Dakika 10 za Maangamizi Review | Na Dizasta Vina

Спорт

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 127

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount2 жыл бұрын

    " Nazibadili DATA kuwa INFORMATION, then INFORMATION kuwa KNOWLEDGE, then KNOWLEDGE kuwa WISDOM" - Dizasta Vina - 2022

  • @willyprince6825

    @willyprince6825

    2 жыл бұрын

    BLACK MARADONA

  • @luganomwambulutukutu5000

    @luganomwambulutukutu5000

    2 жыл бұрын

    Hatari

  • @BakariMangoribo

    @BakariMangoribo

    2 ай бұрын

    Vina 🙌

  • @meddieversal1591
    @meddieversal15912 жыл бұрын

    Tangu namjua dizasta vina hadi leo haijawai pita siku sijasikiliza ngoma zake... Ntazunguka kote kwenye playlist yanguu nikifika kwa D natuliaaa 🙌🏾🙌🏾

  • @franciscojonja1164

    @franciscojonja1164

    2 жыл бұрын

    😂kwanza ni kujinyima haki zako za msingi siku ikipita bila kumskiliza @dizasta

  • @meddieversal1591

    @meddieversal1591

    2 жыл бұрын

    @@franciscojonja1164 😂😂 amini masta, kagusia lifestyle ya kila aina utaachaje kumskiza

  • @yascomdoe5686

    @yascomdoe5686

    2 жыл бұрын

    Uyu jamaa ni definition ya hip hop tz yan siku ukimuelew nd unajua kun vitamin flani vya hip ulikisaga na unapata kwa uyu jamaa tuu

  • @goodluckdamian9521
    @goodluckdamian95212 жыл бұрын

    wimbo usio bora :baada ya kusikiliza ile ngoma niliamin kweli nyimbo zinatibu 🙏🏽

  • @davabackup7767
    @davabackup7767 Жыл бұрын

    2023 after battle with RAPCHA 💥💥💣

  • @baritonetz
    @baritonetz2 жыл бұрын

    Jamaa ni toleo la mwisho la watu wa aina yake

  • @mashaurimasolwa2601

    @mashaurimasolwa2601

    4 ай бұрын

    🎉

  • @alliymohamedalliy6524

    @alliymohamedalliy6524

    3 ай бұрын

    🤦🏾‍♂️ 🎉🥂

  • @nehemiaevarist448
    @nehemiaevarist4482 жыл бұрын

    Ngoma zako iliuskilize kuna utulivu flan inabidi uwe nao so...nakuaaga muoga sana kila ninapoona ngoma zako maana nahofia Akili za watu wataelewa kinachoongelewa...safi sana Bro unafanya kazi kubwa sana mzee.

  • @mselemamsomba6561

    @mselemamsomba6561

    2 жыл бұрын

    samewise ninja....nakaaga maskani napiga ngoma kibao ikija ngoma ya divasta nakuwa ba hofu ku play, ila utakuta kuna wahuni wawili au watatu lazima watakuuliza!!! mfano ile ngoma ya money

  • @zakayomwalongo8315
    @zakayomwalongo83152 жыл бұрын

    The really artist in our country

  • @franciscojonja1164
    @franciscojonja11642 жыл бұрын

    Kuna joto Ila @dizasta ni wa Moto kuliko jua✊🏿

  • @loisarfene81
    @loisarfene812 жыл бұрын

    Daaaa Dizasta uko hai bro na unapewa respect yako God bless mzes

  • @patrickpgm6369
    @patrickpgm6369 Жыл бұрын

    kibaha mile 1 kamchana maarifa 8 mile movie ya Eminem( true story )

  • @skm1143
    @skm11432 жыл бұрын

    Scorfied navuka wigo Afu na fly far🔥🔥💪🏽

  • @oswardnelson6679
    @oswardnelson66792 жыл бұрын

    Sijawahi choka kukusikiliza,sichoki na sitochoka 🤝Tuishi humo tujifunze jinsi ya kuishi...

