AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI

Ойын-сауық

AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 314

  • @mwanasitisalim3606
    @mwanasitisalim360610 ай бұрын

    Salute Kwa vullivany Kwa maswali yake,yupo vizuri sana kisheria

  • @harounali9057
    @harounali905710 ай бұрын

    Sisi hasa tuna binaadam mwingi na huruma sana wakati mwengine wema una weza kuku zuru.

  • @nurdinjumaa7825
    @nurdinjumaa782510 ай бұрын

    Wanaopenda kipindi hichi naombeni like zenu

  • @tabbygud2333
    @tabbygud233310 ай бұрын

    Jamani, Mwenyezi Mungu Atulindie Walinzi wetu woi... Kila Kesi mlinzi jamani

  • @RAM7_TZ
    @RAM7_TZ10 ай бұрын

    Mwanangu sana Mo town sanya , unawauwa sana , kazi nzuri kaka , HIVI NI KWELI BONGE MOJA LA SHOO❤❤❤

  • @skulstar5955
    @skulstar595510 ай бұрын

    Ndomana mama hataki nikae mwenywe 😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa119010 ай бұрын

    Nimefuatilia hii interview kwa ajili ya mwanetu Aliyezimia Nyau

  • @nyauclassictv805

    @nyauclassictv805

    10 ай бұрын

    Tulimuweza

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab800710 ай бұрын

    Eti Haya ni maswali ya police kesi hiyo😂😂😂😂😂

  • @bebebebe5677
    @bebebebe567710 ай бұрын

    Kama umeipenda hii hayo ndo maswali ya polis gong like apa twende saw😂😂

  • @Smart_jarm
    @Smart_jarm10 ай бұрын

    Nipeni likes asee,nimekuwa wakwanza 👆👆👆

  • @shelokiba

    @shelokiba

    10 ай бұрын

    Sio shobo zetu

  • @januaryjohn2014
    @januaryjohn201410 ай бұрын

    Mo town Sanya unaweza your are very creative my brother

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma520910 ай бұрын

    Leo Dull Van kapatikana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-hz6dg3vb6t
    @user-hz6dg3vb6t10 ай бұрын

    Best tv shows ever

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas591110 ай бұрын

    😂😂😂😂😂Daaah!!!!!!!!! Walinzi tuna kazi Sana Kwakweli changamoto ni nyingi mnooo 😂😂😂😂😂

  • @ezekieljolam4276

    @ezekieljolam4276

    9 ай бұрын

    Ww daaah

  • @Nalitumpaboy-dm4tk
    @Nalitumpaboy-dm4tk10 ай бұрын

    Dull umefanana na rayvanny ukivaa mpama😂😂

  • @januaryjohn2014
    @januaryjohn201410 ай бұрын

    Daaaaaah nimechoka Sana dull kaogopa kinoma ila mshikaji anamoyo😆😆😆

  • @ahmadmohd3771

    @ahmadmohd3771

    10 ай бұрын

    Kaivaaa uhusika wa mwanamke hadi kwenye maisha ndo maana angalia hadi mikao yake

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    9 ай бұрын

    ​@@ahmadmohd3771😂😂😂

  • @nmasare9364
    @nmasare936410 ай бұрын

    Hii ya leo mmezingua inaonekana kabisa mpango mlishaupanga so kama duli alikua hajui alikua anajua sema hii mmeyumba

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari452510 ай бұрын

    SKUHIZ HUACHI EXCLUSIVE TENA,,UNATUNGA KABISA

  • @teedullah5708
    @teedullah57088 ай бұрын

    Dula na ujanja wote kupatikana leo😂😂😂

  • @Shuu.A
    @Shuu.A10 ай бұрын

    Duly leo anavua kofia akivaa tu analiona joto leo😂😂😂

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim10 ай бұрын

    Jamaa anapiga pesa wengine wanacheka hio ni nusu nusu Europe

  • @oyay2821
    @oyay282110 ай бұрын

    Dahhhh!!! Hii na ile ya Dotto ni kali. Dully yuko ametulia kwa maswali yaliokwenda shule

  • @rehemamsengo2805
    @rehemamsengo28059 ай бұрын

    Yan Sanya anavyouliza maswal kama sio yeye Allah akupe umri umrefu ila dull daaah kanywea😅😅

