Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto

Музыка

Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
Shot and edited by Dee ayo.
Stream/Download Achia jala
Boomplay - www.boomplay.com/songs/146659...
Mdundo - mdundo.com/song/2725437
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
KZread - • Dizasta Vina - Achia j...
Apple Music - / achia-jala-single
Spotify - open.spotify.com/album/3xZ5AX...
Genius - genius.com/Dizasta-vina-achia...
Other music by Dizasta Vina
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288611
KZread - / dizastavina
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Spotify - open.spotify.com/artist/1IC2b...
Apple music - / dizasta-vina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Spotify playlist - open.spotify.com/playlist/37i...
Genius - genius.com/DizastaVina
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter/ X - x.com/dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Lyrics
Oya
Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
Siwezi lala down town naitunza kaya
Niko around ninavunja taya
Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
Achia jala
Ni heri kuyashinda majaribu
Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
Baba alifeli siwezi feli pia
Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
Siwezi lala njaa itanigaraza
Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
Sina kazi nimedandia ndala
Alafu unanikazia fala
Bro achia Jala
Hauna shida ndo' maana unapendeza
Alafu unaniambia hauna fedha
Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
Achia jala ntakupiga mitama utajifia
Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
So achia jala
Dingi mwenyewe alitoboka
Madeni kama dhambi milele nakokota
Na alipodondoka nikarithi shida
Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
So, Achia jala
Sichezi kamali na washua
Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
Matumaini yako mbali
Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
Nilipenda kuwa rubani
Ila mambo ni makubwa ukubwani
Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
Kabla shamba halijakumbwa tufani
So achia jala
Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
Una-act kama Ndezi
Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
Nilichora plan na sikupiga mchele
Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
Nimeshika gun nitakuchezea shere
Achia jala,
Siwezi kudanganya kuhusu
Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
Usihubiri sisadiki maadili
Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
Achia jala
Mbunge halijui jina langu
Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
Niko peke yangu mimi na gun yangu
Nitaku pah pah
Kisha unione mamluki
Nitakuchezesha mabuzuki
Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
Nipo kazini so achia jala
Nitakutia ngwara ufe
Mafanikio ni kwa wale majasiri
Walio tayari kusubiri ni makupe
Nisikize brother
Ni'shafanya mamziki
Sikuvutia kukusanya mashabiki
Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
Mama ananiona failure for life
Na ninamisi kumbatio la wife
Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
Shemeji ananiona sio type
So achia jala, nitakubia roho nipe jala
Usinizoee usinipe gwara
Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
Achia jala
Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
jala ziko mbali nizifuge Kama zako
Wajomba masadali sio wabunge kama wako
Sijaenda shule yako...
I'll fucking shoot you, Achia jala
Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
Sijakwambia kwamba alisinzia baba
Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
Achia jala
Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
But I won't choose that hata ka' niko street smart.
nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......

Пікірлер: 850

  • @dizastavina
    @dizastavina8 ай бұрын

    Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini #DZSTVN

  • @PeterDaniels-ht7kd

    @PeterDaniels-ht7kd

    8 ай бұрын

    Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu

  • @verosir1416

    @verosir1416

    8 ай бұрын

    Mhuu Kal sana mtalamu

  • @sleifikhajjir262

    @sleifikhajjir262

    8 ай бұрын

    u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉

  • @richardmanolo5207

    @richardmanolo5207

    8 ай бұрын

    Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI

  • @bartazariluvanga3298

    @bartazariluvanga3298

    8 ай бұрын

    imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale47528 ай бұрын

    Kama unakubaliana na mimi kwamba hii Combination inatakiwa irudie collabo nyingine gonga like hapo ili washtuke

  • @LUSAJONGASSALA-xf5qu
    @LUSAJONGASSALA-xf5qu8 ай бұрын

    DIZASTA BRO WEWW NI ZAWADI KWA DUNIA ME NIMEKULA NGOMA ZOTE HIZI HAKIKA WEWE NI NOMA YA NOMA BROH HAVE LONG LIFE: confessions, hatias, no body is safes, enigma, shahidi, tribulation, muscular feminist, Sina, kesho, njia, last chapter, fallen angel, Yule Yule, gori la ushindi, maabara, word play, verteller, sister, ndoano, mlengwa, kijogoo, mwanajua, kanisa, wimbo usio Bora, achia jala etc... zote hzo zimezidi kuwa baraka kwa dunia.

