DIZASTA VINA amlipua RAPCHA kwenye BEST FRIEND ‘Sasa amua vyema, ukikosea unazama maji’

Ойын-сауық

Dizasta Vina - Best Friend
• Dizasta Vina - Best Fr...
Rapcha - Story Nyingine Freestyle
• Rapcha - Story Nyingin...

Пікірлер: 386

  • @raphaelpeter6820
    @raphaelpeter6820 Жыл бұрын

    "Sio kila mjinga unamzidi kila kitu" naomba Rapcha atulie kabisa Kama wamemuonya kwa dakika 8:27 akijibu Basi balaa la Dizasta ni la masaa 48 naomba like kwa Dizasta heshima kwake

  • @WakujaTech

    @WakujaTech

    Жыл бұрын

    😂

  • @uriotz_

    @uriotz_

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @christinanjovu3982

    @christinanjovu3982

    Жыл бұрын

    Iki kichwa rapcha hakiwez at wakiungan na lunya hawamuwez km onyo katumia dk 8 je akidis?

  • @deogratiasmalelo7471

    @deogratiasmalelo7471

    Жыл бұрын

    Ilaa amekima akijitingisha ameisha kifo

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 Жыл бұрын

    Naomba kwa mashabiki wote wa hip hop ya bongo, Dizasta vina apewe TUZO🙏🏿🙏🏿

  • @volcanoland9526

    @volcanoland9526

    Жыл бұрын

    Dizasta namkubali

  • @mendradmuhile2492

    @mendradmuhile2492

    Жыл бұрын

    Kaua🤣

  • @salumamiri

    @salumamiri

    Жыл бұрын

    tuangalie jinsi gan tunaweza kumfikia jamaa apewe haki yak kitaifa

  • @Donebyresbees

    @Donebyresbees

    Жыл бұрын

    HAPANA KAKA INABIDI AJENGEWE SANAMU 👑👑👑👑👑

  • @potimgodi5735

    @potimgodi5735

    Жыл бұрын

    Jamani huyu mwamba ni nyoko sheheeeeee ni shid dizastar

  • @GamechangerTz
    @GamechangerTz Жыл бұрын

    Siku Moja mualike The black Maradona ufanye nae interview brother sky ikikupendeza 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kelvinmwaibasa4825
    @kelvinmwaibasa4825 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni Never Regular 🤯…..Rapcha kayakanyaga 😂😂

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 Жыл бұрын

    *Siniliwaambia moto wa Dizasta vina sio mchezo haya m’meona sasa* 😂😂😂

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Жыл бұрын

    Rapcha kazingua sana, cheki sasa kilichomkuta🙌

  • @modestentwari4807
    @modestentwari4807 Жыл бұрын

    i 'm frm RWANDA there is no rap in east africa like dizasta & mwana fa ,fid q, ay ,do samething to promate this guyz is very telented ever

  • @bensonpeter4692

    @bensonpeter4692

    Жыл бұрын

    dont forget Khaligraph Jones

  • @smgfamilygroup2414
    @smgfamilygroup2414 Жыл бұрын

    SNS BROTHER UNA JUA SANA KUCHAMBUA MZIKI TUNA ITAJI WATU KAMA NYIE MUNGU AWAPE MAISHA MALEVU TUNA INJOI UDUMA ZENU 🙏🙏🙏🙏

  • @smgfamilygroup2414

    @smgfamilygroup2414

    Жыл бұрын

    @@alliymohamedalliy6524 FANYA WEWE KAMA LAISI

  • @Vanisikaka
    @Vanisikaka Жыл бұрын

    Lunya left.. Rapcha Typing🤔.. Tale trip to garilaya.. Fela Muted... Kadgo Witness.. Candy Crush Uninstalling.. Mavuzi got Respect🙌🏾.. Mende got shot💥 Kanisa knows everything about Dazasta🙌🏾