  • @chipembelesaid
    @chipembelesaid2 жыл бұрын

    Rap masiah is back on earth, back to take what i had to so bow down devils// Conquer like a pirate Nigga, you don't see me coz am writting down in the quantum level// NO BODY IS SAFE✌

  • @alfredsoso9070

    @alfredsoso9070

    2 жыл бұрын

    wasomi tu wanaelewa hii

  • @alfredsoso9070

    @alfredsoso9070

    2 жыл бұрын

    dizasta vina akili kubwaaa

  • @meshackkangwe3414
    @meshackkangwe34142 жыл бұрын

    Dizasta vina ni mkali sana mziki wake ni wakusikiliza tunaomwelewa tunajua shughuli yake c ndogo

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake47002 жыл бұрын

    Next legend of the whole generation

  • @nest5787
    @nest57872 жыл бұрын

    Tangu Dizasta alivyotoka kwenye 10 za maangamizi toka siku hiyo namfuatilia saana kupita maelezo

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic2 жыл бұрын

    Dizasta anjuwa sanaa 💪🏽💪🏽💪🏽love him very much

  • @jollityjorgan5920
    @jollityjorgan59202 жыл бұрын

    The black maradona,Prof.tungo, sinaga Shaka n huyu mwamba, yeye ndo Toleo la mwisho kwa watu w aina yake.

  • @adabokhamis4830
    @adabokhamis48302 жыл бұрын

    Ase hum ndan watu wanazngua ety utazan hawajawah kumckia Dizasta!!!anyways new move to hiphop

  • @ezychaser232
    @ezychaser2322 жыл бұрын

    Panorama Moja🔥🔥🔥

  • @kilayogeyejakobo6688
    @kilayogeyejakobo66882 жыл бұрын

    Dizasta sisi ambao tunamjua hatushaingai...ila nyie wa mainstream ndo mnamshangaa leo aisee duuh kweli dunia sio fair.

  • @clemencengaga5991
    @clemencengaga59912 жыл бұрын

    A living Genious

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_2 жыл бұрын

    Mara ya kwanza kumsikia ni 2013 au 14 hivii.. Niliungwa kwenye group moja la whatsapp jamaa akapost ngoma yako ya sister.. Tangu hapo nikawa shabik yako namba moja

  • @michaelginnerykisura9668
    @michaelginnerykisura96682 жыл бұрын

    dizasta vina ndoa ni ........Fumbo nakubali mwanangu

  • @burhandadi9252
    @burhandadi9252 Жыл бұрын

    Watu wa media muache unafiki mnasema hamjujui duzastanatukosea sana huyu jamaa ni wq kitambo sana ninaanza kumfuatilia tangu darasa la tatu hadi leo nina miaka 30 bado nasoma ukiona hapewi airtime au show basi wanamuogopa sana hawataki aonekane atawafunika

  • @kulwamkole7400
    @kulwamkole74002 жыл бұрын

    God keep alive prof Tungo

  • @mossmeer3820
    @mossmeer38202 жыл бұрын

    that man is danger🔥🔥

  • @kanaanrajab1102
    @kanaanrajab11022 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥best rhythm

  • @hassanhassan1019
    @hassanhassan10192 жыл бұрын

    he's so genius....

  • @mkingasana400
    @mkingasana4002 жыл бұрын

    Jamaa ni genius kma mimi vile

  • @japhe_b
    @japhe_b2 жыл бұрын

    Am a fan of him,Dizasta.

  • @mulanmike1997
    @mulanmike19972 жыл бұрын

    Peace kwa one the incredible ,dizasta vina peace kwako

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu12242 жыл бұрын

    Tunakuhitaji kwenye challenge ya Mr 2,deiwaka hakuna kuacha lolote tukipata nafasi

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto35142 жыл бұрын

    Wa moto kushinda jua

  • @benpaty580
    @benpaty5802 жыл бұрын

    Nakubali brother

  • @kachabastomc1110
    @kachabastomc11102 жыл бұрын

    Daah!! Eh Bana wee Dizasta Madini mengi sana nakubali brother

  • @Davidsylivester
    @Davidsylivester2 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni fundi sana, yaani uwezo wake inahitaji uwe umetulia ili uelewa anachokitoa.

