Mandojo & Domokaya - Niaje

Пікірлер: 149

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Жыл бұрын

    Hii verse ya kwanza ni moja kati ya verse bora sana za muda woteee...🔥🔥🔥💯

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @oldskuladimuzabongo8873

    @oldskuladimuzabongo8873

    Жыл бұрын

    Bonge la Verse

  • @eliyankerebuka9280

    @eliyankerebuka9280

    9 ай бұрын

    Bonge la verse

  • @sololuchagula6362
    @sololuchagula6362 Жыл бұрын

    Mimi nasemaje hizi ngoma zilikuwa ni hatari sana ukiniambia niache kusikiliza au nije bora kufa kama upo na mimi ngonga like za kutosha 31/6/2023

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    🙏🙌

  • @hurumagideon173

    @hurumagideon173

    10 ай бұрын

    😅 kabisaaa

  • @thabitkawambwa862

    @thabitkawambwa862

    7 ай бұрын

    ​@@mandojonadomokaya❤❤❤❤❤❤

  • @thabitkawambwa862

    @thabitkawambwa862

    7 ай бұрын

    ​@mandojonadomokaya ❤❤❤❤❤

  • @fadhilfadhili221

    @fadhilfadhili221

    7 ай бұрын

    Hatuwexi kuacha kusikiliza kwani zinaburudisha na zinafunza pia

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 Жыл бұрын

    Toka 2001 hadi 2023 tuliowahi kumkubali Nature kwa pande zote mbili za chorus na verse tujuane hapa kwa Like zetu

  • @incredibleyoung5442
    @incredibleyoung54427 ай бұрын

    Tunaofunga mwaka na hii ngoma tujuane na like tafadhali🎉❤💯15/12/2023

  • @ashraphomary8715
    @ashraphomary871518 күн бұрын

    Ngoma zinazoishi, Burudani , Elimu na ujumbe. Hii ndio Bongo Flava tunayoijua

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586Ай бұрын

    Kuvaa napendeza hawaamini kama nadhiki .... Wananiita luza heshima tena hamnipi...

  • @alvezog_3836
    @alvezog_3836 Жыл бұрын

    Vitu ambayo vinaimbwa paka Leo bado vipo na vitakuwepo..much respect brothe's..

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn man

  • @ESTONIATV
    @ESTONIATVАй бұрын

    Ngoma moja Hatari I remember MINAKI HIGH SCHOOL

  • @yusufyusuf-br5qk
    @yusufyusuf-br5qk5 күн бұрын

    Napiga ndefu mpak dingi azindiki ❤hatar xana

  • @jumajuma6612

    @jumajuma6612

    5 күн бұрын

    😂 bic haziandiki

  • @kilingechasimulizi2072
    @kilingechasimulizi207210 ай бұрын

    Dah..napata hisia za ndani kbs kwenye moyo wangu...ilo gitaa, io verse ya kwanza, uyo necha alivotembea..much respect ma bro

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Respect sana

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Жыл бұрын

    Asanteni sana, kuturudishia muziki wetu halisi, tumechoka kuwa sikia hawa "TAKATAKA na mima Piano yao ya wasauzi"

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Hahahaha sure

  • @JamesKarata-kz4rp
    @JamesKarata-kz4rp Жыл бұрын

    Daah hatari sana. Naisikiliza hii ngoma leo 22/7/2023

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Жыл бұрын

    Bhanaeeee!!!! Musiponiskiliza mtanielewa vipi????musitoboa kwa ngoma hizi muniite mbwa nipo paleee nimekaaaa!!!!@Niaje!!

