INALIZA: Aliyehukumiwa MAISHA na KUKAA GEREZANI miaka 43, Atoa Siri Nzito toka Gerezani
INALIZA: Aliyehukumiwa MAISHA na KUKAA GEREZANI miaka 43, Atoa Siri Nzito toka Gerezani
Subscribe / uwazi1
Anaitwa Mzee Raphael, mmoja kati ya waliokuwa wafungwa na wakaachiwa huru hivi karibuni siku ya sherehe za kuadhimisha miaka 56 ya uhuru wa Tanzania bara, ambapo siku hiyo Rais Magufuli alitoa msamaha kwa baadhi ya wafungwa.
Mzee Raphael alikamatwa mwaka 1974 kwa kosa la kuhusishwa na Mauaji, yeye pamoja na Wenzake wanne kisha kuhukumiwa kunyongwa mwaka 1978.
Akiongea kwa masikitiko makubwa huku akihuzunishwa na kifo cha wake zake wawili pamoja na watoto wake kadhaa, hata hivyo amebakiwa na Mke wake wa kwanza pamoja na watoto wake wanne, akiwemo Mwanae wa kwanza Bi Rose Mary ambaye ni Mwenyekiti wa UWT, CCM Njombe, huku Cosmas akiwa ni Mwanajeshi pamoja na mwanaye Daudi ambaye ni Mchungaji.
Fuatilia mkasa huu wa kusisimua mwanzo hadi mwisho.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 1 200
Kama polisi ni sawa na mbwa gonga like
tangu nijue maisha sijawai kuona polisi aliestaafu akaishi maisha mazuri na yaamani... nilikuwa sijui sababu kumbe nilaana na matendo yao maovu ndio yanayowahukumu...sasa jamani kwanini mfanye haya... embu badilikeni duniani muhukumiwe bado na ahera inawasubili... duuu Magufuri bado naona kazi kubwa mbele yako... ila naamini Kama Mungu alituumba sote kipi kitamshinda..? pole mzee Pole Sana
@queenbrytn3627
6 жыл бұрын
wamerahaniwa kipindi cha yesu askal wanaishi kwa rahana😭😭
@callistmrema8331
5 жыл бұрын
Selin Charles
@kassimnandala5136
5 жыл бұрын
@@queenbrytn3627 mtwara
@agathashayo6210
4 жыл бұрын
Uwasamehe tu kwani utapata mema zaidi
@blandinamwarabu5025
4 жыл бұрын
Kweli
Maisha yake yameishia gerezani masikini pole sana mzee wetu Mungu atakulipia,watu kama hawa wako wengi magerezani wanateseka bila kuwa na hatia. Naelewa mzee anajisikiaje. Pole mzee
@mtosimbakwamzungu7703
6 жыл бұрын
🚶
@sarahgaula2220
6 жыл бұрын
True
@jumakiparis2267
6 жыл бұрын
Pole sana Mzee mbona hio mpaka Leo majambazi wakipora police wanapewa posho halafu wanaingia mitaani kukamata watu kuua soo na hata hutasikia waziri wa mambo ya ndani kwema magerezani kukutana na wafungwa kupata maelezo lao sema hivi sasa watatia akili
@asteriambwei95
5 жыл бұрын
Usikubali mtoto wako akasome chuo cha upolisi kwanza hatakaa amwone mungu pia hawana msaada ukipata shida ndo wanafurahi wapate pesa yaani pesa kwao ndo muhimu haki kwao hamna hayo machozi baba hayatakuwa ya bure yatakuwa juu yao mungu anawaona
@tumainijoseph6356
5 жыл бұрын
ashukuriwe mungu
Mzeee umeninilizaa sanaaa nimeumiaa mungu kufanyie wepesi katika afya yko na maisha yako mungu yuu pamoja nawe nimeumia sanaaa malipo ni hapa hapa duniani shukrani za dhati zimfikie mh:pombe Jonh magufuri azidi kuwa na moyo huo huo nimeumizwa sanaaaa👏👏Ahsante muheshimiwaaa
@eliasenyapallangyo6423
6 жыл бұрын
nimelia
@sabunitv2121
6 жыл бұрын
dah dia acha tu
Kama una amini police ni kazi ya laana gonga like hapa mbn sioni jamaniiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@bernadethamsaki2921
5 жыл бұрын
Co laana ila walioajiriwa ndo wana laana! Ni kazi kama kazi nyingine
@shafiimarandu6971
5 жыл бұрын
Denis Clay kwel
@basilisamsaka1221
5 жыл бұрын
Kweli kabisa kz ya police nilaana,na wamelaaniwa,wanasingizia watu sana
@bahatirobi6262
5 жыл бұрын
Denis Clay niwalaaniwa hata sijui kwa mungu watajitetea vipi
@rahimaaaaa8699
5 жыл бұрын
Polisi wana laana ndio maana ni maskini wa KUTUPWA.
kwa kweli raïs Makufuli Mungu amujaliye yeye na familiya yake waishi maisha marefu kwa jambo kubwa alilotenda sababu ma raïs wengine wanajuwa kuhuwa na kuachanisha jamihi ndugu Raphaël shimama kwenye zamu ya kaziya Mungu .
