Ben Pol - BADO KIDOGO (feat. Wyse) (Official Music Video)

Музыка

#BenPol #BadoKidogo #Wyse #SlideDigital
(c)Slide Digital
Listen & Download Ben Pol Music Worldwide
Follow Ben Pol On:
/ iambenpol
/ iambenpol
/ iambenpol
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 834

  • @janethmwema5928
    @janethmwema59286 жыл бұрын

    kama huna kinyongo na benpol gonga like yako

  • @agustinosimonn8771

    @agustinosimonn8771

    4 жыл бұрын

    Akika nimetokea kuikubali Ben pol nice

  • @evodmtena695

    @evodmtena695

    4 жыл бұрын

    I'm appreciate . My brother

  • @princekassim4089
    @princekassim40896 жыл бұрын

    Like hapa Kama ww unamkubari huyu #Jamaa +255🇹🇿

  • @siwalejoseph4704

    @siwalejoseph4704

    5 жыл бұрын

    mmmmmm kali

  • @SimuliziNaSauti
    @SimuliziNaSauti6 жыл бұрын

    Ni muda wa kuonesha tofauti kati ya muimbaji na msanii. Ben wewe ni muimbaji na Mungu amekupa sauti. Asante kwa wimbo huu. Utarudisha matumaini kwa watu wengi waliokata tamaa na maisha kutokana na changamoto zinazowakabili. Hakika, bado kidogo, mambo yatanyooka. Heko Hanscana, kwa kuupa wimbo huu video inayostahili. Mwaka 2018 umeanza kwa kishindo. Nina furaha

  • @fraviusmanyika7521

    @fraviusmanyika7521

    6 жыл бұрын

    SimuliziNaSauti Sijutii kukukubali kaka, #Skywalker unajua #Muimbaji Vs #Msanii

  • @suedissa7500

    @suedissa7500

    6 жыл бұрын

    SimuliziNaSauti true talk a wise words from the mouth of one of the best analyst in this music industry, it will live forever in any circumstances...

  • @bobleeswagger8166

    @bobleeswagger8166

    6 жыл бұрын

    Nimejikuta naangalia na kusikiliza tu nashangaa umeisha. Huu wimbo ni universal kiukweli unagusa wengi Sana kwa namna moja au nyingine

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    6 жыл бұрын

    Well said sns . You say it allllllll kaka

  • @BenPol

    @BenPol

    6 жыл бұрын

    Asante sana Kaka yangu Sky, nashukuru kwa blessings zako since day one nilipokusikilizisha

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu22856 жыл бұрын

    Kuna mtu anaurudia rudia huu wimbo mara mbili mbili km mm? Heb bonyeza like kuonyesha siko peke yang 😁😁😇

  • @mch.deosinkala3120
    @mch.deosinkala31203 ай бұрын

    Njoo umwimbie Bwana Yesu Muumba wako naona unaenda hadi mataifa ya mbali ukimwimbia Mungu. Karibu

  • @sekitauniquedesigns8813
    @sekitauniquedesigns88136 жыл бұрын

    Huyu ndo Ben Paul ninayemfahamu tangu enzi za "Sikati tamaa" Thank you brother. Mambo ya kutekana waachie magaidi😃

  • @gloriamahongo4603
    @gloriamahongo46036 жыл бұрын

    Wow.. This is what we need in Tanzania., Tired of love songs 😏

  • @sadingolo2088

    @sadingolo2088

    6 жыл бұрын

    gloria mahongo I Agree with you Na Sio Tz Bali Ulimwengu Mzima Ulitakiwa Uelekeze Ujumbe Wao Kwa Wa Mziki Ki Ushauri, Historia Mwelekeo wa Mahisha na Sio JEURI Mapenzi Na Matusi Kila Kukicha Unafikiri Mziki kama Huu nani Ataona Wanawake waliovaalia Nusu Uchi au Nani Ataona Ahibu Kuutazama ?

