Dizasta kwetu ni SuperStar kuliko hao wasanii wanaopenda kuonekana. Dizasta akitoa kazi sisi tupo karibu yake atusikilizi tu, mpaka tunanunua.
@zebedayojonathan2257
Жыл бұрын
Sawa kabisa mwamba anajua sana mi nina Album zake tatu
@nickyvanich6214
Жыл бұрын
Mimi huyu jamaa hata akisema album yake ni 50k nanunua kwasababu najua kazi yake, kuliko nimpe malaya nanunua nipate kuusumbua ubongo. Hip hop na dizasta ni kurwa na doto.
@user-nl9ys5on4x
8 ай бұрын
Bg up sana
@mashoo6781 Жыл бұрын
Wangapi tunaludia hii interview 2023
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Niko hapo naicheck.
@alexmwakasape3452
Жыл бұрын
☝️
@barackmanase9520
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@michaelhenry5259
Жыл бұрын
Me naiangalia tena leo tar 26.06.2023
@PaulJulius0767
11 ай бұрын
nipo apa 29 jully 2023
@ritchiedon68082 жыл бұрын
From 254 Mombasa Kenya, namkubali Toka harder mpaka mlemavu ...nimebakisha kutimiza ndoto yangu yakumuona live nimpe zawadi
@livinomugishagwe89046 ай бұрын
Mi nimeirudia 2024🎉
@godfreymtweve45399 ай бұрын
The guy is so simple in the street, But in his field, Looks like Monster. Pamoja Sana Mwamba VinaDizasta. Appreciated Man.
@WakujaTech2 жыл бұрын
Dizasta vina songs -Verteller Into -A confession of a mad man -A confession of a mad son -A confession of a mad teacher -A confession of a mad philosopher -No body is safe I -No body is safe II -No body is safe III -No body is safe IV -Muscular Feminist -Money -Kesho -Yuleyule -Mlemavu -Shahidi -Hatia I -Hatia II -Hatia III -Hatia IV -Tatoo ya Asili -Kibabu na Kibinti -Siku Mbaya -Maabara -Wild Noise -Losen Angel NGOMA KIBAO SANA ZOTE KALI😂😂💥
@WakujaTech
2 жыл бұрын
Nishasema mara ngapi jaman sitaki Tuzo/ Sitaki kuwa juu alafu nimefua chin....
@msimika_III
Жыл бұрын
Oyaaaah😂😂😂🙌
@msimika_III
Жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@chrissjoel7752
Жыл бұрын
Kwenye play list yako + na *MWANAJUA* 🙌🙌🙌🙌🙌
@CoachHafidh
Жыл бұрын
Kibabu na Kibinti....wimbo wangu bora kabisa kutoka kwake...🔥♥️
@JamesMunisi2 жыл бұрын
One of the best, can't wait the next project ....Kwa Spotify naona 3 Album in 2021, zote ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@franklissu5896 ай бұрын
"Ikumbuke jana au uanze kuifata future, future ni Leo....wanasema tomorrow is a mistry..."wooii sema DJ ungewaanzia wadau na intro ili ambae hawajui misingi ya album waanze sanda.
