2024 na Bado...vile hii wimbo unaanza unajipata umetengeneza clip ndio ushinde ukiskiza...hio piano is a killer
@japhetmnyeta1076
3 ай бұрын
Sanaaaaa😂
@kuvetamzazi8689 Жыл бұрын
Tulioirudia rudia hii nyimbo kwa sababu ya utamu wa verse ya kwanza tujuane.
@newtonvicent8694
4 ай бұрын
Daah we acha tu nakumbuka kipindi nipo darsa la Saba
@RioIpo
4 ай бұрын
Ebabaa
@dstrings508
Ай бұрын
Here🇹🇿
@saidwilsonnyabikwi.824210 ай бұрын
Ukimpenda mtu, mwambie ukweli na sio kumpakazia❤
@AlfanAthuman2 ай бұрын
Mademu za watu washikaj wanarukia... mlitisha sana legends
@sifunikamwela2299 Жыл бұрын
2023 still the best combo ever, good job ..thank you
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
🙏🙌
@mariammakunganya-tm4pc
7 ай бұрын
@@mandojonadomokayaĺ😊ĺlllĺ000
@thadeusmathiews25645 ай бұрын
Nime miss nyumbani kwetu jamani 😢😢REST IN PEACE washikaji tulio kua nao wakati wa hizi hits
@bibletruethstudy2895Ай бұрын
from Kenya... i remember this hitsong back in 2005 when i was in class 2.... i love it
@jeffintabo9010 ай бұрын
big up jaydee for the vocals👍👍👍🙏
@francismwangi4597 Жыл бұрын
Hii dhahabu mumeficha wapi miaka yote hio? Hii hit naipenda sana. Kutoka kenya 🇰🇪
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Pamoja sana mwanangu 🙏🙌
@jovinruta9572 Жыл бұрын
It's 2023 and still rocking
@georgeomondi840610 ай бұрын
Loved this song in my teens. And out of nowhere it kept playing in my head today. Its funny how human brain can surprise you. I had to search for this song.
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
🙏
@nundamalickofficial9538 Жыл бұрын
SASA HII APA WANANGU NDIO MY FCKN FAVORITE TRACK TANGU LONGTIME...#WANOK NOK JIDE ALIKALISHA SANA.. MAWEEEE BABA
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute zote
@enachaki10 ай бұрын
we still here 2023 Sept.. crazy hit..
@gumbabruce8453 Жыл бұрын
I don't know for how many yrs have been looking for this song....but finally it's here.Shukran🤜🤛
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Karibu 🙌
@kevykhally4359 Жыл бұрын
Gonga like hapa kama bado unaikubali hii ngoma
@vinnynjoro4100
Жыл бұрын
Madojo domokaya na jaydee
@nelsonmsafiri36934 ай бұрын
Ezi hizo kutongoza tunasema kutokea we achaa tu 2002
@makausalim1365 Жыл бұрын
Lady jaydee best forever
@eliasmbise4328 Жыл бұрын
Respect old music 🎶🎶🎶
@jeanclaudecitegetse75913 ай бұрын
Hawa ndo wasanii kabisa .sio kama kina Diamond. Truck miaka 20 bado IKO kwenye chati. From Burundi.2024
@mtaostephen3660
7 күн бұрын
Usimbeze simba,naye kafanya yake mengi sana
@AmjjadMustafa-bh4uc7 ай бұрын
Many years of this truck but hadi kizazi cha watoto wangu wanaozaliwa 2023 watasifia kazi nzuri ya sanaa hii....GOOD MUSIC ALIVE👑👑👑
@habiburamadhani236 Жыл бұрын
Mafundi Wapo kazin nawakubali sana
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia mwamba
@rithanaftal86167 ай бұрын
I LOVE THIS SONG REMINDS ME OF MY CHILDHOOD MEMORIES
@dunkiarie15 ай бұрын
Wimbo mtamu wa enzi zetu
@kevinevans9923 Жыл бұрын
the song hits the nerves differently been looking for this vibe for so long
@japhetmnyeta10763 ай бұрын
Kitambo Sanaa,hili goma linanikumbusha physics yote ya form two
@josephcharo135610 ай бұрын
Then nikiwa dogo saa hii ni baba wa watoto wawili na bado ngoma ipo imara 🔥
@Denislyamuya Жыл бұрын
Cha kale ni dhahabu❤️
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn eeeh baba
@tafsirichai2405
Жыл бұрын
Mavi ya kale hayanuki....yaani vitu vya kikweli....mziki Wa Zama unahit Hadi milele....mistari ndio usiseme!!!
