ZUCHU NIPE NAMBA YAKO/ KUNA DILI NATAKA TUFANYE/ MI NAKUELEWA SANA
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 2 100
Jamana mashabiki anae mkubali ZUCHU na ngoma zake agonge like hapa.
@ibrahimanthony2475
2 жыл бұрын
Mkn
Yaani #Zuchu nimetokeya kumpenda kwasababu ya hiki kipindi kwa jisi alivyo mpole🥰🥰🥰 Love from BURUNDI🇧🇮🇧🇮
Tatizo nyota zuchu nakupenda Sana wangu 😘 nakuombea ukaze usiwe km wakina ray c Zuchu napenda nyimbo ya mauzauza wee lkn wabongo kwa fitna tutasema wamepangwa
Huku kenya tunakupenda na mimi namkubali zuchu nampenda sana na nyimbo zake zote Yani mtoto amebarikiwa
Naomba mumrudie tena zuchu ziara nyengine kwa kweli dada ana nyota kali mashallah Lov u Zuchu From🇺🇸🇺🇸
@marthahenry5475
3 жыл бұрын
anaweza mambo
@nurumanyota416
3 жыл бұрын
Mambo
@marthahenry5475
3 жыл бұрын
@@nurumanyota416 safi vip
@aminayusuph2627
2 жыл бұрын
@@marthahenry5475 aa
Akuna kabisa pindi ninalo lipenda❤️❤️❤️ na kulifuatilia kama hili #hivinikweli🔥🔥🔥🔥🔥
@latifamoshi846
3 жыл бұрын
Ni lini kwa tv my
@yunyun799
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@innomchaga
3 жыл бұрын
@@latifamoshi846 kila jumanne saa tatu kamili usiku,ndani ya wasafi tv
@robbinsonwater4206
3 жыл бұрын
@@latifamoshi846 jjjjjjk I'm j Kim mmm m
Me pia namkubali mrembo nikiwa apa valley front studios,,,, Love you ZUCHu napenda kazi yako
Nampenda sana zuchu❤ from Oman🇴🇲🇴🇲
@salmamussa786
3 жыл бұрын
Pamoja
Zuchu kwenye kuvaa tu.nampenda Hana mambo mengi.pia nikwa kuwa tu ndio ustaa ila anapenda kuishi maisha ya kawaida sn kujichang'anya Kama kote.mashaallh mungu akusimamie ufike unapopataka.
@cutenaa6984
3 жыл бұрын
W
@barakanicholaus9131
3 жыл бұрын
mamb
@bimaisarankamia4153
3 жыл бұрын
@@barakanicholaus9131 p
Zuchu anapendwa sana huu ni wakaT wake na tunamuombea asipote abaki up awe mfano wa kuigwa kwa wasichane wenGine Go far zuchu💕
@sulubumrambakakorogo9084
3 жыл бұрын
✔✔
@abdulyyassin8910
3 жыл бұрын
Daah zuchu noma
Zuchu big talented sana mimi sio shabiki wa msanii yoyote wa kike yule ila Zuchu mimi shabiki yako damu damu
Tz kunavitu vizuri sana duuh!napenda sana zuchu ongera sana nakufatiliya nikiwa congo Drc
Who is the best? Zuchu _ like Nandy_ reply
@salamagat4784
3 жыл бұрын
Both of them
@heriholder2937
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@iporasta1429
3 жыл бұрын
Nandy
@adijaniyonkuru9731
3 жыл бұрын
Zuchu 🔥🔥🔥
@ushersnoopkid2122
3 жыл бұрын
No one anymore
SEMA mwanangu mosanya umeuwa Sana nawakubali Sana wote watangazaji pamoja na wcb nzima wote by mbeya sil
much love Zuchu.....from Zimbabwe and we are expecting to have you in Zimbabwe one day..