@chescomwigune78862 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza naona Mmeleta Msanii anayejua huyu mwamba Sasa ndo inabid mumplomote sio ndege wengine aseer
@sebastianalbert2857
Жыл бұрын
Mmi nashangaaaa midia zetu zina promote wasio na uwezo wa kuimba aseeee huyu jamaa wakimpa support tuta rudisha heshima ya hip hop
@gambalinowilfred81112 жыл бұрын
Dah Dah sijui Nmemic vipi hii show. Anyway one of my favorite hiphop artist. Akuna kama wewe Africa Akunaaaaaa✊🏾
@allyomar34982 жыл бұрын
Nakubali sana Dizasta shabiki ako tokea kitambo the black maradona
@KelvinEmersonSteven2 жыл бұрын
Dar kuna joto ila Dizasta Vina ni wamoto kushinda Jua🔥🔥🔥
@sadikisalumu7965 Жыл бұрын
Master Vina, Rapcha kayakanyaga isikilize Best Friend 🙌🙌
@GamechangerTz2 жыл бұрын
Uyu jamaa namuheshimu alichagua njia yake na akaiishi na ana mashabiki zake kabisa na nawakumbusha Album zake ziko boomplay na zina stream zaidi ya Million moja ko unaweza ukaona ni jinsi gani kaweza kutengeneza fan base yake bila promotions za media wala nn He needs some Respect aisee na Heshima yenu clouds kwa kumpa nafasi coz He Deserve
@mugadimon3563
2 жыл бұрын
Huyu mwamba nilikua simfuatilii kabisa ila kunamwanangu anamfuatilia mda sikuwahi mzingatia ila nilimsikia mara moja tu nikaenda kustream album zake zote nyingine nikanunua
@msimika_III
Жыл бұрын
Sure thing 👍👍👍👍
@fadhiliitambu6210 Жыл бұрын
Kutoka Hatia I , II , Kanisa, Nyumba ndogo mpk sa hv mlemavu magoma mengine kibao ...One love brother
@rwehumbizajonathan868916 күн бұрын
People Fall in Love With Character ....which is not a Person. QuuuumaaaaKibuyuuuuuu. 💪💪💪💪💪💪
@ronaldrichard88257 ай бұрын
Dizasta vina nipo na wew since kijogoo, sister kadata✊
@johnrichard54822 жыл бұрын
PROFESSOR TUNGO / THE BLACK MARADONA / SHAHIDI Ndiye #DIZASTA_VINA🎤🎧🎵 🇹🇿 IS ON FIRE....💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
@retechytgaming8 ай бұрын
Nipo tayari kununua kwa cash kazi yoyote ya mwamba DZSTVN 💯✌
@nillyjos1203 Жыл бұрын
Nye hamjuituu dizasita vina ni best rapper Tanzania nzima kweli anani expaya kwenye mziki dizasita vina ni mbunifu sana anavo dondokea beat anateka wengi mioyoyao pia anarap vitu hinaitwa #Nilly jos nicheck KZread
@t.ikingtz57032 жыл бұрын
Kuna ngoma ipo umo inaitwa wimbo usio bola naomba ipigwe Kwangu mm ndio best song naikubal San
@emanuelyulomi71232 жыл бұрын
Mr times two Smarter.. Mdo mdo tutafika mwanangu mwenyewe Vina
@shaddyqualityfurniture35952 жыл бұрын
Professor Tungo 🔥🔥🔥🔥
@hafidhinamputa14577 ай бұрын
Genius above all
@khamikal Жыл бұрын
Mimi nime share hili pndi kwa watu wa hip hop weto
@mextraveller19465 ай бұрын
Here in 2024🔥
@bdmbega1423 Жыл бұрын
G.O.A.T storyteller.
@youngcapitalistburton76274 ай бұрын
2024 ayeeeeeee
@lugazodecoration32622 жыл бұрын
Dizasta vina is too hot
@winstonrwegalulila4683 Жыл бұрын
Mwanangu upo clouds ,taratibu wataelewa tu
@AnoldMalambugi-wd1sb3 ай бұрын
2024🎉🎉
@mwasokambingela9312 Жыл бұрын
Professor tungo 🔥🔥 👊 🙏
@mbeyaboy5225 Жыл бұрын
Mwamba huyu hapa dizasta vina 🔥🔥🔥🔥
@reubenmwaijande30262 жыл бұрын
the man himself vinaaaaaa
@hansmtalikwa97452 жыл бұрын
Am a big fun wa huyu jamaa since dakika kumi za maangamizi
@domijames8601 Жыл бұрын
Katika huu mwaka ndani ya XXL hamkuwahi kupata ugeni wenye heshima katika HIP HOP.. Kama uwo.
