Kwa Wanao Mfahamu DIZASTA VINA Wataelewa Kuwa Huyo Jamaa Ni NOMA SANA🔥✊🏾
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
huyo mwamba NI Zaid ya Moto WA shaba yaaani Noma sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@Arapmisemo
Жыл бұрын
Hana mfano
@abrazo2639 Жыл бұрын
Rapcha kwa dizastaa umepuyanga mzee humuwezi kabisa that guy is a genius
@xhamzy
Жыл бұрын
sawa
@mswimaboaz5657
Жыл бұрын
Dizasta dunia nyingine 🔥
@cayzzertech
Жыл бұрын
Huyo dizasta ndio nan
@cayzzertech
Жыл бұрын
Mm cmjui
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
dizasta ni jini kaka
@molenialex4825 Жыл бұрын
🗣🗣Kwa dizast vina ametukosea sana na ameyakanyaga kwa dizast vina ni next level kabs sio level zake hata kidogo
@worldhappiness1181 Жыл бұрын
Dizasta hatotokea tz, one among the best stor teller in the world
@boemidoke08
Жыл бұрын
Kabisa yule ni jini
@danielkenedy4357
Жыл бұрын
Fact bro
@decotz3947
Жыл бұрын
Saana bro huyu Rapcha kakosea kumtaja hapa
@amriharuna4236
Жыл бұрын
Kwa Rapcha anafanya HIP HOP anarap tu ambayo hata kwenye sebene ipo pia RAP
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
kutoka panoramaaaa
@georgeburchard4872 Жыл бұрын
Huu uchambuzi umeenda shule kweli kweli! Bro Sky huna mpinzani aisee
@g_eazmusic1329 Жыл бұрын
Rapcha naomba uombe pooo tu kwa Dizasta vinna uyu Alitaka kuwa nabii sema ana wema wakutosha 😂😂
@byronbornventure3957
Жыл бұрын
Nkubar..
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
hapo kazingua sana rapcha Bora angetulia au kuwadiss hao wengine2 ila co DIZASTAVINA hapo kakoleza Moto WA mkaa WA nawe kisha kuweka chumvi ya madonge
@heliudjulias7748 Жыл бұрын
Rapcha namueshim kwa kazi zake kari rakini kumdisi DIZASTA hawezi zile levo noma asikie no body safe
@yakoboesenga5754 Жыл бұрын
Fans wa rap rapcha sugu from usa 🇺🇸 Portland Oregon
@jameschumbula7351 Жыл бұрын
Dizaxta Akir nying czan kama ana muda huo🔥🔥🔥
@eastlule2081 Жыл бұрын
Am fucking dizasta fan for life
@husseinmassawa7186 Жыл бұрын
Bongo kwa showbizz mnaziweza kweli, apo tunajua wote walishakaa mezani ili wainue mziki wa Rap, ila best of rapper bongo ni mmoja tu DIZASTA VINA
@wakijivu8562
Жыл бұрын
haipngiki
@hassankambwili957
Жыл бұрын
Hakuna kama zuzu
@charlesbundala6523
Жыл бұрын
😂😂😂 Kama ulikuwepo
@mudybugu7908 Жыл бұрын
Kaka Sky kwanza fanya mpango ufanye interview na Dizasta maana Dizasta ni wasanii sio msanii.
@callmelwizz553 Жыл бұрын
Nobody is safe 4 Style yangu ime inspire the culture ime inspire the nengos, the shoulins, the nachas, the boshos, the killer, the maarifa, the rapchas nimeacha DNA hata nikidanja sina deni tena
@yascoguidezanzibar5925
Жыл бұрын
Hii ipo kw dizasta?