  • @raphaelgodlove1070

    @raphaelgodlove1070

    6 жыл бұрын

    gloria mahongo true

  • @josephmashishanga2396

    @josephmashishanga2396

    6 жыл бұрын

    exactly mamaah

  • @mudysagamba6706

    @mudysagamba6706

    6 жыл бұрын

    Good job

  • @tujifunzepamoja2268
    @tujifunzepamoja22689 ай бұрын

    I can't believe cjawahi ckiliza huu wimbo till this day, I missed smthng worthy. Hongereni 🙌👏💪

  • @clamvevo6472
    @clamvevo64726 жыл бұрын

    Ngoma kali mdogo wang

  • @fabianmodern6752
    @fabianmodern67526 жыл бұрын

    acha ni comment brohh dahhh ulikokuwa unaelekea kubaya na Yale makiki uliyoanza kufanya now umerudi benpol wa kipindi kile niliyekuwa nampenda safi sana nyimbo nzur sana

  • @benliboywa5078
    @benliboywa5078 Жыл бұрын

    Ukimwaminia,Utajiaminia; MWENYEZI MUNGU.

  • @officialmologa
    @officialmologa6 жыл бұрын

    This can be played at church and any where on the planet earth

  • @Yegon254
    @Yegon2546 жыл бұрын

    Huu wimbo ni bora zaidi na ninaamini kuwa hautatoka kwe ye chati za muziki kwa miaka na mikaka, Ben pol umedhibitisha kuwa sio lazima msanii aimbe kuhusu mapenzi na kuonyesha wasichana uchi ndio wimbo uhit, keep it up, Mombasa kenya ninakukubali naamini bado kidogo ndio nifanikiwe

  • @esupatmolel7481

    @esupatmolel7481

    Жыл бұрын

    Amina kaka

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18546 жыл бұрын

    Hili ndo G nalikubali bongo.. Greetings from mombasa 254

  • @jonijooo2557
    @jonijooo25576 жыл бұрын

    hizi Location za eneo la Soni Barabara yakuelekea Lushoto na nyingine Irente View Lushoto nazifahamu vizuri, na Nilikuwa nawaza ni Msanii Gani atakuja Kuzitumia, ila umefanikisha Hilo, Keep Going Benard Kazi Nzuri

  • @sele2507

    @sele2507

    3 жыл бұрын

    Jonijoo umetembea

  • @KINGSONPATRICK
    @KINGSONPATRICK4 жыл бұрын

    Huu ndo wimbo wangu,hapa umeniimba mimi aiseee!!!very inspiring,heartouching!!!ahsante kwa hili song bro!!!

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua76436 жыл бұрын

    Ni wimbo Ambao Unatupa Matumaini Kwa watu Tunaopitia Changamoto Mbali Mbali katika hii Dunia . Benpol Hongera Kijana Kwa Nyimbo Nzuri Unayoinspire Jamii inayotuzunguuka Katika Hii dunia Blessed more ,, Hata Mie Najua Bado Kidogo Sana Ntafanikiwa Katika Hii Dunia Never Give up.

  • @rechodergrellah8840

    @rechodergrellah8840

    Жыл бұрын

    Nimesikiliza zaidi ya Mara tanoo Yan napata nguvu ya kupambana 2023

  • @therose2569
    @therose25696 жыл бұрын

    Listening this song makes one forget about NJAANUARY..fanya collabo na Nyashinsky 254

  • @recholeonard9457
    @recholeonard9457 Жыл бұрын

    Dah ama kweli mung akubark Ben Po

  • @raheljames2985
    @raheljames29852 жыл бұрын

    Never give up wimbo uliojaa ushindi katika maisha

  • @albertrukeisa9108
    @albertrukeisa91086 жыл бұрын

    This is where you belong brother. This song is awasome. Be blessed.