@namboelias7570 Жыл бұрын
Dizasta keep it up brethren
@user-qi2dt9nm1kАй бұрын
Like hapa 2024
@user-fp3qp8qe4l4 ай бұрын
Vina 🔥🔥
@dostovan5142 Жыл бұрын
Huyu ndo rapper peke anae rap kuliko fid q
@nyotamy3678 Жыл бұрын
Huyu mchizi ni KONYO ✊
@zombiiUpdates Жыл бұрын
Legendary vina
@danielgodfrey24492 жыл бұрын
vina vyenye maana #DIZASTA VINA
@stiffmenake47002 жыл бұрын
Today we're so blessed with one of genius
@jastinarts
2 жыл бұрын
Namubali sana brother ...unajua unachokifanya
@idddesire2664
2 жыл бұрын
Anajua sana
@mchondojuma7338 Жыл бұрын
Black Maradona is here
@jumazinga941 Жыл бұрын
Professor tungo 👊🏿
@azzahdora30582 жыл бұрын
🔥🔥
@augustinomshoro19362 жыл бұрын
Dizasta ndo jina logo ya mtaa Ina-shine kuta
@hansmtalikwa97452 жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️
@mansourali1583 Жыл бұрын
Baraka hapa dizasta vina we noma san
@kilimapozimuvinajr. Жыл бұрын
Yaani mmeni'dissapoint mwanzo kusema hamumjui D ila Tulupa kaja kunifurahisa sana maana na kufuta mlichokionesha maana anamjua sawa alna anavojulikana. Tisha sana James maana unazijua mpaka line za Ipo juu, sema D umeaadatisha na kuokota buku ukabukuka mpaka wamekukatisha hujawajulisha kuwa wewe sio malaika ni Mungu wa rap.
@nasirnassor449 Жыл бұрын
Kituwo cha mistar wew🔥🔥🔥
@chrismnyamwezi6448 Жыл бұрын
Me namjua kitambo
@petermakoye89182 жыл бұрын
Black maradona #hiphop stand up
@shafiijulias9800 Жыл бұрын
Kweli kaka dizasta anajua
@msimika_III Жыл бұрын
Vinaaaa🙌🙌🙌
@buruanisaidi2411 Жыл бұрын
Mnaandaa Verse wawili and still not enough
@maleek11flacko Жыл бұрын
🇰🇪respect vina
@rommyKhalifa5 ай бұрын
Oya nani huyoo.. aaah kumbe familia
@zebedayojonathan2257 Жыл бұрын
Huju ni jini vina dizasta zombie anajua sana
@teilencedevard9431 Жыл бұрын
Mmefnya n anze ku tune clouds fm nlianza isahau awandio wasanii tunaitaiji waskia
@Alexander-ed6qv2 жыл бұрын
Nice
@user-cu9jp1xb5i3 ай бұрын
Maomba ngoma ya dizStA unaitwa mapendo
@Wauswazi_Ke4 ай бұрын
Dizasta anahuska vizuri kwenye kile anafanya yani jamaa mnyama sana
@ahmadadogo82162 жыл бұрын
Where is adam
@issaswaleh5143 Жыл бұрын
Dizasta vina, the black Maradona
@elibarikilukasimakala55342 жыл бұрын
Mlemavu, haujui kupenda moyo wako hewa😅
@eliaskitundu Жыл бұрын
Dizasta vina prof tungo ni noma ktambo
@danieldavid4733 Жыл бұрын
Jamaaa yetu huyu
@giftydaud14842 жыл бұрын
Black maradonaaa
@user-nn1ih8zk5i7 ай бұрын
Mbona hamuongeleshi vina ...show yakijinga sana
@ommymsomi43622 жыл бұрын
Dizastaaa vinaaa
@fulgencebeno29692 ай бұрын
Leo tar 22/3/2032 nasikiliza 🔥🔥🔥
@charlesb.mwaipeta84152 жыл бұрын
💥💥💥
@frankmagesa21812 жыл бұрын
Yoyoyo worup nsome kam dejong mimi sio mwizi ila leo ngoja niwaibie siri disaster is the baddest one big time
@negzerobacteria2 жыл бұрын
Msanii wetu mtaani
@enock14442 ай бұрын
Nairudia hapa hii interview
@joycelugenzi1889 Жыл бұрын
