Mandojo na Domokaya - Nikupe Nini (Official Video)

"Nikupe nini " Is the classic Song by Mandojo na Domokaya recorded at Bongo records under producer P- Funk Majani .
The song is about a woman who pretends to be pregnant and puts her husband through hell, to do everything for her before he came to realize that she wasn't pregnant at all.

Пікірлер: 2 000

  • @cosmasmasawe9875
    @cosmasmasawe9875 Жыл бұрын

    Tuliopo hapo 2023. 👍 like

  • @hendrykimaro1717
    @hendrykimaro1717 Жыл бұрын

    Any one on it March 2023?? Hit like buddy

  • @godblessjrtz.8652
    @godblessjrtz.8652 Жыл бұрын

    Duh ya kitambo kipindi yusuph makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam 😂😂 eti tukutanie "Jiji la makamba"🙌🏾

  • @ambwenemvela4673
    @ambwenemvela4673 Жыл бұрын

    Ngoma haichuji Safi kazi nzuri 🔥

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @mbizoo3963
    @mbizoo3963 Жыл бұрын

    Ndio kundi pekee Tanzania 🇹🇿 ambalo alijawai kuvunjika. Much respect Sana 🙏 mungu awabariki

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute man

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana

  • @queenandchill91
    @queenandchill912 ай бұрын

    Nikupe nini & Dingi nazikubali sana. ❤❤❤❤❤ 17/4/2023

  • @iamnormal8648
    @iamnormal8648 Жыл бұрын

    *P Funk Majani* - huyu jamaa aliidefine Bongo Flavour kwa kipindi kizima cha miaka kama kumi hivi kutoka 1995 hadi 2005. Siku hizi maproducer wanaiga tu midundo ya Naijeria na Afrika Kusini. Makamanda *Man Dojo na Domokaya* big up sana kwa hatimaye kutoa kideo cha huu wimbo. Muziki huwa haufi hata mliouimba mkishakufa. Kideo hiki kitafanya kazi yenu izidi kuishi milele.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure

  • @hassanjuma2688

    @hassanjuma2688

    Жыл бұрын

    Kweli maneno yako bro

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Жыл бұрын

    Nazikumbuka ladha za Bongo Records na P Funk Majani naona zile ladha tulizozimiss ndani ya miaka 10+ zinaweza kurudi Beats kali wanamuziki wakali mashairi makali.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn mwamba

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 Жыл бұрын

    SIFANYI MALIPIZI ILA JIFUNZE ADABU oyaaaaa big respect

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn salute

  • @manjaruu1575

    @manjaruu1575

    Жыл бұрын

    @@mandojojoseph1665 Nakubali mkubwa tupo p1 tunasapot good music

  • @kagomasaid9618
    @kagomasaid9618 Жыл бұрын

    From school to old life goes on.Respect forever

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @kimwagayanga2750
    @kimwagayanga2750 Жыл бұрын

    HII NGOMA ILIKUA IKO MBELE YA MUDA KABISA 2002 mpaka leo bado bonge la ngoma

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    E babaa

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba sure miaka mia nane

  • @mweucch0068
    @mweucch0068 Жыл бұрын

    One of my best songs those days

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Asnt

  • @emmanuelkimonge7013
    @emmanuelkimonge7013 Жыл бұрын

    Daahhh,,, those days aiseew miaka imepita ila ngoma iko vile vile kweli vya kale dhahabu,,, big up kwenu mandojo na domo kaya bila kumsahau pifunk

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute zote

  • @hamzamsafiri3418
    @hamzamsafiri3418 Жыл бұрын

    YAANI LONGTIME MLIKUWA MNAKAA NA KUFIKIRIA SANA NA KUANDIKA LKN HIVI SASA WASANII HAWA ROPWAROPWA TU.. HAO WANAOWABEBA KWENYE MEDIA HAWANA UWEZO WA KUANDIKA NGOMA ITAKAYOWEZA KUISHI KAMA HII.. NYINYI MLIKUWA MKISHINDANA KUTOA HITS DAH NIMEMKUMBUKA GODFATHER MAJANI HII

