PAPII KOCHA AONESHA UTAJIRI WAKE/ NI BALAA!/ AWATUMIA SALAMU WAFUNGWA GEREZANI

#Exclusive #PapiiKocha
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 32

  • @Official83640
    @Official836402 жыл бұрын

    Aisee jela sio kuzuri Papii kapendeza sana Allah Akbar ni kumshukuru kwa kila jambo na kila wakati Magu Allah atakulipa kwa hili huko ulipo

  • @saidchitanda2782
    @saidchitanda27822 жыл бұрын

    Nilianza kumpenda magufuri baada ya kumtoa papii

  • @yusuphnamanga7307

    @yusuphnamanga7307

    2 жыл бұрын

    Kweri mungu yupo

  • @zolongOne
    @zolongOne9 ай бұрын

    Jamaa kapendeza

  • @emeldamulukuzi888
    @emeldamulukuzi8882 жыл бұрын

    Papii kocha! Nafurahi sana kuona kuwa mpo huru.

  • @thadeusmarkiminja9653
    @thadeusmarkiminja96532 жыл бұрын

    Nafurahi kukuona una afya njema umebadilika,mungu aendelee kukuonyesha njia

  • @halimamnyati9311
    @halimamnyati93112 жыл бұрын

    Uko vizr kak. Hongera sn mungu akuzidishie

  • @qypsyqypsy2743
    @qypsyqypsy27438 күн бұрын

    Tumemiss sauti yako wee toa ngoma please

  • @komboomar8275
    @komboomar82752 жыл бұрын

    *Duuh!! Kweli jela sio mahali salama jamaa amenawiri uso unaonekana sasa*

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa44054 ай бұрын

    Alikua ana upara saiv kaotesha nywele😂😂

  • @hussenhemed1050
    @hussenhemed10502 жыл бұрын

    Lete bwebwe tena urudishwe jela nchi yenyewe hii Sasa hivi haieleweki

  • @alextanzania
    @alextanzania2 жыл бұрын

    Moja kati ya presenter bora

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo26332 жыл бұрын

    RIP JPM

  • @heavengodness1794
    @heavengodness17942 жыл бұрын

    tabwe all time King

  • @ibrahlissu2710
    @ibrahlissu27102 жыл бұрын

    Uo utajiri wa papi uko wapi

  • @stn4873

    @stn4873

    2 жыл бұрын

    Kwa Mungu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @Hkboy900
    @Hkboy9003 ай бұрын

    Towa vitu

  • @tiffatzhemedy9485
    @tiffatzhemedy94852 жыл бұрын

    Jpm

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81142 жыл бұрын

    Nikweli kwa ulivyo inaonekana huna njaa kuliko mzee wako kiukweli anakonda ila wewe nakuona ukopowa

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    2 жыл бұрын

    @travelstylish nurse 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bonabonala5017
    @bonabonala50172 жыл бұрын

    Watuwasijurikana nayo nihofuyangu?afronsi mawazo benisanane nihofuyangu au kupewa msamahawewe na babayako ndio hofuhiyo kupigwa lisasi tundu lissu we papy nyamaza dogo tuli\

  • @lugeshadaudi2281
    @lugeshadaudi22812 жыл бұрын

    Tumemis muziki wako wa live kina mond wametuchosha na miziki yao ya komputa

  • @newahomwashiuya8858

    @newahomwashiuya8858

    2 жыл бұрын

    Tofautisha Sina A music gala wee,nkmekujibu Kama mwanamziki wa band

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    2 жыл бұрын

    Mimi mond hawezi nichosha hata aimbe na tochi, 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 bwege ww

  • @essaumakariusmbunda370
    @essaumakariusmbunda3702 жыл бұрын

    Long time ago pini

  • @cleartzboy4074
    @cleartzboy40742 жыл бұрын

    Eti sina njaaa kwel kashajisahau

  • @rosemarry2020

    @rosemarry2020

    2 жыл бұрын

    Sasa ulitaka aseme ana njaa mbona huna jema

  • @farajagordon4724
    @farajagordon47242 жыл бұрын

    But unabadilika bro unatumia vinywaji vikari au, pamoja nakunawiri lakin hayo macho sijakuelewa

  • @rehemamkalawa3801

    @rehemamkalawa3801

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe98422 жыл бұрын

    Kanenepa