  • @sabrinamkinga901
    @sabrinamkinga9019 ай бұрын

    Jamani Huyu si Nyau 😅😅😅

  • @hassansela1393
    @hassansela139310 ай бұрын

    Eti nimekujaje 😂 nandege 😂😂😂😂

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges313110 ай бұрын

    Hii kipindi naipenda sana Moo keep it up Unafanya vizuri sana

  • @hawaomary8486

    @hawaomary8486

    10 ай бұрын

    Karipotini police SS akifa hapo

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed357710 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂MBA mbavu zangu jamanii

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum19210 ай бұрын

    Hiki kipindi 😂😂 kizuri kweli lakini kinamazara sana 😂ipo siku tu damu itawagika 😂😂

  • @kusinisingelitv

    @kusinisingelitv

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-sc4wo5ks8n
    @user-sc4wo5ks8n10 ай бұрын

    Mr Nyau umetisha sana my brother you deserve 🫡 bro

  • @nyauclassictv805

    @nyauclassictv805

    10 ай бұрын

    Thanks boss

  • @user-wc5vf1pc9e
    @user-wc5vf1pc9e10 ай бұрын

    Ila van yuko peace sana

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo301410 ай бұрын

    Dulli kapatikana leo😂😂🔥🔥

  • @masika.zubeda.430

    @masika.zubeda.430

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @stelaprompot5180
    @stelaprompot518010 ай бұрын

    Dula anaroho nzuri sana

  • @rehemamsengo2805
    @rehemamsengo28059 ай бұрын

    😂😂Dulvan alipatikana wallah

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya687310 ай бұрын

    ISHI MIAKA MINGI HAPA DUNIANI PAMOJA NA FAMILIA YAKO SANYAAA HIVI NI KWELI NAIONA WORLD WIDE

  • @ilhammsaad-oe4lg
    @ilhammsaad-oe4lg10 ай бұрын

    He is soo calm jmn😂😂😂

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing178010 ай бұрын

    Ni career guys sio "carrier" hio mloandika maanake ni mide usafirishaji

  • @masika.zubeda.430

    @masika.zubeda.430

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime730010 ай бұрын

    Hiyooo imeenda........

  • @majapelinho
    @majapelinho10 ай бұрын

    Kuna muda anasema mama ake ataki akae peke ake😂😂

  • @ummusuley9524
    @ummusuley952410 ай бұрын

    Watching u frm Kenya nawapenda

  • @user-sh7vv6wd3l
    @user-sh7vv6wd3l10 ай бұрын

    Niende jela ama huyu afukuzwe kazi....?

  • @strawberryrachii12-xh5bq
    @strawberryrachii12-xh5bq6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅dullah uyoo yamekufika uelewi

  • @neychuchu_love966
    @neychuchu_love96610 ай бұрын

    Najihisi nimekuwa wa mwisho kwa huu mda😂😂 naomben likes

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    10 ай бұрын

    Zitakusaidia nn

  • @neychuchu_love966

    @neychuchu_love966

    9 ай бұрын

    @@rosemahenge9071 zitanipa furaha ww je kureplay text yangu umepata nn kenge manyoya we😅😅😅😅

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY365610 ай бұрын

    Mbona hii prank mwisho mwisho nikutamu jamani😋😂😂😂hadi mm nika cheka😂😂😂😂😂

  • @saidasimba9979
    @saidasimba997910 ай бұрын

    ulichokosea kimoja tu Ilitakiwa umpeleke hospitali kwanza.. hata kama kakosea, ubinadamu kwanza mambo mengine badae ...sasa wewe unaongelea ambayo yameshatokea badala ku solve tatizo lililopo

  • @TanaMidundo
    @TanaMidundo8 ай бұрын

    Hata ungekua wew mo town ungepagawa apo itokee kwako

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi25510 ай бұрын

    Mbona ana maziwa dulvani

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    10 ай бұрын

    Wanamnyonyaaa wanaume weziwee

  • @kindambaonetz1949
    @kindambaonetz19497 ай бұрын

    😂😂😂 mwigizaji kakutana na mwigizaji lazima kiwake 🎉😅

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa760210 ай бұрын

    Ana roho mbaya hata qwenye qiti asiqae alafu wanamtoa chooni bila awasaidie anarecod ivi qweli so poa😂

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu708810 ай бұрын

    Ila anaustarabu sana

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu506910 ай бұрын

    Mh mmejitahid wee ila waya wa mac kwa tumbo la mzimiaji umewatohoa😂😂😂😂😂 yani kazi kubwa waya uneharibu

