Ben Pol - BADO KIDOGO (feat. Wyse) (Official Music Video)
Музыка
#BenPol #BadoKidogo #Wyse #SlideDigital
(c)Slide Digital
Listen & Download Ben Pol Music Worldwide
Follow Ben Pol On:
/ iambenpol
/ iambenpol
/ iambenpol
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 834
kama huna kinyongo na benpol gonga like yako
@agustinosimonn8771
4 жыл бұрын
Akika nimetokea kuikubali Ben pol nice
@evodmtena695
4 жыл бұрын
I'm appreciate . My brother
Like hapa Kama ww unamkubari huyu #Jamaa +255🇹🇿
@siwalejoseph4704
5 жыл бұрын
mmmmmm kali
Ni muda wa kuonesha tofauti kati ya muimbaji na msanii. Ben wewe ni muimbaji na Mungu amekupa sauti. Asante kwa wimbo huu. Utarudisha matumaini kwa watu wengi waliokata tamaa na maisha kutokana na changamoto zinazowakabili. Hakika, bado kidogo, mambo yatanyooka. Heko Hanscana, kwa kuupa wimbo huu video inayostahili. Mwaka 2018 umeanza kwa kishindo. Nina furaha
@fraviusmanyika7521
6 жыл бұрын
SimuliziNaSauti Sijutii kukukubali kaka, #Skywalker unajua #Muimbaji Vs #Msanii
@suedissa7500
6 жыл бұрын
SimuliziNaSauti true talk a wise words from the mouth of one of the best analyst in this music industry, it will live forever in any circumstances...
@bobleeswagger8166
6 жыл бұрын
Nimejikuta naangalia na kusikiliza tu nashangaa umeisha. Huu wimbo ni universal kiukweli unagusa wengi Sana kwa namna moja au nyingine
@mamafranjovlog72
6 жыл бұрын
Well said sns . You say it allllllll kaka
@BenPol
6 жыл бұрын
Asante sana Kaka yangu Sky, nashukuru kwa blessings zako since day one nilipokusikilizisha
Kuna mtu anaurudia rudia huu wimbo mara mbili mbili km mm? Heb bonyeza like kuonyesha siko peke yang 😁😁😇
Njoo umwimbie Bwana Yesu Muumba wako naona unaenda hadi mataifa ya mbali ukimwimbia Mungu. Karibu
Huyu ndo Ben Paul ninayemfahamu tangu enzi za "Sikati tamaa" Thank you brother. Mambo ya kutekana waachie magaidi😃
Wow.. This is what we need in Tanzania., Tired of love songs 😏
@sadingolo2088
6 жыл бұрын
gloria mahongo I Agree with you Na Sio Tz Bali Ulimwengu Mzima Ulitakiwa Uelekeze Ujumbe Wao Kwa Wa Mziki Ki Ushauri, Historia Mwelekeo wa Mahisha na Sio JEURI Mapenzi Na Matusi Kila Kukicha Unafikiri Mziki kama Huu nani Ataona Wanawake waliovaalia Nusu Uchi au Nani Ataona Ahibu Kuutazama ?
@raphaelgodlove1070
6 жыл бұрын
gloria mahongo true
@josephmashishanga2396
6 жыл бұрын
exactly mamaah
@mudysagamba6706
6 жыл бұрын
Good job
I can't believe cjawahi ckiliza huu wimbo till this day, I missed smthng worthy. Hongereni 🙌👏💪
Ngoma kali mdogo wang
acha ni comment brohh dahhh ulikokuwa unaelekea kubaya na Yale makiki uliyoanza kufanya now umerudi benpol wa kipindi kile niliyekuwa nampenda safi sana nyimbo nzur sana
Ukimwaminia,Utajiaminia; MWENYEZI MUNGU.
