Dizasta Vina - Best Friend • Dizasta Vina - Best Fr... Rapcha - Story Nyingine Freestyle • Rapcha - Story Nyingin...
Жүктеу.....
Пікірлер: 386
@raphaelpeter6820 Жыл бұрын
"Sio kila mjinga unamzidi kila kitu" naomba Rapcha atulie kabisa Kama wamemuonya kwa dakika 8:27 akijibu Basi balaa la Dizasta ni la masaa 48 naomba like kwa Dizasta heshima kwake
@WakujaTech
Жыл бұрын
😂
@uriotz_
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@christinanjovu3982
Жыл бұрын
Iki kichwa rapcha hakiwez at wakiungan na lunya hawamuwez km onyo katumia dk 8 je akidis?
@deogratiasmalelo7471
Жыл бұрын
Ilaa amekima akijitingisha ameisha kifo
@kilalakaila9762 Жыл бұрын
Naomba kwa mashabiki wote wa hip hop ya bongo, Dizasta vina apewe TUZO🙏🏿🙏🏿
@volcanoland9526
Жыл бұрын
Dizasta namkubali
@mendradmuhile2492
Жыл бұрын
Kaua🤣
@salumamiri
Жыл бұрын
tuangalie jinsi gan tunaweza kumfikia jamaa apewe haki yak kitaifa
@Donebyresbees
Жыл бұрын
HAPANA KAKA INABIDI AJENGEWE SANAMU 👑👑👑👑👑
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Jamani huyu mwamba ni nyoko sheheeeeee ni shid dizastar
@GamechangerTz Жыл бұрын
Siku Moja mualike The black Maradona ufanye nae interview brother sky ikikupendeza 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kelvinmwaibasa4825 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni Never Regular 🤯…..Rapcha kayakanyaga 😂😂
@Makavelithedon2086 Жыл бұрын
*Siniliwaambia moto wa Dizasta vina sio mchezo haya m’meona sasa* 😂😂😂
@nyotamy3678 Жыл бұрын
Rapcha kazingua sana, cheki sasa kilichomkuta🙌
@modestentwari4807 Жыл бұрын
i 'm frm RWANDA there is no rap in east africa like dizasta & mwana fa ,fid q, ay ,do samething to promate this guyz is very telented ever
@bensonpeter4692
Жыл бұрын
dont forget Khaligraph Jones
@smgfamilygroup2414 Жыл бұрын
SNS BROTHER UNA JUA SANA KUCHAMBUA MZIKI TUNA ITAJI WATU KAMA NYIE MUNGU AWAPE MAISHA MALEVU TUNA INJOI UDUMA ZENU 🙏🙏🙏🙏
@smgfamilygroup2414
Жыл бұрын
@@alliymohamedalliy6524 FANYA WEWE KAMA LAISI
@Vanisikaka Жыл бұрын
Lunya left.. Rapcha Typing🤔.. Tale trip to garilaya.. Fela Muted... Kadgo Witness.. Candy Crush Uninstalling.. Mavuzi got Respect🙌🏾.. Mende got shot💥 Kanisa knows everything about Dazasta🙌🏾
@TheMint_tz
Жыл бұрын
Naomba twende tukareact hizi ngoma zote 😂😂😂😂
@emmaonalloh5515
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@comics3437
Жыл бұрын
😀😀
@princegabriel3770
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@aissaleekimondoboy
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@bahatihamis4324 Жыл бұрын
Hawez banaaa Dizasta is another level kimsingi tunamuombea msamaha tuuh
@pilipovicentkambala8954
Жыл бұрын
Ujuwi rap
@mbwanatoba115 Жыл бұрын
Namfananisha huyu DIZASTA vina Na EMINEM.. Hawana tofauti kbsa yani
@shadiidinyo1657 Жыл бұрын
Dizasta for this ni master of clarity😁 Kijana achague moja sasa
@Teacher_01 Жыл бұрын
Dizasta ni genius aisee ilee sio ngoma ni ngoma na nusu .. 🔥🔥🔥🔥
@sevystaronedancer1785 Жыл бұрын
Dizasta vina ni level zingine ,mziki wake utaishi milele🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@WakujaTech Жыл бұрын
Dizasta Dizasta Dizasta nakuita mara 3, utaua mtu masta😂🙌🏾
@monicacyprian9137 Жыл бұрын
Nilijua tuu dizasta hawezi kukaa Kimya😂😂😂 nilijua tuu he he he wacha niinjoy mziki mzuri I love him
@BryanFrance Жыл бұрын
DIZASTA is an master art class
@hebronkibona6676 Жыл бұрын
Dizasta ni kiumbe kingine kabisa. Master class .. best syory teller hip hop
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Di zasta mtu hatari
@fadhilinsemwa2687 Жыл бұрын
Hip hop ni maisha haina kuzuga, Rapcha started it Dizasta kamaliza yaani 8:27 min joint; kwa just a single metaphor😂😂😂😂 game on lets go champs
@sayronmapunda1692 Жыл бұрын
dizasta 😀😀😀 akili nyingine hii ! rapcha hamuwez dizasta 🤣🤣
@stevemwachi254 Жыл бұрын
Hivi tuzo zinapotolewa Tanzania vigezo ni gani ndio msanii kuwa mshindi.. Dizasta anastahili kuwa juu zaidi ya hao wapiga kelele...
