PAPII KOCHA: Huu ndo WIMBO wa BONGO umepigwa sana GEREZANI, Msanii huyu AMETUOMBEA kwa RAIS tuachiwe

Ойын-сауық

LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com

Пікірлер: 54

  • @joshuakaminyoge4954
    @joshuakaminyoge49546 жыл бұрын

    Wimbo wa Waambie naupiga asubuhi mpaka jion wala haunichoshi.... Papii bigup sana

  • @gambetonny5963

    @gambetonny5963

    6 жыл бұрын

    joshua kaminyoge nakuona kaka joshua

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    *LilOmmy* unajua nice your job bro.

  • @Vanisikaka
    @Vanisikaka6 жыл бұрын

    Ommy safii sana...clouds wapeta chance ya kuwahoji ila wamehoji pumbaa.....ila ommy wewe ni the baddest

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky6 жыл бұрын

    Bora hata interview hii umewahoji different questions ommy keep it up bro

  • @mangalamlala3516
    @mangalamlala35166 жыл бұрын

    Lil ommy wewe nomaa

  • @momylaviel
    @momylaviel Жыл бұрын

    Waambieeee naipenda sana jaman

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin12452 жыл бұрын

    Rip Magufuli

  • @timotheokileo4335
    @timotheokileo43356 жыл бұрын

    lil ommy ur great

  • @georgeelumba8413
    @georgeelumba84136 жыл бұрын

    Fire

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr84366 жыл бұрын

    Hapa Lilomy umefanya interview ya kibabe sana,Ni fupi ila imebeba content kubwa sana Hahah sema papii mjanja mjanja sana huyu jamaa

  • @boscoaugen7618
    @boscoaugen76186 жыл бұрын

    sanaaa lilommy

  • @aminadaba740
    @aminadaba7406 жыл бұрын

    Iko pow sana

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma6886 жыл бұрын

    papii unashangaa camera sn 😂😂 mzee baba

  • @godypatrick6485
    @godypatrick64856 жыл бұрын

    Mzee nguza afanye kazi na diamond

  • @shaikhamct3744

    @shaikhamct3744

    6 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @kedmonmaquiz
    @kedmonmaquiz6 жыл бұрын

    Best show in town

  • @ShaibuOthmanshaibu
    @ShaibuOthmanshaibu6 жыл бұрын

    Aaise mungu awabaliki

  • @karthala6676
    @karthala66762 жыл бұрын

    Sasa walifanya hicho kitendo. Na Kama kweli wamefanya basi huwezi kuwatowa jela

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz93216 жыл бұрын

    nice babu sea

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer6 жыл бұрын

    Always u ze best bro....

  • @umydaddy4697
    @umydaddy46976 жыл бұрын

    Daaah hawa kweli wamekula calenderbado wana mpunga sasa kuna mkwanja🤣🤣🤣

  • @emmanuelfeli7392
    @emmanuelfeli73926 жыл бұрын

    hongereni xna

  • @patricktravis6575
    @patricktravis65756 жыл бұрын

    hapa kwlii Tabweeee ww ni motooo kweny hii show

  • @shareefkamtande4692
    @shareefkamtande46926 жыл бұрын

    14 yrs duuh.... si mchezo

  • @fredypeter29
    @fredypeter296 жыл бұрын

    fredy peter

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer5596 жыл бұрын

    jamaa ana shangaa nn uyu

  • @mariamangel1264
    @mariamangel12646 жыл бұрын

    Kbs baba inabidi aache tuu mziki maana kakuwa

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz14556 жыл бұрын

    Saf

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda61136 жыл бұрын

    Nchi yetu inashangaza sana mtu kupata pasport ni lazima ukamuke jasho wakati nchi za wenzetu mtu anaomba pasport anapewa baada ya siku mbili na ikichelewa siku tatu sijui kwetu kunakuwa kuna matatizo gani?

