Hii verse ya kwanza ni moja kati ya verse bora sana za muda woteee...🔥🔥🔥💯
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
@oldskuladimuzabongo8873
Жыл бұрын
Bonge la Verse
@eliyankerebuka9280
9 ай бұрын
Bonge la verse
@sololuchagula6362 Жыл бұрын
Mimi nasemaje hizi ngoma zilikuwa ni hatari sana ukiniambia niache kusikiliza au nije bora kufa kama upo na mimi ngonga like za kutosha 31/6/2023
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
🙏🙌
@hurumagideon173
10 ай бұрын
😅 kabisaaa
@thabitkawambwa862
7 ай бұрын
@@mandojonadomokaya❤❤❤❤❤❤
@thabitkawambwa862
7 ай бұрын
@mandojonadomokaya ❤❤❤❤❤
@fadhilfadhili221
7 ай бұрын
Hatuwexi kuacha kusikiliza kwani zinaburudisha na zinafunza pia
@kuvetamzazi8689 Жыл бұрын
Toka 2001 hadi 2023 tuliowahi kumkubali Nature kwa pande zote mbili za chorus na verse tujuane hapa kwa Like zetu
@incredibleyoung54427 ай бұрын
Tunaofunga mwaka na hii ngoma tujuane na like tafadhali🎉❤💯15/12/2023
@ashraphomary871518 күн бұрын
Ngoma zinazoishi, Burudani , Elimu na ujumbe. Hii ndio Bongo Flava tunayoijua
@abdalamhamed3586Ай бұрын
Kuvaa napendeza hawaamini kama nadhiki .... Wananiita luza heshima tena hamnipi...
@alvezog_3836 Жыл бұрын
Vitu ambayo vinaimbwa paka Leo bado vipo na vitakuwepo..much respect brothe's..
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn man
@ESTONIATVАй бұрын
Ngoma moja Hatari I remember MINAKI HIGH SCHOOL
@yusufyusuf-br5qk5 күн бұрын
Napiga ndefu mpak dingi azindiki ❤hatar xana
@jumajuma6612
5 күн бұрын
😂 bic haziandiki
@kilingechasimulizi207210 ай бұрын
Dah..napata hisia za ndani kbs kwenye moyo wangu...ilo gitaa, io verse ya kwanza, uyo necha alivotembea..much respect ma bro
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Respect sana
@nakalikyumile3234 Жыл бұрын
Asanteni sana, kuturudishia muziki wetu halisi, tumechoka kuwa sikia hawa "TAKATAKA na mima Piano yao ya wasauzi"
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Hahahaha sure
@JamesKarata-kz4rp Жыл бұрын
Daah hatari sana. Naisikiliza hii ngoma leo 22/7/2023
@thestonetown3302 Жыл бұрын
Bhanaeeee!!!! Musiponiskiliza mtanielewa vipi????musitoboa kwa ngoma hizi muniite mbwa nipo paleee nimekaaaa!!!!@Niaje!!
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man kwa saport
@asasaa2375
Жыл бұрын
Ndefu ata biki aziandiki ....wanajua
@ommarysaid7391 Жыл бұрын
Nalia na Mola Kumbe Wanga Wana Mix Sio Hadithi za Sungura Na Fisi, Realy Bongo Flavor, Big up Mandojo Domokaya
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa 🙏 🙌
@justineemanuel1278 ай бұрын
Vocal za Mandojo na Domokaya. Melody 🔥🔥🔥🔥🔥
@magrethjulius779610 ай бұрын
This music gives me nostalgia,i remember the old gold days of this life,when the music was called the MUSIC❤❤🎉
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
We appreciate this 🙏
@chitwangandembo6302 Жыл бұрын
2023 I’m here listening gud music ✌🏾
@bobmalley6202Күн бұрын
26/07/2024🔥 one of the best
@bjtv_001 Жыл бұрын
Nko Kenya ila nawakubali sana hizi nyimbo zanikumbusha zamani sana 😊
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa 🙏
@user-bs1rz7op9r Жыл бұрын
Unyama ulikua ni mwingi sana kitambo hiko🙌🏾🙌🏾 thanks to the living legends out there
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🙏🙌
@NasraThomas3 ай бұрын
Fantastic song
@shijaenock7638 Жыл бұрын
Ngoma yangu hii kabsa kila nikinunua smu mpya lazma uikute tu kwnye memori respect sna hii ngoma naielewa
@nasrujuma730610 ай бұрын
Verse ya kwanza daaaaaah 🙌
@BahatSakuru-uo6zv6 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana hii ngoma❤❤❤❤
@abellucas6576 Жыл бұрын
Much respect….. ❤ old is gold 🎉
@dularsparta9004 Жыл бұрын
from Qatar much love 👊
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Much love 🙏🙌
@farajitv474510 ай бұрын
much respect my brothers, hii ngoma ni kali siku zote. OLD is GOLD always. salut...
