AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI
Ойын-сауық
AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 314
Salute Kwa vullivany Kwa maswali yake,yupo vizuri sana kisheria
Sisi hasa tuna binaadam mwingi na huruma sana wakati mwengine wema una weza kuku zuru.
Wanaopenda kipindi hichi naombeni like zenu
Jamani, Mwenyezi Mungu Atulindie Walinzi wetu woi... Kila Kesi mlinzi jamani
Mwanangu sana Mo town sanya , unawauwa sana , kazi nzuri kaka , HIVI NI KWELI BONGE MOJA LA SHOO❤❤❤
Ndomana mama hataki nikae mwenywe 😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Nimefuatilia hii interview kwa ajili ya mwanetu Aliyezimia Nyau
@nyauclassictv805
10 ай бұрын
Tulimuweza
Eti Haya ni maswali ya police kesi hiyo😂😂😂😂😂
Kama umeipenda hii hayo ndo maswali ya polis gong like apa twende saw😂😂
Nipeni likes asee,nimekuwa wakwanza 👆👆👆
@shelokiba
10 ай бұрын
Sio shobo zetu
Mo town Sanya unaweza your are very creative my brother
Leo Dull Van kapatikana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Best tv shows ever
😂😂😂😂😂Daaah!!!!!!!!! Walinzi tuna kazi Sana Kwakweli changamoto ni nyingi mnooo 😂😂😂😂😂
@ezekieljolam4276
9 ай бұрын
Ww daaah
Dull umefanana na rayvanny ukivaa mpama😂😂
Daaaaaah nimechoka Sana dull kaogopa kinoma ila mshikaji anamoyo😆😆😆
@ahmadmohd3771
10 ай бұрын
Kaivaaa uhusika wa mwanamke hadi kwenye maisha ndo maana angalia hadi mikao yake
@agnesjohn9382
9 ай бұрын
@@ahmadmohd3771😂😂😂
Hii ya leo mmezingua inaonekana kabisa mpango mlishaupanga so kama duli alikua hajui alikua anajua sema hii mmeyumba
SKUHIZ HUACHI EXCLUSIVE TENA,,UNATUNGA KABISA
Dula na ujanja wote kupatikana leo😂😂😂
Duly leo anavua kofia akivaa tu analiona joto leo😂😂😂
Jamaa anapiga pesa wengine wanacheka hio ni nusu nusu Europe
Dahhhh!!! Hii na ile ya Dotto ni kali. Dully yuko ametulia kwa maswali yaliokwenda shule
Yan Sanya anavyouliza maswal kama sio yeye Allah akupe umri umrefu ila dull daaah kanywea😅😅
Jamani Huyu si Nyau 😅😅😅
Eti nimekujaje 😂 nandege 😂😂😂😂
Hii kipindi naipenda sana Moo keep it up Unafanya vizuri sana
@hawaomary8486
10 ай бұрын
Karipotini police SS akifa hapo
😂😂😂😂😂😂MBA mbavu zangu jamanii
Hiki kipindi 😂😂 kizuri kweli lakini kinamazara sana 😂ipo siku tu damu itawagika 😂😂
@kusinisingelitv
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Mr Nyau umetisha sana my brother you deserve 🫡 bro
@nyauclassictv805
10 ай бұрын
Thanks boss
Ila van yuko peace sana
Dulli kapatikana leo😂😂🔥🔥
@masika.zubeda.430
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Dula anaroho nzuri sana
😂😂Dulvan alipatikana wallah
ISHI MIAKA MINGI HAPA DUNIANI PAMOJA NA FAMILIA YAKO SANYAAA HIVI NI KWELI NAIONA WORLD WIDE
He is soo calm jmn😂😂😂
Ni career guys sio "carrier" hio mloandika maanake ni mide usafirishaji
@masika.zubeda.430
10 ай бұрын
😂😂😂😂
Hiyooo imeenda........
Kuna muda anasema mama ake ataki akae peke ake😂😂
Watching u frm Kenya nawapenda
Niende jela ama huyu afukuzwe kazi....?
😅😅😅😅😅😅😅😅dullah uyoo yamekufika uelewi
Najihisi nimekuwa wa mwisho kwa huu mda😂😂 naomben likes
@rosemahenge9071
10 ай бұрын
Zitakusaidia nn
@neychuchu_love966
9 ай бұрын
@@rosemahenge9071 zitanipa furaha ww je kureplay text yangu umepata nn kenge manyoya we😅😅😅😅
Mbona hii prank mwisho mwisho nikutamu jamani😋😂😂😂hadi mm nika cheka😂😂😂😂😂
ulichokosea kimoja tu Ilitakiwa umpeleke hospitali kwanza.. hata kama kakosea, ubinadamu kwanza mambo mengine badae ...sasa wewe unaongelea ambayo yameshatokea badala ku solve tatizo lililopo
Hata ungekua wew mo town ungepagawa apo itokee kwako
Mbona ana maziwa dulvani
@rizikiabdalla2501
10 ай бұрын
Wanamnyonyaaa wanaume weziwee
😂😂😂 mwigizaji kakutana na mwigizaji lazima kiwake 🎉😅
Ana roho mbaya hata qwenye qiti asiqae alafu wanamtoa chooni bila awasaidie anarecod ivi qweli so poa😂
Ila anaustarabu sana
Mh mmejitahid wee ila waya wa mac kwa tumbo la mzimiaji umewatohoa😂😂😂😂😂 yani kazi kubwa waya uneharibu
Hivi ni kweli hicho kipind cho mo sanya acha ujinga ww
Piga picha na izo kamera zenu hhhh😂😂
Sema kuigiza duli kashindwa😅kioa wakati ana smile anajizuia kucheka,mkisapanga hao wasanii waambien wawe serious iwe kama ni kweli
@BoscoNtimba-jr2gz
10 ай бұрын
Hao hawapangwi,huwa wanashtukizwa.sema kinacho tokea ni kwamba anakuwa akirekodiwa yaani katikati ya interview
@dunkchainz7237
10 ай бұрын
@@BoscoNtimba-jr2gzsasa kwani wasanii hawamjui Mo town Sanya au hawajui kipindi chake!?