  • @eliyagwinji6588
    @eliyagwinji65886 жыл бұрын

    Daaa huwezi amini tangu wimbo huu utoke nimekuwa naurudia sana but leo naona ngoja nishiki japo kwa kucoment tuu ###BIG UP BEN### by shabiki makini wa ben pol from u started ur movement of music

  • @samirahlaxman7375
    @samirahlaxman73754 жыл бұрын

    Na watu hawajui mangapi yanakukabili,Kabla ya jua kuzama kuzama utaona mengi yaliyofungwa kwako yatafunguliwa....... Best song ever

  • @mosesthadeus3964
    @mosesthadeus39646 жыл бұрын

    tuli kumiss kwenye game master wa masaut pol hapa ni kazi kazi

  • @bplusinfotz2994
    @bplusinfotz29946 жыл бұрын

    Ni muda sahihi kwa hii ngoma kulingana na Hali halisi iliyopo sasa ..Coz Naliona Kundi Kubwa la Watanzania waliokata tamaa.Ila hapa tunaamini Kupitia Hisia za Kimungu na kuamini kila Zito lina Wepesi wake ..#Asante Benard

  • @neemamasaoe2077
    @neemamasaoe20776 жыл бұрын

    hakika aliyekupa kipaji azid kukuinua kwa viwango vingine vya juu zaid,hongera sanaa

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru18985 жыл бұрын

    Wimbo upo powaa na zaidi umenivutia ulivyoimbia Lushoto kwenye jengo maarufu la Vuga Press ...Big up .

  • @Likes_comment_share
    @Likes_comment_share4 жыл бұрын

    Pamoja na CORONA lakini BADO KIDOGO inanipa moyo. Wimbo mzur sana . AMEN.

  • @strongnana2226
    @strongnana22266 жыл бұрын

    Kabla ya jua kutua kuna mengi yatafunguliwa..usife moyo sifi moyo kabisa..bado kidogo ..tuendelee kusugua hamamu kwa bidii..song of the year..from Kenya nimekubali 👊👊👊keep it up Ben unaenda mbali

  • @asteriakimaro4593
    @asteriakimaro45936 жыл бұрын

    Umeanza mwaka vizuri mnoo.. Big up broo kwa kumbuka kutufariji nass

  • @godmancity1436
    @godmancity14365 жыл бұрын

    Sauti angavu fikra bunifu na uhofu wa mungu. God b wit ben poul

  • @elinikomniko4411
    @elinikomniko44115 жыл бұрын

    Kuna tofauti kubwa Kati ya mwimvaji na msanii,umeimba n this is the song we sing tother forever n ever

  • @naymah3560
    @naymah35606 жыл бұрын

    Nafarijika na huu wimbo jmn sitokata tamaa bado kidogo, big up Ben pol. it's me from (Oman)

  • @nurloy510
    @nurloy5106 жыл бұрын

    Big up aiseee Benpol. bagi kidogo. ...asante sana umenipa moyo sitakufa moyo

  • @MrBlaqgee
    @MrBlaqgee6 жыл бұрын

    Now this's some real music outta bongo land.....gonga like!!

  • @powerofchoice3176
    @powerofchoice31766 жыл бұрын

    Nice One Kwa Kawaida Msanii Inatakiwa Abadilike Na kuonyesha Uhalisia Sio Wakati Wote Nyimbo Za Mapenzi, Umefanya vizur kutia watu Moyo katika Maisha Yetu Ya kila Siku Tunakupanda N Kushuka hii Ni Moja Ya Hali Ambazo Watu Wanapitia.........................................MOTIVATION SONG

  • @mk_akili685
    @mk_akili6855 жыл бұрын

    Jaman kuna msanii na mwimbaji Ben n mwimbaj nac msanii ......bado kidg nackia kila wakat

  • @neemambilinyi4730
    @neemambilinyi47306 жыл бұрын

    hongera sana nyimbo yako ni nzur sn inatupa matumain mapya ss tuliokuwa tunaelekea kukata tamaa kwel bado kidogo

  • @shijafabianoormtanashatibo5457
    @shijafabianoormtanashatibo54576 жыл бұрын

    unajua kaka kuimba ujumbe Mzuriii zaidi tusikate tamaa ktk maisha

  • @cellynesombi6569
    @cellynesombi65696 жыл бұрын

    Wallah ukisikiliza hii nyimbo unasahau matatizo yote na inaleta matumaini. Ben hongera kwa nyimbo nzuri sana.