@ronaldreagan77722 ай бұрын
Ulimwengu huu una mambo eti nawe waijua dini 😂😂😂😂
@fahmyzicoify Жыл бұрын
This is a blockbuster. Production & Vocals one of the best. Listening to the current music, I feel that TZ music has degressed. I don't mind paying $ for the single
@MrRascarter Жыл бұрын
Mziki umetulia, mziki Umeenda shule
@leonardmaijo2759Ай бұрын
bado mzigo mpya haujachuja
@barakamikidady3602 ай бұрын
Am not that old, but this song imenigusa Old is Gold tukutane alliance France wanangu tareh 8
@johnthoya10605 ай бұрын
Aki hii song tamu sana
@johnmagembe8065 Жыл бұрын
Hiki ndio kizazi kipya mond na kiba kijacho
@frankkajoba8372 Жыл бұрын
Muziki ulikuwa zamani, hawa kizazi cha kina diamond wamechafua muziki wetu pendwa. Nachukia sana
@frankkajoba8372
9 ай бұрын
Diamond, Baba levo, Mboso, Zuchu, Lavalava, wozu, chino, Bill nas, na wapumbavu wengine wametuletea ushenzi mwingi sana muziki haufai hata kusikiliza uchafu mtupu😢
@jasonwatz7457
9 ай бұрын
@@frankkajoba8372is why sisikilizi tena, identity ya bongo fleva imepotea kias kwamba hawaeleweki wanaimba nn
@emmanuelmichael4508
5 ай бұрын
Akili finyu hizi si urudi miaka hiyo... au umelazimishwa kuwasikiliza hao kina diamond
@japhetmnyeta1076
3 ай бұрын
❤❤❤❤nakubali hii comment yako
@frankkajoba8372
3 ай бұрын
@@emmanuelmichael4508 hata ww hujalazimishwa kujibu msg yangu kasikilize nyegezi🤣
@CarlosJonathan-kd6vf10 ай бұрын
Heb mkuje tena tumewamiss sana guys
@Jonanbasena Жыл бұрын
Kali sana 🔥 🔥
@YaakoubAlly-nr2rsАй бұрын
mara ya tano nairejea hii ngoma💯
@nesterm58278 ай бұрын
Putting the flavor in bongo flavor 🔥
@mandojonadomokaya
8 ай бұрын
For sure
@georgemshumbusi10999 ай бұрын
is the best song and the best chorus ever to be made by Lady Jaydee
@mariammakunganya-tm4pc7 ай бұрын
Bonge moja ya nyimbo...hakuna maisha mazur km zaman
@aliciagozibert8233 күн бұрын
Nyimbo nzr
@castrondiege7755 Жыл бұрын
Timeless hit it is!!!!
@samirnasir3408Ай бұрын
I love this songs forever
@Muu-rb1cpАй бұрын
Shukrani walai
@strawmummy7 ай бұрын
Cant stop listening it's Dec 2023!
@mansourlikamba62896 ай бұрын
Primary hii. Marafiki zangu wengi tumeshasahauliana. Maisha yanaendelea!!!
@mellapnafula1071 Жыл бұрын
where is the lyrics of the song? i used to love this song
@dejavevents Жыл бұрын
nakubali yaan saana 😍
@Open-minded7 Жыл бұрын
I love you guys ❤️❤️❤️❤️👏🏼👏🏼👏🏼👌🏼👌🏼👌🏼
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏🙌
@mosesmwangi1718 Жыл бұрын
The real Bongo Sound
@raphaeloloo96416 ай бұрын
@jide rudisha huu mziki kama zamani akuna mtoto wakike East Africa anaeweza kutwa legacy yko please
@user-tg2mn3xu1y
2 ай бұрын
Zuchu c uko
@barakaekuro8 ай бұрын
Old is Gold 🔥🔥
@azizachembele4755 Жыл бұрын
Bonge la ngoma aloo Toeni video moja kari sana. Maana kitambo tuliwamisi sana wauni wangu.