  • @mussajaphet-dl4st
    @mussajaphet-dl4st10 ай бұрын

    Hivi ni kweli hicho kipind cho mo sanya acha ujinga ww

  • @josephmchumbe4226
    @josephmchumbe422610 ай бұрын

    Piga picha na izo kamera zenu hhhh😂😂

  • @nizaralirashid9581
    @nizaralirashid958110 ай бұрын

    Sema kuigiza duli kashindwa😅kioa wakati ana smile anajizuia kucheka,mkisapanga hao wasanii waambien wawe serious iwe kama ni kweli

  • @BoscoNtimba-jr2gz

    @BoscoNtimba-jr2gz

    10 ай бұрын

    Hao hawapangwi,huwa wanashtukizwa.sema kinacho tokea ni kwamba anakuwa akirekodiwa yaani katikati ya interview

  • @dunkchainz7237

    @dunkchainz7237

    10 ай бұрын

    @@BoscoNtimba-jr2gzsasa kwani wasanii hawamjui Mo town Sanya au hawajui kipindi chake!?

  • @kondoatown8765

    @kondoatown8765

    10 ай бұрын

    Huo jamaa anaehojiwa mbna Kuna sehemu kakaa kma Yale yasemwayo yanamaana yke aisee ukaaji gani ? Hatuombei ila jamaa kma ni kweli Kuna nafasi ya kujirekebisha unaweza ukajirekebisha tu kwani tabia gani ? Inayoshindikana kujirekebisha

  • @elizabethkunyatila2913

    @elizabethkunyatila2913

    10 ай бұрын

    ​@@dunkchainz7237Mo alisema hivi vipindi alisharekodi vyote sasa hivi ndo wanaanza kuvirusha

  • @Swahili14

    @Swahili14

    8 ай бұрын

    ​@@kondoatown8765unamaanisha nn

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi492110 ай бұрын

    Mchawi uyo ameishiwa nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @meisahabuo5856
    @meisahabuo585610 ай бұрын

    Aya!!! Kakaa kwenye sofa kabisaa😂 here!!

  • @JumahamisiOmary
    @JumahamisiOmary10 ай бұрын

    Bonge la move 😊

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah568010 ай бұрын

    Daaah aisee ni hatari sana😄😄😄

  • @malacktweve6012
    @malacktweve601210 ай бұрын

    Hawa wasanii hawapangwi lakini hata wakipangwa shida nini kama ni burudani tunapata ya kutosha na pia tunaona upande wa pili wa wasanii ambao tulikua hatuujui

  • @nyauclassictv805

    @nyauclassictv805

    10 ай бұрын

    Thanks unaweza nifollow Mimi mzimiaji.

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    10 ай бұрын

    ​@@nyauclassictv805😂😂😂kheeee

  • @Fx_expertmoneymaker001

    @Fx_expertmoneymaker001

    9 ай бұрын

    ​@@nyauclassictv805🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-up1tb7sj2f

    @user-up1tb7sj2f

    5 ай бұрын

    Safiiiiii😂😂😂😂😂😂

  • @WASAFY_OMY
    @WASAFY_OMY10 ай бұрын

    Hii imekua movie😂😂😂😂😂

  • @chidiibrahim6104
    @chidiibrahim610410 ай бұрын

    Hii story nikama Ile yajuzi zinafanana

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe10 ай бұрын

    The best one😂

  • @aizyramson6882
    @aizyramson688210 ай бұрын

    Ckuiz hiki kipindi ni zaidi ya netflix🎉

  • @tanzaleo8670
    @tanzaleo867010 ай бұрын

    shida mo town sanya ameishiwa content za prank kabla ya ku shoot anampanga mtu atakaye muhoji na mtu kuigiza ili ionekane kua ni kweli haikua planned mi ningeshauri usitafute watu maarufu ambao tayari wanajua unachokifanya kuwa mbunifu kama zamani

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    10 ай бұрын

    Bro hizi show zisharikodiwa zote na sasa ndio zinarushwa yaani hazijjapagwa

  • @felicianboss6953

    @felicianboss6953

    10 ай бұрын

    Bora umwambie°°

  • @meisahabuo5856
    @meisahabuo585610 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 Jamani 😂 ahii! Usanii kazi eti mm na kukubali ivikweli upete kuuliza uliza ukishaonyeshwa undumbukie ndani?

  • @nickolaus6188
    @nickolaus61889 ай бұрын

    Dull wamekuweza sana

  • @abbasram2770
    @abbasram277010 ай бұрын

    Sullivan Haha jikojea kweli!!!