I love you zuchuu endelea kuimba hivyo hivyoo unaweza na pia siku moja pangaea show arusha jamanii tunakupenda 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍uzidi kuongeza muziki asante sanaa
Jamani zuchu anapendwa sana tena sana
Malkia Wa Bongo Flava 🔥👏Ametisha sana
Zuchu n safi hata moyo. Nakupenda sana
Pia nami nipewe namba ya zuchu nina ushauri pia😂😂😂.....I loved that guy he had guts 😂😂
N wewe ulikuwa unaingia youtube kila saa kuangalia kama hii show imeshapostiwa kama kweli like
@issakhamisnassir6293
3 жыл бұрын
Yaan ww ni km mm
@florencekaranja8736
3 жыл бұрын
kumbe sikua peke yangu
@sallynemsi6560
3 жыл бұрын
@@issakhamisnassir6293 maana haijawahi kuboa hii show wala sijawahi kujutia kutumia MB zangu
@halimarashidmbwego9190
3 жыл бұрын
Nimechungulia sana na sikuona nikalalazangu...ila morning nikaiamkia vema tu
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
weacha tu
Jaman km ume enjoy Show km mimi gonga like,ila mwshon big dady #vaileth 😂😂😂😂😂😂
@elizabethkangula515
3 жыл бұрын
Jamani mtukubuke na sisi mikoani jamani wsf sumbawanga muje
@joycefrank3863
3 жыл бұрын
@@elizabethkangula515 mwaaa
@janettesha731
2 жыл бұрын
Had machozi yamenitoka alivyofurah huyo mtoto
@janethedwin8068
Жыл бұрын
Zuchu wa simba
Love you soo much zuchu. Love from kenya
Nampenda sana zuchu from Oman🇴🇲🇴🇲
Nembo ya mtaa ww noma nakubali sana Naombeni like zako hapa💪🏻💪🏻
Hata namimi pia napenda zuchuuu kweli aswa ile ngoma nisame
@lucyhussein7126
3 жыл бұрын
Walio vaa mafon. Kabilagan heeee?? Wanaimbaje!!?
@erikarome7290
3 жыл бұрын
Safi
zuchu anaonekana anapenda Sana mashabiki zake sana
Me demu mwenzie cio mwanaume jmn nampenda sana zuchunyo nampenda from my heart
Daaah! hata sisi mashabiki zako umetufanyia suprise hatukutegemea kabisa....komaa sana SANYA
@mfaumemuki865
3 жыл бұрын
Ivi hii sanya ni jina lake au ni kule home kwetu
@maujanjatv24h41
3 жыл бұрын
Baraka Mtoi anaitwa mo town sanya
Kidogo nilie machozi kwa furaha tu! Watoto kwa wakubwa wanavyo Mpenda #Zuchu ka Ninavo Mpenda mie tu Moyoni Mwangu Big up #Zuchu from Mombasa 🇰🇪
@deborahmwakatoga7192
3 жыл бұрын
Waooooo
@alfanm.8221
3 жыл бұрын
Acha urongo bana
@alibell5246
3 жыл бұрын
Zuuuuchuu ww unatisha saaaana nakupend kwakweli
@nurunurudini3033
3 жыл бұрын
Mm nimelia kabisa ,,,,,Yule mtt wa shule alivokuwa surprised baada ya kumuona zuchu ❤😍😘😋
@sharonmunyiva9865
Жыл бұрын
zuchu aweza adi Kenya twakupeda
This girl is really rocking, all digital platforms are talking about her. I hope she'll keep the 🔥🔥🔥 burning
@nancyulomi1010
3 жыл бұрын
Exactly
@zabronadamsony870
3 жыл бұрын
dhaaaa fulaha tunayopata kwenye hiki kipindi dahaaa fulaha yanguu sio kifanooooo
Kazi nzuli sana kwa wasafi tv ,,,huku kenya artist kupatikana mtaa ni balaa atleast kuinteract n mafans big up love from 🇰🇪
Nakubar sanaaa nembo ya mtaa, Classic juto Tz 🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Si ndo huyu au..au si huyu,,ndo mwenyewe, huyu si ndo Zuchu huyu au, ndo yeye..bro kanifurahisha sana
@restutaeliezery7118
3 жыл бұрын
Hahahahha nimeipendaaa hiii
@safiambaroukkhamis439
3 жыл бұрын
Mimi narudia mara kama zote nacheka wallah
Aqui em Moçambique ZUCHU só teu fã number one... te amo.