@callmelwizz553
Жыл бұрын
@@yascoguidezanzibar5925 yeah man iyo unaipata ndan ya nobody is safe 4 ya dizasta
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Masta na sumu Ka Kobra Simba wa wateranga na nguvu zaidi ya drogba salute
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
kaka inatosha utauaaa
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Eyo kutoka panorama nasukuma ringi kisomi mana wakufanya hivi simuoni na maji ni ya shingo nawapalia madingi kooni Kwa mistari mingi kushinda ata nzi sokoni
@aissaleekimondoboy Жыл бұрын
Sio kwa dizasta vina ile ni future ya dogo rapcha dizasta ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@OSOONLINETV Жыл бұрын
Majibu ya RAPCHA tayari uko..... @dizastavina BEST FRIEND
@strong8534 Жыл бұрын
Brother Sky, mbona kama unachochea kwa mbaaaaali 😂😂😂 (hapo kwa Dizasta)😂
@hafidhali4336 Жыл бұрын
Sky✌wewe ni teacher
@xuperansu Жыл бұрын
The best media for me SNS forever 🔥🙌🙌🙌🙌
@lampadshigonko3006 Жыл бұрын
bro unajua kuchambua.. salute sana
@godwinananias5358 Жыл бұрын
Kwa Dizasta Vina amejichangny sanaaaaaaa 😅😅
@abrazo2639
Жыл бұрын
Kajichanganya kweli uyo dogo hamuwezi dizastaa hata aandike kwa miaka ishirini
@michaellutonjagospelsinger6611
Жыл бұрын
Watu waoga nyie
@cosbytz2370 Жыл бұрын
Rapcha kachokoza mzinga kwa Dizasta
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
atakufaa uyu
@WakujaTech Жыл бұрын
Rapcha kajitahidi, ila Kwa mtu kama Black maradona hata ikitokea kajibu diss Rapcha anaweza asielewe kama kajibiwa🚶🏿♂️
@Jitu_Lisilofikirika.
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@magnificententertainment9328 Жыл бұрын
Promising na upcoming ni vitu 2 tofauti. Huyu ni Promising....na Promising sio chipukizi....upcoming ndo chipukizi...
@duweetherapytalk4656 Жыл бұрын
KWANI BABUTALE YE NANI ATOE LIST
@shaphyvuai6805 Жыл бұрын
Asante Sana brother sky... Angalau nimelewa nilikua najiuliza maswal mengi bada ya kuskiliza huu wimbo
@kijokombao5345 Жыл бұрын
Hakuna maana ya hip-hop hapo tatizo ni utoto tu,lakini disaster ni bonge la mtu
@einsteinmboje4730 Жыл бұрын
Me Hata Sijaelewa Shida Ya Young Lunya Iko Wapi Hapo ...Huyo Itakuwa Ana Personal Beef
@mudybugu7908 Жыл бұрын
Album 3 za Rapcha ni Sawa na Ngoma moja ya Dizasta Vina
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
kabisaaaaa
@gregorymsetule4473
Жыл бұрын
Ukwel mtupu 🤣
@tommytyga4417 Жыл бұрын
Sema huyu chalii kama kachokoza nyuki hamjui Vina vzr
@micochazi9153 Жыл бұрын
Ebu kwanza acheni kumtaja dizasta kwa vitu vya kikuma
@GamechangerTz Жыл бұрын
Umetafsiri Izi bars vizuri sana Anko Sky ata km vingine hujaviaddress vile Rapcha May be alikuwa ametarget viwe ila kwa karibia asilimia 90 au zaidi kilichoimbwa mule ndo kitu ulichokitafasili 🙌🙌🙌🙌🙌
@m___ck799 Жыл бұрын
I like this guy..I only follow him and Mwana FA katika rappers Tz 🔥
@starford Жыл бұрын
I like how you break down these lyrics Sky. You really dig Bongo Hip-Hop
@abdallahkassim318 Жыл бұрын
Belle 9,song WATU, wacheni mambo mengi
@guccij6236 Жыл бұрын
Napenda Sanaa mziki wa Diss
@salashbooben5563 Жыл бұрын
Shukran sana bro sky Yani nmeskia hii track ila skua nimeelewa kitu hata kimoja Ivi naelewa mwanzo mwisho🙏🙏
@lutegochangarawe412 Жыл бұрын
Ahsante kwa uffanuzi brother sky umebadilisha ulimwengu wa Giza kuwa Nuru🙏🙏🙏
@zombiiUpdates Жыл бұрын
Rapcha katoka kwa story teller songs alafu anataka ku mdiss baba ake story king
@patriciatumain172 Жыл бұрын
Rapcha nomaaa much respect to WANAGU 99 #RAPCHA
@bajosdamour2347 Жыл бұрын
Swa swa niliuskia wimbo ila siku Uelewa vizuri Asante #Sns
@elibarikilukasimakala5534 Жыл бұрын
Prof Tungo sio level zako kk
@etiennezango9180 Жыл бұрын
Sky, for real Nipo 🇺🇸 na SNS na Millard Ayo ndio sehem mbili nina enjoy kusikiliza, big up bro.
