Papii Kocha - Waambie (Official Video)

Papii Kocha - Waambie (Official Video)
Written by Natasha (THT)
Audio Production: Ema The Boy
Video Directed: Destro / Wanene Film
DOP: Aanand Lonkar

Пікірлер: 1 600

  • @motishatv3273
    @motishatv32736 жыл бұрын

    Wimbo huu, UNA nguvu ya Mungu, kuna mkono wa Mungu katika ngoma hii! Kama unaguswa na Ngoma hii gong like

  • @joharisalehei9596

    @joharisalehei9596

    4 жыл бұрын

    Yap......wimbo mkali sana huu....mungu waambie ni ww tu uliesababisha leo imefika

  • @sammmwalongo4586

    @sammmwalongo4586

    4 жыл бұрын

    Kall🙏

  • @godlivingmosha1044

    @godlivingmosha1044

    3 жыл бұрын

    Natamani watu wangefaham nini maana ya huu wimbo coz umebeba maana kubwa sana katika maisha tunayopitia katika dunia tunayoishi sasa

  • @jadielmarvin6725

    @jadielmarvin6725

    2 жыл бұрын

    I guess I am pretty off topic but does anyone know of a good website to stream new tv shows online ?

  • @nmkandawile

    @nmkandawile

    10 ай бұрын

    Sana

  • @husnaalhabsi4244
    @husnaalhabsi42446 жыл бұрын

    I see mungu ni mwema cku zote nimelia hii nyimbo na imenipa Iman kubwa ya maisha yangu

  • @nathanmakuchilo3182

    @nathanmakuchilo3182

    Жыл бұрын

    Hi

  • @stevenpeter2260
    @stevenpeter22606 жыл бұрын

    Huu wimbo utadumu tena sana. A very nice song.

  • @yusuphsamwel7949
    @yusuphsamwel79496 жыл бұрын

    Hakuna heshima inayozid uhai, Mungu wambie

  • @tinamuller6942
    @tinamuller69426 жыл бұрын

    Thank you Lord kwa kurudisha matumaini ya waliokata tamaa kwa kupitia hawa watu, tusichoke kuomba Mungu anasikia ....MWAMBIE ANASIKIA

  • @jasminejustin1825
    @jasminejustin18256 жыл бұрын

    hii ndio pure Music. we missed you a lot. purity and maturity. kweli Mungu Husikia, Huona Na Hufika...

  • @talantap4966

    @talantap4966

    6 жыл бұрын

    ya trrrruuueee

  • @beatricewanjiru5019
    @beatricewanjiru50194 жыл бұрын

    in love with this song...kama umetoka kenya gonga like tukisonga

  • @stephcisse2304
    @stephcisse23046 жыл бұрын

    The voice daaamnnnnn aisee hii sauti inaweza kukupa mkopo wa masharti nafuu🙌

  • @bakarisalim3313
    @bakarisalim33136 жыл бұрын

    Wengine wameshindwa kucomment kwakuwa walikuwa wakitokwa na machozi na wengine wamejitahidi kucomment hali ya kuwa machozi yakiwatoka. Ahsante Papii🤧

  • @africafunnyanimals
    @africafunnyanimals5 жыл бұрын

    KAMA BADO HAIJAKUKINAI HII NGOMA GONGA LIKE

  • @radidootieno2703

    @radidootieno2703

    Жыл бұрын

    Nate dogg

  • @omarymchana6380
    @omarymchana63806 жыл бұрын

    Hii ngoma qali sana inatibu hasira mawazo na mengine mengi sharaut kwa papii x nguza💯✔