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn man kwa saport

  • @asasaa2375

    @asasaa2375

    Жыл бұрын

    Ndefu ata biki aziandiki ....wanajua

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 Жыл бұрын

    Nalia na Mola Kumbe Wanga Wana Mix Sio Hadithi za Sungura Na Fisi, Realy Bongo Flavor, Big up Mandojo Domokaya

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Salute sn

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    E babaa 🙏 🙌

  • @justineemanuel127
    @justineemanuel1278 ай бұрын

    Vocal za Mandojo na Domokaya. Melody 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @magrethjulius7796
    @magrethjulius779610 ай бұрын

    This music gives me nostalgia,i remember the old gold days of this life,when the music was called the MUSIC❤❤🎉

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    We appreciate this 🙏

  • @chitwangandembo6302
    @chitwangandembo6302 Жыл бұрын

    2023 I’m here listening gud music ✌🏾

  • @bobmalley6202
    @bobmalley6202Күн бұрын

    26/07/2024🔥 one of the best

  • @bjtv_001
    @bjtv_001 Жыл бұрын

    Nko Kenya ila nawakubali sana hizi nyimbo zanikumbusha zamani sana 😊

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    E babaa 🙏

  • @user-bs1rz7op9r
    @user-bs1rz7op9r Жыл бұрын

    Unyama ulikua ni mwingi sana kitambo hiko🙌🏾🙌🏾 thanks to the living legends out there

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    🙏🙌

  • @NasraThomas
    @NasraThomas3 ай бұрын

    Fantastic song

  • @shijaenock7638
    @shijaenock7638 Жыл бұрын

    Ngoma yangu hii kabsa kila nikinunua smu mpya lazma uikute tu kwnye memori respect sna hii ngoma naielewa

  • @nasrujuma7306
    @nasrujuma730610 ай бұрын

    Verse ya kwanza daaaaaah 🙌

  • @BahatSakuru-uo6zv
    @BahatSakuru-uo6zv6 ай бұрын

    Nakumbuka mbali sana hii ngoma❤❤❤❤

  • @abellucas6576
    @abellucas6576 Жыл бұрын

    Much respect….. ❤ old is gold 🎉

  • @dularsparta9004
    @dularsparta9004 Жыл бұрын

    from Qatar much love 👊

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Much love 🙏🙌

  • @farajitv4745
    @farajitv474510 ай бұрын

    much respect my brothers, hii ngoma ni kali siku zote. OLD is GOLD always. salut...

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Pamoja sana

  • @abdulsataribashiri8300
    @abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын

    Wasanii pekee duniani naez toa hela kwend kuwaangalia 🔱

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Respect sana 🙌

  • @Babamaploti
    @Babamaploti6 ай бұрын

    Nlidhani ni collabo na nature first day only OG wataelewa real tz music reppin 4rm 254

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    6 ай бұрын

    Respect sana

  • @yohanagalusi619
    @yohanagalusi61911 ай бұрын

    Those days when music was called Music ... Please make a Remix or new Version of this song

  • @brunolazaro-sc2tb
    @brunolazaro-sc2tb11 ай бұрын

    Nkiwa yaki kabisa hii ngoma inakumbusha meng sana ktk maisha nliyokuwa nayapitia wakat uwo aisee

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    🔥🙏🙌

  • @zambiancopsharif2112
    @zambiancopsharif211229 күн бұрын

    2024 nani anaskiliza bado

  • @HamisHuka
    @HamisHukaАй бұрын

    Siachi kusikiliza 29/5/2024

  • @nicholaskobelo
    @nicholaskobelo Жыл бұрын

    Nalia na Mola kumbe wanga ndo wanamix..... Dah mstari una hisia sana huuuu

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Noma

  • @Seranto861
    @Seranto8612 ай бұрын

    Who is still watching in 2024?

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47174 ай бұрын

    Dude langu la kila siku❤

  • @saumuomari9925
    @saumuomari9925Ай бұрын

    Mimi nasikiliza leo 2024🎉🎉🎉🎉🎉

  • @yohanagalusi619
    @yohanagalusi6196 ай бұрын

    Ngoma bado inaendelea kunibariki ... Sijaona bado wanamuziki saiz ... Ni vile tu time hii mziki ulikua haulipi kivile .. ila wanyama walikua wanaandika asee

  • @jskconceptscreativity1575
    @jskconceptscreativity15753 ай бұрын

    2024 ❤

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo309110 ай бұрын

    Aisee, wakati mziki ukiitwa "MZIKI", Sasa ivi Kuna music ..