  • @deuspetro6268
    @deuspetro62686 жыл бұрын

    Tumainisha na kumbusha tanzania this is what i accepted to my country.we love u ben pol

  • @concolatakalinga3187
    @concolatakalinga31876 жыл бұрын

    bado kidogo usife moyo yaani huu wimbo umenibariki mno kaka nakupa big up

  • @subiramomburi9148
    @subiramomburi91485 жыл бұрын

    Ben Paul vizuri sana. Yaan Mungu asikuache katika kazi hii ya uimbaji uliyonayo. Hakika hiki ni kipaji kitumie vizuri katika jamii uliyopewa kuinua Mioyo ya watu, kuelimisha lakini pia kuburudisha. Mungu akusaidie.

  • @NaiboiWorldwide
    @NaiboiWorldwide6 жыл бұрын

    I love this jam.... There's always light at the end of the tunnel..#Badokidogo

  • @hawaabdallah4282
    @hawaabdallah42826 жыл бұрын

    God bless you my dear brother hatujutiii kuwa na msaniii Kama wewe unae Angalia taifa zima bila kujali wewe ni mtu wa Aina gani Inshaallah mungu akupe maishaaa marefuuu yenye baraka na mafanikio mema 🙏🙏🙏🙏

  • @aswellalihoka8617
    @aswellalihoka86176 жыл бұрын

    wimbo nzur unafarij sana aiseeeeeee kati ya wasaniii rnb wanaweza bas ni wew kaka benpol, tumefungua mwaka vyema kabisa

  • @maryseriah157
    @maryseriah1575 жыл бұрын

    benpol siwez kujizuia for sure unanifariji sana na nyimbo zako hufanani na hao watoga masikio unajiheshim sana kaka Mungu akubarik

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын

    Can't get enough of this song

  • @eliasmichaelluambano295
    @eliasmichaelluambano2956 жыл бұрын

    umenipa matumaini kwa wimbo huu hakika unajua, yako sauti, wako ujumbe appreciate u ben pl

  • @dorcasysamwel5865
    @dorcasysamwel58656 жыл бұрын

    Yan kila nikiusikilza wimbo huu napata nguvu mpyaaa love u Ben pol

  • @ashuramohamedkimela3538
    @ashuramohamedkimela35386 жыл бұрын

    kila nikitizama ama kusikiza huu wimbo nafarijika sana, mungu hamtupi mja Asante benpol

  • @allyally3054
    @allyally30542 жыл бұрын

    Eee bwanaa bonge la ngoma

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael25016 жыл бұрын

    dah yani huu wimbo hadi machozi yana nitoka maisha yangu balaaa tu

  • @godlovegeorge2334
    @godlovegeorge23346 жыл бұрын

    Benpol nakukubali Sana hukurupuki, nyimbo ina mafundisho mengi tusikate tamaa

  • @marymbwiga7985
    @marymbwiga79856 жыл бұрын

    #Bado kidogo usife moyo ,,,, Amina ben Mungu yupo pamoja na wewe

  • @ebenezerykimendo7034
    @ebenezerykimendo70346 жыл бұрын

    daawa kaka umeomba wimbo mzuri sana unanigusa kila kona. hiki ni kipindi nacho pitia japo kigumu nakaza moyo ile kiume. w

  • @patricktravis6575
    @patricktravis65756 жыл бұрын

    kwelii wewe ni king wa R&B

  • @nellymagesa8975
    @nellymagesa89756 жыл бұрын

    Iko Guuuud sana umetupeleka kwenye ladha ingne, sio kila ngoma mapenz tu

  • @janethgitano92
    @janethgitano923 жыл бұрын

    Nikiwa na jambo langu napita huu wimbo unanifaliji Sana'a Ben Mungu azidi kukutunzaaa

  • @vincenth.deoglatius5752
    @vincenth.deoglatius57523 жыл бұрын

    Natamani kumuona Ben akiendelea kuimba nyimba za kumwabudu #Mungu maana hata voice hii imefika mbali!ombi langu!