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Uskonde wala usiwe na wasi wasi chupa kali linakuja 🙌
@brightonchedego8100 Жыл бұрын
Wekeni na video zake,mashabiki wenu tupo na nyimbo zenu kwetu zinaishi akilini na moyoni milele
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Much love 🙏
@mwakidilakwetu5237 Жыл бұрын
The time this song is it was it he was my favorite i like this song
@jahmalnjambe2205 Жыл бұрын
I keep on coming back here.......swahili literature
@user-op7bk8kg3y6 ай бұрын
Ni ngoma Kali Sana huwa naisudu sana
@mariamernest7044 Жыл бұрын
Jideee🙌🏾😍
@dinermafuru44339 ай бұрын
2023 bado iko motoo❤❤
@Emma43474 ай бұрын
2024🎉🎉🎉❤
@kiangotv3329 Жыл бұрын
2023
@abdillaahirichardkasisi86912 ай бұрын
Yeeeeeehee Baba ile dojo na Kaya
@bernadethapeter65903 ай бұрын
its tbt, lets go
@ewhite28064 ай бұрын
2024 still here
@jongosalehe1036Ай бұрын
congratulations
@thestonetown3302 Жыл бұрын
Dahhh nyie watu hatari sana mulikua wapi mbona mumechelewa siku zote!!!! Ila imani kila kitu na wakati wake muda wenu umefika tafuteni kolabo na mr blue unyama kama wote!!!
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure kabisa eeeh baba
@victornjwango9683
Жыл бұрын
The store town mambo vp Hawa wazeee kwenye game kitambo sana Toka 2003 ila umechelewa kuwajua tu
@thestonetown3302
Жыл бұрын
@@victornjwango9683 Asante kwa taarifa 🤝❤️❤️❤️imepokelwa!!much respect
@godfreyelia3379 Жыл бұрын
Jamani kitambo 2003
@brayonflexible44079 ай бұрын
Still it 🔥2023🙌
@isaackibrahimibrahimisaack859610 ай бұрын
Ninyimbo ambayo unasikiliza na kila mtu
@edwinmwamgendwamgendwa32765 ай бұрын
Zilipendwa zina nguvu yake!!
@ramadhanishehoza572911 ай бұрын
Jamani naombeni ile tutaonana kesho please jamani
@ImaniMunishi-tn6fh5 ай бұрын
UTAMU UKO PALE.PELE 🤌🏾
@mandojonadomokaya
5 ай бұрын
🙏🙌
@dollieangie5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@eumirish22 күн бұрын
Pale spotify tunawamiss
@husseingabo5497 Жыл бұрын
Hii Kali sana mmetisha sana
@emmanuelsimon34569 ай бұрын
Wanok wanok watu wakusingizia
@anuarymzee9898 Жыл бұрын
Yeeew baba Man dojo domokaya Feroo
@daudimasawa17816 ай бұрын
Jidee.😊
@barakaleader1550 Жыл бұрын
Ee baba ehee
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E baba
@adsonchisongela37686 ай бұрын
2023♾️♾️🇹🇿💥🔥
@abdallahguyana1588 Жыл бұрын
Mbona nizikwe hai hamna mtandaoni? Tuwekeen basi Mandava...