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Pamoja sana
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
Wasanii pekee duniani naez toa hela kwend kuwaangalia 🔱
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Respect sana 🙌
@Babamaploti6 ай бұрын
Nlidhani ni collabo na nature first day only OG wataelewa real tz music reppin 4rm 254
@mandojonadomokaya
6 ай бұрын
Respect sana
@yohanagalusi61911 ай бұрын
Those days when music was called Music ... Please make a Remix or new Version of this song
@brunolazaro-sc2tb11 ай бұрын
Nkiwa yaki kabisa hii ngoma inakumbusha meng sana ktk maisha nliyokuwa nayapitia wakat uwo aisee
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🔥🙏🙌
@zambiancopsharif211229 күн бұрын
2024 nani anaskiliza bado
@HamisHukaАй бұрын
Siachi kusikiliza 29/5/2024
@nicholaskobelo Жыл бұрын
Nalia na Mola kumbe wanga ndo wanamix..... Dah mstari una hisia sana huuuu
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Noma
@Seranto8612 ай бұрын
Who is still watching in 2024?
@mahmoudaziz47174 ай бұрын
Dude langu la kila siku❤
@saumuomari9925Ай бұрын
Mimi nasikiliza leo 2024🎉🎉🎉🎉🎉
@yohanagalusi6196 ай бұрын
Ngoma bado inaendelea kunibariki ... Sijaona bado wanamuziki saiz ... Ni vile tu time hii mziki ulikua haulipi kivile .. ila wanyama walikua wanaandika asee
@jskconceptscreativity15753 ай бұрын
2024 ❤
@felisteronesmo309110 ай бұрын
Aisee, wakati mziki ukiitwa "MZIKI", Sasa ivi Kuna music ..
@frankmsomi4 ай бұрын
2024
@user-cg3cm4qv4q6 ай бұрын
Bongo flevour
@husseinmaingo5009 Жыл бұрын
Cha ajabu ni kwamba ameniambia asinione maskan nikipita.......Aisee
@boazambokile25875 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@EmmanuelCairo-lc6zf10 ай бұрын
Kweli nature huyu ni wa kulipwa 500k 😅😅
@salitosofo5561 Жыл бұрын
Hivi vitu tumevikosa siku nyingi🎉🎉
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeeh baba
@willyfurniturearusha9161 Жыл бұрын
Dah big project we want more
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
@gabrielwence Жыл бұрын
Thank you for uploading
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man
@kevookikwale5083 Жыл бұрын
Verse ya kwanza ni balaa
@saidbai-iu7ss2 ай бұрын
Hio verse ya kwanza ni balaa
@LucksonEdwardmgallah-tf5nc Жыл бұрын
Today is sunday 2023 i listen this my ❤
@jaymagora3 ай бұрын
Mikamwamba
@Nyabanda2010 Жыл бұрын
Best of the best
@dollieangie6 ай бұрын
🔥🔥🔥
@jameslizomba9883 Жыл бұрын
Hili dundo kama limetoka leo...
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Noma sana
@harrykarua923810 ай бұрын
👊👊👊👊👊
@monicageorge2181 Жыл бұрын
Msela ana Hasira.......🙏
@mohamedimwingwa41046 ай бұрын
Nimepita tena 2024/01/13 kuinjoy mziki mtamu
@maximemasinga9504 Жыл бұрын
2023
@carinaomari217 ай бұрын
Ngoma atar sana❤
@shahzade885011 ай бұрын
ngoma Kali Sana👐
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🙏🙌
@BugaJustine-wr9pt Жыл бұрын
Mnafanya kaz wazee
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🙌
@stevenanderson3360 Жыл бұрын
Kati ya domo na mandojo nan mgogo
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Sisi sote sio wagogo ila mandojo kasoma Dodoma shule ya jamuhuri Pia kakulia manyoni
@sebastianorossy72849 ай бұрын
Sir nature!
