Hakuna uhuru wa kweli ,labda kifo - Dizasta vina (The verteller album review) -PART 1

Ойын-сауық

Instagram: / madinidotcom
facebook : / madinidotcom. .
PODCAST: www.audiomack.com/madinidotcom

Пікірлер: 53

  • @WAZOTV
    @WAZOTV2 жыл бұрын

    Asante kwa kufuatilia.Ukiipenda please share na wengine waitazame📌

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15502 жыл бұрын

    binadamu ni hatari zaidi akiwa mtumwa wa uhuru wake kuliko akiwa mtumwa wa mtu

  • @barakakambi1469
    @barakakambi14692 жыл бұрын

    This is pure gem ...something special in him, tell the people to know

  • @jabirprivatus1655
    @jabirprivatus16552 жыл бұрын

    Naweza kusema Mimi ni shabiki Yako mkubwa kulioo Wote duniani💪💪

  • @makantaafrika
    @makantaafrika2 жыл бұрын

    Madini Tu ✊🏿🖤

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx10 ай бұрын

    Hawa vijana wanatakiwa katika kuijenga nchi yetu, ni chalii tu lakin ana mtazamo wa mbali sana, he actually think beyond the reality, huyu dogo ni mwanafalsa(philosopher) asilia kabisa, keep it up broo💯

  • @jabirprivatus1655
    @jabirprivatus16552 жыл бұрын

    A confession of mad man.. ni Ngoma yangu pendwa kutoka kwako

  • @ramadhanialhabiby6458

    @ramadhanialhabiby6458

    Жыл бұрын

    Sikiliza vizuri Kikioni,🎮over na Shahidi, Rudi nyumban🎯🎯🎯 apewe🧃🧃🧃

  • @mwasianoezekiel5150
    @mwasianoezekiel5150 Жыл бұрын

    Hizi ndo interviews acha na zile kelele za wendawazimu wengine, the interview is kind of educational based which is very good.

  • @officallymbonde9257
    @officallymbonde92572 жыл бұрын

    mkari zaidi yawakari apewi nafasi daah🥲🥲

  • @pellestianomasai1220
    @pellestianomasai1220 Жыл бұрын

    Inafurahisha kuona kuna Vijana wenye akili namna hii katika Sanaa ya Tanzania. What's so pathetic about it ni kwamba vijana kama huyu do not get enough Airtime ili waweze ku impact their society with Positive Thoughts na Inspiration. Where Do I get His Album (The Verteller, not certain with the name)... #DisastaVina is beyond genius..

  • @lionking3015
    @lionking3015 Жыл бұрын

    Dizasta ni msanii Tanzania nzima mwenye deep knowledge ya mambo mengi na ufafanuzi wake uko on point..big up bro. People should listen ur lyrics to get valued info.. period

  • @farajimwaipungu3200
    @farajimwaipungu32002 жыл бұрын

    Uyu jamaa ni htr zaid , D vina the black maradona

  • @petermakoye8918
    @petermakoye89182 жыл бұрын

    Dizasta yuko competent sana.

  • @THE_CONQUERORS_TZ
    @THE_CONQUERORS_TZ2 жыл бұрын

    Jamii imeshiba sana ujinga that's the reason this Nicca is not famous

  • @isamiloprezdent6807
    @isamiloprezdent68072 жыл бұрын

    Huyu jamaaaa n mbad sanaaa

  • @salimmwabundu958
    @salimmwabundu9588 ай бұрын

    Aiseeeh hivi ndio interview inafaa kuwa buana jamaa anauliza maswali Yani unaona hvi ndio inafaa aiseeeh kwn hzi big media hazioni vtu km hzi

  • @kanaanrajab1102
    @kanaanrajab1102 Жыл бұрын

    Really dizasta 🔥 like afanye collaboration na Mzee mbuz

  • @immanuellucass6327
    @immanuellucass63272 ай бұрын

    Ngoma za hyu mwamba znahtaj akili kbwa San kuzielew, glow up kak💪💪💪💪💪

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic2 жыл бұрын

    Love him very much!! Anajuwa sana

  • @salimmwabundu958
    @salimmwabundu9588 ай бұрын

    Kwnza kbsa interview Kali Sanaa ila kuna kelele kdgo wkt wa kufly in and out hyo logo.. 1. Mm n mfatiliaji Bora n mzur wa Interview za Tz hii n interview Bora kwngu nakiri hilo. 2. Host ana akili Mingu sana namna analeta swali next katka maongezi n Noma sana.. 3.Huyu host cmjui n hii media pia sina uelewa nayo Bt huyu host anafaa kuwa media kubwa sana n kuhost hip hop shows kwa media. 4.cjui if the host n age gani bt anatosha kbs kumrithiri Jabir Saleh anajua sanaa