  • @NiraSaire
    @NiraSaire Жыл бұрын

    Tumeanza kuappreciate good work kabla watendaji hawajafa? Basi tumekua sana kifikra

  • @bigdasso2825
    @bigdasso28252 жыл бұрын

    Kibabu na binti season 2 is coming DIZASTA VINA MUNGU NI MWEMA

  • @mohammedyjshemweta1390
    @mohammedyjshemweta13902 жыл бұрын

    Xana 2 mwanang xjawahi kukupinga na unajua dam yang

  • @ibbuwamichano2959
    @ibbuwamichano29592 жыл бұрын

    Naomba dakika 10 pia

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa2 жыл бұрын

    SAFI SANA ✊🏿

  • @allykallys92
    @allykallys922 жыл бұрын

    ni mmoja kati ya wachache wazuri..kichwa kama hichi kingekuwa USA ni bonge la tajir mpk sasa.. Hip Hop inalipa kwa wenzetu

  • @alexyohana4708
    @alexyohana47082 жыл бұрын

    Tunaomba review ya mbeya Boy please

  • @shadrackmgindo3932
    @shadrackmgindo39322 жыл бұрын

    Dah mmetisha sana

  • @felixnesphory532
    @felixnesphory5322 жыл бұрын

    Jasiri john 🔥🔥🔥

  • @jumazinga941
    @jumazinga9412 жыл бұрын

    Professor tungo👊🏿 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga64722 жыл бұрын

    >>>Noma Sana 10 za maangamizi

  • @simbamabande2967
    @simbamabande29672 жыл бұрын

    Dizasta vina 1 nikina joh 70 😍😍😍😍😂😂😂

  • @imaramc6802
    @imaramc68022 жыл бұрын

    Sahihi kabisa

  • @mushiomary7649
    @mushiomary76492 жыл бұрын

    Mm nilimjua dizasta kwa mala ya Kwanza kwenye dakika 10 uyo jamaa ni noma

  • @nelsonemmanuel2588
    @nelsonemmanuel25882 жыл бұрын

    Dizasta vina niwamoto Africa mashariki na kati

  • @woltamdete3873
    @woltamdete38732 жыл бұрын

    Mtaalamu wa vina na tungo

  • @nawinahke710
    @nawinahke7102 жыл бұрын

    Disasta vina ndio future Yako, ni kijogoo uliemkwepa mtaan alaf ukamkuta kwako

  • @dullyboyka5918
    @dullyboyka59182 жыл бұрын

    FUNdi dizasta Vina🔥🔥🔥

  • @tumachedi2090
    @tumachedi20902 жыл бұрын

    👌

  • @hip-hopandyou.6992
    @hip-hopandyou.69922 жыл бұрын

    🙌

  • @fredrickkimaro1969
    @fredrickkimaro19695 ай бұрын

    💯✅

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi2 жыл бұрын

    Kwamba Dj Dea hukumjua Dizasta before? Nakumbuka walikuwa wanaitwa Panorama kipindi hicho cha Tamadun Music. Kuna jamaa alikuwa anaitwa Dubo Dyballa.

  • @siafujohny7687

    @siafujohny7687

    2 жыл бұрын

    Dubo anafanya kazi tanesco ni engineer

  • @louisrugha6908
    @louisrugha69082 жыл бұрын

    Uliuwaga sana

  • @mrfreedomfednand2466
    @mrfreedomfednand24662 жыл бұрын

    Noma sana huyu jamaa

  • @dullywa9973
    @dullywa99732 жыл бұрын

    🔥genious

  • @edwardhoja
    @edwardhoja2 жыл бұрын

    🙌🏽🙌🏽🎵

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack957711 ай бұрын

    Genius

  • @hassanially1834
    @hassanially1834 Жыл бұрын

    Nakubaree xana aitwe tena aje achane hapy birth day ni ngoma Kali xana ame itoa

  • @mikechiphopkid5492
    @mikechiphopkid54922 жыл бұрын

    Wazi

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Жыл бұрын

    #Rapcha kachagua kidole cha kati Chimakeke

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Жыл бұрын

    Uyo ndo Mungu wa Rap

  • @collinsmakanta6898
    @collinsmakanta68982 жыл бұрын

    Mtu Mwenye Balaa

  • @ndyanabondyanabomkar8703
    @ndyanabondyanabomkar87032 жыл бұрын

    Wen janga kwel unakubarika sana karibu bukoba.