@samwelipaul9014
Жыл бұрын
State gani?
@maryammussa2002
Жыл бұрын
Same as me
@decotz3947 Жыл бұрын
Kumchama Dizasta ni kushushia heshima mistari
@taseni_vevo
Жыл бұрын
Kabisa 😁😁
@brightvatta284 Жыл бұрын
Heshima sana SKY... Respect!
@kayjuma2629 Жыл бұрын
Sky umeelezea poa kama ulitunga nae vile 🔥🔥🔥
@maulidubaya Жыл бұрын
Rapcha kauwa banaa kasema ukwel wake sio msanii chipukizi kwasas apewe heshima yake ila wabongo atuangalii ilo tunaona kama katafuta kiki lakin kwa upande wangu namtu ambae anamwelewa Rapcha na mziki wake nisahihi Aaaah mm sina shaka nawew Mwanangu 99
@Kingsagey_ Жыл бұрын
Sky fire kaka niuchambuzi flani mkali
@yahyashee4857 Жыл бұрын
HUYO DIZASTA HATA NMEMSIKILIZA HANA LOLOTE KABISAA, WACHENI KUMLINGANISHA KING RAPCHA NA HUYO DIZASTA.
@Makavelithedon2086 Жыл бұрын
*Rapcha kachokoza pabaya Dizasta vina sio wa nchi hii ategemee diss track back*
@raymondtsumah6410
Жыл бұрын
Nikama ulijuwa😂😂😂
@charlesbundala6523
Жыл бұрын
Kwakwel diss track hyoo sijui rapcha atajibu nn
@johannesjoseph7496
Жыл бұрын
Daaa hawezi jibu...hakijibu atakua anatafta tu aibu
@musicworldwide2625 Жыл бұрын
DIZASTA NI MOTO MWINGINE BONGO
@kalziidazamba2862 Жыл бұрын
Uyu babu tale nae kakosea kwa uwezo wa rapcha sio wakuwekwa kwenye hii list..uku kwetu mozambique🇲🇿 mbona tunakubali uwezo wa rapcha hasa katika ile ngoma yake ya lissa.. daah..🔥🔥
@princemichael3023
Жыл бұрын
Mchukueni
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Ukovr
@kelvinkomba2938 Жыл бұрын
Dizasta is the next level to rapcha so heshima kwakeeee,,,eventhaugh tunaheshm uwezo wa rapcha,,,
@_maky26 Жыл бұрын
Mzee yani huyu dogo umejichanganya dizasta siyo level zake kabisa mzee
@mtangananjia5759 Жыл бұрын
Sis wengine tunamjua rapcha kitambo tokea freestyle za kisanga sasa utasemaje chipkiz tunamjua tokea mwaka majuzi
@fancebtz1071
Жыл бұрын
Hawa wamemjua kwenye lissa hawajui kitu😁😁😁
@yayabruce7161 Жыл бұрын
Nakubali kwaufafanuzi🙏🏿🙏🏿
@Hashdough Жыл бұрын
PROMISING NA UPCOMING SIO KITU KIMOJA THO!!!