  • @TheMint_tz

    @TheMint_tz

    Жыл бұрын

    Naomba twende tukareact hizi ngoma zote 😂😂😂😂

  • @emmaonalloh5515

    @emmaonalloh5515

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @comics3437

    @comics3437

    Жыл бұрын

    😀😀

  • @princegabriel3770

    @princegabriel3770

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @aissaleekimondoboy

    @aissaleekimondoboy

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @bahatihamis4324
    @bahatihamis4324 Жыл бұрын

    Hawez banaaa Dizasta is another level kimsingi tunamuombea msamaha tuuh

  • @pilipovicentkambala8954

    @pilipovicentkambala8954

    Жыл бұрын

    Ujuwi rap

  • @mbwanatoba115
    @mbwanatoba115 Жыл бұрын

    Namfananisha huyu DIZASTA vina Na EMINEM.. Hawana tofauti kbsa yani

  • @shadiidinyo1657
    @shadiidinyo1657 Жыл бұрын

    Dizasta for this ni master of clarity😁 Kijana achague moja sasa

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 Жыл бұрын

    Dizasta ni genius aisee ilee sio ngoma ni ngoma na nusu .. 🔥🔥🔥🔥

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 Жыл бұрын

    Dizasta vina ni level zingine ,mziki wake utaishi milele🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @WakujaTech
    @WakujaTech Жыл бұрын

    Dizasta Dizasta Dizasta nakuita mara 3, utaua mtu masta😂🙌🏾

  • @monicacyprian9137
    @monicacyprian9137 Жыл бұрын

    Nilijua tuu dizasta hawezi kukaa Kimya😂😂😂 nilijua tuu he he he wacha niinjoy mziki mzuri I love him

  • @BryanFrance
    @BryanFrance Жыл бұрын

    DIZASTA is an master art class

  • @hebronkibona6676
    @hebronkibona6676 Жыл бұрын

    Dizasta ni kiumbe kingine kabisa. Master class .. best syory teller hip hop

  • @ramamtanga3482

    @ramamtanga3482

    Жыл бұрын

    Di zasta mtu hatari

  • @fadhilinsemwa2687
    @fadhilinsemwa2687 Жыл бұрын

    Hip hop ni maisha haina kuzuga, Rapcha started it Dizasta kamaliza yaani 8:27 min joint; kwa just a single metaphor😂😂😂😂 game on lets go champs

  • @sayronmapunda1692
    @sayronmapunda1692 Жыл бұрын

    dizasta 😀😀😀 akili nyingine hii ! rapcha hamuwez dizasta 🤣🤣

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 Жыл бұрын

    Hivi tuzo zinapotolewa Tanzania vigezo ni gani ndio msanii kuwa mshindi.. Dizasta anastahili kuwa juu zaidi ya hao wapiga kelele...

  • @brandinabrandina7132
    @brandinabrandina7132 Жыл бұрын

    Dizasta is more than artist

  • @mohamedchundu801
    @mohamedchundu801 Жыл бұрын

    This duuuude is another level to rapcha

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Жыл бұрын

    aise kiukweli sijawai kumskia huyu jamaa ila baada yakuskia hi track yake 8:27 nimetokea kumpenda yaan ni real rapper and bars zake zipo on the other lever....jamaa ni real nigga Rapcha nimtoto kbs. Ngoma kali sana

  • @westonchibwete7554

    @westonchibwete7554

    Жыл бұрын

    Mfatilie mwamba ili uijue hip hop vyema... Ni hatari huyu jamaa

  • @Priver_Jabir

    @Priver_Jabir

    Жыл бұрын

    Pole sanaaaaaaa maaana hata prof Jay aliumia sanaaaaaaa Baada ya kukosa kumuelewa #the_verteller