@yohanakebacho39905 ай бұрын
2024
@maporiwall5330 Жыл бұрын
Respect hii trio
@mvp_highlights Жыл бұрын
chuma ya kitambo hii
@RashidiHassani-in9rb11 ай бұрын
Hizi ndio nyimbo Sasa pesa tu ndo zipo wanapewa usanii Bora kizazi Cha Sasa bure
@wilbardshayo88355 ай бұрын
Nocknock
@saidimohamed9971 Жыл бұрын
Haichuji❤❤❤
@Allyzungujr Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@hassansimba200210 ай бұрын
Bonge la dude hili
@ericrakamba75724 ай бұрын
Vidoe iko wapi jamani
@magengekovu294711 ай бұрын
2/8/2023
@maporiwall5330 Жыл бұрын
Hao wanafki chakubimbi
@zugaonlinetv3902 Жыл бұрын
Hii ngoma kwenye video model wa kiume mkimchukua jaymond itafika mbali au joti
@georgenyoni98799 ай бұрын
Tusaidieni verse ya kwanza ,Kila nikisikiliza sielewi ✋✋✌️✌️
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
Ulimwengu huu una mambo heti nawe waijua dini/ Uishi kutamba maskani kuwa umiss ukosi msikitini/ Ni mmoja Kati ya wakaliao mambo poa/ Nikipita mkosoa kodoa kisha sogoa mimate ikupalie kohoa/ Ndo ushavumbua jipya na hili jingine halijakwisha/ Kakatika wa aibu mshipa haufai hata kwa service/ Unamtambulisha kwa dem wako leo kesho amewahi kufika/ Si ana faham ratiba msela huwa anaenda saa tisa / Ana tia tim saa sita kuyakaanga na kuyapika/ Usifate hisia zake mnoko atakuumiza kichwa/ Kwa sifa akizidisha Domokaya hakufai kabisa/ Ndo mkunja ndita asiye vumilia furaha ya mfa haki/ Nna kiu nisiguse mtungi hata tone la mvuke wa bati Unoko staki Katia VAT Wengine wa mama watu wazima/ Wenye kuchamba wima wamezaliwa wanasema / Si Safi sa kusema hat naigiza act za kid/ Heti nyimbo ya kaka poa huyu jamaa inamuhusu naaanii.....
@emmanuelmwambogha1088
22 күн бұрын
@@mandojonadomokayamlipotelea wapi rudini kwenye game aisee
@harrykarua92389 ай бұрын
💪👊
@d-vanmkigatz8637 Жыл бұрын
2023 tuko apa 😅😅
@mugaikabiru889 Жыл бұрын
Hao majamaa Wana rap nilidhani juma nature yupo maana sauti yake na yao ni sawa.
Пікірлер: 160
2024 na Bado...vile hii wimbo unaanza unajipata umetengeneza clip ndio ushinde ukiskiza...hio piano is a killer
@japhetmnyeta1076
3 ай бұрын
Sanaaaaa😂
Tulioirudia rudia hii nyimbo kwa sababu ya utamu wa verse ya kwanza tujuane.
@newtonvicent8694
4 ай бұрын
Daah we acha tu nakumbuka kipindi nipo darsa la Saba
@RioIpo
4 ай бұрын
Ebabaa
@dstrings508
Ай бұрын
Here🇹🇿
Ukimpenda mtu, mwambie ukweli na sio kumpakazia❤
Mademu za watu washikaj wanarukia... mlitisha sana legends
2023 still the best combo ever, good job ..thank you
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
🙏🙌
@mariammakunganya-tm4pc
7 ай бұрын
@@mandojonadomokayaĺ😊ĺlllĺ000
Nime miss nyumbani kwetu jamani 😢😢REST IN PEACE washikaji tulio kua nao wakati wa hizi hits
from Kenya... i remember this hitsong back in 2005 when i was in class 2.... i love it
big up jaydee for the vocals👍👍👍🙏
Hii dhahabu mumeficha wapi miaka yote hio? Hii hit naipenda sana. Kutoka kenya 🇰🇪
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Pamoja sana mwanangu 🙏🙌
It's 2023 and still rocking
Loved this song in my teens. And out of nowhere it kept playing in my head today. Its funny how human brain can surprise you. I had to search for this song.
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
🙏
SASA HII APA WANANGU NDIO MY FCKN FAVORITE TRACK TANGU LONGTIME...#WANOK NOK JIDE ALIKALISHA SANA.. MAWEEEE BABA
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute zote
we still here 2023 Sept.. crazy hit..