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Kwel kabis eeeh baba

  • @mkorinthomgalilaya6700
    @mkorinthomgalilaya67002 ай бұрын

    Tulio hapa 2024 👍🏾like

  • @SAIF_ALLAH309
    @SAIF_ALLAH309 Жыл бұрын

    Usiipime Io vibe ki Easti kweli 🔥🔥🔥🔥big up upendo kutoka Kenya.🇰🇪

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn mwamba from Kenya eeeh baba

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana 🙌

  • @israelivan4299
    @israelivan4299 Жыл бұрын

    All time Banger! Bonge la Ngoma 🔥🔥🔥 👊🏿👊🏿👊🏿 Legends, Siku hizi wakina tuna WASAFI wanaimba UTUMBO tu.. 😎😎😎😠😠😠

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @israelivan4299

    @israelivan4299

    Жыл бұрын

    Mandojo 👊🏿👊🏿👍🏾👍🏾🤝🏾🤝🏾

  • @victornjwango9683
    @victornjwango9683 Жыл бұрын

    Brother's nawakubali sana💯💯💯💯💯💯 napenda sana ngoma yenu ile ya wanoko wanoko featuring Jay dee

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana 🙌 tuko pamoja

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @farijalimussa2592
    @farijalimussa2592 Жыл бұрын

    Kweli ule msemo old is gold#NIKUPE💥💥💥💥💥💥💥

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 Жыл бұрын

    Still listening and feeling like a new song 🎉🎉 2023 🙏🙏

  • @isaackamando8484
    @isaackamando8484 Жыл бұрын

    Kuna songs zimetoka mwaka jana ila zishafuja but these old golds still shines maaan 🙌🏽

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba salute

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Жыл бұрын

    Kumekucha watu na bongo fleva yao🥰🥰🥰🥰🥰😄

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Naaam 👊

  • @azizngassa595Tz
    @azizngassa595Tz Жыл бұрын

    Old classic..new great video…every old bongo artist should do this!!🔥🔥🔥🔥

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @petershayo5227
    @petershayo5227 Жыл бұрын

    Big step brothers bado kitaa kinawahitaji sana

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙌🙏

  • @itsecky
    @itsecky Жыл бұрын

    Ngoma ya miaka mingi Af kali Na chupa imekuja kuwa kali sasa wale wa nyimbo anaachia leo af video kesho wajifunze kwa mziki unaoishi kama huu

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba salute sn

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 Жыл бұрын

    Aiseee daghhhhh hii NGOMA imenikumbusha Enzi hizooooo Nipo Zangu SHULE ya Msingi #MUUNGANO ndani ya Wilaya ya #TEMEKE huko I feel a Sorrow in my Soul😭😭😭😭.. Huu ndo Ulikuwa MZIKI bhana yaani hii NGOMA Naiimba yote #MWANZOMWISHO Keep the good 🎻 Music 🎻 alive 🇹🇿🇹🇿💯%

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Much love and respect 🙏

  • @nestorjmwigema838

    @nestorjmwigema838

    Жыл бұрын

    Ludini kwenye music ndugu

  • @majanistar
    @majanistar Жыл бұрын

    Mmetuheshimisha saaana bravo👏👏Sana mabraza endeleen kutoa huo unyama wa zaman Bila Kusahau mlioimba na Jay Dee

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana 🙌 Respect sana

  • @faridiabdul9759
    @faridiabdul9759 Жыл бұрын

    Big up Kwa brothers old is gold mziki unaoishi salute Kwa P majani

  • @Tuzoonlinetv
    @Tuzoonlinetv Жыл бұрын

    Yaani hata mrudie video za ngoma zenu zote bado tutaangalia tu.... Living Legends

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    We appreciate 🙏

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Pamoja sn mwamba zinakuja

  • @edwintouches
    @edwintouches Жыл бұрын

    Bonge la surprise sikutegemea kukutana nahii. Safi sana! 🎬🔥 Nimekumbuka Walkman Radio yangu ya Cassette aisee enzi hizo mwendo wa batteries ndogo zikiisha unanunua tena, no kuchaji na umeme. Nilikua na Album nzima na hii ilikua favourite track. Alot of memories! 📝

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Hahahaha sure man

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    E babaa long time 🙌

  • @felixjunior4772
    @felixjunior4772 Жыл бұрын

    👏🔥👊inafaa Mzi shoot video nyimbo zenu zote ,wanock nock,taswla,dingi,nenda...