  • @frankmsomi
    @frankmsomi4 ай бұрын

    2024

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q6 ай бұрын

    Bongo flevour

  • @husseinmaingo5009
    @husseinmaingo5009 Жыл бұрын

    Cha ajabu ni kwamba ameniambia asinione maskan nikipita.......Aisee

  • @boazambokile2587
    @boazambokile25875 күн бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EmmanuelCairo-lc6zf
    @EmmanuelCairo-lc6zf10 ай бұрын

    Kweli nature huyu ni wa kulipwa 500k 😅😅

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 Жыл бұрын

    Hivi vitu tumevikosa siku nyingi🎉🎉

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeeh baba

  • @willyfurniturearusha9161
    @willyfurniturearusha9161 Жыл бұрын

    Dah big project we want more

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn

  • @gabrielwence
    @gabrielwence Жыл бұрын

    Thank you for uploading

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn man

  • @kevookikwale5083
    @kevookikwale5083 Жыл бұрын

    Verse ya kwanza ni balaa

  • @saidbai-iu7ss
    @saidbai-iu7ss2 ай бұрын

    Hio verse ya kwanza ni balaa

  • @LucksonEdwardmgallah-tf5nc
    @LucksonEdwardmgallah-tf5nc Жыл бұрын

    Today is sunday 2023 i listen this my ❤

  • @jaymagora
    @jaymagora3 ай бұрын

    Mikamwamba

  • @Nyabanda2010
    @Nyabanda2010 Жыл бұрын

    Best of the best

  • @dollieangie
    @dollieangie6 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @jameslizomba9883
    @jameslizomba9883 Жыл бұрын

    Hili dundo kama limetoka leo...

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Noma sana

  • @harrykarua9238
    @harrykarua923810 ай бұрын

    👊👊👊👊👊

  • @monicageorge2181
    @monicageorge2181 Жыл бұрын

    Msela ana Hasira.......🙏

  • @mohamedimwingwa4104
    @mohamedimwingwa41046 ай бұрын

    Nimepita tena 2024/01/13 kuinjoy mziki mtamu

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Жыл бұрын

    2023

  • @carinaomari21
    @carinaomari217 ай бұрын

    Ngoma atar sana❤

  • @shahzade8850
    @shahzade885011 ай бұрын

    ngoma Kali Sana👐

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    🙏🙌

  • @BugaJustine-wr9pt
    @BugaJustine-wr9pt Жыл бұрын

    Mnafanya kaz wazee

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    🙌

  • @stevenanderson3360
    @stevenanderson3360 Жыл бұрын

    Kati ya domo na mandojo nan mgogo

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Sisi sote sio wagogo ila mandojo kasoma Dodoma shule ya jamuhuri Pia kakulia manyoni

  • @sebastianorossy7284
    @sebastianorossy72849 ай бұрын

    Sir nature!

  • @mariahwayesu7312
    @mariahwayesu73122 күн бұрын

    Ila huyu mika mwamba muacheni tu kwa vinanda

  • @jebrakambole1657
    @jebrakambole16579 ай бұрын

    29/10/2023 Nalia na Mola kumbe wanga ndo wanamix

  • @nicholaskobelo
    @nicholaskobelo Жыл бұрын

    Verse ya kwanza huwa naipenda sana...Sir nature kama kawaida kauwa sanaaa...beat kali sana...nani alitengeneza hii MJ au P funk?

  • @dicksonfula2335

    @dicksonfula2335

    11 ай бұрын

    Album hii alifanya Miika Mwamba kutoa mwimbo mmoja tu wa Nikupe ulifanywa Bongo Records

  • @emmanuelchanganya1900

    @emmanuelchanganya1900

    11 ай бұрын

    Majani

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Mika mwamba at Fm studios

  • @yassinuddi
    @yassinuddi7 ай бұрын

    Am here again December 2023

  • @dejavevents
    @dejavevents Жыл бұрын

    Melodic voices 💯💯👌

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    Жыл бұрын

    🙌

  • @InnocentTesha

    @InnocentTesha

    11 ай бұрын

    Kbc

  • @SaidiUkwaju
    @SaidiUkwaju3 ай бұрын

    Kiwango

  • @willy_breeze
    @willy_breeze Жыл бұрын

    Kitu ipo dope xn but hziii old school zkiisha mktk rud n new school tftn ghost writerz so long tumewasbr malegend now u back

