Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto
Музыка
Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
Shot and edited by Dee ayo.
Stream/Download Achia jala
Boomplay - www.boomplay.com/songs/146659...
Mdundo - mdundo.com/song/2725437
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
KZread - • Dizasta Vina - Achia j...
Apple Music - / achia-jala-single
Spotify - open.spotify.com/album/3xZ5AX...
Genius - genius.com/Dizasta-vina-achia...
Other music by Dizasta Vina
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288611
KZread - / dizastavina
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Spotify - open.spotify.com/artist/1IC2b...
Apple music - / dizasta-vina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Spotify playlist - open.spotify.com/playlist/37i...
Genius - genius.com/DizastaVina
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter/ X - x.com/dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Lyrics
Oya
Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
Siwezi lala down town naitunza kaya
Niko around ninavunja taya
Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
Achia jala
Ni heri kuyashinda majaribu
Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
Baba alifeli siwezi feli pia
Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
Siwezi lala njaa itanigaraza
Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
Sina kazi nimedandia ndala
Alafu unanikazia fala
Bro achia Jala
Hauna shida ndo' maana unapendeza
Alafu unaniambia hauna fedha
Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
Achia jala ntakupiga mitama utajifia
Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
So achia jala
Dingi mwenyewe alitoboka
Madeni kama dhambi milele nakokota
Na alipodondoka nikarithi shida
Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
So, Achia jala
Sichezi kamali na washua
Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
Matumaini yako mbali
Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
Nilipenda kuwa rubani
Ila mambo ni makubwa ukubwani
Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
Kabla shamba halijakumbwa tufani
So achia jala
Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
Una-act kama Ndezi
Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
Nilichora plan na sikupiga mchele
Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
Nimeshika gun nitakuchezea shere
Achia jala,
Siwezi kudanganya kuhusu
Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
Usihubiri sisadiki maadili
Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
Achia jala
Mbunge halijui jina langu
Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
Niko peke yangu mimi na gun yangu
Nitaku pah pah
Kisha unione mamluki
Nitakuchezesha mabuzuki
Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
Nipo kazini so achia jala
Nitakutia ngwara ufe
Mafanikio ni kwa wale majasiri
Walio tayari kusubiri ni makupe
Nisikize brother
Ni'shafanya mamziki
Sikuvutia kukusanya mashabiki
Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
Mama ananiona failure for life
Na ninamisi kumbatio la wife
Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
Shemeji ananiona sio type
So achia jala, nitakubia roho nipe jala
Usinizoee usinipe gwara
Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
Achia jala
Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
jala ziko mbali nizifuge Kama zako
Wajomba masadali sio wabunge kama wako
Sijaenda shule yako...
I'll fucking shoot you, Achia jala
Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
Sijakwambia kwamba alisinzia baba
Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
Achia jala
Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
But I won't choose that hata ka' niko street smart.
nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......
Пікірлер: 850
Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini #DZSTVN
@PeterDaniels-ht7kd
8 ай бұрын
Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu
@verosir1416
8 ай бұрын
Mhuu Kal sana mtalamu
@sleifikhajjir262
8 ай бұрын
u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉
@richardmanolo5207
8 ай бұрын
Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI
@bartazariluvanga3298
8 ай бұрын
imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA
Kama unakubaliana na mimi kwamba hii Combination inatakiwa irudie collabo nyingine gonga like hapo ili washtuke
DIZASTA BRO WEWW NI ZAWADI KWA DUNIA ME NIMEKULA NGOMA ZOTE HIZI HAKIKA WEWE NI NOMA YA NOMA BROH HAVE LONG LIFE: confessions, hatias, no body is safes, enigma, shahidi, tribulation, muscular feminist, Sina, kesho, njia, last chapter, fallen angel, Yule Yule, gori la ushindi, maabara, word play, verteller, sister, ndoano, mlengwa, kijogoo, mwanajua, kanisa, wimbo usio Bora, achia jala etc... zote hzo zimezidi kuwa baraka kwa dunia.
Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %
Hi Heri Kuyashinda Majaribu Ila Kufeli Ni Kushindwa Kujaribu 🇰🇪🙌
Dizasta noma sana kabla ya kusikiliza ngoma yake nieacha like kwanz sababu najua hukosei
Kakae kule kwa akina whozu na kina bonge la nyau.. siachii jala bro
Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana 😂 😊wewe bhna Kwa mandishi nakukubali miaka buku ..unajua sana
Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥
Huwa nikiandika verses then nikikusikiliza dizasta nafuta verses naludi kusoma kufwatili kiundani uandishi Bora wa bars nimegee u genius Kidogo home boy niingie booth
Nitatafuta jala mpk nipate WA kumtananisha Ila watalikosa jala langu salute kwenu
Sina kazi nimedandia ndala Alafu unanikazia fala Bro achia Jala Hauna shida ndo' maana unapendeza Alafu unaniambia hauna fedha. Punch line moja ya nguvu imenigusa sana!!