@ameldamaungo1131
6 жыл бұрын
pole sana mzee wangu nimelia sana
@saumukhamiskajembe5457
6 жыл бұрын
RAPHAEL NGONGO pole sana Allah akutangulie ktk maisha yakoo
@elisantelazaro3310
6 жыл бұрын
RAPHAEL NGONGO and
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Amin
Mh jamani acheni Mungu aitwe Mungu ! Huyu baba yetu kaniliza sana! Asante Magufuri kwa ukombozi huu! Hakika Mungu azidi kukuimalisha katika kutafutia haki wanyonge! Mungu mpe maisha marefu huyu mzee
Pole sana mzee Allah atakulipia ata mm machoz yananitoka iyo ndio Tanzania kila kitu chafanywa uenyeji uwenyeji tu
POLISI WOTE PITENI HAPA MTAJIFUNZA KITU.JAMAANI NISAIDIENI KUWAITA POLISI.
@selincharles3383
6 жыл бұрын
mmoja tu nihuyo mwanae sidhani Kama yaliyomkuta baba ake anaweza mfanyia mtu mwingine
@siwemaseleman7091
6 жыл бұрын
pole sana baba malipo ni hapahapa duniani umeteseka sana
@nikolymo9315
5 жыл бұрын
Munngu in mweza ya yote
@janethotieno1281
5 жыл бұрын
police piteni hapa mjifunze
@kingmazengo3643
5 жыл бұрын
Wajewajeeeeee
Pole sana mzee wangu ndo Tanzania yetu ilivyo hadi leo kuna kesi nyingi sana za kusingizia huku wakiachwa watenda maouvu machozi yako yatawalilia
@helenelikana8301
6 жыл бұрын
ipo cku tutaonana kwa baba yetu
@manganamanganamanganamanga7313
5 жыл бұрын
pole sana
@gsmtzinfogsm8601
5 жыл бұрын
Hiyo laana itawarudia
@emyrichard2152
5 жыл бұрын
Wavivu wa kupeleleza sana,ndio maana wanakamata watu waio na atia.
@liliankipaya110
4 жыл бұрын
reddy julius
Mimi nimemaliza form four nikaambiwa nijiunge najeshi la polisi kitu ambacho niliona siyo sawa kuliko nichague kazi ya upolisi bora nikachunge ng'ombe!!!! Jela wenye makosa siyo wengi!!!! Kama huw Kubali hawa jama zetu (polisi)gonga like
@patrickplatnumz4765
5 жыл бұрын
Wited Steward , nilichaguliwa pia baada ya kumaliza form four. Sikwenda wala sijutii
@helenjonsob5718
5 жыл бұрын
Wited Steward kwa kweli
@omanimujsa9756
4 жыл бұрын
Nimelia jamani eeeemungu magufuli msimamie azid kua kiongoz wetu bora yarabiy muweke rais wetu wallah nimelia sana
kwakweli nimetokwa na machozi, japo siyo mtanzania lakini Kama binaadamu nimeguswa. Allah atakulipa.from 🇲🇿
@dianadeus1308
5 жыл бұрын
Pole sana jaman
@jumabaraka1212
4 жыл бұрын
Daaah yaaan na hii nyimbo inaleta huzuni zaidi
Miaka 43, nimelia na huyu Mzee, kichwa kinaniuma. Mungu atunusuru
pole sana mchungaji wangu mlyuka ukiwa makambako tulikukubali mungu amesikia maombi yako
@beautysimukonda4863
5 жыл бұрын
poe sana
jambo kwa jamihi zote kwa kweli Mungu amemutowa ndugu Raphaël kwenye mavumbi kamuinuwa zaidi ya utajiri ushuhuda huyo wanipa tumaini kubwa mbele za Mungu mimi piya ni Raphaël nikiwa Congo jina hila la Raphaël limetimizwa kama lililo maanayake yani Mungu mponaji na ndiye aliyemuokowa amen .