@kondoatown8765
10 ай бұрын
Huo jamaa anaehojiwa mbna Kuna sehemu kakaa kma Yale yasemwayo yanamaana yke aisee ukaaji gani ? Hatuombei ila jamaa kma ni kweli Kuna nafasi ya kujirekebisha unaweza ukajirekebisha tu kwani tabia gani ? Inayoshindikana kujirekebisha
@elizabethkunyatila2913
10 ай бұрын
@@dunkchainz7237Mo alisema hivi vipindi alisharekodi vyote sasa hivi ndo wanaanza kuvirusha
@Swahili14
8 ай бұрын
@@kondoatown8765unamaanisha nn
Mchawi uyo ameishiwa nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣
Aya!!! Kakaa kwenye sofa kabisaa😂 here!!
Bonge la move 😊
Daaah aisee ni hatari sana😄😄😄
Hawa wasanii hawapangwi lakini hata wakipangwa shida nini kama ni burudani tunapata ya kutosha na pia tunaona upande wa pili wa wasanii ambao tulikua hatuujui
@nyauclassictv805
10 ай бұрын
Thanks unaweza nifollow Mimi mzimiaji.
@rosemahenge9071
10 ай бұрын
@@nyauclassictv805😂😂😂kheeee
@Fx_expertmoneymaker001
9 ай бұрын
@@nyauclassictv805🤣🤣🤣🤣🤣
@user-up1tb7sj2f
5 ай бұрын
Safiiiiii😂😂😂😂😂😂
Hii imekua movie😂😂😂😂😂
Hii story nikama Ile yajuzi zinafanana
The best one😂
Ckuiz hiki kipindi ni zaidi ya netflix🎉
shida mo town sanya ameishiwa content za prank kabla ya ku shoot anampanga mtu atakaye muhoji na mtu kuigiza ili ionekane kua ni kweli haikua planned mi ningeshauri usitafute watu maarufu ambao tayari wanajua unachokifanya kuwa mbunifu kama zamani
@rajabmsinzia1715
10 ай бұрын
Bro hizi show zisharikodiwa zote na sasa ndio zinarushwa yaani hazijjapagwa
@felicianboss6953
10 ай бұрын
Bora umwambie°°
😂😂😂😂😂 Jamani 😂 ahii! Usanii kazi eti mm na kukubali ivikweli upete kuuliza uliza ukishaonyeshwa undumbukie ndani?
Dull wamekuweza sana
Sullivan Haha jikojea kweli!!!
Nimeipenda hiyo
Naombeni like jamani😂😂
Hadi Dulvan alicheka alivyoambiwa kuombwa msamaha😂😂 10:15
Lakini hivi vitu vimepangwa kapangwa mpka huyo dully
Maskini kafazaika kajua maisha Ndio yashatoka umaikini mbaya
Inaonekana dulvan alijua hichi ni kipindi kbsa lkn akajikausha
Hahaha hayo Ni maswali ya police jamn dullvan
Ubunifu mzur😅😅😅 ila Dili kaza sauti we kidume
Dahhh noma sana
Nimecheka sana
😂😂😂😂😂kwishaa jamanii😅😅😅😅💔💔
Ila uyo dgo mwambien akaze sat ukike ushaanza kumkaa sasa
Dulla amejua kabsa hicho ni kipindi mpak anaongea na maik amna kitu hapo 😅😅😅
Kali
Kwisha habali yake😁😁😁😁
😂😂😂 haya bwana hongereni
🔥
mbna kama jamaa mwenywe hamnazo😂😂😂
Nandege😂😂😂
Mchaga OG nakucheki kutokea👉🇶🇦
Uwiii haya ni maswali ya police
Kawezaje kujikausha hivyoo lakini Mimi ningechekaaa siwezi ku fake kuzimia
@nyauclassictv805
10 ай бұрын
Nilikuwa natamani kucheka ila ndo SANAA nilikuwa kazini
Me naisubiri ya gigy money tu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Nimechek
😂😂😂😂maskini dull wanguu
Ihi kali😀
Duliii, eti Mama hapendagi nikae pekeangu hahahaaa
@masika.zubeda.430
10 ай бұрын
😂😂😂😂
MLINZI KANICHEKESHA😂
Dully sio lizik😂
Oya leo iv nikweli mmetupiga,ona dulii anacheka mskaji anapoongea na ndugu yake mmempanga dulli mapema!leo mmefeli kwa mm ninae jua
Nitarudi hapa, niko busy kwakweli
Mmetisha saana
Hahahahaaaaaaaaa jamaa kajua kujilegeza bala
Dullvani pole sana kaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