  • @Kyandojrtz
    @Kyandojrtz Жыл бұрын

    Umejua kumuhoji huyu jamaa wengi huwa wanashndwa hongeraaaa

  • @charlesmasali9267
    @charlesmasali92672 жыл бұрын

    Like i said ni lazima utulize kichwa yako kusikiliza hizi interviews

  • @Skipa_01
    @Skipa_012 жыл бұрын

    Living legend

  • @HashimAllyKikwete-tm4zj
    @HashimAllyKikwete-tm4zj Жыл бұрын

    Panorama 🎉🎉🎉

  • @robertgagabhi8188
    @robertgagabhi8188 Жыл бұрын

    Dizasta ni genius mkubwa sana.

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga64722 жыл бұрын

    >>>Noma Sana Jamaa

  • @emmanuelgeorge6537

    @emmanuelgeorge6537

    2 жыл бұрын

    hakuna mwanga wala mganga wa kuwanga hiki kichwa🔥🔥💥

  • @elibarikilukasimakala5534
    @elibarikilukasimakala55342 жыл бұрын

    New living gene 🧬

  • @twahampewa9752
    @twahampewa97522 жыл бұрын

    🤝🤝🤝🤝🤝🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aminumlekeni1397
    @aminumlekeni1397 Жыл бұрын

    Goat

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    Genius

  • @zotto_boy
    @zotto_boy Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @stanleychambo5905
    @stanleychambo59052 ай бұрын

    Aisee mtafute Tena uyu jamaa afanye interview ya hatia sehem ya sita

  • @emmanuelmayombo1858
    @emmanuelmayombo1858 Жыл бұрын

    Mwamba Yuko vizuri sana

  • @daudikipande2507
    @daudikipande25074 ай бұрын

    vina

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    Mosta intellectuali dizasta vina🖤 still

  • @nicksoncharles8240
    @nicksoncharles82402 жыл бұрын

    Kaka gidion tuletee unju na albm yke mpya

  • @paulonjozi1638
    @paulonjozi16382 жыл бұрын

    Unimuelewa lazima uwe MTU mpya

  • @JoeinGermany
    @JoeinGermany Жыл бұрын

    Dizasta

  • @nawinahke710
    @nawinahke7102 жыл бұрын

    Wasomi wawili wakikutana

  • @mossesmganga9691

    @mossesmganga9691

    2 жыл бұрын

    One sentence na analyze full chapter..badest man

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Жыл бұрын

    Dizasta Akili kubwa,

  • @edomc4421
    @edomc4421 Жыл бұрын

    Kichwa huyu jamaa

  • @ochutrendmwonekano5619
    @ochutrendmwonekano5619 Жыл бұрын

    Huyu jamaa aandike kitabu mimi nitakuwa wakwanza kusikiliza

  • @HizzaAbdullah
    @HizzaAbdullah Жыл бұрын

    nomasana dizasit

  • @yonamachaka859
    @yonamachaka859 Жыл бұрын

    No one like Dizasta vina in tz

  • @giovanmsigwa9136
    @giovanmsigwa9136 Жыл бұрын

    hiyo back ground beat ni wimbo gani jamani

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    Жыл бұрын

    Duke touches

  • @WakujaTech
    @WakujaTech2 жыл бұрын

    Hatia III

  • @user-fq1do3xw2o
    @user-fq1do3xw2o10 ай бұрын

    Mbona makele pembeni

  • @immanuellucass6327
    @immanuellucass63272 ай бұрын

    Ngoma za hyu mwamba znahtaj akili kbwa San kuzielew, glow up kak💪💪💪💪💪

  • @twizzycannello2482
    @twizzycannello24823 ай бұрын

    Dizasta

Келесі