Mandojo na Domokaya - Nikupe Nini (Official Video)
"Nikupe nini " Is the classic Song by Mandojo na Domokaya recorded at Bongo records under producer P- Funk Majani .
The song is about a woman who pretends to be pregnant and puts her husband through hell, to do everything for her before he came to realize that she wasn't pregnant at all.
Пікірлер: 2 000
Tuliopo hapo 2023. 👍 like
Any one on it March 2023?? Hit like buddy
Duh ya kitambo kipindi yusuph makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam 😂😂 eti tukutanie "Jiji la makamba"🙌🏾
Ngoma haichuji Safi kazi nzuri 🔥
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Ndio kundi pekee Tanzania 🇹🇿 ambalo alijawai kuvunjika. Much respect Sana 🙏 mungu awabariki
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute man
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana
Nikupe nini & Dingi nazikubali sana. ❤❤❤❤❤ 17/4/2023
*P Funk Majani* - huyu jamaa aliidefine Bongo Flavour kwa kipindi kizima cha miaka kama kumi hivi kutoka 1995 hadi 2005. Siku hizi maproducer wanaiga tu midundo ya Naijeria na Afrika Kusini. Makamanda *Man Dojo na Domokaya* big up sana kwa hatimaye kutoa kideo cha huu wimbo. Muziki huwa haufi hata mliouimba mkishakufa. Kideo hiki kitafanya kazi yenu izidi kuishi milele.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure
@hassanjuma2688
Жыл бұрын
Kweli maneno yako bro
Nazikumbuka ladha za Bongo Records na P Funk Majani naona zile ladha tulizozimiss ndani ya miaka 10+ zinaweza kurudi Beats kali wanamuziki wakali mashairi makali.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn mwamba
SIFANYI MALIPIZI ILA JIFUNZE ADABU oyaaaaa big respect
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn salute
@manjaruu1575
Жыл бұрын
@@mandojojoseph1665 Nakubali mkubwa tupo p1 tunasapot good music
From school to old life goes on.Respect forever
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
HII NGOMA ILIKUA IKO MBELE YA MUDA KABISA 2002 mpaka leo bado bonge la ngoma
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E babaa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba sure miaka mia nane
One of my best songs those days
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Asnt
Daahhh,,, those days aiseew miaka imepita ila ngoma iko vile vile kweli vya kale dhahabu,,, big up kwenu mandojo na domo kaya bila kumsahau pifunk
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute zote
YAANI LONGTIME MLIKUWA MNAKAA NA KUFIKIRIA SANA NA KUANDIKA LKN HIVI SASA WASANII HAWA ROPWAROPWA TU.. HAO WANAOWABEBA KWENYE MEDIA HAWANA UWEZO WA KUANDIKA NGOMA ITAKAYOWEZA KUISHI KAMA HII.. NYINYI MLIKUWA MKISHINDANA KUTOA HITS DAH NIMEMKUMBUKA GODFATHER MAJANI HII
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Kwel kabis eeeh baba
Tulio hapa 2024 👍🏾like
Usiipime Io vibe ki Easti kweli 🔥🔥🔥🔥big up upendo kutoka Kenya.🇰🇪
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn mwamba from Kenya eeeh baba
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana 🙌
All time Banger! Bonge la Ngoma 🔥🔥🔥 👊🏿👊🏿👊🏿 Legends, Siku hizi wakina tuna WASAFI wanaimba UTUMBO tu.. 😎😎😎😠😠😠
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
@israelivan4299
Жыл бұрын
Mandojo 👊🏿👊🏿👍🏾👍🏾🤝🏾🤝🏾
Brother's nawakubali sana💯💯💯💯💯💯 napenda sana ngoma yenu ile ya wanoko wanoko featuring Jay dee
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana 🙌 tuko pamoja
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Kweli ule msemo old is gold#NIKUPE💥💥💥💥💥💥💥
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure
Still listening and feeling like a new song 🎉🎉 2023 🙏🙏
Kuna songs zimetoka mwaka jana ila zishafuja but these old golds still shines maaan 🙌🏽
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba salute
Kumekucha watu na bongo fleva yao🥰🥰🥰🥰🥰😄
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Naaam 👊
Old classic..new great video…every old bongo artist should do this!!🔥🔥🔥🔥
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
Big step brothers bado kitaa kinawahitaji sana
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌🙏
Ngoma ya miaka mingi Af kali Na chupa imekuja kuwa kali sasa wale wa nyimbo anaachia leo af video kesho wajifunze kwa mziki unaoishi kama huu
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba salute sn
Aiseee daghhhhh hii NGOMA imenikumbusha Enzi hizooooo Nipo Zangu SHULE ya Msingi #MUUNGANO ndani ya Wilaya ya #TEMEKE huko I feel a Sorrow in my Soul😭😭😭😭.. Huu ndo Ulikuwa MZIKI bhana yaani hii NGOMA Naiimba yote #MWANZOMWISHO Keep the good 🎻 Music 🎻 alive 🇹🇿🇹🇿💯%
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Much love and respect 🙏
@nestorjmwigema838
Жыл бұрын
Ludini kwenye music ndugu
