Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Жүктеу.....
Пікірлер: 284
@glorialubengo282910 ай бұрын
nampongeza sana huyu kaka, maana amejua kuonyesha uhalisia ambao wasanii wengi hawawezi. hogera sana Baga
@komboarts71109 ай бұрын
Speechless kabisa kwangu nina kitu kikubwa cha kujifunza kuhusu maisha kwa kweli. Mungu ana siri kubwa huyu jamaa hata hawa akina kitale wanaigiza style ambayo jamaa alipita nayo ndo alianzisha Enzi za jumba la zahabu miaka ya 2000 na kitu kule. Nikioona kwa Muda niliomjua kwenye sanaaa na Tv Aisee. Somo kwangu NIMEJIFUNZA MAISHA YANA SIRI YA MUNGU KUBWA Kama unanielewa usipite bila kuweka like yako. 🎉 . Huyu ndo Baba wa sanaa kwenye kipengere cha mtaani uhuni na ubabe mwingi, ni mahala pake
@khadjamhozya
7 ай бұрын
Huyu jama noma Sana aisee🔥🔥🔥🔥🔥🌺🌺
@hezronjoseph40510 ай бұрын
Respect Sana baga uko real Ata ukiitaji kuchangiwa kwenye tatizo ,akuna mbambamba
@somiasomia2306
7 ай бұрын
tutachanga natusio changanga kwasababu ya ukweli wamaisha yake
@faridadumasalhathoseni9 ай бұрын
Amina Dar nilimkubari kwa kazi zake lakini Leo namkubari zaidi kwa kuwa muwazi wa Maisha yake harisi ILa mungu atazidi kumuongezea inshallah 🙏 alipopungukiwa
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Mtangazaji ukimaliza kuonyesha manyumba na mageto ya wenzio mwisho utuonyeshe na kwako pia tukuone sio kwa wenzio tu kila siku
@pendombinga3584
10 ай бұрын
😂Kbs
@crispinmsongole8875
10 ай бұрын
Hilo nalo neno 😅😅😅😅
@rehemamochiwa4544
8 ай бұрын
😂
@mymuhnabdallahshaban7763
7 ай бұрын
Ten alivyo mshenz alataka mpk chumbn apaone
@renildevenerand9473
7 ай бұрын
Kabisa
@user-os4ok4pz9j10 ай бұрын
Nimependa maisha yako baga mwenyezi mungu akuzidishie achana na ao wanaofake maisha
Big up Baga nimependa maisha yako na umekuwa wazi Sana ❤
@sophsoph474010 ай бұрын
Salute hataukimwa nachangia baga wangu upo real❤❤
@btylove187014 күн бұрын
Nimependa maisha yake yapo kihalisia hadi raha,hajaonesha maigizo na makorokoro ya ufeki ❤
@user-dp6oj7dp9e10 ай бұрын
Nimependa saana maisha ya Baga ongera kaka
@user-pz7fy8xl4o10 ай бұрын
Yani uyu kaka ata kama anaitaji kuchangiwa nachangia kaonyesha maisha halisi safi sana kaka
@NasraNasa-mp7mf10 ай бұрын
Nimependa sana yuko real big up baga
@mariamibrahim673810 ай бұрын
Maisha ya simple sina ndoo ukweli wa maisha ayo bags unaweza kweli real life
@Mpakauseme7 ай бұрын
Mnapenda anavyoishi wasenge sana ninyi ni watu wanafiki wakubwa , kesho Mungu akimpamafanikio makubwa ni ninyi ninyi tena mnaibuka kumchukia nakumpachika majina kibao yakiwaki mara freemason mara choko , wabongo wanafiki sana ninyi uwaga mara nyingi mnapenda mtu anapoanza tu katika maisha ya chini lakini anapokwenda kuinuka tu mnaanza mkuchukia ovyo kabisa nyinyi
@naifathassan2607
7 ай бұрын
Point
@user-pz8vz2tq2u
6 ай бұрын
Nibora Maisha ya uhalisia kuliko Maisha ya maigizo
@leahsamwel19318 ай бұрын