Dizasta ni hatarii xana ...nyie mnamuona Kama underground ..wakati sisi ni aicon ye2
@danieldavid4733
Жыл бұрын
Wao ndio underground wa shule ya hip-hop
@florianraphael9135 Жыл бұрын
Msinambia hamjagusa no body is safe 3
@nawinahke7102 жыл бұрын
Nobody is safe
@valentinobabaflow1923 Жыл бұрын
Interview
@Shija-cv3gk2 жыл бұрын
Genius black maradona
@jumalove26312 жыл бұрын
Anajua
@lowkeybongo Жыл бұрын
Dizasta ni mtu na nusu naweza weka reply ngoma zake siku nzima
Jamaa ananyimbo ambazo unaweza sikiliza kuanzia dar mpaka kigoma na zisikuboe
@flovamanmusic3663 Жыл бұрын
Jamaaa noma sanaa huyu 🔥🔥🔥
@rashidisanju9628 Жыл бұрын
MNYAMAAAA
@homan_nkwama2 жыл бұрын
Hakuna mziki una pesa Kama wa underground kwasababu wateja wake wapo huru kununua direct na hii ni sababu watu wanaumiza ubongo na tunatumia muda mrefu kujitengeneza since we know all faking life style many artist they leave
@msimika_III
Жыл бұрын
How bro, mana me naona hiyo njia anayoipita dizasta na ma underground wenye mawazo kama yake ni ngum sana au Kuna kitu sikijui bro
@homan_nkwama2 жыл бұрын
NA HUU NI MZIKI WA KUSIKIZA SIO WAKUSIKIA KAMA ambavyo wengi wanafanya
Пікірлер: 169
Wangap tumeludia tena 2024
Dizasta kwetu ni SuperStar kuliko hao wasanii wanaopenda kuonekana. Dizasta akitoa kazi sisi tupo karibu yake atusikilizi tu, mpaka tunanunua.
@zebedayojonathan2257
Жыл бұрын
Sawa kabisa mwamba anajua sana mi nina Album zake tatu
@nickyvanich6214
Жыл бұрын
Mimi huyu jamaa hata akisema album yake ni 50k nanunua kwasababu najua kazi yake, kuliko nimpe malaya nanunua nipate kuusumbua ubongo. Hip hop na dizasta ni kurwa na doto.
@user-nl9ys5on4x
8 ай бұрын
Bg up sana
Wangapi tunaludia hii interview 2023
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Niko hapo naicheck.
@alexmwakasape3452
Жыл бұрын
☝️
@barackmanase9520
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@michaelhenry5259
Жыл бұрын
Me naiangalia tena leo tar 26.06.2023
@PaulJulius0767
11 ай бұрын
nipo apa 29 jully 2023
From 254 Mombasa Kenya, namkubali Toka harder mpaka mlemavu ...nimebakisha kutimiza ndoto yangu yakumuona live nimpe zawadi
Mi nimeirudia 2024🎉
The guy is so simple in the street, But in his field, Looks like Monster. Pamoja Sana Mwamba VinaDizasta. Appreciated Man.
Dizasta vina songs -Verteller Into -A confession of a mad man -A confession of a mad son -A confession of a mad teacher -A confession of a mad philosopher -No body is safe I -No body is safe II -No body is safe III -No body is safe IV -Muscular Feminist -Money -Kesho -Yuleyule -Mlemavu -Shahidi -Hatia I -Hatia II -Hatia III -Hatia IV -Tatoo ya Asili -Kibabu na Kibinti -Siku Mbaya -Maabara -Wild Noise -Losen Angel NGOMA KIBAO SANA ZOTE KALI😂😂💥
@WakujaTech
2 жыл бұрын
Nishasema mara ngapi jaman sitaki Tuzo/ Sitaki kuwa juu alafu nimefua chin....