  • @saidibiyege416
    @saidibiyege4166 жыл бұрын

    mungu waambie na cc ni binadamu kama wao wasituue bila hatia

  • @issackmush6602
    @issackmush66026 жыл бұрын

    Kama umeikubal ngoma ya papi like hapo chin

  • @charlesthomas2056

    @charlesthomas2056

    5 жыл бұрын

    Nashukuru kwa kumpa bro moyo #1 pamoja sana

  • @mariadotto2294

    @mariadotto2294

    4 жыл бұрын

    Hii ngoma naikubali hatari

  • @kashindiaishakamila4713

    @kashindiaishakamila4713

    3 жыл бұрын

    Naipenda sana iyi nyimbo inanifaridji sana

  • @himidhareed4784
    @himidhareed47846 жыл бұрын

    Wengi wanaichukulia kama nyimbo tu mm naichukulia ni maneno mazito ya nayoish daima kiukwel imenisisimua mno walah..... na inatufunza kutokata tamaa na inafundisha kuomba mungu na kuamin ipo siku mungu atajibu kilio chako

  • @agnestuniga5744

    @agnestuniga5744

    6 жыл бұрын

    Hongera Papii a very inspirational song i,nagusa .

  • @AhmedIbrahim-ul5wb

    @AhmedIbrahim-ul5wb

    6 жыл бұрын

    True

  • @alifarah6742

    @alifarah6742

    6 жыл бұрын

    Nyimbo video zote kali mkuu jamaa wanajua hawa

  • @beautytravis8373

    @beautytravis8373

    6 жыл бұрын

    Himid Hareed ata mm yn inanip nguv

  • @magrethonesmo9611

    @magrethonesmo9611

    5 жыл бұрын

    Himid Hareed hakika IPO siku tuu!! Bado namngoja mungu IPO cku atanisikia tuu🙏

  • @beatriceshadrack9995
    @beatriceshadrack99956 жыл бұрын

    kama na wewe umejifunza kitu kupitia wimbo huu, plz tupia like yako hapa😭😭😭

  • @johnmbegu1554

    @johnmbegu1554

    5 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi mno.

  • @mfaumeally644

    @mfaumeally644

    4 жыл бұрын

    Hivi nyimbo naipenda melody yake hatari hata kama hujui maana yake

  • @omaryshafii50

    @omaryshafii50

    4 жыл бұрын

    Hakuna heshima inayozidi uhai hivyo inatupasa tuwe na subira kwani Mungu ni mjuzi wa kila kitu

  • @michaelmasusu8364

    @michaelmasusu8364

    4 жыл бұрын

    H

  • @priscaseverin4967

    @priscaseverin4967

    4 ай бұрын

    Hakika

  • @papaj6795
    @papaj67956 жыл бұрын

    This is what we call music I'm sound engineer in uk ,and I would like to say some people are born with gift and this chap is one of them ,the producer new what he was doing the mixing and the arrangements of instrument is very good and vocals arrangements is very good too good plus the back up vocals I just wonder if he could produce one more song because I can hear a special voice from a female back up it is sweet I do believe she is special too get her out her voice is special . please she is gifted.

  • @kenbaroofficial2422

    @kenbaroofficial2422

    5 жыл бұрын

    I noted the same bro..let's link up

  • @kenbaroofficial2422

    @kenbaroofficial2422

    5 жыл бұрын

    +254703292171 WhatsApp

  • @merinanasan3343

    @merinanasan3343

    5 жыл бұрын

    Yusef W ndena san

  • @MrSimbawanje

    @MrSimbawanje

    2 жыл бұрын

    Papa J so so spot ...arranged in a meticulous way...and that female voice in the background is angelic...we need more of such music

  • @abiboseleman1649

    @abiboseleman1649

    2 жыл бұрын

    She called Natasha she's the one who's wrote the song

  • @neemamasaoe2077
    @neemamasaoe20776 жыл бұрын

    hakika kila ajishushaye hukwezwa,Mungu azid kuwapigania.