  • @mkobaofficial8037
    @mkobaofficial80376 жыл бұрын

    Aaaaah gospel hii Gonga like

  • @gerrardantony6158
    @gerrardantony61586 жыл бұрын

    wewe acha bongo freva mwimbie yesu' nakukubari forever

  • @meshackyohana4525
    @meshackyohana45253 жыл бұрын

    Hakika Ben pol umeyagusa maisha yangu nimetokwa na machozi hakika wewe unastahili kuwa msanii

  • @linuslivingstone9913
    @linuslivingstone99136 жыл бұрын

    Moja ya wakali wa rnb ambao mungu ametupatia big up bro bado kidogo

  • @magdalenamwalongo4999
    @magdalenamwalongo49993 жыл бұрын

    miongoni mwa ispiration song nzuri hapa bongo huwezi acha itaja na hii BIG UP TO U BEN

  • @elisanjichanyange5485
    @elisanjichanyange54856 жыл бұрын

    Walimwengu wakubezaa na wengine wakuchekaaaa😢😢 Kabla ya jua kuzamaa luna mambo mengii yaliyofungwa kwako wee yatafunguliwaaa, Bado kidogooo Bado kidogoo usiwe moyoo 🙏🙏

  • @rehemamponji3364
    @rehemamponji33646 жыл бұрын

    usikate tamaaa. give thanks and pray to the most high. GOD,,,,,, THANKS DOGO.

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv39146 жыл бұрын

    bwanaaa eehh sisi watanzania tunahitaji muda huu creativty na si vinginevyoo safi sana ben pol your very creative broooo,..............................

  • @jacksoneugene7955
    @jacksoneugene79556 жыл бұрын

    So btfl song . na ujumbe safi ..Rwanda tuko together!

  • @affasaas3025
    @affasaas30256 жыл бұрын

    hii nyimbo imenipa moyo kwa huk nilipo maan dah nashukru Allah kwakila jambo

  • @ebronjeremiah880
    @ebronjeremiah8806 жыл бұрын

    Nice work a boy from Dodoma Ben pol... Kaza buti

  • @gubajabitandaro8761
    @gubajabitandaro87616 жыл бұрын

    King of rnb East Africa asante kwa wimbo huu Bado kidogo endelea ivo ivo

  • @magiejulius1636

    @magiejulius1636

    4 жыл бұрын

    Wew Ben pol nizadi ya mwembaji yan nihatalii

  • @ema4west689
    @ema4west6892 жыл бұрын

    Ukifeli usijione haufai, Give thanks n' praise to the most HIGH🙏🏻🙏🏻

  • @prochesiusdtkabarerutaihwa2820
    @prochesiusdtkabarerutaihwa28205 жыл бұрын

    Nimekuja kukupenda Ben poll baada ya kufatiria mikiki zako Aisee unatisha sana Hongera sana kaka

  • @johanesedwin2004
    @johanesedwin20046 жыл бұрын

    wimbo umebeba ujumbe nzito kaz nzuri sana ben kazana

  • @abdallahissa2839
    @abdallahissa28396 жыл бұрын

    What a song?? You are a true artist, true R&B...Always you sing the songs that matters. God bless you

  • @raiphodytzkaundatz5380
    @raiphodytzkaundatz53806 жыл бұрын

    hii ngoma imelegeza vyuma mpaka saiz akuna cha pambana na hali yako make hii ngoma ni komesha tanzania kazi nzuri kama auna wivu na hii ngoma gonga like twende sawa

  • @shishiramnzava3565
    @shishiramnzava35656 жыл бұрын

    hongera Wyse kwa kuwa sehemu ya huu wimbo umeplay part yako

  • @micopeter7704
    @micopeter7704 Жыл бұрын

    Ben pol brother ukija Dom tuonane

  • @alexandarkulwa3690
    @alexandarkulwa36906 жыл бұрын

    Ben unafit sana kwenye inspiration, nafikiri ukijikita huku utaokoa wengi sana walo kata tamaa

  • @afualusigi923
    @afualusigi9232 жыл бұрын

    This is my best song to him,huwa nalia sana hasa kwenye mambo magumu nayopita Mungu nipe uvumilivu