Ata chongo uwa mfalme kwenye mji wa vipofu...dizasta vinna🙌
Kaka vina we mchfu bro Yan ipingwi oioi kala Kama kala ngose msafiri nakubali 👊
Ee bhana brother kamaliza poa sana achia jala
We jamaa,ni nomaaaaa,ukitaka kujua hii ngoma,ni kali isikilize mida flan ivi ukiwa umejichokea na msongo wa mawazoo😩😩
Dude Tamu na zuri, Linafundisha na kusisimua hisia za Vijana Wapambanaji.
Hii ni zaidi ya ngoma! Chakula cha ubongo, Ina ushauri, inatoa stress, inafungua akili, inamfanya mtu aamke apambane na maisha, inaokoa watu waliochoka na maisha, ni somo la afya ya akili... music market strategy dah! Aisee ni hatar aisee... Naendelea kupata vya kufundishia wanafunzi wangu skuli kwenye somo la literature
(punguza maninja ndo uweze kumkumbatia mkeo) mstari wa maana sana maana ndoa nyingi huvunjika kwa watu wanaoendekeza masela na kusahau familia
Nilipenda kuwa rubani.. ila mambo ni makubwa ukubwani🙌
Dah kweli kusingelikuwepo Taifa angelikata Tamaa Nyerere 🤙
Huyu jamaa wa vers ya pili ya yeye kauwa kinyama Daaah!
Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥
@lutenganomwalivale754
Ай бұрын
na reply kwako😎
Sisi kitaa ya kino tunamwita dizasta ni teacher wa ma teacher father wa mafather
ONE minutes remainiiiii wananguiuuu tufurahie kitu roho inaaminiaaaaaaaaaaaaaaaa
Ila kaa la moto ni mbad uyu jamaa all in all dizasta tujengewe Sanamu lako mamayeeee
255 na 254 on top nakubali kaa la moto kiumbe
Dizasta umeangamiza shout out kwa kaa la Moto
Dude tamu sana lazma vijana tujifunze kujitegemea sio wote walionavyo wamerithi wengi wao wamehustle congratulations to both of you Disasta n Kaa
Nilijua tu itakua shule,kumamaeee Hii kichwa nihatari sana
Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂
maisha yenyewe mafupi..... na hatuishi mara mbilii
Ila aisee bro una content Kali sana Yan nataman Dunia ielew Aya madini adim
Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako
Hauwezi kuwa mtoto ukisha ZAA. Na mtoto hawez kula NDOTO ikija njaa ,pia kuna mstari wa nyimbo Yako X unasema " MAISHA YA NDOTO YATAISHA UTAIRUDIA KAWAIDA NA UTAGUNDUA Kuwa HAUKUWA MALAIKA" DIZASTAR VINA bro kila nikiingia online nataman kujua kuna nn kuhusu wewe.....ni noma appreciate💯
Salute vina nmetoka mbali sana na wewe vile hujui tu mwanangu nakukubali kinoma yaan
@dizastavina
8 ай бұрын
Yes fam ✌🏽
Dizasta Vina tena huku tunasubiria 6/1/2024
Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani
Konkiii... Black Maradona ft kaa LA moto... Oya weeeeee toa jala
Oya dizasta upati ktu leo respect hipo ya ziki la nazi.achia jala kaaaaa
1day na viewers ni 24k yasipoe haya machakula ya ubongo inatia moyo sanaa ❤ wana hip hop wote tukaze tufike 1M subscribers tumsapoti dizasta azidi kutupa madude ya ubongo
Nakubali vina,,, achiaa jala,,,, khaaa fuba,,, 😊😊😊
nimerudi sababu hawa jamaa nilitamani kitambo sana walink up... kama mtu huna skio la ndani huwezi ona hii combination.... kwa haraka natamani kuona more collab btn them than hii moja... sAFI SANA @KAALAMOTO NA @DIZASTAVINA sana brothers.. sio lazima watu waonekane uchi au ziimbwe content za matusi ndio tutrend noooo..... keep on going vina.. time will tell mzee.. i believe this gonna make them notice kwamba HIP HOP is still alive n nobody can against this sababu hata trending imezama bila kick na snare... HIP HOP IS GREAT LIFE AISEEE
Ujawai kuniangusha kaka. Wao wanakuita vina ila kwang ww n darasa la maisha afya ya ubongo
Siku na mwaka wowote kama nikiwa hai kuanzia hii nov/2023 nikipata like itanikumbusha na kunirudisha hapa kuulisha ubongo wangu tena na tena
@dizastavina
8 ай бұрын
There you go
angekata tamaa nyerere,,,,, oyaah vinaaa
kwa yeyote anae ona hii 2050 achia jala na muscular feminist ni ngoma zilizoleta ukombozi wa fikra kwa vijana wa tanzania natumaini inafanya ivo kwenu pia
Uwezo wa dizasta unajulikana kuwa ni next level,, ila leo nimejua kuwa kuna KAA LA MOTO nae ana verse moto balaa
@dancankazimoto1483
8 ай бұрын
Hata mm pia❤
Unajua Kwa marapa hatar huyu mwamba aseh anajua ngoma zake zin jumbe sana aseh
Unajua mpaka unajua Tena anyway achia jala
Humu kuna shule sana na hii ndio Hip Hop
Hauwezi kuwa conscious alafu tumbo empty
Illest kabisa kaka upo kwenye sayari yako.