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure zinakuja

  • @uriotz_
    @uriotz_ Жыл бұрын

    Nilikuwa mdogo sana nikiwa nafatilia hizi ngoma pale moro abood fm. Bonge la throwback.....🙏🙏🙏 Come back niggas. Hii ndo tafsiri ya Music

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @hajijuma7760
    @hajijuma7760 Жыл бұрын

    Noma sana tunaomba na kichupa cha wa nok nok ft jide

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Soon

  • @ronaldiko8794
    @ronaldiko8794 Жыл бұрын

    Respect sana,pigeni machupa ya ngoma zote halafu muanze kula hyo mipunga ya social network

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Kabisa mwamba

  • @acutemediatz
    @acutemediatz Жыл бұрын

    Heshima kubwa sana Ngoma haichuuji miaka nakumbuka hii nilikua shule ya msingi ila leo video imeirudisha km mpya safi sana

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute zote

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana 🙌

  • @mr.sundayjames4054

    @mr.sundayjames4054

    Жыл бұрын

    Yaan aisee ngoma ya kitambo ila imenogaaa!mm naona wasanii wa zaman sasa uwe ni muda maalum ama mwafaka kupitia kwenye makitaba zao na kuturushia mangoma ya zaman wakiwa wanatoa video kali.maana ss wazee wa zaman tumesha kosa hata nyimbo za kusikiliza na kutazama

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    @@mandojonadomokaya kakakaka mpoooo😢hili chozi nifurah aa safi snaaa mmerudiii mungu azidikuwainuwaaa Leteni nomaaa MASHABIKI tupooo wengiii huu ndiomzikiiiii duuu😃😃😃🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♀️🤸‍♀️💕💕💕💕

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    @@mandojonadomokaya aiseeee 😃😃🤸‍♀️😃🤸‍♀️😃🤸‍♀️😃🤸‍♀️🤸‍♀️🙏🙏🙏🙏🙏Safi sanaaaa

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Жыл бұрын

    Bonge ya pumbu!!!! noma sana hit song miaka 💯 #dojo&kaya

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute zote

  • @gallodecor2773
    @gallodecor2773 Жыл бұрын

    Vitu Kama hivi tunataka brother zetu..co mnakuwa kimya Sana..🙏🏼🤝

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure man vinakuj vya kutosha

  • @gallodecor2773

    @gallodecor2773

    Жыл бұрын

    Sawa tunavisubili kwa mikonomiwil

  • @husseinhousni8943
    @husseinhousni8943 Жыл бұрын

    From Burundi bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 bado naupenda huu wimbo

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana 🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 Жыл бұрын

    Kitambo sana Enzi zetu izo sio sasa miaka ya NYEGEZI ujinga mtupu NYIMBO inaitwa NYEGEZI😅😅😅

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Жыл бұрын

    Weacha tu brooh

  • @user-qp6ge6rt6s
    @user-qp6ge6rt6sАй бұрын

    Yaani watt wa 2000 kalaleni

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah26527 ай бұрын

    nyimbo ya zaman video mpya.. old is gold

  • @yusterdevid3575
    @yusterdevid3575 Жыл бұрын

    Goma la Moto Sana

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙌🙌

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Жыл бұрын

    Video kutolewa baada ya miaka 18 kupita,ok siyo mbaya maana OLD IS GOLD 👏👏👍

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure kabisa

  • @deogratias4025
    @deogratias4025 Жыл бұрын

    Huu ndio mziki ambao ume miss kwenye industry ya bongo flavor 👍🏽🎶

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeeeh baba

  • @rogathjmrema2221
    @rogathjmrema2221 Жыл бұрын

    daah kweli huu ndio muda wa kurudishwa kuleeeee ambako tulikua tunapataka

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Sahihi kabisa

  • @himidykhery2367
    @himidykhery2367 Жыл бұрын

    nafikir hiki ndio kikikua kinaitajika gooood job chap

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙌🙏

  • @kabisamoja6802
    @kabisamoja6802 Жыл бұрын

    Noma tangia niwaskie pamoja,wamekitoa ngoma kali tena. Muziki ya Eastr Afrika inaenda mbali.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @mapheneino
    @mapheneino Жыл бұрын