  • @estherjoshua2250
    @estherjoshua22506 жыл бұрын

    Mungu Akutie Nguvu Kaka Angu! Mungu Akisema Ndiyo Hakuna Wakusema Hapana aijalishi itapita miaka mingapi? Nakuombea Mwanzo Mpya Wenye Ushindi Mkubwa!! Sahau yote Hatua zako zote Fanya Na Mungu Atakutetea katikati ya adui zako

  • @HASASON
    @HASASON6 жыл бұрын

    Yaani kwa mara ya kwanza wimbo unaniliza dah I can't resist tears aisee nashukuru Mungu you are back

  • @lucianjr6807
    @lucianjr68076 жыл бұрын

    nyimbo inaujumbe mzito sana nimeipenda keep it up papiii

  • @magrethkawa4841
    @magrethkawa48416 жыл бұрын

    Alikuona ukiomba na alikuskia.. Hakuna heshima inyozidi uhai... I love you mooooore!!!! Gonga like kama umebarikiwa na gizani imengaa mwanga mkali!!!! Waambie.. ni fire 🔥...

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard81066 жыл бұрын

    Everything has a reason, only God knows that reason! Usichoke kuomba

  • @mgonasipapune1383

    @mgonasipapune1383

    4 жыл бұрын

    Sanaaaaa

  • @christinatweve138
    @christinatweve1386 жыл бұрын

    Super emotional, my current favorite song, I just love the chemistry between u guys, Mungu awabariki, Mungu bariki Tanzania. Proud to be Tanzanian

  • @halimaathumani3435
    @halimaathumani34356 жыл бұрын

    😭😭😭😭so sad dah! hakika Mungu ndie kl kitu.😍

  • @sonohub
    @sonohub6 жыл бұрын

    Kama umefurahi kurudi kwa Papii Kocha gonga like 🔥🔥🔥

  • @lazarocharles5085

    @lazarocharles5085

    6 жыл бұрын

    Mambo ni motooooooo

  • @jimmymwandenuka8690

    @jimmymwandenuka8690

    6 жыл бұрын

    hawa wabafiki nani akugongee like ss wimbo mmbovuuuu ka walivyowabovu wao

  • @mrsinteanta5394

    @mrsinteanta5394

    6 жыл бұрын

    +Jimmy Mwandenuka fala we kweli kaimbe we tyuone kama utoimba k ya mama ako k ya mama ako

  • @jimmymwandenuka8690

    @jimmymwandenuka8690

    6 жыл бұрын

    +H_Official H_Official we kuma la mamayako kaimba nini humu au walikufilana ww kwny wale wanafunzi waliotombwa na hawa wabakaji nyimbo gani huu unafilwa na baba yako ww

  • @mrsinteanta5394

    @mrsinteanta5394

    6 жыл бұрын

    +Jimmy Mwandenuka?????

  • @edsonsimon7041
    @edsonsimon70416 жыл бұрын

    Maaamaaaaaa Daaaaaaaaaaah,,,,!!!! Mwimbo mzuri sana na unatia moyo aseeeeh,,,,, mtatisha wazeeeeeeee ninyi jamoniiii👏👏👏👏👏👏👍👍👍👏👏👏👊👊👊👊

  • @dixonibra9966

    @dixonibra9966

    4 жыл бұрын

    Dah nliisaka hii audio two month nlikuwa naikuta mwishoni ikipigwa kwa radio nkairecord sound

  • @ousmantaxi3724

    @ousmantaxi3724

    3 жыл бұрын

    Sexi vidéos

  • @hadijamcha7824
    @hadijamcha78246 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana...nikisikiliza nahisi kulia...Mungu yupamoja nanyi awabariki sana.

  • @jennyjenner4625

    @jennyjenner4625

    Жыл бұрын

    Amina

  • @japharraychausa6138
    @japharraychausa61382 жыл бұрын

    Huu wimbo utadumu daima Papi kocha atabakia kua yeye kama yeye 🙏🙏🙏🙏

  • @kitoijeremia5794
    @kitoijeremia57946 жыл бұрын

    Mungu hamwachi mja wakr..thanx papii kwa kuanza na huu wimbo wa shukrani kwa Mungu..Waambie wote wamjue yeye kuwa hashindwi.

  • @eugenepaull9513
    @eugenepaull95136 жыл бұрын

    Ni furaha kuona bado uwezo wa kupangilia mashairi wanao!!.