This can be played at church and any where on the planet earth
Huu wimbo ni bora zaidi na ninaamini kuwa hautatoka kwe ye chati za muziki kwa miaka na mikaka, Ben pol umedhibitisha kuwa sio lazima msanii aimbe kuhusu mapenzi na kuonyesha wasichana uchi ndio wimbo uhit, keep it up, Mombasa kenya ninakukubali naamini bado kidogo ndio nifanikiwe
@esupatmolel7481
Жыл бұрын
Amina kaka
Hili ndo G nalikubali bongo.. Greetings from mombasa 254
hizi Location za eneo la Soni Barabara yakuelekea Lushoto na nyingine Irente View Lushoto nazifahamu vizuri, na Nilikuwa nawaza ni Msanii Gani atakuja Kuzitumia, ila umefanikisha Hilo, Keep Going Benard Kazi Nzuri
@sele2507
3 жыл бұрын
Jonijoo umetembea
Huu ndo wimbo wangu,hapa umeniimba mimi aiseee!!!very inspiring,heartouching!!!ahsante kwa hili song bro!!!
Ni wimbo Ambao Unatupa Matumaini Kwa watu Tunaopitia Changamoto Mbali Mbali katika hii Dunia . Benpol Hongera Kijana Kwa Nyimbo Nzuri Unayoinspire Jamii inayotuzunguuka Katika Hii dunia Blessed more ,, Hata Mie Najua Bado Kidogo Sana Ntafanikiwa Katika Hii Dunia Never Give up.
@rechodergrellah8840
Жыл бұрын
Nimesikiliza zaidi ya Mara tanoo Yan napata nguvu ya kupambana 2023
Listening this song makes one forget about NJAANUARY..fanya collabo na Nyashinsky 254
Dah ama kweli mung akubark Ben Po
Never give up wimbo uliojaa ushindi katika maisha
This is where you belong brother. This song is awasome. Be blessed.
Daaa huwezi amini tangu wimbo huu utoke nimekuwa naurudia sana but leo naona ngoja nishiki japo kwa kucoment tuu ###BIG UP BEN### by shabiki makini wa ben pol from u started ur movement of music
Na watu hawajui mangapi yanakukabili,Kabla ya jua kuzama kuzama utaona mengi yaliyofungwa kwako yatafunguliwa....... Best song ever
tuli kumiss kwenye game master wa masaut pol hapa ni kazi kazi
Ni muda sahihi kwa hii ngoma kulingana na Hali halisi iliyopo sasa ..Coz Naliona Kundi Kubwa la Watanzania waliokata tamaa.Ila hapa tunaamini Kupitia Hisia za Kimungu na kuamini kila Zito lina Wepesi wake ..#Asante Benard
hakika aliyekupa kipaji azid kukuinua kwa viwango vingine vya juu zaid,hongera sanaa
Wimbo upo powaa na zaidi umenivutia ulivyoimbia Lushoto kwenye jengo maarufu la Vuga Press ...Big up .
Pamoja na CORONA lakini BADO KIDOGO inanipa moyo. Wimbo mzur sana . AMEN.
Kabla ya jua kutua kuna mengi yatafunguliwa..usife moyo sifi moyo kabisa..bado kidogo ..tuendelee kusugua hamamu kwa bidii..song of the year..from Kenya nimekubali 👊👊👊keep it up Ben unaenda mbali
Umeanza mwaka vizuri mnoo.. Big up broo kwa kumbuka kutufariji nass
Sauti angavu fikra bunifu na uhofu wa mungu. God b wit ben poul
Kuna tofauti kubwa Kati ya mwimvaji na msanii,umeimba n this is the song we sing tother forever n ever
Nafarijika na huu wimbo jmn sitokata tamaa bado kidogo, big up Ben pol. it's me from (Oman)
Big up aiseee Benpol. bagi kidogo. ...asante sana umenipa moyo sitakufa moyo
Now this's some real music outta bongo land.....gonga like!!