  • @mejahmc9278

    @mejahmc9278

    Жыл бұрын

    Mtafte utakuja nishukru baadae

  • @iddyshaibu3726
    @iddyshaibu3726 Жыл бұрын

    Tunakuomba uitafsili nyimbo ya dizasta inaitwa mwanajua

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 Жыл бұрын

    Dizasta n mtu safi ata katka maisha yake yakuish na co mtu wa drama yupo kwa ajili ya kutuelimisha na anaish org na mitaaa ataki kikii anazo taka rapcha na katika uandshi rapcha bado sana kumfkia dizasta kama elimu yako ya cerficate n ngumu kumuelewa dzasta nn ana andka

  • @lucamartin6584
    @lucamartin6584 Жыл бұрын

    Simply maji ni marefu sana kwa Rapcha anyanyue bendera nyeupe..

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 Жыл бұрын

    Rapcha akijaribu kujibu kaumia, huyo Dizasta n hatari.

  • @bahopamontana6381
    @bahopamontana6381 Жыл бұрын

    Daah!! Nimeisikiliza hiingoma kabla aujaifafanua sikuielew bt ulivyofafanua umemaliza brazaa. Ukiendelea hivi ngoma za hiphop zitakuwa high tena appreciate it

  • @micochazi9153
    @micochazi9153 Жыл бұрын

    Dizasta ni namba kwenye hili game

  • @allymbondo111
    @allymbondo111 Жыл бұрын

    Rapcha kayakanyaga sana hapa😅😅😅😅, sijui atafanyaje labda atulie tu maan alichofanywa humu🙌🙌😅

  • @swalehbakari2667

    @swalehbakari2667

    Жыл бұрын

    Kaingia cha kike 😂😂

  • @shaddyqualityfurniture3595
    @shaddyqualityfurniture3595 Жыл бұрын

    Rapcha mtoto mdogo sana atulie tu

  • @aissaleekimondoboy
    @aissaleekimondoboy Жыл бұрын

    Rapcha hawezi aiseeeh uwezo wake kama wangu tu dizasta ni jini🔥🔥🔥🔥

  • @bahatihamis4324

    @bahatihamis4324

    Жыл бұрын

    Kabsa kaka jini kubwa

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    Жыл бұрын

    Bora wewe mwanangu huyo rapcha ww hakupati wala nn wa kawaida sana dogo, yan kua bongo record anaajiona mkubwa sanaaaa

  • @jumaradhomary8591

    @jumaradhomary8591

    Жыл бұрын

    We jamaa umesema kweli kaka

  • @BryanFrance

    @BryanFrance

    Жыл бұрын

    Kabisa Dogo mshamba tu na kithembe chake

  • @abuunyalioto1752

    @abuunyalioto1752

    Жыл бұрын

    Kaka sky umeichambua vizur sana huo wimbo wasioelewa alichorap dizasta wemeelewa mwanzo mwisho big up sky

  • @charlesmseti3467
    @charlesmseti3467 Жыл бұрын

    Akijibu hii DISS TRACK ya Dk 20 inakuja Dizasta anaisha kwenye DIMENSION nyingine kabisaa

  • @montanablaww1664
    @montanablaww1664 Жыл бұрын

    😂😂😂🙌 nlilijua hili mapemaa uyu vina ni wadunia nyingine🙌

  • @leonardmhagama5828

    @leonardmhagama5828

    Жыл бұрын

    Kazi ilikuwa ngumu waajiri wamefanya dua site.😂😂

  • @abdungunamla6289
    @abdungunamla6289 Жыл бұрын

    Dizasta vina n mtu mnoma saana. Style yangu imenspire the culture Imeinspire the Nengos,the shaulins the maaarifa the raptcha ......

  • @CertifiedStoic

    @CertifiedStoic

    Жыл бұрын

    Nimeacha DNA hata nikifa sina deni tena!