  • @jumaatuwa2599
    @jumaatuwa25992 жыл бұрын

    Fundi wa hatiaaa huyo ni nomaaaaaa

  • @ngalakhai9941
    @ngalakhai9941 Жыл бұрын

    New dawn is here....dizasta is the new thing in hip-hop....then madebe lidai Kwa bongo movie

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan63432 жыл бұрын

    🔥🔥

  • @BarakaYona-pl5yy
    @BarakaYona-pl5yy5 ай бұрын

    unajua mpaka unakela

  • @AhmedIbrahim-zu5tv
    @AhmedIbrahim-zu5tv2 жыл бұрын

    Namkubali san huyo mwamba dizasta vina

  • @anorderastonyondo3726
    @anorderastonyondo37262 жыл бұрын

    Kisu Kikali Egesha govi mbalii.....😊😊😊

  • @nyotamy3678
    @nyotamy36782 жыл бұрын

    ✍️✍️✍️✍️✍️💯♥️🔥

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba41232 ай бұрын

    huyu mwamba anajua adi anakera 🪒

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Жыл бұрын

    Teacher Wangu

  • @shafiihkaunda7749
    @shafiihkaunda77492 жыл бұрын

    Hakuna km Dizasta vina Tz ukwel ndo huo

  • @adamdemarch5565
    @adamdemarch55652 жыл бұрын

    Tunakumbuka

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata12372 жыл бұрын

    dizasta namfaham miaka zaid ya 6 nyuma, mfuatilie mutamuelewa huyu jamaa..

  • @TimothewKinyogoto-ks4zl
    @TimothewKinyogoto-ks4zl5 ай бұрын

    Safiiiiiiii

  • @paulconrad7091
    @paulconrad7091 Жыл бұрын

    Kiukweli na kukubali sana na wewe ni bora sana kwa hip hap zote....ni star unae kuja....nakutabilia kaka

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi43622 жыл бұрын

    Vinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @emmas1poet890
    @emmas1poet8902 жыл бұрын

    Dizasta ni Dizasta more fire

  • @chrisk.efreestylerofficial149
    @chrisk.efreestylerofficial149 Жыл бұрын

    Unyama

  • @saidcoutinhophillipe1845
    @saidcoutinhophillipe1845 Жыл бұрын

    Dah HIVI Yule #RAPCHA alikusudia nini kwani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nattyking.5604
    @nattyking.56042 жыл бұрын

    Mbona sioni hii kumi yake!?

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi43622 жыл бұрын

    Vina Aa Aa

  • @salimphiainstallerss2147
    @salimphiainstallerss21472 жыл бұрын

    Movie. ..👊

  • @bigdasso2825
    @bigdasso28252 жыл бұрын

    DIZASTA

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Жыл бұрын

    MUNGU WA RAP

  • @saulstephen4924
    @saulstephen49242 жыл бұрын

    Na me ndo nilipoanza kumjulia hapo

  • @abdutarickmohammed4751
    @abdutarickmohammed47512 жыл бұрын

    Makn xana dizasta Vina nakuelewa daima rap wa tz akuna kam ww sina hatia

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Жыл бұрын

    BLACK MARADONA 🔥

  • @kaonekacavin6002
    @kaonekacavin60022 жыл бұрын

    hii ngoma ya kanisa nmeisikia hata before ya dk10,,,,tena kuna mwana tuu nlikua nae nmepanga geto moja tukiwa chuo,,alikua anamkubal saaaaaana huyu mwamba,,,,,,asse jamaa anamichano ya utofaut sana nkimsokilizaga namuonaga kama nash emcee wa mapendo na tabia😂😂

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud2 жыл бұрын

    Uyu dizasta ni kitu kingine kabisaa

  • @waafrika_graphers3569
    @waafrika_graphers3569 Жыл бұрын

    Dizasta vina 🔥🔥

  • @edwinjabez8352
    @edwinjabez83522 жыл бұрын

    Fundiiii sana huyu anarudi tena

Келесі