@msimika_III
Жыл бұрын
Oyaaaah😂😂😂🙌
@msimika_III
Жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@chrissjoel7752
Жыл бұрын
Kwenye play list yako + na *MWANAJUA* 🙌🙌🙌🙌🙌
@CoachHafidh
Жыл бұрын
Kibabu na Kibinti....wimbo wangu bora kabisa kutoka kwake...🔥♥️
One of the best, can't wait the next project ....Kwa Spotify naona 3 Album in 2021, zote ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
"Ikumbuke jana au uanze kuifata future, future ni Leo....wanasema tomorrow is a mistry..."wooii sema DJ ungewaanzia wadau na intro ili ambae hawajui misingi ya album waanze sanda.
Kwa mara ya kwanza naona Mmeleta Msanii anayejua huyu mwamba Sasa ndo inabid mumplomote sio ndege wengine aseer
@sebastianalbert2857
Жыл бұрын
Mmi nashangaaaa midia zetu zina promote wasio na uwezo wa kuimba aseeee huyu jamaa wakimpa support tuta rudisha heshima ya hip hop
Dah Dah sijui Nmemic vipi hii show. Anyway one of my favorite hiphop artist. Akuna kama wewe Africa Akunaaaaaa✊🏾
Nakubali sana Dizasta shabiki ako tokea kitambo the black maradona
Dar kuna joto ila Dizasta Vina ni wamoto kushinda Jua🔥🔥🔥
Master Vina, Rapcha kayakanyaga isikilize Best Friend 🙌🙌
Uyu jamaa namuheshimu alichagua njia yake na akaiishi na ana mashabiki zake kabisa na nawakumbusha Album zake ziko boomplay na zina stream zaidi ya Million moja ko unaweza ukaona ni jinsi gani kaweza kutengeneza fan base yake bila promotions za media wala nn He needs some Respect aisee na Heshima yenu clouds kwa kumpa nafasi coz He Deserve
@mugadimon3563
2 жыл бұрын
Huyu mwamba nilikua simfuatilii kabisa ila kunamwanangu anamfuatilia mda sikuwahi mzingatia ila nilimsikia mara moja tu nikaenda kustream album zake zote nyingine nikanunua
@msimika_III
Жыл бұрын
Sure thing 👍👍👍👍
Kutoka Hatia I , II , Kanisa, Nyumba ndogo mpk sa hv mlemavu magoma mengine kibao ...One love brother
People Fall in Love With Character ....which is not a Person. QuuuumaaaaKibuyuuuuuu. 💪💪💪💪💪💪
Dizasta vina nipo na wew since kijogoo, sister kadata✊
PROFESSOR TUNGO / THE BLACK MARADONA / SHAHIDI Ndiye #DIZASTA_VINA🎤🎧🎵 🇹🇿 IS ON FIRE....💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
Nipo tayari kununua kwa cash kazi yoyote ya mwamba DZSTVN 💯✌
Nye hamjuituu dizasita vina ni best rapper Tanzania nzima kweli anani expaya kwenye mziki dizasita vina ni mbunifu sana anavo dondokea beat anateka wengi mioyoyao pia anarap vitu hinaitwa #Nilly jos nicheck KZread
Kuna ngoma ipo umo inaitwa wimbo usio bola naomba ipigwe Kwangu mm ndio best song naikubal San
Mr times two Smarter.. Mdo mdo tutafika mwanangu mwenyewe Vina
Professor Tungo 🔥🔥🔥🔥
Genius above all
Mimi nime share hili pndi kwa watu wa hip hop weto
Here in 2024🔥
G.O.A.T storyteller.
2024 ayeeeeeee
Dizasta vina is too hot
Mwanangu upo clouds ,taratibu wataelewa tu
2024🎉🎉
Professor tungo 🔥🔥 👊 🙏
Mwamba huyu hapa dizasta vina 🔥🔥🔥🔥
the man himself vinaaaaaa
Am a big fun wa huyu jamaa since dakika kumi za maangamizi
Katika huu mwaka ndani ya XXL hamkuwahi kupata ugeni wenye heshima katika HIP HOP.. Kama uwo.