  • @joycekweka7945
    @joycekweka79456 жыл бұрын

    shida na matatizo huongeza maarfa ya mtu zaidi#papii kocha naamini Mungu alkuwa nawe pia kule gerezani...km unaamn gonga like hp,kweli heshima haizid uhai

  • @rhouzieferdienyomindi784
    @rhouzieferdienyomindi7846 жыл бұрын

    kweli Leo imefika ni mungu tu 🙏🏾👏🏾👌🏾

  • @masterfranxtemba
    @masterfranxtemba6 жыл бұрын

    leave aside all the controversy surrounding him, all the politics, all the hearsay. leave alone the history, and every string that could possibly be attached to the artiste. this piece of art is pure glorification to the most high, the Almighty. its moving.

  • @barakaalecnathaniel3716

    @barakaalecnathaniel3716

    6 жыл бұрын

    franc temba sure say bro,so poignant

  • @gilbertpatrick9857

    @gilbertpatrick9857

    6 жыл бұрын

    tuna kila sababu ya kumshukuru mungu

  • @RomwardWM
    @RomwardWM6 жыл бұрын

    Karibu sana Papii nimependa ngoma lako lkn linanifanya naumia kila nikiisikiliza kwa ujumbe uliomo

  • @markjason2035
    @markjason20356 жыл бұрын

    mziki ka baiskeli.... ukijua umejua tu

  • @naseebyusuph9798
    @naseebyusuph97983 жыл бұрын

    Mutoto ya mfalme... Papii Kocha.. 2020 right here...

  • @beatricekihehe3733
    @beatricekihehe37336 жыл бұрын

    Ee Mungu wangu machozi yamenitoka kwa huu wimbo jamani.

  • @yusuphsalim6469

    @yusuphsalim6469

    5 жыл бұрын

    Beatrice Kihehe dah!! Wallaah cjiwez na Leo kutwa nimeuskiza uu wimbo

  • @edwardkigoni5849
    @edwardkigoni58496 жыл бұрын

    Aisee.....kipaji hakipotei hata iweje, idea ni nzuri pia tena sana. Jela miaka 14 and still alive and healthy na mwaeza fanya mengi...Kweli Mungu wa maajabu yani.

  • @brendanyambo9644
    @brendanyambo96442 жыл бұрын

    Mungu waambie uliona, nlipokuomba ulisikia na Ukaitika🙌🏽🥰

  • @djstee2559
    @djstee25596 жыл бұрын

    Wenye music wamerudi #Respect my Brother Papii Kocha

  • @cellyjoseph9478
    @cellyjoseph94786 жыл бұрын

    Huu wimbo una ujumbe mzito sanaa ahsante papii

  • @theresiankoyi9418
    @theresiankoyi94186 жыл бұрын

    video haina mbwembwe na imekuwa bora zaid

  • @felixlukuna7957
    @felixlukuna79576 жыл бұрын

    Wimbo mzurii papiii ni Neema na rehema hatupaswi kukata tamaaa ....👏👏👏👏

  • @ngalungalu9561

    @ngalungalu9561

    6 жыл бұрын

    Ikapotea tumain langu

  • @agnethaalkwin9896

    @agnethaalkwin9896

    6 жыл бұрын

    Felix Lukuna

  • @agnesjohnson2393
    @agnesjohnson23936 жыл бұрын

    Amen 🙏 uhu wimbo umenifanya nilie kabisaa 😭😢😭 mungu awepe nguvu yaku tenda kazi

  • @sesielitha9744

    @sesielitha9744

    5 жыл бұрын

    Sifa Avijawa hakika ninyimbo bor ndumian

  • @vincenttambara2480
    @vincenttambara24804 жыл бұрын

    "Waambie kila siku ni zawadi, hakuna heshima inayozidi uhai" Amen to that.

  • @elvnuselpdius7334
    @elvnuselpdius73344 жыл бұрын

    Kama unacheki hii nyimbo 2019 gonga like twende sawa

  • @ejkishosha
    @ejkishosha6 жыл бұрын

    Hakika Mungu ni mwaminifu kwa kila amtumainiye...Great song Papii

  • @firstladyafrica8635
    @firstladyafrica86356 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana ya kumtukuza Mungu baada ya yote mliyoyapitia.Hongera sana Papii Kocha na Nguza Viking

  • @nicky3025
    @nicky30256 жыл бұрын

    this is it.......very nice motivation song.......keep it up....when God says Yes nobody can say No

  • @avathermazanda280
    @avathermazanda2804 жыл бұрын

    Papii kocha!I see a true story movie behind these good lyrics!!!