I love u zuchu LAkini wananiambiyaya nafanana na wewe Abby from Kampala
anaye tizama show uku akisoma comment agonge like tuendeleye ku enjoy
@janembawala6009
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dZNnpbueXbfThtY.html
@tedylaswai8563
3 жыл бұрын
Wcb
@wahiduitsverycommentmane5421
3 жыл бұрын
Ok
@wahiduitsverycommentmane5421
3 жыл бұрын
Dr by
@lucyhussein7126
3 жыл бұрын
Yaan. Huyu kachoook namaisha yake unazid kunchaaangaya ha ha ha ha
Mweee mweee zuchu nyota kama yotee Mungu tu akuwekee in sha Allah🥺🥺🥺🥺
Anachosema uyo kaka nikwel yn akuna pkpk ety ishindwe kupiga nyimbo yake nampenda zuchu 🥰🥰
Inafaa pia wailete hii pande za Kenya uswailihini Kama Mombasa,,pia supporters wa Bongo Fleva wengi mno Mimi miongoni mwao💪💪💪
@johnmwadime4590
3 жыл бұрын
True. Brow
@swalahuomar9654
2 жыл бұрын
Umeshuta point bro
Sijawai ona watu wana njaa uyu zuchu ni star 🌟🌟🌟🌟🌟🌟
@aksamayuni911
3 жыл бұрын
kwan weunaon nini au mwezi
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
Mambo za huko kenya
@joymsupagladysijeya8384
3 жыл бұрын
@@johnsilima1629 poa sana dear
@aksamayuni911
3 жыл бұрын
pwa vip za masiku sikunying
nakubali gonga like twende sawa
Hii ndio show ya kwanza naangalia mala mbili 🔥🔥🔥
@leonardkambona3608
Жыл бұрын
Unyama kak
Zuchu anajua sana.big up sanya🤙🤙🤙✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿.
Jamani na mm naomba like jpo 5
Sanya leta kipindi Kenya #zuchu to the world
For giving out that phone , it really teach me so much , she is great women
Eti nimemurambisha ananambia compeza nayenyewe nayipenda sana zushuu l lovu😘😘😘😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mo town kaz nzurii sana
Show ni kali na ubunifu ni mkubwa sana but ni vizuri mkawa mnabadilisha location kwa7bu usafiri mnao yaani ni km vile mlivyofanya na chid benz {Lucas MJ5 kutoka Italy}
@winfredkisigo9402
3 жыл бұрын
bro upo Italy kwel lakn 😂
@eddyshembilu9886
3 жыл бұрын
@@winfredkisigo9402 yuko Italiiiiiia
@winfredkisigo9402
3 жыл бұрын
@@eddyshembilu9886 aha kumbe.. bc nakubal mwamb
@lucasjoseph1407
3 жыл бұрын
Ndio nipo Italy , kwani vp kuna tatizo ?
All thé way from Lyon, France 🇫🇷 love this nyembo yamtaa much love for wcb safi
@5facts60
3 жыл бұрын
It's nembo you tried well broo
@rajuabdou8293
3 жыл бұрын
@@5facts60 thankx bro ✌🏿
@elialova4593
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nembo ya mtaa
Nakupenda Bure zuchu from Kenya
Much Love from Nairobi (Kenya)
Jaman zuchu anapendwa 🥰
Nakupenda toka moyoni ❤frm NAIROBI KENYA @totoBOSS🦁 SIMBA ,zuchu na KUNDI NZIMA 1❤
Thank you bro for bring Zuchu!!. Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@priscajohnson3575
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyo bonge kaniacha owi
@sajaboy001
2 жыл бұрын
We love you so much from wcb fans Tanzania
Hello to ZUCHU, YOU'RE THE BEST. CONGRATULATIONS DEAR YOUNG LADY YOU'REON THE TOP OF THE LOSERS!, would you try even though once, make a Live show in USA so that we can see you too.? We are your funs an we support you thanks.🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲💝
Yani huyu Zuchu vile amefanya mtoto wangu wa mwaka mmoja na nusu akiskia nyimbo ya Sukari mtoto huruka kuruka na kulamba mikono na kuimba sukari #Zuchu Sukari yako nitamu #lovefromDaughterAsmah Mombasa twakusalute
Ukweli hyo ngoma nisameh naipenda Sana Tena Zaid ya sana skujua kumbe weng Sana Hadi watoto wanaipenda kupitiliza
Jamani sijawahi kubofya "HIVI NI KWELI" haraka kama leo
@yunaisamir2099
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 umetisha
@bernardmathias5881
3 жыл бұрын
Kumbe tupo weng
@elshaarawymuhabesh316
3 жыл бұрын
Hhhh
Hakika bi khadija kazaa chema mashallah mwenyezi mungu akuwekee❤❤
🤣🤣🤣 yani nafik mwisho cheko sio langu kabisa, ila Zuchu uko juu respect
Zuchu vous êtes on fort en chanter.