@brandinabrandina7132 Жыл бұрын
Dizasta is more than artist
@mohamedchundu801 Жыл бұрын
This duuuude is another level to rapcha
@mpendwalove4390 Жыл бұрын
aise kiukweli sijawai kumskia huyu jamaa ila baada yakuskia hi track yake 8:27 nimetokea kumpenda yaan ni real rapper and bars zake zipo on the other lever....jamaa ni real nigga Rapcha nimtoto kbs. Ngoma kali sana
@westonchibwete7554
Жыл бұрын
Mfatilie mwamba ili uijue hip hop vyema... Ni hatari huyu jamaa
@Priver_Jabir
Жыл бұрын
Pole sanaaaaaaa maaana hata prof Jay aliumia sanaaaaaaa Baada ya kukosa kumuelewa #the_verteller
@mejahmc9278
Жыл бұрын
Mtafte utakuja nishukru baadae
@iddyshaibu3726 Жыл бұрын
Tunakuomba uitafsili nyimbo ya dizasta inaitwa mwanajua
@teilencedevard9431 Жыл бұрын
Dizasta n mtu safi ata katka maisha yake yakuish na co mtu wa drama yupo kwa ajili ya kutuelimisha na anaish org na mitaaa ataki kikii anazo taka rapcha na katika uandshi rapcha bado sana kumfkia dizasta kama elimu yako ya cerficate n ngumu kumuelewa dzasta nn ana andka
@lucamartin6584 Жыл бұрын
Simply maji ni marefu sana kwa Rapcha anyanyue bendera nyeupe..
@timothykaiza327 Жыл бұрын
Rapcha akijaribu kujibu kaumia, huyo Dizasta n hatari.
@bahopamontana6381 Жыл бұрын
Daah!! Nimeisikiliza hiingoma kabla aujaifafanua sikuielew bt ulivyofafanua umemaliza brazaa. Ukiendelea hivi ngoma za hiphop zitakuwa high tena appreciate it
@micochazi9153 Жыл бұрын
Dizasta ni namba kwenye hili game
@allymbondo111 Жыл бұрын
Rapcha kayakanyaga sana hapa😅😅😅😅, sijui atafanyaje labda atulie tu maan alichofanywa humu🙌🙌😅
@swalehbakari2667
Жыл бұрын
Kaingia cha kike 😂😂
@shaddyqualityfurniture3595 Жыл бұрын
Rapcha mtoto mdogo sana atulie tu
@aissaleekimondoboy Жыл бұрын
Rapcha hawezi aiseeeh uwezo wake kama wangu tu dizasta ni jini🔥🔥🔥🔥
@bahatihamis4324
Жыл бұрын
Kabsa kaka jini kubwa
@joshuamakota6714
Жыл бұрын
Bora wewe mwanangu huyo rapcha ww hakupati wala nn wa kawaida sana dogo, yan kua bongo record anaajiona mkubwa sanaaaa
@jumaradhomary8591
Жыл бұрын
We jamaa umesema kweli kaka
@BryanFrance
Жыл бұрын
Kabisa Dogo mshamba tu na kithembe chake
@abuunyalioto1752
Жыл бұрын
Kaka sky umeichambua vizur sana huo wimbo wasioelewa alichorap dizasta wemeelewa mwanzo mwisho big up sky
@charlesmseti3467 Жыл бұрын
Akijibu hii DISS TRACK ya Dk 20 inakuja Dizasta anaisha kwenye DIMENSION nyingine kabisaa
@montanablaww1664 Жыл бұрын
😂😂😂🙌 nlilijua hili mapemaa uyu vina ni wadunia nyingine🙌
@leonardmhagama5828
Жыл бұрын
Kazi ilikuwa ngumu waajiri wamefanya dua site.😂😂
@abdungunamla6289 Жыл бұрын
Dizasta vina n mtu mnoma saana. Style yangu imenspire the culture Imeinspire the Nengos,the shaulins the maaarifa the raptcha ......
@CertifiedStoic
Жыл бұрын
Nimeacha DNA hata nikifa sina deni tena!