@alllymadulago7200 Жыл бұрын
dizasta vina ndio future yako....dogo kuwa na heshima
@nizobeatz90 Жыл бұрын
we jamaa unajua sana kuelezea ngomA
@amnailmtulya1533 Жыл бұрын
seriously 😃😃😃😃 wanakusikiliza kama President...hii ni uongo bhana
@wilonjabikey8274 Жыл бұрын
I love it aaaaaah
@roybazigu765 Жыл бұрын
Acha Kumfananisha Dizasta Vina na watoto wasiojua Kuchana na kuandika…. 🎤✍️
@goramatz9488 Жыл бұрын
@dizastavina 😂😂😂 uyu jamaa atengwe🙌🏿
@calvinmalik Жыл бұрын
Hakuna rappa wakumfananisha na dizasta vina. Nashangaa huyu dg rapcha mtoto mzuri anajaribu kutunisha misuli ya chipsi mayai
@sevystaronedancer1785 Жыл бұрын
Ila rapcha yupo sahihi ,ila hii ya kumudiss Dizasta vina hapa kapotea njia ,mana dizasta ni mkali na ngoma zake ni kal sana
@geefire8826
Жыл бұрын
apo atuzungumzii ukali ingekuwa m2 akikuzinguwa bx umuache2 kisa nimkalii Eshima isingekuwepo nakilam2 angekuwa anakaa naki2 moyoni alfu ukumbuke apo hajadiss m2 apo kasema ukweli unao mkela😏
@OSOONLINETV
Жыл бұрын
Dizasta keshajibu uko....wimbo unaitwa BEST FRIEND
@gembesimba
Жыл бұрын
Dizasta Ni Bora Ila ameyumba Ktk Watu wanaomdis rapcha yeye Kasapot ndomana kamchana hip-hop haina Unafki
@mzenjikichaa8695 Жыл бұрын
Nakubali sana rapcha
@MrLionVictor Жыл бұрын
dah uchambuzi umenyooka! media bora sana
@raymondmuga7542 Жыл бұрын
Lunya ni rapper mzuri, ila dogo ameanza kuvimba, Meek mill wanna be
@barakastephan9425 Жыл бұрын
Hapa kwa Dizasta, rapcha kaingia chaka😀😀😃
@g_eazmusic1329
Жыл бұрын
Kwa Dizasta apo kweli ame jichanganya
@richardmwabe8065
Жыл бұрын
Sanaaaaaa 😅😅😅😅
@kidmikashi8178 Жыл бұрын
dizasta ni moto mwingine kabisa sema tuuh jamaa hachukulii serious sana hii kitu
@phiniasntem244
Жыл бұрын
Sure mzeee wangu
@_maky26
Жыл бұрын
Nadhani dizasta anafanya muziki kama kitu cha ziada tu yule Mshikaji hayko mainstream lkin ana mashabiki zake kibaooo 🙌🏻 respect dizasta
@janetahmed6948 Жыл бұрын
sasa huo kinyago hajulikani mimi mwenyewe namuona hapa sikukua namujua jamani akajambe huko sasa anajua nini jamani kubali kwani sarafina njo nani
@fredrickmatiku7783 Жыл бұрын
Hip hop ya bongo inakua sana madogo wanarap kaama wakina jay z kanyewest maasta wa marekani kawaida diisss that’s is hip hop no gun shot
@mullahkaposo6663 Жыл бұрын
Thankyu sky🔥
@saveyourgenerationtv9928 Жыл бұрын
Ukichukua hiyo list ya babu tale ukijumlisha uwezo wao bado hawamfikii Dizasta vina
@musicworldwide2625 Жыл бұрын
Yani nunachana dizasta unamuweza kweli atakupiga kwa falsafa
@kdloon2030 Жыл бұрын
Tale kafara aliyo itoa ili apate ubunge sasa yaanza,kumpeleka resi.Bungeni hua achangii mada,ila anakuja Insta kuwadiss watu.Mtu mzima unapo shindwa kuonyesha heshima kwa ulio wazidi umri,basi yabidi uvumilie utakapo anza kutukanwa.
@fredymushy9674 Жыл бұрын
Upo vizur Fred big up broo endelea ivi tupo pamoja....99
@conciousclement2 Жыл бұрын
SnS Forever 🙌🙌🙌
@motrathefuture Жыл бұрын
😂😂😂 chapcha bhana
@adinankojulianko219
Жыл бұрын
Show Respect Mzee, Chapcha ndo nn Kakuzidi Parefu sana huyo Jamaa 164K subscriber's. Una 20.9K Still Bado unazngua
@alibinali_ Жыл бұрын
Huyo dogo ata sauti yake bado sana hatoshi kwa young lunya and Conboi
@salimtabu4703
Жыл бұрын
Uongo uwo..
@fancebtz1071
Жыл бұрын
Uyo lunya bado sana ni hiyo kubebwa tu
@yasrikomba7874 Жыл бұрын
Mm ndio maana mm nasema ao ziongozi wanafanya mambo yakitoto
@clevertouch4615 Жыл бұрын
Dizasta ni jiniaz yule jamaa
@listerlugisho52 Жыл бұрын
Ulijua Sana kuzungumzia ishu ya dizasta... Dizasta Ni hatar xana
@vibetz9991 Жыл бұрын
Bora Angemueka Lavalava.
