Nizikwe hai - Mandojo & Domokaya
This song is about a Man who wanted to surprise his girlfriend after he Saw her walking on the beach,so he moved slowly near her but all of a sudden appeared another Man hugged her and they kissed, repeatedly.The kind of feeling that one's wish to be buried alive
Enjoy 💥🔥
Пікірлер: 100
Enzi zetu hizo hata mshekuu wangu anajua😀
Kwa hiyo nyie washkaji you can rap and you can sing this good.. This song is timeless, masterpiece, a classic. Niliusikiliza back then, I will listen to it the next 50 years to come.
Wakali wa Karne Dojo na Domo kaya 2024 Old is Gold
Ngoma yangu pendwa ya muda wote…classic
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
E babaa
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Salute sn
Hawa ni mafundi,sijaona,kuanzia vocal,melody,mpangilio mzima wa track zao...Stay blessed guys!
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Salute
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
We appreciate 🙏
@rubberbandman1213
10 ай бұрын
Very true hawa jamaa huwa nikisikiaga Ngoma zao natulia nakuwa mpole Kisha nakuwa na feelings kali
Wananguuuu hamjawahi angusha mzee...
Ukiachwa it hit different
Best nyimbo ya miaka yote kwangu ❤
Mbali Sana 🎉🎉🎉
Hii album aseh,Kila ngoma ilikuwa Kali Sana....
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Salute
Kipindi hicho kulikuwa na nyimbo aisee yaani ukisikia domo dojo yaani ni burudani tuu, siyo siku hizi shika ukuta mara nawashwa mara nini duh old is gold 🔥🔥🔥🔥
Wasanii wangu bora wa muda wote dojo na domo. Mziki unawadai sana daah.✌
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
🙌🙏
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Eeeh baba
Good music
Mapenz yako yalinilevya kiasi kwamba ukikohoa ww mm natemaee ha.ha
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
💪
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Eeeh baba
Amazing masterpiece all the time
Still narudia 2024 forever old is gold
@mandojonadomokaya
5 ай бұрын
🔥🙏🙌
Yani mpaka nahisi kusinziya kwa raha Big up
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
Asante sana 🙏
Alisema nakupenda nyingi zikaleta kias, akikohoa niatemaa.😂😂 da awa jaama noma sana
tulikuja ajili Mika mwamba Tu like apa
Suala La Muda, Mliutumia Vyema MUDA WENU Brother ❤
ukiacha ding hiii
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Salute
Dah kitambo sana nilimis hiz radha ....respect sna mandojo domokaya
Kuna flavour ile ya bongo fleva unaipata ile halisi kabisa
Bakora hii ilichapa kila kona na ina utamu uleule hadi leo
Makini sana
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Pamoja
🔥🔥🤝
Nikiwa bongo nitatafuta namba zenu niwapee hela ya sodaa hiii ngoma sio powaa aisee 🔥 xmaass nipo bongo wazeee Inshaallah ntafanya jambo juu yenu
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
😀😀 Asante sana, karibu sana 🙌
noma sana
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Eeeh baba
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Eeeh baba
Daah mmefanya kitu Bora sana hizi ndio nyimbo tunazoishi nazo sio hizi za watoto wa sasa nyimbo moja bora sana kutoka kwenu
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
ASANTE SANA 🙌
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Eeeh baba salute
@hurumagideon173
10 ай бұрын
Kabisaaa, unasikiliza nyimbo mpaka unaisikia moyoni
Nawakubali sana brothers
SIMBA OYEE E BABA WAMANDAVAKU
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Knock knock
No coment🙌🙌🙌🙌
nimeitafuta sana hi ngoma
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Umeipata SASA 🙌
Unyama sana
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Unyama mwingi 🙌
@Geofrey-we1tv
9 ай бұрын
@@mandojonadomokayaNakmbuka mbali sana Domo & Dojo kitambo flani hivi Mbeya City
Our inspiration 🙌🙌
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
E babaa
@johnnytravo
11 ай бұрын
@@mandojonadomokaya brothers. Much respect 💪
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Aminia sn
@johnnytravo
11 ай бұрын
@@mandojojoseph1665 sana my brothers 💪💪💪
Hapa mliumiza vichwa sana ❤
Ila Mika Mwamba ni hatari.
Kama unasikiliza November 2023 wewe ni mnyama😊
My all timer favorite song
Eee baba
@mandojojoseph1665
11 ай бұрын
Eeeh baba
@mwalyagilenorbert1470
10 ай бұрын
nawakubali sana hawa jamaa nyimbo zao bado zinaishi mpaka kesho
Nyie watu ni hatar sana
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa 🙌
Hawa jamaa kama wanarudi tena kwenye game watu watawasahau wasanii wengine wote wanajua mpaka ukimya wao unakera
@mandojonadomokaya
9 ай бұрын
🙌
One of the hits all time hit
Watch 2023 Ngomaa hot
Huu wimbo unanitoaga machozi aisee😢
Fanyeni video ya hii ngoma
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Inakuja soon 🙌
🔥🔥
best of our generation
🎉🎉
Mko wapi wanangu mbona mnawachia madogo wanatukana tu
👏👏👏
❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Next time lipigwe chupa la hii ngoma
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Kabisaa
@fevactv
11 ай бұрын
Kali kinomaa
way back 2000s.
Chukueni maua yenu brothers👊👊👊
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Asante sana 🙏 🙌
Wamandavaku Haooo.....!!
@jafariibrahim9169
11 ай бұрын
Hatariii sana, Ngoma kali sana
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Vaku my Brother, mzee wa katuni katuni kabisaa 😀
Dah kipindi ichi nilikuwa na mtoto hidaya alinizungua alafu iyi ngoma ndo ikawa inaniliwaza...fala sana yule dumu asaiv kawa bibi wauni washapiga sana
Hivi hii album Taswira ilitoka? Kama ndio naipata vp? 🎉
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
2004
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Boomplay, KZread hapa ,na platforms Zinginezo