Mmetuheshimisha saaana bravo👏👏Sana mabraza endeleen kutoa huo unyama wa zaman Bila Kusahau mlioimba na Jay Dee
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana 🙌 Respect sana
Big up Kwa brothers old is gold mziki unaoishi salute Kwa P majani
Yaani hata mrudie video za ngoma zenu zote bado tutaangalia tu.... Living Legends
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
We appreciate 🙏
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Pamoja sn mwamba zinakuja
Bonge la surprise sikutegemea kukutana nahii. Safi sana! 🎬🔥 Nimekumbuka Walkman Radio yangu ya Cassette aisee enzi hizo mwendo wa batteries ndogo zikiisha unanunua tena, no kuchaji na umeme. Nilikua na Album nzima na hii ilikua favourite track. Alot of memories! 📝
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Hahahaha sure man
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E babaa long time 🙌
👏🔥👊inafaa Mzi shoot video nyimbo zenu zote ,wanock nock,taswla,dingi,nenda...
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure zinakuja
Nilikuwa mdogo sana nikiwa nafatilia hizi ngoma pale moro abood fm. Bonge la throwback.....🙏🙏🙏 Come back niggas. Hii ndo tafsiri ya Music
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Noma sana tunaomba na kichupa cha wa nok nok ft jide
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Soon
Respect sana,pigeni machupa ya ngoma zote halafu muanze kula hyo mipunga ya social network
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Kabisa mwamba
Heshima kubwa sana Ngoma haichuuji miaka nakumbuka hii nilikua shule ya msingi ila leo video imeirudisha km mpya safi sana
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute zote
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana 🙌
@mr.sundayjames4054
Жыл бұрын
Yaan aisee ngoma ya kitambo ila imenogaaa!mm naona wasanii wa zaman sasa uwe ni muda maalum ama mwafaka kupitia kwenye makitaba zao na kuturushia mangoma ya zaman wakiwa wanatoa video kali.maana ss wazee wa zaman tumesha kosa hata nyimbo za kusikiliza na kutazama
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@mandojonadomokaya kakakaka mpoooo😢hili chozi nifurah aa safi snaaa mmerudiii mungu azidikuwainuwaaa Leteni nomaaa MASHABIKI tupooo wengiii huu ndiomzikiiiii duuu😃😃😃🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️💕💕💕💕
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@mandojonadomokaya aiseeee 😃😃🤸♀️😃🤸♀️😃🤸♀️😃🤸♀️🤸♀️🙏🙏🙏🙏🙏Safi sanaaaa
Bonge ya pumbu!!!! noma sana hit song miaka 💯 #dojo&kaya
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute zote
Vitu Kama hivi tunataka brother zetu..co mnakuwa kimya Sana..🙏🏼🤝
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure man vinakuj vya kutosha
@gallodecor2773
Жыл бұрын
Sawa tunavisubili kwa mikonomiwil
From Burundi bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 bado naupenda huu wimbo
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana 🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn
Kitambo sana Enzi zetu izo sio sasa miaka ya NYEGEZI ujinga mtupu NYIMBO inaitwa NYEGEZI😅😅😅
@jaffjeff6912
Жыл бұрын
Weacha tu brooh
Yaani watt wa 2000 kalaleni
nyimbo ya zaman video mpya.. old is gold
Goma la Moto Sana
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌🙌
Video kutolewa baada ya miaka 18 kupita,ok siyo mbaya maana OLD IS GOLD 👏👏👍
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure kabisa
Huu ndio mziki ambao ume miss kwenye industry ya bongo flavor 👍🏽🎶
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeeeh baba
daah kweli huu ndio muda wa kurudishwa kuleeeee ambako tulikua tunapataka
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Sahihi kabisa
nafikir hiki ndio kikikua kinaitajika gooood job chap
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌🙏
Noma tangia niwaskie pamoja,wamekitoa ngoma kali tena. Muziki ya Eastr Afrika inaenda mbali.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Yaan Mmefanya kitu kikubwa Mno.. Nyimbo ya zamani ila Quarity n ya sasa kbs..😍
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana 🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
🎼🎵🎶Maaajani ya bustaaaani...,🎶🎵🎼 Daaaah! Mwanzoni mwa miaka ya 2000, Ifunda Tech. Sec. School, life ya boarding school hii ngoma ilikuwa gumzo sanaaaaaa. Salute wazeiyah
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Pamoja sana 🙌
@joptzurassa8438
Жыл бұрын
@@mandojonadomokaya 👍🏿🙏🏿
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba sana mwamba
Hongera sana LEGENDS kwa kufanya video ya hii ngoma classic kwa quality ya sasa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Asnt sn
when Bongo fleva was real....mmenikumbusha mbali sanaaaa....we real miss you guys..
