ntamshukuru 😢

  • @dizastavina

    @dizastavina

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hKtqp66NdtLQoto.html lyrics

  • @williamnazzareno8889
    @williamnazzareno88892 жыл бұрын

    We ndo Toleo la mwisho la viumbe wa aina yako 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @revolutionintanzania4842
    @revolutionintanzania48422 жыл бұрын

    Dizasta mungu wake mungu wa rap unaandika bro king of underground mitutu inakofichwa bro tuzo mbona awakupi mziki wabongo SEMA ucwaze gheto unatuzo zakutosha uku mbeya cku unakuja kuchukua njoo na titaniki

  • @amanmwambapa1892
    @amanmwambapa18922 жыл бұрын

    Nimeona kweli hapa hakuna mtyuu aliyebaki salama

  • @batrabandatv1826
    @batrabandatv18262 жыл бұрын

    Sijui kwann hupeleki mziki wako media bro believe unafans wengi sana wanao kujua na wasio kuja wakisikia mziki wako wataamini

  • @farajiabdallah2781
    @farajiabdallah27812 жыл бұрын

    Mitaa inakuelewa sana dizasta unajua sana mwamba

  • @antonrichard2249
    @antonrichard22492 жыл бұрын

    imefanyika kazi sana kuleta tiba sahihi kwa ubongo ,tiba ya kufungia mwaka hii

  • @eliaboniface101
    @eliaboniface1012 жыл бұрын

    Nakubali sana arakati zako dizasta vina shar up bro

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe37745 күн бұрын

    Ukimuangalia kwenye video na nyimbo anazoimba ni tofauti sana maana ukimuangakia unamuona kama dogo janja lakini vitu anavyoimba nikama mtu mwenye miaka 70 etc..

  • @xhamzy
    @xhamzy2 жыл бұрын

    dizasta vina pamoja sanaaaaaaaaa

  • @officialleetz608
    @officialleetz6082 жыл бұрын

    Tupo trending mungu ni mwema Dizasta Vina #1

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto17522 жыл бұрын

    Tunaburudika na mziki wetu msioelewa mtuache ,big up Dizasta

  • @giselltarimo7867
    @giselltarimo78672 жыл бұрын

    Hujawah niangusha kaka pgap sana mwanangu

  • @ronaldissack4403
    @ronaldissack44032 жыл бұрын

    Leo ndio nimeambiwa nimskize huyu mtu,na kweli nimeamini huyu ni shida asee....rap tam mpaka mamadam wanaapriciate

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 Жыл бұрын

    Huyu mtu ni nusu mtu nusu jini....nusu big nusu pac

  • @robifilosomaniofficialonli4272
    @robifilosomaniofficialonli42722 жыл бұрын

    Aiii.Dizasta vina tisha sana.

  • @user-rw5eu6pp1m
    @user-rw5eu6pp1m7 ай бұрын

    My beste rapa ever..... ni zaid ya raba ni mwana philosopher

  • @rashidiramadhani1420
    @rashidiramadhani14202 жыл бұрын

    Dizasta vina respect sana Broo unaiwakilisha vyema mitaa

  • @estonsmart
    @estonsmart Жыл бұрын

    🔥Bro wee ni Genius hii ngoma ilipaswa itoke 2060 uko mbele Muda bro.... Long live The real MC that we have🔥

  • @MariamMfaume-kr7pb
    @MariamMfaume-kr7pb Жыл бұрын

    Unyama mwingi vina

  • @pirlofredrick5349
    @pirlofredrick53492 жыл бұрын

    Mc anae ishi future, Kaka unajua Hii inaitwa No rapper is Safe

  • @johnjenks9519
    @johnjenks95192 жыл бұрын

    Watakuelewaa tu mi sina shaka na uwezoo wakoo

  • @karaajefukara5152
    @karaajefukara51522 жыл бұрын

    We mkali sana. Na unajua sana ila Tanzania mziki umekua pia. Na kama hauna akili ya kucheza na mashabiki utakushinda wagumu wa kuskiliza ngoma kama hizi ni wachache. Cheki Con boy anavotaabiki halafu mcheki linya . lunya alicheza na akili za watu tuu bc akashinda

  • @petersimon2115
    @petersimon21152 жыл бұрын

    Mpaka tugonge namba 1

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 Жыл бұрын

    Kweli kutangulia si kufika, aliyekuja Leo ndo kafika. Jamaa umetisha zaidi ya maMC wengi wazuri na wakongwe 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kinjeketilewaii654
    @kinjeketilewaii6542 жыл бұрын