Huyu mzee kweli alikuwa anajishughulisha miaka 34 nyumba 2 Vijana wa sasa miaka 35 anavaa supra hajui kodi hata ya chumba
@patrickplatnumz4765
5 жыл бұрын
ommie马瑞 , very true
@shuushuushuu2413
5 жыл бұрын
Kwel kabisa
@kokufelix2186
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@APILET
4 жыл бұрын
@@kokufelix2186 koku Felix duh
@mwajeynzitto2367
4 жыл бұрын
Ndo mana walimfanyia fitna jaman ila kila jambo tumshukuru mungu tuu
Masikini pole sana baba miaka 43 jela, kuna watu wengi wamefungwa kwa kesi za kubambikiwa police wana husika kwa kesi hizo hao walio toa ushahidi wa uwongo mungu awalaani mpaka kufa kwao .
Chozi LA mwenye haki halitaenda bure
Pole sana Mzee ashukuriwe Mungu aliyekuweka mzima hadi unaiona tena familia yako. Muombe Mungu akuondolee uchungu kuhusu uonevu uliotendewa ili usije ukakuumiza na kukuletea madhara. Kuna maisha baada ya yote yaliotokea Yesu ni mfariji.
Pole mzee inauma sana mtu anafungwa bila hatia
@jamilasaidi1020
3 жыл бұрын
Inaumaxan pole sana police sio watu kabisa
Dah! aisee inasikitisha sana. kuanzia sasa mimi kama wakili nikipewa jalada la kesi ya mauaji nitalifanya bure kabisaa kuwatetea watuhumiwa. Haiwezekani tukaacha hali hii iwe inaendelea kutokea mahakamani
@georgewilliam7657
6 жыл бұрын
Nakujua Wakili Augustus Fungo. Katika hilo Mungu akusimamie. Barikiwa sana. Nimesikiliza kilichozungumzwa na nikabaki mdomo wazi
@ghalibujamali3392
5 жыл бұрын
Mungu akubaliki wakili
@nancesebastian3464
5 жыл бұрын
Augustus Fungo asante na mungu atasimama pamoja na ww
@clemencehaule917
5 жыл бұрын
polen wazee wangu!
@zalkiabendera7238
3 жыл бұрын
Mungu wangu
Dr.John Pombe Magufuli Mungu ndie atakae kulipa kwa wema na huruma yako akujaalie hapa Dunian na kesho Akhera
Pengine police wenyewe walishakufa mamaaaaee, siyo kila kifo mnahuzunika watanzania wengine walitenda mambo mabaya wanalipia.
@anyelwisyemwakasungula7419
29 күн бұрын
Na sio kila stori mnaiamini Watz kueni stebo kwenye akili ivi mahakama zote zimuonee, Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa zisimtoe, majaji sio wajinga kama mnavyozania
Pole sana mzee mlyuka mi ni mgum Sana kutoa machozi lakini ktk Hilo nimejikuta machozi machozi mwee 🇹🇿 JPM MUNGU akuongezee siku za maisha YAKO!!
JELA NIMEKAA ZAIDI KULIKO NJE...Daah Mungu wangu
@lovefranco1884
4 жыл бұрын
Imeniumiza sana iyo kauli maskn dah
@lucianisaay9752
3 жыл бұрын
Duuuuuuh pole sanaaa
Nimeshindwa kujizuwia, hakika nimeumia, nimelia sana! Japo tunasema kuwa Mh Rais yupo kisiasa zaidi ya kujitengenezea mazingira mazur ya hapo baadae, (kila mtu anafikiria kutokana na utashi wa upeo wake). Lkn kwa hili basi amefanya uungwana wa ajabu sana na namuomba Allah amjaalie sikumoja apate kuona nuru ya uislamu na afe haliyakuwa yupo katika Qalma ya laailaaha ilallaah Muhammad rasuulullaah! Kwasababu sisi tote n wa M/mungu, anatupenda sawasawa kabisa
@zaifathussein8195
6 жыл бұрын
Dully Mtanzania Amina inshaallah
Hili jambo lisizikwe vivi-hivi, wizara husika ni lazima zifuatilie na mzee alipwe ridhaa na biashara zake, nguvu zake na mateso ya kihisia aliyopitia mzee huyu na yeyote aliyepitia dhulma za kusindikizwa. Imenivunja moyo sana. Udhalimu ulinuiwa mzee aozee jela milele, wapo wengi. Haki daima itaolea! Pole Mzee Raphael!
Mungu atalipa hapa hapa
Hio machozi mwenyezi Mungu atalipisha.pole baba😢😢😢
Dah mzee kaniliza huyu acha mungu aitwe mungu
Chozi ramnyonge ulipwa na mungu Inshaallah muachie mungu inaniuma kama baba yangu mzazi jmn inauma duuuh😢😢😢
@halimasaid4977
3 жыл бұрын
Sana inauma
Natumai IGP Sirro pamoja na askari wake waniatazama hii video. Mwenyezi Mungu yupo.
