ZEE CUTE HAKUTARAJIA HILI LITOKEE KATIKATI YA INTERVIEW YAKE, AMFUKUZA SHABIKI ALIYEVAMIA
Ойын-сауық
ZEE CUTE HAKUTARAJIA HILI LITOKEE KATIKATI YA INTERVIEW YAKE, AMFUKUZA SHABIKI ALIYEVAMIA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 349
Kwa mara ya kwanza huyu ndio binti pekee mstaarab kwenye hawa wasanii wakike ... ntaangalia na nyimbo zake nimpe viewers ... big up binti ...
Ila zee cute yuko very composed hajafanya uswahili amempokea vizur Tu hajaringa
Kumbe Zee mpole jamani😍
Aise huyu kaka kiboko anajua kuact Sana big up hivi ni kweli
Erik kamfungia mpaka manager😂😂😂😂
Ila huyu jamaaaa anajua kuigizaaa😂😂😂😂😂😂😂
Huyu dogo msanii kinomaa 🙌🙌🙌🙌
Watamwambia mzee mtoto wao. Hafanyi kaz🤣🤣🤣🤣🤣r eric🙌🙌🙌
Angejichanganya kwa gigy sema nampenda ze cute 🥰 meneger nipe namba😂😂😂
Hii kali Sanaa rafiki yangu huyu dogo hatari I say 🙌🙌 Unyama ni mwingi pande iyo
Anaimba vizuri kushinda Zee
Dada uko vizuri hukupanik sana nimependa
Daah 😂😂😂😂😂 zee cute nimempenda bure ni mpole sanaa
@ibrahimkhamis7963
11 ай бұрын
Siku uyo dogo akutane na gigi😃😃😃
@Qeek_Smart
10 ай бұрын
Yeah hajuw kuongea
Jamaa muigizaji haswaaaa🙌🏾
Erick amenifurahisha kinoma😂😂
Hivi ni kwel na Hii imeenda 😊
Huyu jamaa anabalaa kudadek😂🔥🔥
Motown huyu dogo anajua sana namkubali sana anajua kuwazingua mastar balaa🔥🔥🔥
@swabrinaidassy865
11 ай бұрын
🤣🤣🤣HATARI
@POCHBONGEE
11 ай бұрын
Sanaa
Amemaliza alipo mtuliza jamaa kwa kumwambia "una-haribu interview!" - 😢😂😂😂😂❤❤❤
Erick kamfungia mpk meneja 😂
Mo town sanya ni 🔥 hawa watu huwa unawapata wapi?wote wanajuaaa
very humble girl @zee cute ... 🌹
Aah sijasema hata ACTION 😂
Nimerudia mara mbili😂😂😂😂😂😂
Cute anaroho nzuri sana
MO huy kaka apew mauwa take 🙏🔥
Sema huyu jamaa miyeyusho sana 😂😂😂😂😂
I like your creativity in this show nakupata 💯 from montreal u the 👌 👍
Like 100 kwa erick
Pozi ya picha 😂😂 aka huyubdogo mjinga kweli nimecheka 😂😂😂
Mon nangoja ya b levoba pamoja Naya kwake Simba lama dangote kwa hamu sana 🔥🔥🔥🔥rfom🇨🇩
Nakubali sana ivi nikweli ya leo imetokelezea sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@pdaxofficial3144
10 ай бұрын
Huyu Dogo namjua kwao kinondoni mahakamani yaani huyu mzinguaji kinoma kuimba hajui hata kidogo yaani huyu bongo movie.