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96378 ай бұрын

    Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %

  • @mohamedabdalla5302
    @mohamedabdalla53028 ай бұрын

    Hi Heri Kuyashinda Majaribu Ila Kufeli Ni Kushindwa Kujaribu 🇰🇪🙌

  • @HarunaGeorge-bp6hv
    @HarunaGeorge-bp6hv8 ай бұрын

    Dizasta noma sana kabla ya kusikiliza ngoma yake nieacha like kwanz sababu najua hukosei

  • @jonathanmussa474
    @jonathanmussa4748 ай бұрын

    Kakae kule kwa akina whozu na kina bonge la nyau.. siachii jala bro

  • @user-uu8yv5wn6n
    @user-uu8yv5wn6n8 ай бұрын

    Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana 😂 😊wewe bhna Kwa mandishi nakukubali miaka buku ..unajua sana

  • @dankarkije
    @dankarkije8 ай бұрын

    Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥

  • @ambokilenyondo3122
    @ambokilenyondo31228 ай бұрын

    Huwa nikiandika verses then nikikusikiliza dizasta nafuta verses naludi kusoma kufwatili kiundani uandishi Bora wa bars nimegee u genius Kidogo home boy niingie booth

  • @kelvinshonde4837
    @kelvinshonde48378 ай бұрын

    Nitatafuta jala mpk nipate WA kumtananisha Ila watalikosa jala langu salute kwenu

  • @KEVOSHIZO
    @KEVOSHIZO8 ай бұрын

    Sina kazi nimedandia ndala Alafu unanikazia fala Bro achia Jala Hauna shida ndo' maana unapendeza Alafu unaniambia hauna fedha. Punch line moja ya nguvu imenigusa sana!!

  • @ramalida2547
    @ramalida25478 ай бұрын

    Ata chongo uwa mfalme kwenye mji wa vipofu...dizasta vinna🙌

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla29308 ай бұрын

    Kaka vina we mchfu bro Yan ipingwi oioi kala Kama kala ngose msafiri nakubali 👊

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879
    @jacksonjacksonjacksonjacks98798 ай бұрын

    Ee bhana brother kamaliza poa sana achia jala

  • @ShabanAlly-lg7dp
    @ShabanAlly-lg7dp8 ай бұрын

    We jamaa,ni nomaaaaa,ukitaka kujua hii ngoma,ni kali isikilize mida flan ivi ukiwa umejichokea na msongo wa mawazoo😩😩

  • @leonardkweka1104
    @leonardkweka11048 ай бұрын

    Dude Tamu na zuri, Linafundisha na kusisimua hisia za Vijana Wapambanaji.

  • @karimchindema9823
    @karimchindema98237 ай бұрын

    Hii ni zaidi ya ngoma! Chakula cha ubongo, Ina ushauri, inatoa stress, inafungua akili, inamfanya mtu aamke apambane na maisha, inaokoa watu waliochoka na maisha, ni somo la afya ya akili... music market strategy dah! Aisee ni hatar aisee... Naendelea kupata vya kufundishia wanafunzi wangu skuli kwenye somo la literature

  • @leeskillz3734
    @leeskillz37348 ай бұрын

    (punguza maninja ndo uweze kumkumbatia mkeo) mstari wa maana sana maana ndoa nyingi huvunjika kwa watu wanaoendekeza masela na kusahau familia

  • @mariamhawaya1561
    @mariamhawaya15618 ай бұрын

    Nilipenda kuwa rubani.. ila mambo ni makubwa ukubwani🙌

  • @kelelesaid3019
    @kelelesaid30198 ай бұрын

    Dah kweli kusingelikuwepo Taifa angelikata Tamaa Nyerere 🤙

  • @ommygraphics4355
    @ommygraphics43558 ай бұрын

    Huyu jamaa wa vers ya pili ya yeye kauwa kinyama Daaah!

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz17358 ай бұрын

    Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥

  • @lutenganomwalivale754

    @lutenganomwalivale754

    Ай бұрын

    na reply kwako😎

  • @user-so6fu3yb5z
    @user-so6fu3yb5z8 ай бұрын

    Sisi kitaa ya kino tunamwita dizasta ni teacher wa ma teacher father wa mafather

  • @festobangi2560
    @festobangi25608 ай бұрын

    ONE minutes remainiiiii wananguiuuu tufurahie kitu roho inaaminiaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @meovinmwangomale8512
    @meovinmwangomale85127 ай бұрын

    Ila kaa la moto ni mbad uyu jamaa all in all dizasta tujengewe Sanamu lako mamayeeee

  • @user-mb7tq1lr1e
    @user-mb7tq1lr1e8 ай бұрын

    255 na 254 on top nakubali kaa la moto kiumbe

  • @crizostomsamson3543
    @crizostomsamson35438 ай бұрын

    Dizasta umeangamiza shout out kwa kaa la Moto

  • @mohamedmaphya7286
    @mohamedmaphya72868 ай бұрын

    Dude tamu sana lazma vijana tujifunze kujitegemea sio wote walionavyo wamerithi wengi wao wamehustle congratulations to both of you Disasta n Kaa