  • @josephkessy9841
    @josephkessy98416 жыл бұрын

    Nyimbo ina ujumbe mzito sanaaa.....Tumuache mungu aitwe mung.

  • @tammysalum5475
    @tammysalum54756 жыл бұрын

    Nice song,hakuna kama Mungu,na kamwe ashindwi,wimbo unaleta matumaini na aman moyon.

  • @cutelove2686
    @cutelove26866 жыл бұрын

    Asanteni sana na karibuni tena muamshe mziki uliolala😍😍😍😍

  • @ramadhanisalumu4984
    @ramadhanisalumu49846 жыл бұрын

    Fantastic...bravo papii,, ngoma moja na Bushoke pliizzz

  • @aminminiofficial2381
    @aminminiofficial23816 жыл бұрын

    Jameni nilipo skia kweli kuna kitu kime ingia kwenye moyo daa bro big up.and you will never go down sapot kwa bro kutoka Holland

  • @barbiemdoo6598
    @barbiemdoo65986 жыл бұрын

    wimbo umeutendea haki video pia haki imefanyika, hakika mungu amekutendea jambo kubwa lazima kumshukuru

  • @franciskilimo5322
    @franciskilimo53226 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana na inaujumbe mzito, Maisha sio yakukata tamaa ipo siku Tu waambie MUNGU NI MWEMA

  • @williamkavuta8066

    @williamkavuta8066

    6 жыл бұрын

    Francis Kilimo Labda nami Nitafanikiwa siku

  • @hamisasalma6334

    @hamisasalma6334

    6 жыл бұрын

    Mungu mwema sana

  • @magrethkitandu7584

    @magrethkitandu7584

    6 жыл бұрын

    Francis Kilimo

  • @noeljohnkiboko4786
    @noeljohnkiboko47866 жыл бұрын

    Sipati pale papikocha huku christian bella kule kiba fundi. Hzo sauti doh noma

  • @newkhamza1339

    @newkhamza1339

    6 жыл бұрын

    Noz Banx umeona eeeee safi sana

  • @khloealfan7924

    @khloealfan7924

    6 жыл бұрын

    kunywa soda nakuja kulipa...mambo yatakuwa 👉🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mwakisogocpiliano5713

    @mwakisogocpiliano5713

    6 жыл бұрын

    Noumaaaa

  • @neemaedward4995

    @neemaedward4995

    6 жыл бұрын

    Nakuunga mkono

  • @naimarama5741

    @naimarama5741

    6 жыл бұрын

    fireeeeeee

  • @bongonSee
    @bongonSee6 жыл бұрын

    mungu anatuskia kila wakati kueeni radhi na maisha yenu mungu atubarik sotee ameeen

  • @michanomichano4931
    @michanomichano49316 жыл бұрын

    Dah.kweli mungu waambie....god job .....karibuni kitaa wakongwe

  • @bernardmhagama3258
    @bernardmhagama32586 жыл бұрын

    Nyimbo nzur unaifeel mpka kwa heart

  • @amanijolam4140
    @amanijolam41406 жыл бұрын

    inatia majonzi sana big Up papii kocha

  • @davidshemufufulu1400
    @davidshemufufulu14004 жыл бұрын

    Ulituria san hadi ukaimba nyimbo bor San upo vzr ten na ten wengine hawajuwi thamani ya wimbo huhu ila mm naijuwa ten san 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🎤

  • @salashlily5518
    @salashlily55186 жыл бұрын

    The kind of gospel music i'll always love listening,,..Glory b to God AMEEN...

  • @abdulwakilranda5223
    @abdulwakilranda52236 жыл бұрын

    Good melody na ladha tofauti kabisa na miziki inayofanywa na wasanii wengine kwa sasa, wengi walijua ataimba rumba lkn amethibitisha yeye ni Musicians ...