    Yaan Mmefanya kitu kikubwa Mno.. Nyimbo ya zamani ila Quarity n ya sasa kbs..😍

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana 🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @joptzurassa8438
    @joptzurassa8438 Жыл бұрын

    🎼🎵🎶Maaajani ya bustaaaani...,🎶🎵🎼 Daaaah! Mwanzoni mwa miaka ya 2000, Ifunda Tech. Sec. School, life ya boarding school hii ngoma ilikuwa gumzo sanaaaaaa. Salute wazeiyah

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Pamoja sana 🙌

  • @joptzurassa8438

    @joptzurassa8438

    Жыл бұрын

    @@mandojonadomokaya 👍🏿🙏🏿

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba sana mwamba

  • @evancetarimo900
    @evancetarimo900 Жыл бұрын

    Hongera sana LEGENDS kwa kufanya video ya hii ngoma classic kwa quality ya sasa

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Asnt sn

  • @johnbenaiahbituro2115
    @johnbenaiahbituro2115 Жыл бұрын

    when Bongo fleva was real....mmenikumbusha mbali sanaaaa....we real miss you guys..

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @Nickbrown127
    @Nickbrown127 Жыл бұрын

    Hizi ndo zilikua nyimbo sio hayo matusi ya watoto wa siku hizi. Big up sana kwa Majani the Bongo fleva father of all times.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn ma niger

  • @allenaugustine9254
    @allenaugustine9254 Жыл бұрын

    Nimependa sana wameonesha ukomavu wa kazi yao inanguvu kama ilipoka wakati ule

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Жыл бұрын

    Dah! Hii Ngoma Nipo Dogo Sana Nakumbuka Kipindi Hicho Mmefika Mbeya Sokoine Ikabidi Nitoroke Home Nije Kushuhudia Show 💪🏼💪🏼💪🏼

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Daaah Memories 🙌

  • @Mbeyaconscious

    @Mbeyaconscious

    Жыл бұрын

    @@mandojonadomokaya Naamini Ngoma Zote Zotafanyiwa Videos Kwa Muendelezo Wajomba 🙏🙏💪🏼💪🏼💪🏼

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Жыл бұрын

    Video kali ngoma kali , Bado tunawait video ya Warnock nock

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Inakujaaa 🙌

  • @ismaillugemalila1522
    @ismaillugemalila1522 Жыл бұрын

    Kuhusu ngoma hii uwa ni Hit miaka yote tangu ilipotoka hadi leo bado ni Hit tu sema hicho kichupa dah ushindi ni mwingi wana karibuni tena kwenye game.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @benashery8142
    @benashery8142 Жыл бұрын

    Sichoki kuiangalia hii Classic track,much respect Dojo& Kaya beat Kali kwa kweli mmenikosha sana my dawg

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn man

  • @thomasmakala2082
    @thomasmakala2082 Жыл бұрын

    Hizi ala na mpangilio mzuri wa mashairi n midundo ndio ilikuwa heshima ya Bongo fleva. Legends are back!

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    For sure 🙌

  • @nundamalickofficial9538
    @nundamalickofficial9538 Жыл бұрын

    Ooooe wanangu mumefanya jambo moja la maana Sana kaka ZANGU TUMESKIZA AUDIO MDA MREEEFU SANA MAKAMANDA WANGU....SEMA MSIZINNGUE TENA...JIWE BAADA YA JIWE...WAPI LIKES ZA KENYA..

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙏🙌 more to come Pamoja sana

  • @nundamalickofficial9538

    @nundamalickofficial9538

    Жыл бұрын

    @@mandojonadomokaya sure kaka TUPENI WANOKNOK WANANGU VIDEO...