Dah hii Kali sana 😂😂 jamaa umetisha sana
We unaelewa nn kuusu mziki 😂😂😂😂😂
Ila jamaa anaweza sana kuigiza 😂😂😂😂
Bonge 1 la show Eric kapatikana zaidi kuliko ze cute
Sponsor mjanja kampangishia ze cute alafu kaweka mlinz mwanae erick
Uyu jamaa kuyavagaa tu anaweza 😂😂😂
Erick anasema toka nje Etty watamuambia Mzee mtoto wao hafanyi kazi
Daa eric kakaza kinoma hatak kuelewa😂😂😂
😂😂😂😁😁😁😁😁❤️❤️❤️❤️huyu msanii remix Mimi na yeye duh
@swabrinaidassy865
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
Aliepatikana zaidi ni Eriki. Huyo ndie amepatikana kuliko zee cute
Good job
huyo muuni afanye awe hata actor 😂😂😂 anajua kinoma
Sii nipewe hiyo kazi ya sekiurit huyo mtu aje nimtandike viboko
Dah hiki kipindi nooma sana huyu jamaa sanya anaweza na anazingua kweli ujue
😂😂😂 nime cheka picha una simama kama mgomba hahaha
Daaaah uyuu jamaaa namkubari baro baro
Kila sehem mweken huyu kaka jaman amazing sana😂😂😂😂
dahhh hichi kibao 08:20 kilivolia sasa hahahhaha 🤣🤣🤣 08:20
Jamani mpigeni picha tuendeleee na interview, kumbe wenzake ndio wanaendelea na interview bila yeye kujua
"nisaidie maji chap!" - 😂😂😂
MMETUMIA AKILI SANA HAPA AISEE... SIAMINI KAMA MNA SCRIPT... JAMAA ANAJUA NA AMEJUA TENA.
ila zee cute ana roho safi ❤
Kiukweli mi sikua namjua huyu msanii kabisa ndonataka kwenda kuangalia nyimbozake
Daaah....huyo msenge anajua sana kuigiza asee😀😀😀😀
Very humble girl, ❤
Oyaa Sanyaa Huyu jamaaa wamoto Erick nae kapambana lakin wapi muhuni aelewi dadeki muhuni apewe mauwa yake aseeeh 70 % za muhuni + 30% za erick
@princegerard4704
11 ай бұрын
Meneja tulia 😂😂😂
🎉😂😂😂😂 This moDa fvka iz GOOD
Binti ni mnyenyekevu sana na huyo jamaa utata anaweza sana
Eriki ni mnyama 🤣🤣🤣🤣
Daaa! Aisee uyo jamaa noma sana
Unanikataa,Unakazaje sister muun anajua kinom kuigiza 😂😂😂😂😂
16:18 😂😂😂😂 picha unapiga umesima kama mgomba😂😂😂
😃😃😃😃😃 huyu jamaa n noma..et utaaribu interview
Dogo mkali 😂😂😂😂 anasumbua kinoma
@starkidwaoro8775
11 ай бұрын
Dogo apoi😂
Nimecheka sana😂😂😂
Wasanii wa kibongo kweli noma wanakukataa iviivi
Jamaa anajua sana ku act
Ahahaha 😂😂 nimechekaa
Tembea ww ngoja ngoja yaumiza matumbo😂😂
Picha imenyooka kaa mgomba😂😂😂😂😂sista eeeeee
Nmempenda erick🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eric akaona acha na meneja nae aende 😂
Mo town mkorofi piaaah😂😂😂😂
Sijasema ata Action😅
Nembo ya mtaa we ni Nouma your creative
Hahahahahaha kijana hatari sana huyo
Uyo mwamba anaweza aiseee😂😂😂
Huyo jamaa anajua kucheza nao sana🔥🔥🔥🔥🔥
@swabrinaidassy865
11 ай бұрын
SO POA KABISA🤣🤣🤣🤣
"sijaweka hata pozi kaka!" - 😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Uyu jama anaweza
Binafsi naona hii prank ilikuwa dhidi ya huyo Meneja maana muhusika mkuu hana mapepe.
Actor kaplay role vizuri
Sijasema hata action😂😂😂
Erik haelewagi😂😂😂🤣
We erick tulia😂😂😂
Erick bhana eti watamwambia Mzee sifanyi kazi
🔥🔥🔥
Huyu jamaa aongezwe hela ...kaigiza kinoma
Daaah Mawakubaki sana 😂😂😂😂
Dogo ametisha saana anajua kukomaa sana amefanya vizuri saaana
Huyu jamaa ametisha, mpaka Eric amemkomalia tu 😂😂😂
Sanya nakubali blood
"Eric kakutana nacho" hahahahh
Kizazi sana
hii inafanyika tanzania tu kenya msanii atakupiga risasi
Huyu mwamba anajua sn😂
Uyu dogo ame act 🎬 top notch 👌 👏 👍 🙌 🎉😅
Tulia babu unaalibu interview 😂😂