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba4716 жыл бұрын

    tuache tu unafiki jamaaa wanajua kuimba.

  • @rahimahawadh6443

    @rahimahawadh6443

    5 жыл бұрын

    Abdalah Mjomba nyimbo imetulia nzur sana nahata unaposkiliza ulipokua na makosa au nashida huwez kata tama

  • @tinahtinahmashaka4278
    @tinahtinahmashaka42784 жыл бұрын

    Aliyerud 2020 gonga like tujuane,, hakuna hexhima inayozid uhai

  • @dorothyobunde2931
    @dorothyobunde29316 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana yaani wanajua kuimba tangu long time hlf papii handsome jaman 😘🙈

  • @aditifus8083
    @aditifus80834 жыл бұрын

    Real Inspiration Papiii....Mungu ni Wewe tu.

  • @edwardosfrancos
    @edwardosfrancos6 жыл бұрын

    Daaaah bonge la ngoma linagusa sana .big up

  • @kadekade___cor
    @kadekade___cor28 күн бұрын

    kila siku ni zawad hakuna heshima inayozid uhai, 2024 plz gonga like

  • @lilianjoseph3767
    @lilianjoseph37676 жыл бұрын

    i love papiii love you so much,😢😢,mungu akupe nguvu zaidi ukamilishe malengo yako nakupenda sanA i wish to see you with my eyes love you so much

  • @laibonimario6235
    @laibonimario62356 жыл бұрын

    Kama ulitaka kumsikia BABU SEYA akiimba na hujasikia gonga like hapa

  • @fettieally1944

    @fettieally1944

    5 жыл бұрын

    Laiboni mario 😂😂😂😂

  • @sangodadaudi5948

    @sangodadaudi5948

    4 жыл бұрын

    Nawakubali vilivyo

  • @husnaally6998

    @husnaally6998

    2 жыл бұрын

    Hahahahhaa

  • @mwinyimkuu2023

    @mwinyimkuu2023

    2 жыл бұрын

    Fala sana wewe🤣🤣🤣🤣🤣

  • @veronicamchwemba972
    @veronicamchwemba9726 жыл бұрын

    nawapenda sana wazazi mko vizuri kwenye soko zima la muziki mungu awabariki na awazidishie baraka kwa kla jambo mnalotaka kulifanya full respect

  • @ichukagaum9732
    @ichukagaum97326 жыл бұрын

    Dah usipotoa machoz wallah nimelia ujumbe mzr mungu u mwema🙏🙏

  • @morfantzmorfantz8008
    @morfantzmorfantz80086 жыл бұрын

    big up baba na mwana kazi nzur sana mmejitahidi sana and we steel waiting for the good thing from you guys big up

  • @aminasaidy141
    @aminasaidy1416 жыл бұрын

    Mwenyez mungu awaweke na awaepushie na kila baya 🙏

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 Жыл бұрын

    2023 may 30 still new to me ❤❤ mungu waambie ni wew tuu🙏

  • @swaggagamingtv6841
    @swaggagamingtv68416 жыл бұрын

    Nyimbo nzurisana

  • @vincenttambara2480
    @vincenttambara24804 жыл бұрын

    I was looking for the Sea and got me googling more about this guys, I was shocked to read what had happened. I didn't even know that walikua jela all those years. Hu wimbo umenigusa sana. "Mungu waambie ni wewe tu"

  • @angelmisholy6478
    @angelmisholy64786 жыл бұрын

    Dah too emotional,nimeshindwa kuzuia machozi...Mungu yupo na anaishi hakika...akupeni mwanzo mpya na wa heshima kubwa😥