Baba yngu Had machoz yananitok ila mungu yiko na atakufut machoz nyamaz Baba yngu 😭😭😭😭
Pole babaa Ndio Dunia naa aminn mtuu hafii ila kwa zakee na MUNGU NI MUNGU Atabakii kuwa MUNGU sio ww baba wengii wapo jela bila kesii nii kusingiziwa tuu
@johnbeda7620
6 жыл бұрын
it painful alot mungu bado amakusudi na wewe mzee wetu
@khadijaabdully6284
6 жыл бұрын
inatia uchungu kwakweli,machoz yamenitoka kwa huruma,pole sanna baba angu,mungu yu mwema,na shukran mh magufuli,m/mungu akuweke
@lissamsalu2179
6 жыл бұрын
Pole sana famille hiyo
Cosmas namfahamu vyema Miaka tuliyosoma Makongo Sec !! Ni Soldier mwenye Maadili Mazuri na Wanafunzi wengi tulielimika kwa Nasaa Zake!!! Pole Mwl na Hongera kwa Kumuona Baba kwa Umri huo!!! Mungu amzidi kumuongezea Baba Umri na Afya njema!! Hongera familia nzima, na Hongera Mchungaji
@kadoaugust6497
2 жыл бұрын
Nadhani hata waliomfanyia hivyo watakuwa hawapo hai.
Daaa pole sana mzee mungu amesikia kilio chako
@mrsrumondo8740
5 жыл бұрын
Jamani magufuri ndio raisi anahangaria matatizo ya wananchi wake kira kona anapita mungu akubariki sana tena sana razima tukupe kura iri uongozi jahazi kwa Mara engine ccm oyeeeeeeeeeeeeee
Mmmmh! Ni mtoto wa kiume lkn nimeshindwa kujizuia nmelia sana aisee!!
@bettymsongole2254
6 жыл бұрын
gerrald Bukelebe pore baba yangu
@swaumuramadhan1832
6 жыл бұрын
Pole sna baba
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
daaaa
@mussajuma2847
5 жыл бұрын
Betty Msongole kweli
@zawadiommary8593
4 жыл бұрын
pole sana mzee machoz yako uliyo yamwaga kwauchung hakika watayalipa mungu ndomtoa hukum yamwisho pole san mzee
Huwo ni ukweli mimi nimeishi Tanzania kambini Mutabila Polisi wa Tanzania walikuwa na wivu kwa wakimbizi matajiri
@joekap604
6 жыл бұрын
Africa , binadamu wanaishi na mashetani katika mazingira ya pamoja , watu hawajulikani na wala mashetani hawajulikani , cha kusikitisha ni kwamba baadhi ya watu wameowa na kuzaa na mashetani
@MamaMirakel
6 жыл бұрын
+Jozee Kap inafikirisha sana ulichosema! Mungu atusaidie
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
kweli
@zefaniacharles8627
5 жыл бұрын
Z.C nikweri
@fatmarashid2384
5 жыл бұрын
@@joekap604 Hata uko ulipo mashetani wapo nahata ww shetani mmoja wapo
Huyu Baba ana uchungu sana sana,Mungu amtiye nguvu sana,ampe umri mrefu wa kuishi.
Woiye soo sad. Poleni sana kwa familia ya mzee Raphael kwa ujumla na pongezi pia..i think they all need counselling especially the old man. He is still in a tough place 4 sure. Am grateful too for what ur president did. Btw big ups to the beautiful presenter mwenye sauti nyororo pia 😍😎
Pole sana baba Mungu atakulipishia. ...Kwa kweli nimelia😭😭 am so sorry
Wakowapi majaji na mawakili waliowafunga wazee hawa? Tujifunze kutenda haki coz nothing last forever
@ommietrendz7175
6 жыл бұрын
Fred Mathube jr tafuta hela wewe huyu mzee kaingia jela Na miaka 34 ana nyumba 2 Na watoto 10 maeeeee we laza duduuuuu tu
@fredmathubejr3547
6 жыл бұрын
Hhhhhh umevurugwa
@denarddavid9202
6 жыл бұрын
Fred Mathube jr Na HAO maaskari waliosingizia kesi bado WAPO. Mamlaka zichunguze
@romanachao245
5 жыл бұрын
Ata yaeza kuwa walifariki na magonjwa,maajali ila mzee yuko hai na salama.Mungu akulinde sana Baba mpe Mungu Marsha yako zaidi ulivyo Tumika jela
@petersolomon2979
5 жыл бұрын
Wengi wao walishakufa
Ee Mungu jidhihirishe katika maisha ya huyu Mzee jionyeshe mwongezee miaka mbariki katika uzee wake mpe tumaini tena....Amen Amen
Nchi nyingine polisi ni watumishi wa serikali wanaokimbiliwa na raia na wananchi wengine lakini siyo Tanzania. Nilichofanyiwa na polisi niliyemsaidia kunusuru maisha halafu akanipora. Ninamuachia Mwenyezi Mungu.
pole sana mzee kwa yaliyokkuta mungu atakusaidia maisha yako ysmeishia gerezani .