I don't know for how many yrs have been looking for this song....but finally it's here.Shukran🤜🤛
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Karibu 🙌
Gonga like hapa kama bado unaikubali hii ngoma
@vinnynjoro4100
Жыл бұрын
Madojo domokaya na jaydee
Ezi hizo kutongoza tunasema kutokea we achaa tu 2002
Lady jaydee best forever
Respect old music 🎶🎶🎶
Hawa ndo wasanii kabisa .sio kama kina Diamond. Truck miaka 20 bado IKO kwenye chati. From Burundi.2024
@mtaostephen3660
7 күн бұрын
Usimbeze simba,naye kafanya yake mengi sana
Many years of this truck but hadi kizazi cha watoto wangu wanaozaliwa 2023 watasifia kazi nzuri ya sanaa hii....GOOD MUSIC ALIVE👑👑👑
Mafundi Wapo kazin nawakubali sana
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia mwamba
I LOVE THIS SONG REMINDS ME OF MY CHILDHOOD MEMORIES
Wimbo mtamu wa enzi zetu
the song hits the nerves differently been looking for this vibe for so long
Kitambo Sanaa,hili goma linanikumbusha physics yote ya form two
Then nikiwa dogo saa hii ni baba wa watoto wawili na bado ngoma ipo imara 🔥
Cha kale ni dhahabu❤️
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn eeeh baba
@tafsirichai2405
Жыл бұрын
Mavi ya kale hayanuki....yaani vitu vya kikweli....mziki Wa Zama unahit Hadi milele....mistari ndio usiseme!!!
Ulimwengu huu una mambo eti nawe waijua dini 😂😂😂😂
This is a blockbuster. Production & Vocals one of the best. Listening to the current music, I feel that TZ music has degressed. I don't mind paying $ for the single
Mziki umetulia, mziki Umeenda shule
bado mzigo mpya haujachuja
Am not that old, but this song imenigusa Old is Gold tukutane alliance France wanangu tareh 8
Aki hii song tamu sana
Hiki ndio kizazi kipya mond na kiba kijacho
Muziki ulikuwa zamani, hawa kizazi cha kina diamond wamechafua muziki wetu pendwa. Nachukia sana
@frankkajoba8372
9 ай бұрын
Diamond, Baba levo, Mboso, Zuchu, Lavalava, wozu, chino, Bill nas, na wapumbavu wengine wametuletea ushenzi mwingi sana muziki haufai hata kusikiliza uchafu mtupu😢
@jasonwatz7457
9 ай бұрын
@@frankkajoba8372is why sisikilizi tena, identity ya bongo fleva imepotea kias kwamba hawaeleweki wanaimba nn
@emmanuelmichael4508
5 ай бұрын
Akili finyu hizi si urudi miaka hiyo... au umelazimishwa kuwasikiliza hao kina diamond
@japhetmnyeta1076
3 ай бұрын
❤❤❤❤nakubali hii comment yako
@frankkajoba8372
3 ай бұрын
@@emmanuelmichael4508 hata ww hujalazimishwa kujibu msg yangu kasikilize nyegezi🤣
Heb mkuje tena tumewamiss sana guys
Kali sana 🔥 🔥
mara ya tano nairejea hii ngoma💯
Putting the flavor in bongo flavor 🔥
@mandojonadomokaya
8 ай бұрын
For sure
is the best song and the best chorus ever to be made by Lady Jaydee
Bonge moja ya nyimbo...hakuna maisha mazur km zaman
Nyimbo nzr
Timeless hit it is!!!!
I love this songs forever
Shukrani walai
Cant stop listening it's Dec 2023!
Primary hii. Marafiki zangu wengi tumeshasahauliana. Maisha yanaendelea!!!
where is the lyrics of the song? i used to love this song
nakubali yaan saana 😍
I love you guys ❤️❤️❤️❤️👏🏼👏🏼👏🏼👌🏼👌🏼👌🏼
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏🙌
The real Bongo Sound
@jide rudisha huu mziki kama zamani akuna mtoto wakike East Africa anaeweza kutwa legacy yko please
@user-tg2mn3xu1y
2 ай бұрын
Zuchu c uko
Old is Gold 🔥🔥
Bonge la ngoma aloo Toeni video moja kari sana. Maana kitambo tuliwamisi sana wauni wangu.