@mastaplan Жыл бұрын
Hip hop ichangamke kwa hawa madogo
@frankeljaguar Жыл бұрын
Eti Dizasta Vina, ni kama kujipeleka kichinjio mwenyewe
@ShaqueeBlackrapper Жыл бұрын
Dizasta ni hatari sana uyo mtoto Rapcha bado sana ANANUKA MIKOJO hajakomaa kwenye gemu
@ommyfitness Жыл бұрын
Rapcha na Dizasta wote Wanangu wasiengage Tena
@SlsProductionTz Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@messaabbas739 Жыл бұрын
Mmmh rapcha naye ni nani 🤔 honestly nimemjua leo,
@aloyceroscher7892 Жыл бұрын
Dizasta vina asiongelewe ovyo plz😎
@pst.AngeMwande Жыл бұрын
Daaah umeuchambua utamuuu Sana congrats big
@hitmanhunter9557 Жыл бұрын
Pia hyo i kip it 99 alisema kua no can be 100 % percent ndomaana anatumiaga 99 aki acknowledge kua kuna 1% wote tunaweza teleza.
@mzirairebeca9996 Жыл бұрын
Brother sky hivi hata hao wanaojiita wameishi chicago wanashindwa tafasiri promising? Of course promising inaweza maanisha chipukizi ila hili neno linawafiti hao madogo hata marioo na ukali wake bado ni promising sababu ni talent kubwa zinazoonyesha ukubwa mbeleni. NB: Waambie waache jishauwa na lugha za watu ka terminologies ndogo ndogo za washinda wawe tu waswazi ka sie na huo umarekani wao.
@danieljackson9080 Жыл бұрын
Hiyo like ni minor case Wachana na dizasta kabisa ile ni bahari ya rhymes mzeee
@talibthetruth8709 Жыл бұрын
Dizasta ndio rapa mwenye Puch kali kuliko woooote
@issamatola2031 Жыл бұрын
Nimeeeelewa zaid kuliko nilivyo isikilizA mwenywew
@allenmoviesreview4405 Жыл бұрын
Tufautixheni hip hop ya wabana pua na za watu wagumu,dizast vina my men anaimba ngumu ambazo tunasikiliza wagumu
@karimshabani4186 Жыл бұрын
Apotaari anazihirisha kuwa nicipukizi
@bigirimanadaudi9797 Жыл бұрын
Huyo mtoto mdogo tu style ya rap yake yenyew mbovu unapataje ujasiri wakumdis Dizasta Dizasta nihabari nyingine
Пікірлер: 329
Kwa Wanao Mfahamu DIZASTA VINA Wataelewa Kuwa Huyo Jamaa Ni NOMA SANA🔥✊🏾
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
huyo mwamba NI Zaid ya Moto WA shaba yaaani Noma sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@Arapmisemo
Жыл бұрын
Hana mfano
Rapcha kwa dizastaa umepuyanga mzee humuwezi kabisa that guy is a genius
@xhamzy
Жыл бұрын
sawa
@mswimaboaz5657
Жыл бұрын
Dizasta dunia nyingine 🔥
@cayzzertech
Жыл бұрын
Huyo dizasta ndio nan
@cayzzertech
Жыл бұрын
Mm cmjui
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
dizasta ni jini kaka
🗣🗣Kwa dizast vina ametukosea sana na ameyakanyaga kwa dizast vina ni next level kabs sio level zake hata kidogo
Dizasta hatotokea tz, one among the best stor teller in the world
@boemidoke08
Жыл бұрын
Kabisa yule ni jini
@danielkenedy4357
Жыл бұрын
Fact bro
@decotz3947
Жыл бұрын
Saana bro huyu Rapcha kakosea kumtaja hapa
@amriharuna4236
Жыл бұрын
Kwa Rapcha anafanya HIP HOP anarap tu ambayo hata kwenye sebene ipo pia RAP
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
kutoka panoramaaaa
Huu uchambuzi umeenda shule kweli kweli! Bro Sky huna mpinzani aisee
Rapcha naomba uombe pooo tu kwa Dizasta vinna uyu Alitaka kuwa nabii sema ana wema wakutosha 😂😂
@byronbornventure3957
Жыл бұрын
Nkubar..