@mariahwayesu73122 күн бұрын
Ila huyu mika mwamba muacheni tu kwa vinanda
@jebrakambole16579 ай бұрын
29/10/2023 Nalia na Mola kumbe wanga ndo wanamix
@nicholaskobelo Жыл бұрын
Verse ya kwanza huwa naipenda sana...Sir nature kama kawaida kauwa sanaaa...beat kali sana...nani alitengeneza hii MJ au P funk?
@dicksonfula2335
11 ай бұрын
Album hii alifanya Miika Mwamba kutoa mwimbo mmoja tu wa Nikupe ulifanywa Bongo Records
@emmanuelchanganya1900
11 ай бұрын
Majani
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Mika mwamba at Fm studios
@yassinuddi7 ай бұрын
Am here again December 2023
@dejavevents Жыл бұрын
Melodic voices 💯💯👌
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌
@InnocentTesha
11 ай бұрын
Kbc
@SaidiUkwaju3 ай бұрын
Kiwango
@willy_breeze Жыл бұрын
Kitu ipo dope xn but hziii old school zkiisha mktk rud n new school tftn ghost writerz so long tumewasbr malegend now u back
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man
@frankmanga372111 ай бұрын
22/8/2023 Nimepita ku enjoy
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Tishaaa sana 🙌
@bakarininga4100 Жыл бұрын
🔥🔥🔥💥as usual
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Wozaaa
@abrahamaniomari7421 Жыл бұрын
Verse ya kwanza ni hatare xnaaa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia
@massytv9601 Жыл бұрын
tafadhali naomba mtolee video iz nyimbo ma regend wetu pia naisubili kwa ham nyimbo ya nizikwe hai
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Video zinakuj
@user-wx2pe5vj6c10 ай бұрын
Unyama mwingi
@samnaborliwemba781911 ай бұрын
Naikubali ngoma hio hataaar hi ndio miziki
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa
@user-bb2sv2hx3k10 ай бұрын
Acha kabisa
@kenethlugenge96889 ай бұрын
Respect sana
@machangoemanuel6174 Жыл бұрын
Nice song
@oldskuladimuzabongo8873 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿✌️
@chrispinuse.mmavelle9872
Жыл бұрын
Mzee upo huku unatafuta madini 😀
@nizalmelody966 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@expert5898 Жыл бұрын
Msipo nisikiliza mtanielewa vipi???? Yaan ngoma kama imetoka leo! Daaa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn respect
@expert5898
Жыл бұрын
most respect to you son of Francis
@casmirymusic Жыл бұрын
🔥🔥🔥💪🏻💪🏻💪🏻
@rahimrajabu574 Жыл бұрын
🔥🔥
@ChichiThedon Жыл бұрын
Vipaji halisi hakijifichi
@mohamedrashid6578 Жыл бұрын
Naomba lyrics ya hii wimbo, hasa hapo mwanzo
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Usipo nisikiliza utanielewa vipi, Unaniita looser heshima tena hamnipi Kuvaa napendeza hawaamini nna dhiki, Heti nkicheka Wanadhani niko fresh Huko nlipotoka balaa tupu mkosi Nalia na Mola kumbe wanga ndio wanamix Sio adithi za sungura na fisi Hata hii safari imekuwa ndefu sfiki Ndicho kipindi namfaham yupi rafiki Yupi msaliti azidi tu kudiss Anafinya sisikikii kachala ana chuki Fanya kununa vimba na upasuki Damu full mziki ikichemka tu nakiki Wanapiga ndefu hata Bic haziandiki Wanafitini na dem anipe buti Hawa ridhiki kuniona ndani ya suti Wana roho nyeusi zisizo ng'aa kwa giki Wananifikiria mauti bado sifi...