@lazarojuma5958 Жыл бұрын
Dizasta vina & nacha mc & nash mc & bando mc wanaandika sana nawakubali
@uriotz_ Жыл бұрын
"Kafute candy crush kwenye simu" Bonge la mstari, hii inamaana rapcha bado mdogo sana kumdis dizasta. 🤣🤣🤣
@felisterwabyae9514 Жыл бұрын
Kwa ushaul rapcha akamtafute p mawenge na mbish wamsaidie 😄😄
@eliaswegero2199
Жыл бұрын
Ukiwajumlisha wote bado hawatomuweza Dizasta just fikilia jina tu Dizasta
@jumazinga941 Жыл бұрын
Dizasta mtu hatary sn 👊🏿🔥🔥🔥
@Gabixtz Жыл бұрын
DIZASTA NI MBAYA SANA 🔥🔥
@BuraK-bk9iw Жыл бұрын
*Rapcha umeyakanyaga 😂😂 yaani humuwei hata robo Dizasta vina*
@abdulmohd6880 Жыл бұрын
Mamamae Rapcha hapa kayakanyaga Dah!!! Aseee hiii n diss track ya miaka mitatu ijayo😂
@saeedmassoud256
Жыл бұрын
Dizasta mwenyewe kasema hii sio dis track hii ni ferification tu ila akitaka bifu aseme mwenyewe kuanzia sasa
@swalehbakari2667
Жыл бұрын
😂😂
@kbmsouth Жыл бұрын
THAT’S WHY I LIKE “ SNS “. Big shoutout skywalker unafanya kaz kubwa sana bro ✋🏾🤚🏾
@abdallahkassim318 Жыл бұрын
Dizasta, sikuwa nakujua bt leo nimesikiliza hii ngoma bro, we ni master 🔥🔥🔥
@hastatz Жыл бұрын
Rapcha na mandonga ni the same tofauti ni beat tu
@aziziabdulrahman3914 Жыл бұрын
Kila kichwa kimepita kigoma kikasoma ni level nyingine broo dizasta namjua tokea yupo kigoma secondary ni shida huyoo Huyo rapcha n mtoto kuanzia kwenye Mdundo mpka rap kidogo sana ana being na kick za Mdundo ila dizasta shughuli ingine Yani ana ngoma zingne kama taarifa ya habar kumbe mwana ndio anarap hvoo me nadhan rapcha akasikilize Hatia 1-5 atajifunza kitu mwamba kadis kanisa huyo na family ikamtenga huyoo unalijua hlo
@shenamtukufu1224 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni hatari sana, namuona kwa mbali sana baada ya miaka kadhaa ijayo.
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Daaa watamuuwa wanga wang hawafai
@nillyjos1203 Жыл бұрын
Rapcha hasitaili matusiyake jamaa maana hataeza kuyamdu rapcha mwenyewe bado mtoto wa mama aje abattle na mimi achane na dizasita sio hadhiyake hakuna mwana hip hop mkali ka dizasita hapa Tanzania nashangaa hapewi tuzo sijui wanaangalia nin
@Relis_talkswisdom. Жыл бұрын
Industry ya hiphop inahitaji watu wenye swagga kwenye kurap, social media,na media zinasahau kuwa wanainfluence kubwa sana ya kuwafanya wasanii kama dizasta kusikilizwa na watu wengi ,msanii kama rapcha hawezi jilinganisha na dizasta kwa reason moja tuh ya kuwa mainstream.Dizasta is genius na mziki wake ni tiba kwa watu haswa wenye kupitia trauma problems, dizasta ni kama clinical psychologist.Hivyo rapcha dizasta kulike post ya hater wako ni utambulisho pia kuwa he is out of matrix kama kitu kilichosema ni ukweli basi lazima watu tulike but anyway battling ndio utamu wa hip-hop tunamsubiri ajibu pia.
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Bro wewe ni genius pia.
@afyandogo
Жыл бұрын
🙌🏾🙌🏾
@shenamtukufu1224
Жыл бұрын
Asante
@Jiko266
Жыл бұрын
Rapcha anakuja kumuua huyu jamaa. Watu wengi tunamjua rapcha katika upande mmoja pekee wa kufanya muziki wa burudani bt hatujajua upande mwingine wa rapcha.. tumezoea dizasta na tunamjua kiundani nd maana tunasema rapcha kayavaa ila tukumbuke miaka mitano nyuma rapcha alikua akimsikiliza dizasta that is why nawaambia rapcha anakuja kummaliza dizasta
@afyandogo
Жыл бұрын
@@Jiko266 dizasta wa miaka 5 nyuma sio huyu wa leo
@uswegehamza5968 Жыл бұрын
dizasta anaweza kukuua kwa kukuchana..rapcha tulia huu 🔥🔥🔥sio level zako utakufa ooh hoo shauli zako
@barretobacca9754 Жыл бұрын
Mozambique 🇲🇿
@nillyjos1203 Жыл бұрын
Rapcha ni mtoto kwenye mziki bado mtoto sana
@modestentwari4807 Жыл бұрын
let me ask u sky u know dizasta is best rap in east africa what did u do to support him ?????