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
hapo kazingua sana rapcha Bora angetulia au kuwadiss hao wengine2 ila co DIZASTAVINA hapo kakoleza Moto WA mkaa WA nawe kisha kuweka chumvi ya madonge
Rapcha namueshim kwa kazi zake kari rakini kumdisi DIZASTA hawezi zile levo noma asikie no body safe
Fans wa rap rapcha sugu from usa 🇺🇸 Portland Oregon
Dizaxta Akir nying czan kama ana muda huo🔥🔥🔥
Am fucking dizasta fan for life
Bongo kwa showbizz mnaziweza kweli, apo tunajua wote walishakaa mezani ili wainue mziki wa Rap, ila best of rapper bongo ni mmoja tu DIZASTA VINA
@wakijivu8562
Жыл бұрын
haipngiki
@hassankambwili957
Жыл бұрын
Hakuna kama zuzu
@charlesbundala6523
Жыл бұрын
😂😂😂 Kama ulikuwepo
Kaka Sky kwanza fanya mpango ufanye interview na Dizasta maana Dizasta ni wasanii sio msanii.
Nobody is safe 4 Style yangu ime inspire the culture ime inspire the nengos, the shoulins, the nachas, the boshos, the killer, the maarifa, the rapchas nimeacha DNA hata nikidanja sina deni tena
@yascoguidezanzibar5925
Жыл бұрын
Hii ipo kw dizasta?
@callmelwizz553
Жыл бұрын
@@yascoguidezanzibar5925 yeah man iyo unaipata ndan ya nobody is safe 4 ya dizasta
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Masta na sumu Ka Kobra Simba wa wateranga na nguvu zaidi ya drogba salute
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
kaka inatosha utauaaa
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Eyo kutoka panorama nasukuma ringi kisomi mana wakufanya hivi simuoni na maji ni ya shingo nawapalia madingi kooni Kwa mistari mingi kushinda ata nzi sokoni
Sio kwa dizasta vina ile ni future ya dogo rapcha dizasta ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Majibu ya RAPCHA tayari uko..... @dizastavina BEST FRIEND
Brother Sky, mbona kama unachochea kwa mbaaaaali 😂😂😂 (hapo kwa Dizasta)😂
Sky✌wewe ni teacher
The best media for me SNS forever 🔥🙌🙌🙌🙌
bro unajua kuchambua.. salute sana
Kwa Dizasta Vina amejichangny sanaaaaaaa 😅😅
@abrazo2639
Жыл бұрын
Kajichanganya kweli uyo dogo hamuwezi dizastaa hata aandike kwa miaka ishirini
@michaellutonjagospelsinger6611
Жыл бұрын
Watu waoga nyie
Rapcha kachokoza mzinga kwa Dizasta
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
atakufaa uyu
Rapcha kajitahidi, ila Kwa mtu kama Black maradona hata ikitokea kajibu diss Rapcha anaweza asielewe kama kajibiwa🚶🏿♂️
@Jitu_Lisilofikirika.
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Promising na upcoming ni vitu 2 tofauti. Huyu ni Promising....na Promising sio chipukizi....upcoming ndo chipukizi...
KWANI BABUTALE YE NANI ATOE LIST
Asante Sana brother sky... Angalau nimelewa nilikua najiuliza maswal mengi bada ya kuskiliza huu wimbo
Hakuna maana ya hip-hop hapo tatizo ni utoto tu,lakini disaster ni bonge la mtu
Me Hata Sijaelewa Shida Ya Young Lunya Iko Wapi Hapo ...Huyo Itakuwa Ana Personal Beef
Album 3 za Rapcha ni Sawa na Ngoma moja ya Dizasta Vina
@alfredsoso9070
Жыл бұрын
kabisaaaaa
@gregorymsetule4473
Жыл бұрын
Ukwel mtupu 🤣
Sema huyu chalii kama kachokoza nyuki hamjui Vina vzr
Ebu kwanza acheni kumtaja dizasta kwa vitu vya kikuma
Umetafsiri Izi bars vizuri sana Anko Sky ata km vingine hujaviaddress vile Rapcha May be alikuwa ametarget viwe ila kwa karibia asilimia 90 au zaidi kilichoimbwa mule ndo kitu ulichokitafasili 🙌🙌🙌🙌🙌
I like this guy..I only follow him and Mwana FA katika rappers Tz 🔥
I like how you break down these lyrics Sky. You really dig Bongo Hip-Hop
Belle 9,song WATU, wacheni mambo mengi
Napenda Sanaa mziki wa Diss
Shukran sana bro sky Yani nmeskia hii track ila skua nimeelewa kitu hata kimoja Ivi naelewa mwanzo mwisho🙏🙏
Ahsante kwa uffanuzi brother sky umebadilisha ulimwengu wa Giza kuwa Nuru🙏🙏🙏
Rapcha katoka kwa story teller songs alafu anataka ku mdiss baba ake story king
Rapcha nomaaa much respect to WANAGU 99 #RAPCHA
Swa swa niliuskia wimbo ila siku Uelewa vizuri Asante #Sns
Prof Tungo sio level zako kk
Sky, for real Nipo 🇺🇸 na SNS na Millard Ayo ndio sehem mbili nina enjoy kusikiliza, big up bro.