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy20165 жыл бұрын

    Nani bado anaangalia ngoma hii mpk leo 2019 gonga like twende

  • @mgonasipapune1383

    @mgonasipapune1383

    4 жыл бұрын

    Naangalia 2020

  • @rahabuibrahim8392

    @rahabuibrahim8392

    3 жыл бұрын

    Ngoma kali

  • @hammerQ954
    @hammerQ9546 жыл бұрын

    Brother brother saaaaafi umerudi vizuri nakulubali sana sanaaaaaa🔥🔥

  • @charleskaijage4283
    @charleskaijage42836 жыл бұрын

    Da the legend is back like hapa tu show love kwa MTU wet wa nguvu

  • @allymalick5959
    @allymalick59596 жыл бұрын

    Kiukweli Watanzania tubadilike kutokana Na hali tuliyo nayo changamoto za maisha Mitihani kila mtu anapitia Tuache kufata utamaduni wa wazungu kuangalia nyimbo zisizo na uhalisiia wa maisha yetu wa Africa zaidi ya kupotoka kimaadil hii song inakutia moyo na imani ya kwamba Mungu ni mueza na ipo siku utaheshimika tena na kuwa Na Furaha kama zamani please Team zote tuache tofauti zetu tufikishe 1M views Na usisahau kusubscribe kwa account yake Amini Ubalikiwe ila jiulize kwa nini wanaoenda jela ni maskini na Wengi wanakwenda kwa kesi za Kusingiziwa

  • @agnestamajaliwa142

    @agnestamajaliwa142

    6 жыл бұрын

    Ally Malick umeanza kuandika vizuuuuri sana but umeharibu mwishoni kusema tutakuwa na furaha kama zamani labda useme utakuwa na furaha kama zamani unafikili kila mtu alikuwa anafuraha zamani??!ukitaka kupata furaha upate kitu kihalali haya ni maisha yanatengenezwa kwa ajili ya kizazi chako I wonder kwann Watz mnaona bora mngekandamizwa lakini mpate hela.

  • @isayamwidete6844

    @isayamwidete6844

    6 жыл бұрын

    Ally Malick UA. very true

  • @agnethaalkwin9896

    @agnethaalkwin9896

    6 жыл бұрын

    Ally Malick

  • @bakaringitu6503

    @bakaringitu6503

    6 жыл бұрын

    Ally Malick nyimbo mzur xana weny music ndio haoooo washarud

  • @eng.paulmalikajj2798

    @eng.paulmalikajj2798

    6 жыл бұрын

    Ally Malick ok

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua76436 жыл бұрын

    Unapo kosa Tumaini La Kuona Dunia imekuzonga Huu ndio wimbo wa kuusikiliza unatoa Matumaini kwa mtu Alie kata Tamaa Kuona Kwamba Hapa Duniani si mahala sahihi pa kuishi ila kupitia Huu wimbo utapata matumaini thabiti

  • @newkhamza1339

    @newkhamza1339

    6 жыл бұрын

    Mathias Wambua kweli kabisa

  • @mathiaswambua7643

    @mathiaswambua7643

    6 жыл бұрын

    New K Hamza Nyimbo Ambazo Zinaleta Inspiration Kubwa Katika Maisha Yetu ya Kila siku ......Conglts Papiiii kocha

  • @donaldmutegeki5031

    @donaldmutegeki5031

    6 жыл бұрын

    Amen

  • @qutej3827

    @qutej3827

    6 жыл бұрын

    Mathias Wambua amen

  • @amrybakary8009

    @amrybakary8009

    6 жыл бұрын

    Mathias Wambua very nice song

  • @monicakayombo4770
    @monicakayombo47704 ай бұрын

    Always returning back to this song!!pure Gospel Papii uliimba kwakweli RIP magufuli

  • @romymjelwa5528
    @romymjelwa55286 жыл бұрын

    Hakika ni maamuzi mazuri sana kumtumikia Mungu. Hakika ni yeye aliesababisha sisi kufika hapa I Appreciate you brother

  • @amanjohn8527
    @amanjohn85276 жыл бұрын

    mungu endelea kuwapigania, kazi nzuri nimeipendaaa

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed6946 жыл бұрын

    Daah kaimba kwa hisia sana daaah

  • @leslienakara9890
    @leslienakara98906 жыл бұрын

    dah ngoma kali sanaaaaa dah nikikumbuka dah...... ebwanaeeeeee roho yangu inaniuma sanaaaaa mzeeee binadam sio watu wazuri, da mi nasema MUNGU WAAMBIEEEEEEEEEEEEE...........................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @pascalkana3103
    @pascalkana31036 жыл бұрын

    Na wakubali sana ndugu zangu na mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kazi yenu yote Amen.