@princeh.8156 Жыл бұрын
Daaaaa uyu mwamba dizasta vina sio wa nchii ya hapa , aliesikiliza zaidi ya mara moja tujuanae
DIZASTA VINA cyo Artist tu mwamba ni zaidi ya kiongozi mwanamapinduzi wa Africa. Rapcha afanye tu mziki asichanganye files
@ibraimoissiaca6058 Жыл бұрын
Bro wewe ni hip hop kabisa bundala
@mwinyimatopa2283 Жыл бұрын
Hakuna hip hop rapper kama dizasta at the moment this dude is dangerous hallooooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@veryboyplatnumz3506 Жыл бұрын
Mi no fan wa young killer na dizasta hawa wamba wanajua rapcha ata achanee ngoma mia majibu yake yatakuwepo umu
@SUNDAYMRGAMINGTZ Жыл бұрын
Mi na enjoy saanaaaaa jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kati kaka na bwamdogo ...huu iz huu
@zephaniaarnold2805 Жыл бұрын
This is incomparable, maana Rapcha kamataja kidogo tuu, but Huyu dizasta yeye katunga nyimbo almost nzima kumsema mwenzie. Rapcha nae ajibu tuu kwa kumpa nyimbo nzima
@leonardmhagama5828
Жыл бұрын
Mdanganye tu uyo mtoto, dizasta hajamdiss mbona kamwelekeza tu akitaka bifu basi ajibu.
@kiduaalute603
Жыл бұрын
Nyimbo yenye dakika nyingi ya Raptcha ni dakika 4
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Zephania🤣🤣🤣humjui dizasta
@moziidavchonchi3338
Жыл бұрын
Hapo disasta ajadiss kamuelekeza TU dogo
@emanuelgavile3503
Жыл бұрын
Kagusa mavi gizani mwanenu rapcha
@festopaul7549 Жыл бұрын
Dizasta akili kubwa mno 💪
@mpendwalove4390 Жыл бұрын
dogo kalalamika kisa mtu katoa top ten yake ila Dizasta kampa free education sijui akitoa diss track itakuaje🤣🤣jamaa ni genius.
@zombiiUpdates Жыл бұрын
God of war 🔥🔥 vinaa dizasta
@BryanFrance Жыл бұрын
First msikize D anavyo rhyme
@davidoscooper237 Жыл бұрын
Rapcha the next level
@georgeburchard4872 Жыл бұрын
Huyu dizasta hafai!! Silaha ya kutungulia ndege angani yeye kamweka mwenzake mita mia tu kamtungua! Ndio Nini Sasa!! Ana roho ngumu huyu! Na anakwambia eti hii Ni clarification tu Wala sio diss! 😂😂😂Ila jamaa Ni fundi aisee! Hiki kizazi Cha rap Cha Sasa Katu hakiwezi kukaa meza moja na dizasta! Sio level yao!
@abuunyalioto1752 Жыл бұрын
Huyo ndo vina dizasta Hana maneno mengi lakin vitendo sanaaa
@alexalexis6470 Жыл бұрын
YAANI APO HAJADISS DAAH DIZASTA NDO STOR NYENGINE YENYEWE SASA HIVI DIZASTA NA JINI NANI NI JINIII HAHAHAH
@shaphyvuai6805 Жыл бұрын
Bro uko vizur uchambuzi wako Hadi tume enjoy uendelee kuishi kubarikiwa pia
@mwinyimatopa2283 Жыл бұрын
Kama mwanaume ajibu hiyoo hahaha 😂😂 i like it respect sana dizasta
Dizasta vina atengwe ana vigongo ambavyo vitaishi milele.
@valencepaul4604 Жыл бұрын
Dizasta kafanya mazishi💥💥
@mssgaintoo4321
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bahatihamis4324 Жыл бұрын
My G Dizasta kiukweli industry haijamtendea haki ana album kali kuliko hao wanaopewa tuzo za hip hop artist bora cjiu wanaangalia nini maybe izo kiki zao
@raphaelpeter6820
Жыл бұрын
P hajamwambia game jela sio daycare?
@mohammedpembe9252
Жыл бұрын
Dizasta Ni alien
@raymondkanyama1890 Жыл бұрын
Dis boy z genius duh
@mbwanatoba115 Жыл бұрын
Hapo DIZASTA katoa tu onyo.. Vipi kama akiamua kumdiss kbsa
@jumaseple1037 Жыл бұрын
Dizasta ni fire 😊
@mzamilyginga7321 Жыл бұрын
Dizasta et wana wanasema hapo ni km umekohoa bado hujaongea
@gb-one6435 Жыл бұрын
Huyu Dizasta nihabari nyingine asee kama humjui ukifatilia rap zake utajua jinsi jamaa nimkali
@haroonmarco490 Жыл бұрын
Kwani Rapcha hamjui Dizasta kua ni kichwa hatari sana ktk uandishi?😂😂😂😂
@danstanjaphety2552
Жыл бұрын
😂😂 hawa madogo jau jau😅 afute candyc crush kwenye simu
@officialfad_ink8300 Жыл бұрын
Kitu tulicho sahau wengi hiki ndicho alicho kitaka rapcha kwanini? Tuanze na jina la nyimbo ya rapcha kwanini kaiita story nyingine? Jina limebeba hichi kinacho endelea nicca hapa rapcha ka 🏆
@stonestz8815 Жыл бұрын
Uyo rapcha ashindane na maarifa na sio DIZASTA
@innocentanthony6482
Жыл бұрын
🤣
@boemidoke08
Жыл бұрын
🙄😁😁 kabisa
@sayedkhamis5204 Жыл бұрын
Kazi Yenu nzuri
@emmanuelpius5479 Жыл бұрын
Dizasta Vina is a master over other shallow rappers,
@hamzermahundu6371 Жыл бұрын
Rapchaa kayakanyagaa hukoooo
@stephanomgeni1779 Жыл бұрын
Dizasta fundi wa vina rapcha fundi wa urembo
@t.o.d7281 Жыл бұрын
Dizasta Sio Wa Kumjibu Huyu Dogo Kwa sababu huyu Dogo Bado Kichwa Chake Hakiwezi Kuvumilia Tabu za lyrcs Za Dizasta.. Ona Dizasta Alivo Relax Na Tunapata Kile Ana Deliver ....THE BEST Z DIZASTA
@boybunchbay6639 Жыл бұрын
Uchambuzi✊🏾
@user-pt3io6ud2h Жыл бұрын
Dizasta.nikama mungu yule wazamani.kabla ya.huyu wa kizungu..