@samwelipaul9014
Жыл бұрын
State gani?
@maryammussa2002
Жыл бұрын
Same as me
Kumchama Dizasta ni kushushia heshima mistari
@taseni_vevo
Жыл бұрын
Kabisa 😁😁
Heshima sana SKY... Respect!
Sky umeelezea poa kama ulitunga nae vile 🔥🔥🔥
Rapcha kauwa banaa kasema ukwel wake sio msanii chipukizi kwasas apewe heshima yake ila wabongo atuangalii ilo tunaona kama katafuta kiki lakin kwa upande wangu namtu ambae anamwelewa Rapcha na mziki wake nisahihi Aaaah mm sina shaka nawew Mwanangu 99
Sky fire kaka niuchambuzi flani mkali
HUYO DIZASTA HATA NMEMSIKILIZA HANA LOLOTE KABISAA, WACHENI KUMLINGANISHA KING RAPCHA NA HUYO DIZASTA.
*Rapcha kachokoza pabaya Dizasta vina sio wa nchi hii ategemee diss track back*
@raymondtsumah6410
Жыл бұрын
Nikama ulijuwa😂😂😂
@charlesbundala6523
Жыл бұрын
Kwakwel diss track hyoo sijui rapcha atajibu nn
@johannesjoseph7496
Жыл бұрын
Daaa hawezi jibu...hakijibu atakua anatafta tu aibu
DIZASTA NI MOTO MWINGINE BONGO
Uyu babu tale nae kakosea kwa uwezo wa rapcha sio wakuwekwa kwenye hii list..uku kwetu mozambique🇲🇿 mbona tunakubali uwezo wa rapcha hasa katika ile ngoma yake ya lissa.. daah..🔥🔥
@princemichael3023
Жыл бұрын
Mchukueni
Ukovr
Dizasta is the next level to rapcha so heshima kwakeeee,,,eventhaugh tunaheshm uwezo wa rapcha,,,
Mzee yani huyu dogo umejichanganya dizasta siyo level zake kabisa mzee
Sis wengine tunamjua rapcha kitambo tokea freestyle za kisanga sasa utasemaje chipkiz tunamjua tokea mwaka majuzi
@fancebtz1071
Жыл бұрын
Hawa wamemjua kwenye lissa hawajui kitu😁😁😁
Nakubali kwaufafanuzi🙏🏿🙏🏿
PROMISING NA UPCOMING SIO KITU KIMOJA THO!!!
dizasta vina ndio future yako....dogo kuwa na heshima
we jamaa unajua sana kuelezea ngomA
seriously 😃😃😃😃 wanakusikiliza kama President...hii ni uongo bhana
I love it aaaaaah
Acha Kumfananisha Dizasta Vina na watoto wasiojua Kuchana na kuandika…. 🎤✍️
@dizastavina 😂😂😂 uyu jamaa atengwe🙌🏿
Hakuna rappa wakumfananisha na dizasta vina. Nashangaa huyu dg rapcha mtoto mzuri anajaribu kutunisha misuli ya chipsi mayai
Ila rapcha yupo sahihi ,ila hii ya kumudiss Dizasta vina hapa kapotea njia ,mana dizasta ni mkali na ngoma zake ni kal sana
@geefire8826
Жыл бұрын
apo atuzungumzii ukali ingekuwa m2 akikuzinguwa bx umuache2 kisa nimkalii Eshima isingekuwepo nakilam2 angekuwa anakaa naki2 moyoni alfu ukumbuke apo hajadiss m2 apo kasema ukweli unao mkela😏
@OSOONLINETV
Жыл бұрын
Dizasta keshajibu uko....wimbo unaitwa BEST FRIEND
@gembesimba
Жыл бұрын
Dizasta Ni Bora Ila ameyumba Ktk Watu wanaomdis rapcha yeye Kasapot ndomana kamchana hip-hop haina Unafki
Nakubali sana rapcha
dah uchambuzi umenyooka! media bora sana
Lunya ni rapper mzuri, ila dogo ameanza kuvimba, Meek mill wanna be
Hapa kwa Dizasta, rapcha kaingia chaka😀😀😃
@g_eazmusic1329
Жыл бұрын
Kwa Dizasta apo kweli ame jichanganya
@richardmwabe8065
Жыл бұрын
Sanaaaaaa 😅😅😅😅