  • @nackplankton1669
    @nackplankton16698 ай бұрын

    Nilijua tu itakua shule,kumamaeee Hii kichwa nihatari sana

  • @hydratz9750
    @hydratz97508 ай бұрын

    Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂

  • @wapigajitv7530
    @wapigajitv75308 ай бұрын

    maisha yenyewe mafupi..... na hatuishi mara mbilii

  • @josureabely8899
    @josureabely88998 ай бұрын

    Ila aisee bro una content Kali sana Yan nataman Dunia ielew Aya madini adim

  • @festobangi2560
    @festobangi25608 ай бұрын

    Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako

  • @christopherizdory5302
    @christopherizdory53028 ай бұрын

    Hauwezi kuwa mtoto ukisha ZAA. Na mtoto hawez kula NDOTO ikija njaa ,pia kuna mstari wa nyimbo Yako X unasema " MAISHA YA NDOTO YATAISHA UTAIRUDIA KAWAIDA NA UTAGUNDUA Kuwa HAUKUWA MALAIKA" DIZASTAR VINA bro kila nikiingia online nataman kujua kuna nn kuhusu wewe.....ni noma appreciate💯

  • @user-kg9rj8xs6j
    @user-kg9rj8xs6j8 ай бұрын

    Salute vina nmetoka mbali sana na wewe vile hujui tu mwanangu nakukubali kinoma yaan

  • @dizastavina

    @dizastavina

    8 ай бұрын

    Yes fam ✌🏽

  • @abdfattah883
    @abdfattah8838 ай бұрын

    Dizasta Vina tena huku tunasubiria 6/1/2024

  • @saidamour6938
    @saidamour69388 ай бұрын

    Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani

  • @mzeebaba6045
    @mzeebaba60458 ай бұрын

    Konkiii... Black Maradona ft kaa LA moto... Oya weeeeee toa jala

  • @user-gd7to5ct9x
    @user-gd7to5ct9x8 ай бұрын

    Oya dizasta upati ktu leo respect hipo ya ziki la nazi.achia jala kaaaaa

  • @user-mb1yt6cn7g
    @user-mb1yt6cn7g8 ай бұрын

    1day na viewers ni 24k yasipoe haya machakula ya ubongo inatia moyo sanaa ❤ wana hip hop wote tukaze tufike 1M subscribers tumsapoti dizasta azidi kutupa madude ya ubongo

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw84208 ай бұрын

    Nakubali vina,,, achiaa jala,,,, khaaa fuba,,, 😊😊😊

  • @howardbillionaire
    @howardbillionaire8 ай бұрын

    nimerudi sababu hawa jamaa nilitamani kitambo sana walink up... kama mtu huna skio la ndani huwezi ona hii combination.... kwa haraka natamani kuona more collab btn them than hii moja... sAFI SANA @KAALAMOTO NA @DIZASTAVINA sana brothers.. sio lazima watu waonekane uchi au ziimbwe content za matusi ndio tutrend noooo..... keep on going vina.. time will tell mzee.. i believe this gonna make them notice kwamba HIP HOP is still alive n nobody can against this sababu hata trending imezama bila kick na snare... HIP HOP IS GREAT LIFE AISEEE

  • @devisndomba3820
    @devisndomba38208 ай бұрын

    Ujawai kuniangusha kaka. Wao wanakuita vina ila kwang ww n darasa la maisha afya ya ubongo

  • @nyemomtwanga9449
    @nyemomtwanga94498 ай бұрын

    Siku na mwaka wowote kama nikiwa hai kuanzia hii nov/2023 nikipata like itanikumbusha na kunirudisha hapa kuulisha ubongo wangu tena na tena

  • @dizastavina

    @dizastavina

    8 ай бұрын

    There you go

  • @wapigajitv7530
    @wapigajitv75308 ай бұрын

    angekata tamaa nyerere,,,,, oyaah vinaaa

  • @samwelysimon569
    @samwelysimon5698 ай бұрын

    kwa yeyote anae ona hii 2050 achia jala na muscular feminist ni ngoma zilizoleta ukombozi wa fikra kwa vijana wa tanzania natumaini inafanya ivo kwenu pia

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale47528 ай бұрын

    Uwezo wa dizasta unajulikana kuwa ni next level,, ila leo nimejua kuwa kuna KAA LA MOTO nae ana verse moto balaa