  • @Manshyne
    @Manshyne6 жыл бұрын

    Kanyimbo kanaweza had kulegeza vyuma aseee

  • @nohatredbutlove5786

    @nohatredbutlove5786

    6 жыл бұрын

    manSHYNE 😁😁😁😁😁

  • @superwomen233

    @superwomen233

    6 жыл бұрын

    hahahahaaaa

  • @siddyoneonlinesi5433

    @siddyoneonlinesi5433

    6 жыл бұрын

    manSHYNE hssssde

  • @bakarimwinyi3301

    @bakarimwinyi3301

    6 жыл бұрын

    manSHYNE 😂😂😂😂

  • @marymabondo7818

    @marymabondo7818

    6 жыл бұрын

    manSHYNE hahhahaha ndio vitakazwa upya jipe tu moyo aiseee u.menifurahisha

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe95206 жыл бұрын

    Ngoma kali 🙏bado kidogo / mambo itakaa sawa usife moyo dah!!! Ni 🔥🔥

  • @bettylucas6750
    @bettylucas67505 жыл бұрын

    powerful song Benny, nice voice,be blessed

  • @munirabreik
    @munirabreik6 жыл бұрын

    Ohhh... bado kidogo sounds beautiful yani bonge la nyimbo much love

  • @richardmloha1762
    @richardmloha17623 жыл бұрын

    Ambaye Badoo mpka leo anaskliza vijana hawa wa Dodomaaa

  • @daudasajile813
    @daudasajile8136 жыл бұрын

    Nashangaa promo zinaenda kwa walopokaji wa nyimbo huku waimbaji mpo mmetulia bro your the best singer.. God bless u guy..

  • @mariej6962
    @mariej69623 жыл бұрын

    Usimwache Yesu wako that too bad. Bado kidogo anakuja Bernad Paul.

  • @lydiapeter9381
    @lydiapeter93814 жыл бұрын

    Ooh bado kidogo Mungu atakutana na haja ya moyo wako

  • @lazarokorduni9802
    @lazarokorduni98026 жыл бұрын

    Hakika ngoma ya maana sana hii bado kidogo ubarikiwe sana benpol kwa ujumbe mzito huu

  • @bilhaanthony8842
    @bilhaanthony88426 жыл бұрын

    kabla ya jua kuzama utaona meng yaliyofungwa yatafunguliwa..............bado kidogo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @michaelmutie3781
    @michaelmutie37815 жыл бұрын

    A deep song....it always touches my soul everytime i hear it....makes me reflect on the many challenges that we all face everyday....lazma nitoe chozi....deeeeeeeeeeeeeep!

  • @eddiemgogo5447
    @eddiemgogo54476 жыл бұрын

    nam naamin bdo kdogo huu mwaka nam ntafanya kweli Ben ngoma anahamisisha sana thanks unatufarij wa2 Wengi keep it up

  • @arnoldnicholaus3835
    @arnoldnicholaus38353 жыл бұрын

    Wimbo huu umenifariji. Sitosema how but just know umenifariji.

  • @lameckjohn3257
    @lameckjohn32576 жыл бұрын

    sijuti kuwa shabiki wako, kwani uwa unaniburudisha,unanifundisha na kunielimisha asante Ben

  • @athumanisaid2044
    @athumanisaid20445 жыл бұрын

    Unaweza bro na Unajua kuimba na pia allah kakujalia saut na mvuto wa ushawishi wa kuckilza nyimbo zako. Hongera kwa kipaji ulichokua nacho

  • @benedictkosgei5670
    @benedictkosgei56704 жыл бұрын

    Bado tu kidogo. This is a blessing. Thanks Ben Paul

  • @ezeshama255
    @ezeshama2556 жыл бұрын

    Ben Paul this is really u mm huwa nakuwa shabiki wako kwa nyimbo hizi na ndo tunaiona tofaut kubwa sana kati ya "ujanja ujanja" na muziki mzurii... Big up sana

  • @victoriachesco35
    @victoriachesco355 жыл бұрын

    Safiiiiiii xan kaka Benpol wap watu wa Dodoma jmn

Келесі