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Hizi ndo zilikua nyimbo sio hayo matusi ya watoto wa siku hizi. Big up sana kwa Majani the Bongo fleva father of all times.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn ma niger
Nimependa sana wameonesha ukomavu wa kazi yao inanguvu kama ilipoka wakati ule
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn
Dah! Hii Ngoma Nipo Dogo Sana Nakumbuka Kipindi Hicho Mmefika Mbeya Sokoine Ikabidi Nitoroke Home Nije Kushuhudia Show 💪🏼💪🏼💪🏼
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Daaah Memories 🙌
@Mbeyaconscious
Жыл бұрын
@@mandojonadomokaya Naamini Ngoma Zote Zotafanyiwa Videos Kwa Muendelezo Wajomba 🙏🙏💪🏼💪🏼💪🏼
Video kali ngoma kali , Bado tunawait video ya Warnock nock
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Inakujaaa 🙌
Kuhusu ngoma hii uwa ni Hit miaka yote tangu ilipotoka hadi leo bado ni Hit tu sema hicho kichupa dah ushindi ni mwingi wana karibuni tena kwenye game.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Sichoki kuiangalia hii Classic track,much respect Dojo& Kaya beat Kali kwa kweli mmenikosha sana my dawg
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man
Hizi ala na mpangilio mzuri wa mashairi n midundo ndio ilikuwa heshima ya Bongo fleva. Legends are back!
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
For sure 🙌
Ooooe wanangu mumefanya jambo moja la maana Sana kaka ZANGU TUMESKIZA AUDIO MDA MREEEFU SANA MAKAMANDA WANGU....SEMA MSIZINNGUE TENA...JIWE BAADA YA JIWE...WAPI LIKES ZA KENYA..
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏🙌 more to come Pamoja sana
@nundamalickofficial9538
Жыл бұрын
@@mandojonadomokaya sure kaka TUPENI WANOKNOK WANANGU VIDEO...
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Mawe yanakuja subscribe tu ili uyapate yatokapo tu eeeh baba
@nundamalickofficial9538
Жыл бұрын
@@mandojojoseph1665 ushasema 💯 kamanda mbona kitambo sub IPO
Daaah mmenikumbusha mbali sanaaa hongera sanaaa miamba miwili isiovunjika💪💪💪💪
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E babaa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba
Kubwaaa sanaaaaa
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏
Bonge la kichupa mmetisha sanaaaa👍
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Asnt sn
Oya nyie watu hamjawahi kui disappoint bongo flavor nadhani wasanii wote wa kitambo wakirudi kama na idea hii mliyoifanya muziki wa bongo flavor utaheshimika maana muziki.utarudi kwa wenye muziki wao. Much love sana Mandojo & Domokaya
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Respect 🙏
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn man eeeh baba sure
Hebu fanyeni na video ya Wanok nok nadhani Itakua poa Sana!