Duuh! Huyu Kaa La Moto! ASEE! Mmekutana Wote Magenius Wa Uandish! 👏👏👏
Huyo kaa la moto wa moto kila siku nasikia hii ngoma naona kabisa kaendana na uwandishi wa Dizasta.
Daaaah. Kaka kwa hiki chuma aseeeh!! Ni atr sana. Yan ni zaidi ya darasa. Mungu akujalie zaidi kaka
Fanya ufanye KAZI moja na kontawa akupeleke mjini
@mohsixtus7048
5 ай бұрын
Huna akili
Nakukubari bro miaka mia nipo nyuma yako razima aachie jala
Namiliki Jina La Ukoo Sio Sheli ✨
Kuna tofauti kubwa kati ya fid q, geez mabovu , gwair pamoja na wewe. But iyo tofauti ndio wewe halisi .
Nom sanaa.a. sema audio zipeleke basi redio tusikie sikie kaka . Tunizipigie ombi maana wengine wanasema hujapeleka redio ngoma .
Kila nkiikutana namtu uwa namcklzsha ngoma za vina na naacha heshimaaa
Bonge moja la tracker shout out to ma man #@dizasita
Kabla hujaskiza hii,akikisha umekoga janaba..masterpiece..
Sitaki kuuza ndoto kama bidhaa.. Ila mtoto awezi kula ndoto ikija njaa.. 🙌
Nakupenda hip hop kuliko mpira ..🤐🤐🤐
Scooby,rochi,pachito, Noriega 👀 nakubali
Jiulize kungekuw na taifa angekata tamaa Nyerere🫡
Ramani ya jiji haisadifu njia zangu🎶🎶
👊❤️cku nzima Ngoma inaliaa Kama IPO nyimbo moja kweny cm🙌🙌✌️
Hii n kawaida ya uyu jamaa salout kinoma kk
nmesikiliza ngoma utamu wake machozi yamenilenga this is vina 🙌
Dizasta vina recpect brad namuona skubi mtu mbaya
Nilipenda kuwa ruban ila mambo nimakubwa ukubwani..... Dah kweli Hip Hop shule
Namiliki jina la ukoo sio sheli dia ❤❤
Sema watoto wamechelewa kumjua dizasta mm dizasta ndo mwalimu wangu wa maixha kama ata wewe umewahi kumsikiliza ujue kunavitu umechukua kwa dizasta ukubali ukatae
Dizasta we ni hatar sanaaa mzeee huu utunzi niwa out of this planet
Dah Lyrical G Vina ft kaa la moto moto tuu 🙌. Nani story teller sio swali tena Uh!!!!!
GENIUS NI MMOJA TUUUU NI DIZASTA HAO WENGINE NI WAPIGA KELEL NIAMINI MIMIIIIII🙌🙌🙌🙌🙌
EA anthem “lakin bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa”🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇰🇪black you don’t have to bend knee ile ki uncle tom ,,, kipaji + maarifa+juhudi+ubunifuu= DIZASTA
Nilikua nimemiss sana aise haya madini
Haipingwi mwamba wa Kali🙏🎵
Lecturer wa Mtaa👂👂💥💥💥
Oya we boya achia jala ntakupiga daga
Dizasta hiz story waga unazitunga vp, mwanajua , ahadi, tatu yaasili , sikumbaya , kesho , kanisa , maabara ., Siku mbaya Nanyingeni nyingi ukisikiliza ndo unajua kabsa Broo hakuna kma ww💪
Hayo yote chini ya mbuyu! Tafakari hayo!
Mwenye vina viake 🕊️
🇰🇪🇹🇿 to the world. Wakali wawili kwenye zizi moja
Kumuelewa mtu ni lazima uelewe alipotoka 👊
kufeli ni kushindwa kujaribu...
Combination ya akili kubwa kwenye ukubwa wa maudhui real recognize real the big chemistry of hiphop 🙌✊✊✊
Hip~Hop ipo mabegan mwako bRoo🙌🙌
Ngoma la kwenda hili mjinga mjinga hawezi elewa 🔥
Dzasta na kaa la moto inakua Bomu lenyewe
Wakali ndani ya track moja
Broh hujawahi zingua masikio yangu hata siku moja kusikiliza ngoma zako 💯
We msengeeee unatishaaaaaaaaaaaa
Huwezi kuw conscious tumbo likiw empty, achia jala
Katika watu ulowai kuimba nao wakajibu almost correct as you ask ni kaa la moto. He is very talented with the melody as you have real meaning of hip pop
Hii ni bonge la ngoma good vibe