Tumpongeze tuu kwakua mkweli ila atafute pesa that not life kwa level yake😊😊 msimfariji msela angu
@zaunamoody7311
6 ай бұрын
Mbona yupo safi tu chumba kimekamilika kabisa kujenga majaariwa
@user-fi9ty6yi2n
2 ай бұрын
Utajuaje yawezekana akawa anajenga ila hataki show off usione mtu anaishi maisha ya kawaida ila anamalengo yake hataki fake life
@ismailmasoud600110 ай бұрын
Haya sasa ndio maisha yetu haliso , big op BAGA
@user-or2xn4bp7o10 ай бұрын
Yea safi Sana..nmependa ajui kufake lyf🥰🥰
@officialronaina759210 ай бұрын
Eagleee❤❤❤❤nampenda he is real man
@matridasambali64329 ай бұрын
Nimependa sana unavoishi uhalisia ila sema mshikaji kama anakuchora vile sjapenda interview yake hadi mahotpot anafunua kwani kwaambiwa we mama ntilie aache ivo
@emiguymnyama199610 ай бұрын
Saleh classic nakuona mbali sana emiguy mnyama hapa
@ZainabuNahimana-qv8el9 ай бұрын
Big up sn Bruuh👊nimepend uhalisia wako wa maisha yn👌
@consoponsiano9710 ай бұрын
Mwanangu mtangaji unachunguza sana duh adi kwenye hotpot
@sultansuleiman-94010 ай бұрын
goood presenter.namuona mbali sana...!
@MariamSalim-wd3nz10 ай бұрын
Hongera Sana Kiukweli anaitaji tuzo
@Rangoboytz202310 ай бұрын
Ndo maisha yetu baga mteme unyama sana mwamba life style fln hivi amazing
@user-hp3bx8ih4y
6 ай бұрын
Baga hana tofauti na mr..blue wapo wazi xana kifupi nimembenda xana iyo show
@Rangoboytz2023
6 ай бұрын
@@user-hp3bx8ih4y safi sana blood wapi hiyo ww
@khaledoman82666 ай бұрын
Nimependa sana kbx kaka yangu 🇧🇮🇴🇲❤❤❤
@user-tg2rn2jl2l9 ай бұрын
Hongera sana kaka kwa kutoa video ya maisha yako
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Nampendaga sana bagga❤️
@Prudentmusic999 ай бұрын
I appreciate it bro ❤❤✊🏻💎
@irenesisamo21849 ай бұрын
Hongera sana Baga Mungu akuongeze ufike mbali
@dayana5513story10 ай бұрын
Nimependa hii he is true guy no fake
@Mimy_keys10 ай бұрын
Mwamba Nimempenda Yaani 😂😂😂😂😂😂 Sisi Wanawake Tunapenda Mwanaume Mkweli Sio Muongo Muongo 😜🙈😎❣️🙏
@mohdloushmoney9994
10 ай бұрын
Mmmhh ahhhh wapi
@HassanHassan-sr3fq
9 ай бұрын
njoo kwangu
@ywydhhd7941
8 ай бұрын
sio kweli wanawake wanapend a mwanaume muongo
@user-ps5yv4nr9l
2 ай бұрын
Nyie hamujawahi kueleweka mukiambiwa ukweli Inakua uongo mukiongopewa ndo ukweli so nyie bado hatuja jua munatakaje Hadi sasa
@agnesjohn938210 ай бұрын
Baga nakupendaga sana kama hujaoa mi nipo tayari ila nina mtoto nitaishi na wewe kwa shida na raha kabisa nakuhakikishia sina uzuri ule ila tabia yangu itajieleza wala sijimwambafai ukweli ndo huo nakupenda sana baga wangu ❤❤❤❤❤
@salamarashidi3262
10 ай бұрын
Hahahaaaaa ungemjuaa
@agnesjohn9382
10 ай бұрын
@@salamarashidi3262 yukoje jamani
@surajatul732
10 ай бұрын
@@salamarashidi3262😂😂😂😂😂
@MbarakaHaji
10 ай бұрын
wewe una mpenda banga ila na mm nakupenda ww
@agnesjohn9382
10 ай бұрын
@@MbarakaHaji 😂😂
@joycechaz28409 ай бұрын
Woow baga maisha simple uhalisia kbs
@GiftAbduly7 ай бұрын
Ni mwanaume smart ❤👊🏾