  • @dancankazimoto1483

    @dancankazimoto1483

    8 ай бұрын

    Hata mm pia❤

  • @timotheovitalis4147
    @timotheovitalis41478 ай бұрын

    Unajua Kwa marapa hatar huyu mwamba aseh anajua ngoma zake zin jumbe sana aseh

  • @user-bw9gy6dd2w
    @user-bw9gy6dd2w8 ай бұрын

    Unajua mpaka unajua Tena anyway achia jala

  • @joramsumary7731
    @joramsumary77318 ай бұрын

    Humu kuna shule sana na hii ndio Hip Hop

  • @peterkadama2544
    @peterkadama25448 ай бұрын

    Hauwezi kuwa conscious alafu tumbo empty

  • @josmomlundwa9858
    @josmomlundwa98588 ай бұрын

    Illest kabisa kaka upo kwenye sayari yako.

  • @maufijose2294
    @maufijose22948 ай бұрын

    Duuh! Huyu Kaa La Moto! ASEE! Mmekutana Wote Magenius Wa Uandish! 👏👏👏

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza3277 ай бұрын

    Huyo kaa la moto wa moto kila siku nasikia hii ngoma naona kabisa kaendana na uwandishi wa Dizasta.

  • @abelnegongullo3175
    @abelnegongullo31758 ай бұрын

    Daaaah. Kaka kwa hiki chuma aseeeh!! Ni atr sana. Yan ni zaidi ya darasa. Mungu akujalie zaidi kaka

  • @AlmasiNguba-eo3no
    @AlmasiNguba-eo3no8 ай бұрын

    Fanya ufanye KAZI moja na kontawa akupeleke mjini

  • @mohsixtus7048

    @mohsixtus7048

    5 ай бұрын

    Huna akili

  • @user-tx8ub9fc3k
    @user-tx8ub9fc3k8 ай бұрын

    Nakukubari bro miaka mia nipo nyuma yako razima aachie jala

  • @hamzazianmisana508
    @hamzazianmisana5088 ай бұрын

    Namiliki Jina La Ukoo Sio Sheli ✨

  • @hamimumatola2829
    @hamimumatola28298 ай бұрын

    Kuna tofauti kubwa kati ya fid q, geez mabovu , gwair pamoja na wewe. But iyo tofauti ndio wewe halisi .

  • @emaneez
    @emaneez8 ай бұрын

    Nom sanaa.a. sema audio zipeleke basi redio tusikie sikie kaka . Tunizipigie ombi maana wengine wanasema hujapeleka redio ngoma .

  • @user-el6co6cj3b
    @user-el6co6cj3b8 ай бұрын

    Kila nkiikutana namtu uwa namcklzsha ngoma za vina na naacha heshimaaa

  • @KANAELNYANDA-zh7lf
    @KANAELNYANDA-zh7lf8 ай бұрын

    Bonge moja la tracker shout out to ma man #@dizasita

  • @prosperdeogratius4888
    @prosperdeogratius48888 ай бұрын

    Kabla hujaskiza hii,akikisha umekoga janaba..masterpiece..

  • @mr.katapa_jr4074
    @mr.katapa_jr40748 ай бұрын

    Sitaki kuuza ndoto kama bidhaa.. Ila mtoto awezi kula ndoto ikija njaa.. 🙌

  • @omary3238
    @omary32388 ай бұрын

    Nakupenda hip hop kuliko mpira ..🤐🤐🤐

  • @frankchitemo2480
    @frankchitemo24808 ай бұрын

    Scooby,rochi,pachito, Noriega 👀 nakubali

  • @salumburah9377
    @salumburah93778 ай бұрын

    Jiulize kungekuw na taifa angekata tamaa Nyerere🫡

  • @youngdira1584
    @youngdira15848 ай бұрын

    Ramani ya jiji haisadifu njia zangu🎶🎶

  • @user-yp1iw8jk9h
    @user-yp1iw8jk9h8 ай бұрын

    👊❤️cku nzima Ngoma inaliaa Kama IPO nyimbo moja kweny cm🙌🙌✌️

  • @abdallahmuhammed6908
    @abdallahmuhammed69088 ай бұрын

    Hii n kawaida ya uyu jamaa salout kinoma kk

  • @cellestinelucas165
    @cellestinelucas165Ай бұрын

    nmesikiliza ngoma utamu wake machozi yamenilenga this is vina 🙌

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias77488 ай бұрын

    Dizasta vina recpect brad namuona skubi mtu mbaya

  • @tipagwejr3505
    @tipagwejr35058 ай бұрын

    Nilipenda kuwa ruban ila mambo nimakubwa ukubwani..... Dah kweli Hip Hop shule

  • @Yusuph-px6ci
    @Yusuph-px6ci8 ай бұрын

    Namiliki jina la ukoo sio sheli dia ❤❤

  • @theswordvinamc664
    @theswordvinamc6648 ай бұрын

    Sema watoto wamechelewa kumjua dizasta mm dizasta ndo mwalimu wangu wa maixha kama ata wewe umewahi kumsikiliza ujue kunavitu umechukua kwa dizasta ukubali ukatae