Tanzania haki iko wapi? Acheni ubinafsi mahkama tendeni haki kwa so wafungwa bure.
Askari mungu anawaona, askari kazi ya laana sana, aiseee pole baba
mungu ni mwema ,,,na atakupa nguvu,,
Bidii yako yaeza kupeleka pabaya duniani humu.pole sana mzee..loooo
Kumbe wakati mwingine watu wanaotaka JPM atawale maisha wanakuwa na sababu za msingi tusiwabeze. Ila sheria zipo.
Inshallah you will get your justice Soon,magufuli ni Rais wa wanyonge
@salmabanga8962
4 жыл бұрын
Duuu kumbe kuna watu wanafungwa bila hatia polee baba
God bless your family, mzee wetu Raphael
Mi mpaka tumbo limeanza kuniuma. Dah!! Mungu anakupenda Baba
inasikitisha machozi yananitoka wallah 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@luckyestomih4774
4 жыл бұрын
Naylah Khamis 😢😢😢😢😢
Inasikitisha mno kwakweli Mungu ni Mwema anamakusudi na maisha yetu kwanza kutupatiaMagufuli kila jama linamaana yake,Mungu so kiziwii wala sio kipofu,Asante sana Baba
Pole mzee Mungu analipa?Sahau yote na uamini Mungu anawezaa
Daaaah!! Imeniliza sana. Pole sn Mzee wangu
@luckyestomih4774
4 жыл бұрын
Mungu amtangulie jaman
Asante Mungu kwa wema wako,asante JPM kwa huruma uliyowatendea wafungwa wote ulio wasaheme 09/12/2017.
Unamshukuruh Allaah thummaah makufuli...Mwenyezimngu Atawalipaaa. Alokudhulluh ...
Too much emotional I can't stop crying 😭😭😭😭😭😭 guys God is faithful and peaceful guys 😭😭😭😭😭😭😭😭 labda Mungu alipenda kuwapitisha kwa hau ile uwe ushuhunda kwa wengine hata mimi pia
Pole sana ndugu yangu kwa mkasa huo
nmeumia xana baba yaani c kila mfungwaana koxa mungu akutie nguv ad mzee ka huy anatoa choz hao police walaaniw na wote waliokufanyia ivoooo! mtalipwa kwa mlichotend nmeumia sanaaa
@selincharles3383
6 жыл бұрын
Diana sidhani Kama yupo hata mmoja.... wameenda na roho zao mbaya
@africanhappyadventure6951
6 жыл бұрын
Duuuuu...! Huko jela wapo Wengi sana wenye kesi za kusingiziwaaaaa.. Sema ndio ivyoo na nadhani ndio maana Raisi alifanya uchunguzi kuhusu hizo kesi akagundua Zina utata ndio maana wakatokaa
@zalhahamadi9862
6 жыл бұрын
pole Ba mkwe ndo mambo
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
nikweli
Great job Mr President Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu yenye furaha big respect from Kenya
Hadi kesi imeniliza sana tokea mwanzo mpaka mwisho kusikia matatizo waliopitia family hii. Mtu afungwe muda wote huo kwa dhulma Pole sana Baba mzee, Mungu akupe umri mrefu Na mafanikio mema katika maisha yako.