@oniakussa338310 ай бұрын
Sijakosea kumpendaga huyu kaka kumbe yupo real sana jmn🥰
@Omosak
10 ай бұрын
Me too
@kareemabdullah4395
6 ай бұрын
@@Omosak😂
@user-ho8lh9ke2d10 ай бұрын
Nmeilewa maisha ya huyu guy yako poa sana
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Ila Bagga umenenepa 'Mashaallah
@pharleserasto311410 ай бұрын
Baga mwanangu San hajivung na maish kam wasanii wengn kufek so anaish na uhalisia wakwanz likes zanguuu
@mariamumsanzu82667 ай бұрын
Nimepnda sana maisha ya baga ❤❤❤
@user-qs4fb5fo5f10 ай бұрын
Huyu jamaa anajielewa namkubali sana
@iwambimpya19248 ай бұрын
haya maisha ukiwa na roho nzuri utakuwa maskini ,baga anaroho nzur sana anaonekana ndio maana yuko hvyo,
@JacobEckland-ug2dq9 ай бұрын
Nampenda huy kaka yup vizur
@AwamoPro-rt3sl4 ай бұрын
Nimeipenda hii kbx Good life no kufeki life yan
@pascalinajames911710 ай бұрын
Nice one baga
@sudyally688610 ай бұрын
Daaa sema bagg umetisha sn mwanangu 😂
@teddyleonard92376 ай бұрын
Mungu atakusaidia utafika mbali utafanikiwa tu
@JemimaKijiu-xx7lg6 ай бұрын
Ila hakunji kabisaa nguo duh!!!
@WinfridaZakayo-mj7co10 ай бұрын
Amazing ❤❤❤ he life🎉🎉
@user-du8of3fb5o9 ай бұрын
Salute brother
@fatmahrashidi15336 ай бұрын
❤nampenda sana huyu bro😊
@PrinceBonnyTz87 ай бұрын
We jamaa unaenda kwa watu Sana na kwako pia utuonyeshe
@mpendwamwendela10257 ай бұрын
Yan nmempenda sana huyo kaka jic alipo ajivungi
@renildevenerand94737 ай бұрын
Mimi sipendi anavowakagua.Maisha ya mtu hayahusiani na umaarufu anaokuwanao. Minaona kama mtangazaji mshamba tu. From 🇨🇦
@iwambimpya19248 ай бұрын
mpunguze hyo background sound mbwa nyie
@annamwakibinga52710 ай бұрын
Hongera sana
@nasrybilal445110 ай бұрын
Huyu muhuni namkubaligi Sana anaishi live yani
@naibusanga941610 ай бұрын
Safi sana maisha mazur Sana hy
@faidhacute7 ай бұрын
😂😂et shoga angu halaf baga bhna but all in all i like it huyu anaishi uhalisia kabsa ni maisha ya kawaida maana kuna wengne wanafek kabsa ila huyu anaish mulemule haina haja ya kujikweza yaan saf kabsa
@naimasuleiman648910 ай бұрын
😂😂😂😂😂nampenda huyu mie😅😅😅
@saumushabani841910 ай бұрын
Mm nimependa san hyu boy yaan anaishi tuuh maisha yake walai nimependa san
@ZaynabMshihir-zp9hv10 ай бұрын
Baga umekuwa mkubwa sana Maashaallah
@arya-star5310 ай бұрын
Nimempenda ghafla baga jmn hajasita kuonyesha uhalisia wa maisha anayoishi na tabia zake
@sarahrichard24459 ай бұрын
Nampenda sana uyu kaka
@onekisstv841210 ай бұрын
Oya sounds zenu jalibuni kuweka sawa
@fatmamangallah82636 ай бұрын
Home kwetu Maa Sha Allah
@zakypaul7249 ай бұрын
Saleh vitonge kama wakike😂😂😂
@Maryam-kl6gj10 ай бұрын
Twakupenda burger. ❤❤Unaupigamwingi
@kennethedgar923
10 ай бұрын
😂😂😂dah eti burger 🍔😂😂😂😅
@bintqassimidarous16369 ай бұрын
Sauti ya mziki upo juu zaidi kuliko show
@AskoNgatunga-ks9cw9 ай бұрын
Umetisha San kak
@trixieriri777810 ай бұрын
Sasa Hiyo mic ulibeba ya kazi gani?