Пікірлер: 149
Hii verse ya kwanza ni moja kati ya verse bora sana za muda woteee...🔥🔥🔥💯
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
@oldskuladimuzabongo8873
Жыл бұрын
Bonge la Verse
@eliyankerebuka9280
9 ай бұрын
Bonge la verse
Mimi nasemaje hizi ngoma zilikuwa ni hatari sana ukiniambia niache kusikiliza au nije bora kufa kama upo na mimi ngonga like za kutosha 31/6/2023
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
🙏🙌
@hurumagideon173
10 ай бұрын
😅 kabisaaa
@thabitkawambwa862
7 ай бұрын
@@mandojonadomokaya❤❤❤❤❤❤
@thabitkawambwa862
7 ай бұрын
@mandojonadomokaya ❤❤❤❤❤
@fadhilfadhili221
7 ай бұрын
Hatuwexi kuacha kusikiliza kwani zinaburudisha na zinafunza pia
Toka 2001 hadi 2023 tuliowahi kumkubali Nature kwa pande zote mbili za chorus na verse tujuane hapa kwa Like zetu
Tunaofunga mwaka na hii ngoma tujuane na like tafadhali🎉❤💯15/12/2023
Ngoma zinazoishi, Burudani , Elimu na ujumbe. Hii ndio Bongo Flava tunayoijua
Kuvaa napendeza hawaamini kama nadhiki .... Wananiita luza heshima tena hamnipi...
Vitu ambayo vinaimbwa paka Leo bado vipo na vitakuwepo..much respect brothe's..
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn man
Ngoma moja Hatari I remember MINAKI HIGH SCHOOL
Napiga ndefu mpak dingi azindiki ❤hatar xana
@jumajuma6612
5 күн бұрын
😂 bic haziandiki
Dah..napata hisia za ndani kbs kwenye moyo wangu...ilo gitaa, io verse ya kwanza, uyo necha alivotembea..much respect ma bro
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Respect sana
Asanteni sana, kuturudishia muziki wetu halisi, tumechoka kuwa sikia hawa "TAKATAKA na mima Piano yao ya wasauzi"
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Hahahaha sure
Daah hatari sana. Naisikiliza hii ngoma leo 22/7/2023
Bhanaeeee!!!! Musiponiskiliza mtanielewa vipi????musitoboa kwa ngoma hizi muniite mbwa nipo paleee nimekaaaa!!!!@Niaje!!
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man kwa saport
@asasaa2375
Жыл бұрын
Ndefu ata biki aziandiki ....wanajua
Nalia na Mola Kumbe Wanga Wana Mix Sio Hadithi za Sungura Na Fisi, Realy Bongo Flavor, Big up Mandojo Domokaya
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute sn
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa 🙏 🙌
Vocal za Mandojo na Domokaya. Melody 🔥🔥🔥🔥🔥
This music gives me nostalgia,i remember the old gold days of this life,when the music was called the MUSIC❤❤🎉
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
We appreciate this 🙏
2023 I’m here listening gud music ✌🏾
26/07/2024🔥 one of the best
Nko Kenya ila nawakubali sana hizi nyimbo zanikumbusha zamani sana 😊
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa 🙏
Unyama ulikua ni mwingi sana kitambo hiko🙌🏾🙌🏾 thanks to the living legends out there
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🙏🙌
Fantastic song
Ngoma yangu hii kabsa kila nikinunua smu mpya lazma uikute tu kwnye memori respect sna hii ngoma naielewa
Verse ya kwanza daaaaaah 🙌
Nakumbuka mbali sana hii ngoma❤❤❤❤
Much respect….. ❤ old is gold 🎉
from Qatar much love 👊
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Much love 🙏🙌
much respect my brothers, hii ngoma ni kali siku zote. OLD is GOLD always. salut...
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Pamoja sana
Wasanii pekee duniani naez toa hela kwend kuwaangalia 🔱
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Respect sana 🙌
Nlidhani ni collabo na nature first day only OG wataelewa real tz music reppin 4rm 254
@mandojonadomokaya
6 ай бұрын
Respect sana
Those days when music was called Music ... Please make a Remix or new Version of this song
Nkiwa yaki kabisa hii ngoma inakumbusha meng sana ktk maisha nliyokuwa nayapitia wakat uwo aisee
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🔥🙏🙌
2024 nani anaskiliza bado
Siachi kusikiliza 29/5/2024
Nalia na Mola kumbe wanga ndo wanamix..... Dah mstari una hisia sana huuuu
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Noma
Who is still watching in 2024?
Dude langu la kila siku❤
Mimi nasikiliza leo 2024🎉🎉🎉🎉🎉
Ngoma bado inaendelea kunibariki ... Sijaona bado wanamuziki saiz ... Ni vile tu time hii mziki ulikua haulipi kivile .. ila wanyama walikua wanaandika asee
2024 ❤
Aisee, wakati mziki ukiitwa "MZIKI", Sasa ivi Kuna music ..