Big country representing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ameknews2315
3 жыл бұрын
Mo town sanya chang frequency ukiona eneo limejaa watu coz we need more creactivity wacha kukaa eneo moja
@ricksamthecrow
3 жыл бұрын
@@ameknews2315 positive
@britonngale6644
3 жыл бұрын
Huyu mtoto anajulikana balaa
@denisowino2274
3 жыл бұрын
Kwa kweli Kila mtu anamkubali
@amanfesto621
3 жыл бұрын
m
Dah! Huyo big kwny gonga beat kavunja xn mbavu aisee.
Mimi murundi 🇧🇮🇧🇮 zushuu nagupenda sana sana yani unaimba vizuri dada naomba nikuone basi sikumoja jamani napenda irenyimbo inasema namupatiya shogasukari naire uriimba kama wazuru ninyingi sana napenda dada kurajeee atahivi nasikiaa uzuni😭😭😭😭😘😘🤩🤩🤩🤩🙏🙏🙏🙏👌👌👌🤝🤝🤝🤝🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Zuchu ♥️♥️😍🥰🇷🇼 Kigali Rwanda sukari namupatia shuga sukari nawambia kwakweri sukari niwimbo urisikika sana ♥️ hapa Kigali😍🌹💋💋🇷🇼🙏🔥🔥🔥🔥🔥
DOGO UNAPENDWA KINYAMAAAAAA,NIMECHEKAAAA SANAAA.ZUCHU UNAPENDWA SANAAAAAAAAAAAAAAAA
Mtakuja linii na kenya jamn sisi pia ni washabikii
@jacklinemwanga1691
3 жыл бұрын
Msihof tupo pamoja
@yirgayemyirgah7820
3 жыл бұрын
Tutakuja soon
zuch ilike you my dear you sing very well congraturation
Wasani wasipende kupokea Positive Comments only Hata Negative comments wazipokee kiroho safi
Zuchu tena ndani dah Aiseeh!! Sanya unatisha kama njaa.
Kama na ww unaamini hii nimoja ya show inayopendwa cn na wana like tuishi kibingwa👍💪
MO SANYA unazengua pamoja sana na tv WCB muna ubaguz sana kujeni na huku ZANZIBAR bwana BOSS D PLTUNMZ haki itendeke tv ya watu wote io
Respect kwako zuchu, mwenzio alikataa mkono wa mwanafunz tangu apo simfagilii kabisa
Jaman zuchu kama Michael Jackson sasa we love you
Watu tungekua naham ya kumwona Mungu kuliko wasanii ingependeza sana
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Kuna nabii au mteme au anaeswali sanaaaaa alishawahi kumuona Mungu? Na kama ndio nipe ushahidi unaotoka kwenye Msaafu au Biblia, nikuweke sawa ni bora ungesema hivi ~ watu tungekuwa na hamu ya kuiona pepo kuliko wasanii na anasa
@mansa_islam9898
3 жыл бұрын
Ilo nalo neno
@injilichoiraicnjiru3407
3 жыл бұрын
Safi
@adamnasib7928
3 жыл бұрын
Kumuona mungu ni ndoto
@abdallahturoley4324
3 жыл бұрын
Exactry
Hii gonga Beat Nzuri kweli ni 🔥🔥
Anaeufulahia hii show km mm...like ni bule.