@OthmanJuma-zm3fq10 ай бұрын
Ww kwel eagle 🦅🦅 unawazoom washamba wengine
@MatungwaZacharia-pl3ro10 ай бұрын
Nakukubali sana baga miaka kibao dah afu haunaga makuu home boy afu muhuni ile kinoma an ukitoa kitale kuigiza muhuni na katili hua ntakuweka wewe
@maryamtanzania974310 ай бұрын
Haya maisha mazuru sana
@khadjamhozya7 ай бұрын
Msera noma sana🔥🔥🔥
@husseinkaoneka583410 ай бұрын
Kuna aliyepita hko nmemuona, chukua namba uniletee we SALEHE 😁😁😁😁
@jonessalum63257 ай бұрын
😂😂😂baga NOMA SANA
@GaudenciaMadirisha9 ай бұрын
Safi kabisa
@joycemuhoja47298 ай бұрын
Mtangazaji unatamaa Sanaa
@HIDAYASAID-ue1df10 ай бұрын
Mtangaz mmbea san umekosa kaz
@agriparose394210 ай бұрын
Sijui nawaza nini ila Kuna kitu nawaza afu akielezeki ila mmmmh nawaza aina ya maisha haya
@catherineparsalaw52010 ай бұрын
Super🤞
@user-vf9dh9jp7s6 ай бұрын
Kaoneshe na geto lako kaka
@Blackmar2297 ай бұрын
Me kwangu sipendi watu wa hivo acha mwenye geto akuoneshe sio wapekenyua kila Kona kaa mwako kenge weeee😅😅😅
@TujuzeTv6 ай бұрын
Sound iko Poa ila kwenye lighting Yaani mataa yangekuwepo hiki kipindi kingependeza zaidi aiseiii hongereni sana ila ushauri wangu kwenu wekezeni kwenye lighting ili video iwe na quality nzuri
@user-zo1ym2te7r7 ай бұрын
Nakubali
@Boaz227 ай бұрын
Mama anakuambia baga anafwata totozzz😂😂😂
@OthmanJuma-zm3fq10 ай бұрын
Kitambo kwenye game Baga nakubal I huoo ndio uhalisia sio wengine wanaect dadekiii😮😮😮😮
@JacobEckland-ug2dq9 ай бұрын
Mungu hamsadiy jaman
@AmourCkay10 ай бұрын
Mchiziii anaishi gudii life ssa anaisha yke na anaishi vzur mtaaan ajivuungii
@moreswagger381210 ай бұрын
Hyo ndio hip-hop og sas
@damlabakari680910 ай бұрын
Nice
@zenawahindi242510 ай бұрын
sio kwa vitonge hivyo mwaangalie mwenzio baga
@sharpaliofficial745510 ай бұрын
Mbona hmuedii kwa mastar wakubwa nyiyee 😊
@khadjamhozya7 ай бұрын
Huyu kaka noma anajuwa kuigiza kama mhuni na anakpaji pia
Пікірлер: 284
nampongeza sana huyu kaka, maana amejua kuonyesha uhalisia ambao wasanii wengi hawawezi. hogera sana Baga
Speechless kabisa kwangu nina kitu kikubwa cha kujifunza kuhusu maisha kwa kweli. Mungu ana siri kubwa huyu jamaa hata hawa akina kitale wanaigiza style ambayo jamaa alipita nayo ndo alianzisha Enzi za jumba la zahabu miaka ya 2000 na kitu kule. Nikioona kwa Muda niliomjua kwenye sanaaa na Tv Aisee. Somo kwangu NIMEJIFUNZA MAISHA YANA SIRI YA MUNGU KUBWA Kama unanielewa usipite bila kuweka like yako. 🎉 . Huyu ndo Baba wa sanaa kwenye kipengere cha mtaani uhuni na ubabe mwingi, ni mahala pake
@khadjamhozya
7 ай бұрын
Huyu jama noma Sana aisee🔥🔥🔥🔥🔥🌺🌺
Respect Sana baga uko real Ata ukiitaji kuchangiwa kwenye tatizo ,akuna mbambamba