  • @lazarojuma5958
    @lazarojuma5958 Жыл бұрын

    Dizasta vina & nacha mc & nash mc & bando mc wanaandika sana nawakubali

  • @uriotz_
    @uriotz_ Жыл бұрын

    "Kafute candy crush kwenye simu" Bonge la mstari, hii inamaana rapcha bado mdogo sana kumdis dizasta. 🤣🤣🤣

  • @felisterwabyae9514
    @felisterwabyae9514 Жыл бұрын

    Kwa ushaul rapcha akamtafute p mawenge na mbish wamsaidie 😄😄

  • @eliaswegero2199

    @eliaswegero2199

    Жыл бұрын

    Ukiwajumlisha wote bado hawatomuweza Dizasta just fikilia jina tu Dizasta

  • @jumazinga941
    @jumazinga941 Жыл бұрын

    Dizasta mtu hatary sn 👊🏿🔥🔥🔥

  • @Gabixtz
    @Gabixtz Жыл бұрын

    DIZASTA NI MBAYA SANA 🔥🔥

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw Жыл бұрын

    *Rapcha umeyakanyaga 😂😂 yaani humuwei hata robo Dizasta vina*

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Жыл бұрын

    Mamamae Rapcha hapa kayakanyaga Dah!!! Aseee hiii n diss track ya miaka mitatu ijayo😂

  • @saeedmassoud256

    @saeedmassoud256

    Жыл бұрын

    Dizasta mwenyewe kasema hii sio dis track hii ni ferification tu ila akitaka bifu aseme mwenyewe kuanzia sasa

  • @swalehbakari2667

    @swalehbakari2667

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @kbmsouth
    @kbmsouth Жыл бұрын

    THAT’S WHY I LIKE “ SNS “. Big shoutout skywalker unafanya kaz kubwa sana bro ✋🏾🤚🏾

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Жыл бұрын

    Dizasta, sikuwa nakujua bt leo nimesikiliza hii ngoma bro, we ni master 🔥🔥🔥

  • @hastatz
    @hastatz Жыл бұрын

    Rapcha na mandonga ni the same tofauti ni beat tu

  • @aziziabdulrahman3914
    @aziziabdulrahman3914 Жыл бұрын

    Kila kichwa kimepita kigoma kikasoma ni level nyingine broo dizasta namjua tokea yupo kigoma secondary ni shida huyoo Huyo rapcha n mtoto kuanzia kwenye Mdundo mpka rap kidogo sana ana being na kick za Mdundo ila dizasta shughuli ingine Yani ana ngoma zingne kama taarifa ya habar kumbe mwana ndio anarap hvoo me nadhan rapcha akasikilize Hatia 1-5 atajifunza kitu mwamba kadis kanisa huyo na family ikamtenga huyoo unalijua hlo

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni hatari sana, namuona kwa mbali sana baada ya miaka kadhaa ijayo.

  • @potimgodi5735

    @potimgodi5735

    Жыл бұрын

    Daaa watamuuwa wanga wang hawafai

  • @nillyjos1203
    @nillyjos1203 Жыл бұрын

    Rapcha hasitaili matusiyake jamaa maana hataeza kuyamdu rapcha mwenyewe bado mtoto wa mama aje abattle na mimi achane na dizasita sio hadhiyake hakuna mwana hip hop mkali ka dizasita hapa Tanzania nashangaa hapewi tuzo sijui wanaangalia nin

  • @Relis_talkswisdom.
    @Relis_talkswisdom. Жыл бұрын

    Industry ya hiphop inahitaji watu wenye swagga kwenye kurap, social media,na media zinasahau kuwa wanainfluence kubwa sana ya kuwafanya wasanii kama dizasta kusikilizwa na watu wengi ,msanii kama rapcha hawezi jilinganisha na dizasta kwa reason moja tuh ya kuwa mainstream.Dizasta is genius na mziki wake ni tiba kwa watu haswa wenye kupitia trauma problems, dizasta ni kama clinical psychologist.Hivyo rapcha dizasta kulike post ya hater wako ni utambulisho pia kuwa he is out of matrix kama kitu kilichosema ni ukweli basi lazima watu tulike but anyway battling ndio utamu wa hip-hop tunamsubiri ajibu pia.