@therealdL188 Жыл бұрын
D.....ni maktaba ya tenzi, nashangaa huyu barehe sijui amejichanganya wapi aysee!! Kumdiss huyu mtu hatari ni Bora ucheze na Simba anaweza kukuonea aibu lakini sio hili balaa alilo livagaa Yani kavamia pori lenye upupu alafu ajui njia ya kutokea mameee lazima Makalio yamuwashe🤣🤣🤣
Пікірлер: 386
"Sio kila mjinga unamzidi kila kitu" naomba Rapcha atulie kabisa Kama wamemuonya kwa dakika 8:27 akijibu Basi balaa la Dizasta ni la masaa 48 naomba like kwa Dizasta heshima kwake
@WakujaTech
Жыл бұрын
😂
@uriotz_
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@christinanjovu3982
Жыл бұрын
Iki kichwa rapcha hakiwez at wakiungan na lunya hawamuwez km onyo katumia dk 8 je akidis?
@deogratiasmalelo7471
Жыл бұрын
Ilaa amekima akijitingisha ameisha kifo
Naomba kwa mashabiki wote wa hip hop ya bongo, Dizasta vina apewe TUZO🙏🏿🙏🏿
@volcanoland9526
Жыл бұрын
Dizasta namkubali
@mendradmuhile2492
Жыл бұрын
Kaua🤣
@salumamiri
Жыл бұрын
tuangalie jinsi gan tunaweza kumfikia jamaa apewe haki yak kitaifa
@Donebyresbees
Жыл бұрын
HAPANA KAKA INABIDI AJENGEWE SANAMU 👑👑👑👑👑
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Jamani huyu mwamba ni nyoko sheheeeeee ni shid dizastar
Siku Moja mualike The black Maradona ufanye nae interview brother sky ikikupendeza 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu jamaa ni Never Regular 🤯…..Rapcha kayakanyaga 😂😂
*Siniliwaambia moto wa Dizasta vina sio mchezo haya m’meona sasa* 😂😂😂
Rapcha kazingua sana, cheki sasa kilichomkuta🙌
i 'm frm RWANDA there is no rap in east africa like dizasta & mwana fa ,fid q, ay ,do samething to promate this guyz is very telented ever
@bensonpeter4692
Жыл бұрын
dont forget Khaligraph Jones
SNS BROTHER UNA JUA SANA KUCHAMBUA MZIKI TUNA ITAJI WATU KAMA NYIE MUNGU AWAPE MAISHA MALEVU TUNA INJOI UDUMA ZENU 🙏🙏🙏🙏
@smgfamilygroup2414
Жыл бұрын
@@alliymohamedalliy6524 FANYA WEWE KAMA LAISI
Lunya left.. Rapcha Typing🤔.. Tale trip to garilaya.. Fela Muted... Kadgo Witness.. Candy Crush Uninstalling.. Mavuzi got Respect🙌🏾.. Mende got shot💥 Kanisa knows everything about Dazasta🙌🏾
@TheMint_tz
Жыл бұрын
Naomba twende tukareact hizi ngoma zote 😂😂😂😂
@emmaonalloh5515
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@comics3437
Жыл бұрын
😀😀
@princegabriel3770
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@aissaleekimondoboy
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Hawez banaaa Dizasta is another level kimsingi tunamuombea msamaha tuuh
@pilipovicentkambala8954
Жыл бұрын
Ujuwi rap
Namfananisha huyu DIZASTA vina Na EMINEM.. Hawana tofauti kbsa yani
Dizasta for this ni master of clarity😁 Kijana achague moja sasa
Dizasta ni genius aisee ilee sio ngoma ni ngoma na nusu .. 🔥🔥🔥🔥
Dizasta vina ni level zingine ,mziki wake utaishi milele🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Dizasta Dizasta Dizasta nakuita mara 3, utaua mtu masta😂🙌🏾
Nilijua tuu dizasta hawezi kukaa Kimya😂😂😂 nilijua tuu he he he wacha niinjoy mziki mzuri I love him
DIZASTA is an master art class
Dizasta ni kiumbe kingine kabisa. Master class .. best syory teller hip hop
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Di zasta mtu hatari
Hip hop ni maisha haina kuzuga, Rapcha started it Dizasta kamaliza yaani 8:27 min joint; kwa just a single metaphor😂😂😂😂 game on lets go champs
dizasta 😀😀😀 akili nyingine hii ! rapcha hamuwez dizasta 🤣🤣
Hivi tuzo zinapotolewa Tanzania vigezo ni gani ndio msanii kuwa mshindi.. Dizasta anastahili kuwa juu zaidi ya hao wapiga kelele...
