Wimbo ni mkuuuuubwa kupita hizi tafsiri
Vina unahitajika studio na Jr mfanye jambo kwenye confession of a mad son
Jr junior anaipenda hip hop toka moyoni kabisa.
Jamaa huyu dizasta anacheza mechi zake peke yake🔥
Tafadhari Ndugu Mtangazaji J R junior 🎤 Mpatie Interview #DIZASTA_VINA 🇹🇿
Umetisha sana
Fanya, umchek ufanye nae interview kama ya masaa 2
D ni rapa namba moja bongo akuna legend alie wai fanya kama yeye
Dizasta vina is a lyrical genius. Vina vimepitia skonga
Mimi sipingi kazi zake
Mwamba ni fundi sana
Uchambuzi wa kibabe sana jr
Hip hop kwenye ramani. mistari ya dizasta, huwa ukiichambua unapata sana vitu.
DIZASTA 🔥🔥🔥🔥
Disasta vina respect sana
Jina lina sadifu yaliomo dizzasta
Jamaa ni fundi xnaa,,,moto,
Mi naomba dizasta awe anachambua mwenyewe izi ngoma maana akili yake sio y kawaida
Dizasta ilibidi awepo ummpe hata masaa 2 then we ukisoma ye anatupa maana zaidi ingekuwa boob kubwa ❤
Msanii mwenye falsafa makini hawezi toa maana ya mziki wake, huo ni mtihani katoa, sasa kazi kwa hadhira kuitafuta maana.
Dizasta ndo jina logo ya mtaa ina shine kuta
Nilitegemea mwaliko unautuma kumwendea akuje hapo studio
Vina
Dizasta vina, ni emcee wa kweli, sema tz vyombo vya habari nchini vinawapa, nafasi mafala inaacha kuwapa nafasi kubwa walimu kama "dizasta vina"
Ni kweli kabisa
🙌🏿
Badman
10:53 samahani Kesho sio wimbo mpya ni wa kitambo sana
Wimbo wa kitambo sema Lyrical video ndio imetoka juzi
Hiv kitambo sana inaanza miaka mingap? maana Verteller haina hata miezi 7
si ni ngungi kuna mda mnamwaaacha tu tu na mamistar yake Joh70
...✍🏻
Andaa EP Kisha kutanisha hii kichwa.. iwe ngoma hata nne tu.. Weewe na d Vina... Tutapambania hiyo project
Пікірлер: 35
Wimbo ni mkuuuuubwa kupita hizi tafsiri
@kiduaalute603
Жыл бұрын
Vina unahitajika studio na Jr mfanye jambo kwenye confession of a mad son
Jr junior anaipenda hip hop toka moyoni kabisa.
Jamaa huyu dizasta anacheza mechi zake peke yake🔥
Tafadhari Ndugu Mtangazaji J R junior 🎤 Mpatie Interview #DIZASTA_VINA 🇹🇿
Umetisha sana
Fanya, umchek ufanye nae interview kama ya masaa 2
D ni rapa namba moja bongo akuna legend alie wai fanya kama yeye
Dizasta vina is a lyrical genius. Vina vimepitia skonga
Mimi sipingi kazi zake
Mwamba ni fundi sana
Uchambuzi wa kibabe sana jr
Hip hop kwenye ramani. mistari ya dizasta, huwa ukiichambua unapata sana vitu.
DIZASTA 🔥🔥🔥🔥
Disasta vina respect sana
Jina lina sadifu yaliomo dizzasta
Jamaa ni fundi xnaa,,,moto,
Mi naomba dizasta awe anachambua mwenyewe izi ngoma maana akili yake sio y kawaida
Dizasta ilibidi awepo ummpe hata masaa 2 then we ukisoma ye anatupa maana zaidi ingekuwa boob kubwa ❤
@nickyvanich6214
Жыл бұрын
Msanii mwenye falsafa makini hawezi toa maana ya mziki wake, huo ni mtihani katoa, sasa kazi kwa hadhira kuitafuta maana.
Dizasta ndo jina logo ya mtaa ina shine kuta
Nilitegemea mwaliko unautuma kumwendea akuje hapo studio
Vina
Dizasta vina, ni emcee wa kweli, sema tz vyombo vya habari nchini vinawapa, nafasi mafala inaacha kuwapa nafasi kubwa walimu kama "dizasta vina"
@kiduaalute603
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
🙌🏿
Badman
10:53 samahani Kesho sio wimbo mpya ni wa kitambo sana
@mugadimon3563
Жыл бұрын
Wimbo wa kitambo sema Lyrical video ndio imetoka juzi
@princegabriel3770
Жыл бұрын
Hiv kitambo sana inaanza miaka mingap? maana Verteller haina hata miezi 7
si ni ngungi kuna mda mnamwaaacha tu tu na mamistar yake Joh70
...✍🏻
@OptatusHaule-hk2zg
Жыл бұрын
Andaa EP Kisha kutanisha hii kichwa.. iwe ngoma hata nne tu.. Weewe na d Vina... Tutapambania hiyo project
Badman