Nizikwe hai - Mandojo & Domokaya

This song is about a Man who wanted to surprise his girlfriend after he Saw her walking on the beach,so he moved slowly near her but all of a sudden appeared another Man hugged her and they kissed, repeatedly.The kind of feeling that one's wish to be buried alive
Enjoy 💥🔥

Пікірлер: 100

  • @waridi2644
    @waridi264411 күн бұрын

    Enzi zetu hizo hata mshekuu wangu anajua😀

  • @telengoboy
    @telengoboy8 ай бұрын

    Kwa hiyo nyie washkaji you can rap and you can sing this good.. This song is timeless, masterpiece, a classic. Niliusikiliza back then, I will listen to it the next 50 years to come.

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid73912 ай бұрын

    Wakali wa Karne Dojo na Domo kaya 2024 Old is Gold

  • @chrispaul8971
    @chrispaul897111 ай бұрын

    Ngoma yangu pendwa ya muda wote…classic

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    E babaa

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Salute sn

  • @Andrew-og4xf
    @Andrew-og4xf11 ай бұрын

    Hawa ni mafundi,sijaona,kuanzia vocal,melody,mpangilio mzima wa track zao...Stay blessed guys!

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Salute

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    We appreciate 🙏

  • @rubberbandman1213

    @rubberbandman1213

    10 ай бұрын

    Very true hawa jamaa huwa nikisikiaga Ngoma zao natulia nakuwa mpole Kisha nakuwa na feelings kali

  • @nundamalickofficial9538
    @nundamalickofficial953811 ай бұрын

    Wananguuuu hamjawahi angusha mzee...

  • @skywalker_Eddy
    @skywalker_EddyАй бұрын

    Ukiachwa it hit different

  • @wilsondominic4579
    @wilsondominic457911 ай бұрын

    Best nyimbo ya miaka yote kwangu ❤

  • @user-nu3us3jr1x
    @user-nu3us3jr1x11 ай бұрын

    Mbali Sana 🎉🎉🎉

  • @anthonymahinya1537
    @anthonymahinya153711 ай бұрын

    Hii album aseh,Kila ngoma ilikuwa Kali Sana....

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Salute

  • @gordonnick2002
    @gordonnick20023 ай бұрын

    Kipindi hicho kulikuwa na nyimbo aisee yaani ukisikia domo dojo yaani ni burudani tuu, siyo siku hizi shika ukuta mara nawashwa mara nini duh old is gold 🔥🔥🔥🔥

  • @JamesKarata-kz4rp
    @JamesKarata-kz4rp11 ай бұрын

    Wasanii wangu bora wa muda wote dojo na domo. Mziki unawadai sana daah.✌

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    🙌🙏

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Eeeh baba

  • @rashidsapi9466
    @rashidsapi946611 ай бұрын

    Good music

  • @richardjames8460
    @richardjames846011 ай бұрын

    Mapenz yako yalinilevya kiasi kwamba ukikohoa ww mm natemaee ha.ha

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    💪

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Eeeh baba

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal67505 ай бұрын

    Amazing masterpiece all the time

  • @wilsondominic4579
    @wilsondominic45795 ай бұрын

    Still narudia 2024 forever old is gold

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    5 ай бұрын

    🔥🙏🙌

  • @nkurunzizaabou7029
    @nkurunzizaabou70299 ай бұрын

    Yani mpaka nahisi kusinziya kwa raha Big up

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    9 ай бұрын

    Asante sana 🙏

  • @PauloMoshi
    @PauloMoshi3 ай бұрын

    Alisema nakupenda nyingi zikaleta kias, akikohoa niatemaa.😂😂 da awa jaama noma sana

  • @raulmagige2698
    @raulmagige26984 ай бұрын

    tulikuja ajili Mika mwamba Tu like apa

  • @dariusjiga5747
    @dariusjiga57477 ай бұрын

    Suala La Muda, Mliutumia Vyema MUDA WENU Brother ❤

  • @DainessMhagama
    @DainessMhagama11 ай бұрын

    ukiacha ding hiii

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Salute

  • @djunction4127
    @djunction412711 ай бұрын

    Dah kitambo sana nilimis hiz radha ....respect sna mandojo domokaya

  • @godloveabduel9491
    @godloveabduel9491Ай бұрын

    Kuna flavour ile ya bongo fleva unaipata ile halisi kabisa

  • @Manikacha
    @Manikacha3 ай бұрын

    Bakora hii ilichapa kila kona na ina utamu uleule hadi leo

  • @robertmgore3653
    @robertmgore365311 ай бұрын

    Makini sana

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Pamoja

  • @williammwasse773
    @williammwasse7732 ай бұрын

    🔥🔥🤝

  • @michaelhillary837
    @michaelhillary83710 ай бұрын

    Nikiwa bongo nitatafuta namba zenu niwapee hela ya sodaa hiii ngoma sio powaa aisee 🔥 xmaass nipo bongo wazeee Inshaallah ntafanya jambo juu yenu

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    😀😀 Asante sana, karibu sana 🙌

  • @abubakarhatibu3853
    @abubakarhatibu385311 ай бұрын

    noma sana

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Eeeh baba

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Eeeh baba

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi976611 ай бұрын

    Daah mmefanya kitu Bora sana hizi ndio nyimbo tunazoishi nazo sio hizi za watoto wa sasa nyimbo moja bora sana kutoka kwenu