Dizasta is more than artist
This duuuude is another level to rapcha
aise kiukweli sijawai kumskia huyu jamaa ila baada yakuskia hi track yake 8:27 nimetokea kumpenda yaan ni real rapper and bars zake zipo on the other lever....jamaa ni real nigga Rapcha nimtoto kbs. Ngoma kali sana
@westonchibwete7554
Жыл бұрын
Mfatilie mwamba ili uijue hip hop vyema... Ni hatari huyu jamaa
@Priver_Jabir
Жыл бұрын
Pole sanaaaaaaa maaana hata prof Jay aliumia sanaaaaaaa Baada ya kukosa kumuelewa #the_verteller
@mejahmc9278
Жыл бұрын
Mtafte utakuja nishukru baadae
Tunakuomba uitafsili nyimbo ya dizasta inaitwa mwanajua
Dizasta n mtu safi ata katka maisha yake yakuish na co mtu wa drama yupo kwa ajili ya kutuelimisha na anaish org na mitaaa ataki kikii anazo taka rapcha na katika uandshi rapcha bado sana kumfkia dizasta kama elimu yako ya cerficate n ngumu kumuelewa dzasta nn ana andka
Simply maji ni marefu sana kwa Rapcha anyanyue bendera nyeupe..
Rapcha akijaribu kujibu kaumia, huyo Dizasta n hatari.
Daah!! Nimeisikiliza hiingoma kabla aujaifafanua sikuielew bt ulivyofafanua umemaliza brazaa. Ukiendelea hivi ngoma za hiphop zitakuwa high tena appreciate it
Dizasta ni namba kwenye hili game
Rapcha kayakanyaga sana hapa😅😅😅😅, sijui atafanyaje labda atulie tu maan alichofanywa humu🙌🙌😅
@swalehbakari2667
Жыл бұрын
Kaingia cha kike 😂😂
Rapcha mtoto mdogo sana atulie tu
Rapcha hawezi aiseeeh uwezo wake kama wangu tu dizasta ni jini🔥🔥🔥🔥
@bahatihamis4324
Жыл бұрын
Kabsa kaka jini kubwa
@joshuamakota6714
Жыл бұрын
Bora wewe mwanangu huyo rapcha ww hakupati wala nn wa kawaida sana dogo, yan kua bongo record anaajiona mkubwa sanaaaa
@jumaradhomary8591
Жыл бұрын
We jamaa umesema kweli kaka
@BryanFrance
Жыл бұрын
Kabisa Dogo mshamba tu na kithembe chake
@abuunyalioto1752
Жыл бұрын
Kaka sky umeichambua vizur sana huo wimbo wasioelewa alichorap dizasta wemeelewa mwanzo mwisho big up sky
Akijibu hii DISS TRACK ya Dk 20 inakuja Dizasta anaisha kwenye DIMENSION nyingine kabisaa
😂😂😂🙌 nlilijua hili mapemaa uyu vina ni wadunia nyingine🙌
@leonardmhagama5828
Жыл бұрын
Kazi ilikuwa ngumu waajiri wamefanya dua site.😂😂
Dizasta vina n mtu mnoma saana. Style yangu imenspire the culture Imeinspire the Nengos,the shaulins the maaarifa the raptcha ......
@CertifiedStoic
Жыл бұрын
Nimeacha DNA hata nikifa sina deni tena!