    Ahsante saaana

  • @dimoclassic_tz8334
    @dimoclassic_tz83342 жыл бұрын

    Proffessor wa vina🙌🏾....nainjoy kumskliza huyu braza knoma✊🏼 HIPHOP 4Life

  • @jamesjr6086
    @jamesjr6086Ай бұрын

    Isee manengo,nacha,mawenge.isee rakim,rupe fiasco, nas

  • @kavuboymbg858
    @kavuboymbg8582 жыл бұрын

    Am king Paul from norway 🌏 lakin amini usiamin huyu jamaa ni balaaa sizan kama hao wapiga kelele wanafika levo hizi, keep up good work mwamba wa kusini 🤏

  • @omarishabani5524
    @omarishabani55245 ай бұрын

    Huyu mwamba anajua sana

  • @esmnyumbani1212
    @esmnyumbani12122 жыл бұрын

    Duuh dizasta umetisha ngoma kali kinoma

  • @AfroDemoz
    @AfroDemoz2 жыл бұрын

    tisha sana mkuu nakubali jangili aliye kabiziwa beto

  • @joxxjonka
    @joxxjonka5 ай бұрын

    Mia 💯 all the way tune in from🇰🇪Kenya

  • @godmbwanga8658
    @godmbwanga86582 жыл бұрын

    Dizasta toleo la mwisho

  • @donprince9752
    @donprince97522 жыл бұрын

    Noma bro

  • @boyzackmdalingwa1169
    @boyzackmdalingwa11692 жыл бұрын

    Aiseee... Giiia ni noma na nusu

  • @bonaventuramtwaki873
    @bonaventuramtwaki873 Жыл бұрын

    RESPECT MAN unajua zaid yao

  • @suleymanathman4085
    @suleymanathman40852 жыл бұрын

    Duuh...uyu jamaa anajua mpka anaboa🔥

  • @dapperdarkchild4063
    @dapperdarkchild40632 жыл бұрын

    Final ...... Ime toka 📌 Bado hatia 5

  • @erickodhiambo6994
    @erickodhiambo69947 ай бұрын

    Baada proffessor Jay ni Dzasta

  • @joakimmwalukosi5671
    @joakimmwalukosi56712 жыл бұрын

    Tunajua sana asee, alaf haturingi. Ishi sana mtaalam VINA...

  • @franciscojonja1164
    @franciscojonja11642 жыл бұрын

    Kuna mudah unajiuliza hio HIP HOP wanayo i promote wao ni ipi kwa sababu Hip hop tunayo ijua na kuilewa sisi ndio hii hapa ✊🏿

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata23122 жыл бұрын

    😂😂😂😂wazee nimerudi tena baada ya kusikiliza kwa makini sana hi ngoma nimekubali ni hatari sana🔥🔥🔥 mwanzo niliona kama safe 2 ndo kali zaid, 🤔🤔huyu mwamba anaandika asee inabidi utulize boga lako kumuelewa

  • @bakariahmed4227
    @bakariahmed42277 ай бұрын

    Huyu ni kiongozi PERIOD.

  • @husseinrajab7560
    @husseinrajab75602 жыл бұрын

    Bro we Kweli ni Msongo wa Mawazo Sema tu kwa kuwa mawazo hayaonekani Hatuwezi jua maumivu yao. Toleo la Mwishooooo 🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @gervasscofield
    @gervasscofield2 жыл бұрын

    Outstanding magnificent 🔥🔥🔥🔥 Ya moto mpka inamwagikia💪 out of this world 🌎

  • @stewardngwale7051
    @stewardngwale70512 жыл бұрын

    Nimeketi ukweli umesimama meli zilizosheheni zina zama. Mi ndo toleo la mwisho la aina yangu

  • @edmondkitundu5149
    @edmondkitundu5149 Жыл бұрын

    Duh!! Oh man, this is crazy!!!

  • @johnjenks9519
    @johnjenks95192 жыл бұрын

    Mungu atawafungua ubongo wasokuelewa

  • @johnizoboy
    @johnizoboy2 жыл бұрын

    Ati mlisema kuna watu wanaimba ngumu???? huyu jamaa ni concious sanaa ni suala la muda tu

  • @williamjoseph5284
    @williamjoseph52842 жыл бұрын

    Kaka unaweza sn

  • @losserianchristopher8292
    @losserianchristopher82922 жыл бұрын

    Natingisha alichonipa Mama "Ubongo" 💥

  • @danielnathan2724
    @danielnathan27242 жыл бұрын

    Mimi ni toleo la mwisho la viume wa aina yangu Dizasta🙌🏿🙌🏿

  • @kibilendas1776
    @kibilendas17762 жыл бұрын

    Navijua lakn hata shilingi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. nakubali sana.

Келесі