@somiasomia2306
7 ай бұрын
tutachanga natusio changanga kwasababu ya ukweli wamaisha yake
Amina Dar nilimkubari kwa kazi zake lakini Leo namkubari zaidi kwa kuwa muwazi wa Maisha yake harisi ILa mungu atazidi kumuongezea inshallah 🙏 alipopungukiwa
Mtangazaji ukimaliza kuonyesha manyumba na mageto ya wenzio mwisho utuonyeshe na kwako pia tukuone sio kwa wenzio tu kila siku
@pendombinga3584
10 ай бұрын
😂Kbs
@crispinmsongole8875
10 ай бұрын
Hilo nalo neno 😅😅😅😅
@rehemamochiwa4544
8 ай бұрын
😂
@mymuhnabdallahshaban7763
7 ай бұрын
Ten alivyo mshenz alataka mpk chumbn apaone
@renildevenerand9473
7 ай бұрын
Kabisa
Nimependa maisha yako baga mwenyezi mungu akuzidishie achana na ao wanaofake maisha
Maisha halisi, maisha rahisi 👊
Nani kamuona huyu Saleh amekaa kijuma lokole lokole?😅😅😅haeleweki vizuri na yeye😂😂😂😂
Big up Baga nimependa maisha yako na umekuwa wazi Sana ❤
Salute hataukimwa nachangia baga wangu upo real❤❤
Nimependa maisha yake yapo kihalisia hadi raha,hajaonesha maigizo na makorokoro ya ufeki ❤
Nimependa saana maisha ya Baga ongera kaka
Yani uyu kaka ata kama anaitaji kuchangiwa nachangia kaonyesha maisha halisi safi sana kaka
Nimependa sana yuko real big up baga
Maisha ya simple sina ndoo ukweli wa maisha ayo bags unaweza kweli real life
Mnapenda anavyoishi wasenge sana ninyi ni watu wanafiki wakubwa , kesho Mungu akimpamafanikio makubwa ni ninyi ninyi tena mnaibuka kumchukia nakumpachika majina kibao yakiwaki mara freemason mara choko , wabongo wanafiki sana ninyi uwaga mara nyingi mnapenda mtu anapoanza tu katika maisha ya chini lakini anapokwenda kuinuka tu mnaanza mkuchukia ovyo kabisa nyinyi
@naifathassan2607
7 ай бұрын
Point
@user-pz8vz2tq2u
6 ай бұрын
Nibora Maisha ya uhalisia kuliko Maisha ya maigizo
Tumpongeze tuu kwakua mkweli ila atafute pesa that not life kwa level yake😊😊 msimfariji msela angu
@zaunamoody7311
6 ай бұрын
Mbona yupo safi tu chumba kimekamilika kabisa kujenga majaariwa
@user-fi9ty6yi2n
2 ай бұрын
Utajuaje yawezekana akawa anajenga ila hataki show off usione mtu anaishi maisha ya kawaida ila anamalengo yake hataki fake life
Haya sasa ndio maisha yetu haliso , big op BAGA
Yea safi Sana..nmependa ajui kufake lyf🥰🥰
Eagleee❤❤❤❤nampenda he is real man
Nimependa sana unavoishi uhalisia ila sema mshikaji kama anakuchora vile sjapenda interview yake hadi mahotpot anafunua kwani kwaambiwa we mama ntilie aache ivo
Saleh classic nakuona mbali sana emiguy mnyama hapa
Big up sn Bruuh👊nimepend uhalisia wako wa maisha yn👌
Mwanangu mtangaji unachunguza sana duh adi kwenye hotpot
goood presenter.namuona mbali sana...!