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    Bro wewe ni genius pia.

  • @afyandogo

    @afyandogo

    Жыл бұрын

    🙌🏾🙌🏾

  • @shenamtukufu1224

    @shenamtukufu1224

    Жыл бұрын

    Asante

  • @Jiko266

    @Jiko266

    Жыл бұрын

    Rapcha anakuja kumuua huyu jamaa. Watu wengi tunamjua rapcha katika upande mmoja pekee wa kufanya muziki wa burudani bt hatujajua upande mwingine wa rapcha.. tumezoea dizasta na tunamjua kiundani nd maana tunasema rapcha kayavaa ila tukumbuke miaka mitano nyuma rapcha alikua akimsikiliza dizasta that is why nawaambia rapcha anakuja kummaliza dizasta

  • @afyandogo

    @afyandogo

    Жыл бұрын

    @@Jiko266 dizasta wa miaka 5 nyuma sio huyu wa leo

  • @uswegehamza5968
    @uswegehamza5968 Жыл бұрын

    dizasta anaweza kukuua kwa kukuchana..rapcha tulia huu 🔥🔥🔥sio level zako utakufa ooh hoo shauli zako

  • @barretobacca9754
    @barretobacca9754 Жыл бұрын

    Mozambique 🇲🇿

  • @nillyjos1203
    @nillyjos1203 Жыл бұрын

    Rapcha ni mtoto kwenye mziki bado mtoto sana

  • @modestentwari4807
    @modestentwari4807 Жыл бұрын

    let me ask u sky u know dizasta is best rap in east africa what did u do to support him ?????

  • @princeh.8156
    @princeh.8156 Жыл бұрын

    Daaaaa uyu mwamba dizasta vina sio wa nchii ya hapa , aliesikiliza zaidi ya mara moja tujuanae

  • @allykibatz1556
    @allykibatz1556 Жыл бұрын

    My Best Friend

  • @shamtemaneno
    @shamtemaneno Жыл бұрын

    Aaahhhh dizasta mxamehe 🤣. 2fanye kazi kakah achanah nae 2pe ngomah

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 Жыл бұрын

    Umenipa ham ya kwenya kuisikiliza hip hop inahitaji hizi challenge shall out kwa Rapcha kulianzisha

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    Жыл бұрын

    Shout out

  • @raphaelpeter6820

    @raphaelpeter6820

    Жыл бұрын

    Anaiheshimu culture akifagia hatupi ndani🔥🔥🔥

  • @shukurukombo4664
    @shukurukombo4664 Жыл бұрын

    Ni kama 2pac amefanya remix ya Hit Em Up....hii Rapcha akae kimya, Ngoma Ndoige, akikimbia Kijijini inamfuata akikimbia kwa Majani imemfuata tu.🤣🤣🤣🤣

  • @theswordvinamc664
    @theswordvinamc664 Жыл бұрын

    Ndugu wangu wadam ina sound adam nkwel adam aache upuuz dzasta nmkal alafu ua anjifany amfaam DIZASTA VINA POTENTIAL CLIMINAL🤴🤴🤴🤴🤴

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Жыл бұрын

    Hii ndio hiphop sasa. Amekuchokoza nenda studio kajibu🙋🏾‍♂️

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Жыл бұрын

    Sky wewe noma uchambuz shikamooo,🙌🙌🙌

  • @shavaivagefrata7113
    @shavaivagefrata7113 Жыл бұрын

    Rapcha acha upuuzi tafuta level zako shubamit....!