Nice One Kwa Kawaida Msanii Inatakiwa Abadilike Na kuonyesha Uhalisia Sio Wakati Wote Nyimbo Za Mapenzi, Umefanya vizur kutia watu Moyo katika Maisha Yetu Ya kila Siku Tunakupanda N Kushuka hii Ni Moja Ya Hali Ambazo Watu Wanapitia.........................................MOTIVATION SONG
Jaman kuna msanii na mwimbaji Ben n mwimbaj nac msanii ......bado kidg nackia kila wakat
hongera sana nyimbo yako ni nzur sn inatupa matumain mapya ss tuliokuwa tunaelekea kukata tamaa kwel bado kidogo
unajua kaka kuimba ujumbe Mzuriii zaidi tusikate tamaa ktk maisha
Wallah ukisikiliza hii nyimbo unasahau matatizo yote na inaleta matumaini. Ben hongera kwa nyimbo nzuri sana.
Tumainisha na kumbusha tanzania this is what i accepted to my country.we love u ben pol
bado kidogo usife moyo yaani huu wimbo umenibariki mno kaka nakupa big up
Ben Paul vizuri sana. Yaan Mungu asikuache katika kazi hii ya uimbaji uliyonayo. Hakika hiki ni kipaji kitumie vizuri katika jamii uliyopewa kuinua Mioyo ya watu, kuelimisha lakini pia kuburudisha. Mungu akusaidie.
I love this jam.... There's always light at the end of the tunnel..#Badokidogo
God bless you my dear brother hatujutiii kuwa na msaniii Kama wewe unae Angalia taifa zima bila kujali wewe ni mtu wa Aina gani Inshaallah mungu akupe maishaaa marefuuu yenye baraka na mafanikio mema 🙏🙏🙏🙏
wimbo nzur unafarij sana aiseeeeeee kati ya wasaniii rnb wanaweza bas ni wew kaka benpol, tumefungua mwaka vyema kabisa
benpol siwez kujizuia for sure unanifariji sana na nyimbo zako hufanani na hao watoga masikio unajiheshim sana kaka Mungu akubarik
Can't get enough of this song
umenipa matumaini kwa wimbo huu hakika unajua, yako sauti, wako ujumbe appreciate u ben pl
Yan kila nikiusikilza wimbo huu napata nguvu mpyaaa love u Ben pol
kila nikitizama ama kusikiza huu wimbo nafarijika sana, mungu hamtupi mja Asante benpol
Eee bwanaa bonge la ngoma
dah yani huu wimbo hadi machozi yana nitoka maisha yangu balaaa tu
Benpol nakukubali Sana hukurupuki, nyimbo ina mafundisho mengi tusikate tamaa
#Bado kidogo usife moyo ,,,, Amina ben Mungu yupo pamoja na wewe
daawa kaka umeomba wimbo mzuri sana unanigusa kila kona. hiki ni kipindi nacho pitia japo kigumu nakaza moyo ile kiume. w
kwelii wewe ni king wa R&B
Iko Guuuud sana umetupeleka kwenye ladha ingne, sio kila ngoma mapenz tu
Nikiwa na jambo langu napita huu wimbo unanifaliji Sana'a Ben Mungu azidi kukutunzaaa
Natamani kumuona Ben akiendelea kuimba nyimba za kumwabudu #Mungu maana hata voice hii imefika mbali!ombi langu!
Aaaaah gospel hii Gonga like
wewe acha bongo freva mwimbie yesu' nakukubari forever
Hakika Ben pol umeyagusa maisha yangu nimetokwa na machozi hakika wewe unastahili kuwa msanii
Moja ya wakali wa rnb ambao mungu ametupatia big up bro bado kidogo
miongoni mwa ispiration song nzuri hapa bongo huwezi acha itaja na hii BIG UP TO U BEN
Walimwengu wakubezaa na wengine wakuchekaaaa😢😢 Kabla ya jua kuzamaa luna mambo mengii yaliyofungwa kwako wee yatafunguliwaaa, Bado kidogooo Bado kidogoo usiwe moyoo 🙏🙏
usikate tamaaa. give thanks and pray to the most high. GOD,,,,,, THANKS DOGO.
bwanaaa eehh sisi watanzania tunahitaji muda huu creativty na si vinginevyoo safi sana ben pol your very creative broooo,..............................