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Uskonde wala usiwe na wasi wasi chupa kali linakuja 🙌
Wekeni na video zake,mashabiki wenu tupo na nyimbo zenu kwetu zinaishi akilini na moyoni milele
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Much love 🙏
The time this song is it was it he was my favorite i like this song
I keep on coming back here.......swahili literature
Ni ngoma Kali Sana huwa naisudu sana
Jideee🙌🏾😍
2023 bado iko motoo❤❤
2024🎉🎉🎉❤
2023
Yeeeeeehee Baba ile dojo na Kaya
its tbt, lets go
2024 still here
congratulations
Dahhh nyie watu hatari sana mulikua wapi mbona mumechelewa siku zote!!!! Ila imani kila kitu na wakati wake muda wenu umefika tafuteni kolabo na mr blue unyama kama wote!!!
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure kabisa eeeh baba
@victornjwango9683
Жыл бұрын
The store town mambo vp Hawa wazeee kwenye game kitambo sana Toka 2003 ila umechelewa kuwajua tu
@thestonetown3302
Жыл бұрын
@@victornjwango9683 Asante kwa taarifa 🤝❤️❤️❤️imepokelwa!!much respect
Jamani kitambo 2003
Still it 🔥2023🙌
Ninyimbo ambayo unasikiliza na kila mtu
Zilipendwa zina nguvu yake!!
Jamani naombeni ile tutaonana kesho please jamani
UTAMU UKO PALE.PELE 🤌🏾
@mandojonadomokaya
5 ай бұрын
🙏🙌
🔥🔥🔥
Pale spotify tunawamiss
Hii Kali sana mmetisha sana
Wanok wanok watu wakusingizia
Yeeew baba Man dojo domokaya Feroo
Jidee.😊
Ee baba ehee
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
E baba
2023♾️♾️🇹🇿💥🔥
Mbona nizikwe hai hamna mtandaoni? Tuwekeen basi Mandava...
2024
Respect hii trio
chuma ya kitambo hii
Hizi ndio nyimbo Sasa pesa tu ndo zipo wanapewa usanii Bora kizazi Cha Sasa bure
Nocknock
Haichuji❤❤❤
🔥🔥🔥🔥
Bonge la dude hili
Vidoe iko wapi jamani
2/8/2023
Hao wanafki chakubimbi
Hii ngoma kwenye video model wa kiume mkimchukua jaymond itafika mbali au joti
Tusaidieni verse ya kwanza ,Kila nikisikiliza sielewi ✋✋✌️✌️
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
Ulimwengu huu una mambo heti nawe waijua dini/ Uishi kutamba maskani kuwa umiss ukosi msikitini/ Ni mmoja Kati ya wakaliao mambo poa/ Nikipita mkosoa kodoa kisha sogoa mimate ikupalie kohoa/ Ndo ushavumbua jipya na hili jingine halijakwisha/ Kakatika wa aibu mshipa haufai hata kwa service/ Unamtambulisha kwa dem wako leo kesho amewahi kufika/ Si ana faham ratiba msela huwa anaenda saa tisa / Ana tia tim saa sita kuyakaanga na kuyapika/ Usifate hisia zake mnoko atakuumiza kichwa/ Kwa sifa akizidisha Domokaya hakufai kabisa/ Ndo mkunja ndita asiye vumilia furaha ya mfa haki/ Nna kiu nisiguse mtungi hata tone la mvuke wa bati Unoko staki Katia VAT Wengine wa mama watu wazima/ Wenye kuchamba wima wamezaliwa wanasema / Si Safi sa kusema hat naigiza act za kid/ Heti nyimbo ya kaka poa huyu jamaa inamuhusu naaanii.....
@emmanuelmwambogha1088
22 күн бұрын
@@mandojonadomokayamlipotelea wapi rudini kwenye game aisee
💪👊
2023 tuko apa 😅😅
Hao majamaa Wana rap nilidhani juma nature yupo maana sauti yake na yao ni sawa.
Who inserted those opening keys 🎹 🤯
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Bizzman
@chadgalavan
Жыл бұрын
@@mandojonadomokaya Genius 👌🏼
1 Appril 2024