  • @valentinobabaflow1923
    @valentinobabaflow1923 Жыл бұрын

    Nakubaliii sky wew ni mtangazaji na nusu

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Жыл бұрын

    DIZASTA VINA cyo Artist tu mwamba ni zaidi ya kiongozi mwanamapinduzi wa Africa. Rapcha afanye tu mziki asichanganye files

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Жыл бұрын

    Bro wewe ni hip hop kabisa bundala

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa2283 Жыл бұрын

    Hakuna hip hop rapper kama dizasta at the moment this dude is dangerous hallooooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @veryboyplatnumz3506
    @veryboyplatnumz3506 Жыл бұрын

    Mi no fan wa young killer na dizasta hawa wamba wanajua rapcha ata achanee ngoma mia majibu yake yatakuwepo umu

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ Жыл бұрын

    Mi na enjoy saanaaaaa jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kati kaka na bwamdogo ...huu iz huu

  • @zephaniaarnold2805
    @zephaniaarnold2805 Жыл бұрын

    This is incomparable, maana Rapcha kamataja kidogo tuu, but Huyu dizasta yeye katunga nyimbo almost nzima kumsema mwenzie. Rapcha nae ajibu tuu kwa kumpa nyimbo nzima

  • @leonardmhagama5828

    @leonardmhagama5828

    Жыл бұрын

    Mdanganye tu uyo mtoto, dizasta hajamdiss mbona kamwelekeza tu akitaka bifu basi ajibu.

  • @kiduaalute603

    @kiduaalute603

    Жыл бұрын

    Nyimbo yenye dakika nyingi ya Raptcha ni dakika 4

  • @ibrahimusuphian454

    @ibrahimusuphian454

    Жыл бұрын

    Zephania🤣🤣🤣humjui dizasta

  • @moziidavchonchi3338

    @moziidavchonchi3338

    Жыл бұрын

    Hapo disasta ajadiss kamuelekeza TU dogo

  • @emanuelgavile3503

    @emanuelgavile3503

    Жыл бұрын

    Kagusa mavi gizani mwanenu rapcha

  • @festopaul7549
    @festopaul7549 Жыл бұрын

    Dizasta akili kubwa mno 💪

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Жыл бұрын

    dogo kalalamika kisa mtu katoa top ten yake ila Dizasta kampa free education sijui akitoa diss track itakuaje🤣🤣jamaa ni genius.

  • @zombiiUpdates
    @zombiiUpdates Жыл бұрын

    God of war 🔥🔥 vinaa dizasta

  • @BryanFrance
    @BryanFrance Жыл бұрын

    First msikize D anavyo rhyme

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper237 Жыл бұрын

    Rapcha the next level

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Жыл бұрын

    Huyu dizasta hafai!! Silaha ya kutungulia ndege angani yeye kamweka mwenzake mita mia tu kamtungua! Ndio Nini Sasa!! Ana roho ngumu huyu! Na anakwambia eti hii Ni clarification tu Wala sio diss! 😂😂😂Ila jamaa Ni fundi aisee! Hiki kizazi Cha rap Cha Sasa Katu hakiwezi kukaa meza moja na dizasta! Sio level yao!

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 Жыл бұрын

    Huyo ndo vina dizasta Hana maneno mengi lakin vitendo sanaaa

  • @alexalexis6470
    @alexalexis6470 Жыл бұрын

    YAANI APO HAJADISS DAAH DIZASTA NDO STOR NYENGINE YENYEWE SASA HIVI DIZASTA NA JINI NANI NI JINIII HAHAHAH

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 Жыл бұрын

    Bro uko vizur uchambuzi wako Hadi tume enjoy uendelee kuishi kubarikiwa pia

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa2283 Жыл бұрын

    Kama mwanaume ajibu hiyoo hahaha 😂😂 i like it respect sana dizasta

  • @shihana_kiba4997
    @shihana_kiba4997 Жыл бұрын

    Sky unatak knifanya nianze kusikliza hip-hop 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @isayakanyaga1657
    @isayakanyaga1657 Жыл бұрын

    Dizasta vina atengwe ana vigongo ambavyo vitaishi milele.