Dizasta vina & nacha mc & nash mc & bando mc wanaandika sana nawakubali
"Kafute candy crush kwenye simu" Bonge la mstari, hii inamaana rapcha bado mdogo sana kumdis dizasta. 🤣🤣🤣
Kwa ushaul rapcha akamtafute p mawenge na mbish wamsaidie 😄😄
@eliaswegero2199
Жыл бұрын
Ukiwajumlisha wote bado hawatomuweza Dizasta just fikilia jina tu Dizasta
Dizasta mtu hatary sn 👊🏿🔥🔥🔥
DIZASTA NI MBAYA SANA 🔥🔥
*Rapcha umeyakanyaga 😂😂 yaani humuwei hata robo Dizasta vina*
Mamamae Rapcha hapa kayakanyaga Dah!!! Aseee hiii n diss track ya miaka mitatu ijayo😂
@saeedmassoud256
Жыл бұрын
Dizasta mwenyewe kasema hii sio dis track hii ni ferification tu ila akitaka bifu aseme mwenyewe kuanzia sasa
@swalehbakari2667
Жыл бұрын
😂😂
THAT’S WHY I LIKE “ SNS “. Big shoutout skywalker unafanya kaz kubwa sana bro ✋🏾🤚🏾
Dizasta, sikuwa nakujua bt leo nimesikiliza hii ngoma bro, we ni master 🔥🔥🔥
Rapcha na mandonga ni the same tofauti ni beat tu
Kila kichwa kimepita kigoma kikasoma ni level nyingine broo dizasta namjua tokea yupo kigoma secondary ni shida huyoo Huyo rapcha n mtoto kuanzia kwenye Mdundo mpka rap kidogo sana ana being na kick za Mdundo ila dizasta shughuli ingine Yani ana ngoma zingne kama taarifa ya habar kumbe mwana ndio anarap hvoo me nadhan rapcha akasikilize Hatia 1-5 atajifunza kitu mwamba kadis kanisa huyo na family ikamtenga huyoo unalijua hlo
Huyu jamaa ni hatari sana, namuona kwa mbali sana baada ya miaka kadhaa ijayo.
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Daaa watamuuwa wanga wang hawafai
Rapcha hasitaili matusiyake jamaa maana hataeza kuyamdu rapcha mwenyewe bado mtoto wa mama aje abattle na mimi achane na dizasita sio hadhiyake hakuna mwana hip hop mkali ka dizasita hapa Tanzania nashangaa hapewi tuzo sijui wanaangalia nin
Industry ya hiphop inahitaji watu wenye swagga kwenye kurap, social media,na media zinasahau kuwa wanainfluence kubwa sana ya kuwafanya wasanii kama dizasta kusikilizwa na watu wengi ,msanii kama rapcha hawezi jilinganisha na dizasta kwa reason moja tuh ya kuwa mainstream.Dizasta is genius na mziki wake ni tiba kwa watu haswa wenye kupitia trauma problems, dizasta ni kama clinical psychologist.Hivyo rapcha dizasta kulike post ya hater wako ni utambulisho pia kuwa he is out of matrix kama kitu kilichosema ni ukweli basi lazima watu tulike but anyway battling ndio utamu wa hip-hop tunamsubiri ajibu pia.
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Bro wewe ni genius pia.
@afyandogo
Жыл бұрын
🙌🏾🙌🏾
@shenamtukufu1224
Жыл бұрын
Asante
@Jiko266
Жыл бұрын
Rapcha anakuja kumuua huyu jamaa. Watu wengi tunamjua rapcha katika upande mmoja pekee wa kufanya muziki wa burudani bt hatujajua upande mwingine wa rapcha.. tumezoea dizasta na tunamjua kiundani nd maana tunasema rapcha kayavaa ila tukumbuke miaka mitano nyuma rapcha alikua akimsikiliza dizasta that is why nawaambia rapcha anakuja kummaliza dizasta
@afyandogo
Жыл бұрын
@@Jiko266 dizasta wa miaka 5 nyuma sio huyu wa leo
dizasta anaweza kukuua kwa kukuchana..rapcha tulia huu 🔥🔥🔥sio level zako utakufa ooh hoo shauli zako
Mozambique 🇲🇿
Rapcha ni mtoto kwenye mziki bado mtoto sana
let me ask u sky u know dizasta is best rap in east africa what did u do to support him ?????
Daaaaa uyu mwamba dizasta vina sio wa nchii ya hapa , aliesikiliza zaidi ya mara moja tujuanae
My Best Friend
Aaahhhh dizasta mxamehe 🤣. 2fanye kazi kakah achanah nae 2pe ngomah
Umenipa ham ya kwenya kuisikiliza hip hop inahitaji hizi challenge shall out kwa Rapcha kulianzisha
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Shout out
@raphaelpeter6820
Жыл бұрын
Anaiheshimu culture akifagia hatupi ndani🔥🔥🔥
Ni kama 2pac amefanya remix ya Hit Em Up....hii Rapcha akae kimya, Ngoma Ndoige, akikimbia Kijijini inamfuata akikimbia kwa Majani imemfuata tu.🤣🤣🤣🤣
Ndugu wangu wadam ina sound adam nkwel adam aache upuuz dzasta nmkal alafu ua anjifany amfaam DIZASTA VINA POTENTIAL CLIMINAL🤴🤴🤴🤴🤴
Hii ndio hiphop sasa. Amekuchokoza nenda studio kajibu🙋🏾♂️
Sky wewe noma uchambuz shikamooo,🙌🙌🙌
Rapcha acha upuuzi tafuta level zako shubamit....!