2024
Bongo flevour
Cha ajabu ni kwamba ameniambia asinione maskan nikipita.......Aisee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli nature huyu ni wa kulipwa 500k 😅😅
Hivi vitu tumevikosa siku nyingi🎉🎉
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeeh baba
Dah big project we want more
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn
Thank you for uploading
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man
Verse ya kwanza ni balaa
Hio verse ya kwanza ni balaa
Today is sunday 2023 i listen this my ❤
Mikamwamba
Best of the best
🔥🔥🔥
Hili dundo kama limetoka leo...
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Noma sana
👊👊👊👊👊
Msela ana Hasira.......🙏
Nimepita tena 2024/01/13 kuinjoy mziki mtamu
2023
Ngoma atar sana❤
ngoma Kali Sana👐
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🙏🙌
Mnafanya kaz wazee
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
🙌
Kati ya domo na mandojo nan mgogo
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Sisi sote sio wagogo ila mandojo kasoma Dodoma shule ya jamuhuri Pia kakulia manyoni
Sir nature!
Ila huyu mika mwamba muacheni tu kwa vinanda
29/10/2023 Nalia na Mola kumbe wanga ndo wanamix
Verse ya kwanza huwa naipenda sana...Sir nature kama kawaida kauwa sanaaa...beat kali sana...nani alitengeneza hii MJ au P funk?
@dicksonfula2335
11 ай бұрын
Album hii alifanya Miika Mwamba kutoa mwimbo mmoja tu wa Nikupe ulifanywa Bongo Records
@emmanuelchanganya1900
11 ай бұрын
Majani
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Mika mwamba at Fm studios
Am here again December 2023
Melodic voices 💯💯👌
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙌
@InnocentTesha
11 ай бұрын
Kbc
Kiwango
Kitu ipo dope xn but hziii old school zkiisha mktk rud n new school tftn ghost writerz so long tumewasbr malegend now u back
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn man
22/8/2023 Nimepita ku enjoy
@mandojonadomokaya
11 ай бұрын
Tishaaa sana 🙌
🔥🔥🔥💥as usual
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Wozaaa
Verse ya kwanza ni hatare xnaaa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia
tafadhali naomba mtolee video iz nyimbo ma regend wetu pia naisubili kwa ham nyimbo ya nizikwe hai
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Video zinakuj
Unyama mwingi
Naikubali ngoma hio hataaar hi ndio miziki
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
E babaa
Acha kabisa
Respect sana
Nice song
🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿✌️
@chrispinuse.mmavelle9872
Жыл бұрын
Mzee upo huku unatafuta madini 😀
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Msipo nisikiliza mtanielewa vipi???? Yaan ngoma kama imetoka leo! Daaa
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn respect
@expert5898
Жыл бұрын
most respect to you son of Francis
🔥🔥🔥💪🏻💪🏻💪🏻
🔥🔥
Vipaji halisi hakijifichi
Naomba lyrics ya hii wimbo, hasa hapo mwanzo
@mandojonadomokaya
10 ай бұрын
Usipo nisikiliza utanielewa vipi, Unaniita looser heshima tena hamnipi Kuvaa napendeza hawaamini nna dhiki, Heti nkicheka Wanadhani niko fresh Huko nlipotoka balaa tupu mkosi Nalia na Mola kumbe wanga ndio wanamix Sio adithi za sungura na fisi Hata hii safari imekuwa ndefu sfiki Ndicho kipindi namfaham yupi rafiki Yupi msaliti azidi tu kudiss Anafinya sisikikii kachala ana chuki Fanya kununa vimba na upasuki Damu full mziki ikichemka tu nakiki Wanapiga ndefu hata Bic haziandiki Wanafitini na dem anipe buti Hawa ridhiki kuniona ndani ya suti Wana roho nyeusi zisizo ng'aa kwa giki Wananifikiria mauti bado sifi...
@philip5851
4 ай бұрын
@@mandojonadomokayauna full lyrics?
23/09/2023
👊👊👊💥💥💥💣
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba
Aisee
Noma
Zama zakale
Pii
No piano😂
2024
🔥🔥🔥
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeh baba
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Eeeeh baba fire