Hongera Sana Kiukweli anaitaji tuzo
Ndo maisha yetu baga mteme unyama sana mwamba life style fln hivi amazing
@user-hp3bx8ih4y
6 ай бұрын
Baga hana tofauti na mr..blue wapo wazi xana kifupi nimembenda xana iyo show
@Rangoboytz2023
6 ай бұрын
@@user-hp3bx8ih4y safi sana blood wapi hiyo ww
Nimependa sana kbx kaka yangu 🇧🇮🇴🇲❤❤❤
Hongera sana kaka kwa kutoa video ya maisha yako
Nampendaga sana bagga❤️
I appreciate it bro ❤❤✊🏻💎
Hongera sana Baga Mungu akuongeze ufike mbali
Nimependa hii he is true guy no fake
Mwamba Nimempenda Yaani 😂😂😂😂😂😂 Sisi Wanawake Tunapenda Mwanaume Mkweli Sio Muongo Muongo 😜🙈😎❣️🙏
@mohdloushmoney9994
10 ай бұрын
Mmmhh ahhhh wapi
@HassanHassan-sr3fq
9 ай бұрын
njoo kwangu
@ywydhhd7941
8 ай бұрын
sio kweli wanawake wanapend a mwanaume muongo
@user-ps5yv4nr9l
2 ай бұрын
Nyie hamujawahi kueleweka mukiambiwa ukweli Inakua uongo mukiongopewa ndo ukweli so nyie bado hatuja jua munatakaje Hadi sasa
Baga nakupendaga sana kama hujaoa mi nipo tayari ila nina mtoto nitaishi na wewe kwa shida na raha kabisa nakuhakikishia sina uzuri ule ila tabia yangu itajieleza wala sijimwambafai ukweli ndo huo nakupenda sana baga wangu ❤❤❤❤❤
@salamarashidi3262
10 ай бұрын
Hahahaaaaa ungemjuaa
@agnesjohn9382
10 ай бұрын
@@salamarashidi3262 yukoje jamani
@surajatul732
10 ай бұрын
@@salamarashidi3262😂😂😂😂😂
@MbarakaHaji
10 ай бұрын
wewe una mpenda banga ila na mm nakupenda ww
@agnesjohn9382
10 ай бұрын
@@MbarakaHaji 😂😂
Woow baga maisha simple uhalisia kbs
Ni mwanaume smart ❤👊🏾
Sijakosea kumpendaga huyu kaka kumbe yupo real sana jmn🥰
@Omosak
10 ай бұрын
Me too
@kareemabdullah4395
6 ай бұрын
@@Omosak😂
Nmeilewa maisha ya huyu guy yako poa sana
Ila Bagga umenenepa 'Mashaallah
Baga mwanangu San hajivung na maish kam wasanii wengn kufek so anaish na uhalisia wakwanz likes zanguuu
Nimepnda sana maisha ya baga ❤❤❤
Huyu jamaa anajielewa namkubali sana
haya maisha ukiwa na roho nzuri utakuwa maskini ,baga anaroho nzur sana anaonekana ndio maana yuko hvyo,
Nampenda huy kaka yup vizur
Nimeipenda hii kbx Good life no kufeki life yan
Nice one baga
Daaa sema bagg umetisha sn mwanangu 😂
Mungu atakusaidia utafika mbali utafanikiwa tu
Ila hakunji kabisaa nguo duh!!!
