MANDOJO & DOMOKAYA-MEGA MIX (Guitar Version) Taswira,Niaje,Wanok nok, Muziki mzuri unaishi

Пікірлер: 40

  • @festorsanga5152
    @festorsanga5152 Жыл бұрын

    Hawa jamaa mziki wanaudai sanaa

  • @abdulmutabuzi6206
    @abdulmutabuzi620622 күн бұрын

    Hawa jamaa nawakubali Hadi kesho

  • @michaelkundete3050
    @michaelkundete30502 ай бұрын

    Mziki wa bongo unadaiwa na hii miamba

  • @am_theChange
    @am_theChange10 ай бұрын

    MABRADHAZ BONGO FLAVA HONOURS YOU DESERVE IT mna UNYAMA MWINGI madhaFanta**

  • @nicholaskobelo
    @nicholaskobelo11 ай бұрын

    Hawa jamaaa wako na talent sana pia huwa napenda sana tone yao so unique

  • @danrevelian
    @danrevelian10 ай бұрын

    Dadekiiii nyie watu ni noma

  • @allannyiti4075
    @allannyiti407510 ай бұрын

    Dope .....yaani wa motooo sana

  • @monicageorge2181
    @monicageorge2181 Жыл бұрын

    Daaaah!!Allah awajaalie sana mandojo na domokaya.Blessed.

  • @aud548
    @aud54810 ай бұрын

    Vocals🙌🙌🙌 wallahy

  • @user-gv6sj9tz7w
    @user-gv6sj9tz7w9 ай бұрын

    Inaweza kuisha miaka buku najelo huu mziki nikama wajana aisee

  • @vaalonedearmy939
    @vaalonedearmy939 Жыл бұрын

    No beila any more truth coming now 🧐💪

  • @michaelchami6775
    @michaelchami677510 ай бұрын

    mziki mzuri ni mziki mzuri tu

  • @husseinaboukombo4013
    @husseinaboukombo40139 ай бұрын

    nakubali....sana jamaaa nawatamani san

  • @martinemasunga5802
    @martinemasunga5802 Жыл бұрын

    hawa jamaaa ni level nyingine kabisaaaa daah mimekumbuka mbali sana aiseee!!

  • @jonathanmundeda9714
    @jonathanmundeda9714 Жыл бұрын

    Za nzuko wenyu walome elo mlimota nawakabar sana wanyandugu

  • @theophilwisdom2308
    @theophilwisdom2308 Жыл бұрын

    Way back flani kama ngoma mpya kwa watoto wa juzi

  • @humphreymasoud1725
    @humphreymasoud17259 ай бұрын

    so pure! so talented.. uwezo wao haujaoungua hata nukta pamoja na kwamba nu miaka mingi imepita tangu wafanye hizi records...af washkaji hawazeeki hawa.. au ni mimi tu naona..😂😂

  • @VictorMpoloto-yp9ky
    @VictorMpoloto-yp9ky8 ай бұрын

    Watu wabaya sana

  • @abdul-majidkhalfan210
    @abdul-majidkhalfan210 Жыл бұрын

    Dah way back Niaje ni goma langu

  • @paulomwabusila1281
    @paulomwabusila128111 ай бұрын

    Zamani watu waliimba kwa sababu wanavipaji Leo hii hamna kitu

  • @samsonmbangula_17
    @samsonmbangula_17 Жыл бұрын

    Legendary 👊🏿👊🏿👊🏿

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 Жыл бұрын

    Nalia na mola kumbe wanga ndio wanamix

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Hawa jamaa ni kiboko saaana

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Hawa watu wanajua sana kuimba live

  • @sendisteve7981
    @sendisteve79814 ай бұрын

    Dunia hii wakati mwingine iko very unfair.Hawa jamaa mpaka kesho wanatisha lakini wanaovuma mmmhhh

  • @raphaelshayo2986
    @raphaelshayo29869 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥💫

  • @bokabecca5473
    @bokabecca54732 жыл бұрын

    wanamuziki

  • @kaniiguana9728
    @kaniiguana9728 Жыл бұрын

    noma sana sana oiii

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael943110 ай бұрын

    Wanamziki

  • @joeledson3862
    @joeledson3862 Жыл бұрын

    Hawa ni zaid ya mafund nawakubali sana

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine3410 Жыл бұрын

    Wachaaaa weee vipajii havifiiii

  • @godlistenmalisa5100
    @godlistenmalisa5100 Жыл бұрын

    Wajuba wanajua hadi roho inauma

  • @jekehussein200
    @jekehussein2005 ай бұрын

    Good music

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna54415 ай бұрын

    Hawa balaa

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын

    Ebenaaaaaaa eheeeeeeeeee daaaaaaaaaaaaaaaa aiseee 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nyie ni nyokooooooooooooooo mmenikumbusha mbaliiii sanaaaa daaaaaaaaaaaa

  • @pendoMlele-lz5ck

    @pendoMlele-lz5ck

    Жыл бұрын

    Mi nimekumbuka mbali mpaka machozi yamenitoka😭😭😭😭😭😭

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n2 ай бұрын

    Wanaojua mziki waulize eti ukiwa unaimba au unachana ukiwa umekaa inatakiwa uwe na ujazo wa pumzi kiasi gani?? Kwanza kuchana ukiwa umekaa nao ni uwezo mwingine kwenye swala la pumzi

  • @Empdigitaltanzania
    @Empdigitaltanzania6 ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @josephalute5291
    @josephalute5291 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