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Soon E baba 🙌
Ngoma Kali Sana heshima Sana kwa ngoma Kali mandojo na Domo kaya
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E babaa 🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Wozaaa
heshima kubwa xna kwa kk zetu salute 💪🏻
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute man
Old is gold kipindi hicho ndo bongo flavor ilikua imeniingia akilini,then kulikua hakuna internet so nilikua nategea Saa nane nasikiliza Radio one au radio free Africa .It was real music.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn good music
P funk... 🔥 Dojo na domo 🔥 Ezra brown EZ 🔥. KAZI NZURI SANA.. BADO NI KUBWA
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E babaa
Baba Paula alitisha sana🥰
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Nom sn
Hizi ndio ngoma zetu Sasa... Sio mnatuletea ngoma za kumpakia X mkogo
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Respect
Our teen age music was so meaningful. Before nonsense jumping music started
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
We are here to make the difference E baba
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba
@richardstanslaus9506
Жыл бұрын
Walio sema ukubwa Dawa hawakukosea, nyimbo ya Karne hii siyo ya mwezi🤝
Roho imeridhika sasa nasubiria "NIZIKWE HAI"
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
InshaAllah 🙌
Hatimae tumepata video hongereni Kwa kuto kuogopa kufanya angali ni miaka mingi imepita ama Kwa hakika wakat sahihi ulikua ni sasa 🙌🙌👏👏👏👏👏👏👏
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Salute ninja
Bonge la song,video na alot of creativity.Hii ndo bongo flavor
2024❤❤❤🎧🔊✌️🤙
Digala na dojo fanyeni mpango wa Wanok nok, Nizikwe Hai bila kusahau Nenda.
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Zinakuja mwamba
Ni ngum sana kwa wasanii wa zaman kurudi juu, zama zimebadrika
Jamani wasanii wakongwe inafaa wawe na youtube channels zao na video za kileo, ila masong yale yale, huu mziki umetukuza mazee
Nomaaaa sanaaa fireeeee
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E babaa
Duh....inakumbusha kitambo sana hii ngoma... Big up...!!!!@@@@%$%%%
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏
ile nyie MAJANI alikua wamoto sana aloo hii ngoma haiishagi utamu
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute man
Fanyeni mambo kama hv tunataman mpate pesaaa mingiiii kwa maanaaa n haki yenu
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn manigger
Nawakubali sana hawa jamaa,Classic Track
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn mwamba
Daaa,,,hizi ndo Ngoma zinazoishi asanteni kwa video
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute man
Km imetoka Jana vile Hii ngoma noma Sana.., toka jiji la makamba Hadi jiji la Makala
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeeh baba kitamb miaka mia nane
inabd mshoot zote upya kaka naamin mnazirudisha upyaaa sokoni🔥🙌🏾
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Soon
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
InshaAllah 🙏
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure
WanokNok na Dingi Mkuu🙌🏻🙌🏻video fanyeni kweli
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Imeisha hiyo manigga 🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Zinakuj man
Nomaaaaa sana! 🔥🔥🔥🔥🔥😄 #Classic hii #Nikupe #BongeLaAudio #BongeLaVideo 👊🏾👊🏾👊🏾💥💥
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Respect 🙌
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Wozaaa
🔥🔥🔥🔥🔥 digala
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Wozaaaaa
"tukutane tena kwa jiji la Makamba"...dah kitambo sana makamba(father) akiwa ndo mkuu wa mkoa wa Dar
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Yaaaa sure eeh baba
since i was little kid,, i imagine the picture of this song... now you giving me a video at this age ... yay...!!! guyz are true legends. it's beautiful video
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salut sn
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Thank you Keep ENJOYING the video don't forget to subscribe there still more to come 🙌
as if audio imeachiwa jana…. big brothers for dropping this hit video🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
We appreciate 🙏
Hapa sawa ngoma kali video ikawa hakuna
Itoeni na video ya ngoma ya TASWIRA naikubali sana
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Inakuja subscribe tu man
Another Banger
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure eeeh baba
😂😂😂daaah ebana eeeh!! Sio poa kumbe hana mimba wala nn
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
😃😃
Ngoma kama imetoka jaa tu yani daa basi tu, sema nini tuletee ile "tutaonana kesho" nayo bonge la ngoma mwamba.
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Imeisha hiyoo
wimbo huu ni moja ya nyimbo ambazo zina radha ya aina yake, kwanza sauti pia maneno! saruti mandonjo & domokaya
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia man
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Salute 🙌
My favourite Mandojo song 🔥🔥🔥🔥 old is gold
19yrs now., but today we got our video 🥂big up my brooh's #MzikiMzuriUnaishi #OneLove♥️
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Asante sana