Amazing ❤❤❤ he life🎉🎉
Salute brother
❤nampenda sana huyu bro😊
We jamaa unaenda kwa watu Sana na kwako pia utuonyeshe
Yan nmempenda sana huyo kaka jic alipo ajivungi
Mimi sipendi anavowakagua.Maisha ya mtu hayahusiani na umaarufu anaokuwanao. Minaona kama mtangazaji mshamba tu. From 🇨🇦
mpunguze hyo background sound mbwa nyie
Hongera sana
Huyu muhuni namkubaligi Sana anaishi live yani
Safi sana maisha mazur Sana hy
😂😂et shoga angu halaf baga bhna but all in all i like it huyu anaishi uhalisia kabsa ni maisha ya kawaida maana kuna wengne wanafek kabsa ila huyu anaish mulemule haina haja ya kujikweza yaan saf kabsa
😂😂😂😂😂nampenda huyu mie😅😅😅
Mm nimependa san hyu boy yaan anaishi tuuh maisha yake walai nimependa san
Baga umekuwa mkubwa sana Maashaallah
Nimempenda ghafla baga jmn hajasita kuonyesha uhalisia wa maisha anayoishi na tabia zake
Nampenda sana uyu kaka
Oya sounds zenu jalibuni kuweka sawa
Home kwetu Maa Sha Allah
Saleh vitonge kama wakike😂😂😂
Twakupenda burger. ❤❤Unaupigamwingi
@kennethedgar923
10 ай бұрын
😂😂😂dah eti burger 🍔😂😂😂😅
Sauti ya mziki upo juu zaidi kuliko show
Umetisha San kak
Sasa Hiyo mic ulibeba ya kazi gani?
Ww kwel eagle 🦅🦅 unawazoom washamba wengine
Nakukubali sana baga miaka kibao dah afu haunaga makuu home boy afu muhuni ile kinoma an ukitoa kitale kuigiza muhuni na katili hua ntakuweka wewe
Haya maisha mazuru sana
Msera noma sana🔥🔥🔥
Kuna aliyepita hko nmemuona, chukua namba uniletee we SALEHE 😁😁😁😁
😂😂😂baga NOMA SANA
Safi kabisa
Mtangazaji unatamaa Sanaa
Mtangaz mmbea san umekosa kaz
Sijui nawaza nini ila Kuna kitu nawaza afu akielezeki ila mmmmh nawaza aina ya maisha haya
Super🤞
Kaoneshe na geto lako kaka
Me kwangu sipendi watu wa hivo acha mwenye geto akuoneshe sio wapekenyua kila Kona kaa mwako kenge weeee😅😅😅
Sound iko Poa ila kwenye lighting Yaani mataa yangekuwepo hiki kipindi kingependeza zaidi aiseiii hongereni sana ila ushauri wangu kwenu wekezeni kwenye lighting ili video iwe na quality nzuri
Nakubali
Mama anakuambia baga anafwata totozzz😂😂😂
Kitambo kwenye game Baga nakubal I huoo ndio uhalisia sio wengine wanaect dadekiii😮😮😮😮
Mungu hamsadiy jaman
Mchiziii anaishi gudii life ssa anaisha yke na anaishi vzur mtaaan ajivuungii
Hyo ndio hip-hop og sas
Nice
sio kwa vitonge hivyo mwaangalie mwenzio baga
Mbona hmuedii kwa mastar wakubwa nyiyee 😊
Huyu kaka noma anajuwa kuigiza kama mhuni na anakpaji pia
Fresh
Swaleh ni mmbeya😂😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