dizasta ni moto mwingine kabisa sema tuuh jamaa hachukulii serious sana hii kitu
@phiniasntem244
Жыл бұрын
Sure mzeee wangu
@_maky26
Жыл бұрын
Nadhani dizasta anafanya muziki kama kitu cha ziada tu yule Mshikaji hayko mainstream lkin ana mashabiki zake kibaooo 🙌🏻 respect dizasta
sasa huo kinyago hajulikani mimi mwenyewe namuona hapa sikukua namujua jamani akajambe huko sasa anajua nini jamani kubali kwani sarafina njo nani
Hip hop ya bongo inakua sana madogo wanarap kaama wakina jay z kanyewest maasta wa marekani kawaida diisss that’s is hip hop no gun shot
Thankyu sky🔥
Ukichukua hiyo list ya babu tale ukijumlisha uwezo wao bado hawamfikii Dizasta vina
Yani nunachana dizasta unamuweza kweli atakupiga kwa falsafa
Tale kafara aliyo itoa ili apate ubunge sasa yaanza,kumpeleka resi.Bungeni hua achangii mada,ila anakuja Insta kuwadiss watu.Mtu mzima unapo shindwa kuonyesha heshima kwa ulio wazidi umri,basi yabidi uvumilie utakapo anza kutukanwa.
Upo vizur Fred big up broo endelea ivi tupo pamoja....99
SnS Forever 🙌🙌🙌
😂😂😂 chapcha bhana
@adinankojulianko219
Жыл бұрын
Show Respect Mzee, Chapcha ndo nn Kakuzidi Parefu sana huyo Jamaa 164K subscriber's. Una 20.9K Still Bado unazngua
Huyo dogo ata sauti yake bado sana hatoshi kwa young lunya and Conboi
@salimtabu4703
Жыл бұрын
Uongo uwo..
@fancebtz1071
Жыл бұрын
Uyo lunya bado sana ni hiyo kubebwa tu
Mm ndio maana mm nasema ao ziongozi wanafanya mambo yakitoto
Dizasta ni jiniaz yule jamaa
Ulijua Sana kuzungumzia ishu ya dizasta... Dizasta Ni hatar xana
Bora Angemueka Lavalava.
Hip hop ichangamke kwa hawa madogo
Eti Dizasta Vina, ni kama kujipeleka kichinjio mwenyewe
Dizasta ni hatari sana uyo mtoto Rapcha bado sana ANANUKA MIKOJO hajakomaa kwenye gemu
Rapcha na Dizasta wote Wanangu wasiengage Tena
🔥🔥🔥
Mmmh rapcha naye ni nani 🤔 honestly nimemjua leo,
Dizasta vina asiongelewe ovyo plz😎
Daaah umeuchambua utamuuu Sana congrats big
Pia hyo i kip it 99 alisema kua no can be 100 % percent ndomaana anatumiaga 99 aki acknowledge kua kuna 1% wote tunaweza teleza.
Brother sky hivi hata hao wanaojiita wameishi chicago wanashindwa tafasiri promising? Of course promising inaweza maanisha chipukizi ila hili neno linawafiti hao madogo hata marioo na ukali wake bado ni promising sababu ni talent kubwa zinazoonyesha ukubwa mbeleni. NB: Waambie waache jishauwa na lugha za watu ka terminologies ndogo ndogo za washinda wawe tu waswazi ka sie na huo umarekani wao.
Hiyo like ni minor case Wachana na dizasta kabisa ile ni bahari ya rhymes mzeee
Dizasta ndio rapa mwenye Puch kali kuliko woooote
Nimeeeelewa zaid kuliko nilivyo isikilizA mwenywew
Tufautixheni hip hop ya wabana pua na za watu wagumu,dizast vina my men anaimba ngumu ambazo tunasikiliza wagumu
Apotaari anazihirisha kuwa nicipukizi
Huyo mtoto mdogo tu style ya rap yake yenyew mbovu unapataje ujasiri wakumdis Dizasta Dizasta nihabari nyingine