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Mawe yanakuja subscribe tu ili uyapate yatokapo tu eeeh baba

  • @nundamalickofficial9538

    @nundamalickofficial9538

    Жыл бұрын

    @@mandojojoseph1665 ushasema 💯 kamanda mbona kitambo sub IPO

  • @dansonmtambi4824
    @dansonmtambi4824 Жыл бұрын

    Daaah mmenikumbusha mbali sanaaa hongera sanaaa miamba miwili isiovunjika💪💪💪💪

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    E babaa

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba

  • @patricktito8009
    @patricktito8009 Жыл бұрын

    Kubwaaa sanaaaaa

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙏

  • @mohamednammenge1538
    @mohamednammenge1538 Жыл бұрын

    Bonge la kichupa mmetisha sanaaaa👍

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙏🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Asnt sn

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Жыл бұрын

    Oya nyie watu hamjawahi kui disappoint bongo flavor nadhani wasanii wote wa kitambo wakirudi kama na idea hii mliyoifanya muziki wa bongo flavor utaheshimika maana muziki.utarudi kwa wenye muziki wao. Much love sana Mandojo & Domokaya

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Respect 🙏

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn man eeeh baba sure

  • @saidwilsonnyabikwi.8242
    @saidwilsonnyabikwi.8242 Жыл бұрын

    Hebu fanyeni na video ya Wanok nok nadhani Itakua poa Sana!

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Soon E baba 🙌

  • @yusuphumustafa5850
    @yusuphumustafa5850 Жыл бұрын

    Ngoma Kali Sana heshima Sana kwa ngoma Kali mandojo na Domo kaya

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    E babaa 🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Wozaaa

  • @hasilaofficial4081
    @hasilaofficial4081 Жыл бұрын

    heshima kubwa xna kwa kk zetu salute 💪🏻

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute man

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Жыл бұрын

    Old is gold kipindi hicho ndo bongo flavor ilikua imeniingia akilini,then kulikua hakuna internet so nilikua nategea Saa nane nasikiliza Radio one au radio free Africa .It was real music.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn good music

  • @eizerbitz6715
    @eizerbitz6715 Жыл бұрын

    P funk... 🔥 Dojo na domo 🔥 Ezra brown EZ 🔥. KAZI NZURI SANA.. BADO NI KUBWA

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    E babaa

  • @priscamwakalindile6689
    @priscamwakalindile6689 Жыл бұрын

    Baba Paula alitisha sana🥰

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Nom sn

  • @mangiclaus
    @mangiclaus Жыл бұрын

    Hizi ndio ngoma zetu Sasa... Sio mnatuletea ngoma za kumpakia X mkogo

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Respect

  • @augustinebee7754
    @augustinebee7754 Жыл бұрын

    Our teen age music was so meaningful. Before nonsense jumping music started

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    We are here to make the difference E baba

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba

  • @richardstanslaus9506

    @richardstanslaus9506

    Жыл бұрын

    Walio sema ukubwa Dawa hawakukosea, nyimbo ya Karne hii siyo ya mwezi🤝

  • @izackachaula
    @izackachaula Жыл бұрын

    Roho imeridhika sasa nasubiria "NIZIKWE HAI"

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    InshaAllah 🙌

  • @opfiki2824
    @opfiki2824 Жыл бұрын

    Hatimae tumepata video hongereni Kwa kuto kuogopa kufanya angali ni miaka mingi imepita ama Kwa hakika wakat sahihi ulikua ni sasa 🙌🙌👏👏👏👏👏👏👏

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Salute ninja

  • @BanguIranga
    @BanguIrangaАй бұрын

    Bonge la song,video na alot of creativity.Hii ndo bongo flavor

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565Ай бұрын

    2024❤❤❤🎧🔊✌️🤙

  • @shuleless
    @shuleless Жыл бұрын

    Digala na dojo fanyeni mpango wa Wanok nok, Nizikwe Hai bila kusahau Nenda.

