PAPII KOCHA AONESHA UTAJIRI WAKE/ NI BALAA!/ AWATUMIA SALAMU WAFUNGWA GEREZANI
#Exclusive #PapiiKocha
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 32
Aisee jela sio kuzuri Papii kapendeza sana Allah Akbar ni kumshukuru kwa kila jambo na kila wakati Magu Allah atakulipa kwa hili huko ulipo
Nilianza kumpenda magufuri baada ya kumtoa papii
@yusuphnamanga7307
2 жыл бұрын
Kweri mungu yupo
Jamaa kapendeza
Papii kocha! Nafurahi sana kuona kuwa mpo huru.
Nafurahi kukuona una afya njema umebadilika,mungu aendelee kukuonyesha njia
Uko vizr kak. Hongera sn mungu akuzidishie
Tumemiss sauti yako wee toa ngoma please
*Duuh!! Kweli jela sio mahali salama jamaa amenawiri uso unaonekana sasa*
Alikua ana upara saiv kaotesha nywele😂😂
Lete bwebwe tena urudishwe jela nchi yenyewe hii Sasa hivi haieleweki
Moja kati ya presenter bora
RIP JPM
tabwe all time King
Uo utajiri wa papi uko wapi
@stn4873
2 жыл бұрын
Kwa Mungu.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Towa vitu
Jpm
Nikweli kwa ulivyo inaonekana huna njaa kuliko mzee wako kiukweli anakonda ila wewe nakuona ukopowa
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
@travelstylish nurse 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watuwasijurikana nayo nihofuyangu?afronsi mawazo benisanane nihofuyangu au kupewa msamahawewe na babayako ndio hofuhiyo kupigwa lisasi tundu lissu we papy nyamaza dogo tuli\
Tumemis muziki wako wa live kina mond wametuchosha na miziki yao ya komputa
@newahomwashiuya8858
2 жыл бұрын
Tofautisha Sina A music gala wee,nkmekujibu Kama mwanamziki wa band
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
Mimi mond hawezi nichosha hata aimbe na tochi, 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 bwege ww
Long time ago pini
Eti sina njaaa kwel kashajisahau
@rosemarry2020
2 жыл бұрын
Sasa ulitaka aseme ana njaa mbona huna jema
But unabadilika bro unatumia vinywaji vikari au, pamoja nakunawiri lakin hayo macho sijakuelewa
@rehemamkalawa3801
2 жыл бұрын
😂😂😂
@joycenicodemus.2232
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Kanenepa