Zuchu katuharibia show 😂😂😂😂😂😂😂. She's international huu uwanja mdogo kwake 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sontv1751
3 жыл бұрын
amna kitu hapo🚮🚮
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
@@sontv1751 😂😂😂😂matumiz mabovu ya roho mbaya
@robinapatrick8479
3 жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 😅kwakwel yan hayo ni matumizi mabaya ya roho😅
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
@@robinapatrick8479 umeonaaa
Gonga beat ni kixangaaa 🔥🔥😂😂wakitoka hapo wakijiangalia kwenye tv cjui wana jixikiaje maana c kwa kuno ng'ona huko 😂big katixhaaa 🔥
@valentinesyekeye6846
3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃🥳🥳
@dullydullahsenior756
3 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha umeona eeeeeh 😂😂😂😂😂😂
Najiskia machozi Kwa furaha Mimi mshabiki pia from Zambia like zangu tafadhari.
@richardedwinn1291
3 жыл бұрын
Aaah 😂❤️
@josephstephen2047
3 жыл бұрын
Karibu sana
Mchaga bigup sana
Nampenda zuchu jamaniiii❤
Tuletee mbosso ao Rayvanny jamanii😍😍😍nina imani iy siku tutaona maajab km ay zuchu😃😃😃☺☺
@irinemmasy8387
Жыл бұрын
Tena na zaidi
Uyo jamaa amevaa red anasema c ndio uyu au amenifurahisha😂😂💙💙🌟
God them 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 the guy singing that song,really finished me the last show was 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻😃😃😃😃😃
Zuchuuuuuuuu kama zuchu unapendwa sana mdogo wangu heshima busara na kazi poa tutakusapot
Na Mimi basi nipate ata like 10 jamani niko zangu Australia
@janembawala6009
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dZNnpbueXbfThtY.html
@chanjamabilo3963
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/amtqu8tpd8zSdLQ.html
@nawihadj6674
3 жыл бұрын
Ya mbezi au
@salimmasoud-ip9ee
Жыл бұрын
Mkmmkmlmk
zuchu is the best singing
Hii ni noma gonga like twende sawa 👊👊👊👊
JAMANI NAOMBA NA MIMI LIKE NIPO CANADA
@MaryMary-df7eb
3 жыл бұрын
Poleni na corona
@chrispinimkanda7127
3 жыл бұрын
@@MaryMary-df7eb 🤣🤣🤣🤣
@saidiabdedi4743
3 жыл бұрын
Zuchu tanga lini
@beatricekadawi20
3 жыл бұрын
@@chrispinimkanda7127 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣
@rabiaiddi5578
3 жыл бұрын
Sasa ukiwa canada inahusiana nini na kuomba like? wabongo bwana😆😆
ZUCHU ni habari nyingine kabisa nyota imeng'aaaaa
@yunyun799
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
Namkubali sana uyo dogo zuchu ninge pata bahati ya mm kukutana naye ninge furah sana
Ooo my god.. My favor girl.. I love her Anatuwakilisha wanaake jaman .. nampenda sanaaa Wish ningekuwa japo nacht nae on whsp😭😭😭😭😢😢😢.. I feel so blessed
Zuchuu the vocalist
simba ameshamaliza kaziii bro!!
Zuchu Allah abençoe com teu trabalho forças ajuda tua família...foi Allah escolher esse teu trabalho faça bom trabalho Thank you
Ila mbagala watu wamevurugwa😅😅 zuchu unajua mama!!! Gonga beat huyo bonge kanichekesha mpk waarabu wamekuja kuniangalia🤣🤣🤣🤣🤣
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
Hahahhh
@mauayusufumauayusufu7862
3 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣
@happypa2027
3 жыл бұрын
😁😅😁mimi nimezimiya wakanibeba kwamuganga😁😅ju yaceko
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
@@happypa2027 ila ww unasema kwli mmmh jmn
@happypa2027
3 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 😁😅😁😅nihatari
Show ya kibabe saana, mwananchi kutokea 🇧🇮 japo nipo ughaibuni yaani nampenda mtangazaji hadi raha.