Dizasta keep it up brethren
Like hapa 2024
Vina 🔥🔥
Huyu ndo rapper peke anae rap kuliko fid q
Huyu mchizi ni KONYO ✊
Legendary vina
vina vyenye maana #DIZASTA VINA
Today we're so blessed with one of genius
@jastinarts
2 жыл бұрын
Namubali sana brother ...unajua unachokifanya
@idddesire2664
2 жыл бұрын
Anajua sana
Black Maradona is here
Professor tungo 👊🏿
🔥🔥
Dizasta ndo jina logo ya mtaa Ina-shine kuta
♥️♥️♥️♥️♥️
Baraka hapa dizasta vina we noma san
Yaani mmeni'dissapoint mwanzo kusema hamumjui D ila Tulupa kaja kunifurahisa sana maana na kufuta mlichokionesha maana anamjua sawa alna anavojulikana. Tisha sana James maana unazijua mpaka line za Ipo juu, sema D umeaadatisha na kuokota buku ukabukuka mpaka wamekukatisha hujawajulisha kuwa wewe sio malaika ni Mungu wa rap.
Kituwo cha mistar wew🔥🔥🔥
Me namjua kitambo
Black maradona #hiphop stand up
Kweli kaka dizasta anajua
Vinaaaa🙌🙌🙌
Mnaandaa Verse wawili and still not enough
🇰🇪respect vina
Oya nani huyoo.. aaah kumbe familia
Huju ni jini vina dizasta zombie anajua sana
Mmefnya n anze ku tune clouds fm nlianza isahau awandio wasanii tunaitaiji waskia
Nice
Maomba ngoma ya dizStA unaitwa mapendo
Dizasta anahuska vizuri kwenye kile anafanya yani jamaa mnyama sana
Where is adam
Dizasta vina, the black Maradona
Mlemavu, haujui kupenda moyo wako hewa😅
Dizasta vina prof tungo ni noma ktambo
Jamaaa yetu huyu
Black maradonaaa
Mbona hamuongeleshi vina ...show yakijinga sana
Dizastaaa vinaaa
Leo tar 22/3/2032 nasikiliza 🔥🔥🔥
💥💥💥
Yoyoyo worup nsome kam dejong mimi sio mwizi ila leo ngoja niwaibie siri disaster is the baddest one big time
Msanii wetu mtaani
Nairudia hapa hii interview
Dizasta ni hatarii xana ...nyie mnamuona Kama underground ..wakati sisi ni aicon ye2
@danieldavid4733
Жыл бұрын
Wao ndio underground wa shule ya hip-hop
Msinambia hamjagusa no body is safe 3
Nobody is safe
Interview
Genius black maradona
Anajua
Dizasta ni mtu na nusu naweza weka reply ngoma zake siku nzima
Jamaa nomasana
huyu jamaaa kna maswali ashawajibiu bwanaa,,,,,,, em mskillzeni wachuga tunamwelewa kikummmmmest
Uyo mwiteni jini jamani
Mwanajua😂
Vina
Uyu jmaa atari nmkubal sana
Mwanajua ni extraordinary
@seifmiraji43
Жыл бұрын
Mpaka leo sjajua kazungumzia nin mule ndani
@aishayusuph5349
Жыл бұрын
@@seifmiraji43 nichek nikufungulie
Black Maradona
Jamaa ananyimbo ambazo unaweza sikiliza kuanzia dar mpaka kigoma na zisikuboe
Jamaaa noma sanaa huyu 🔥🔥🔥
MNYAMAAAA
Hakuna mziki una pesa Kama wa underground kwasababu wateja wake wapo huru kununua direct na hii ni sababu watu wanaumiza ubongo na tunatumia muda mrefu kujitengeneza since we know all faking life style many artist they leave
@msimika_III
Жыл бұрын
How bro, mana me naona hiyo njia anayoipita dizasta na ma underground wenye mawazo kama yake ni ngum sana au Kuna kitu sikijui bro
NA HUU NI MZIKI WA KUSIKIZA SIO WAKUSIKIA KAMA ambavyo wengi wanafanya
Dizasta vina
Dizasta vina 😷😷