  • @aishayahaya9367
    @aishayahaya93677 ай бұрын

    Nimeipenda hiyo

  • @nyotajeremia8901
    @nyotajeremia890110 ай бұрын

    Naombeni like jamani😂😂

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker0019 ай бұрын

    Hadi Dulvan alicheka alivyoambiwa kuombwa msamaha😂😂 10:15

  • @amadancytz3720
    @amadancytz372010 ай бұрын

    Lakini hivi vitu vimepangwa kapangwa mpka huyo dully

  • @meisahabuo5856
    @meisahabuo585610 ай бұрын

    Maskini kafazaika kajua maisha Ndio yashatoka umaikini mbaya

  • @getrudemajaliwa7629
    @getrudemajaliwa762910 ай бұрын

    Inaonekana dulvan alijua hichi ni kipindi kbsa lkn akajikausha

  • @ElizaEhsas-op2pg
    @ElizaEhsas-op2pg10 ай бұрын

    Hahaha hayo Ni maswali ya police jamn dullvan

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn82610 ай бұрын

    Ubunifu mzur😅😅😅 ila Dili kaza sauti we kidume

  • @user-ri7rg1xx6n
    @user-ri7rg1xx6n10 ай бұрын

    Dahhh noma sana

  • @ibrahimsadick6137
    @ibrahimsadick613710 ай бұрын

    Nimecheka sana

  • @POCHBONGEE
    @POCHBONGEE10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂kwishaa jamanii😅😅😅😅💔💔

  • @mr_reef96
    @mr_reef9610 ай бұрын

    Ila uyo dgo mwambien akaze sat ukike ushaanza kumkaa sasa

  • @SiahCiara-gg3iv
    @SiahCiara-gg3iv9 ай бұрын

    Dulla amejua kabsa hicho ni kipindi mpak anaongea na maik amna kitu hapo 😅😅😅

  • @nlumanga
    @nlumanga10 ай бұрын

    Kali

  • @prosperipyana2137
    @prosperipyana213710 ай бұрын

    Kwisha habali yake😁😁😁😁

  • @rebeccanashoni4618
    @rebeccanashoni461810 ай бұрын

    😂😂😂 haya bwana hongereni

  • @jayclassicke8163
    @jayclassicke816310 ай бұрын

    🔥

  • @user-or2xn4bp7o
    @user-or2xn4bp7o9 ай бұрын

    mbna kama jamaa mwenywe hamnazo😂😂😂

  • @SaoblackSaoblack
    @SaoblackSaoblack10 ай бұрын

    Nandege😂😂😂

  • @user-gn6jz4qf7o
    @user-gn6jz4qf7o10 ай бұрын

    Mchaga OG nakucheki kutokea👉🇶🇦

  • @femmyalbert7580
    @femmyalbert758010 ай бұрын

    Uwiii haya ni maswali ya police

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg10 ай бұрын

    Kawezaje kujikausha hivyoo lakini Mimi ningechekaaa siwezi ku fake kuzimia

  • @nyauclassictv805

    @nyauclassictv805

    10 ай бұрын

    Nilikuwa natamani kucheka ila ndo SANAA nilikuwa kazini

  • @firdauskarembo7664
    @firdauskarembo766410 ай бұрын

    Me naisubiri ya gigy money tu😂😂😂

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed869910 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂Nimechek

  • @Halimamaere
    @Halimamaere10 ай бұрын

    😂😂😂😂maskini dull wanguu

  • @PyxWilliam
    @PyxWilliam10 ай бұрын

    Ihi kali😀

  • @bennysanga2873
    @bennysanga287310 ай бұрын

    Duliii, eti Mama hapendagi nikae pekeangu hahahaaa

  • @masika.zubeda.430

    @masika.zubeda.430

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @y.g17
    @y.g1710 ай бұрын

    MLINZI KANICHEKESHA😂

  • @HassaniRashidi-ru2hv
    @HassaniRashidi-ru2hv10 ай бұрын

    Dully sio lizik😂

  • @rammymgamo5845
    @rammymgamo584510 ай бұрын

    Oya leo iv nikweli mmetupiga,ona dulii anacheka mskaji anapoongea na ndugu yake mmempanga dulli mapema!leo mmefeli kwa mm ninae jua

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249910 ай бұрын

    Nitarudi hapa, niko busy kwakweli

  • @user-rw8gw3eh4y
    @user-rw8gw3eh4y10 ай бұрын

    Mmetisha saana

  • @bennysanga2873
    @bennysanga287310 ай бұрын

    Hahahahaaaaaaaaa jamaa kajua kujilegeza bala

  • @hassansammy1076
    @hassansammy107610 ай бұрын

    Dullvani pole sana kaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Келесі