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    ASANTE SANA 🙌

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Eeeh baba salute

  • @hurumagideon173

    @hurumagideon173

    10 ай бұрын

    Kabisaaa, unasikiliza nyimbo mpaka unaisikia moyoni

  • @maximilianmkusa3520
    @maximilianmkusa35207 ай бұрын

    Nawakubali sana brothers

  • @yusuphchimbongwe6090
    @yusuphchimbongwe609010 ай бұрын

    SIMBA OYEE E BABA WAMANDAVAKU

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Knock knock

  • @AmjjadMustafa-bh4uc
    @AmjjadMustafa-bh4uc7 ай бұрын

    No coment🙌🙌🙌🙌

  • @chrismeshack3168
    @chrismeshack316811 ай бұрын

    nimeitafuta sana hi ngoma

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Umeipata SASA 🙌

  • @elibarickmayo7173
    @elibarickmayo717311 ай бұрын

    Unyama sana

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Unyama mwingi 🙌

  • @Geofrey-we1tv

    @Geofrey-we1tv

    9 ай бұрын

    ​@@mandojonadomokayaNakmbuka mbali sana Domo & Dojo kitambo flani hivi Mbeya City

  • @johnnytravo
    @johnnytravo11 ай бұрын

    Our inspiration 🙌🙌

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    E babaa

  • @johnnytravo

    @johnnytravo

    11 ай бұрын

    @@mandojonadomokaya brothers. Much respect 💪

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Aminia sn

  • @johnnytravo

    @johnnytravo

    11 ай бұрын

    @@mandojojoseph1665 sana my brothers 💪💪💪

  • @thomjunior9947
    @thomjunior994711 ай бұрын

    Hapa mliumiza vichwa sana ❤

  • @michaelmageche1023
    @michaelmageche10234 ай бұрын

    Ila Mika Mwamba ni hatari.

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory71988 ай бұрын

    Kama unasikiliza November 2023 wewe ni mnyama😊

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan127211 ай бұрын

    My all timer favorite song

  • @user-zy7so4rf9r
    @user-zy7so4rf9r11 ай бұрын

    Eee baba

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    11 ай бұрын

    Eeeh baba

  • @mwalyagilenorbert1470

    @mwalyagilenorbert1470

    10 ай бұрын

    nawakubali sana hawa jamaa nyimbo zao bado zinaishi mpaka kesho

  • @madlipzkenyamadlipz2951
    @madlipzkenyamadlipz295110 ай бұрын

    Nyie watu ni hatar sana

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    E babaa 🙌

  • @cheddyreddy4607
    @cheddyreddy46079 ай бұрын

    Hawa jamaa kama wanarudi tena kwenye game watu watawasahau wasanii wengine wote wanajua mpaka ukimya wao unakera

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    9 ай бұрын

    🙌

  • @bernad_1
    @bernad_17 ай бұрын

    One of the hits all time hit

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85549 ай бұрын

    Watch 2023 Ngomaa hot

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba837210 ай бұрын

    Huu wimbo unanitoaga machozi aisee😢

  • @isackkinabo152
    @isackkinabo15211 ай бұрын

    Fanyeni video ya hii ngoma

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Inakuja soon 🙌

  • @tahataly2413
    @tahataly241311 ай бұрын

    🔥🔥

  • @boyrobby5612
    @boyrobby56129 ай бұрын

    best of our generation

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga52882 ай бұрын

    🎉🎉

  • @AhmedAbubakar-eu7ym
    @AhmedAbubakar-eu7ym2 ай бұрын

    Mko wapi wanangu mbona mnawachia madogo wanatukana tu

  • @tangakunani4168
    @tangakunani416810 ай бұрын

    👏👏👏

  • @Aman-lr7xx
    @Aman-lr7xx5 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @robertmgulunde5069
    @robertmgulunde50698 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90039 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Mo_Blaze
    @Mo_Blaze11 ай бұрын

    Next time lipigwe chupa la hii ngoma

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Kabisaa

  • @fevactv

    @fevactv

    11 ай бұрын

    Kali kinomaa

  • @franklite4700
    @franklite47007 ай бұрын

    way back 2000s.

  • @jaxonkisangi7316
    @jaxonkisangi731610 ай бұрын

    Chukueni maua yenu brothers👊👊👊

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Asante sana 🙏 🙌

  • @hassanimshui4620
    @hassanimshui462011 ай бұрын

    Wamandavaku Haooo.....!!

  • @jafariibrahim9169

    @jafariibrahim9169

    11 ай бұрын

    Hatariii sana, Ngoma kali sana

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Vaku my Brother, mzee wa katuni katuni kabisaa 😀

  • @ommytzu4261
    @ommytzu42617 ай бұрын

    Dah kipindi ichi nilikuwa na mtoto hidaya alinizungua alafu iyi ngoma ndo ikawa inaniliwaza...fala sana yule dumu asaiv kawa bibi wauni washapiga sana

  • @thomjunior9947
    @thomjunior994711 ай бұрын

    Hivi hii album Taswira ilitoka? Kama ndio naipata vp? 🎉

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    2004

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Boomplay, KZread hapa ,na platforms Zinginezo