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    5 жыл бұрын

    Wapenda rushwa ndiomn mm nimetengeneza kwa laki mbali na nusu na hapo nimepitia njia za panya yaan kutoa rushwa wakat shs elf hamsini tu unapata passport lkn sasa ndio hivyo

  • @danielmwinyi3158
    @danielmwinyi31586 жыл бұрын

    papii ganzi dunia lkn sio mbya mambo poah

  • @peterzjohn6260
    @peterzjohn62606 жыл бұрын

    Hv hao wasanii hko pembeni wanaangalia nini maana kila msanii anaangaliaga hko

  • @davidwambura5915

    @davidwambura5915

    6 жыл бұрын

    Peter John Acheni ushamba huko nyuma kuna sklini wanacheki ngoma

  • @peterzjohn6260

    @peterzjohn6260

    6 жыл бұрын

    David Wambura asante kwa kunitoa ushamba

  • @geraldpaul9937
    @geraldpaul99374 жыл бұрын

    Dawa ya sukari ipo ya mzee tutafutane

  • @mwanaidijumanne4146
    @mwanaidijumanne41463 жыл бұрын

    Njoo unioe mm naupenda sana natamani uwe mumewangu nipo silias

  • @assaningyoku5948

    @assaningyoku5948

    9 ай бұрын

    Hey

  • @hasnaali3879
    @hasnaali38796 жыл бұрын

    Walifungwa kwa nini naomba mnijuze mie siwajuw hawa walivotoka ndio nawaona kila mtu amefurahi Nataka kujuwa kwnn walifungwa mtu na baba ake na miaka mingi 14

  • @badmanno.1650

    @badmanno.1650

    6 жыл бұрын

    sweetyy Ahood walishtakiwa kwa kesi ya kurubuni wanafunzi kimapenzi..

  • @hasnaali3879

    @hasnaali3879

    6 жыл бұрын

    Ok Asante

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    5 жыл бұрын

    Walifungwa kwa kuuziwa kes ya kubaka mtoto lkn sio kweli lkn kwa vile sio kosa lao ndioman walivyotoka watu wengi wanashangilia mno na wengine kufanya hadi vijisherehe kidogo lkn ndio wamepata uhuru hivyo ndivyo ilivyokuw

  • @haskao77
    @haskao776 жыл бұрын

    Alikuwa anaangalia nini pembeni

  • @timotheokileo4335

    @timotheokileo4335

    6 жыл бұрын

    pale anaangalia si pana Tv kwa juu pale

  • @valentinamussa4212

    @valentinamussa4212

    6 жыл бұрын

    nami nataka kukiona hicho unacho kiangalia

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv61216 жыл бұрын

    Huyu mzee kila nikimuona namueneaga uruma hadi naisi kulia

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    5 жыл бұрын

    Anatia huruma mno ukiangalia uzee umemuingia akiwa jela inauma mno mm kam mm huyo ni sawa na babu yangu kabisaaa ila mungu alivyomkubwa ndio wametoka wapo huru alhamdulillah

  • @umydaddy4697
    @umydaddy46976 жыл бұрын

    Nyinyi ni wazaire sio waTzee. Sema africa hakuna kuomba uraia unahamia tuu. Isipokua zanzibar ndo wanataka wawajue walikuja lini na wanatokea wapi. Hawajui kisiwa kinatengenezwa na wasafiri kutoka nchi za mbali wanaopita halafu wakafanya makazi

  • @mariamangel1264

    @mariamangel1264

    6 жыл бұрын

    wey nay inaongea nini

  • @msellemsalim690

    @msellemsalim690

    6 жыл бұрын

    umy daddy..hata mabara ni watu waliotoka sehem mbalmbal kutafuta chakula ama makaaz n.k.. Allah anasema" Tumeumba kabila na mataifa na luqha mbalmbal il mupatee kujuana" Kwa maana io km ni TAIFA la ZANZIBAR bx hao ni WAZANZIBAR. ..

  • @umydaddy4697

    @umydaddy4697

    6 жыл бұрын

    Msellem Salim true

  • @shodristvtv6121

    @shodristvtv6121

    6 жыл бұрын

    umy daddy hujasoma history ndomana unasema hivo

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free6 жыл бұрын

    Sipati picha kamili,hivi ni wana Tanzania?

  • @boscoaugen7618
    @boscoaugen76186 жыл бұрын

    sanaaa lilommy

Келесі