Daaaaaaaa mzeee Amelia kwa uchungu sana
@zamanineema3057
4 жыл бұрын
Kabisaaaaa filahun hawao Mungu atawalipaa kwa choz la mzee huyu
pole baba mungu ndio mtetez wetu hapa duniani watu wajiona wakubwa kuliko mungu.lakn hak haipotei mungu akusaidie sana
@johnjoseph4832
5 жыл бұрын
Pole sanaaa bb yetu mungu ni Muaminifu
So sad, May the Mighty Lord God give him strength,
Nmeumia mnoo m spendii kuona ihhh halii jamanii naumiaga mnoo . m spend kuona MTU anaonewa jamani hata kipind nasoma mwalimu alikuwa akimchapa mwanafunz bila kosa nilikua naumia sana
@gracerichard7111
6 жыл бұрын
imenisikitisha mno polen sana nahongelen sana
😔😔😭😭😭Police wakitanzania wanaonea watu sana wana jifanya iti wanafanya upeleji ila marekani police hawakuwagi hivo police kinacho tumika ni camera na sterite sio mambo ya kuzushiana kwanza ukisema mwenzoka afanya aje ww ndo unakamatwa
@saidaali9379
6 жыл бұрын
Dirock Gerard all europe hata kama polisi kasema jaji anamuuliza polisi unaushahidi lakini tz polisi akisema basii umeenda
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Hakuna sehemu pasipo na uonevu nyinyi, huko Amerika sijui sheria zao, lkn London polisi hawafatilii haswa au hawafatilii sana, hasa kesi za kinyonge ndio kabisa, mnavyojidanganya tu. Baadae ukifika mahakamani kuna guilty na not guilty, yanaelezwa mashitaka na mashahidi wanakuja kutoa ushahidi km mtu anakuchukia umeumia, na sisi watanzania wengi sana tukiwa nje hua hatupendani, na polisi na hao majaji wengi wao ni wabaguzi. Sasa unaulizwa guilty au not guilty? Na hua na wale wanaoitwa jury kwenye mahakama ambao wao mwisho wa case ndio wanaoamua km guily au not guilty pia. Sasa km huna pesa mnyonge unapewa lawyer wa serikali, na huyo lawyer wa kukutetea weye wa serikali aliyelipwa na serikali unahisi ana upendo au huruma na ww? Na ww ni mgeni? Na wengi wanachukia wageni? haswa na uwe muisilam. Kinachokua unashauriwa na huyo lawyer ukikubali mapema "Guilty" utapewa kifungo kidogo lkn ukikataa "not guilty" hadi mwisho jury wakisema guilty utapewa kifungo kikubwa mfano uliohai kesi ya madawa ya kulevya ukikubali mapema unapewa kifungo cha miaka 2, ukikataa wakikubali jury utakoma! kuna mtu namjua mm kafungwa miaka 17 hakukubali. Sasa ww unajua hakika hujafanya kile kitu lkn pengine mwenzio ametoa ushahidi wa uongo au ameku frame, namaana amekutilia yale madawa kukukamatisha. Na unaona kesi inaanza kukukalia vibaya utarisk kweli? Utaona haya nikubali Mungu atanilipia, ukikubali unapata kifungo kidogo, yanaisha. Unakuta kesi za London wanaokubali wengi hua hawajatenda lile kosa lkn wanakhofia kukaa mda mrefu gerezani bila hatia yeyote.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Kumlipa lawyer ulaya hasa london nighali sana, haswa kwa kosa ambalo mtu hujafanya. Halafu wale wanaoeka lawyer wao wenyewe wenye pesa ndio afadhali kidogo hupata kung'ang'anua, na matajiri na wenye vyao hata wakikosa hawafungwi, Ma lawyer wanazipanga kesi vzuri sana na wala hawakubali hadi mwisho wa kesi km kaua ataambiwa hakukusudia na kupewa kifungo kidogo au atapelekwa kwa psychiatric bac.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Dirock Gerard, kwani hujapata kuona watu wanaua, na mashahidi wanakuepo hapo ktk tukio "live" na mahakamani wanasema "not guilty"? Na wengine wanaachwa huru kabisa. Duniani popote hakuna haki wanaohukumu, wanaofanya uchunguzi na hao mashahidi wote wanaudhaifu. Haki ipo akhera anaehukumu ndie aliekuumba, hana mapungufu na viungo vyako ndivyo vitakavyotoa ushahidi sio mwengine.
@dirocksilikari1888
6 жыл бұрын
Love Mummy ichi yetu United States hapa kila kona lazima ukute camera sasa hizi kesi za kusingiziana huku kwetu sinyingi police uwa mfano brack people wapigana risasi ww ujitokeze useme uliona eti furani naww unaigia kwenye ma tatizo juu hapa marekani sisi Akuna mtu anae toka inje hovyo hata usikie kuna mtu umepigwa shaba ni kosa kutoka juu hapa 90% kila mtu anakuwa anagari yake ukitoka inje unaingia ndani ya gari so Tanzania nimekuria uko tena nilikuwa na lafiki wengi waki police hata Mimi kuna wakati walikuwa wananigeukia ila bwana Mungu atuhurumie sana juu hao asikari wanapenda rushwa ila ichi ambazo nimeenderea kama marekani sisi uku Akuna rushwa kabisa yani ujichanganye uti una mpa asikari rushwa kama utafungiwa wapi sjuwi kweli
Hivi huyu Rais Maguli mbona alicheleweshewa urais ?Ulikuwa wp Baba? Naomba Mungu akutunze akulinde, nimelia sana kwani najua kunawengine wengi kama huyu Mzee anayetoa machozi, hakika machozi haya yataotesha kitu kwa waliofanya hiv.