  • @andreamachumi8713
    @andreamachumi8713Ай бұрын

    Dizasta we ni hatar sanaaa mzeee huu utunzi niwa out of this planet

  • @kisalaurence6177
    @kisalaurence61778 ай бұрын

    Dah Lyrical G Vina ft kaa la moto moto tuu 🙌. Nani story teller sio swali tena Uh!!!!!

  • @Science-concept1234
    @Science-concept12348 ай бұрын

    GENIUS NI MMOJA TUUUU NI DIZASTA HAO WENGINE NI WAPIGA KELEL NIAMINI MIMIIIIII🙌🙌🙌🙌🙌

  • @valencepaul4604
    @valencepaul46048 ай бұрын

    EA anthem “lakin bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa”🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇰🇪black you don’t have to bend knee ile ki uncle tom ,,, kipaji + maarifa+juhudi+ubunifuu= DIZASTA

  • @emiliangasto9467
    @emiliangasto94678 ай бұрын

    Nilikua nimemiss sana aise haya madini

  • @RamadhaniMkopi
    @RamadhaniMkopi8 ай бұрын

    Haipingwi mwamba wa Kali🙏🎵

  • @bazoloemanuel5897
    @bazoloemanuel58978 ай бұрын

    Lecturer wa Mtaa👂👂💥💥💥

  • @robertmjuba4440
    @robertmjuba44408 ай бұрын

    Oya we boya achia jala ntakupiga daga

  • @user-qr6ci7jy9j
    @user-qr6ci7jy9j8 ай бұрын

    Dizasta hiz story waga unazitunga vp, mwanajua , ahadi, tatu yaasili , sikumbaya , kesho , kanisa , maabara ., Siku mbaya Nanyingeni nyingi ukisikiliza ndo unajua kabsa Broo hakuna kma ww💪

  • @jesseykariuki4028
    @jesseykariuki40288 ай бұрын

    Hayo yote chini ya mbuyu! Tafakari hayo!

  • @Cabosport
    @Cabosport8 ай бұрын

    Mwenye vina viake 🕊️

  • @omarmtumbi7151
    @omarmtumbi71515 ай бұрын

    🇰🇪🇹🇿 to the world. Wakali wawili kwenye zizi moja

  • @bensonthobias6765
    @bensonthobias67658 ай бұрын

    Kumuelewa mtu ni lazima uelewe alipotoka 👊

  • @mamencodox6996
    @mamencodox69968 ай бұрын

    kufeli ni kushindwa kujaribu...

  • @nivogee9830
    @nivogee98308 ай бұрын

    Combination ya akili kubwa kwenye ukubwa wa maudhui real recognize real the big chemistry of hiphop 🙌✊✊✊

  • @chrispinhenry3362
    @chrispinhenry33628 ай бұрын

    Hip~Hop ipo mabegan mwako bRoo🙌🙌

  • @kingronnahronnah5186
    @kingronnahronnah51868 ай бұрын

    Ngoma la kwenda hili mjinga mjinga hawezi elewa 🔥

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma51808 ай бұрын

    Dzasta na kaa la moto inakua Bomu lenyewe

  • @easynow1201
    @easynow12017 ай бұрын

    Wakali ndani ya track moja

  • @boygavana4674
    @boygavana46748 ай бұрын

    Broh hujawahi zingua masikio yangu hata siku moja kusikiliza ngoma zako 💯

  • @negotvonline6903
    @negotvonline69038 ай бұрын

    We msengeeee unatishaaaaaaaaaaaa

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius63878 ай бұрын

    Huwezi kuw conscious tumbo likiw empty, achia jala

  • @Mwita-vw9rv
    @Mwita-vw9rv8 ай бұрын

    Katika watu ulowai kuimba nao wakajibu almost correct as you ask ni kaa la moto. He is very talented with the melody as you have real meaning of hip pop

  • @Eddynation90Eddynation-xk6dh
    @Eddynation90Eddynation-xk6dh8 ай бұрын

    Hii ni bonge la ngoma good vibe

Келесі