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Zinakuja mwamba

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 Жыл бұрын

    Ni ngum sana kwa wasanii wa zaman kurudi juu, zama zimebadrika

  • @fredrickkajuna74
    @fredrickkajuna74Ай бұрын

    Jamani wasanii wakongwe inafaa wawe na youtube channels zao na video za kileo, ila masong yale yale, huu mziki umetukuza mazee

  • @matwenyalila277
    @matwenyalila277 Жыл бұрын

    Nomaaaa sanaaa fireeeee

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    E babaa

  • @iddmwendotanzaniteexp5050
    @iddmwendotanzaniteexp5050 Жыл бұрын

    Duh....inakumbusha kitambo sana hii ngoma... Big up...!!!!@@@@%$%%%

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙏

  • @eddsonelly7069
    @eddsonelly7069 Жыл бұрын

    ile nyie MAJANI alikua wamoto sana aloo hii ngoma haiishagi utamu

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute man

  • @filbertivo1988
    @filbertivo1988 Жыл бұрын

    Fanyeni mambo kama hv tunataman mpate pesaaa mingiiii kwa maanaaa n haki yenu

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn manigger

  • @benashery8142
    @benashery8142 Жыл бұрын

    Nawakubali sana hawa jamaa,Classic Track

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn mwamba

  • @najahatagway677
    @najahatagway677 Жыл бұрын

    Daaa,,,hizi ndo Ngoma zinazoishi asanteni kwa video

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute man

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 Жыл бұрын

    Km imetoka Jana vile Hii ngoma noma Sana.., toka jiji la makamba Hadi jiji la Makala

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeeh baba kitamb miaka mia nane

  • @pascodeeofficial289
    @pascodeeofficial289 Жыл бұрын

    inabd mshoot zote upya kaka naamin mnazirudisha upyaaa sokoni🔥🙌🏾

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Soon

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    InshaAllah 🙏

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure

  • @colmanmodest5653
    @colmanmodest5653 Жыл бұрын

    WanokNok na Dingi Mkuu🙌🏻🙌🏻video fanyeni kweli

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Imeisha hiyo manigga 🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Zinakuj man

  • @defxtro
    @defxtro Жыл бұрын

    Nomaaaaa sana! 🔥🔥🔥🔥🔥😄 #Classic hii #Nikupe #BongeLaAudio #BongeLaVideo 👊🏾👊🏾👊🏾💥💥

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Respect 🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Wozaaa

  • @adamalibhai4921
    @adamalibhai4921 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥 digala

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Wozaaaaa

  • @omarykayanda9138
    @omarykayanda9138 Жыл бұрын

    "tukutane tena kwa jiji la Makamba"...dah kitambo sana makamba(father) akiwa ndo mkuu wa mkoa wa Dar

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Yaaaa sure eeh baba

  • @awardbillboard
    @awardbillboard Жыл бұрын

    since i was little kid,, i imagine the picture of this song... now you giving me a video at this age ... yay...!!! guyz are true legends. it's beautiful video

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salut sn

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Thank you Keep ENJOYING the video don't forget to subscribe there still more to come 🙌

  • @efronaaron6772
    @efronaaron6772 Жыл бұрын

    as if audio imeachiwa jana…. big brothers for dropping this hit video🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    We appreciate 🙏

  • @viviankweka1448
    @viviankweka144811 ай бұрын

    Hapa sawa ngoma kali video ikawa hakuna

  • @athumanahmadramadhan9220
    @athumanahmadramadhan9220 Жыл бұрын

    Itoeni na video ya ngoma ya TASWIRA naikubali sana

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Inakuja subscribe tu man

  • @gaspernyiti2253
    @gaspernyiti2253 Жыл бұрын

    Another Banger

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Sure eeeh baba

  • @rogathjmrema2221
    @rogathjmrema2221 Жыл бұрын

    😂😂😂daaah ebana eeeh!! Sio poa kumbe hana mimba wala nn

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    😃😃

  • @ramadhanishehoza5729
    @ramadhanishehoza5729 Жыл бұрын

    Ngoma kama imetoka jaa tu yani daa basi tu, sema nini tuletee ile "tutaonana kesho" nayo bonge la ngoma mwamba.

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Imeisha hiyoo

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Жыл бұрын

    wimbo huu ni moja ya nyimbo ambazo zina radha ya aina yake, kwanza sauti pia maneno! saruti mandonjo & domokaya

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia man

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Salute 🙌

  • @GeraldGspack
    @GeraldGspack5 ай бұрын

    My favourite Mandojo song 🔥🔥🔥🔥 old is gold

  • @luqmanbashoaweth2336
    @luqmanbashoaweth2336 Жыл бұрын

    19yrs now., but today we got our video 🥂big up my brooh's #MzikiMzuriUnaishi #OneLove♥️

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    Asante sana