  • @charlesased
    @charlesased6 жыл бұрын

    Song Lyrics Verse 1. Dunia inazamaa,naiangaliaa/ Sina cha kufanyaa,rohoni naumia/ Mawazo yangu ooh,naangamiaa/ Uko wapi MUNGU wangu wee, hunioni naliaa/ Kumbe ulikuwaa unanisikia,unaniangaliaa wewee/ Likapoteaa tumaini languu,ila imani ikaingiaaa/ Kumbee ulikuwaa unanisikiaa aah/ Na likapotea Tumaini langu ila imani ikaingiaa/ Chorus. MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/ Verse 2. Waambiee kila siku ni zawadii,hakuna heshima inayozidi uhaiii/ Ni Neema na Rehema wawe na hekima unazitimiza ahadii/ Waambiee,hawapaswii kukata tamaa,sababu daima haupo mbalii/ Ukipotea mwangaa gizani ndo nyota hung'aa mwanga mkalii/ Waambiee wasiache Tumaini ndo imanii/ Wasiache kukuaminii ndo amanii/ Chorus. MUNGU waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefiikaa/ MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/ Produced by:- EmaTheBoy

  • @petersonshaezra1314

    @petersonshaezra1314

    6 жыл бұрын

    Safi san kakà

  • @upendoglory6614

    @upendoglory6614

    6 жыл бұрын

    Charles Ased

  • @upendoglory6614

    @upendoglory6614

    6 жыл бұрын

  • @charlesased

    @charlesased

    6 жыл бұрын

    Peterson Sha Ezra Pamoja mkuu

  • @charlesased

    @charlesased

    6 жыл бұрын

    Upendo Glory 😘

  • @Mutayoba247
    @Mutayoba2476 жыл бұрын

    Good music yaan ile kuanzia unaplay tuu unasema damnnnnnnn sooo guud!!!

  • @benjaminleonard5470

    @benjaminleonard5470

    6 жыл бұрын

    Asanteni

  • @Mutayoba247

    @Mutayoba247

    6 жыл бұрын

    Benjamin Leonard 👊👊

  • @edinaantony9086

    @edinaantony9086

    6 жыл бұрын

    Partson Mutayoba vzjsiw

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli3 жыл бұрын

    Mungu waambiye ni wewe tu, uliyesababisha leo ikafika!!!

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio48576 жыл бұрын

    nimetoa machoz,huu wimbo umenigusa sana asee

  • @mudyamrani9848

    @mudyamrani9848

    6 жыл бұрын

    ujumbe umefika

  • @joetchatv1453
    @joetchatv14536 жыл бұрын

    Kama unawapenda Hawa jamaa na utawasupport like hapa

  • @upendorobert7298

    @upendorobert7298

    6 жыл бұрын

    Joyful Mtwa we ndo utasaidia nini

  • @joetchatv1453

    @joetchatv1453

    6 жыл бұрын

    Kuingia kwenye show upendo Robert

  • @musamashauli6116

    @musamashauli6116

    4 жыл бұрын

    Sawa heshima kwake jamani

  • @eliasshinje75
    @eliasshinje756 жыл бұрын

    Maisha ni fumbo kubwa asanteni kwa zawadi nzuri kwa mashabiki zenu tunasubiri mawe mengine makali zaidi

  • @dagamgomela662
    @dagamgomela6626 жыл бұрын

    sauti Kali ya hisia inayochoma soon ntafurahi sana papii ukipiga ngoma na linex#respect @hakuna heshima inayozidi uhai

  • @shamilamct5442
    @shamilamct54426 жыл бұрын

    Jamani nyimbo nzuri sauti nzuri mashalla 😍👏👏👏✌✊✊nimependa