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 Жыл бұрын

    Dizasta kafanya mazishi💥💥

  • @mssgaintoo4321

    @mssgaintoo4321

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @bahatihamis4324
    @bahatihamis4324 Жыл бұрын

    My G Dizasta kiukweli industry haijamtendea haki ana album kali kuliko hao wanaopewa tuzo za hip hop artist bora cjiu wanaangalia nini maybe izo kiki zao

  • @raphaelpeter6820

    @raphaelpeter6820

    Жыл бұрын

    P hajamwambia game jela sio daycare?

  • @mohammedpembe9252

    @mohammedpembe9252

    Жыл бұрын

    Dizasta Ni alien

  • @raymondkanyama1890
    @raymondkanyama1890 Жыл бұрын

    Dis boy z genius duh

  • @mbwanatoba115
    @mbwanatoba115 Жыл бұрын

    Hapo DIZASTA katoa tu onyo.. Vipi kama akiamua kumdiss kbsa

  • @jumaseple1037
    @jumaseple1037 Жыл бұрын

    Dizasta ni fire 😊

  • @mzamilyginga7321
    @mzamilyginga7321 Жыл бұрын

    Dizasta et wana wanasema hapo ni km umekohoa bado hujaongea

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Жыл бұрын

    Huyu Dizasta nihabari nyingine asee kama humjui ukifatilia rap zake utajua jinsi jamaa nimkali

  • @haroonmarco490
    @haroonmarco490 Жыл бұрын

    Kwani Rapcha hamjui Dizasta kua ni kichwa hatari sana ktk uandishi?😂😂😂😂

  • @danstanjaphety2552

    @danstanjaphety2552

    Жыл бұрын

    😂😂 hawa madogo jau jau😅 afute candyc crush kwenye simu

  • @officialfad_ink8300
    @officialfad_ink8300 Жыл бұрын

    Kitu tulicho sahau wengi hiki ndicho alicho kitaka rapcha kwanini? Tuanze na jina la nyimbo ya rapcha kwanini kaiita story nyingine? Jina limebeba hichi kinacho endelea nicca hapa rapcha ka 🏆

  • @stonestz8815
    @stonestz8815 Жыл бұрын

    Uyo rapcha ashindane na maarifa na sio DIZASTA

  • @innocentanthony6482

    @innocentanthony6482

    Жыл бұрын

    🤣

  • @boemidoke08

    @boemidoke08

    Жыл бұрын

    🙄😁😁 kabisa

  • @sayedkhamis5204
    @sayedkhamis5204 Жыл бұрын

    Kazi Yenu nzuri

  • @emmanuelpius5479
    @emmanuelpius5479 Жыл бұрын

    Dizasta Vina is a master over other shallow rappers,

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 Жыл бұрын

    Rapchaa kayakanyagaa hukoooo

  • @stephanomgeni1779
    @stephanomgeni1779 Жыл бұрын

    Dizasta fundi wa vina rapcha fundi wa urembo

  • @t.o.d7281
    @t.o.d7281 Жыл бұрын

    Dizasta Sio Wa Kumjibu Huyu Dogo Kwa sababu huyu Dogo Bado Kichwa Chake Hakiwezi Kuvumilia Tabu za lyrcs Za Dizasta.. Ona Dizasta Alivo Relax Na Tunapata Kile Ana Deliver ....THE BEST Z DIZASTA

  • @boybunchbay6639
    @boybunchbay6639 Жыл бұрын

    Uchambuzi✊🏾

  • @user-pt3io6ud2h
    @user-pt3io6ud2h Жыл бұрын

    Dizasta.nikama mungu yule wazamani.kabla ya.huyu wa kizungu..

  • @therealdL188
    @therealdL188 Жыл бұрын

    D.....ni maktaba ya tenzi, nashangaa huyu barehe sijui amejichanganya wapi aysee!! Kumdiss huyu mtu hatari ni Bora ucheze na Simba anaweza kukuonea aibu lakini sio hili balaa alilo livagaa Yani kavamia pori lenye upupu alafu ajui njia ya kutokea mameee lazima Makalio yamuwashe🤣🤣🤣

Келесі