@omanimujsa9756
4 жыл бұрын
Mimelia jamani
Daaah nimeumia Sana polen Sana Mungu ashukuriwe
Siwakati wa kumuhukumu uyu mzee angekua ameusika asingelia ukiona mtu mzima analia ivo anaonekana alizurumiwa aki yake lakini mungu ndie hakimu wa mwisho.kaona ana kosa kamtoa . Nijambi lakushukulu mungu.daima
@julianakavishe1731
6 жыл бұрын
Pole sna baba Mungu Mshukuru sna Mungu kwa yote na Mwombe akupe maisha marefu zaidi
@sadikisadiki7465
6 жыл бұрын
Atukuzwe mungu daima
@zurekhanabdulkadir5633
6 жыл бұрын
Atukuzwe mungu daima arise and shine nikwel
@cecyhenry760
6 жыл бұрын
Atukuzwe mungu daima arise a nd shine
@deewallance9354
6 жыл бұрын
Atukuzwe mungu daima arise and shine amen Amen,
😭😭😭😭 Duh! inauma sana
Wahenga hunena " uongo Wa Askari si ukweli Wa raia" ndio yalomkuta huyu bwana. Pole sana baba.
Daaah jela miaka 43 Nje ya jela miaka 34 duuuuuh Mungu mkubwa sana......Watoto washaolewa hata wake walishaolewa cjui
@curringstonnipafernandez6772
4 жыл бұрын
Inasikitisha sana daaah
Machoz yako hayataenda bure baba maana mapolis wa tz ndo walivyo sasa sijui wanaiendesha vip nchi
@oyay2821
6 жыл бұрын
Mzee ni jambazi. Yaani hata huyo hakimu alikuwa hasikizi ushahidi?
@sheikhawashoto8717
6 жыл бұрын
Rukia Abdallah nmependa manen yko
@johnpeter5111
6 жыл бұрын
pore sana
@elishatimoth3333
6 жыл бұрын
Rukia Abdallah ç wote wengine niwaaminifu
@elviramboje2491
6 жыл бұрын
yaan hata mapolis sjui yakoje,,,Mungu anayaona
Daa inauma sana mungu akujaalie afya tele ishaallah.
@raisonmwazembe7002
4 жыл бұрын
Ee yesu nisaidie,nifikesalama yote ya duniani pore_baba,mungu in mungutu
Msijali jamani tunae Rais anae jitambua .Makufuli yote yanakwenda kufunguliwa. Mungu mtunze Rais wetu kila mtu amfurahie jamania
@bahatipeter4704
4 жыл бұрын
Blessed
Mzee aache kuishi jana itamuuma sana. Mungu atamrejeshea miaka yake iliyopotea. Asamehe tu yote yaliyomtokea. Pole sana baba.
Dada unasifa yakuitwa mtangazaji
Huyu Mzee lazima ashtaki Serikali ya Tanzania hasa Polisi. Lazima atafutiwa Lawyer mzuri na haki yake ya miaka 44 amepotezewa bure. Serikali amlipe 10 Million Dollar kwa huyu mzee
Pole sana mjomba wangu ulienda jela bila makosa na wewe ndiwe ulikuwa msaada mkubwa kwa wadogo zako akiwepo mama Yangu Nilifurah sana niliposikia kwa vyombo vya habari Mungu akutangulie katika hatua hii mpya tena uraiani
Yaan Machozi yananitoka tu kweli maishani huwa tunapitishwa sana
Mungu utabaki kua MUNGU dah nimelia sana pole sana baba
@luciapeter1345
5 жыл бұрын
Nmebaki Tyu kulike coment Za wenzang mana inaniuma sana jpo na meng ya kuxema but asilmia nying Imesemw na Wenzang Apa nmebaki tyu njiapanda tanzania kuna makafiri hvi?????????
video hii imenitoa machozi..Hakuna kama Mungu
@selinalawrence9173
6 жыл бұрын
nimetoa choz Kama babaangu mzazi Jamani daaaah Kwer siyo Kla anae fungwa jera anakosa
@godwinmsuya6080
6 жыл бұрын
Mzee Raphael, kweli unasikitisha sana, nami nasikitika pamoja nawe lakini Mungu alikuwa na makusudi nawe..huenda hao wabaya wako wangekuua kama unge kaa uraiani, basi mpe Mungu utukufu wake.... najua unalilia umri wako na muda wa maisha yako uliopotea... lakini jina la Mungu nalibarikiwe... Mzee Raphael, pole sana na Mungu akubariki sana sana.....