So btfl song . na ujumbe safi ..Rwanda tuko together!
hii nyimbo imenipa moyo kwa huk nilipo maan dah nashukru Allah kwakila jambo
Nice work a boy from Dodoma Ben pol... Kaza buti
King of rnb East Africa asante kwa wimbo huu Bado kidogo endelea ivo ivo
@magiejulius1636
4 жыл бұрын
Wew Ben pol nizadi ya mwembaji yan nihatalii
Ukifeli usijione haufai, Give thanks n' praise to the most HIGH🙏🏻🙏🏻
Nimekuja kukupenda Ben poll baada ya kufatiria mikiki zako Aisee unatisha sana Hongera sana kaka
wimbo umebeba ujumbe nzito kaz nzuri sana ben kazana
What a song?? You are a true artist, true R&B...Always you sing the songs that matters. God bless you
hii ngoma imelegeza vyuma mpaka saiz akuna cha pambana na hali yako make hii ngoma ni komesha tanzania kazi nzuri kama auna wivu na hii ngoma gonga like twende sawa
hongera Wyse kwa kuwa sehemu ya huu wimbo umeplay part yako
Ben pol brother ukija Dom tuonane
Ben unafit sana kwenye inspiration, nafikiri ukijikita huku utaokoa wengi sana walo kata tamaa
This is my best song to him,huwa nalia sana hasa kwenye mambo magumu nayopita Mungu nipe uvumilivu
Kanyimbo kanaweza had kulegeza vyuma aseee
@nohatredbutlove5786
6 жыл бұрын
manSHYNE 😁😁😁😁😁
@superwomen233
6 жыл бұрын
hahahahaaaa
@siddyoneonlinesi5433
6 жыл бұрын
manSHYNE hssssde
@bakarimwinyi3301
6 жыл бұрын
manSHYNE 😂😂😂😂
@marymabondo7818
6 жыл бұрын
manSHYNE hahhahaha ndio vitakazwa upya jipe tu moyo aiseee u.menifurahisha
Ngoma kali 🙏bado kidogo / mambo itakaa sawa usife moyo dah!!! Ni 🔥🔥
powerful song Benny, nice voice,be blessed
Ohhh... bado kidogo sounds beautiful yani bonge la nyimbo much love
Ambaye Badoo mpka leo anaskliza vijana hawa wa Dodomaaa
Nashangaa promo zinaenda kwa walopokaji wa nyimbo huku waimbaji mpo mmetulia bro your the best singer.. God bless u guy..
Usimwache Yesu wako that too bad. Bado kidogo anakuja Bernad Paul.
Ooh bado kidogo Mungu atakutana na haja ya moyo wako
Hakika ngoma ya maana sana hii bado kidogo ubarikiwe sana benpol kwa ujumbe mzito huu
kabla ya jua kuzama utaona meng yaliyofungwa yatafunguliwa..............bado kidogo🙏🙏🙏🙏🙏
A deep song....it always touches my soul everytime i hear it....makes me reflect on the many challenges that we all face everyday....lazma nitoe chozi....deeeeeeeeeeeeeep!
nam naamin bdo kdogo huu mwaka nam ntafanya kweli Ben ngoma anahamisisha sana thanks unatufarij wa2 Wengi keep it up
Wimbo huu umenifariji. Sitosema how but just know umenifariji.
sijuti kuwa shabiki wako, kwani uwa unaniburudisha,unanifundisha na kunielimisha asante Ben
Unaweza bro na Unajua kuimba na pia allah kakujalia saut na mvuto wa ushawishi wa kuckilza nyimbo zako. Hongera kwa kipaji ulichokua nacho
Bado tu kidogo. This is a blessing. Thanks Ben Paul
Ben Paul this is really u mm huwa nakuwa shabiki wako kwa nyimbo hizi na ndo tunaiona tofaut kubwa sana kati ya "ujanja ujanja" na muziki mzurii... Big up sana
Safiiiiiii xan kaka Benpol wap watu wa Dodoma jmn