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn man

  • @frankmanga3721
    @frankmanga372111 ай бұрын

    22/8/2023 Nimepita ku enjoy

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    11 ай бұрын

    Tishaaa sana 🙌

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥💥as usual

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Wozaaa

  • @abrahamaniomari7421
    @abrahamaniomari7421 Жыл бұрын

    Verse ya kwanza ni hatare xnaaa

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia

  • @massytv9601
    @massytv9601 Жыл бұрын

    tafadhali naomba mtolee video iz nyimbo ma regend wetu pia naisubili kwa ham nyimbo ya nizikwe hai

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Video zinakuj

  • @user-wx2pe5vj6c
    @user-wx2pe5vj6c10 ай бұрын

    Unyama mwingi

  • @samnaborliwemba7819
    @samnaborliwemba781911 ай бұрын

    Naikubali ngoma hio hataaar hi ndio miziki

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    E babaa

  • @user-bb2sv2hx3k
    @user-bb2sv2hx3k10 ай бұрын

    Acha kabisa

  • @kenethlugenge9688
    @kenethlugenge96889 ай бұрын

    Respect sana

  • @machangoemanuel6174
    @machangoemanuel6174 Жыл бұрын

    Nice song

  • @oldskuladimuzabongo8873
    @oldskuladimuzabongo8873 Жыл бұрын

    🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿✌️

  • @chrispinuse.mmavelle9872

    @chrispinuse.mmavelle9872

    Жыл бұрын

    Mzee upo huku unatafuta madini 😀

  • @nizalmelody966
    @nizalmelody966 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Msipo nisikiliza mtanielewa vipi???? Yaan ngoma kama imetoka leo! Daaa

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Aminia sn respect

  • @expert5898

    @expert5898

    Жыл бұрын

    most respect to you son of Francis

  • @casmirymusic
    @casmirymusic Жыл бұрын

    🔥🔥🔥💪🏻💪🏻💪🏻

  • @rahimrajabu574
    @rahimrajabu574 Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @ChichiThedon
    @ChichiThedon Жыл бұрын

    Vipaji halisi hakijifichi

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 Жыл бұрын

    Naomba lyrics ya hii wimbo, hasa hapo mwanzo

  • @mandojonadomokaya

    @mandojonadomokaya

    10 ай бұрын

    Usipo nisikiliza utanielewa vipi, Unaniita looser heshima tena hamnipi Kuvaa napendeza hawaamini nna dhiki, Heti nkicheka Wanadhani niko fresh Huko nlipotoka balaa tupu mkosi Nalia na Mola kumbe wanga ndio wanamix Sio adithi za sungura na fisi Hata hii safari imekuwa ndefu sfiki Ndicho kipindi namfaham yupi rafiki Yupi msaliti azidi tu kudiss Anafinya sisikikii kachala ana chuki Fanya kununa vimba na upasuki Damu full mziki ikichemka tu nakiki Wanapiga ndefu hata Bic haziandiki Wanafitini na dem anipe buti Hawa ridhiki kuniona ndani ya suti Wana roho nyeusi zisizo ng'aa kwa giki Wananifikiria mauti bado sifi...

  • @philip5851

    @philip5851

    4 ай бұрын

    ​@@mandojonadomokayauna full lyrics?

  • @user-jo5gk1vk1i
    @user-jo5gk1vk1i10 ай бұрын

    23/09/2023

  • @WapeVibez1
    @WapeVibez1 Жыл бұрын

    👊👊👊💥💥💥💣

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba

  • @husseinmaingo5009
    @husseinmaingo5009 Жыл бұрын

    Aisee

  • @Allyzungujr
    @Allyzungujr Жыл бұрын

    Noma

  • @semenimomade2740
    @semenimomade2740 Жыл бұрын

    Zama zakale

  • @barakajao4594
    @barakajao4594 Жыл бұрын

    Pii

  • @twaibukamba6848
    @twaibukamba684811 күн бұрын

    No piano😂

  • @uwezoelias9797
    @uwezoelias97976 ай бұрын

    2024

  • @Denislyamuya
    @Denislyamuya Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeh baba

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mandojojoseph1665

    @mandojojoseph1665

    Жыл бұрын

    Eeeeh baba fire