Nakubaliii sky wew ni mtangazaji na nusu
DIZASTA VINA cyo Artist tu mwamba ni zaidi ya kiongozi mwanamapinduzi wa Africa. Rapcha afanye tu mziki asichanganye files
Bro wewe ni hip hop kabisa bundala
Hakuna hip hop rapper kama dizasta at the moment this dude is dangerous hallooooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mi no fan wa young killer na dizasta hawa wamba wanajua rapcha ata achanee ngoma mia majibu yake yatakuwepo umu
Mi na enjoy saanaaaaa jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kati kaka na bwamdogo ...huu iz huu
This is incomparable, maana Rapcha kamataja kidogo tuu, but Huyu dizasta yeye katunga nyimbo almost nzima kumsema mwenzie. Rapcha nae ajibu tuu kwa kumpa nyimbo nzima
@leonardmhagama5828
Жыл бұрын
Mdanganye tu uyo mtoto, dizasta hajamdiss mbona kamwelekeza tu akitaka bifu basi ajibu.
@kiduaalute603
Жыл бұрын
Nyimbo yenye dakika nyingi ya Raptcha ni dakika 4
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Zephania🤣🤣🤣humjui dizasta
@moziidavchonchi3338
Жыл бұрын
Hapo disasta ajadiss kamuelekeza TU dogo
@emanuelgavile3503
Жыл бұрын
Kagusa mavi gizani mwanenu rapcha
Dizasta akili kubwa mno 💪
dogo kalalamika kisa mtu katoa top ten yake ila Dizasta kampa free education sijui akitoa diss track itakuaje🤣🤣jamaa ni genius.
God of war 🔥🔥 vinaa dizasta
First msikize D anavyo rhyme
Rapcha the next level
Huyu dizasta hafai!! Silaha ya kutungulia ndege angani yeye kamweka mwenzake mita mia tu kamtungua! Ndio Nini Sasa!! Ana roho ngumu huyu! Na anakwambia eti hii Ni clarification tu Wala sio diss! 😂😂😂Ila jamaa Ni fundi aisee! Hiki kizazi Cha rap Cha Sasa Katu hakiwezi kukaa meza moja na dizasta! Sio level yao!
Huyo ndo vina dizasta Hana maneno mengi lakin vitendo sanaaa
YAANI APO HAJADISS DAAH DIZASTA NDO STOR NYENGINE YENYEWE SASA HIVI DIZASTA NA JINI NANI NI JINIII HAHAHAH
Bro uko vizur uchambuzi wako Hadi tume enjoy uendelee kuishi kubarikiwa pia
Kama mwanaume ajibu hiyoo hahaha 😂😂 i like it respect sana dizasta
Sky unatak knifanya nianze kusikliza hip-hop 🤣🤣🤣🤣🤣
Dizasta vina atengwe ana vigongo ambavyo vitaishi milele.
Dizasta kafanya mazishi💥💥
@mssgaintoo4321
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
My G Dizasta kiukweli industry haijamtendea haki ana album kali kuliko hao wanaopewa tuzo za hip hop artist bora cjiu wanaangalia nini maybe izo kiki zao
@raphaelpeter6820
Жыл бұрын
P hajamwambia game jela sio daycare?
@mohammedpembe9252
Жыл бұрын
Dizasta Ni alien
Dis boy z genius duh
Hapo DIZASTA katoa tu onyo.. Vipi kama akiamua kumdiss kbsa
Dizasta ni fire 😊
Dizasta et wana wanasema hapo ni km umekohoa bado hujaongea
Huyu Dizasta nihabari nyingine asee kama humjui ukifatilia rap zake utajua jinsi jamaa nimkali
Kwani Rapcha hamjui Dizasta kua ni kichwa hatari sana ktk uandishi?😂😂😂😂
@danstanjaphety2552
Жыл бұрын
😂😂 hawa madogo jau jau😅 afute candyc crush kwenye simu
Kitu tulicho sahau wengi hiki ndicho alicho kitaka rapcha kwanini? Tuanze na jina la nyimbo ya rapcha kwanini kaiita story nyingine? Jina limebeba hichi kinacho endelea nicca hapa rapcha ka 🏆
Uyo rapcha ashindane na maarifa na sio DIZASTA
@innocentanthony6482
Жыл бұрын
🤣
@boemidoke08
Жыл бұрын
🙄😁😁 kabisa
Kazi Yenu nzuri
Dizasta Vina is a master over other shallow rappers,
Rapchaa kayakanyagaa hukoooo
Dizasta fundi wa vina rapcha fundi wa urembo
Dizasta Sio Wa Kumjibu Huyu Dogo Kwa sababu huyu Dogo Bado Kichwa Chake Hakiwezi Kuvumilia Tabu za lyrcs Za Dizasta.. Ona Dizasta Alivo Relax Na Tunapata Kile Ana Deliver ....THE BEST Z DIZASTA
Uchambuzi✊🏾
Dizasta.nikama mungu yule wazamani.kabla ya.huyu wa kizungu..
D.....ni maktaba ya tenzi, nashangaa huyu barehe sijui amejichanganya wapi aysee!! Kumdiss huyu mtu hatari ni Bora ucheze na Simba anaweza kukuonea aibu lakini sio hili balaa alilo livagaa Yani kavamia pori lenye upupu alafu ajui njia ya kutokea mameee lazima Makalio yamuwashe🤣🤣🤣