@elizabethtadeo1922
6 жыл бұрын
pole sana baba angu
@imanikipanga4108
6 жыл бұрын
MZEE WA MADODOSO mungu mwema ipo sku ardhi itapasuka na kutoa ushuhuda
@abdallamwandunga8949
6 жыл бұрын
Pole Sana mzeee
Oh my pole mzee mungu akunjalie na akulundishie chochote shetani amemba
Pole sana. Mimi ni mwalimu nilipewa kusimamia majengo mwenyekiti wakamatii, afisa elimu kata, stoolkeeper, waliungana pamoja wakawa wananiibia simenti nikaweka walinzi wa siri kwa gharama yangu siku wa siku nikafaiiwa kukamata msafilishaji wa simenti walipelekwa police wakati huo nilijifanya kutoka shuleni kuwapa uhuru wa kusafirisha ili niwakamate . Watu wangu wakawakamata hao wezi wakawapeleka huko police chakushangaza niliitwa na mtendaji kata nikafikishiwa ofisini kwenye kachumba nikapewa maelekezo sitakiwi kwenda kutowa maelezo Toyote police badala yake nitowe hela kufuta kesi nisije nikafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi. Wakati huo wezi waliokamatwa na mfuko wa simenti walikili kuiba wakatozwa hela na mapolice nikiwa nimezibitiwa kwenye kaofisi masaa kadhaa nikilazimisha nitowe hela ndiyo niachiwe ikapigwa simu kutoka kwa afisa elimu kata wa kiongea na weo natukanwasana nikakoswa msaada nilichoambulia kuacha Ku endelea kuibiwa tu mfuko hamsini iliibiwa na police hawakunipa hata mfuko kurudisha hakuna msaada wowote kwa police kutoka mle niliacha pesa . Wandugu zangu chonde 2025 tupate rais mtetezi wawanyonge. Ni dhamu ya woga ilisaidia sana sasa hivi utakimbilia wapi rais wa sasa nimteteze wa majizi na waovu jamani mapolice na majizi ni mali yake maveo na maweo ni mali yake kwa nini hayaambii unalinda kazi kwa hela yako nimekamilisha jengo LA serikari.
mungumwema mzee
Mungu atukuzwe kwa hili
@karebodaud2013
6 жыл бұрын
Mungu atakulipia
Kweli nimetoa machozi, familia ilipoanza kula pumba. Mwenyezi Mungu warehemu wote wanaodhulumiwa haki zao
Pole sana mzee Babangu. SHUKURU TU MUNGU KWA HALI YOTE NA YEYE NI MWENYE HAKI AFANYANGI KAMA MTU. NI YEYE AME I NGIA NDANI YA RAIS AKATOA MUSAMA KWA FUNGWA SO ANA SITAILI SIFA NA UTUKU. UMENILIZA MZEE BUT MUNGU NI MKUU. Mukenya Halisi.
hakika mungu atakulipia, inauma sana. lakini hii inaonyesha namana gani watu wengi wamefungwa kwa kuonewa.
@sospetermanyama8294
5 жыл бұрын
Mungu ni mwema .
Pole sana babaa, aki inauma
@sadanasibu1038
5 жыл бұрын
Hayo ndio maisha ya way an zan a wanyonge kwani mpaka sasa uonevu huo bado unaendelea . Tatizo kubwa ni mfimo wa elimu ya uraia lakini IPO SIKU HAYA YATAKWISHA japo haijulikani ni link.Binafsi Nina uchungu na hasira kwani Mimi pia ni muathirika wa uonevu huo ambao unaendelezwa kwa makusudi na hawa waliopewa dhima ya kuongoza na kusimamia hali MUNGU mpe maisha marefu na karama ya uongozi mh. JPM raising WA haki WA awamu ya tano Tanzania Aminaa
Pole sana mzee Mungu ndo anajua sababu kuna kitu kakuepusha shukuru kwa kila jambo!
Umeniliza mzeee wangu xanaa. Duh Mungu atakulipa kwa kweli. Na waliokusababishia hayo watapata tabu kwa Mungu. Mungu awaweke mahala pabaya motoni waliokutendea unyama
Jaman polisi Mungu anawaona imeniliza😭😭😭😭
daaah,inasikitisha sana jaman cku ya mateso yangu nan ataniokoa,mungu ata waona pole sana babu
Bwana Yesu kristo Asemehe mapolisi walio usika kwakuku singizia kesi kama ulivyo pia Tuna Mshukuru Mungu wetu kwakua Ame ku kumbuka tanzania kama wata badilika lini hao mapolisi wanaonea watu wenye maisha ya chini sana wajuwe kua hipo siku yao.
Siku ya leo imekuwa yasimanzi, uchungu, huruma na masononeko. Lakini tujiulize, ni nini hii na .... Jehova Mungu wetu .. NAKUSHUKURU MUNGU HATA KATIKA HILI.
Ashukuriwe mungu jwailo pia raisiwetu.ukweli namuombea sana raisi munguamuongeze na ampe ufaamuzaidi kwani wdngi wanaonewa kufungwa mungu akuongoze na aisaidie serekaliyetu ifike maali waukumuwe waliousika na siokusingiziana ukweli inaumasana kufungwa bila kosa polesana baba mungu amejibu maombi.